Bank Loan Propasal

W
Description

Bank Loan Propasal document sample

Shared by: dri21039
-
Stats
views:
1334
posted:
1/4/2011
language:
Swahili
pages:
320
Document Sample
scope of work template
							  TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA AHADI ZA
SERIKALI BUNGENI KWA KIPINDI CHA MWAKA
               2006 - 2007




                  1
                                      OFISI YA WAZIRI MKUU

NA                  AHADI                                         UTEKELEZAJI
1.   Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa            Tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 imetolewa
     kushirikiana    na   wadau      wake     na kusambazwa kwa wadau kupitia Taarifa ya Tume ya
     itakamilisha tathmini ya Uchaguzi        Taifa ya Uchaguzi kuhusu Uchaguzi wa Rais, Wabunge
     Mkuu wa mwaka 2005 ili itumike           na Madiwani, 2005 ya tarehe 9 Juni, 2006. Taarifa
     kuboresha zaidi uendeshaji wa chaguzi    imeainisha mafanikio na upungufu uliojitokeza kwenye
     zijazo.                                  hatua mbalimbali za mchakato wa uchaguzi. Hatua hizo
                                              ni pamoja na:

                                              (i) Uhakikishwaji wa wapiga kura kwenye Daftari la
                                                  Kudumu la Wapiga Kura,

                                              (ii) Uteuzi wa wagombea na kampeni za uchaguzi,

                                              (iii) Upigaji na uhesabuji wa kura,

                                              (iv) Utangazaji wa matokeo,

                                              (v) Elimu ya mpiga kura na ya wasimamizi wa
                                                  uchaguzi, na

                                              (vi) Menejimenti na uendeshaji wa uchaguzi kwa ujumla
                                                   ikiwemo ushirikishwaji wa wadau pamoja na
                                                   upatikanaji wa fedha na vifaa kwa wakati
                                                   uliopangwa. Aidha, upungufu wote uliojitokeza
                                                   utatumika kuboresha zaidi sheria, kanuni na taratibu
                                                   za uendeshaji wa chaguzi zijazo.
2.   Daftari la Kudumu la Wapiga Kura         Dhana na mfumo wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la
     litaboreshwa         kwa   kuwaondoa     wapiga Kura vimekubalika. Taratibu za uboreshaji wa
     wasiostahili na kuingiza wenye sifa za   Daftari la Kudumu la Wapiga Kura zitafanywa kikanda
     kujiandikisha na ambao kwa sababu        na uboreshaji huo utafanyika mara mbili katika kipindi
     mbalimbali hawakujiandikisha katika      cha miaka mitano kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka
     kipindi kilichopita.                     2010.

                                              Awamu ya kwanza inatarajiwa kutekelezwa katika
                                              mwaka wa fedha 2007/2008, na ile ya pili itatekelezwa
                                              miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu ujao.
                                              Uboreshaji huo unalenga:-

                                              (i) Kuandikisha wapiga kura wapya watakaokuwa
                                                  wamefikia umri wa miaka 18 na waliokuwa
                                                  hawakujiandikisha katika kipindi kilichopita iwapo




                                                  2
                                                      watahitaji kujiandikisha.

                                             (ii)          Kurekebisha taarifa zilizokosewa awali au za
                                                           waliohama kutoka Kata/Jimbo moja la uchaguzi
                                                           kwenda Kata/ Jimbo jingine.

                                             (iii)     Kuondoa majina ya waliofariki au kupoteza sifa
                                                      za Wapiga kura kwa mujibu wa Sheria ya
                                                      Uchaguzi.
3.   Kuhakikisha vikao vya SMT na SMZ        Uchambuzi wa Taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya
     kuhusu masuala ya Muungano              Kikao cha pili kati ya Waziri Mkuu na Waziri Kiongozi
     vinafanyika kama ilivyoelekezwa na      kilichofanyika tarehe 21 Novemba, 2006 Ikulu ya
     Mhe. Rais.                              Zanzibar umekamilika. Maandalizi ya Kikao kingine
                                             yanaendelea ili kukiwezesha kufanyika baada ya
                                             Mkutano wa Bunge la Bajeti kwa mwaka 2007/2008.
4.   Kuboresha menejimenti na mazingira      Wakala wa Majengo (TBA) ambaye ni Msimamizi wa
     ya ukumbi mpya wa Bunge na              majengo yote ya Serikali amepewa jukumu na Ofisi ya
     kuwapatia Wabunge Ofisi majimboni       Bunge kusimamia ukumbi mpya wa Bunge. Huduma za
     mwao kwa awamu kadri uwezo              kutunza na kuhifadhi jengo hilo zinaratibiwa na Wakala
     utakavyoruhusu.                         hiyo kuanzia Juni, 2007. Serikali imetenga shilingi
                                             bilioni moja katika mwaka fedha 2007/08 kwa ajili ya
                                             ujenzi wa ofisi 40 za awali za Wabunge katika majimbo
                                             yao ya uchaguzi. Ujenzi utasimamiwa na
                                             Halmashauri/Mamlaka za Serikali za Mitaa.
5.   Kwa kushirikiana na wadau Tume          Rasimu ya Sera ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya
     itaandaa Sera ya Udhibiti wa Dawa za    imejadiliwa na Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri.
     Kulevya kama mbinu mojawapo ya          Marekebisho yaliyopendekezwa yanaendelea kufanyiwa
     kupambana na tatizo hilo. Aidha,        kazi. Mchakato wa Marekebisho ya Sheria ya Kuzuia
     Sheria ya Dawa za Kulevya Na.9 ya       na Kupambana na Biashara Haramu ya Dawa za
     mwaka 1995 itafanyiwa marekebisho.      Kulevya Na.9 ya Mwaka 1995 yapo katika hatua za
                                             mwisho kwenye ngazi za juu serikalini ili kuidhinishwa.
6.   Elimu kwa umma itaendelea kutolewa      Tume imeendelea kuyatumia matukio ya kitaifa katika
     kuhusu matatizo yatokanayo na           kuelimisha umma. Kwa mfano:-
     matumizi pamoja na biashara ya dawa      (i) Maonyesho ya Wakulima ya Nane Nane mkoani
     za kulevya na uhusiano wa dawa hizo              Arusha.
     na maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
     Kadhalika, mafunzo na vitendea kazi      (ii)        Wiki ya Usalama Barabarani mkoani Kigoma.
     vitaendelea kutolewa kwa Vyombo vya
     Dola kama Polisi, Uhamiaji na Forodha    (iii)       Wiki ya Vijana na Kilele cha Mbio za Mwenge
     ili kuimarisha udhibiti na mapambano                 mkoani Ruvuma.
     dhidi ya uhalifu unaotokana na dawa
     za kulevya.                              (iv) Siku ya UKIMWI Duniani mkoani Mara.

                                               (v) Maonyesho ya Saba Saba (Dar es Salaam).




                                                      3
                                             Serikali ilitumia fursa ya Mbio za Mwenge wa Uhuru
                                             kufikisha ujumbe maalum kwa jamii juu ya athari za
                                             biashara na matumizi ya dawa za kulevya. Vilevile Tume
                                             imewaelimisha wanafunzi 300 wa shule za msingi na 45
                                             wa sekondari za Dar es salaam kuhusu athari
                                             zitokanazo na matumizi ya dawa za kulevya.

                                             Tume ilitumia pia fursa ya Maadhimisho ya Siku ya
                                             Kimataifa ya Kupiga Vita Biashara Haramu na Matumizi
                                             ya Dawa za Kulevya, Juni 26, 2007 yaliyofanyika kitaifa
                                             jijini Tanga kuuelimisha umma. Mgeni rasmi katika
                                             maadhimisho hayo alikuwa Mheshimiwa Jakaya Mrisho
                                             Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

                                             Tume imeendelea kutoa machapisho mbalimbali
                                             ikiwemo vipeperushi na fulana na kutumia vyombo vya
                                             habari kama redio, magazeti, na televisheni
                                             kuwaelimisha wananchi. Aidha, mwongozo kuhusu
                                             udhibiti wa UKIMWI miongoni mwa watumiaji wa dawa
                                             za kulevya nchini, umetayarishwa.

                                             Tume      ilishirikiana na vyombo vya dola katika
                                             operesheni za kuwakamata wafanyabiashara wa dawa
                                             za kulevya (watuhumiwa 121) na kati yao 86
                                             wamewekwa chini ya uangalizi wa Mahakama.
                                             Operesheni ya kitaifa ya uteketezaji wa zao la Bangi
                                             kuanzia Januari, 2006 mpaka Juni 2007, ilifanyika vizuri
                                             na ekari 1,603 za bangi ziliteketezwa. Tume ya Madawa
                                             ya Kulevya imechangia gharama za kuteketeza bangi
                                             katika mikoa ya Morogoro na Arusha.

                                             Kiasi cha dawa za kulevya kilichokamatwa katika kipindi
                                             husika ni:
                                             Bangi- kilo 296,997; Mirungi- kilo 7391; Heroine- kilo 99;
                                             Morphine- kilo 37; Mandrax- kilo 11 na Cocaine- kilo 5.9.
7.   Utoaji wa huduma za matibabu na         Tathmini ya uwezo imefanywa kwenye Hospitali za
     ushauri nasaha kwa waathirika           Lutindi na Mirembe ambazo hutoa huduma ya matibabu
     vitaendelea kutolewa na kuratibiwa na   kwa waathirika wa dawa za kulevya na kuonyesha kuwa
     Tume ikishirikisha wadau wake.          uwezo wa kutoa tiba wa vituo hivyo haukidhi mahitaji ya
                                             idadi ya waathirika waliopo. Kwa kutambua hali hiyo,
                                             Tume ya Madawa ya Kulevya ilisaidia kulipia gharama
                                             za kiwanja kitakachojengwa kituo cha matibabu kwa
                                             waathirika wa dawa za kulevya eneo la Mirembe,
                                             Dodoma. Kituo hicho kinajengwa chini ya usimamizi wa




                                                 4
                                                 Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
8.    Serikali itakamilisha upimaji wa hekta     Upimaji wa eneo la Chuo Kikuu cha Dodoma
      4,000 katika eneo la Chimwaga kwa          umekamilika na ramani yake imeidhinishwa na
      ajili ya ujenzi wa Chuo Kikuu kipya        Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani. Uthamini wa mali za
      cha Serikali.                              wananchi pia umekamilika. Thamani halisi ya mali ni
                                                 shilingi bilioni 3.5 na imeidhinishwa na Mthamini Mkuu
                                                 wa Serikali. Ramani na jedwali lenye viwango vya fidia
                                                 itakayolipwa kwa wananchi vimekabidhiwa Wizara ya
                                                 Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia.
9.    Muswada wa Sheria wa Marekebisho           Rasimu ya Mapendekezo ya marekebisho ya Sheria ya
      ya msingi katika Sheria Na. 9 ya           Menejimenti ya Maafa imekamilika na kupitiwa na
      mwaka      1990    utaandaliwa    na       Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri.          Maoni ya
      kuwasilishwa Bungeni      ili kukidhi      Sekretarieti (BLM) yanafanyiwa kazi kwa hatua na
      mahitaji ya Sera ya Taifa ya               idhini ya Baraza la Mawaziri na hatimaye kuwasilishwa
      Menejimenti ya Maafa ya Mwaka 2004.        Bungeni. Marekebisho yatakidhi mahitaji ya Sera ya
                                                 Taifa ya Maafa ya mwaka 2004.
10.   Elimu kwa umma, miongozo, nyenzo           Mwongozo umetolewa kwa Halmashauri zote kuweka
      na huduma kwa yatima zitatolewa zaidi      bajeti na huduma kwa yatima katika mipango yao. Hadi
      mijini na vijijini. Aidha, itahakikishwa   Juni, 2007, jumla ya Shilingi bilioni 9 zilitolewa na
      kuwa kila Halmashauri inakuwa na           “Global Fund” kwa Halmashauri kwa ajili ya mpango wa
      mipango ya kukabiliana na UKIMWI.          kudhibiti UKIMWI ikiwa ni pamoja na huduma kwa
                                                 yatima. Mwongozo wa uundaji wa Kamati za Kudhibiti
                                                 UKIMWI umerekebishwa ili kuimarisha utaratibu,
                                                 usimamizi na uwajibikaji katika ngazi ya Mkoa na
                                                 Mamlaka ya Serikali za Mitaa.
11.   Kila Halmashauri itatengewa ikama ya       Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Wizara ya Fedha na
      wahasibu 8 na Wakaguzi wa ndani 3 ili      Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
      kuziwezesha kufanya kazi kwa ufanisi.      imekubali Ikama hiyo. Serikali imeajiri na kutuma
      Watumishi          Wahasibu      478       Wahasibu na Wakaguzi wa Ndani kwenye
      watapangiwa kwenye Halmashauri             Halmashauri. Wahasibu 269 na Wakaguzi wa Ndani 89
      mbalimbali ili kupunguza uhaba wa          waliripoti katika Halmashauri zote.
      watumishi waliopo.
12.   OWM – TAMISEMI itashirikiana na            Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI imeainisha mahitaji ya
      Wizara ya Afya ili kujaza nafasi wazi      watumishi katika Hospitali ya Bombo na kuyawasilisha
      Katika Hospitali ya Bombo.                 Wizara ya Afya kwa hatua zaidi.
13.   OWM – TAMISEMI itaandaa mkutano            Baada ya warsha ya Wakurugenzi wa Sera na Mipango
      wa pamoja kati ya Makatibu Wakuu wa        iliyofanyika tarehe 4 na 5 Desemba 2006, OWM
      Wizara za kisekta ili kuelimishana         TAMISEMI sasa inawasiliana na Wizara za Kisekta ili
      kuhusu mahusiano na majukumu ya            kupanga tarehe ya Mkutano wa pamoja wa Makatibu
      kila Wizara.                               Wakuu wa Kisekta ili pamoja na kuelimishwa kuhusu
                                                 mahusiano na majukumu ya kila Wizara, pia waweze
                                                 kujadili na kuyatolea maamuzi mapendekezo
                                                 yaliyotolewa ya namna ya kuwatumia vilivyo Maafisa
                                                 Mipango katika Sekretariati za Mikoa na wale wa
                                                 Halmashauri.




                                                    5
14.   Kufanya warsha za Wakurugenzi ili          OWM - TAMISEMI iliandaa warsha ya Wakurugenzi wa
      wajue majukumu ya kila Wizara na           Sera na Mipango iliyofanyika tarehe 4-5 Desemba, 2006
      baadaye wawaelimishe Watendaji             katika Hoteli ya Kunduchi. Madhumuni makubwa ya
      wengine katika Wizara zao.                 warsha hii yalikuwa ni kujadili njia nzuri ya kuhakikisha
                                                 kuwa Sera za Kisekta zinaendana na lengo la upelekaji
                                                 madaraka kwa wananchi; kujadili matatizo ya kiutendaji
                                                 kati ya OWM - TAMISEMI na Wizara za Kisekta kwa
                                                 upande mmoja na kati ya Wizara za Kisekta na Mikoa
                                                 na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa upande mwingine;
                                                 kujadili matatizo yanayoathiri utendaji kazi wa Maafisa
                                                 Mipango wa Sekretarieti za Mikoa na wale wa Wilaya,
                                                 kutoa mapendekezo ya ufumbuzi wake na
                                                 kufahamishwa juu ya maendeleo ya utayarishaji wa
                                                 Mkakati wa Uratibu wa Sekta kutoka kwa Wataalam
                                                 Washauri kutoka ESAMI. Warsha hii ilipendekeza kuwa:

                                                          Kiundwe chombo cha Wataalam wa kuishauri
                                                            Serikali juu ya matumizi muafaka ya Maafisa
                                                            Mipango/Wachumi hapa nchini.

                                                          Majukumu ya Maafisa Mipango yafanyiwe
                                                           mapitio kuona kama yanaendana na kazi zao
                                                           kikamilifu.

                                                          Kuwe na fursa (forum) ambapo OWM
                                                            TAMISEMI, Wizara za Kisekta na Serikali za
                                                            Mitaa watakaa na kuainisha shughuli
                                                            zitakazogatuliwa (devolved), zitakazokaimishwa
                                                            (delegated) na zile za kufanyika kwa pamoja
                                                            (shared) kwa kufahamu kuwa zoezi la dhana ya
                                                            kupeleka madaraka kwa wananchi (D by D) ni la
                                                            hatua kwa hatua (gradual process).

                                                          OWM - TAMISEMI itoe mapema mwongozo wa
                                                           utayarishaji/uandaaji wa mipango na bajeti.

                                                       Pawepo na Mkakati wa ugatuaji wa madaraka
                                                         kwa wananchi utakaotekelezwa kwa awamu na
                                                         kwa kipaumbele.
15.   Serikali itatoa Sh. Bilioni 1 kwa kila     Serikali imetenga sh. bilioni 21 katika bajeti ya mwaka
      Mkoa kupitia benki zilizopo kwa ajili ya   2006/2007 kwa ajili ya kuwezesha wananchi
      uwezeshaji wa Wananchi kiuchumi na         kujikwamua kiuchumi. Fedha hizo zitatolewa kama
      kuongeza ajira nchini.                     mikopo kupitia benki na Vyama Vya Kukopa na Kulipa.




                                                       6
                                                 Baraza la Taifa la Uwezeshaji wa Wananchi lililopo
                                                chini ya Wizara ya Mipango Uchumi na Uwezeshaji
                                                limeandaa miongozo na taratibu za ukopeshaji fedha
                                                hizi. T.Shs.10.5 Billioni zimetolewa kupitia Benki ya
                                                NMB na CRDB chini ya Masharti ya Ukopeshaji (Credit
                                                Guarantee). Fedha hizo zitakopeshwa mtu mmoja
                                                mmoja, vikundi na vyama vya kuweka na kukopa
                                                (SACCOS). Aidha, Serikali imeshatoa mafunzo kwa
                                                maofisa watatu wa kila Halmashauri kuhusu ujasiriamali
                                                ili waweze kuwafundisha wananchi watakaokopa fedha
                                                hizo katika Wilaya zao. Maafisa hao ni Afisa Mipango 1,
                                                Afisa Ushirika 1 na Afisa Maendeleo ya Jamii 1.
                                                Mafunzo hayo yamefanyika kikanda katika Kanda za
                                                Mwanza, Mbeya, Arusha, Dar es Salaam na Dodoma na
                                                yalisimamiwa na Benki Kuu ya Tanzania.
16.   Serikali itatoa maelekezo kwa Wakuu       Watendaji wanaolipwa mishahara ni wale walioingia
      wa Mikoa kufuatilia kwa karibu suala la   kwenye Kompyuta ambao ni Watendaji wa Vijiji 9,786
      ulipaji wa mishahara ya VEO na MEO        kati ya 10,344 ya Vijiji vilivyopo ambayo ni asilimia 95 na
      kwa wakati.                               Watendaji wa Mitaa 1,597 kati ya Mitaa 1,755 iliyopo
                                                ambayo ni asilimia 91. Watendaji wa Mitaa na Watendaji
                                                wa Vijijji ambao hawajalipwa ni wale ambao taratibu zao
                                                za ajira hazijakamilika kwa mujibu wa Mwongozo
                                                uliotolewa.
17.   Serikali itaelekeza Wakurugenzi wa        Pamoja na kutokamilika kwa taarifa za baadhi ya
      Halmashauri kutoa uzito Katika suala      Watendaji wa Vijiji, kwa wale ambao wapo kwenye
      la kulipa mishahara ya VEO na MEO         orodha ya malipo mishahara yao italipwa tarehe 25 ya
      ifikapo tarehe 25 ya kila mwezi.          kila mwezi kama ilivyo kwa watumishi wengine wa
                                                Serikali. Serikali imezielekeza Halmashauri kuchukua
                                                orodha ya mishahara kila tarehe 16 na mishahara iwe
                                                imeshalipwa ifikapo tarehe 25 ya kila mwezi kama
                                                watumishi wengine wa Serikali. Aidha, Benki
                                                zimeshaelekezwa kuhusu uamuzi huo na kuridhia
                                                kuanzia Desemba, 2006.
18.   Kwa kuwa Serikali inatoa fidia ya         Kwa sasa Serikali Kuu haina utaratibu wa kulipa posho
      mapato kwa Halmashauri, Serikali          Wenyeviti wa Vitongoji na Vijiji. Katika tangazo la
      itatoa maelekezo kwa Halmashauri ili      Serikali namba tatu (3) la tarehe 7 Januari, 1994
      ziwalipe posho Wenyeviti wa Vijijji na    Halmashauri zote nchini zilielekezwa kuwalipa Wenyeviti
      Vitongoji.                                wa Mitaa na Vijiji si chini ya asilimia tatu (3%) ya
                                                makusanyo ya vyanzo vya mapato alivyohamasisha
                                                hasa kodi ya maendeleo. Baada ya Serikali kufuta kodi
                                                zenye kero bado Halmashauri zimebaki na vyanzo vya
                                                mapato ambavyo Halmashauri zinawajibika kukusanya.
                                                Hivyo Halmashauri zina uwezo wa kulipa asilimia (3%)
                                                ya posho ya Wenyeviti wa Vijiji na Mitaa.
                                                Aidha, Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI mwaka 2003




                                                    7
                                                ilipeleka Mwongozo wa jinsi Halmashauri zinavyoweza
                                                kutumia ruzuku ya fidia ya mapato ili kugharimia
                                                matumizi mbalimbali katika Halmashauri. Mwongozo
                                                huo utapitiwa upya ili kuuboresha.
19.   Ofisi itafuatilia kuona ni sababu zipi    Barua Kumb. Na. HB.114/200/02/18 ya tarehe
      zinazofanya Halmashauri ya Wilaya ya      20/10/2006 ilitumwa Halmashauri na kupata majibu
      Same ishindwe kukusanya mapato            kama ifuatavyo: Katika mwaka wa fedha 2004/05
      ipasavyo.                                 mapato ya vyanzo vya Halmashauri ya Same yalishuka
                                                kutokana na mgogoro wa wafanyabiashara wa madini
                                                ya jasi kudai kuwa ushuru wa madini umefutwa kama
                                                walivyoelekezwa na viongozi wao. Hivyo, ushuru
                                                haukulipwa.      Wafanyabiashara walielimishwa na
                                                Halmashauri na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
                                                Hivi sasa ushuru unalipwa na wanunuzi wa madini ya
                                                jasi na makusanyo kwa mwaka yameongezeka kwa
                                                zaidi ya asilimia 50 kuanzia mwaka 2005/2006 kama
                                                ifuatavyo:-

                                                       MWAKA          MAKISIO        MAKUSANYO
                                                                                        HALISI
                                                   2003             247,700,000/=    110,800,000/=
                                                   2004 Jan-Juni         34,700/=     31,000,000/=
                                                   2004/05          120,000,000/=     59,000,000/=
                                                   2005/06          133,600,000/=    131,800,000/=
                                                   2006/07          158,800,000/=     69,000,000/=
                                                   Makusanyo ya mwaka 2006/2007 ni hadi mwezi
                                                   Novemba, 2006.


20.   Serikali itaanza zoezi la kufanya         OWM-TAMISEMI kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi,
      mapitio ya maelezo ya mipaka ya           Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imepeleka maelezo
      Wilaya za nchi nzima ili kufanya          ya Mipaka (GN) kwenye Mikoa yote nchini ambayo
      marekebisho yanayohitajika.               nakala pia zimepelekwa Wilayani. Maoni juu ya utata wa
                                                maelezo yanaratibiwa na kuchambuliwa ili zoezi la
                                                kuhakiki mipaka yenye matatizo lifanyike.
21.   Serikali itaanzisha Mabaraza ya Ardhi     Mabaraza ya Ardhi ya Vijiji yalikwishaanzishwa na
      ya Vijijji na yatashughulikia migogoro    kuanza kushughulikia migogoro ya ardhi. Halmashauri
      ya Ardhi.                                 zimeelekezwa kuyaimarisha na kuyawezesha ili yaweze
                                                kushughulikia migogoro kikamilifu.
22.   Serikali     kwa      kushirikana    na   Shule ya Msingi Mitindo iliyopo katika Halmashauri ya
      Halmashauri          ya        Misungwi   Wilaya ya Misungwi ina wanafunzi 822. Kati ya hao
      itaishughulikia shule ya Msingi Mtindo    wanafunzi wasioona ni 52 wanaotoka katika maeneo
      katika Wilaya ya Misungwi yenye           mbalimbali ya nchi. Kutokana na hali ya wanafunzi hao,
      wanafunzi wasioona ili wapate huduma      Serikali huwapatia fedha kupitia Halmashauri ya Wilaya
      muhimu.                                   ya Misungwi kwa ajili ya kupata chakula, usafiri wakati
                                                wa kwenda na kurudi likizoni na fedha za uendeshaji wa




                                                   8
                                                shule (Capitation grant). Halmashauri huwapatia fedha
                                                kwa ajili ya kununulia vifaa vya usafi kama sabuni na
                                                mafuta ya taa. Katika kipindi cha Julai hadi Desemba
                                                2006, shule ilipelekewa shilingi 3,240,000/= kwa ajili ya
                                                chakula, 1,000,000/= usafiri na 1,500,000/= kwa ajili ya
                                                kununua vifaa vya usafi. Jumla ya shilingi 2,430,654/=
                                                zilipelekwa shuleni hadi Septemba kama “capitation
                                                grant”. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeipatia
                                                shule walimu wanne (4), Mashine za kuchapa tatu,
                                                shilingi 11,000,000/= kurekebisha miundombinu na
                                                karatasi za kuchapishia (Braille) ream 53 kwa wanafunzi
                                                hao.
23.   OWM – TAMISEMI itawasilisha suala         Barabara ya Usagara - Fela - Kisesa; kwa mwaka wa
      la matengenezo ya barabara ya             fedha 2006/07 hakuna fedha zilizotengwa kwa ajili ya
      Usagara – Fela – Kisesa na barabara       barabara hii.
      ya Sikonge – Ipole – Rungwa katika        Barabara ya Sikonge – Ipole – Rungwa; Barabara hii
      Wizara     ya     Miundombinu     ili     imefanyiwa matengenezo na TANROADS kama
      mawasiliano ya barabara yawepo.           ifuatavyo:- “Bairley bridge” moja (1), “Culvert” nne (4),
                                                matengenezo ya culvert moja la zamani na kuziba
                                                mashimo katika eneo la Fela. Hivyo barabara hii
                                                inapitika.
24.   Serikali itaanza zoezi la kufanya         Wilaya ya Kilindi imewasilisha maelezo ya mgogoro wa
      mapitio ya maelezo ya mipaka ya           mpaka na yanafanyiwa kazi. Tatizo ni kati ya Mkoa wa
      Wilaya ya nchi nzima ili kufanya          Tanga na Mkoa wa Manyara (Kilindi na Kiteto) ambapo
      marekebisho yanayohitajika hususani       maelezo katika GN. yanatofautiana na hali halisi ya
      Wilaya ya Kilindi.                        mipaka ilivyo ardhini.
25.   Serikali itaimarisha Mabaraza ya kata     Mwezi Agosti, 2006 OWM – TAMISEMI iliendesha
      ili yaweze kutekeleza majukumu yake       mafunzo kwa wanasheria wa Serikali za Mitaa kuhusu
      ipasavyo.                                 uendeshaji wa mabaraza ya kata ili nao wakaendeshe
                                                mafunzo hayo katika maeneo yao. Aidha Ofisi inaandaa
                                                mwongozo (Guideline) wa uendeshaji wa mabaraza
                                                hayo. Mwongozo utakamilishwa baada ya marekebisho
                                                ya Sheria za Serikali za Mitaa kuwekewa saini na
                                                Mheshimiwa Rais na utasambazwa katika Halmashauri
                                                zote.
26.   OWM – TAMISEMI kwa kushirikana na         Serikali inatambua umiliki wa maeneo kimila.
      Wizara ya Ardhi na Makazi na              Halmashauri inayohusika inatoa Hati Miliki za Kimila
      MKURABITA zitaangalia namna ya            ambazo zinaweza kutumika kupata mikopo na
      kuharakisha zoezi la umilikishaji ardhi   dhamana. Aidha, MKURABITA kwa kushirikiana na
      kwa Wakulima na Wafugaji ili waweze       Mamlaka za Serikali za Mitaa katika Wilaya ya Mbozi
      kupata mikopo.                            imepima Ardhi kwa Wakulima na Wafugaji. Jumla ya
                                                Vijiji 164 vimepimwa mipaka yake mwaka 2002 mpaka
                                                2003 kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na
                                                Maendeleo ya Makazi. Mwaka 2004 Halmashauri
                                                imetoa Hati miliki za kimila kwa wananchi 1,451. Hati




                                                    9
                                               miliki zinaendelea kuandaliwa kwa wananchi wengine.
27.   OWM – TAMISEMI kwa kushirikiana          Katika mwaka wa fedha 2006/07 Halmashauri ya
      na Halmashauri ya Manispaa ya            Manispaa ya Temeke imetenga jumla ya
      Temeke itaangalia jinsi ya kutatua       T.Shs.16,000,000/= kwa ajili ya kuchimba visima viwili
      tatizo la huduma ya maji safi na         virefu. Kimoja kitachimbwa Mtaa wa Mponda Kata ya
      salama katika kata ya Charambe.          Charambe na kingine katika Sekondari ya Charambe.
                                               Halmashauri ya Temeke imeingia mkataba na wakala
                                               wa uchimbaji wa visima mwezi Aprili 2007 kwa ajili ya
                                               kuchimba visima katika eneo hilo.
28.   Serikali itaangalia uwezekano wa         Serikali imetoa kiasi cha Tshs. 178,010,000 kwa ajili ya
      kutenga fedha za ujenzi wa Makao         Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Longido, na Tshs
      Makuu ya Wilaya ya Longido kwa           90,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa Nyumba ya Mkuu wa
      kushirikiana na Wilaya ya Monduli.       Wilaya ya Longido. Zabuni ya kumpata Mkandarasi kwa
                                               ajili ya Ujenzi imetangazwa na tarehe 27/12/06 Bodi ya
                                               Tenda ya Mkoa ilimchagua Mkandarasi. Kazi ya
                                               kuandaa Mchoro wa Mipango Miji na kupima eneo la
                                               Makao Makuu ya Wilaya imekamilika. Ujenzi ulianza
                                               rasmi Januari, 2007.
29.   Halmashauri ambazo mto Bubu              Mto Bubu umeanzia katika Wilaya za Mbulu na Babati
      (Kondoa)      umepita     zitaelekezwa   ambako ndio chanzo kikuu cha maji. Mto huu unapitia
      kufanya utafiti wa awali kuhusu          katika Halmashauri ya Kondoa na kuishia Wilaya ya
      uanzishaji wa kilimo cha umwagiliaji.    Bahi. Mto Bubu ni mto wa msimu, hivyo kilimo cha
                                               umwagiliaji hufanyika katika kipindi cha mvua
                                               (supplementary irrigation) na hii ni katika maeneo ya
                                               Wilaya ya Bahi. Kulingana na mwinuko (topography)
                                               kilimo katika Wilaya za Mbulu, Babati na Kondoa
                                               hufanyika katika maeneo oevu (wetland) yanayopata
                                               maji kutoka Mto Bubu. Hivyo umwagiliaji katika mto
                                               Bubu hufanyika zaidi katika Wilaya ya Bahi. Katika
                                               miaka ya 1990, IFAD kupitia mradi wa ”Smallholder
                                               Development Programme in Marginal Areas ((SDPMA)”
                                               walijenga Miundombinu ya umwagiliaji, lakini bado
                                               uzalishaji ni mdogo usio na tija. Wizara ya Kilimo,
                                               Chakula na Ushirika kwa kushirikiana na OWM –
                                               TAMISEMI ilifanya semina elekezi tarehe 3 – 4 Januari,
                                               2007, mjini Babati iliyowahusisha Wakurugenzi
                                               Watendaji wa Halmashauri, Maafisa Kilimo wa Wilaya
                                               na Maafisa Kilimo umwagiliaji. Mada kuu zilizojadiliwa
                                               ni kama ifuatavyo:-
                                                       Kuendeleza kilimo cha umwagiliaji katika
                                                          programu ya ASDP.
                                                       Kuibua miradi ya umwagiliaji kwa kutumia
                                                          “National Irrigation Master Plan”.
                                                       Kuainisha upatikanaji wa fedha kutoka katika
                                                          Mfuko wa Kitaifa na Kiwilaya wa Uendelezaji




                                                  10
                                                         wa Umwagiliaji.

                                                Baada ya semina hii Halmashauri zimeweza kuibua
                                                miradi na kuwasilisha OWM – TAMISEMI na kisha
                                                kuombewa fedha za kuendeleza kilimo cha umwagiliaji.

                                                Katika ngazi ya Kitaifa, Wizara ya Kilimo Chakula na
                                                Ushirika ilipanga kutoa semina elekezi katika vituo vya
                                                kanda zote za umwagiliaji ambazo zitawajumuisha
                                                wajumbe watatu kutoka katika kila Wilaya. Wajumbe
                                                waliohusishwa ni Wakurugenzi Watendaji wa
                                                Halmashauri, Maafisa Kilimo wa Wilaya husika na
                                                Maafisa Kilimo Umwagiliaji. Semina hizo zilifanyika
                                                kuanzia tarehe 18/12/2006.
30.   Katika Bunge la Bajeti 2006/07 Serikali   Muswada wa marekebisho ya Sheria ya kuwaingiza
      itawasilisha Muswada wa marekebisho       Wabunge wa Viti Maalum kama Wajumbe wa Mabaraza
      ya Sheria ya Serikali za Mitaa ya         ya Halmashauri za Miji umepitishwa kwenye Bunge la
      mwaka 1982 ili kuwaingiza Wabunge         Novemba, 2006. Wabunge Viti Maalum ni Wajumbe wa
      wa Viti Maalumu kuwa Wajumbe wa           Mabaraza ya Halmashauri za Miji.
      Mabaraza ya Halmashauri za Miji.
31.   OWM –TAMISEMI itawasiliana na              Biashara ya Mabenki kwa sasa ni biashara huria na
      Wizara ya Fedha ili kuona uwezekano       hasa baada ya kubinafsisha NMB. Wilaya ya Simanjiro
      wa kuwapatia wananchi wa Simanjiro        haina huduma ya benki kwenye Makao Makuu yake -
      huduma ya Benki.                          Orkesmet. Mpaka sasa inapata huduma hizo kutoka
                                                benki ya NMB Clock Tower Mkoani Arusha. Benki ya
                                                CRDB inaanzisha kituo kwa ajili ya SACCOS kwa lengo
                                                la kuhudumia mikopo ya sh. bilioni moja kwa wananchi.
                                                Aidha SACCOS hiyo itaanzishwa mara baada ya
                                                kukamilika kwa Kituo cha Polisi ambacho ujenzi wake
                                                upo katika hatua za mwisho.
                                                  Hata hivyo, OWM-TAMISEMI imewasiliana na Wizara
                                                ya Fedha kwa barua Kumb.Na. CA.29/307/03 ya tarehe
                                                18/12/06 ili iweze kutoa mwongozo na masharti ya
                                                uanzishwaji wa huduma za kibenki. Mwongozo huo
                                                utasaidia hata wawekezaji katika sekta ya fedha kuona
                                                uwezekano wa kufungua Benki Simanjiro katika mji wa
                                                Orkesmet. Aidha wananchi wa mji wa Orkesmet
                                                wanashauriwa kutumia huduma za benki katika Wilaya
                                                ya Kibaya badala ya kwenda mjini Arusha ambako ni
                                                mbali.
32.   OWM – TAMISEMI itashirikiana na           Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko kwa
      Wizara ya Viwanda, Biashara na            kushirikiana na Shirika la Kazi Duniani (ILO) iliandaa
      Masoko na Bodi ya Biashara ya Nje ili     mafunzo ya kuwajengea uwezo wajasiriamali wenye
      kuona uwezekano wa Wanawake               ulemavu na wanawake mwishoni mwa mwezi Novemba,
      kushiriki Katika maonyesho ya             2006 jijini Dar es Salaam na Morogoro. Lengo la




                                                   11
      Kimataifa ili kupanua wigo wa masoko     mafunzo hayo ilikuwa kuwaandaa watu wenye ulemavu
      ya bidhaa zao.                           na wanawake kuzalisha bidhaa zenye ubora ili waweze
                                               kuhimili ushindani katika maonyesho ya kimataifa.
                                               OWM-TAMISEMI kwa kushirikiana na Wizara ya
                                               Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (WMJJW)
                                               ilihimiza Halmashauri zote kuwawezesha wanawake
                                               kushiriki katika Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara
                                               yaliyofanyika Dar es Salaam Julai, 2006 ili waweze
                                               kupanua soko la bidhaa zao pamoja na kujifunza kutoka
                                               kwa washiriki wengine.
                                               Pia OWM-TAMISEMI kwa kushirikiana na WMJJW na
                                               Mfuko wa Fursa sawa kwa Wote, wamekuwa
                                               wakiendesha mafunzo katika Mikoa ili kuwajengea
                                               uwezo wanawake katika shughuli za kibiashara.
                                               Aidha, katika kulitafutia ufumbuzi suala la wanawake
                                               kushiriki katika maonyesho ya kimataifa, OWM-
                                               TAMISEMI imewasiliana na Wizara ya Viwanda,
                                               Biashara na Masoko kwa barua Kumb.Na.
                                               HA.307/399/01 ya tarehe 18/12/06 kama Wizara
                                               inayohusika zaidi na suala hili iweze kulipa kipaumbele.
33.   Semina Elekezi itafanyika kwa            Semina Elekezi ya Viongozi wa Tawala za Mikoa
      Viongozi wa Mikoa na Wilaya ili          ilifanyika tarehe 22-26 Agosti, 2006, Ngurdoto, Arusha.
      kufanya   Utumishi  wa    Umma           Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano alitoa maelekezo
      uendeshwe kwa misingi ya Utawala         ya uendeshaji wa Serikali ya Awamu ya Nne na
      Bora.                                    kusisitiza ufanisi wa washiriki hao katika UONGOZI,
                                               UTAWALA na UENDESHAJI wa Serikali. Viongozi
                                               walitakiwa kuwa Wabunifu na kuwa Viongozi wa
                                               mabadiliko. Aidha, walitakiwa kutumia vizuri Raslimali
                                               zote kwenye maeneo ya Utawala na kuongoza kwa
                                               mujibu wa Katiba, Sheria, Kanuni na Taratibu. Washiriki
                                               walikuwa ni RCs, DCs, RASs na baadhi ya Mawaziri na
                                               Makatibu Wakuu.
34.   Katika mwaka 2006/2007 Serikali          Kazi ya kuhuisha Muundo wa Sekretarieti za Mikoa
      itaendelea kutekeleza programu ya        imefanyika. Taarifa ya awali imewasilishwa Ikulu kwa
      kukuza uwezo wa Sekretarieti za          ajili ya kupitiwa na Kikao cha Kazi cha Makatibu Wakuu
      Mikoa na kuhuisha muundo wa              wa Wizara.
      Sekretarieti za Mikoa.
35.   Serikali Kuu itaingia Mkataba wa         Halmashauri zote zimeingia Mkataba wa Rasilimali
      Kiutendaji na Serikali za Mitaa ili      Fedha na Serikali katika Mwaka wa Fedha 2006/2007.
      kuhakikisha     pande    zote    mbili   Kwa kipindi cha kuanzia Septemba, 2006 hadi sasa
      zinawajibika kisheria na zinatekeleza    Serikali Kuu inatekeleza majukumu yake katika Mkataba
      majukumu yake kwa mujibu wa Katiba,      kwa kutoa Ruzuku kwa Halmashauri kwa wakati na
      Sheria, Sera za Kitaifa, Kanuni na       Halmashauri zinatekeleza majukumu yake kwa
      Miongozo mbalimbali.                     kukusanya mapato yake kufuatana na Bajeti.
36.   Serikali katika mwaka 2006/2007          Mwaka 2006/2007 Serikali ilitambua miliki katika




                                                  12
itaendelea kutambua milki katika         maeneo yaliyojengwa kiholela katika Miji. Halmashauri
maeneo yaliyojengwa kiholela Katika      zimeelekezwa kutekeleza hilo. Kwa mfano, eneo la
miji nchini na kutoa leseni za makazi.   Chang‟ombe Manispaa ya Dodoma, Dar es Salaam –
                                         Manzese na maeneo ya Mwanza. Maeneo hayo
                                         yaliyojengwa kiholela yamehalalishwa na kutolewa
                                         leseni za makazi ili waweze kuombea mikopo. Kati ya
                                         nyumba 400,000 tayari nyumba 200,000 zimetambuliwa
                                         na nyumba 45,000 zimepata leseni katika jiji la Dar es
                                         Salaam. Kazi inaendelea.




                                            13
                    OFISI YA RAIS - MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA

NA                AHADI                                        UTEKELEZAJI
1.   Kuimarisha uwajibikaji wa watumishi   Ili kuimarisha uwajibikaji wa watumishi wa Umma,
     wa umma.                              Serikali imeweka mipango madhubuti ya kuhakikisha
                                           kwamba watumishi wa umma wanawajibika katika
                                           kufikia malengo na matarajio yaliyowekwa na taasisi zao
                                           kulingana     na     mipango       waliyojiwekea     na
                                           wanavyotarajiwa na Umma kwa ujumla.
                                           Baadhi ya mambo ambayo hadi sasa yanaendelea
                                           kutekelezwa kwa awamu na OR-MUU katika Wizara,
                                           Idara zinazojitegemea na Wakala za Serikali ili
                                           kukamilisha mipango hiyo ni pamoja na kuandaa:
                                           (i) Mikataba ya huduma kwa Wateja (CLIENT SERVICE
                                               CHARTERS),
                                           (ii) Kuendelea kuimarisha matumizi ya Mfumo wa
                                               Upimaji wa wazi wa utendaji kazi (OPRAS) na
                                           (iii) Uandaaji wa Mipango Mikakati (Strategic Plans) ya
                                                 Wizara, Idara zinazojitegemea na Wakala za
                                                 Serikali.
2.   Kuongeza watumishi wa Afya hasa       Ili kuongeza watumishi wa Afya, Serikali imefanya
     Madaktari bingwa.                     yafuatayo:-
                                             Imelegeza masharti ya ajira za watumishi wa afya
                                                  kwa kuwaajiri moja kwa moja wanapohitimu kutoka
                                                  vyuoni na kuwapanga katika vituo vya kazi mikoani
                                                  na wilayani.
                                             Serikali imekuwa ikiboresha mishahara ya
                                                  watumishi wa afya mwaka hadi mwaka.
3.   Kuboresha mishahara na maslahi ya     Katika mwaka wa fedha 2006/07 Serikali imeendelea
     watumishi wa Umma.                    kuboresha maslahi ya watumishi kwa kutekeleza Sera
                                           ya Muda wa Kati ya Malipo ya mishahara kwa kufanya
                                           yafuatayo:
                                             Kufanya utafiti wa viwango vya mishahara katika
                                                 sekta mbalimbali kwa lengo la kuainisha mishahara
                                                 ya Watumishi wa umma na sekta nyingine. Taarifa
                                                 ya utafiti huu itaisaidia serikali inapofanya maamuzi
                                                 ya nyongeza za mishahara ya mwaka.
                                             Tume ya kuboresha maslahi ya watumishi iliundwa
                                                 na imekamilisha kazi yake na mapendekezo
                                                 yameanza kufanyiwa kazi.
                                             Serikali imeendelea kuboresha mishahara ya
                                                 watumishi wake kwa kadiri ya ukuaji wa uchumi




                                              14
                                                 wake.
4.   Kutoa elimu endelevu kwa watumishi      Mafunzo kwa watumishi wa umma yanatolewa kwa
     wa Umma serikalini ili kuwavutia na     misingi ya kukuza vipaji, maarifa na ujuzi na
     kuwabakiza watumishi wenye sifa.        yanayohitajika kuboresha utendaji kazi, utaratibu
                                             endeleveu wa kupanga, kutekeleza na kusimamia
                                             mafunzo, umeandaliwa kupitia Sera ya Mafunzo katika
                                             Utumishi wa Umma ambayo ipo tayari katika hatua za
                                             mwisho kuidhinishwa kutumika.

                                             Mafunzo kwa viongozi 84 yametolewa, katika nyanja
                                             zifuatazo: uongozi, maadili na uwajibikaji, na huduma
                                             kwa wateja. Mafunzo ya huduma kwa wateja
                                             yametolewa kwa maafisa wa ngazi za juu wa jeshi la
                                             polisi.
     Udhibiti       wa           wahitimu    Ili kudhibiti wahitimu wanaosomeshwa na Serikali
5.
     wanaosomeshwa na Serikali ili           wasiende kufanya kazi nchi nyingine, Serikali inafanya
     wasiende kufanya kazi nchi nyingine.    yafuatayo:-

                                              Inaendelea kurekebisha mshahara wa watumishi wa
                                                   umma.
                                              Serikali inaendelea kuboresha mazingira ya kazi
                                                   ikiwa ni pamoja na vitendea kazi.
     Tatizo la watumishi wengi wa sehemu      Serikali kupitia TAMISEMI imeshafanya utafiti juu ya
6.
     za vijijini kukataa kwenda kwenye            tatizo hili.
     vituo vya kazi na wengine kuacha kazi    Hili ni moja ya mapendekezo ya Tume ya Rais ya
     kabisa kwa sababu ya mazingira               kuboresha maslahi ya watumishi wa umma.
     magumu.                                      Mapendekezo hayo yatajadiliwa na Serikali kwenye
                                                  kikao cha Baraza la Mawaziri tarehe 24/08/2007.
     Upandishaji   vyeo   watumishi    wa     Katika mwaka wa fedha 2006/2007 Serikali
7.
     umma.                                    iliwapandisha vyeo watumishi 9,414 ambapo Serikali
                                              ilitumia jumla ya Shs. 12.06 bilioni kwa ajili ya
                                              kugharamia ongezeko la mishahara yao. Aidha katika
                                              mwaka wa fedha 2007/2008 Serikali imetenga fedha
                                              kwa ajili ya kupandisha vyeo jumla ya watumishi
                                              85,267. Hii inajumuisha watumishi 25,597 toka Wizara
                                              na Idara zinazojitegemea, 1,127 toka Sekretarieti za
                                              mikoa na watumishi 58,544 toka Serikali za Mitaa
                                              ambapo 38,505 ni walimu waliokuwa wamelundikana
                                              katika cheo kimoja kwa muda mrefu.
     Kuandaa mkakati wa utekelezaji wa        Kazi hii imeendelea kufanywa hatua kwa hatua
8.
     sera ya mawasiliano ya serikali kwa         kupitia makala kwenye magazeti, vipindi vya
     umma na kutoa ufafanuzi wa masuala          Televisheni na Redio, semina za Wabunge na
     mbalimbali  ya     kiserikali   kwa         semina kwa watendaji wote wakuu wa wilaya zote za
     wananchi.                                   mikoa ya Manyara, Kigoma, Rukwa na Ruvuma.
                                                 Lengo la kutoa elimu hii ni kujenga uelewa kwa




                                                15
                                                  watendaji mbalimbali wa serikali ili waweze kuelewa
                                                  na kubadilika kiutendaji kuendana na mabadiliko ya
                                                  kiutendaji yanayoendelea serikalini chini ya
                                                  Programu ya Kuboresha Utumishi wa Umma. Aidha,
                                                  kujenga ufahamu kwa wananchi ili waweze kuelewa
                                                  maboresho ya kiutendaji serikalini na kuweza
                                                  kuyatumia katika kupata na kudai huduma bora toka
                                                  vyombo mbalimbali vya umma.
                                                 Mafunzo kuhusu matumizi ya Teknolojia ya Habari
                                                  na Mawasiliano yalitolewa kwa watumishi 150 kutoka
                                                  Wizara na Idara mbalimbali za Serikali.
                                                 Kwa kuanzia Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi
                                                  wa Umma ili iweze kuwafikia watanzania wote
                                                  kuwaelimisha kupitia Radio za Mikoani imeandaa
                                                  vipindi vya radio na Televisheni kwa ajili ya
                                                  kuelimisha watanzania wote. Vipindi hivyo ambavyo
                                                  tayari vimeanza kurushwa na Televisheni ya Taifa
                                                  (TVT) na Radio Tanzania Dar es Salaam vimelenga
                                                  kutoa elimu ya dhati kwa wananchi wote.
      Ikulu:
9.
      Kuandaa mkakati wa utekelezaji wa         Maafisa Mawasiliano 89 kutoka Wizara na Taasisi za
      Sera ya Mawasiliano ya Serikali kwa       Serikali walipatiwa mafunzo juu ya kuandaa mikakati ya
      Umma na kutoa ufafanuzi wa masuala        kuwasiliana na umma kwa kutumia vyombo mbalimbali
      mbali mbali ya kiserikali kwa wananchi.   vya habari.
10.   Kushughulikia rufaa za watumishi wa        Rufaa 110 za watumishi wa umma zilichambuliwa na
      umma zinazotolewa kwa Rais na kwa          uamuzi wa Rais au Katibu Mkuu Kiongozi kutolewa.
      Katibu Mkuu Kiongozi.                      Aidha, malalamiko 333 ya watumishi wa umma
                                                 yalichambuliwa na kutolewa uamuzi kwa maelekezo ya
                                                 Rais au Katibu Mkuu Kiongozi.
11.   Ikulu-Utawala Bora:                         Mkakati wa Awamu ya Pili wa Kupambana na
      Kuendelea kuratibu utekelezaji wa             Rushwa uliandaliwa na kuzinduliwa tarehe 10
      Mpango wa Awamu ya Pili wa Mkakati            Desemba, 2006.
      wa Kupambana na Rushwa ambao                Wafanyakazi 460 kutoka Wizara na Taasisi za
      katika     kipindi  hiki utahusisha           Umma walipatiwa mafunzo            kuhusu mkakati
      Halmashauri za Wilaya, Manispaa na            wa kuzuia rushwa na utawala bora.
      Majiji yote nchini.                         Wajumbe 200 wa Kamati za Uadilifu za Wizara na
                                                    Taasisi za Umma          walipatiwa mafunzo ya
                                                    utawala bora na majukumu wanayotakiwa kutekeleza
                                                    kama wajumbe wa kamati hizo.
12.   Kuhakiki na kufuatilia utekelezaji wa     Mfumo wa utoaji taarifa kila robo mwaka za rushwa
      Mpango wa Awamu ya Pili wa Mkakati        umeboreshwa kwa kuanzisha Kamati za Uadilifu
      wa Taifa dhidi ya Rushwa ili kwenda       (Integrity Committees) katika Wizara hadi ngazi ya
      sambamba na utekelezaji wa                Wilaya. Wajumbe wa Kamati hizi ni wa ngazi za
      programu zingine za Utawala Bora          ukurugenzi ambao huwajibika kwa kutoa taarifa kwa




                                                   16
      kama vile Maboresho katika Sekta ya       wakati.
      Umma, Maboresho katika Serikali za
      Mitaa na MKUKUTA.                         Mpango wa kuhuisha utekelezaji wa Mkakati wa Taifa
                                                Dhidi ya Rushwa kwenda sambamba na programu
                                                zingine za utawala bora unaendelea vyema. Kwa mfano
                                                malengo ya Mkakati wa kupambana na rushwa
                                                yamekwishaingizwa (Mainstreamed) katika taratibu za
                                                utekelezaji wa MKUKUTA na programu ya Maboresho
                                                katika Serikali za Mitaa.
13.   Siasa na Uhusiano wa Jamii:
      Kuendelea kuratibu masuala ya siasa       Masuala ya siasa na mahusiano ya jamii yameendelea
      na mahusiano ya jamii.                    kutafutiwa ufumbuzi na kumshauri Mh. Rais kwa kadri
                                                yalivyowasilishwa.
14.   Taasisi ya Kuzuia Rushwa:
      Kuendelea na uchunguzi wa tuhuma          Upelelezi wa majalada 2,304 pamoja na majalada 1,272
      2,304      zilizopo  na    zingine        yaliyofunguliwa na kupokelewa kuhusu tuhuma za
      zitakazopokelewa.                         vitendo vya rushwa uliendelea katika maeneo
                                                mbalimbali nchini ambapo jumla ya majalada 1,188
                                                yalishughulikiwa na kukamilika.
15.   Kuendelea na uendeshaji wa kesi 195       Jumla ya kesi za rushwa 268 ziliendeshwa mahakamani
      zilizopo mahakamani na nyingine           zikiwemo kesi mpya zilizofikishwa mahakamani. Kesi
      zitakazofunguliwa kipindi hicho.          50 zilitolewa uamuzi, kesi 25 watuhumiwa wake
                                                walihukumiwa vifungo, kesi 9 ziliondolewa mahakamani
                                                na kesi 16 watuhumiwa waliachiwa huru.
16.   Kuendelea kuelimisha, kufahamisha na       Jumla ya vipindi vya radio 21 vya uelimishaji
      kuhamasisha wananchi juu ya haki             wananchi kujiepusha na vitendo vya rushwa
      zao, madhara ya rushwa na jinsi ya           vimerushwa kupitia Radio Tanzania. Elimu kwa umma
      kupambana na kujiepusha na vitendo           juu ya kujiepusha na rushwa imetolewa kwa
      vya rushwa.                                  kuhudhuria semina za mialiko 10 zilizoandaliwa na
                                                   Wizara, Idara na Wakala wa Serikali.
                                                 Nakala 20,000 za jalada “uvuvi endelevu
                                                   unawezekana tukiepuka rushwa” zilisambazwa kwa
                                                   wananchi kwa lengo la kuwaelimisha kujiepusha na
                                                   vitendo vya rushwa na hivyo kuzuia uvuvi haramu.
                                                 Taasisi imeshiriki katika maonyesho ya Sabasaba,
                                                   Nanenane, Nenda kwa Usalama barabarani, Kilele
                                                   cha Mwenge (wiki ya vijana) kwa lengo la kutoa elimu
                                                   ya kuwaelimisha washiriki madhara ya kujihusisha na
                                                   vitendo vya rushwa.
                                                 Tathmini ya usikivu wa vipindi vya Radio “Rushwa
                                                   Adui wa Haki” kwa mikoa 12 kwa ajili ya kupata maoni
                                                   ya wananchi imefanyika. Uchambuzi wa utafiti huo
                                                   unaendelea.
17.   Kufanya tafiti 48 zitakazohusu sekta za   Tafiti mbili (2) zinazohusu ufuatiliaji wa malalamiko ya
      umma na binafsi. Lengo likiwa ni          utumiaji wa vipimo vya UKIMWI visivyokuwa na ubora




                                                   17
      kuongeza kasi ya kupambana na           na utafiti kuhusu huduma, ununuzi na usambazaji wa
      rushwa kwa kuziba mianya iliyobainika   dawa MSD zimekamilika. Aidha, tafiti zingine 12
      katika maeneo husika.                   zimekwishaanzishwa na utafiti unaendelea.
18.   Kukamilisha marekebisho ya Sheria ya    Sheria mpya ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa
      Kuzuia Rushwa Namba 16 ya mwaka         ilipitishwa na Bunge mwezi Aprili, 2007. Sheria hii
      1971.                                   mpya imeainisha makosa ya rushwa 24 kutoka makosa
                                              manne (4) katika Sheria Na. 16 ya mwaka 1971 ambayo
                                              sasa imefutwa.
19.   Mfuko wa Maendeleo ya Jamii
      (TASAF)
      Kushirikiana na jamii, Halmashauri na   Katika Awamu ya Kwanza TASAF ilifadhili miradi 33
      Ofisi ya Waziri Kiongozi kwa upande     Unguja (elimu 15, maji 9, afya 9) yenye thamani ya
      wa Unguja na Pemba ili kuhakikisha      shilingi 897,743,057.20 na kwa Pemba TASAF ilifadhili
      kuwa miradi ambayo haikukamilika        miradi 28 (elimu 4, maji 17, afya 3, barabara 3) yenye
      katika Awamu ya Kwanza ya TASAF         thamani ya shs. 709,730,928. Miradi hii yote ilikamilika
      inakamilishwa.                          kwa mujibu wa makubaliano baina ya TASAF na jamii
                                              ambazo zilikuwa zimeomba miradi hiyo.
                                              Aidha, kwa upande wa Tanzania Bara miradi 98 yenye
                                              thamani ya Shs. 867,336,601 ambayo haikukamilika,
                                              jamii katika maeneo husika imeshauriwa kuzingatia
                                              utaratibu kwa kuomba fedha ili kukamilisha miradi hiyo.
20.   Kujenga uwezo wa uelewa wa
                                              TASAF kwa kushirikiana na Halmashauri za Wilaya na
      wananchi kuhusu suala zima la
                                              Ofisi ya Waziri Kiongozi, imefanya semina kuhusu
      utekelezaji wa miradi kwa lengo la
                                              TASAF kwa vijiji, mitaa yote kwa Tanzania Bara, na vile
      kuwa na miradi endelevu na
                                              vile kwa Shehia zote Zanzibar ili kueleza kuhusu TASAF
      kuimarisha dhana ya umiliki wa jamii
                                              na taratibu zake. Elimu hii imetolewa kwa kuwahusisha
      na kuifanya jamii itambue kuwa miradi
                                              viongozi katika maeneo husika ili kupeleka ujumbe
      hiyo ni mali yao na kwa ajili ya
                                              sahihi kwa wananchi.
      maendeleo yao.
                                              Kamati ambazo zimeteuliwa na jamii kusimamia
                                              utekelezaji wa miradi hupatiwa mafunzo ili kuweza
                                              kuelewa taratibu zote zinazotakiwa kufuatwa zikiwemo
                                              utoaji wa taarifa, kutunza kumbukumbu za maendeleo
                                              ya mradi, kutunza vitabu vya fedha, vifaa, usimamizi na
                                              ufuatiliaji.
                                              Katika ngazi ya Halmashauri, watendaji wote ambao
                                              wanafanya kazi moja kwa moja na jamii katika
                                              utekelezaji wa mradi hupatiwa mafunzo kuhusiana na
                                              majukumu yao.
21.   Kufadhili jumla ya miradi 1800 nchi     Jumla ya miradi 1200 imeibuliwa na wananchi na
      nzima. Aina ya miradi inayotarajiwa     kuwasilishwa TASAF ili kupatiwa fedha. Kati ya miradi
      kutekelezwa ni pamoja na ujenzi wa      hiyo, miradi 541 yenye thamani ya Shs 12,453,251,186
      barabara,     madaraja,   madarasa,     imekubalika na kupelekewa kiasi hicho cha fedha. Hadi
      zahanati, nyumba za walimu na           kufikia mwishoni mwa mwaka huu, inakadiriwa kufikia




                                                 18
      waganga, visima vya maji, masoko,            lengo la kufadhili miradi 1800. Utaratibu wa kuidhinisha
      upandaji miti na miradi ya kuongeza          hadi kupata fedha za kutekeleza miradi ya TASAF ni
      kipato kwa watu wa makundi maalum.           kama ifuatavyo:-
                                                       Halmashauri zinatakiwa kutuma maombi ya fedha
                                                        TASAF yaliyoambatanishwa na mchanganuo wa
                                                        gharama za mradi.
                                                       TASAF makao makuu inakagua maombi
                                                        yaliyowasilishwa kama yamekamilika na yana
                                                        viambatanisho vyote vinavyohitajika kwa mujibu wa
                                                        miongozo.
                                                       Timu ya Wataalamu wa Sekta itakagua maombi
                                                        yote kuhakiki kuwa miradi inayoombewa imekidhi
                                                        viwango na vigezo vya sekta husika.
                                                       Kamati ya uendeshaji ya TASAF Taifa (NSC)
                                                        itaidhinisha fedha ili zitumwe kwenye Halmashauri
                                                        au miradi iliyopitishwa na Timu ya Wataalam wa
                                                        Sekta na TASAF makao makuu kwa ajili ya
                                                        utekelezaji wa miradi hiyo.
22.   MKURABITA
      Kufanya utafiti wa kina katika wilaya 26     Utafiti umefanyika katika wilaya 34 za Tanzania Bara na
      za Tanzania Bara na katika Visiwa vya        wilaya 9 za Tanzania Visiwani (Zanzibar na Pemba).
      Unguja na Pemba na kuandaa
      mapendekezo ya awali ya maboresho            Uandaaji wa maboresho ya sheria na kanuni zitumikazo
      ya sheria na kanuni zitumikazo katika        katika sekta isiyo rasmi unaendelea na mtaalam kutoka
      sekta isiyo rasmi ili ziwe sehemu            Peru ameshatoa mapendekezo ya maboresho.
      muhimu          za     mfumo       mpya
      unaokusudiwa. Aidha, mawasiliano na
      wadau yatafanyika ili kukamilisha
      rasimu za awali za maboresho.
23.   Kutoa mafunzo kwa wataalam wa                Zaidi ya wataalam arobaini na mbili (42) wameshapata
      Kitanzania ishirini (20) watakaohusika       mafunzo juu ya mchakato wa kutengeneza sheria kwa
      katika mchakato wa kutengeneza               ajili kuhakikisha umiliki na ushiriki wa Tanzania katika
      sheria ili kuhakikisha umiliki wa ushiriki   zoezi zima la mapendekezo ya maboresho.
      wa Tanzania katika kutengeneza
      sheria husika. Aidha, MKURABITA              Wafanyabiashara wadogo 388 kutoka vikundi
      itatoa mapendekezo ya marekebisho            mbalimbali wamepewa mafunzo ya ujasiriamali na
      yanayohitajika katika sheria za sasa za      utayarishaji wa vitabu vya mahesabu. Kutokana na
      umiliki mali ili ziunganishwe na kanuni      mafunzo haya vikundi 8 tayari vimeshasajiliwa na msajili
      za jamii zilizoboreshwa kupata mfumo         wa makampuni ili kuwa rasmi.
      mpya unaokusudiwa.
                                                   Mafunzo elekezi juu ya mchakato wa urasilimishaji mali
                                                   na biashara yalitolewa kwa wataalamu wazalendo 42
                                                   ambao kwa kushirikiana na INSTITUTE OF LIBERTY




                                                       19
                                                AND DEMOCRACY wamefanya utafiti na uchambuzi
                                                wa nyaraka na taarifa mbalimbali zilizotumika
                                                kutayarisha mapendekezo ya maboresho ya awali.
24.   Kukamilisha mipango ya utekelezaji wa
      shughuli ambazo zinaweza kwenda
      sambamba        na    maandalizi   ya
      maboresho kwa nia ya kuendeleza
      nguvu na msukumo wa watanzania
      uliotokana na Taarifa ya Utafiti kama
      ifuatavyo:-
      a) Kuandaa na kutekeleza mkakati          Maandalizi ya mkakati mahsusi wa mawasiliano na
            wa mawasiliano ili kuhakikisha      mpango wa utekelezaji yameanza na yanategemewa
            kuwa maboresho yaliyochaguliwa      kukamilika ifikapo mwishoni mwa mwezi Oktoba, 2007.
            yanamfikia mlengwa.

      b)   Kukamilisha utaratibu wa mkataba     Mkataba umeshatengenezwa na kutiwa saini na pande
           na Taasisi ya Takwimu ya Taifa ili   zote mbili. Kazi imeshaanza rasmi na kwamba mshauri
           kufanya utafiti wa msingi wa sekta   mwelekezi yuko katika hatua ya kutengeneza hojaji
           isiyo rasmi kwa Zanzibar na Dar      (questionnaires).
           es Salaam. Aidha, utafiti huu
           unalenga kusaidia katika kuratibu
           ukuaji wa sekta isiyo rasmi.
25.   Kukamilisha dhana ya MKURABITA            Kabrasha limeshasambazwa kwa walengwa kwa ajili ya
      (Program Concept Document) ili            kupata maoni yao. Maoni hayo yatajadiliwa kwenye
      litumike kwa ajili ya kuandaa             warsha maalum itakayoshirikisha wadau wa
      utekelezaji wa awamu zinazofuatia.        MKURABITA kabla haijapelekwa serikalini kwa
                                                kuidhinishwa. Mchakato wote ulikamilika mwezi Machi,
                                                2007.
26.   Kutengeneza miongozo na taratibu          Taratibu za kutengeneza kitabu cha rejea cha watoa
      ambazo zitawapa uwezo walengwa na         huduma (service providers directory) zimeshaanza ili
      watekelezaji kwa kushiriki kikamilifu     kuwezesha walengwa kupata huduma kwa wakati
      katika suala zima la urasimishaji.        unaofaa na kwa bei inayofaa.

      (a) Kuwawezesha walengwa ambao            Upimaji wa ardhi ya vijiji na utoaji wa hati kwa kulingana
          kwa       sasa      wameshaanza       na mahitaji ya sheria ya ardhi ya vijiji ya mwaka 1995
          mchakato       wa      kurasimisha    unaendelea katika vijiji 7 vya wilaya ya Handeni. Hati za
          rasilimali na biashara zao            vijiji hivyo saba zimeshatolewa na sasa ugawaji wa ardhi
          kukamilisha urasimishaji na           kwa wanakijiji (land parceling) unaendelea. Vijiji hivyo ni;
          kuanza kutumia rasilimali na          Kweisasu; Mzeri; Bongi; Kwamkono; Mbuyuni; Nkale;
          biashara zao kupata mikopo na         Sindeni.
          fursa nyingine katika soko rasmi.

      (b) Kushirikiana na Wizara ya Ardhi       Upimaji wa mashamba ya “Lungufu Farmers Group”
          na Maendeleo ya Makazi kuandaa        mkoani Kigoma umekamilika na hati za umiliki kwa ajili
          utaratibu wa muda (Temporary          ya watu 25 zinasubiri sahihi ya Kamishna wa Ardhi. Kazi




                                                   20
          arrangements) za kutoa hati za         hii imefanywa kwa kuwashirikisha Wizara ya Ardhi na
          kumiliki ardhi kimila kwa kasi zaidi   Maendeleo ya Makazi.
          kuliko ilivyo sasa.
                                                 Kwa kushirikiana na “WAT Human Settlement” upimaji
                                                 wa makazi ya Hananasifu katika Manispaa ya Kinondoni
                                                 unaendelea vyema. Kazi hii imeanza tarehe 27
                                                 Septemba, 2006.

                                                 Uandaaji wa miongozo na taratibu ambazo zitawapa
                                                 walengwa na watekelezaji uwezo wa kushiriki kikamilifu
                                                 katika suala zima la Urasimishaji umeanza. Miongozo hii
                                                 ni pamoja na kitabu cha Rejea cha watoa Huduma za
                                                 Kibiashara na kitabu cha Kiongozi cha Urasimishaji
                                                 Ardhi kwa mujibu wa Sheria.

                                                 Mawasiliano na mabenki yanaendelea ili kuona
                                                 uwezekano wa benki kupunguza masharti hasa kwa
                                                 wafanyabiashara wadogo na wa kati. Benki
                                                 zinazohusika ni; Benki ya Akiba, CRDB, NBC na
                                                 Eurafrican. Vile vile, Benki Kuu inahusishwa katika
                                                 majadiliano haya.

                                                 Jumla ya hati za vijiji saba wilayani Handeni zimetolewa.
                                                 Tunaendelea na taratibu za kupima kwa ajili ya
                                                 wanakijiji. Zoezi hili litahamia Bagamoyo.

                                                 Kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na
                                                 Maendeleo ya Makazi, TAMISEMI, MKURABITA
                                                 imefanya upimaji wa ardhi ya vijiji na utoaji wa hati
                                                 kulingana na mahitaji ya Sheria ya Ardhi ya Vijiji, Na. 5
                                                 ya mwaka 1999, katika vijiji saba (7) vya Wilaya ya
                                                 Handeni. Hati za vijiji hivyo saba (7) zimeshatolewa na
                                                 kazi inayoendelea ni upimaji wa mashamba katika vijiji
                                                 hivyo. Aidha, upimaji wa mashamba ya “Lungufu
                                                 Farmers Group” mkoani Kigoma na makazi ya
                                                 Hananasif Wilayani Kinondoni kwa utaratibu huo huo wa
                                                 kushirikisha mamlaka nyingine umekamilika na hati za
                                                 umiliki zinaandaliwa.
27.   Taasisi ya Kuzuia Rushwa
      Kuimarisha Ofisi sita za Kanda kwa
      kuziongezea watumishi na vitendea          Kibali cha kuajiri watumishi wapya kimeshatolewa na
      kazi ili kuboresha huduma zake kwa         watumishi hao wanapatiwa mafunzo kabla ya
      Viongozi na wananchi kwa ujumla.           kupangiwa vituo vya kazi katika kanda hizo.




                                                    21
28.   Kuhakiki mali za baadhi ya viongozi       Jumla ya viongozi 3,317 walikuwa wametoa Tamko la
      walizozitaja katika tamko la Rasilimali   Mali na Madeni yao kati ya 6,415 ambao walikuwa
      na madeni kwa madhumuni ya                wametumiwa fomu.Utaratibu wa            kufuatilia fomu
      kuhakikisha kuwa mali zilizotajwa         zilizobaki unaendelea. Aidha, uhakiki wa kina wa mali au
      katika tamko ndizo walizonazo. Aidha,     rasilimali za Viongozi wa Umma 195 wa kada mbali
      ulinganisho utafanywa kati ya mali        mbali nchini kote umefanywa.
      zilizotajwa kwenye tamko na maelezo
      ya kipato ya viongozi husika.
29.   Kuandaa mfumo wa Benki ya Takwimu         Hadidu za rejea kwa ajili ya kuandaa mfumo wa Benki
      (Data Bank) ya mali za Viongozi wa        ya Takwimu (Data Bank) ya Viongozi wa Umma na mali
      Umma kwa ajili ya kurahisisha rejea       zao ili kurahisisha rejea na uwekaji kumbukumbu sahihi
      na uwekaji kumbukumbu wa mali hizo        ya viongozi na mali zimeandaliwa. Kazi hii imekamilika.
      na taratibu za viongozi kwa usahihi.
30.   Kuandaa, kuchapisha na kusambaza          Rasimu ya awali ya kanuni za Maadili ya Viongozi wa
      kanuni za Maadili ya Viongozi wa          Umma kwa lugha nyepesi imeandaliwa na Sekretarieti
      Umma kwa lugha nyepesi ili viongozi       ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Aidha, machapisho
      wa wananchi waweze kuelewa kanuni         mbali mbali kama vile Kalenda kwa mwaka 2007 na
      hizo kwa urahisi.                         vipeperushi yamechapishwa na kusambazwa kwa
                                                wadau mbali mbali. Vile vile Sekretarieti ya Maadili ya
                                                Viongozi wa Umma imeshiriki kwenye maonyesho ya
                                                Nane Nane, Wiki ya Utumishi wa Umma na Uandaaji wa
                                                Awamu ya Pili ya Utekelezaji wa Mkakati wa Taifa dhidi
                                                ya Rushwa.
31.   Kupitia Sheria ya Maadili ya Viongozi     Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeandaa
      wa Umma ya mwaka 1995 na Sheria           Hadidu za Rejea kwa lengo la kupitia upya vipengere
      ndogo zilizotungwa chini ya sheria hiyo   katika Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Namba
      na      kupendekeza       marekebisho     13 ya 1995 pamoja na Kanuni/Sheria Ndogo
      yanayohitajika.                           zilizotungwa chini ya Sheria hiyo. Lengo ni kupata
                                                mtaalam wa nje au ndani kufanya mapitio hayo na kutoa
                                                mapendekezo yanayohitajika. Aidha, Sekretarieti ya
                                                Maadili ya Viongozi wa Umma inawasiliana na
                                                Menejimenti ya Utumishi wa Umma ili kupata msaada
                                                wa fedha kutoka "Performance Improvement Fund
                                                (PIF)" kulipia gharama ya mtaalam atakayefanya kazi
                                                hiyo.
32.   Kuchunguza kwa haraka malalamiko           Utaratibu umeboreshwa katika kufanya uchunguzi kwa
      ya ukiukaji wa maadili ya viongozi         haraka na kwa ufanisi mkubwa dhidi ya malalamiko ya
      yatakayowasilishwa na wananchi             ukiukaji wa maadili ya viongozi. Uchunguzi wa awali wa
      kwenye Sekretarieti ya Maadili ya          malalamiko 156 yaliyowasilishwa na wananchi dhidi ya
      Viongozi wa Umma.                          viongozi wa umma waliotuhumiwa kukiuka maadili ya
                                                 viongozi ulifanywa.
33.   Kutoa elimu ya Maadili kwa Viongozi       Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma
      wa wananchi kwa njia ya Redio,            imekamilisha taratibu za kurusha matangazo kwa njia ya
      Semina na machapisho mbalimbali           redio kupitia Redio Tanzania kwa mikoa ya Lindi,
      kwa lengo la kukuza maadili mema na       Mtwara na Ruvuma. Jumla ya vipindi vya redio 52




                                                   22
      utawala bora nchini.                     vimeandaliwa na kulipiwa kwa ajili ya kurushwa hewani.
                                               Aidha, Sekretarieti inakamilisha uandaaji wa vipindi vya
                                               redio 44 kupitia Radio Free Afrika na Radio Maria. Vile
                                               vile ratiba ya kuendesha semina/warsha imeandaliwa
                                               kwa Viongozi wa Umma hususan Madiwani, Watendaji
                                               Wakuu wa Halmashauri za Wilaya, Miji, Manispaa,
                                               Wilaya na Mikoa.          Vivyo hivyo, maandalizi ya
                                               machapisho mbalimbali kwa lengo la kukuza maadili
                                               mema na utawala bora miongoni mwa viongozi wa
                                               umma yamefanywa.
34.   Kuwapatia     watumishi    25    wa      Mpango na ratiba ya mafunzo kwa watumishi 25 wa
      Sekretarieti mafunzo mbalimbali kwa      Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa lengo
      lengo la kuboresha utendaji wao wa       la kuboresha utendaji kazi imeandaliwa na utekelezaji
      kazi.                                    wake unaendelea. Aidha Sekretarieti ya Maadili ya
                                               Viongozi wa Umma imepata nyongeza ya fedha kutoka
                                               "Perfomance Improvement Fund" kwa ajili ya mafunzo
                                               ya watumishi wake.
35.   Kusimamia uendeshaji wa Mfuko            Kuhusu uendeshaji wa Mfuko (Facility for Ethics,
      (Facility) utakaoanzishwa chini ya       Accountability and Transparency – FEAT) Sekretarieti
      mradi wa kuimarisha uwajibikaji, uwazi   ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeshakamilisha
      na uadilifu katika utendaji wa umma      ufunguaji wa Akaunti Maalum kwa ajili ya Mfuko,
      (Accountability Transparency and         imeandaa na kutangaza ajira ya Meneja wa Mfuko.
      Integrity Program – ATIP).               (Component Manager), Tenda ya ujenzi wa Ofisi ya
                                               Muda kwa ajili ya Mfuko. Aidha Sekretarieti ya Maadili
                                               ya Viongozi wa Umma kwa kushirikiana na Maafisa wa
                                               Benki ya Dunia hapa nchini inakamilisha kanuni na
                                               taratibu za kuzindua na kuendesha Mfuko huu.




                                                  23
                                   OFISI YA MAKAMU WA RAIS

NA                   AHADI                                          UTEKELEZAJI
1.   Kuanzisha mfumo wa mawasiliano           Mawasiliano mbalimbali na wadau wa Muungano
     ambao      utatumika     katika tafiti   yamefanyika ili kukusanya taarifa mbalimbali ambazo
     mbalimbali zitakazohusu Mambo ya         zitatumika katika tafiti zitakazohusu mambo ya
     Muungano na kutoa mapendekezo            Muungano. Aidha, taarifa hizo zimejumuishwa katika
     kwa Serikali zetu mbili kwa lengo la     Rasimu ya Mkakati wa Kuondoa Kero za Muungano na
     kuondoa matatizo mbalimbali ya           Kudumisha Ushirikiano Kati ya Serikali ya Jamhuri ya
     Muungano           yaliyopo       na     Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi
     yatakayojitokeza.                        Zanzibar.
2.   Kuhifadhi taarifa na kumbukumbu          Taarifa mbalimbali za Muungano zimekusanywa,
     mbalimbali za Muungano katika            kuchambuliwa        na kuingizwa katika mfumo wa
     Maktaba ya Kielektroniki (Electronic     kielektroniki. Aidha, kazi ya kutengeneza „‟Electronic
     Library) ambapo wadau wa Muungano        Library‟‟ haijakamilika kutokana na ukosefu wa vifaa,
     watakuwa na haki ya kupata taarifa       ufinyu wa         Ofisi na ukosefu wa wataalamu.
     sahihi za Muungano wetu.                 Inategemewa kuwa kazi hii itakamilika baada ya
                                              kuhamia katika jengo jipya pamoja na kupata vifaa na
                                              wataalamu.
3.   Kuboresha utoaji huduma na kuongeza      Watumishi 6 wameongezewa uwezo wa utendaji kazi
     tija kwa Watumishi kwa kutoa mafunzo     kwa kupata mafunzo ya muda mfupi nje na ndani ya
     kwa Watumishi wa Idara ya Muungano       nchi . Aidha, ziara zilifanyika katika nchi za Uingereza,
     ikiwa ni pamoja na kufanya ziara za      Ujerumani, Canada na Norway ili kupata Uzoefu wa
     mafunzo katika Nchi zenye Muungano.      namna bora ya kushughulikia masuala ya Muungano na
                                              kuongeza ushirikiano kati ya Serikali zetu.
4.   Kuandaa na kuhudhuria vikao angalau      Vikao 14 vya ushirikiano vilivyoshirikisha wadau
     viwili kwa mwaka vya uratibu wa          mbalimbali wa Wizara, Idara, Taasisi na Asasi za SMT
     mambo ya Muunagano kwa kila              na SMZ vilifanyika Zanzibar na Tanzania Bara. Taarifa
     Wizara, Idara na Asasi za Muungano       za vikao hivi zimekusanywa na zimesaidia katika
     na zile ambazo si za Muunagano ili       kuandaa Rasimu ya Mkakati wa Kuondoa Kero za
     kuongeza ufanisi zaidi kwa Serikali      Muungano na Kudumisha Ushirikiano Kati ya Serikali ya
     zetu mbili.                              Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya
                                              Zanzibar na kufuatilia utekelezaji wake. Aidha, vikao
                                              hivyo vimesaidia pia kuongeza ushirikiano wa kisekta
                                              baina ya pande mbili za Muungano.
5.   Kuchukua hatua za makusudi za            Ofisi iliandaa nakala 12,000 za vipeperushi na
     kuielimisha jamii kuhusu Muungano        kuvisambaza kwa wadau wa Muungano Tanzania Bara
     wetu kupitia Vijarida, Redio, Luninga,   na Tanzania Zanzibar.
     Tovuti, Semina na Makongamano.
                                              Vipindi 18 vya masuala ya Muungano vilirushwa hewani
                                              kupitia Redio Tumaini, Redio Mlimani, Redio Uhuru na
                                              Redio Tanzania pamoja na Sauti ya Tanzania Zanzibar.
                                              Shirika la Habari la Uingereza na Sauti ya Ujerumani
                                              walirusha hewani mahojiano na Waziri wa Nchi, Ofisi ya
                                              Makamu wa Rais - Muungano. Aidha,kulifanyika




                                                 24
                                             mahojiano ya moja kwa moja na Waziri wa Nchi Ofisi ya
                                             Makamu wa Rais – Muungano kupitia TVT na TVZ.
                                             Ukusanyaji wa taarifa za Masuala ya Muungano kwa ajili
                                             ya kuanzisha ukurasa wa masuala ya Muungano katika
                                             tovuti ya Ofisi umekamilika. Hivi sasa wataalamu wa
                                             Ofisi wanaendelea na kazi ya kuunganisha taarifa hizo
                                             katika tovuti ya Taifa. Aidha, baadhi ya taarifa hizo
                                             zimetolewa kama makala katika magazeti.
                                             Ofisi iliandaa kongamano la Wanafunzi wa vyuo vikuu
                                             Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar likiwa na lengo la
                                             kuelimisha jamii juu ya masuala ya Muungano na
                                             umuhimu wake. Ofisi pia ilishiriki katika maonyesho ya
                                             wiki ya Utumishi wa Umma kuanzia tarehe 17-23 Juni,
                                             2007 ambapo wananchi walipata fursa ya kuelimishwa
                                             juu ya majukumu ya Ofisi ya Makamu wa Rais
                                             Muungano ikiwa ni pamoja na masuala ya Muungano na
                                             yasiyo ya Muungano. Katika maonyesho hayo, Ofisi
                                             ilitoa Elimu kwa wananchi kuhusu Historia ya Muungano
                                             hususan kuelezea matukio mbalimbali yaliyojiri katika
                                             wiki ya Muungano. Aidha masuala ya kodi za Muungano
                                             yalitolewa ufafanuzi kwa wananchi kwa undani katika
                                             wiki hiyo.
6.   Kuadhimisha siku ya kuanzishwa kwa
     Muungano wetu kwa kushiriki             Ofisi imeshiriki katika kutafuta wafadhili wa mashindano
     kikamilifu katika maandalizi na         ya Kombe la Muungano la Mufindi ambayo yalikutanisha
     kuhudhuria sherehe za Muungano          timu mbalimbali za Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar
     ikiwa ni pamoja na kufuatilia matukio   yaliyofanyika mwezi Machi – Aprili 2007. Aidha, ushiriki
     mbalimbali yatokanayo na sherehe        ulifanywa katika maandalizi na maadhimisho ya siku ya
     hizo.                                   Muungano iliyoadhimishwa tarehe 26 Aprili, 2007 katika
                                             uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ikiwa ni pamoja
                                             kufuatilia matukio mbalimbali.
7.   Kuratibu, kufuatilia na kutathimini     Taarifa za utekelezaji wa masuala ya Muungano na
     utekelezaji wa mambo ya Muungano        yasiyo ya Muungano za kila robo mwaka ziliandaliwa na
     ikiwa ni pamoja na miradi ya            kuwasilishwa katika Vikao vya Menejimenti ya Ofisi ya
     Muungano na kutoa mapendekezo           Makamu wa Rais.
     kwa Serikali zetu mbili.
                                             Utekelezaji wa miradi kwa pande zote za Muungano. Hii
                                             ni miradi mbalimbali ya maendeleo yenye sura ya Kitaifa
                                             kama vile Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF),
                                             SELF, MACEMP n.k ili kuweza kuweka uwiano mzuri wa
                                             maendeleo ya kiuchumi.
8.   Kuondoa kero za Muungano kwa            Ofisi ya Makamu wa Rais imeandaa na kushiriki vikao
     kuandaa na kushiriki vikao vya Waziri   vya; Mhe. Waziri Mkuu na Mhe. Waziri Kiongozi
     Mkuu na Waziri Kiongozi angalau mara    Novemba, 2006; Vikao vitano vya Mawaziri wa sekta
     tatu (3) kwa mwaka wa fedha             za Muungano SMT na Mhe. Waziri Mkuu; na Vikao




                                                25
2006/2007 ambavyo vitatanguliwa na    vitatu vya Makatibu Wakuu wa Sekta za Muungano
vikao vya Wataalam na Mawaziri wa     SMT. Maamuzi yaliyofikiwa na kutekelezwa:-
Sekta husika.
                                        (i)  Kwamba suala la Haki za Binadamu ni la Kikatiba
                                             na ni la Kimataifa. Sheria ya Tume ya Haki za
                                             Binadamu na Utawala Bora,Na. 7 ya mwaka 2001
                                             imeshafanyiwa marekebisho na inatumika pande
                                             zote za Muungano.
                                        (ii) Marekebisho ya Sheria ya Mamlaka ya Kusimamia
                                             Uvuvi katika Ukanda wa Bahari Kuu, ya mwaka
                                             1998, yamepitishwa na Bunge la Jamhuri ya
                                             Muungano wa Tanzania mwanzoni mwa Februari,
                                             2007.
                                             Aidha, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Kiongozi na
                                             Katibu Mkuu, Wizara inayoshughulikia masuala ya
                                             Kikosi Maaalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM)
                                             wamejumuishwa katika Kamati ya Utendaji ya
                                             Mamlaka ya Uvuvi Katika Ukanda wa Bahari Kuu.

                                        (iii) Ofisi imeratibu ujumuishwaji wa Zanzibar katika
                                              Miradi ya Kikanda inayotekelezwa katika Jumuiya
                                              ya Afrika ya Mashariki kama vile:-

                                                   (a) Mradi wa „East Africa Power Master Plan‟
                                                       ambapo Zanzibar imeunganishwa katika
                                                       Gridi ya Taifa ambayo itaunganishwa na
                                                       Gridi za wanachama wengine;
                                                   (b) Mradi wa kuimarisha Bandari ya Zanzibar;
                                                   (c) Mkakati wa Maendeleo wa Afrika Mashariki
                                                       kwa kipindi cha mwaka 2006/2010;
                                                   (d) Mpango endelevu wa kuendeleza Bandari
                                                       za Afrika Mashariki.

                                     (iv)     Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta na Gesi:
                                              Wizara husika kwa kushirikiana na TPDC
                                              zimeandaa hadidu za rejea ambazo zitatumiwa na
                                              Mshauri Mwelekezi atakayezishauri Serikali zetu
                                              juu ya njia bora ya kugawana mapato
                                              yatakayotokana na mafuta. Kwa hivi sasa hatua za
                                              kumpata Mshauri Mwelekezi zinaendelea kwa
                                              kufuata taratibu za manunuzi za Serikali.

                                      (v) Utekelezaji wa Sheria ya „Merchant Shipping Act‟ ya
                                          2003 katika Jamhuri ya Muungano na uwezo wa
                                          Zanzibar kujiunga na „IMO‟ imeonekana bayana




                                              26
    kwamba,

     Uanachama wa IMO ni wa Kitaifa ambapo
     Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndio
     mwanachama. Wizara husika ziliunda Kamati
     iliyojumuisha wajumbe toka pande zote za
     Muungano kuchambua maeneo ambayo Zanzibar
     itafaidika na ushauri uliotolewa na kamati hiyo
     umeanza kutekelezwa kama ifuatavyo:-
       Kanuni nane(8) za „Merchant Shipping Act‟,
          2003 tayari zimeshapelekwa Wizara ya
          Mawasiliano na Uchukuzi ya Serikali ya
          Mapinduzi Zanzibar ili zioanishwe na kanuni za
          „Zanzibar Maritime Transport Act, 2006‟ kwa
          lengo la kuleta usimamizi usiokinzana katika
          masuala ya uchukuzi majini.

       Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na
        Uchukuzi, SMZ amepatiwa „access code‟ ili
        aweze kuona nyaraka mbalimbali katika
        mtandao wa IMO. Masuala mengine
        yaliyopendekezwa yanaendelea kufanyiwa
        kazi.

(v) Katika kuboresha shughuli za kifedha za Muungano,
    Serikali imeandaa Mkakati wa Pamoja wa Misaada
    Tanzania (JAST) ambao umejumuisha wajumbe wa
    pande mbili za Muungano kwa lengo la kuhakikisha
    kwamba miradi ya Tanzania Zanzibar inajumuishwa.

(vi) Upatikanaji na ugawaji wa misaada na mikopo
     toka nje: Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
     imeendelea kupata gawio la asilimia 4.5 kutokana
     na misaada na misamaha ya madeni isiyokuwa na
     masharti pamoja na faida ya Benki Kuu ya
     Tanzania. Mwaka wa fedha 2006/07 Serikali ya
     Mapinduzi ya Zanzibar imepata kiasi cha TShs.
     23,020,440,000/=. Gawio hilo huongezeka au
     kupungua kulingana na misaada, misamaha ya
     madeni na faida ya Benki kuu ya Tanzania.

(vii) Suala la wafanyabiashara wa Zanzibar kutozwa
      kodi mara mbili: Mtandao wa ASYCUDA++
      umeshaanzishwa na kufanya kazi Zanzibar kuanzia
      mwezi Juni, 2006 ambao utaondosha ulipishwaji wa




   27
                                                      kodi mara mbili. Mtandao huu unamtaka muingizaji
                                                      bidhaa kutoa tamko la gharama za bidhaa
                                                      anazoingiza nchini.

                                                  (viii) Tume ya Pamoja ya Fedha imefanya tathmini na
                                                         kukamilisha taarifa ya mapendekezo juu ya vigezo
                                                         vya kugawana mapato na kuchangia gharama za
                                                         Muungano. Aidha, tayari Serikali imeandaa Waraka
                                                         wa Baraza la Mawaziri kwa utekelezaji zaidi.
9.    MAZINGIRA                                    Maandalizi ya Kanuni, Miongozo, Viwango vya
      Kuandaa kanuni, miongozo, viwango            Mazingira na Taratibu mbalimbali yameendelea
      vya mazingira na taratibu zilizobaki ili     kufanywa.
      kuiwezesha Sheria ya Usimamizi wa             Kanuni kuhusu kupiga marufuku matumizi ya baadhi
      Mazingira ya mwaka 2004 kutekelezwa              ya mifuko ya plastiki “The Environmental
      kikamilifu.                                      Management        (Prohibition   of   Manufacturing,
                                                       Importation, Selling, Buying and Use of Plastic Bags)
                                                       Regulations, 2006” imeandaliwa na kuanza kutumika.

                                                   Maandalizi ya Kanuni nyingine nne yanaendelea
                                                      ambazo ni:
                                                     (i) „Strategic Environmental Assessment (SEA)‟;
                                                     (ii) „Ozone Depleting Substances‟ (ODS);
                                                     (iii) „Environmental Quality Standards‟ (EQS);
                                                     (iv) „Fees and Charges Payable under the Atc‟.
10.   Kukamilisha Programu ya kujenga             Rasimu ya Programu ya utekelezaji iko katika hatua za
      uwezo wa wadau kuielewa na                  mwisho kukamilika. Ripoti ya awali ya utekelezaji wa
      kuitekeleza kikamilifu Sheria ya            Programu hii imeandaliwa.
      Usimamizi wa Mazingira.
11.   Kukamilisha zoezi la uteuzi wa              Wizara nne zimeteua Waratibu wa Mazingira wa Sekta.
      Waratibu wa Mazingira wa Sekta na           Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana; Wizara
      Maafisa Mazingira katika ngazi              ya Mambo ya Ndani; Wizara ya Kilimo, Chakula na
      mbalimbali za Serikali za Mitaa.            Ushirika; na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. Juhudi
                                                  zinaendelea kuzihamasisha sekta nyingine ziweze
                                                  kufanya hivyo.
12.   Kufuatilia utekelezaji wa uzalishaji bora   Viwanda 12 vinaendelea kutekeleza mbinu mbalimbali
      viwandani (Cleaner Production) katika       za uzalishaji bora zilizobuniwa na viwanda hivyo wakati
      viwanda vinavyotekeleza Programu ya         wa utekelezaji wa Awamu ya kwanza ya Programu ya
      Hifadhi ya Mazingira ya Ziwa Victoria.      Hifadhi ya Ziwa Victoria.
13.   Kuanza utekelezaji wa Programu ya           Maandalizi ya utekelezaji programu hii ikiwemo
      Bonde la Ziwa Tanganyika.                   upatikanaji wa ofisi, na uajiri wa wataalamu
                                                  yamekamilika. Kikao cha kwanza cha Mawaziri wa
                                                  Mazingira wa nchi husika na programu kimefanyika.
14.   Kuendelea na utekelezaji wa Programu        Programu ya Usimamizi wa Hifadhi ya Mazingira na
      ya Hifadhi ya Mazingira na Maliasili        Maliasili inatekelezwa kwa kushirikiana na Serikali ya
      (Environmental and Natural Resources        Marekani kupitia Shirika la Maendeleo la USAID.




                                                     28
      Progamme)                                Awamu ya Kwanza iliyoanza 1997 ilimalizika 30
                                               Septemba, 2005. Kabla ya kuanza awamu ya pili,
                                               palikuwepo na mwaka mmoja wa „No cost extension‟ ili
                                               kumalizia shughuli zilizokuwa hazijamalizika. Awamu ya
                                               pili ilianza rasmi tarehe 1 Novemba, 2006; na itamalizika
                                               mwaka 2014. Ofisi ya Makamu wa Rais inaendelea
                                               kuratibu programu hiyo.
15.   Kuendesha warsha za mafunzo kwa          Warsha ya mafunzo kwa wataalamu wa sekta
      wataalamu wa Sekta mbalimbali,           mbalimbali, Mahakama na Serikali za Mitaa kuhusu
      Mahakama na Serikali za Mitaa            Sera na Sheria ya Usimamizi wa Mazingira katika
      kuhusu Sera na Sheria ya Usimamizi       kutekeleza programu ya Usimamizi wa Hifadhi ya
      wa Mazingira katika kutekeleza           Mazingira na Maliasili ilifanyika Juni, 2007.
      Programu ya Usimamizi wa Mazingira
      na Maliasili.
16.   Kufanya maboresho na maandalizi ya       Maandalizi ya programu ya pamoja kwa ajili ya hifadhi
      utekelezaji wa Programu ya Hifadhi ya    ya Nyanda za juu Kusini yameanza chini ya ufadhili wa
      Mazingira ya Bonde la Ziwa Nyasa.        Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF) kupitia UNDP.
17.   Kuendelea kuratibu kitaifa Programu      Kazi ya kuratibu inaendelea chini ya Ofisi ya Makamu
      ya Hifadhi ya Mazingira ya Bonde la      wa Rais.
      Mto Nile.
18.   Kuendesha warsha itakayojadili athari    Warsha ilifanyika tarehe 17-18 Oktoba, 2006 kwa
      za sera za maendeleo kwa mazingira,      kushirikisha walimu 20 kutoka katika shule 10, za
      mafunzo kwa walimu wa shule kumi za      sekondari za Bwiru, Lake, Nganza, Karagwe, Bukoba,
      sekondari katika mikoa ya kanda ya       Rugambwa, St. Pius, Nansio, Maswa, na Shinyanga.
      ziwa kuhusu teknolojia ya habari na
      mawasiliano kwenye elimu ya
      mazingira chini ya Programu ya Hifadhi
      ya Bonde la Mto Nile.
19.   Kuendesha warsha kwa Wabunge             Warsha ilifanyika huko Entebbe Nchini Uganda tarehe
      kuhusu programu na changamoto            17 – 20 Julai, 2006. Bunge liliwakilishwa na Mhe. J. M.
      zinazolikabili Bonde la Mto Nile.        Shibuda (Mb) na Mhe. Kidawa Salehe (Mb).
20.   Kubuni miradi zaidi kutoka 9 ya sasa     Miradi 20 inatekelezwa kwa gharama ya dola za
      hadi 22 na kutekeleza miradi 10 ya       Kimarekani 452,233. Hadi sasa kiasi cha dola za
      sekondari.                               Kimarekani 238,669 zimetumika.
21.   Kuendesha mashindano ya insha,           Tangazo la shindano la mwaka 2006/07 limetolewa na
      uchoraji na upigaji picha kuhusu         kusambazwa kwenye shule mbalimbali kanda ya ziwa.
      hifadhi ya mazingira.
22    Kuendesha mafunzo na mikutano ya         Mikutano na       warsha    katika   ngazi    mbalimbali
      wadau kuhusu Programu ya Hifadhi ya      zimefanyika.
      Mazingira ya Bonde la Mto Nile.
23.   Kutekeleza awamu ya pili ya mradi        Maandalizi ya awamu ya pili ya mradi yamekamilika na
      kuhusu       matumizi      salama   ya   utekelezaji wake umeanza.
      biotekinolojia ya kisasa katika
      kutekeleza Itifaki ya Cartagena.




                                                  29
24.   Kuendesha mafunzo kwa sekta               Mafunzo juu ya upashanaji habari kuhusu matumizi
      mbalimbali na kutoa vifaa vya maabara     salama ya biotekinolojia ya kisasa yaliyoshirikisha
      kwa ajili ya utafiti. Kutambua bidhaa,    washiriki 21 kutoka Wizara mbalimbali yalifanyika kati ya
      mazao na viumbe ambavyo vilifanyiwa       tarehe 12 – 16 Septemba, 2006.
      mabadiliko ya kijenetiki na kufuatilia
      athari zinazoweza kusababishwa na
      matumizi ya biotekinolojia ya kisasa.
25.   Kuandaa kanuni kuhusu matumizi            Kanuni zitaandaliwa wakati wa utekelezaji wa awamu ya
      salama ya biotekinolojia ya kisasa na     pili ya mradi kuhusu matumizi salama ya biotekinolijia ya
      kuendelea kutoa elimu, kukuza weledi      kisasa. Utekelezaji wa awamu ya pili ya mradi huu
      kwa sekta mbalimbali na umma              unatarajiwa kuanza katika mwaka wa faedha 2007/08.
      kuhusu muundo na mwongozo.
26.   Kukamilsiha ukarabati wa Jengo la         Ukarabati wa jengo umefikia asilimia 95.
      Kituo cha Uzalishaji Bora na Hifadhi ya
      Mazingira Tanzania (CPCT).
27.   Kuanda na kuendesha semina ya             Kazi hii haikufanyika kutokana na kukosekana kwa
      kitaifa kuhusu mafanikio ya utekelezaji   fedha.
      wa mbinu ya za ulishaji bora.
28.   Kufanya tathmini ya uzalishaji bora na    Tathmini ya uzalishaji bora ilifanyika katika viwanda
      matumizi ya nishati kwenye viwanda        viwili (Karibu Textile Mills (KTM) cha Dar es salaam na
      mbalimbali vinavyohitaji huduma hiyo.     China Paper Cooperation cha mjini Moshi. Aidha
                                                Mpango wa ustaarifu wa mazingira kwa ajili ya Kiwanda
                                                cha KTM ulitayarishwa na kuridhiwa na Baraza la
                                                Mazingira kwa ajili ya kutekelezwa na KTM.
29.   Kuendesha semina na warsha za             Semina kuhusu uzalishaji bora kwa wadau mbalimbali
      kukuza ufahamu wa dhana           ya      wa Manispaa ya Tanga ilifanyika na kuhudhuriwa na
      uzalisahji bora na matumizi endelevu      wenye viwanda na sekta isiyo rasmi. Aidha Semina ya
      kwa wadau mbalimbali.                     kukuza uelewa juu ya dhana ya uzalishaji bora ilifanyika
                                                Dodoma, walengwa wakiwa; Wakurugenzi wa
                                                Manispaa, Waratibu wa programu za Miji endelevu,
                                                Waratibu wa vikundi kazi na Maafisa Mipango Miji katika
                                                Manispaa zote nchini.
30.   Kuandaa mkutano wa kimataifa              Semina ilifanyika Arusha ikijumuisha washiriki kutoka
      kuhusu uzalishaji wa matumizi             nchi zaidi ya 30 za mabara ya Afrika, Asia, Marekani,
      endelevu,  utakaofanyika    mwezi         Mashariki ya kati, Ulaya na Urusi. Washiriki walikuwa
      Desemba 2006 Jijini Arusha.               130 wa ngazi za juu za uongozi Serikalini, Bunge,
                                                Taasisi zisizo za kiserikali, waandishi wa habari na
                                                Asasi za kiraia.
31.   Kukuza weledi kwa umma kuhusu             Semina ya wadau kuhusu ukanda wa Ozoni ilifanyika
      ukanda wa Ozoni na mbinu za kudhibiti     siku ya ozoni duniani tarehe 16 Septemba, 2006.
      madhara yake kwa kuhusisha vyombo
      vya habari kama redio, runinga na
      magazeti.
32.   Kutoa mafunzo kwa mafundi mchundo         Mafundi mchundo 43 kutoka Tanga, Arusha, Zanzibar,
      wa majokofu na viyoyozi kuhusu aina       Tabora, Kagera, Mara, Shinyanga, Mwanza na Dar es




                                                   30
      ya gesi mbadala zinazoweza kutumika       salaam walihudhuria mafunzo.
      nchini na njia bora za kuhudumia
      viyoyozi na majokofu.
33.   Kutoa mafunzo kwa maofisa forodha         Mafunzo yamefanyika mwezi Machi, 2007.
      kuhusu mbinu za kutambua gesi
      zinazoingizwa nchini kwa ajili ya
      matumizi ya majokofu na viyoyozi na
      udhibiti wa uingizaji wa gesi
      zinazoharibu ukanda wa hewa ya
      Ozoni.
34.   Kukamilisha kanuni za kusimamia           Kanuni za kusimamia uingizaji na matumizi ya gesi
      uingizaji na matumizi ya gesi             zinazoharibu ukanda wa Ozoni          zinaendelea
      zinazoharibu ukanda wa Ozoni.             kuandaliwa.

35.   Kuandaa miradi na kutafuta wafadhili      Pendekezo la mradi kuhusu “Capacity Building For
      kuhusu maeneo ya kipaumbele ya            Environmentally Sound Management of Polychlorinated
      usimamizi wa kemikali zinazodumu          Biphenyls (Pcbs) And Equipment Containing Pcbs”
      katika mazingira.                         limeandaliwa.
36.   Kukamilisha taratibu za kuridhia          Kikao cha sita cha Bunge Januari /Februari 2007
      Mkataba wa kuundwa Kituo cha Afrika       kiliridhia Mkataba wa kuundwa kwa Kituo cha Kanda
      cha Usimamizi wa Taka za sumu na          cha Afrika cha kutolea mafunzo na kusambaza
      nyinginezo.                               teknolojia juu ya usimamizi wa taka za sumu.
37.   Kuandaa mkakati wa upatikanaji wa         Mkakati wa upatikanaji wa fedha unaendelea
      fedha kwa ajili ya shughuli za            kuandaliwa ili kuwasilishwa ngazi za juu Serikalini kwa
      usimamizi wa taka za sumu.                maamuzi.
38.   Kuandaa mapendekezo ya miradi na          Mapendekezo ya miradi yameandaliwa kuhusu Mpango
      kuiwasilisha kwa wahisani.                wa Taifa wa Usimamizi wa Kemikali zinazodumu katika
                                                Mazingira.
39.   Kuendesha warsha ya mafunzo               Kazi hii haikufanyika kutokana na ukosefu wa fedha
      kuhusu usimamizi wa taka zenye sumu       katika kipindi husika.
      kwa maofisa wa Idara na taasisi za
      Serikali.
40.   Kuendesha semina ya kuhamasisha           Kazi hii haikufanyika kutokana na ukosefu wa fedha
      viongozi wa juu serikalini kuhusiana na   katika kipindi husika.
      majukumu yao katika usimamizi wa
      taka zenye sumu.
41.   Kupiga marufuku uingizaji, uuzaji,        Kanuni za kupiga marufuku mifuko ya plastiki
      ununuzi na matumizi ya mifuko ya          zimetolewa kwenye Gazeti la Serikali (Government
      plastiki laini yenye unene chini ya       Notice No. 137) la tarehe 6/ 10/ 2006. Aidha, Ofisi
      microns 30 (au milimita 0.03) na ile ya   iliweza kutoa taarifa kwa vyombo vya habari “Press
      kufungia maji ya matunda, ya unene        Release” mwezi Septemba, 2006.
      wa microns 65 (au milimita 0.065)
      ifikapo Oktoba 2006.                      Katika usimamizi wa utekelezaji wa kanuni hii, Baraza la
                                                Taifa la Hifadhi ya Mazingira limefanya yafuatayo:-
                                                 Limetoa Matangazo mbalimbali katika magazeti




                                                   31
                                                     pamoja na kuendesha vipindi maalum vya
                                                     mahojiano katika redio na televisheni vikiwa na nia
                                                     ya kuelimisha wananchi juu ya athari za kiafya na
                                                     mazingira zinazotokana na taka za plastiki na
                                                     sababu zilizosababisha aina ya bidhaa za plastiki
                                                     zilizotajwa kupigwa marufuku.

                                                  Kuainisha aina zipi za plastiki laini zilizopigwa
                                                   marufuku.

                                                  Kuchukua hatua za sampuli za mifuko mbali mbali
                                                   ya plastiki inayozalishwa hapa nchini na
                                                   inayoingizwa toka nje ya nchi na kuipeleka Shirika la
                                                   Viwango la Taifa (TBS) ili kubaini unene wake ili
                                                   kujua ni ipi inayokidhi matakwa ya sheria na ni ipi
                                                   isiyokidhi matakwa hayo na hivyo kupigwa
                                                   marufuku.

                                                  Umefanyika utafiti katika jiji la Dar es Salaam
                                                   kubaini athari za kiuchumi na kijamii zinazotokana
                                                   na hatua hiyo ya serikali ya kupiga marufuku bidhaa
                                                   ya aina hizi za plastiki, na ripoti yake imewasilishwa
                                                   serikalini.

                                                     Ukaguzi wa kushitukiza kwa wazalishaji,
                                                     wasambazaji na wauzaji wadogo wadogo ulifanywa
                                                     katika jiji la Dar es Salaam. Baraza liligundua
                                                     kwamba baadhi ya wazalishaji walikuwa bado
                                                     wanaendelea na uzalishaji wa mifuko iliyopigwa
                                                     marufuku na katika maduka na sehemu za masoko
                                                     mifuko hiyo ilikuwa bado ikitumika. Kufuatia hali hiyo
                                                     Baraza lilitoa siku saba (7) kusitisha uzalishaji na
                                                     matumizi ya mifuko hiyo.

                                                  Baraza liliitisha mkutano wa wadau wote uliofanyika
                                                     tarehe 10 – 11 Mei, 2007 kujadili hatima ya zoezi hili
                                                     na kupata maoni ya wadau.
42.   Kuongeza kodi kwa zaidi ya asilimia        Serikali imeongeza kodi (Excise Duty) ya asilimia 120
      mia moja kwenye mifuko ya plastiki         katika mifuko ya aina hii ya plastiki.
      aina nyingine ya Rambo yenye
      microns 30 (milimita 0.003) na zaidi ili
      kuhamasisha uingizaji wa mifuko
      mbadala kama vile vikapu vya asili na
      mifuko ya nguo na karatasi.




                                                     32
43.   Kukamilisha utekelezaji wa Mradi wa      Mafunzo ya kuimarisha uwezo katika masuala ya kupiga
      Kuimarisha Uwezo wa Serikali katika      vita kuenea kwa Hali ya Jangwa na Ukame kwenye
      Kupambana na Kuenea kwa Hali ya          miradi mbalimbali katika ngazi za wilaya yaliendeshwa.
      Jangwa na Ukame kwa kuendesha            Mafunzo haya yaliwahusisha Maafisa Mipango (W) na
      mafunzo kwa wadau mbalimbali kwa         Maafisa Maliasili (W) pamoja na vyama visivyokuwa vya
      kushirikiana na JET.                     kiserikali vya JET, EPMS na TANGO. Maafisa Mipango
                                               walipewa pia mafunzo ya ukusanyaji na utunzaji wa
                                               kumbukumbu zinazohusu hali ya kuenea kwa jangwa na
                                               ukame. Wilaya zilizohusika katika mafunzo na kupewa
                                               msaada wa kompyuta ni: Singida, Manyoni, Iramba,
                                               Magu, Kwimba, Misungwi, Kishapu na Meatu. Aidha,
                                               JET wameandaa Mwongozo wa Mtandao wa Wadau
                                               wanaoshughulika na kupiga vita kuenea kwa hali ya
                                               jangwa na ukame.
44.   Kusaidia miradi midogo midogo ya         Miradi 12 imefadhiliwa chini ya mfuko wa msaada kwa
      vikundi vya jamii inayolenga kuhifadhi   ajili ya miradi ya Mazingira na Kuondoa Umasikini.
      mazingira na kupambana na umaskini       Mfuko huu uko chini ya mradi wa kujenga uwezo na
      kupitia utekelezaji wa Mikataba ya       kupunguza umasikini kupitia utekelezaji wa mikataba ya
      Kimataifa ya Mazingira.                  mazingira (UNCCD, UNFCCC na CBD).

                                               Awali katika awamu ya kwanza miradi 2 ilifadhiliwa na
                                               katika awamu ya pili ya mwisho, miradi 10 imefadhiliwa.
                                               Miradi yote 12 inagharimu jumla ya dola za Kimarekani
                                               150,000.
45.   Kufuatilia upatikanaji wa fedha kutoka   Tanzania imetengewa jumla ya dola za Marekani milioni
      GEF kwa ajili ya kufadhili miradi        12.8 katika kutekeleza miradi mbalimbali ya kuhifadhi
      iliyokwisha wasilishwa na mipya          Bioanuai kwa kipindi cha miaka minne ijayo (2007 –
      itakayoandaliwa.                         2010) na US$ 4.8 milioni zimetengwa kwa Tanzania
                                               katika kutekeleza miradi ya Mabadiliko ya Tabianchi kwa
                                               kipindi cha miaka minne ijayo (2007 – 2010).
46.   Kuandaa taarifa ya mwaka ya              Taarifa ya mwaka ya utekelezaji wa shughuli za “Global
      utekelezaji wa shughuli za Mfuko wa      Enviromental Fund (GEF)” imeandaliwa.
      Mazingira wa Dunia (GEF) nchini.
47.   Kuratibu utekezaji wa masuala ya         Programu ya kujenga uwezo wa wadau wa mazingira
      mazingira katika MKUKUTA pamoja na       kutekeleza Sheria ya Mazingira imeandaliwa. Programu
      programu ya kujenga uwezo wa wadau       hii ni ya miaka 5. Tayari DANIDA wamekubali kufadhili
      wa mazingira, na kutekeleza Sheria ya    na utekelezaji utaanza 2007/2008.
      Usimamizi wa Mazingira.
48.   Kuratibu mashindano ya Tuzo za Rais      Rasimu ya Mwongozo wa Tuzo ya Rais Kuhifadhi
      kuhusu ubora wa Uhifadhi wa              Vyanzo vya Maji, Kupanda na Kutunza Miti imendaliwa
      Mazingira, Tuzo ya Rais ya Kupanda       na iko katika mchakato wa kuwasilishwa ngazi za juu
      na Kutunza Miti, na Kuhifadhi Vyanzo     Serikalini kwa hatua za maamuzi.
      vya Maji.
49.   Kuelimisha wananchi umuhimu wa           Uelimishaji umeendelea kupitia Mkakati wa Kuhifadhi
      Kampeni ya upandaji miti inayokidhi      Mazingira ya Ardhi na Vyanzo vya Maji, ambapo kila




                                                  33
      mahitaji ya wananchi katika maeneo       Wilaya inatakiwa ipande na kutunza miti isiyopungua
      mbalimbali.                              milioni moja na laki tano kwa mwaka.
50.   Kufuatilia utekelezaji wa Mkakati wa     Kazi zifuatazo zimefanyika:-
      Kuhifadhi Mazingira ya Ardhi na          Kuchapisha na kusambaza vijitabu vya Mkakati;
      Vyanzo vya Maji kwenye sekta             Kutembelea na kuhamasisha utekelezaji wa Mkakati
      mbalimbali.                              katika sekta na mikoa 9; Kuandaa na kuwasilisha Hati
                                               ya Taarifa ya utekelezaji wa Mkakati kwa ajili ya Baraza
                                               la Mawaziri.
51.   Kuboresha Mpango wa Taifa wa Utafiti     Baraza limetembelea Wilaya kumi za Tanzania Bara ili
      wa Masuala ya Mazingira (National        kukusanya maoni ya wadau kuhusu matatizo ya
      Environmental Research Agenda) kwa       Mazingira. Wilaya hizo ni Ilala na Kinondoni (Dar-es
      kupata maoni ya wadau katika ngazi       Salaam), Mikindani (Mtwara), Kondoa (Dodoma),
      ya wilaya na vijiji kuhusu mikataba ya   Sumbawanga vijijini (Rukwa), Uyui (Tabora), Makete
      mazingira, ambayo serikali imeridhia     (Iringa), Mwanza mjini (Mwanza), Ngara (Kagera) na
      na matatizo sugu ya mazingira nchini.    Simanjiro (Manyara).

                                               Watafiti wa Baraza kwa kushirikiana na watendaji wa
                                               Wilaya walitembelea vijiji 3 kila Wilaya na kujadili
                                               matatizo yanayohusiana na mazingira na ambayo
                                               yanahitaji kupewa kipaumbele katika utafiti. Taarifa za
                                               ziara hizo pamoja na maoni yaliyopatikana kufuatia
                                               Mkutano na wadau uliofanyika Januari 2007, vilitumika
                                               kuboresha rasimu ya mpango wa utafiti wa mazingira.
                                               Rasimu hiyo iko katika hatua za mwisho za marekebisho
                                               tayari kwa kuchapishwa na kusambazwa kwa wadau
                                               kwa ajili ya utekelezaji.
52.   Kufanya utafiti wa kina wa ikolojia      Watafiti wa Baraza wametembelea Wilaya ya Mbinga,
      katika safu za milima ya Livingstone,    ambayo imo katika safu ya Milima ya Livingstone na
      mikoa ya Mbeya, Iringa na Ruvuma.        kukusanya maoni ya awali. Mbinga iliteuliwa kwa vile
                                               idadi kubwa ya wananchi wake wanafaidika na mfumo
                                               wa kiikolojia wa Milima hiyo. Katika ziara hii Baraza
                                               lilifanya tathmini ya awali (recoinnaisance survey) na
                                               kuzungumza na watendaji wa Wilaya na Vijiji ambavyo
                                               vitahusishwa kwenye tathmini hiyo.
                                               Tathmini kamilifu ilitarajiwa kuanza mwezi Desemba
                                               2006, ila kutokana na fedha kuchelewa kupatikana utafiti
                                               umeanza Juni, 2007 (kipindi cha mvua) na awamu ya
                                               pili itafanyika mwezi Oktoba (kipindi cha kiangazi).
                                               Tathmini hii itatumia mfumo unaojulikana kama
                                               “Millenium Ecosystems Assessment Framework”.
                                               Mfumo huo umejaribiwa kidunia na kupendekezwa
                                               utumike kote duniani kwa kuwa umedhihirisha uhusiano
                                               baina ya binaadamu na mazingira yake.




                                                  34
53.   Kufanya mapitio ya taarifa 55 za          Mapitio ya taarifa 15 za Tathmini ya Athari kwa
      Tathmini ya Athari kwa Mazingira na       Mazingira na kutoa ushauri wa kuziboresha
      kutoa ushauri.                            yamefanyika. Taarifa 30 zimepokelewa na zinafanyiwa
                                                kazi katika hatua mbalimbali.
54.   Kupitia taarifa za ukaguzi wa mazingira   Taarifa 5 za Ukaguzi (Environmental Audit Reports)
      (Environmental Audit Reports) na          zimepitiwa na ushauri wa kuboresha mazingira
      kutoa ushauri wa kuboresha mazingira      umetolewa. Miradi hiyo ni ile ya IPTL na Placer Dome –
      wakati wa utekelezaji wa miradi.          North Mara Gold Mine.
55.   Kupitia fomu za usajili wa miradi,        Fomu za usajili wa awali wa miradi kwa ajili ya TAM
      taarifa za awali na hadidu za rejea       (Preliminary EIA Registration Forms) za miradi 20
      (Registration, Preliminary Impact         zimepitiwa. Ripoti za awali za TAM (Scoping Reports)
      Assessement Reports and Terms of          na Hadidu za Rejea za kufanya TAM (Terms of
      Reference) na taarifa za Mipango ya       Reference for conducting EIA) za miradi 10 zilipitiwa na
      Usimamizi wa Mazingira na maswala         kuboreshwa.
      ya jamii (Environmental and Social
      Management Plans)                         Taarifa 2 za Mipango ya Usimamizi wa Mazingira na
                                                masuala ya Jamii (Environmental and Social
                                                Management Plans) zilipitiwa na ushauri wa
                                                kuboreshwa kutolewa. Taarifa hizo ni “TANESCO
                                                Emergency Power Project” na “Sumaria Consumer
                                                Products”.
56.   Kuandaa kwa kushirikiana na sekta         Baraza lilishirikiana na sekta 2 ili kutoa miongozo ya
      mbali mbali na Serikali za Mitaa          TAM. Sekta za Maji (Wizara ya Maji) na Nishati
      Miongozo ya Tathmini ya Athari            (TANESCO Emergency Power Projects). Mafunzo ya
      kwenye Mazingira (TAM) ya kisekta na      Tathmini ya Athari kwenye Mazingira (TAM) yalitolewa
      ile ya kutumika wakati wa kufanya         kwa watendaji wa Wilaya ya Mbarali mwezi wa
      uchambuzi        wa   maswala     ya      Novemba 2006.
      kuzingatiwa wakati wa kutekeleza
      miradi ya jamii.
57.   Kuhamasisha Wilaya za Magu,               Kazi imeanza kwa hatua mbalimbali kwa fedha za
      Musoma, Geita na Bunda kuendelea          ufadhili kupitia mradi wa LVEMP. Magu (Simiyu)
      kutekeleza mikakati ya kuhifadhi          makabrasha yameandaliwa,            lakini utekelezaji
      maeneo ya ardhi oevu.                     haujaanza, Musoma (Bwawa la Kitaji), Bunda (Mto
                                                Rubana) na Geita (Mto Mabubi), zote zimekamilisha
                                                maandalizi zinasubiri kupata fedha ili utekelezaji
                                                uendelee.
58.   Kuendelea kutekeleza mipango ya           Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira
      uwiano ya kuhifadhi maeneo ya pwani       kwa kupitia programu yake ya hifadhi na usimamizi
      katika wilaya za Kilwa, Lindi, Mtwara     kamilifu wa mazingira ya pwani (TCMP), limeweza
      na Tanga                                  kuwasaidia wakazi wa pwani katika kuyalinda na
                                                kuyahifadhi maeneo tete ya pwani na kuboresha
                                                shughuli za kiuchumi katika wilaya za Pangani (Tanga),
                                                Bagamoyo, Mkuranga, Mafia na Rufiji (Pwani) na Kilwa
                                                (Lindi).




                                                   35
59.   Kutoa Tuzo za hifadhi ya mazingira na     Maandalizi kwa ajili ya utoaji Tuzo ya Rais kuhusu ubora
      ushiriki katika Siku ya Mazingira         wa uhifadhi mazingira katika uchimbaji madini
      Duniani.                                  yameanza. Ofisi ya Makamu wa Rais imeshiriki katika
                                                maadhimisho ya Siku ya Mazingira kitaifa yaliyofanyika
                                                Singida.
60.   Kukamilisha miongozo itakayotumika        Maandalizi ya kutengeneza kitini (Manual) yameanza
      katika kutambua maeneo tete (special      kwa kuendesha warsha ya kitaifa ya wadau ili
      or critical sites) na kukusanya taarifa   kutambua, kujadili na kuunda miongozo itakayotumika
      za awali kwa lengo la kuandaa             katika usimamizi wa maeneo tete nchini (special or
      viashiria kwa ajili ya uperembaji.        critical sites).
61.   Kufanya ukaguzi wa miji na viwanda ili    Baraza liliendelea kufanya ukaguzi wa viwanda mbali
      kudhibiti uchafuzi wa Mazingira.          mbali hapa nchini hasa katika jiji la Dar es Salaam
                                                kubaini hali halisi ya uchafuzi wa mazingira unaotokana
                                                na viwanda hivyo na kutoa ushauri wa kitaalam jinsi ya
                                                kuondokana na uchafuzi huo. Pia viwanda kadhaa
                                                katika miji ya Mwanza, Bukoba, Tanga, Morogoro na
                                                Arusha vilikaguliwa na kupewa maagizo ya kufanya ili
                                                kuondosha uchafuzi unaolalamikiwa, kuwaathiri wakazi
                                                wa maeneo ya viwanda.

                                                Aidha, Baraza limeandaa miongozo ya ukaguzi wa
                                                mazingira (Environmental Monitoring Tools) na
                                                mwongozo wa ukaguzi wa maeneo mbalimbali (Site
                                                Specific Inspection Procedures) itakayotumika kama
                                                nyenzo kwa Maafisa Wakaguzi wa Mazingira
                                                (Environmental Inspectors) watakapokuwa wakifanya
                                                kazi zao kote nchini.

                                                Vile vile Baraza limeandaa Mwongozo wa Kitaifa wa
                                                Uchunguzi wa Mazingira (National Investigation Manual
                                                and National Prosecution Procedure) ili kuweza kufanya
                                                ukaguzi inavyostahili na kuwafikisha mahakamani wale
                                                watakaobainika wanavunja vipengele mbalimbali
                                                vilivyomo katika sheria ya usimamizi wa Mazingira ya
                                                mwaka 2004.

                                                Pia Baraza linafanya utafiti wa kutengeneza modeli ya
                                                utekelezaji (Compliance and Enforcement Model)
                                                itakayotumiwa katika kudhibiti utupaji wa maji taka toka
                                                viwandani na wadau wengine wanaozalisha maji taka
                                                kwa wingi hapa nchini. Modeli hii itakapokamilika
                                                itasaidia sana katika kuwafanya wenye viwanda na
                                                wakaguzi wa Mazingira kusisitiza utupaji wa maji taka
                                                katika njia inayofaa na isiyochafua mazingira.




                                                   36
62.   Kuandaa miongozo ya namna ya              Baraza lilitoa elimu kwa umma kupitia Radio na
      kuendeleza elimu ya mazingira kwenye      Televisheni, vipeperushi na vijarida. Aidha, Baraza
      taasisi za elimu na wanahabari kwa        limetoa elimu ya mazingira kwa wadau mbalimbali
      kuimarisha huduma ya mawasiliano,         kupitia maktaba na makala katika vyombo vya habari,
      maktaba na tovuti.                        warsha, mtandao wa tovuti, makongamano na mikutano.
                                                Baraza pia lilishirikiana na Wizara ya Elimu katika
                                                kuandaa vitini vitakavyotumika kuendeleza elimu ya
                                                mazingira kwenye shule za msingi.
63.   Kuendesha        warsha,       semina,    Makala       mbalimbali     zimechapishwa      vikiwemo
      kushindanisha shule na vikundi            vipeperushi 8,000, vijarida 5,000, Kalenda 3,000, Fulana
      mbalimbali,    kuchapisha      makala,    2,000, Kofia 1000 na kuvisambaza kwa wadau
      vipeperushi, majarida na kalenda ili      mbalimbali. Baraza linaandaa mtandao wa upashanaji
      kukuza uelewa juu ya hifadhi ya           habari za mazingira (Central Environment Information
      mazingira na maendeleo endelevu.          Systems).
64.   Kujenga uwezo wa kupanua ajira ili        Ofisi ya Makamu wa Rais ilipeleka mapendekezo Ofisi
      kuweza kukabiliana na majukumu ya         ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma ya
      utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi wa     kuongeza sehemu za Idara ya Mazingira ili kuweza
      Mazingira.                                kukabiliana na majukumu ya utekelezaji wa Sheria ya
                                                Mazingira. Aidha, ofisi imeandaa ikama, sambamba na
                                                mapendekezo hayo ili kukidhi hoja hiyo.
65.   Kukamilisha ujenzi wa jengo la Ofisi ya   Ujenzi wa jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais Mtaa wa
      Makamu wa Rais lililopo Mtaa wa           Lithuli Plot No.10, Dar es Salaam unaendelea na
      Luthuli Plot No.10 ifikapo September      umefikia asilimia 85. Jengo halitakamilika kama
      2006                                      ilivyotarajiwa kutokana na mabadiliko ya gharama
                                                zilizosababishwa na kuanza ujenzi wa jengo lingine la
                                                mbele. Ujenzi unatarajiwa kukamilika 2008.
66.   Kuanza ujenzi wa jengo la Makazi ya       Hati miliki ya kiwanja imepatikana, Michoro na utafiti wa
      Makamu wa Rais huko Tunguu-               Udongo tayari umefanyiwa kazi. Ujenzi unatarajiwa
      Zanzibar.                                 kuanza katika mwaka wa fedha, 2007/2008.
67.   Kuratibu, kusimamia na kushughulikia      Jumla ya watumishi 30 wameajiriwa, 25
      masuala yote ya watumishi kuhusu          wamepandishwa vyeo na 43 wamehudhuria mafunzo.
      ajira, maslahi, nidhamu, upandishwaji     Aidha vikao 2 vya Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya
      vyeo na haki za wafanyakazi.              Makamu wa Rais viliandaliwa na kujadili masuala
                                                mbalimbali yahusuyo watumishi na utendaji kazi.
68.   Kuendeleza mapambano dhidi ya             Warsha tatu za mapambano dhidi ya UKIMWI
      ugonjwa hatari wa UKIMWI.                 zimefanyika katika vipindi tofauti vya mwaka 2006/2007.
69.   Kuhakikisha utunzaji mzuri wa             Vifaa vyote vya Ofisi vimeorodheshwa katika vitabu vya
      rasilimali na nyaraka za Serikali na      kumbukumbu na kuwekewa namba. Lengo ni kuvitunza
      kuhakikisha malengo yaliyopangwa na       na kuvihifadhi kwa mujibu wa kanuni na sheria za nchi.
      Ofisi katika vipindi vya mwaka
      yanazingatiwa.
70.   Kuhakikisha kuwa wafanyakazi wa           Ofisi imewawezesha Watumishi 54 kushiriki
      Ofisi ya Makamu wa Rais wanakuwa          mazoezi/Michezo na ilikuwa kati ya timu zilizoshiriki
      na afya bora na ushirikiano mzuri kati    mashindano ya Mwezi Septemba, 2006 Tanga.
      yao na Wizara nyingine kupitia




                                                   37
      michezo.                                Aidha, watumishi wameshiriki kikamilifu katika
                                              mabonanza ya kila mwisho wa mwezi yaliyoandaliwa na
                                              SHIMIWI Taifa.
71.   Kushirikiana na Ofisi ya Rais Kitengo   Watumishi wamepata mafunzo ya Maadili katika
      cha utawala, uratibu wa Utawala Bora,   Utumishi wa Umma na pia namna ya kuzuia na kuziba
      katika vita dhidi ya rushwa na          mianya ya rushwa sehemu za kazi.
      kudumisha utawala bora.




                                                38
                           WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

NA                    AHADI                                         UTEKELEZAJI
1.   Kukamilisha ukarabati wa majengo ya        Ukarabati wa majengo ya wodi ya wazazi, Mwaisela na
     Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili            "Renal Dialysis" umefikia kiwango cha asilimia 95 ya
     hususani jengo la wazazi, wodi ya          kukamilika. Kazi hiyo ilitarajiwa kukamilishwa mwezi
     Mwaisela, upanuzi wa majengo ya            Julai, 2007. Ujenzi wa wodi ya watoto utakamilishwa
     hospitali za Jiji la Dar es Salaam na      katika mwaka wa fedha wa 2007/2008. Aidha, majengo
     kuboresha utoaji wa huduma za wenye        ya hospitali za Jiji yamekamilika na yalikwisha
     matatizo ya figo kutofanya kazi (renal     kabidhiwa; ikiwa ni pamoja na kituo cha Afya cha
     dialysis) katika hospitali ya Taifa ya     Vijibweni – Kigamboni, Wilaya ya Temeke.
     Muhimbili.
2.   Ukarabati wa wodi 5, chumba cha            Ujenzi wa hosteli na ukarabati wa maabara umefikia
     upasuaji, chumba cha kumbukumbu za         asilimia 70. Ununuzi wa vifaa tiba umefanyika kupitia
     tiba, ukamilishaji wa upanuzi wa           Bohari ya Madawa (MSD). Aidha ukarabati wa wodi tano
     maabara, ujenzi wa Interns Hostel,         haujafanyika kutokana na uhaba wa fedha. Fedha
     upanuzi wa Idara ya mionzi na uwekaji      zilizotengwa zitatumika kukamilisha ujenzi wa "Interns
     wa vifaa na vifaa tiba katika hospitali    Hostel".
     ya Rufaa Mbeya.
3.   Kukamilisha upanuzi wa zahanati ya         Ujenzi wa majengo mapya ya upanuzi wa zahanati ya
     Lupaso kuwa Kituo cha Afya.                Lupaso umekamilika. Kazi ya kuunganisha umeme wa
                                                “3 phase” imekamilika na mkandarasi ameagiza vifaa
                                                vya “mortuary”.
4.   Kuanzisha kituo cha upasuaji wa moyo       Serikali imepeleka timu ya wataalamu wa upasuaji wa
     katika hospitali ya Taifa Muhimbili.       moyo katika hospitali ya “CARE“ nchini India. Baadhi
                                                ya wataalamu wamekwisharudi kutoka masomoni na
                                                kuna baadhi ya madaktari ambao bado wako India na
                                                Israel. Wanatarajiwa kumaliza mafunzo hayo baada ya
                                                mwaka mmoja. Aidha taratibu za ununuzi wa vifaa
                                                zimekamilika, huduma zinatarajiwa kuanza kutolewa
                                                mwezi Novemba, 2007.
5.   Kukarabati majengo yatakayotumika          Ukarabati wa majengo ya hosteli za Wataalam wahitimu
     kama hosteli ya wataalamu wahitimu         (Interns) katika hospitali za St. Gaspar (Itigi) na
     (interns) katika hospitali za St. Gaspar   Peramiho Songea haukutekelezeka kuchelewa kwa
     (Itigi), Peramiho (Songea) na Seliani      mkataba wa makubaliano ya ukarabati na upanuzi wa
     (Arusha).                                  majengo kati ya Wizara na hospitali husika pamoja na
                                                taratibu za tenda. Hata hivyo, hospitali zimefanikiwa
                                                kufanya ukarabati kwa kutumia fedha zao.        Aidha,
                                                mradi wa ukarabati katika hospitali ya Selian – Arusha
                                                ulihamishiwa hospitali ya Mkoa (Mount Meru) na tayari
                                                umekwishakamilika.




                                                   39
6.    Kujenga kituo cha tiba cha waathirika    Ujenzi wa kituo cha tiba cha Waathirika wa madawa ya
      wa dawa za kulevya na pombe; ujenzi      kulevya umeanza na unaendelea. Ujenzi wa uzio
      wa uzio na jengo la mapokezi na          pamoja na ukarabati wa mfumo wa umeme
      ukarabati wa majengo katika hospitali    umekamilika. Kituo kinajengwa kwa kushirikiana na
      maalum ya Mirembe na Taasisi ya          Tume ya Kudhibiti Dawa za Kulevya na pia Wizara ya
      Isanga.                                  Afya na Ustawi wa Jamii.
7.    Kujenga jiko jipya, wodi ya watoto,      Kazi ya kujenga majengo hayo pamoja na uzio imeanza
      nyumba 3 za watumishi na uzio wa         kufanyika na inaendelea. Lengo ni kukamilika mwaka
      hospitali maalum ya Kifua Kikuu ya       wa fedha 2006/07 kutegemeana na kupatikana kwa
      Kibong‟oto.                              fedha.
8.    Ununuzi na ufungaji wa vifaa na vifaa    Vifaa mbali mbali kwa ajili ya hospitali za rufaa na
      tiba katika hospitali ya Taifa ya        maalum tayari vimenunuliwa.
      Muhimbili, Hospitali za rufaa za
      Bugando, KCMC na Mbeya pamoja na
      hospitali maalum za MOI, “Ocean
      Road”, Kibong‟oto na Mirembe.
9.    Kuanza matayarisho ya ujenzi wa          Gharama za ununuzi na upimaji wa uwanja
      hospitali mpya ya Rufaa Mtwara,          zimekwishalipwa. Kwa wakati huu hadidu za rejea na
      kanda ya Kusini.                         nyaraka za kumpata mshauri mwelekezi wa kuandaa
                                               mapendekezo (Propasal)         zimekamilika. Kazi ya
                                               kutayarisha michoro itaendelea mwaka 2007/2008.
10.   Ununuzi wa gari la wagonjwa na           Serikali tayari imeagiza gari kwa ajili ya Hospitali ya
      uboreshaji wa wodi ya watoto hospitali   “Ocean Road”. Aidha, uboreshaji wa wodi ya watoto
      ya Saratani “Ocean Road”.                “Ocean Road” umeanza kufanyika na unaendelea vizuri.
11.   Kukamilisha ujenzi wa maabara ya         Hatua ya umaliziaji inaendelea ambapo kwa sasa
      Mkemia Mkuu wa Serikali makao            mkandarasi anaweka vioo katika jengo hilo. Ujenzi wa
      makuu pamoja na ununuzi wa vifaa na      Maabara hiyo umekamilika kwa asilimia 90. Ujenzi huu
      kemikali kwa ajili ya maabara mpya ya    utakamilika mwaka 2007/2008.
      Mwanza.                                  Taratibu za ununuzi wa vifaa na kemikali kwa ajili ya
                                               Maabara ya Mwanza zimekamilika na mikataba mitatu
                                               imewekewa saini.
12.   Ujenzi wa maabara ya dawa za asili       Ujenzi wa maabara ya dawa za Asili Mabibo inaendelea
      Mabibo, maabara Tabora, utoaji wa        ambapo kwa sasa jengo limefikia hatua ya kuezekwa.
      mchango kwa mfuko wa utafiti na          Ujenzi wa maabara ya Tabora uko katika hatua za awali.
      ukamilishaji wa awamu ya mwisho ya       Ukarabati wa majengo ya Kituo cha Gonja umekamilika.
      ukarabati wa kituo cha Gonja.
13.   Kukamilisha wa ujenzi wa ofisi na        Ujenzi wa maabara unaendelea na mkandarasi
      upanuzi wa maabara ya Makao Makuu        anamalizia kuweka “fittings” katika jengo hilo.
      ya Mamlaka ya Chakula na Dawa.
14.   Ukarabati wa jengo la Ofisi ya Makao     Ukarabati wa Jengo la ofisi za makao makuu ya NHIF
      Makuu ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya       umefika asilimia 95.
      Afya.
15.   Ukarabati wa vyuo vya uuguzi 14, chuo    Ukarabati wa majengo ya chuo cha Ifakara (COTC)
      cha „Vector Control‟ Muheza na ujenzi    umekamilika. Ukarabati wa majengo ya vyuo 14 vya




                                                  40
      wa nyumba za walimu na hosteli ya          uuguzi na cha       “Vector   Control” kule     Muheza
      wanafunzi katika chuo cha Waganga          unaendelea.
      Wasaidizi Ifakara.
16.   Kujengea uwezo ofisi nane (8) za           Serikali imetoa mafunzo kwa waalimu wa waalimu kwa
      kanda za mafunzo kwa kununua               Kanda zote na wanaendelea kuwafundisha Watendaji
      kompyuta, Magari na vifaa vya              wa Halmashauri.
      kufundishia.
                                                 Mafunzo ya uwezeshaji katika kutumia „Tools‟ za
                                                 utekelezaji wa mipango ya wizara yamefanyika kwa
                                                 wasimamizi wa Kanda na Timu za usimamizi ngazi ya
                                                 mkoa katika mikoa yote na sasa yanaelekezwa katika
                                                 ngazi ya Wilaya. Magari 7 yameagizwa kwa ajili ya
                                                 kuimarisha Kanda, pamoja na magari 3 ambayo tayari
                                                 yamewasili kwa ajili ya Makao Makuu.

                                                 Uchambuzi wa awali kuhusu „Internet connectivity‟ kati
                                                 ya Kanda na Kanda na Kanda na Makao Makuu ya
                                                 Wizara umekamilika.
                                                 Maafisa Afya wenye sifa ya “Sanitary Engineers” ( BSc -
                                                 holders ) wanne (4) na Madaktari 4 wamepangiwa kazi
                                                 ili kuimarisha Kanda.           Vile vile, Mtaalamu
                                                 atakayeziwezesha Kanda kutengeneza Mpango Kitita
                                                 (Bussiness Plans) ameteuliwa na ameanza kazi.
17.   Kuwajengea nyumba, kuwalipia ada na        Maandalizi ya kuwajengea na kuwapa vifaa vya shule
      mahitaji mengine watoto yatima na          watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi katika
      wanaoishi katika mazingira magumu          Halmashauri 5 yamekamilika na kazi ya ujenzi
      waliotambuliwa na jamii.                   inaendelea vizuri.
18.   Kukarabati mahabusi 5 za watoto,           Maandalizi ya kutangaza zabuni kwa ajili ya ukarabati
      makazi 2 ya wazee, kituo cha ustawi        wa shule ya maadilisho Irambo, makazi ya wazee
      wa akina mama na watoto Ilonga,            Kolandoto na Nunge na mahabusu ya watoto Mtwara
      shule ya maadilisho Irambo na ujenzi       yamekamilika. Wazabuni tayari wameteuliwa na ujenzi
      wa maktaba ya wanafunzi Taasisi ya         unaendelea.
      Ustawi wa Jamii.
19.   Upembuzi yakinifu utafanyika kwa           Kamati kwa ajili ya kufanya tathmini iliteuliwa. Kwa
      kushirikiana na OWM - TAMISEMI ili         kushirikiana na TAMISEMI wizara imefanya mapitio ya
      kuainisha vijiji vinavyohitaji vituo vya   kazi zilizofanyika ambapo “Geographical information” ya
      huduma za afya na kuboresha mfumo          NHIF na GIS ya TAMISEMI itatumika kuangalia vijiji
      wa utoaji huduma na kuweka                 visivyo na huduma.               Kwa sasa Wizara
      vipaumbele kwa ajili ya utekelezaji        imekwishawasiliana na wilaya kama hatua ya awali
      kutegemea na raslimali zilizopo,           kupata idadi ya vituo ukilinganisha na vijiji. Mpango wa
      hususan raslimali watu.                    Maendeleo ya Afya ya Msingi umeandaliwa na tayari
                                                 umepitishwa na Serikali.
20.   Kuendelea kuelimisha na kuhamasisha        Maandalizi ya vipindi na matangazo mapya, na
      Halmashauri, vituo vya kutolea             kubadilisha yale ya muda mrefu katika TV kuhusu
      huduma za afya, na jamii kuhusu haki       mabadiliko katika Sekta ya Afya yamefanyika.




                                                    41
      na wajibu wao katika mabadiliko
      yanayoendelea katika sekta ya afya
      kwa kutumia vipindi na matangazo
      katika redio na televiseni.
21.   Kupitia, kutengeneza na kusambaza       Maandalizi ya awali ya utengenezaji wa “Advocacy Kit”
      vipeperushi, vijitabu, mabango, na      (vipeperushi na vijitabu) yamefanyika na kumalizika,
      majarida yenye ujumbe wa kuelimisha     yanasubiri majaribio (pre-testing) ya matumizi kwa
      watoa huduma za afya na jamii kuhusu    walengwa ambapo yatafanyika mwaka wa fedha wa
      mabadiliko ya sekta ya afya.            2007/2008 kabla ya kuchapishwa na kusambazwa kwa
                                              wadau.
22.   Kufanya mapitio ya Sera ya Afya ili     Sera ya mwaka 1990 imefanyiwa mapitio. Rasimu ya
      kujumuisha mabadiliko yanayoendelea     mwisho iliwasilishwa Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri
      katika sekta ya afya.                   tarehe 13/06/2007 Dodoma, ambapo ilijadiliwa na
                                              kupitishwa.      Wizara inaendelea kuyafanyia kazi
                                              maelekezo yaliyotolewa na baada ya hapo
                                              itakamilishwa, kuchapishwa na kusambazwa kwa wadau
                                              mbalimbali kwa ajili ya utekelezaji.
23.   Kupitia mwongozo wa uchangiaji          Mwongozo umepitiwa. Rasimu ya kwanza iliyopitiwa ya
      gharama wa huduma za afya               mwongozo wa uchangiaji gharama za Huduma za Afya
      unaojumuisha misamaha kwa makundi       imetolewa. Wizara inaendelea kukamilisha Mwongozo
      na magonjwa maalum kwa lengo la         huo, ili upelekwe kwa watumiaji baada ya kupitishwa na
      kuwaondolea      kero    wanaostahili   serikali.
      misamaha hiyo.
24.   Kutoa mchango wa Tele kwa Tele kwa      Halmashauri zimeendelea kuwasilisha madai yao ya tele
      Halmashauri zilizokwisha anzisha        kwa tele na wizara imelipa. Halmashauri saba ambazo
      Mfuko wa Afya ya Jamii pia              ni Geita, Sumbawanga, Kigoma, Rungwe, Iringa, Igunga
      kuhamasisha jamii kuhusu Mfuko wa       na Kasulu zimewasilisha madai yao ya jumla ya shilingi
      Afya ya Jamii na kutoa mafunzo          milioni 259. Kazi ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mfuko
      yanayohusu utunzaji na matumizi bora    wa Afya ya Jamii nchi nzima imefanyika na mafunzo
      ya fedha za mfuko kwa kufuata           kwa ajili ya kuanzisha Tiba kwa Kadi hadi kufikia 30
      miongozo na kushirikiana na mikoa       Juni, 2007 yamefanyika katika miji ya Tanga,
      kukamilisha uteuzi wa waratibu wa       Kigoma/Ujiji, Mtwara/ Mikindani, Singida, Dodoma Mjini,
      Mfuko wa Afya ya Jamii kwa              Mbeya Mjini, Iringa, Songea Vijijini na Mtwara vijijini.
      Halmashauri 24 ili wawe kiungo katika
      Mikoa na Halmashauri.
25.   Kuziwezesha Halmashauri zote za Miji,   Maandalizi ya mafunzo ya kuziwezesha Halmashauri za
      Manispaa na Majiji kuanzisha mpango     Jiji, Manispaa na Miji kuandaa sheria ya TIKA
      wa Tiba kwa Kadi (TIKA).                unaendelea. Manispaa za Kigoma/Ujiji, Tabora, Tanga,
                                              Moshi, Mtwara/Mikindani, Dodoma, Singida, na Mbeya
                                              zimehamasishwa na kuweza kuandaa sheria ndogo na
                                              kuidhinishwa na Manispaa ili ziweze kutumika.
26.   Kuhakikisha     watumishi wastaafu      Mfuko uko katika hatua za mwisho za kukamilisha kutoa
      wanachama      wa Bima ya Afya          mafao kwa wastaafu. Tayari serikali imekwishaidhinisha
      wanaendelea     kupata huduma za        mpango huo. Kazi ya kupitia sheria imeanza na
      matibabu kwa   maisha yao yaliyobakia   inaendelea.




                                                 42
      baada ya utumishi wa umma.
27.   Kuongeza wigo wa wanufaika na Bima        Muswada wa Sheria uko katika hatua za kuwasilishwa
      ya Afya ikiwemo vyombo vya Usalama        Bungeni kwa ajili ya marekebisho ya sheria kuwezesha
      wa Raia na Magereza.                      kundi hili lianze kunufaika katika mwaka wa fedha
                                                2007/2008.
28.   Kutoa mafunzo ya sensa ya jamii kwa       Maandalizi ya kutoa mafunzo ya sensa ya Jamii tayari
      wilaya zilizoteuliwa za Hai, Morogoro,    yamekwishafanyika. Sensa hiyo imeanza kufanyika
      Temeke, Ilala, Igunga na Kigoma kwa       katika robo ya nne ya mwaka wa fedha 2006/07 na
      ajili ya kutoa mwelekeo wa hali ya        itaendelea katika mwaka wa fedha 2007/2008.
      takwimu za huduma za jamii na
      kufanya ufuatiliaji katika wilaya hizo.
29.   Kuchapisha na kusambaza nyezo za          Nyezo za kukusanyia takwimu za Mfumo wa Taarifa za
      kukusanya takwimu za Jamii na za          Uendeshaji Huduma za Afya, (MTUHA) zimesambazwa
      Mfumo wa Taarifa za Uendeshaji            nchi nzima na zinatumika katika vituo vyote vya kutolea
      Huduma za Afya (MTUHA).                   huduma za afya.
30.   Kuendelea kuboresha Tovuti ya             Tovuti imeboreshwa na kuwa ya kisasa zaidi kwa
      Wizara (www.moh.go.tz) ili iwe na         kutumia “database” kuhifadhi habari mbalimbali. Baadhi
      taarifa muhimu zinazohusu sekta ya        ya vitu vilivyoongezwa ni majina ya watu waliochaguliwa
      afya.                                     kujiunga na vyuo mbali mbali vilivyo chini ya Wizara ya
                                                Afya kwa mwaka wa masomo 2006/07, baadhi ya
                                                nyaraka muhimu za sekta ya afya pia zimeongezwa.
31.   Kuwaelimisha wananchi juu ya              Kipindupindu:
      kukabiliana    na    magonjwa    ya       Kwa kupitia Maadhimisho ya Siku ya Choo Duniani
      kuambukiza kama vile kipindupindu,        ambayo iliazimishwa tarehe 19/11/06 wananchi na
      UKIMWI, Kifua Kikuu, Ukoma, na            kusisitizwa kuzingatia mambo muhimu ya kufanyika ili
      magonjwa mengine ikiwa ni pamoja na       kuzuia kipindupindu kupitia Tamko la Waziri wa Afya
      tahadhari ya ugonjwa wa mafua makali      (17/11/06 na Maonyesho ya barabarani ya aina ya vyoo
      ya ndege.                                 – yaliyofanyika jijini Dar es Salaam). Wizara imeshiriki
                                                katika maandalizi na ukamilishaji wa rasimu ya Mkakati
                                                wa Taifa wa Kupambana na Kipindupindu.

                                                Vipeperushi na majarida zaidi ya 40,000
                                                yamesambazwa na kutoa mafunzo yametolewa kwa
                                                watumishi wa afya ya ngazi ya wilaya ili waweze kutoa
                                                taarifa sahihi kuhusu maambukizi na tahadhari dhidi ya
                                                kifua kikuu na ukoma.

                                                Wizara iliandaa tamasha la uzinduzi wa kampeni ya
                                                kuongeza kasi ya kudhibiti magonjwa ya UKIMWI, Kifua
                                                Kikuu na Malaria. Mgeni Rasmi katika tamasha hili
                                                alikuwa Waziri Mkuu, Mhe. Edward Lowassa ambaye
                                                pia alitangaza ugonjwa wa Kifua Kikuu kuwa wa dharura
                                                hapa nchini. Aidha elimu juu ya Kifua Kikuu na Ukoma
                                                ilitolewa kwa wanachi kupitia radio, televisheni na
                                                magazeti.




                                                   43
                                             Wizara imeendelea kuandaa na kutoa taarifa kwa ajili ya
                                             kuwaelimisha wananchi juu ya kukabiliana na magonjwa
                                             ya kuambukiza kupitia mifumo mbalimbali ya habari
                                             kama vile magazeti, vipeperushi, mabango na
                                             matangazo ya redio na televisheni.

                                             Imeandaliwa na kukamilishwa filamu ijulikanayo kama
                                             “HALI HALISI” inayoelimisha jamii kuhusu athari za
                                             unyanyapaa kwa wanaoishi na virusi vya UKIMWI (VVU)
                                             na wenye UKIMWI, umuhimu wa kutumia huduma za
                                             ushauri nasaha na upimaji wa VVU na huduma za dawa
                                             za kupunguza Makali ya UKIMWI. Filamu hii ilianza
                                             kurushwa hewani na kituo cha Televisheni ya Taifa
                                             (TVT) kuanzia tarehe 5/11/2006. Aidha, vipindi vingine
                                             vya moja kwa moja vinaendelea kurushwa hewani na
                                             kituo hicho. Vipindi vingine kama hivyo
                                             vinarushwa na kituo cha Radio Tanzania.
32.   Mapambano dhidi ya magonjwa            Mafunzo yanayohusu njia sahihi za udhibiti wa
      yanayoenezwa na wadudu wanaoruka,      magonjwa yamefanyika katika Halmashauri zote 30
      wasioruka pamoja na wanyama dhurifu    zilizokuwa zimepangwa.
      kwa kutoa mafunzo yanayohusu njia
      sahihi za udhibiti wa magonjwa hayo
      katika wilaya 30.
33.   Kubadilisha matibabu ya malaria        Waganga wa vituo vyote vya huduma vya
      kutoka dawa ya safu ya kwanza ya SP    serikali,mashirika yasiyo ya serikali na baadhi ya vituo
      kwenda dawa ya mseto ya Artemether     binafsi vya huduma ya afya, wamepewa mafunzo ya
      /Lumefantrine (ALu).                   dawa hiyo mpya. Aidha, wafamasia wa Mikoa na Wilaya
                                             zote wamepata mafunzo kuhusu menejimenti ya dawa
                                             hii mpya ya (ALU).

                                             Dawa dozi 8,000,000 (zinazotosha matumizi ya miezi 6)
                                             zimenunuliwa na kusambazwa katika bohari zote za
                                             kanda za MSD nchini. Wilaya zinaendelea kuagiza
                                             kutoka katika bohari za kanda na kupeleka katika vituo
                                             vya huduma. Uzinduzi wa dawa hiyo mpya ulifanyika
                                             tarehe 15 Januari, 2007 Wilayani Temeke.
34.   Kuanza kutumia teknolojia nyepesi na   Teknolojia hii (RDT) ni ghali hivyo itaingizwa kwa
      ya haraka ya utambuzi wa vimelea vya   awamu katika matumizi ya utambuzi wa vimelea vya
      malaria ambayo itatumika kwa           malaria. Kwa kuanzia imeanza kutumika katika wilaya 1
      uchunguzi wa malaria.                  yenye uwezekano mkubwa wa kupata milipuko ya
                                             malaria. Wilaya hiyo ni Muleba. Ni matarajio ya serikali
                                             kuwa ifikapo mwaka 2008 itakuwa inatumika katika
                                             wilaya zote 25 zenye uwezekano wa kupata milipuko ya
                                             malaria.




                                                44
35.   Kuwapatia Hati Punguzo kwa               Hadi tarehe 31/05/2007 kinamama 2,044,160 walikuwa
      vyandarua watoto wenye umri chini ya     wamepata vyandarua kwa kupitia mpango huu wa hati
      mwaka mmoja pale wanapopelekwa           punguzo kote nchini. Mafunzo kwa ajili ya Hati Punguzo
      kwenye chanjo ya surua. Pia kwa          kwa watoto chini ya mwaka 1 yameanza kwa
      wajawazito wasio na uwezo wa             Wahudumu wa Afya, na mpango huu ulifanyika katika
      kununua chandarua watapatiwa hati        mikoa 15 hadi Juni, 2007. Mikoa 6 iliyobaki itatekeleza
      maalum itakayowawezesha kupata           mpango huu mwaka 2007/08 kuanzia Julai, 2007.
      vyandarua bila malipo yoyote.
36.   Kuanza matumizi ya DDT ndani ya          Mawasiliano yanaendelea kati ya Wizara na Baraza la
      nyumba kwa ajili ya kudhibiti Malaria.   Mazingira nchini kuhusiana na Suala la DDT. Kimsingi
      Matumizi hayo yataanza kwa awamu         kabla ya DDT kuanza kutumika, utafiti wa kina lazima
      kwenye maeneo yenye milipuko.            ufanyike kuona kiwango cha madhara na namna ya
                                               kupunguza madhara. Baada ya hatua hiyo, kutakuwepo
                                               na utaratibu wa usajili wa dawa husika, kupanga
                                               maeneo ya utekelezaji na uhamasishaji wa jamii.
37.   Kupanua huduma za mpango wa              Hadi Juni , 2007 Wilaya 46 zimeanzisha mipango ya
      pamoja wa kudhibiti uambukizo wa         pamoja ya kupambana na Kifua Kikuu na UKIMWI.
      Kifua Kikuu na UKIMWI katika wilaya      Wilaya hizo ni Arusha Mjini, Kisarawe, Bagamoyo,
      30.                                      Sengerema, Geita, Kinondoni (Mwananyamala), Ilala
                                               (Amana), Ilemela, Nyamagana, Misungwi, Temeke,
                                               Korogwe, Muheza, Jiji la Tanga, Tanga vijijini, Morogoro
                                               Manispaa, Kilosa, Iringa Manispaa, Iringa Vijijini,
                                               Makete, Njombe, Kahama, Mufindi,               Shinyanga
                                               Manispaa, Shinyanga Vijijini na Bariadi. Wilaya zote za
                                               mikoa ya Mbeya na Kilimanjaro. Aidha tathmini ya awali
                                               inafanyika ili kupanua huduma za pamoja za Kifua
                                               Kikuu na UKIMWI katika Halmashauri zingine sita.
38.   Kuendesha kampeni za kutokomeza          Kampeni za kutokomeza ukoma zilifanyika katika mikoa
      ukoma katika wilaya za mikoa ya          ya Tanga, Mtwara, Tabora na Zanzibar. Maandalizi
      Kigoma, Morogoro na Mara ili kufikia     yameanza kwa wilaya za Mkoa wa Kigoma.
      lengo la kimataifa la kutokomeza
      ukoma ifikapo 2007.
39.   Kuhakikisha kuwa viungo bandia na        Serikali ilitengeneza viatu maalum jozi 3,050 kwa ajili ya
      viatu vinatolewa kwa wale wote           walemavu wa ukoma na miguu bandia 19 ambavyo kwa
      waliopata ulemavu unaotokana na          pamoja vilisambazwa mikoa yote Tanzania Bara na
      ukoma.                                   Zanzibar kwa kipindi husika. Aidha serikali ililipia
                                               gharama za rufaa kwa walemavu 53 kwenda kupata
                                               matibabu katika hospitali za CCBRT – Dar es Salaam ,
                                               Dodoma, KCMC-Moshi na Mtwara. Wagonjwa hao
                                               walitoka mikoa ya Singida wawili, Dodoma mmoja,
                                               Tanga mmoja na Zanzibar wawili.
40.   Kuandaa Mkakati Mpya wa Miaka            Kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI
      Mitano wa Sekta ya Afya wa Kudhibiti     pamoja na Wadau wengine Wizara imeanza kuandaa
      UKIMWI.                                  mkakati wake mwingine mpya wa miaka mitano wa
                                               kudhibiti UKIMWI (2008 – 2012). Maandalizi ya mkakati




                                                  45
                                                huo mpya yatafanyika katika awamu mbalimbali.
                                                Taratibu za utayarishaji wa hadidu za rejea kwa
                                                Mtaalamu atakayefanya uchambuzi yakinifu katika
                                                awamu ya kwanza ya maandalizi haya zimekwisha
                                                kamilika.

                                                Utayarishaji wa mkakati mpya wa Sekta ya Afya na
                                                Ustawi wa Jamii utaenda sambamba na ule mkakati wa
                                                kitaifa unaoandaliwa na Tume ya Taifa ya Kudhibiti
                                                UKIMWI utakaoanza kutekelezwa katika kipindi cha
                                                miaka mitano ijayo kuanzia 2008 hadi 2012 baada ya
                                                kumalizika kwa kipindi cha mkakati uliopo hivi sasa
                                                (2003 – 2007).
41.   Mpango wa Taifa wa kusambaza dawa         Serikali imepanga kuendelea kutoa huduma za
      za kupunguza makali ya UKIMWI             matibabu ya Ugonjwa wa UKIMWI kwa kutumia dawa za
      utapanuliwa ili huduma hii ipatikane      kupunguza makali ya UKIMWI (ARVs) kutoka hospitali
      katika baadhi ya vituo vya afya na        zilizoko katika ngazi ya wilaya na kupeleka huduma hizo
      zahanati katika kila wilaya hapa nchini   katika ngazi ya vituo vya Afya na zahanati ili kupeleka
      na kuwapatia Watanzania 150,000           huduma hizi karibu zaidi kwa wananchi.
      dawa za kupunguza makali ya
      UKIMWI. Huduma za kudhibiti UKIMWI        Katika mkakati huu, kila wilaya imepewa jukumu la
      zitaendelea kutolewa na kufikishwa        kuchagua vituo vya Afya vitatu hadi vitano ambavyo
      karibu zaidi na wananchi.                 vitatoa huduma za kutoa dawa za kupunguza makali ya
                                                UKIMWI.

                                                Watoa huduma, na watendaji wa vituo vya Afya
                                                watapatiwa mafunzo kabla ya kuanza kutoa huduma
                                                hizi. Utekelezaji wa mpango huu unatarajiwa kuanza
                                                mwaka 2007/08.
42.   Wilaya 32 zitagawiwa dawa ya              Wilaya 32 zimegawiwa dawa za Zithromax katika
      Zithromax kwa ajili ya vikope katika      mwaka 2006/2007.
      mzunguko wa mwaka huu wa
      2006/2007 ambapo jumla ya wananchi
      8,800,000 wanatarajiwa kupata dawa
      hiyo.
43.   Kugawa dawa ya Mectizan kudhibiti         Dawa hiyo imesambazwa katika wilaya za Songea,
      ugonjwa wa usubi katika vijiji 695        Mbinga, Tunduru, Ludewa, Rungwe, Kyela, Muheza,
      vilivyoko katika wilaya 14, ambazo ni     Korogwe na Mvomero. Wilaya hizi zinajiandaa kwa
      Ulanga, Kilombero, Kilosa, Morogoro,      ugawaji wa dawa hiyo kwa wananchi. Wilaya za
      Mvomero, Songea, Mbinga, Tunduru,         Lushoto, Muheza na Korogwe wameanza kugawa dawa
      Ludewa, Rungwe, Kyela, Muheza,            hizo ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa mpango wa
      Korogwe na Lushoto. Jumla ya              mabusha na matende. Dawa kwa wilaya za Kilosa na
      wananchi 1,400,000 watapewa dawa          Kilombero nazo tayari zimeshaanza kusambazwa.
      hiyo.




                                                   46
44.   Kuandaa mitaala na kutoa mafunzo            Mafunzo kwa watoa huduma kuhusu uzazi wa mpango
      kwa watoa huduma kuhusu uzazi wa            yalifanyika katika mikoa ya Mbeya, Shinyanga, Dar es
      mpango katika mikoa ya Mbeya,               Salaam na Mwanza.
      Shinyanga, Dar es Salaam na
      Mwanza.
45.   Dawa mbalimbali za uzazi wa mpango          Dawa za Uzazi wa mpango zilizonunuliwa kwa kipindi
      zitasambazwa katika vituo vyote vya         cha fedha 2006/07 zilisambazwa katika vituo vya
      kutolea huduma.                             kutolea huduma ambazo ni Vidonge vya uzazi wa
                                                  mpango(Oral Contraceptives), Vipandikizi (Implants),
                                                  Kitanzi ( Copper T380), Sindano (Injectables) na mipira
                                                  ya kike na kiume (condoms).
46.   Kutekeleza mkakati wa IMCI ili              Mafunzo rejea ya IMCI yenye kuboresha utendaji wa
      kupunguza vifo vya watoto wenye umri        watoa huduma za afya kwa wafanyakazi wa wodi za
      chini ya miaka mitano.                      watoto yamefanyika. Pia mafunzo ya namna ya
                                                  kuboresha huduma kwa watoto wagonjwa waliozidiwa
                                                  au kupewa rufaa kwa kamati za uendeshaji wa huduma
                                                  za afya katika ngazi ya Mkoa na Wilaya yalifanyika.
47.   Kuendelea kutoa huduma za chanjo            Huduma za mpango wa chanjo zimeendelea kutolewa
      nchini na kuhakikisha viwango vya juu       kwa nchi nzima kama ilivyopangwa. Aidha viwango vya
      vya chanjo vilivyofikiwa vinakuwa           chanjo kwa nchi nzima kwa kiashiria (indicator) DPT-
      endelevu.                                   HB3 imeendelea kuwa zaidi ya asilimia 90 na kwa
                                                  chanjo ya surua asilimia 91.
48.   Kuendelea na juhudi za kutokomeza           Ufuatiliaji wa magonjwa ya polio, surua na pepopunda
      ugonjwa wa polio, kudhibiti surua na        kwa watoto wachanga umeendelea kufanyika kwa nchi
      kufuta ugonjwa wa pepopunda.                nzima. Kampeni ya chanjo ya surua ilifanyika Septemba
      Upembuzi yakinifu wa matumizi ya            22 - 24 kwa mkoa wa Dar es salaam ikiwa ni mojawapo
      chanjo ambazo hazijaanzishwa kwa            ya mkakati wa kudhibiti ugonjwa wa surua. Aidha
      magonjwa mengine yanayozuilika kwa          upembuzi yakinifu kwa matumizi ya chanjo ambazo
      chanjo utafanyika.                          hazijaanzishwa unaendelea kufanyika katika “sentinel
                                                  sites” za hospitali ya Muhimbili na Hospitali teule ya
                                                  Muheza.
49.   Kufanya uhamasishaji kuhusu utoaji          Kazi ya uhamasishaji kuhusu utoaji wa chakula cha
      wa chakula cha mchana shuleni,              mchana shuleni, huduma ya kwanza na usafi wa
      huduma ya kwanza na usafi wa                mazingira na afya mashuleni umefanyika.
      mazingira na kufuatilia shughuli za
      afya mashuleni.
50.   Kuendeleza mashindano ya afya na            Mashindano ya afya na usafi wa mazingira umefanyika
      usafi wa mazingira nchini kwa               kwa kushirikisha majiji matatu, manispaa 17, miji minne,
      kushirikiana na Halmashauri zote            na halmashauri za wilaya 20 nchini. Utekelezaji wa
      nchini. Mashindano haya yatafanyika         mashindano haya ulianzia ngazi ya kijiji,mtaa, kata, na
      katika ngazi za kata na vijiji na           hatimaye ngazi ya Halmashauri ya Wilaya. Baadhi ya
      yatachochea uwekaji mazingira katika        Halmashauri zimekwisha tenga maeneo maalumu kwa
      hali ya usafi na kudhibiti kuzagaa kwa      ajili ya utupaji sahihi wa taka. Serikali imepiga marufuku
      taka ikiwemo mifuko ya plastiki katika      matumizi ya mifuko ya plastiki laini kuanzia tarehe
      maeneo       yao.    Pia,     itazishauri   1/10/06.




                                                     47
      Halmashauri kutenga maeneo ya             Wizara inashiriki katika utayarishaji wa Mkakati wa
      kutupia, taka na kuzifukia kitaalamu.     Kitaifa wa Udhibiti wa Taka ambao unazungumzia
                                                masuala ya Utupaji wa Taka. “Concept Paper”
                                                imeandikwa kwa kushirikiana na Mradi wa “Sustainable
                                                Cities Program (SCP)” na Kitengo cha “Urban
                                                Authorities Support Unit” (UASU) katika Ofisi ya Waziri
                                                Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.
51.   Kutoa vitendea kazi na kuwapa             Watumishi wawili wanapatiwa mafunzo ngazi ya Uzamili
      mafunzo ya uzamili katika fani ya         nchini Uholanzi na katika Chuo kikuu cha Tumaini, hapa
      udhibiti wa uchafuzi wa mazingira, pia    nchini. Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira unafanyika
      utekelezaji wa sheria ya mazingira        kupitia mashindano ya Usafi wa Mazingira.
      pamoja na maagizo ya Serikali ya
      kudhibiti uharibifu na uchafuzi wa
      mazingira.
52.   Mafunzo kwa watumishi wa afya             Mafunzo, yamefanyika kwa watumishi bandarini
      Bandarini kuhusu sheria na mbinu          kuhusiana na sheria za afya za kimataifa pamoja na
      mbalimbali za udhibiti wa magonjwa        mbinu mbalimbali za udhibiti wa magonjwa
      ya kuambukiza ya kitaifa na kimataifa     yanayotolewa taarifa kimataifa.
      yatatolewa na gari moja kwa kituo cha
      KIA na pipikipi 3 kwa vituo vya           Gari moja kwa kituo cha KIA limeagizwa ikiwa ni pamoja
      Tunduma,        Kabanga    na    Holili   na pikipiki 3 kwa ajili ya vituo vya Tunduma na Kabanga.
      zitanunuliwa.
53.   Mwongozo wa kufundisha juu ya             Mwongozo umeandaliwa na kusainiwa na Waziri wa
      UKIMWI katika maeneo mbalimbali ya        Afya na Ustawi wa Jamii. Mafunzo kwa wafanyakazi wa
      kazi utaandaliwa na mafunzo ya afya       Afya juu ya UKIMWI na athari zitokanazo na kazi
      kazini kwa wafanyakazi yatatolewa ili     yametolewa katika mwaka huu 2006/07.
      kujenga uwezo wa kutambua athari
      zinazotokana na matumizi ya
      kiteknolojia.
54.   Kuendelea kuelimisha na kuhamasisha       Wizara inaendelea kutumia vyombo vya habari kama
      jamii kwa kushirikiana na vyombo vya      vile radio na televisheni na vikundi vya sanaa
      habari na kuimarisha matumizi ya          kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu masuala
      sanaa kwa maendeleo ya afya, ili          mbalimbali ya afya kama vile udhibiti wa magonjwa ya
      kufikisha ujumbe wa afya kwa              Malaria, UKIMWI, Kifua Kikuu, nk. Aidha, wakati wa
      wananchi wengi, hususan wale              maadhimisho na matamasha, vikundi vya sanaa
      wanaoishi vijijini.                       vinatumika kufikisha ujumbe uliokusudiwa.        Wizara
                                                inaandaa mwongozo wa mafunzo maalum ya afya kwa
                                                vikundi vya sanaa kuviwezesha kutoa ujumbe wa afya
                                                ulio sahihi kwa umma.
55.   Kuanzisha maabara ndogo sita              Maabara hizo zimeshakamilika na zinafanya kazi. Vifaa
      zitakazochunguza viwango vya madini       zikiwemo mashine za kupimia ziitwazo „WYD‟ „Iodine
      joto yanayowekwa kwenye chumvi            Checker‟ na kemikali za kupimia viwango vya madini
      katika wilaya za Tanga, Bagamoyo,         joto katika chumvi, viliagizwa kupitia UNICEF na baadhi
      Kinondoni, Kilwa, Lindi na Mtwara.        ya mashine na kemikali zimekwishafika nchini. Vifaa
                                                vyote vimepokelewa na maabara zimeshaanza kazi.




                                                   48
                                               Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC) kwa kushirikiana
                                               na Mamlaka ya Chakula, Dawa na Vipodozi (TFDA),
                                               Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Chama Cha
                                               Wazalishaji Chumvi Tanzania (TASPA) imetoa mafunzo
                                               kwa wataalam 12 (wawili kila eneo) toka maeneo
                                               yatakayoanzishwa maabara hizo za Tanga, Bagamoyo,
                                               Kinondoni, Kilwa, Lindi na Mtwara. Aidha Chama Cha
                                               Wazalisha Chumvi katika maeneo husika kimetayarisha
                                               vyumba ambavyo vitatumika kama maabara ndogo
                                               ambako mashine hizo zitafungwa. Kila eneo
                                               limeshapata chumba cha maabara na ukarabati wake
                                               umekamilika.
56.   Kuendeleza juhudi zake katika            Taasisi ilitoa mafunzo ya lishe na UKIMWI kwa watoa
      kuwajengea uwezo watendaji ngazi ya      huduma majumbani katika Halmashauri za Moshi (M),
      wilaya ili watoe huduma na matunzo       Muheza na Iringa (M). Pia kila Halmashauri iliandaa
      bora ya lishe kwa watu wanaoishi na      mpango endelevu. Mafunzo kwa watoa huduma kwa
      VVU na wenye UKIMWI.                     wagonjwa wa UKIMWI majumbani yameendelea
                                               kutolewa kuanzia ngazi ya wilaya hadi kwenye jamii ili
                                               waweze kutoa huduma, matunzo na kuelimisha watu
                                               wanaoishi na virusi vya UKIMWI na wenye UKIMWI,
                                               familia na jamii yote kwa ujumla kuhusu lishe bora.
57.   Kufanya utafiti wa dawa ya mmea wa       Utafiti wa mmea huu ulisimama kwa muda kutokana na
      TMS-2001 unaoweza kutumika kutibu        tatizo la ufadhili. Aidha kwa hivi sasa fedha za utafiti
      malaria na kufanya utafiti wa mimea ya   huu kiasi cha Tsh 15,000,000/= zimetolewa na serikali
      Abrus precatorius, Aloe sp, 5M, na       na hivyo hatua za mwisho za utafiti huu kwa kutumia
      Muyamba        inayotibu     magonjwa    wanyama (panya) zinaendelea.
      mbalimbali.
                                               Aloe vera
                                               Matokeo ya utafiti wa awali yameonyesha kuwa Aloe
                                               vera ina uwezo mkubwa wa kuzuia kukua kwa vimelea
                                               aina ya staphylococcus aureus na shigella flexineri
                                               vinavyosababisha kuoza kwa meno. Hata hivyo utafiti
                                               zaidi na wa kina utafanyika ili kupata viini vya dawa hiyo
                                               vinavyosaidia kutibu matatizo hayo ya meno.

                                               Mmea wa 5M
                                               Mmea 5M umeonyesha kuwa na uwezo wa kupambana
                                               na kuzuia kukua kwa bacteria aina ya Escherichia coli,
                                               Bacilus anthracis, Shigella flexineri na Staphylococcus
                                               aureus wanaosababisha magonjwa katika njia ya tumbo
                                               la chakula (magonjwa kama vidonda vya tumbo). Aidha
                                               utafiti wa kina utafanyika ili kuona kama mmea huo
                                               unaweza kufaa kwa tiba ya magonjwa ya tumbo
                                               yaletwayo na bacteria wa aina hizo tatu.




                                                  49
                                               Abras Precatorius
                                               Utafiti wa Abras Precatorius umeonyesha kuwa na
                                               uwezo wa kutibu magonjwa ya tumbo pamoja na
                                               matatizo        ya     kichefuchefu       na      kutapika
                                               yanayosababishwa na bacteria aina ya Shigella flexineri.
                                               Utafiti zaidi utaendelezwa ili kupata majibu sahihi.

                                               Muyamba
                                               Utafiti wa mmea huu umeonyesha kuwa dawa ya
                                               Muyamba ina uwezo wa kutibu baadhi ya magonjwa
                                               yanayosababishwa na bacteria na fangasi katika
                                               sehemu za mdomoni, tumboni na sehemu za njia ya
                                               haja kubwa. Majaribio ya maabara yameonyesha kuwa
                                               dozi ya 5-10mg/disc inaweza kuzuia kukua kwa vimelea
                                               hivyo kwa asilimia kati ya 40-70. Matarajio ni kuendelea
                                               na utafiti ili kufahamu zaidi viini vinavyofanya kazi ya
                                               kutibu na kutafuta kujua usalama wa dawa yenyewe.
58.   Kufanya utafiti wa awali wa kuzuia       Mpango wa udhibiti wa viluwiluwi wa mbu waambukizao
      mazalio ya mbu kwa kutumia dawa ya       magonjwa ya malaria, matende na mabusha ulifanyika
      kuua viluwiluwi inayojulikana kwa jina   katika wilaya mbili za Bagamoyo na Mvomero. Mpango
      la GRISELESF katika wilaya tatu za       huu ulifanyika kwa ushirikiano na Serikali ya Cuba ili
      Mvomero, Bagamoyo, na Mafia              kufanya majaribio ya dawa aina mbili za Griselesf™ na
                                               Bactivec™ katika mazingira ya Tanzania. Nia ya serikali
                                               ni kutathmini dawa hizi ili kuzitumia katika meneo
                                               mengineyo ya nchi baada ya kuridhika na ufanisi wake.

                                               Tathmini iliyofanyika baada ya kuanza majaribio
                                               imeonesha kwamba dawa hizi zinao uwezo mkubwa wa
                                               kudhibiti mbu kwa kupunguza idadi ya viluwiluwi katika
                                               mazalio kwa kiwango cha asilimia kati ya 60 na 80 kwa
                                               kipindi cha miezi miwili. Aidha dawa hizi zimeonesha
                                               uwezo mdogo wa kudhibiti mbu katika mashamba ya
                                               mpunga hususan yale yaliyoko wilaya ya Mvomero.
                                               Uwekaji wa dawa ukifuatiwa na kutathmini utaendelea
                                               kwa kipindi cha miezi sita kuanzia kipindi cha mvua za
                                               vuli hadi Juni 30 ili kupata takwimu za kutosha
                                               kukamilisha zoezi la kutathmini uwezo wa dawa hizo.
59.   Kuendelea kutoa usimamizi wa             Serikali iliendelea kutoa usimamizi wa kitaalamu kwa
      kitaalamu kwa Halmashauri juu ya         Halmashauri juu ya uendeshaji wa huduma za afya
      uendeshaji wa huduma za afya katika      katika ngazi ya wilaya ili kuboresha huduma. Pia
      ngazi ya wilaya ili kuboresha huduma.    ilifanya mapitio ya mwongozo wa utekelezaji wa
                                               Mipango Kabambe ya Afya ya Halmashauri. Aidha
                                               serikali ilianzisha mfumo wa „Indent‟ ili kuwezesha
                                               zahanati na vituo vya afya kuagiza dawa na vifaa
                                               muhimu kulingana na mahitaji na mgao wa fedha badala




                                                  50
                                                       ya mfumo wa makasha (drug kits). Hivi sasa, mfumo
                                                       huo unatumika katika mikoa 16 nchini.
60.   Kupeleka magari mapya 10 na boti 1               Taratibu za ununuzi wa magari mapya 10 na boti 1
      kwenye Halmashauri kwa ajili ya kazi             zinakamilishwa, ili kuzipeleka kwenye Halmashauri kwa
      za ufuatiliaji na usambazaji wa dawa             ajili ya kazi za ufuatiliaji na usambazaji wa dawa na vifaa
      na vifaa muhimu vya afya.                        muhimu vya afya.
61.   Kuendelea kutoa mafunzo ya                       Serikali ilikamilisha uzinduzi wa Bodi za huduma za afya
      uhamasishaji kwa Halmashauri mpya                katika halmashauri 52 kati ya Halmashauri 113 zilizobaki
      zilizoundwa ili ziunde Bodi na                   baada ya Hati Rasmi (Instrument) kutangazwa katika
      kuanzisha Mfuko wa Afya ya Jamii.                Gazeti la Serikali. Uzinduzi wa Bodi hizo ulienda
                                                       sambamba na uanzishwaji wa Mifuko ya Afya ya Jamii.
62.   Ununuzi wa dawa, vifaa na vifaa tiba.            Bohari Kuu ya Madawa (MSD) wananunua na
                                                       kusambaza dawa, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi kwa
                                                       ajili ya zahanati, Vituo vya Afya na hospitali za umma.
                                                       Zahanati na vituo vya Afya katika mikoa ya Mbeya,
                                                       Rukwa, Kigoma, Tabora, Singida, Lindi, Pwani, Tanga
                                                       na Dar es Salaam vinapata makasha ya dawa kila
                                                       mwezi. Zahanati na vituo vya afya katika mikoa ya
                                                       Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Mwanza, Mara, Kagera,
                                                       Shinyanga, Dodoma, Iringa, Morogoro, Ruvuma na
                                                       Mtwara pamoja na hospitali zote zinawekewa fedha
                                                       MSD kuziwezesha kuagiza dawa na vifaa kulingana na
                                                       mahitaji.
63.   Kuendelea na ujenzi wa vituo vya                 Kazi ya ujenzi wa vituo ilishaanza na inaendelea vizuri.
      Damu salama kwa Kanda za Kusini -                Vituo vya Damu Salama Kanda ya Magharibi Tabora na
      Mtwara, Magharibi – Tabora na Kati –             Kanda ya Kusini Mtwara ujenzi wake umekamilika. Vituo
      Dodoma.      Katika Kanda ya Kati                hivi vimeanza kufanya kazi mwezi Januari, 2007.
      kitajengwa chuo cha mafunzo juu ya
      taaluma ya Damu Salama.                          Ujenzi wa Kituo cha Damu Salama Kanda ya Kati
                                                       Dodoma uko katika hatua za mwanzo na utaanza
                                                       kutekelezwa 2007/2008. Aidha upo mpango wa kujenga
                                                       uwezo wa kuhifadhi damu kwenye majokofu yanayokidhi
                                                       ubora kwenye mikoa yote.
64.   Kufunga vifaa vya huduma za kinywa               Taratibu za uagizaji wa vifaa hivyo kupitia MSD
      katika kliniki za meno nchini, ununuzi           zimekamilika. Fedha za ununuzi wa vifaa hivyo
      wa mashine za X-ray kwa ajili ya kliniki         zilishapelekwa MSD, mzabuni alishateuliwa, ununuzi
      za meno za Hospitali za Mikoa ya                 umefanyika, kinachosubiriwa ni kuwasili kwa vifaa hivyo
      Mtwara, Lindi, Ruvuma, Rukwa,                    viwili.
      Kigoma, na Mara.
65.   Kuendeleza huduma za afya ya akili na             Serikali imeandaa mpango wa kufanya utafiti juu ya
      kwa walioathirika na dawa za kulevya              matatizo ya akili pamoja na utumiaji wa madawa ya
      ngazi ya msingi katika wilaya 20 za               kulevya. Aidha, mikoa mitatu (3) ya Dar es salaam,
      mikoa ya Mara, Shinyanga, Lindi,                  Dodoma na Kilimanjaro ilifanya uchambuzi yakinifu
      Morogoro na Dodoma, pia kitafanya                 kuhusu matumizi ya pombe katika jamii. Vile vile
      utafiti ili kujua hali halisi ya afya ya akili    mafunzo ya namna ya kubainisha na kutoa tiba kwa




                                                          51
      nchini.                                    wagonjwa wa akili ngazi ya msingi yalitolewa kwa
                                                 watumishi katika Mikoa ya Morogoro, Shinyanga, na
                                                 Dar es Salaam.
66.   Kuhamasisha Halmashauri za Wilaya         Mwongozo wa kutoa ruzuku umerekebishwa na
      na wamiliki wa vituo vya huduma za        kupelekwa kwa wadau ili watoe maoni yao.
      afya vya mashirika ya dini kuingia
      makubaliano ya kutoa huduma mahali
      ambapo Serikali haina kituo lakini kuna
      kituo cha Shirika la dini na kupitia
      mwongozo wa kutoa ruzuku kwa ajili
      ya mishahara ya watumishi wa
      mashirika hayo.
67.   Kuendelea kusimamia huduma za Tiba        Kuundwa kwa baraza la tiba asili na tiba mbadala
      Asili na Tiba Mbadala kwa manufaa ya      kumeweka chombo ambacho kitatumia sheria na
      wananchi      pia   kukamilisha      na   miongozo ya wizara kusimamia huduma za tiba asili na
      kusambaza mwongozo kwa ajili ya           tiba mbadala kama ilivyo “Medical Association of
      utekelezaji wa Sheria Na. 23 ya           Tanzania” (MAT). Jukumu la serikali ni kuhakikisha
      mwaka 2002 inayosimamia Tiba Asili        kuwa wananchi wanapata huduma iliyo bora na salama
      na Tiba Mbadala, pamoja na                kwa afya zao, hivyo wizara ina jukumu la kuhakikisha
      kukamilisha tafsiri ya sheria hiyo        kuwa waganga wa tiba asili wanafuata maadili, (ethical
      kutoka lugha ya Kiingereza kuwa           code of conduct). Rasimu iliyofanyiwa tafsiri
      katika Kiswahili.                         imeandaliwa na inasubiri marekebisho mengine madogo
                                                madogo yanayojitokeza katika tafsiri ya lugha.
68.   Kuendelea kuzijengea uwezo Hospitali      Wataalamu 27 wako mafunzoni nchini India na Israel
      za rufaa ili ziweze kutoa huduma          kwa ajili ya kuanzishwa kwa huduma za upasuaji wa
      zinazopatikana nje ya nchi pia            moyo. Aidha chumba cha upasuliaji na cha wagonjwa
      kuendelea kufanya maandalizi ili          mahututi cha        hospitali ya MOI kinaendelea
      Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ianze     kutayarishwa, kitanda cha upasuaji na taa viko tayari.
      kutoa huduma za upasuaji wa moyo,
      pamoja na ununuzi wa vifaa na vifaa
      tiba vinavyotakiwa pia kutoa mafunzo
      na ujenzi wa sehemu ya kutolea
      huduma.
69.   Kuanzisha huduma ya kusafisha damu        Suala hili linaenda sambamba na mkakati wa serikali
      kwa wagonjwa ambao figo zao               katika kuboresha huduma za matibabu ya wagonjwa
      hazifanyi kazi na huduma za matibabu      yanayohitaji matibabu ya nje. Mpango wa seriklali ni
      ya macho kwa kutumia Laser.               kuziwezesha hospitali zote za rufaa kutoa huduma hii.
                                                Kwa sasa huduma hii ipo Hospitali ya Taifa Muhimbili na
                                                Hospitali ya Rufaa Mbeya. Mipango ya kuziwezesha
                                                hospitali za rufaa Bugando na KCMC kutoa huduma hii,
                                                inaandaliwa. Katika kuhakikisha huduma hii inatolewa
                                                vizuri, wataalamu kadhaa wamepelekwa nchi za nje
                                                kupata mafunzo.
70.   Kuweka mtandao wa kompyuta katika         Huduma za tiba na ushauri kwa mawasiliano
      utoaji wa huduma na huduma za tiba        (Telemedicine) zimekwishaanza katika hospitali ya




                                                   52
      na    ushauri     kwa     mawasiliano     Bugando kwa kushirikiana na Hospitali ya Breschia
      “Telemedicine”, idara ya magonjwa ya      University (kwa upande wa Pathology) na Serikali kwa
      Saratani na kununua mashine ya            kushirikiana na shirika la AMREF inaanzisha huduma
      kuchomea taka na ya kufulia nguo.         hizo katika hospitali za Rubya mkoani Kagera na
                                                Kibondo mkoani, Kigoma.

                                                Katika Hospitali ya Kibong‟oto tanuru ya kuchomea taka
                                                (Incinerator) imeshajengwa na inafanya kazi, Mashine
                                                mbili za kufulia nguo zimeshanunuliwa zitaanza kazi
                                                mara baada ya kufungwa; wakati shirika la „Axios
                                                International‟ la Marekani lilitoa msaada wa mashine
                                                moja ambayo imeshafungwa na inafanya kazi sasa.
71.   Hospital ya KCMC kwa kushirikiana na      Ujenzi umefikia 90%, kazi zinazoendelea ni “fittings”,
      “Elizabeth Glaizer Foundation” itajenga   yaani “Electrical works”, “water” na “painting” pamoja na
      kituo cha kuimarisha huduma za afya       “fixtures” (madirisha, vioo, n.k.) Kazi ya ujenzi
      kwa watoto na kukamilisha upanuzi wa      itakamilika Agosti, 2007 na kituo kitafunguliwa rasmi
      jengo la vyumba vya upasuaji kwa          wakati huo, ili kuanza kufanya kazi na kutoa huduma
      wagonjwa wa macho na upanuzi wa           kwa wananchi.
      idara ya magonjwa ya njia za mkojo na
      figo. Pia kuendelea kutoa huduma za
      upasuaji wa moyo.
72.   Kuendelea kutoa huduma za kusafisha       Vifaa ambavyo ni mashine 10, vimetolewa na Serikali
      damu kwa wagonjwa ambao figo zao          ya Uholanzi kwa ajili ya hospitali ya Muhimbili. Kwa sasa
      hazifanyi kazi na kuendeleza utafiti wa   ukarabati wa chumba unaendelea. Hospitali ya Rufaa
      ugonjwa wa UKIMWI ikiwa ni pamoja         Mbeya, tayari imekwishaanza kutoa huduma hiyo ya
      na majaribio ya chanjo yake.              kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo. Utafiti wa
                                                UKIMWI unaendelea kufanyika na kuna wagonjwa 2,600
                                                Muhimbili.     Lengo ni kutathmini athari ya dawa
                                                zinazotolewa kwa wagonjwa. Kuhusu chanjo Shirika la
                                                Afya Muhimbili linaendelea kujiandaa na liko katika
                                                hatua za mwisho za utafiti.
73.   Kuanza kutoa huduma za matibabu ya        Huduma za matibabu na kuweka viungo bandia vya goti
      kuweka viungo bandia vya goti na          ziliaanza kutolewa mwezi Februari, 2007. Kiwanja cha
      kuanzisha kituo cha kuwafanyia            kujenga kituo cha kufanyia mazoezi wagonjwa
      mazoezi wagonjwa waliopooza (Spinal       waliopooza kimenunuliwa. Fedha za kujenga kituo
      Rehabilitation Centre).                   hicho zimetengwa katika bajeti ya 2007/2008.
74.   Kuanzisha kituo cha Mafunzo ya            Mafunzo yamepangwa kufanyika katika Taasisi ya
      habari na mawasiliano , ambacho           Saratani ya “Ocean Road Cancer Institute (ORCI)”.
      kitatoa mafunzo kwa wataalam              Majengo yote na vifaa vinavyohitajika kwa ajili ya
      wanaotoa huduma kwa kutumia mionzi        uanzishwaji wa mafunzo hayo ya kutumia mionzi na
      na wauguzi wa wagonjwa wa saratani.       wauguzi wa saratani tayari yamekamilika. Mtaala wa
                                                mafunzo hayo kwa hivi sasa uko katika hatua za mwisho
                                                ili uweze kuidhinishwa kwa matumizi na Baraza la
                                                Seneti la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
                                                 Mafunzo hayo yanategemewa kuanza katika mwaka




                                                   53
                                                 ujao wa masomo ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
                                                 Mafunzo haya yatakuwa katika ngazi ya Stashahada ya
                                                 Juu na kuendelea.
75.   Kuendelea kutoa huduma kwa                 Hospitali ya Kibongo‟oto imehudumia jumla ya
      wagonjwa wa Kifua Kikuu kutoka kote        wagonjwa wa vimelea 11 na kati yao 4 walikufa na 7
      nchini na uchunguzi wa vimelea sugu        walirudishwa makwao baada ya kukaa hospitali kwa
      (Multi Drug Resistant – MDR).              muda mrefu.
76.   Kuendelea kutoa huduma kwa                 Kama sehemu ya kuadhimisha siku ya afya ya akili
      wagonjwa wa akili na wale                  duniani waratibu wa Afya ya Akili mikoani na wilayani
      walioathirika na dawa za kulevya pia       wamehusisha shule na vyuo katika maeneo yao kutoa
      elimu mashuleni na vyuo vya juu            elimu ya kinga dhidi ya magonjwa ya akili na dawa za
      kuhusu athari na jinsi ya kupambana        kulevya. Elimu iliyotolewa ilihusu uhusiano wa
      na dawa za kulevya zitatolewa.             magonjwa ya akili na dawa za kulevya na matukio ya
                                                 kujiua.
77.   Kuendelea kuziimarisha hospitali zote      Serikali kupitia Bohari Kuu ya Madawa imekuwa
      kwa kuzipatia wataalam, dawa, vifaa,       ikinunua dawa, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi pamoja
      vifaa tiba na vitendanishi ili kuzipa      na kuzipatia wataalamu hospitali zote za Serikali
      uwezo wa kutoa huduma zinazostahili.       kulingana na rasilimali zilizopo. Vituo vya kutolea
                                                 huduma za afya nchini vimepatiwa mgao wa dawa, vifaa
                                                 tiba na vitendanishi kwa wakati.
78.   Kukamilisha mapitio na marekebisho         Rasimu imeshawasilishwa ofisi ya Rais, Menejimenti ya
      ya Miundo ya Utumishi ya Kada za           Utumishi wa Umma. Aidha Menejimenti ya Utumishi wa
      Afya na Ustawi wa Jamii, sanjari na        Umma        wameainisha      sehemu      za     kufanyia
      kuboresha mipango ya kazi kwa kada         marekekebisho na Wizara inaendelea kufanya
      mbalimbali za watumishi katika             marekebisho hayo.
      kuboresha maslahi na utendaji wao.
79.   Kuajiri jumla ya watumishi 153 wa          Serikali iliwapangia vituo vya Kazi, Madaktari 34,
      kada mbalimbali ili kupunguza tatizo la    Maafisa Tabibu 526, Maafisa Wauguzi 11, Maafisa Afya
      upungufu wa watumishi katika Wizara        24, Wauguzi 237, Mafundi Sanifu 42, Wafamasia 3, na
      na kuwapangia vituo vya kazi wahitimu      Wazoeza Viungo 6. Jumla ya wataalamu wa Afya 983
      wa mafunzo mbalimbali ya kada za           walipangiwa vituo katika kipindi cha 2006/07.
      afya.
80.   Kusimamia utekelezaji wa Utawala           Wizara imekamilisha uandaaji wa mkakati mpya wa
      Bora na kuimarisha maadili ya              kupambana na rushwa wa mwaka 2006-2010 na tayari
      Utumishi wa Umma kwa kutoa                 umewasilishwa kitengo cha Utawala Bora. Aidha,
      mafunzo kwa watumishi wa Wizara na         Wizara imeendesha semina za maadili katika Utumishi
      kudhibiti vitendo vya utoaji na upokeaji   wa Umma,kudhibiti utoaji na upokeaji rushwa na taratibu
      rushwa pamoja na ukiukwaji wa              za ugavi kwa watumishi 113 ikijumuisha maafisa tawala
      maadili kwa kuwachukulia hatua za          na utumishi, wasaidizi wa masijala, maafisa ugavi na
      kinidhamu      na     kisheria     wote    makatibu mahsusi.
      watakaobainika kujihusisha na vitendo
      hivyo.                                     Wizara imepitia upya mkataba wake wa huduma kwa
                                                 mteja wa tarehe 1/7/2005 ambapo vijarida 4000
                                                 vilichapishwa na kusambazwa katika vyuo, Hospitali za
                                                 Rufaa, Vyuo vilivyo chini ya Wizara, Taasisi zilizo chini




                                                    54
                                                 ya Wizara na makao makuu ya Wizara.

                                                 Watumishi wameendelea kuelimishwa kuhusu umuhimu
                                                 wa kuvaa vitambulisho na kuimarisha matumizi ya
                                                 visanduku vya maoni katika Vyuo, Taasisi, Hospitali za
                                                 Rufaa na Makao Makuu ya Wizara.
81.   Kuimarisha       ushirikishwaji wa         Wizara imewawezesha Viongozi na Wajumbe wa
      wafanyakazi katika mipango na              TUGHE kuhudhuria mafunzo ya Sheria za kazi na
      utekelezaji wa maamuzi mbalimbali          Wajibu wa Tawi mahala pa kazi. Aidha, Baraza la
      kupitia Tawi la TUGHE na Baraza la         Wafanyakazi limeshirikishwa katika mchakato wa
      Wafanyakazi la Wizara.                     kuandaa mipango na bajeti ya Wizara kwa mwaka
                                                 2007/08.
82.   Kuandaa            mipango       thabiti   Mpango huu umefanyika kwa kuyafundisha makundi
      itakayotumika katika kutekeleza na         mbalimbali ya watumishi wa Wizara wakiwemo
      kuelimisha watumishi wa Wizara             wataalam wa bajeti, masjala na makatibu muhtasi.
      masuala yanayohusu jinsia.
83.   Kuendelea      kutoa      mafunzo    ili   Mikoa iliyokuwa imebakia ni Kigoma, Tabora, Dar es
      kuimarisha utendaji wa timu za             Salaam, Lindi, Mtwara na Mbeya ambayo wataalam
      uendeshaji za mikoa ya Kigoma,             wake walipatiwa mafunzo tarehe 16/10/2006 hadi
      Mbeya, Rukwa, Ruvuma, Tabora na            4/11/2006. Kwa sasa kamati zote za mikoa Tanzania
      Iringa. Jumla ya wataalamu 62              Bara zimepata mafunzo hayo.
      watapatiwa mafunzo hayo.
84.   Kuendesha mafunzo kwa njia ya posta        Mitaala imepitiwa na moduli kwa mafunzo ya Waganga
      kwa Waganga Wasaidizi Vijijini. Jumla      Wasaidizi Vijijini na Wakunga Wasaidizi ( MCHA)
      ya Waganga Wasaidizi Vijijini 140 kati     imeandaliwa na inaendelea kutumika katika mafunzo
      ya 306 wanatarajia kuhitimu mafunzo        hayo. Inatarajiwa kuwa mafunzo hayo yataendelea hadi
      ya Afisa Tabibu kupitia mafunzo hayo.      hapo wataalamu wote wa kada hizi wakatapokuwa
      Aidha, mafunzo katika fani ya Uuguzi       wamepatiwa mafunzo ya “upgrading” na kuwa “Clinical
      kwa njia ya posta yataanza kutolewa        Officers” na “PHN - Nurses”.
      kwa Wakunga Wasaidizi Vijijini
      (MCHA). Wizara pia inatarajia kutoa
      wataalam 2,750 katika fani ya sayansi
      shiriki na uuguzi.
85.   Kufanya ufuatiliaji wa wahitimu (tracer    “Proposal”. iliandaliwa na Mkuu wa Chuo cha “Vector
      study) wa mafunzo ya udhibiti wa           Control” Muheza na aliiwasilisha wizarani. Wizara
      magonjwa yanayoambukizwa na                inalifanyia kazi suala hili na mafunzo hayo yanatarajiwa
      wadudu kutoka Chuo cha Vector              kuanza mwaka 2007/08.
      Control cha Muheza.
86.   Kuongeza nafasi za mabweni na              Vyuo vyote 15 vilivyokuwa vya Uuguzi vinaendelea
      madarasa kwa ajili ya kuongeza idadi       kufanyiwa ukarabati ili viweze kuchukua wanafunzi
      ya wanafunzi katika vyuo 15 vya            wengi zaidi wa “upgrading” na “pre-service”. Vyuo vya
      uuguzi ambavyo hapo awali vilikuwa         Njombe na Tukuyu vimeanza kuingiza wanafunzi
      vinatoa mafunzo ya afya ya mama na         mkondo wa pili. Vyuo vya Kahama, Kondoa, Geita, na
      mtoto (Maternal and Child Health –         Tarime vinategemea kupokea wanafunzi mkondo wa pili
      MCHA).                                     Septemba, 2007.




                                                    55
87.   Kuendelea kusimamia viwango vya        Serikali imefanyia ufuatiliaji wa utoaji huduma katika
      ubora wa huduma, uwiano mzuri wa       mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma, Manyara, Morogoro,
      idadi ya wataalam, uboreshaji wa       Kigoma, Tabora na Tanga ili kuimarisha viwango vya
      huduma za uuguzi, kukabiliana na       afya vya wananchi, kubaini mapungufu yaliyojitokeza na
      dharura na maafa, ukaguzi wa huduma    namna ya kuyatatua. Ukaguzi wa huduma za afya
      za afya na maadili ya taaluma          ulifanyika katika mikoa ya Arusha, Iringa, Manyara na
      mbalimbali kupitia mabaraza na vyama   Pwani.
      vya kitaaluma.
88.   Kuboresha miongozo inayoelekeza        Tafsiri ya mwongozo wa kuthibiti na kuzuia maambukizi
      viwango vya utoaji huduma ili          kwa lugha ya Kiswahili imefanyika. Mwongozo huo kwa
      kuimarisha kitengo cha ukaguzi         lugha ya Taifa utaweza kutumiwa na watoa huduma
      kimuundo na kiutendaji ili kukipa      ngazi zote za utoaji huduma kwa urahisi. Mwongozo
      uwezo wa kufuatilia utoaji wa huduma   utasambazwa kwenye vituo vya huduma baada ya
      za afya katika ngazi mbalimbali.       kupata maoni ya Wadau wengine.
89.   Kuboresha mafunzo ya ufundi katika     Vifaa vya kufundishia na kujifunzia vyenye thamani ya
      vyuo kwa watu wenye ulemavu na         Shilingi milioni14.2 vilinunuliwa kwa ajili ya vyuo vya
      mafunzo ya walezi wa watoto wadogo     ufundi kwa watu wenye ulemavu vya Singida, Mirongo,
      katika Chuo cha Kisangara kwa          Yombo na chuo cha Walezi Kisangara.
      kununua vifaa vya kufundishia.
90.   Kupitia mtaala wa mafunzo ya malezi    Kazi ya kupitia mtaala wa mafunzo imefanyika. Mtaala
      kwa vituo vya kulelea watoto wadogo    wa mafunzo ya malezi kwa vituo vya kulelea watoto
      mchana na kuboresha ili kuendana na    umeandaliwa na kusambazwa kwa wadau wote.
      wakati.
91.   Kufanya ukarabati katika shule ya      Katika kipindi husika uwekaji wa Umeme katika vyuo
      maadilisho ya Irambo, makazi ya        vya Luanzari na Kisangara ulifanyika kwa gharama ya
      wazee Kolandoto, mahabusu ya           Sh. 18,500,000.
      watoto Dar es Salaam na Mbeya,
      Chuo cha ufundi kwa watu wenye         Ukarabati Irambo, Kolandoto, Dar es Salaam na Mbeya
      ulemavu Luanzari na Chuo cha walezi    haujafanyika kutokana na ukosefu wa fedha.
      wa vituo vya kulelea watoto wadogo
      mchana Kisangara.
92.   Kuanza ujenzi wa mahabusi mpya ya      Mkataba wa ujenzi wa mahabusu mpya ya watoto
      watoto mkoani Mtwara.                  mkoani Mtwara ambao uliwekwa saini mwezi Juni, 2006,
                                             ujenzi wake umeanza na unaendelea. Fedha kwa ajili
                                             ya kazi hii zimewekwa kwenye miradi ili ziendelee
                                             kutumika.
93.   Kuendelea kutoa vifaa vya kujimudu     Jumla ya watu 110 wenye ulemavu walipatiwa vifaa vya
      kwa watu wenye ulemavu pamoja na       kujimudu vyenye thamani ya Shilingi milioni 25. Aidha
      kuwapatia mitaji ya biashara na        wanafunzi 150 wenye ulemavu na waadiliwa 50
      vitendea kazi wahitimu kutoka vyuo     walipatiwa mitaji ya biashara na vitendea kazi vyenye
      vya ufundi kwa watu wenye ulemavu,     thamani ya Shilingi milioni 15.
      waadiliwa na vijana kutoka katika
      makazi ya wazee na makao ya watoto
      yatima Kurasini.




                                                56
94.   Kuendelea na hatua za kuandaa na          Kazi ya uandaaji wa Sera ya Huduma za Ustawi wa
      kukamilisha Sera ya utoaji wa huduma      Jamii imeanza kutekelezwa. Warsha ya uhamasishaji
      za ustawi wa jamii, kuendelea             wa utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Maendeleo na
      kuhamasisha jamii, Mamlaka za Miji na     Huduma kwa watu wenye ulemavu, Sera ya Taifa ya
      Halmashauri kuhusu utekelezaji wa         Wazee na Mwongozo wa huduma kwa watoto walio
      Sera ya Taifa ya Maendeleo na             katika mazingira magumu ilifanyika.
      Huduma kwa Watu Wenye Ulemavu,
      Sera ya Taifa ya Wazee na Mwongozo
      wa huduma kwa watoto walio katika
      mazingira magumu.
95.   Kuendelea kuboresha maisha ya             Katika kipindi hiki huduma za chakula malazi na
      makundi maalum kwa kutoa chakula,         madawa ziliendelea kutolewa. Jumla ya Shilingi milioni
      malazi na huduma za afya katika           130 zilitumika kutekeleza jukumu hili.
      makazi ya wazee, vyuo vya ufundi kwa
      watu wenye ulemavu, mahabusu na
      makao ya watoto, Kituo cha mama na
      mtoto Ilonga, Chuo cha malezi
      Kisangara na shule ya maadilisho
      Irambo.
96.   Kuendelea kutoa misaada ya dharura        Katika kipindi hiki jumla ya familia zenye dhiki 127, watu
      kwa familia zenye dhiki, watu wenye       wenye ulemavu 225, watoto walio katika mazingira
      ulemavu na wazee, watoto walio katika     magumu zaidi 139 na watoto waliozaliwa zaidi ya wawili
      mazingira magumu zaidi, watoto            35 walipatiwa misaada ya dharura. Jumla ya Shilingi
      waliozaliwa zaidi ya wawili kwa mara      milioni 26.8 zilitumika kutekeleza jukumu hili.
      moja na akina mama wanaopata
      ulemavu wakati wa kujifungua.
97.   Kuendelea kutoa huduma za majaribio       Huduma za majaribio zilitolewa kwa wajaribiwa 102.
      na ujenzi wa tabia pamoja na mafunzo      Aidha, mafunzo kwa wawezeshaji wa malezi ya watoto
      kwa wawezeshaji ngazi ya wilaya wa        walio katika mazingira magumu yalitolewa katika Wilaya
      malezi     ya watoto walio      katika    za Masasi, Kisarawe, Bagamoyo, Singida Vijijini,
      mazingira magumu.                         Musoma Vijijini, Makete, Iringa na Ngara, ambapo jumla
                                                ya wawezeshaji 96 walipatiwa mafunzo.
98.   Kuanzisha mafunzo ya shahada na           Taasisi ya Ustawi wa Jamii imeanza kutoa mafunzo ya
      Stashahada ya kawaida katika fani ya      Shahada na Stashahada ya kawaida katika fani ya
      Mahusiano Viwandani na Menejimenti        Mahusiano Viwandani na Manejimenti ya Rasilimali
      ya Rasilimali Watu. Pia iliongeza idadi   Watu. Aidha, Taasisi imeongeza idadi ya wanafunzi
      ya wanafunzi kutoka 1,036 hadi 1,500      kutoka 1036 kufikia 1500 katika mwaka wa masomo
      katika mwaka wa masomo 2006/07.           2006/07.
99.   Kuanza ujenzi wa maktaba ya kisasa        Kazi ya awali ya ujenzi ilianza katika robo ya kwanza na
      kwenye Taasisi ya Ustawi wa Jamii, ili    ya pili ikiwemo uandaaji wa michoro. Ujenzi umeanza
      kukidhi mahitaji ya ongezeko la kozi,     katika robo ya nne ya mwaka wa fedha 2006/07 na
      idadi ya wanafunzi na wahadhiri.          utaendelea katika mwaka wa 2007/2008.
100   Kuendelea kusimamia ubora na              Mifumo ya usajili wa dawa, vyakula vilivyofungashwa na
      usalama wa vyakula, dawa, vipodozi        vipodozi inaendelea kutumika. Mfumo wa vifaa tiba
      na vifaa tiba na kuimarisha mfumo wa      bado unaendelea kutayarishwa. Jumla ya biashara za




                                                   57
      usajili na ukaguzi wa bidhaa hizi kwa     vyakula 125, dawa 434 na vipodozi 275 zilikaguliwa.
      kuzingatia ushirikishwaji wa wadau        Jumla ya biashara zote zilizokaguliwa ni 834. Viwanda
      katika ngazi mbalimbali.                  vya kutengeneza dawa 14 vilikaguliwa huko nchini India.
                                                Jumla ya mizigo 212,604 ya vyakula ilikaguliwa
                                                mipakani na kuruhusiwa kuingia nchini. Papo hapo,
                                                mizigo ya dawa, vifaa tiba na vipodozi 219 ilikaguliwa
                                                mipakani na mizigo 8 kati yake ilikataliwa kuingizwa
                                                nchini. Sambamba na ukaguzi huo jumla ya kilo 500 za
                                                dawa na 7.08 za vyakula ziliharibiwa kwa ajili ya kutofaa
                                                kwa matumizi ya binadamu.
101   Kukamilisha taratibu za kuifanya          Mkandarasi amekwisha anza maandalizi ya upanuzi wa
      maabara yake iweze kutambulika            jengo la maabara. Vile vile, mtaalam kutoka WHO alitoa
      kimataifa ifikapo mwaka 2008.             mafunzo, mwongozo na kuainisha maeneo ya kufanyia
                                                kazi kabla ya maabara kutambuliwa kimataifa
                                                (Laboratory accreditation).
102   Kuimarisha huduma za maabara              Maabara ndogo zilizoko katika vituo vya forodha na
      ndogo zilizoko katika vituo vya forodha   baadhi ya hospitali za mikoa zinaendelea kuimarishwa.
      na baadhi ya hospitali za mikoa kwa       Kwa hivi sasa, maabara hizo mbali na kupima dawa za
      kuongeza wigo wa aina ya dawa             kutibu malaria vile vile zinapima dawa za kupunguza
      zinazofanyiwa uchunguzi na vile vile      makali ya UKIMWI kwa waathirika wa ukimwi kama vile;
      kuanza kufanya uchunguzi wa sumu          Nevirapine, Stavudine, Zidovudine, Lamivudine n.k. Vile
      aina ya „aflatoxin‟ kwenye vyakula vya    vile, TFDA inashirikiana na Chuo Kikuu cha Tiba
      aina ya nafaka.                           Muhimbili kufanya utafiti wa kupata njia bora ya namna
                                                ya kupima dawa mseto mpya ya malaria. Kuhusu
                                                upimaji wa sumu “aflatoxin” kwenye vyakula vya nafaka
                                                na jamii ya kunde, maandalizi ya kitaalam yanaendelea
                                                ili kuweza kubaini njia bora ya kufanya uchunguzi huo
                                                katika mazingira ya kitropiki.
103. Kuandaa mkakati wa kuimarisha              Kwa upande wa dawa, Mamlaka inafanya maandalizi ya
     viwango vya uzalishaji wa vyakula na       uteuzi wa kamati maalum ya wadau muhimu kutoka
     dawa nchini ili kuinua ubora wa dawa       katika wizara na taasisi za Serikali itakayosimamia
     zinazozalishwa kwa lengo la kulinda        utekelezaji wa mkakati huu. Utafiti wa awali (Baseline
     afya za walaji, kuongeza ushindani wa      Survey) wa viwanda vya vyakula umekwisha fanyika
     dawa zinazozalishwa nchini na              nchi nzima. Hatua inayofuata ni kukutana na taasisi za
     kuongeza mchango wa sekta katika           Serikali kama vile TBS, SIDO n.k. kabla ya kukutana na
     pato la taifa.                             wadau wengine ambao siyo taasisi za Serikali.
104. Kuendelea kutoa mafunzo kwa                Mamlaka imeendelea kuwasomesha watumishi wawili
     watumishi ili waweze kufanya kazi kwa      (2) hapa nchini kwa mafunzo ya muda mrefu na
     ufanisi zaidi.                             kuwapeleka watumishi wengine wawili (2) nje ya nchi
                                                (Uingereza). Mafunzo ya muda mfupi yataendelea
                                                kutolewa kwa watumishi husika kwa kuzingatia mpango
                                                wa mafunzo wa Mamlaka.
105. Kuendeleza mpango wa Maduka ya             Mpango kwa Mikoa ya Lindi na Pwani haukutekelezwa
     Dawa Muhimu katika mikoa ya Lindi,         kutokana na ukosefu wa fedha za kuanzisha mradi
     Morogoro, Pwani, Rukwa na Mtwara.          husika. Mkoa wa Morogoro – Wilaya za Kilosa na




                                                   58
                                             Kilombero; uhamasishaji, ukaguzi wa maduka ya dawa,
                                             mafunzo kwa wakaguzi wa wilaya vimefanyika. Wilaya
                                             za Mvomero na Morogoro Vijijini; Semina za
                                             uhamasishaji wa ngazi ya wilaya, Kata na vijiji zilifanyika
                                             ukaguzi wa maduka ya dawa, uhamasishaji, uboreshaji
                                             wa mitaala na mwongozo wa uwezeshaji vimefanyika
                                             katika mikoa ya Rukwa na Mtwara. Sambamba na
                                             utendaji huo, Mpango mkakati wa upanuzi wa Maduka
                                             ya Dawa Muhimu wa 2006 – 2012 umekamilika.
106. Kuimarisha uwezo wa Wakala kutoa        Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali
     huduma bora kwa kutumia teknolojia      umenunua vitendea kazi kama kemikali, vitendanishi,
     na vifaa vya kisasa na kemikali zenye   “glassware,    standards”,      mashine,    vipuri       na
     ubora.                                  matengenezo ya mitambo kwa ajili ya utekelezaji wa
                                             majukumu yake ya uchunguzi wa ubora, usalama na
                                             utambuzi wa sampuli za Vyakula, Dawa, Maji, Majitaka,
                                             Kemikali,Toksikolojia, Dawa za kulevya na DNA. Jumla
                                             ya sampuli 12,860 zimechunguzwa na matokeo
                                             kutolewa katika muda wa siku 14 kama ilivyoainishwa
                                             katika Mkataba wa Huduma kwa Mteja.
107. Mafunzo ya muda mfupi na mrefu          Mafunzo ya muda mfupi na mrefu ndani na nje ya nchi
     yanayoendana na mabadiliko ya           yametolewa kama ifuatavyo;
     teknolojía ili kuboresha utoaji wa      Muda mfupi: “Instrumental and Analytical Techniques”,
     huduma kwa jamii.                       in Austria, (Mtu 1), Occupational Safety and Health in
                                             Swaziland
                                             (Mtu 1), “EPICOR Training” in DSM (Mtu 1), “Laboratory
                                             Skills in Analysing Chemicals related to Chemical
                                             Weapons” Finland (Mtu 1), “Customer Care” DSM
                                             (Watu 16) na “Driving Skills”, DSM (Mtu 1). Muda mrefu:
                                             MSc DNA Profiling UK (Mtu 1), MBA ESAMI and
                                             Mzumbe University (Watu 2), “MSc Microbiology”
                                             Belgium (Mtu 1) na “MSc Integrated Environmental
                                             Management UDSM (Watu 2).
108. Kuongeza ufanisi katika usimamizi wa    Kompyuta nne zimenunuliwa, tovuti (gcla@gcla.go.tz)
     Sheria ya Kemikali za Viwandani na      imeimarishwa na “website” ya Wakala (www.gcla.go.tz)
     Majumbani kwa kuanzisha mtandao         ambayo ina sheria ya kemikali imeboreshwa na
     wa ndani na nje ambao utaiwezesha       inasomeka ndani na nje ya nchi. Kazi inayoendelea ni
     kupata taarifa zilizo bora na kwa       kufunga “Local” and “Wide Area Net Work” ili taarifa
     wakati.                                 zipatikane kwa wakati.




                                                59
109. Kuimarisha ukaguzi wa kemikali,         Katika kuimarisha utekelezaji na usimamizi wa sheria ya
     kuhamasisha Wadau juu ya sheria ya      kemikali,    Maabara imeendelea kuimarisha ukaguzi
     kemikali na miongozo yake na kutoa      mara kwa mara wa waingizaji wa kemikali nchini kwa
     mafunzo kwa Maafisa Forodha,            kuendesha warsha, mafunzo na miongozo kwa
     Maafisa Afya, Polisi na wadau wengine   wafanyakazi wake na wadau wanaojishughulisha na
     juu ya sheria ya kemikali.              biashara ya kemikali.

                                             Utaratibu wa kutembelea sehemu za biashara ya
                                             kemikali ili kuwahamasisha kujisajili na kutoa maelekezo
                                             ya utendaji bora katika kutumia au kuhudumia kemikali
                                             umeimarishwa. Aidha, mafunzo ya ukaguzi kwa maofisa
                                             wa vituo vya mipakani ambavyo ni Sirari, Bandari ya
                                             DSM, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. J. K.
                                             Nyerere, Tunduma, Mbambabay, Kasumulo, Namanga,
                                             Holili na Horohoro yamefanyika.

                                             Jumla ya maduka, maghala na viwanda 130 vya wadau
                                             wanaofanya biashara ya kemikali katika mikoa ya
                                             Arusha, Tanga, Iringa, Kilimanjaro, Shinyanga na
                                             Mwanza yalikaguliwa.




                                                60
                              WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
NA.                  AHADI                                        UTEKELEZAJI
1.    Kukamilisha ukarabati wa jengo           Kazi zinazoendelea kukamilishwa kwa sasa ni ufungaji
      litakalotumika kama ofisi ya Makao       wa mtandao wa simu, kompyuta na mfumo wa viyoyozi.
      Makuu ya Magereza.
2.    Kukarabati Ofisi ya Mkuu wa Magereza     Mshauri wa mradi (TBA) anaendelea kuandaa taratibu
      Mkoa wa Dodoma.                          za ukarabati.

      Kuendelea na ukarabati wa majengo        Ukarabati wa miundo mbinu ya majengo ya Magereza
      na Miundombinu ya Magereza yenye         yenye ulinzi mkali unaendelea na uko katika hatua
      ulinzi Mkali likiwemo Gereza la          mbalimbali za utekelezaji katika Magereza ya Ukonga,
      Maweni, Uyui, Ukonga, Lilungu na         Isanga Maalum, Keko, Lindi, Lilungu na Uyui.
      Gereza Maalum Isanga.
4.    Kuendelea kukamilisha baadhi ya          Ujenzi wa bweni moja lenye selo mbili yenye uwezo wa
      viporo vya miradi ya mabweni ya          kuhifadhi wafungwa 100 kwenye gereza la Kahama
      wafungwa na Mahabusu na kuendelea        umekamilika na linatumika. Bweni lingine lenye selo 2
      na ujenzi wa Magereza ya Mbarali,        limefikia hatua ya mtambaa wa panya.
      Mbinga, Igunga, Meatu, Kahama,
      Kasulu, Bangwe (Kigoma).                 Ujenzi wa mabweni yenye uwezo wa kuhifadhi
                                               wafungwa 50 kila moja katika gereza la Igunga, Mbinga
                                               na Bangwe umekamilika na yanatumika. Ujenzi wa
                                               bweni la pili kwenye gereza la Bangwe pia umekamilika.

                                               Ukarabati unaendelea katika Magereza ya mahabusu ya
                                               Shinyanga, Iringa, Njombe, Maswa na Rombo. Aidha
                                               ukamilishaji wa viporo vya mabweni ya wafungwa
                                               haukufanyika kutokana na ukosefu wa fedha.
5.    Kukamilisha ujenzi wa nyumba za          Ukamilishaji wa nyumba za Askari na Maafisa zilizoanza
      askari zilizoanza mwaka 2005/2006        kujengwa kwa kipindi tajwa unaendelea kwa awamu
      katika Magereza ya Loliondo - Arusha,    ikiwa ni pamoja na ujenzi wa “Rest House” Morogoro,
      Mbulu - Manyara, Mpwapwa -               Mpwapwa, Muleba na Keko. Aidha ujenzi wa jengo la
      Dodoma, Mwanga - Kilimanjaro, Iringa     ghorofa nne kwa ajili ya kuishi familia 16 za askari
      - Iringa, Sumbawanga - Rukwa, Kibiti -   unaendelea ambapo mpaka sasa kazi iliyofikiwa ni
      Pwani, Namajani - Mtwara na Wami         kusimikwa nguzo za sakafu ya chini.
      Vijana - Morogoro.
6.    Kuanza ujenzi wa nyumba za askari        Ujenzi wa nyumba katika Magereza tajwa haukufanyika
      katika Magereza ya Igunga – Tabora,      kutokana na ukosefu wa fedha.
      Mkuza na Kigongoni – Pwani, Lindi,
      King‟ang‟a – Dodoma, Rombo –
      Kilimanjaro, Mbarali na Mbozi – Mbeya
      na Kikosi Maalum – Ukonga Dar es
      Salaam.
7.    Kuendelea kujenga nyumba za askari       Ujenzi haukufanyika kutokana na ukosefu wa fedha.
      na Maafisa wa Mkoa mpya wa




                                                  61
      Manyara.
8.    Kuendelea kuimarisha mifumo ya maji        Uimarishaji na uboreshaji wa mifumo ya maji taka na
      safi na maji taka Magerezani.              maji safi magerezani umefanyika katika vituo vya
                                                 K/Kimbiji- Ukonga, K/Chikuyu-Manyoni kwa kujenga
                                                 mnara wa maji, kununua mabomba kwa ajili ya
                                                 kusambaza maji, kujenga kibanda cha maji na kununua
                                                 “simtank” mbili zenye ujazo wa lita 5,000 kila moja.
                                                 Aidha mifumo ya maji taka imeimarishwa katika
                                                 Magereza ya Mahabusu Tanga, Sumbawanga, Bukoba,
                                                 Lindi, Urambo- Kilimo, Kwamngumi na gereza Tarime.
9.    Kupima maeneo ya Magereza ya               Upimaji wa maeneo unaendelea kufanyika katika
      King‟ang‟a,    Mpwapwa,     Kibondo,       Magereza ya King‟ang‟a, Mpwapwa, Kibondo, Mugumu,
      Mugumu, Chuo Kiwira, Tandahimba –          Mkuza, Meatu na Uyui.
      Mtwara, Ubena, Mkuza, Meatu, Uyui
      (Kambi Kakola na Kambi Kazima),
      Nzega, Kizwite – Rukwa.
10.   Kuanza ujenzi wa Magereza mapya ya         Ujenzi wa bweni moja lenye selo mbili unaendelea
      Wilaya za Karatu, Nkasi, Bukombe na        katika gereza la wilaya Bukombe. Aidha ujenzi wa
      Ruangwa.                                   Magereza mapya kwa Wilaya za Ruangwa, Hanang na
                                                 Nkasi haujaanza kutokana na ukosefu wa fedha.
11.   Kununua magari 82 na matrekta kwa          Taratibu za ununuzi wa magari zimekamilika na
      ajili ya shughuli za Magereza kama         mzabuni amepatikana.
      ifuatayo:-
      Magari maalum 11 kwa ajili ya
      kusafirisha mahabusu kwenda na
      kurudi Mahakamani; Malori matatu (3)
      ya tani 7 (7tons long wheel base);
      Tipper mbili (2) za tani 7 (7 tons Dump
      Trucks); Magari madogo 64 (4WD
      P/Ups) kwa ajili ya vituo vya Magereza
      ya Wilaya 64; Magari madogo mawili
      (2) (2 saloon cars), matrekta matano
      (5) kwa ajili ya kuimarisha kilimo.
12.   Kuanzisha mradi wa kupanda ekari           Mkakati wa kuhifadhi mazingira ya ardhi na vyanzo vya
      3,000 za miti aina mbalimbali katika       maji katika eneo la Ekari 3,000 kwa maeneo tajwa upo
      Magereza ya Idete - Morogoro, Isupulo      katika hatua ya uandaaji wa maeneo hayo kwa ajili ya
      - Iringa na Msalato - Dodoma.              kupanda miche ya miti. Kazi ya uchimbaji wa mashimo,
                                                 usombaji wa mbolea ya samadi kwa ajili ya vitalu vya
                                                 miti inaendelea.
13.   Kufanya utafiti wa nishati mbadala kwa     Utafiti umekamilika na gharama za ujenzi zimepatikana,
      ajili ya matumizi ya kupikia chakula cha   utekelezaji utafanyika katika mwaka wa fedha 2007/08.
      wafungwa Magerezani na Kuondokana
      na matumizi ya kuni ili kuokoa uharibifu
      wa mazingira ya nchi yetu.




                                                    62
14.   Kuendelea na Ujenzi na ukarabati wa       Ujenzi wa nyumba tano Chuo cha Ukonga umekamilika
      Vyuo Ukonga na Kiwira Mbeya.              na zinatumika. Ujenzi wa bweni moja la wanafunzi wa
                                                kike lenye uwezo wa kulaza wanafunzi 99 lipo katika
                                                hatua za ukamilishwaji na ukarabati wa madarasa
                                                unaendelea Chuo cha Kiwira.
15.   Kuanza kwa awamu jukumu la                Taratibu za ununuzi wa magari maalumu ya kusafirishia
      kusafirisha    mahabusu        kwenda     mahabusu zimekamilika na mzabuni amepatikana.
      Mahakamani na kurudi Magerezani.
16.   Kufanya ukarabati wa majengo katika       Utaratibu wa kuwapata wakandarasi kupitia Bodi za
      vituo vya Manyovu, Mabamba,               Zabuni za mikoa husika uko katika hatua za mwisho.
      Rusumo, Mkoa wa Pwani, Sirari, na         Utekelezaji unatarajiwa kuanza katika mwaka wa fedha
      Kilimanjaro.                              2007/08.
17.   Idara ya Uhamiaji                         Jenereta 17 zimenunuliwa na tayari zimekwisha fungwa
      Ununuzi wa Magari 20, Pikipiki 30, Boti   katika vituo vifuatavyo: Namanga, KIA, Holili, Tarakea,
      4 na Jenereta 15.                         Horohoro, Uwanja wa ndege wa Mwanza, Sirari,
                                                Mtukula, Rusumo, Kabanga, Bandari – Kigoma,
                                                Manyovu, Kasesya, Tunduma, Kasumolu, Kilambo na
                                                Bandarini Zanzibar.
18.   Kuanza ujenzi wa Ofisi za Mikoa ya        Zoezi la kumpata mkandarasi wa kujenga Ofisi za
      Dar es Salaam, Manyara, Mtwara na         Uhamiaji katika Mikoa ya Dar es Salaam na Manyara
      Kituo cha Kagunga Mkoani Kigoma, na       limekamilika na ujenzi wa ofisi hizi umekwishaanza.
      kukarabati jengo la Ofisi ya Mkoa wa      Aidha, ujenzi wa ofisi ya uhamiaji mkoa wa Mtwara,kituo
      Dodoma.                                   cha Kagunga Kigoma na ukarabati wa jengo la ofisi ya
                                                Dodoma haujafanyika kutokana na ufinyu wa bajeti
                                                uliosababishwa na kukatwa bajeti ili kugharimia mahitaji
                                                ya Serikali nje ya bajeti.
19.   Kuanza utekelezaji wa Mradi wa            Mpango kazi (Action Plan) umeandaliwa ambao
      Vitambulisho vya Uraia ikiwa ni pamoja    umeidhinishwa na Baraza la Mawaziri kwamba ifikapo
      na kupata watumishi wenye ujuzi,          mwaka 2009 vitambulisho viwe vimeanza kutolewa.
      kuanza ujenzi wa jengo la mradi huo
      na kupata mzabuni atakayetengeneza         Aidha, Mpango wa kuundwa kwa Wakala wa
      vitambulisho hivyo.                       vitambulisho vya kitaifa (National Identity Agency)
                                                unaendelea kufanyiwa kazi. Aidha mchakato wa uteuzi
                                                wa Mtendaji Mkuu wa Mradi huu (Chief Executive
                                                Officer) kwa mujibu wa ratiba unafanyiwa kazi kwa
                                                ushirikiano baina ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
                                                na Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Pia
                                                Jengo kwa ajili ya mradi huo limenunuliwa.
20.   Kuendeleza zoezi la „visa stickers‟       Zoezi la ufungaji wa mashine za „visa stickers‟ katika
      kwenye vituo kumi na saba (17) vya        vituo kumi na saba (17) na balozi zetu limekamilika.
      kuingilia nchini pamoja na kuzihusisha
      ofisi za Balozi zetu zote.
21.   Kuanzisha Chuo cha Uhamiaji               Majengo kwa ajili ya Chuo anzilishi yamenunuliwa huko
      (National       Immigration   Training    mjini Moshi na tayari ukarabati umekwishafanyika. Aidha
      Institute) huko Moshi.                    chuo hiki kinahitaji kufungwa mtandao wa kompyuta




                                                   63
                                                  ambao bado haujafungwa, Chuo hiki kinatarajiwa
                                                  kufunguliwa rasmi mwezi Septemba, 2007.
22.   Jeshi la Zimamoto na Uokoaji                Taarifa ya utekelezaji ni kama ifuatavyo:-
       Kununua magari ya Zimamoto na
      Uokoaji katika Manispaa ya Arusha,           Arusha
      Shinyanga, Sumbawanga, Musoma na            Zabuni imefanyika Manispaa iko katika hatua ya
      Halmashauri ya Miji za Babati,              mwisho ya kutoa “ award” ya “Supplier.”.
      Korogwe, Arumeru na Kahama.                 Shinyanga
                                                  Tathmini imeshafanyika. Bodi ilimwita aliyeshinda
                                                  zabuni kupunguza baadhi ya vifaa kwa sababu ya
                                                  kuongezeka gharama. Hata hivyo bado gharama
                                                  ilibakia kuwa shilingi 396,000,000. Fedha zilizotengwa
                                                  ni shilingi 380,000,000/-.
                                                  Musoma
                                                  Wamepewa gari kutoka TAMISEMI.
                                                  Babati
                                                  Zabuni imekamilika “supplier” amepewa “award” na
                                                  “Letter of Credit L/C” iko katika ufunguzi.
                                                  Arumeru
                                                  Mchakato wa “evaluation team” unaendelea kumpata
                                                  atakayenunua gari hilo la Zimamoto.

                                                   Kahama
                                                   Zabuni ilifunguliwa akapatikana muuzaji mmoja hivyo
                                                   waliongeza muda ili wapatikane zaidi kuleta ushindani.
                                                   Sumbawanga
                                                   Wametangaza na kufunga zabuni. Kinachosubiriwa ni
                                                  “Evaluation team” kufanya kazi ya uchambuzi.
23.   Kuangalia upya Sera, Sheria na               Rasimu ya Sera ya Taifa ya moto iko ngazi ya Wizara.
      Muundo wa Jeshi la Zimamoto na               Sheria ya Zimamoto na Uokoaji imejadiliwa na
      Uokoaji kwa nia ya kuliimarisha ili          kupitishwa na Bunge tarehe 19/04/2007. Kazi
      lifanye kazi kwa ufanisi zaidi na kukidhi    inayoendelea kufanywa na Jeshi la Zimamoto ni
      matarajio ya wananchi.                       kutunga Kanuni za Kiutumishi na kiutendaji ikijumuisha
                                                   amri za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
24.   Kuimarisha Chuo cha Zimamoto na              Bado ufuatiliaji wa kupatikana eneo muafaka la kujenga
      Uokoaji.                                     Chuo cha Kitaifa cha Zimamoto na Uokoaji unaendelea
                                                   pamoja na kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa Chuo
                                                   hicho.
25.   Kusimamia zoezi la uanzishwaji wa            Mchakato wa ajira ya Askari wa Zimamoto kwa ajili ya
      “Commanding Post” kwa kila Mkoa.             kuanzisha “Commanding Post” Mikoani unakamilishwa.
                                                   Pia zoezi la ufuatiliaji wa kupata ofisi mikoani
                                                   linaendelea.
26.   Kukamilisha zoezi la kuhuisha Sheria         Marekebisho yamekwishafanyika na Rasimu iko katika
      ya Wakimbizi ya mwaka 1998 ili iweze         hatua ya kupelekwa kwenye Baraza la Mawaziri kwa
      kulingana na Sera ya Taifa ya                hatua zaidi.




                                                     64
      Wakimbizi pamoja na mabadiliko
      mengine.
27.   Kufuatilia    upatikanaji    wa  gati   Gati limekwishajengwa na Wakimbizi wanaendelea
      zitakazosaidia Wakimbizi kuingia        kurejea makwao DRC kama ratiba ilivyopangwa. Kati
      kwenye meli wakati kina cha maji        ya Aprili na Mei, 2007 Wakimbizi 3,537 walikuwa
      kitakapopungua        katika    Ziwa    wamerejea.
      Tanganyika ili kurahisisha        na
      kuongeza kasi ya urejeaji wa
      Wakimbizi wa DRC.
28.   Kupanua programu ya huduma kwa          Semina elekezi zimeendeshwa kwa wadau kutoka Idara
      jamii kwa kuipeleka katika Mikoa sita   ya Mahakama (Mahakimu), Idara ya Magereza (Wakuu
      zaidi.     Mikoa hiyo ni Kagera,        wa Magereza wa Mikoa na Wilaya) na Idara ya Polisi
      Shinyanga, Mara, Tanga, Arusha na       (Waendesha Mashataka na Maafisa Upelelezi wa Mikoa
      Iringa.                                 na Wilaya) katika mikoa ya Iringa, Tanga na Arusha.

                                              Wadau wengine walioshirikishwa kwenye semina hizo ni
                                              Maafisa Tawala wa Mikoa na Wilaya, Wakurugenzi
                                              Watendaji na Maafisa Mipango wa Halmashauri za
                                              Manispaa, Miji na Wilaya kutoka Wizara ya Tawala za
                                              Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) katika Mikoa
                                              husika.

                                              Semina ziliwajumuisha pia Wasimamizi wa utekelezaji
                                              wa Sheria ya Huduma kwa Jamii (Maafisa Huduma kwa
                                              Jamii) ambao ni Maafisa Maendeleo ya Jamii (CDOs) na
                                              Maafisa wa Jamii (SWOs) katika maeneo hayo.

                                              Aidha upanuzi wa Programu ya Huduma kwa Jamii
                                              katika Mikoa ya Kagera, Mara na Shinyanga kama
                                              ilivyokuwa imepangwa haukuweza kufanyika kutokana
                                              na ufinyu wa bajeti ikilinganishwa na mahitaji halisi
                                              katika kutekeleza majukumu husika.




                                                65
                           WIZARA YA USALAMA WA RAIA

NA                AHADI                                          UTEKELEZAJI
1.   Kuanza mchakato wa kuandaa Sera ya     Mtaalam Mwelekezi amepatikana ambaye ni “ Dean -
     Usalama wa Raia.                       Faculty of Laws” – Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
                                            ambaye ameanza kazi mwezi Mei, 2007.
2.   Kuangalia upya muundo na mfumo wa      Jeshi la Polisi lipo kwenye mchakato wa kuandaa
     Jeshi la Polisi pamoja na Sheria na    Programu ya Maboresho (Police Force Reform
     Kanuni za Jeshi la Polisi.             Programe) chini ya usimamizi wa wataalam kutoka
                                            Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Mchakato upo katika
                                            hatua nzuri ya utayarishaji. Programu hii itakapokamilika
                                            itatoa nafasi ya kuangalia upya muundo, mfumo, sheria
                                            na kanuni za Jeshi la Polisi.
3.   Upatikanaji wa makazi na Ofisi Kanda   Mipango ya upatikanaji wa maeneo ya makazi na Ofisi
     Maalum ya Polisi Dar es Salaam.        kwa ajili ya Kanda hiyo imefanyika kama ifuatavyo:

                                            Temeke
                                            Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi imeahidi
                                            kulipatia Jeshi la Polisi eneo lenye ukubwa wa ekari 10
                                            Kibada - Kigamboni. Bado Jeshi la Polisi
                                            halijamilikishwa eneo hilo. Aidha, Wizara kwa
                                            kushirikiana na Jeshi la Polisi itawasiliana na Wizara ya
                                            Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ili kuomba kupatiwa
                                            eneo la ekari 10 lililopo karibu na Kituo cha Polisi
                                            Mbagala Kizuiani.

                                            Mazungumzo ya ununuzi wa nyumba za iliyokuwa
                                            Kampuni ya Kusafisha Mafuta ghafi (TIPER) Kigamboni
                                            yamekamilika. Wizara ya Fedha imekubali kuliuzia Jeshi
                                            la Polisi nyumba hizo kwa thamani ya shilingi milioni
                                            600. Fedha hizo zimetengwa katika bajeti ya 2007/08 ya
                                            Jeshi la Polisi.

                                            Ilala
                                            Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi imeahidi
                                            kulipatia Jeshi la Polisi eneo la ekari 20 Chanika - Pugu
                                            Kajiungeni.

                                            Kinondoni
                                            Maeneo ya Kimara Baruti kimepatikana kiwanja kimoja
                                            lakini hakijamilikishwa kwa Polisi. Aidha, Jeshi la Polisi
                                            limemilikishwa kiwanja kimoja ambacho hakiwezi kukidhi
                                            mahitaji halisi maeneo ya Tegeta. Maombi
                                            yaliyopelekwa Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi
                                            yalikuwa ni kubadilishwa wamiliki wa viwanja vinne




                                               66
                                           vilivyoko katika "Block" moja na kiwanja
                                           kilichomilikishwa na kupatiwa Jeshi la Polisi kwa ajili ya
                                           ujenzi wa kituo na nyumba za askari. Utekelezaji wa
                                           Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi kwa ajili ya
                                           kupatiwa maeneo hayo unasubiriwa.
4.   Kuboresha maslahi ya askari.          Wizara kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi iliandaa
                                           mapendekezo ya kuboresha maslahi ya askari Polisi na
                                           kuyawasilisha kwenye Kamati ya Taifa ya kushughulikia
                                           maslahi ya watumishi wa Serikali. Uamuzi wa Kamati
                                           hiyo unasubiriwa. Mikakati ya ndani ya Jeshi la Polisi
                                           iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa kwa lengo
                                           la kuboresha maslahi ya askari ni pamoja na:
                                              Kuanzishwa kwa SACCOS ya Wizara inayoitwa
                                                “URA
                                                  SACCOS”.
                                             Ufufuaji wa Kantini za Polisi.
                                             Mkataba wa NSSF wa kuanza kujenga nyumba za
                                               Polisi kwa awamu upo katika hatua ya kuwekwa
                                               saini na Waziri wa Fedha. Awamu ya kwanza ya
                                               mradi itakuwa ni Kambi ya Polisi Kilwa Road na
                                               Ziwani Zanzibar. Mradi utaanza kutekelezwa mwaka
                                               2007/08.
5.   Kuwapatia askari mafunzo mbalimbali   Jeshi la Polisi limeendelea kuwapatia askari mafunzo ya
     ya taaluma zao pamoja na mafunzo      taaluma ndani na nje ya nchi. Katika mwaka huu wa
     kuhusu Haki za Binadamu na Utawala    masomo 2006/07, kati ya Julai, 2006 hadi Mei, 2007
     Bora.                                 askari 967 wameruhusiwa kwenda kusoma katika vyuo
                                           mbalimbali hapa nchini na askari 13 wamepatiwa
                                           nafasi ya kwenda kusoma nje ya nchi.

                                           Vile vile katika kipindi hiki askari 86 wamehudhuria
                                           mafunzo mbalimbali yanayotolewa na nchi marafiki kwa
                                           ufadhili wa nchi hizo kama vile Marekani, Misri, India,
                                           Morocco, Japan, Urusi.

                                           Mafunzo ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
                                           Askari wamekuwa wanapatiwa mafunzo kazini (On job
                                           training) katika vituo vyao vya kazi. Walimu wa masomo
                                           hayo ni Maafisa, Wakaguzi na askari wa vyeo
                                           mbalimbali ambao walihudhuria mafunzo ya Waelimisha
                                           Kada “Training Of Trainers” yaliyofanyika Chuo cha
                                           Polisi Moshi. Idadi ya TOT ni 192. Mitaala ya mafunzo
                                           hayo imeandaliwa na Makao Makuu ya Jeshi la Polisi na
                                           kusambazwa kwa Makamanda wote wa Mikoa /Vikosi
                                           nchi nzima ambapo Haki za Binadamu na Utawala Bora




                                              67
                                           ni miongoni mwa masomo yanayofundishwa.

                                           Aidha, katika vyuo vyote vya Jeshi la Polisi: Chuo cha
                                           Polisi Dar es Salaam, Chuo cha Polisi Moshi na Chuo
                                           cha Polisi Zanzibar somo la Haki za Binadamu na
                                           Utawala Bora hufundishwa kwa kozi za awali       (Basic
                                           Recruits ), Uongozi mdogo (NCOs course), Ukaguzi
                                           (Inspectorate ) na Uofisa (Gazzeted ).
6.   Kuimarisha Vyuo vya Polisi vya          Ujenzi wa maktaba umekamilika katika Chuo cha
     Moshi, Dar es Salaam na Zanzibar.          Polisi Moshi.
                                             Katika Chuo cha Polisi Dar es Salaam, ujenzi wa
                                                bweni moja na uzio umekamilika. Ujenzi wa mtaro
                                                wa maji machafu unaendelea na michoro ya awali
                                                kwa ajili ya upanuzi wa Chuo kwa mafunzo ya
                                                Senior Management imekamilika.
                                             Katika Chuo cha Polisi Zanzibar ujenzi wa maktaba
                                                awamu ya kwanza umekamilika na ujenzi wa
                                                bwalo/jiko la wanafunzi unaendelea.

7.   Kuanza maandalizi ya ujenzi wa Chuo   Michoro ya awali na “design” imekamilika. Ufinyu wa
     cha Upelelezi (CID) Dodoma.           bajeti umekwamisha kuanza ujenzi wa chuo hicho kwani
                                           mahitaji yake ni makubwa mno.
8.   Kuanza ujenzi wa Kituo cha Polisi     Utaratibu wa Jeshi la Polisi ni kwamba vituo vidogo vya
     Mvumi Mission – Jimbo la Mtera na     Polisi hujengwa kwa nguvu za wananchi. Hii ni kutokana
     Kituo cha Polisi Kata ya Nshamba -    na bajeti finyu inayolikabili Jeshi la Polisi. Jeshi la Polisi
     Muleba Kusini. Aidha, kukamilisha     huchangia nguvu za wananchi pale hali ya kifedha
     ujenzi wa Kituo cha Polisi Pawaga -   inaporuhusu. Hivyo wananchi katika maeneo hayo
     Iringa.                               wahamasishwe kuhusu ujenzi wa vituo hivyo.
                                           Kutokana na ufinyu wa bajeti ya Jeshi la Polisi,
                                           wananchi wa eneo hilo wanahamasishwa kukamilisha
                                           ujenzi wa Kituo hicho.




                                              68
                               WIZARA YA MALIASILI NA UTALII


NA.                  AHADI                                        UTEKELEZAJI

1.    Kukamilisha Sera ya Malikale, na         Rasimu ya Sera ya Malikale imekamilika. Sera hii
      kufanya mapitio ya Sera za               imejadiliwa na Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri na
      Wanyamapori na Misitu na Nyuki.          tayari imewasilishwa na kujadiliwa katika kikao cha
                                               Kamati Maalum ya Makatibu Wakuu. Sera hiyo
                                               inatarajiwa kusambazwa kwa wadau katika mwaka wa
                                               fedha ujao.
                                               Sera ya Wanyamapori iliyofanyiwa marekebisho
                                               imepitishwa tarehe 27 Machi, 2007. Aidha, Mchakato
                                               wa kupitia Sera ya Misitu ya mwaka 1998 umeanza.

2.    Kukamilisha Sheria ya Utalii pamoja na   Rasimu kuhusu Sheria Mpya ya Wanyamapori
      Sheria mpya ya Wanyamapori.              iliwasilishwa lakini haikujadiliwa kutokana na
                                               kutokuwepo kwa Sera ya Wanyamapori. Sera ya
                                               Wanyamapori imeshapitishwa, hivyo, Waraka wa Sheria
                                               Mpya ya Wanyamapori inategemewa kuwasilishwa
                                               muda mfupi ujao.
                                               Sheria ya Utalii imewasilishwa kwenye Kamati ya Bunge
                                               ya Sheria na Katiba. Sheria hii inategemewa kuwa
                                               imekamilika katika kipindi cha 2007/2008.

3.    Kutayarisha Kanuni za uanzishwaji wa     Kulingana na Kanuni za WMA (2002 zilizopitiwa 2005)
      Mashamba ya kufuga Wanyamapori na        maeneo 16 yalichaguliwa kwa ajili ya majaribio. Kipindi
      Biashara ya viumbe hai na Kanuni         cha majaribio kimefikia kikomo, na tathmini ya mchakato
      kuhusu namna ya kuwashirikisha           (kwa mujibu wa Kanuni) wa kuanzisha na kusimamia
      wananchi     katika   Uhifadhi    wa     maeneo haya imefanyika. Wataalamu wa Chuo Kikuu
      wanyamapori (WMA Regulations).           cha Dar es Salaam kupitia “Institute of Resources
                                               Assessement” ambao wanafanya kazi hiyo,
                                               wamewasilisha rasimu ya kwanza ya taarifa.
                                               Mchakato kuhusu taratibu za kujumuisha maoni ya
                                               wadau muhimu hususan wawezeshaji kama WWF,
                                               Africare, na AWF unaendelea.

4.    Kutafsiri Sheria ya Uvuvi Na. 22 ya      Sheria ya Uvuvi Na. 22 ya mwaka 2003 pamoja na
      Mwaka 2003 pamoja na Kanuni za           Kanuni za Uvuvi za Mwaka 2005 hazijatafsiriwa kwa
      Misitu na Uvuvi kwa lugha ya Kiswahili   lugha ya Kiswahili na kusambazwa kwa wadau. Kazi
      na kuzisambaza kwa wadau.                ya kutafsiri itafanyika baada ya marekebisho kukamilika
                                               katika kipindi cha mwaka 2007/2008.




                                                69
5.    Kuandaa Mpango wa Uendeshaji na            Rasimu ya kwanza ya Mpango wa Uendeshaji wa Pori
      Usimamizi wa Mapori ya Akiba ya            la Akiba Maswa imekamilika. Aidha, mchakato wa
      Maswa, Ugalla, na Lukwika Lumesule         kuandaa Mpango wa Uendeshaji wa Hifadhi ya Taifa ya
      pamoja na Hifadhi ya Taifa ya Kitulo       Kitulo unaendelea ikiwa ni pamoja na kukusanya
                                                 taarifa/takwimu za kuandaa mpango huo. Mpango huo
                                                 unatarajiwa kukamilika katika mwaka wa fedha wa
                                                 2007/2008.
                                                 Mchakato wa kuandaa Mpango wa Uendeshaji wa
                                                 Mapori ya Akiba Ugalla na Lukwika - Lumesule
                                                 haukufanyika kutokana bajeti kuwa finyu.

6.    Kuandaa mipango ya Usimamizi wa            Shughuli hii itafanyika chini ya Mradi wa Usimamizi
      Misitu ya Hifadhi ya Geita Ilombero Hill   Misitu Shirikishi (Participatory Forest Management
      na North East Mpanda.                      PFM) kupitia TASAF katika Wilaya husika. Mradi huu
                                                 umejikita katika usimamizi shirikishi wa misitu katika
                                                 wilaya 40 na kusimamiwa na Halmashauri za Wilaya.

7.    Kuanza kutekeleza na kusimamia             Mkakati wa Kitaifa wa Kuhifadhi Ardhioevu umekamilika
      Mkakati wa Kitaifa wa Ardhioevu, na        na kupitishwa na Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu
      kuendelea     kutekeleza     Mpango        Ardhioevu (National Wetlands Steering Committee –
      endelevu wa usimamizi wa ardhioevu         NAWESCO).
      katika Mikoa ya Mbeya, Iringa na
                                                 Utekelezaji wa programu ya usimamizi endelevu wa
      Arusha pamoja na kusaidia Wilaya tisa
                                                 ardhioevu katika Mikoa ya Mbeya na Iringa na Mapori ya
      katika Mikoa ya Mbeya na Iringa,
                                                 Akiba ya Usangu, Mpanga-Kipengere na Rukwa/Lukwati
      Mapori ya Akiba ya Usangu na
                                                 na Wilaya tisa za Mikoa ya Mbeya na Iringa inaendelea.
      Mpanga – Kipengele katika kutekeleza
      shughuli zinazohusu Uhifadhi na
      Matumizi endelevu ya Ardhioevu.

8.    Wavamizi wapatao 100,000 wa Misitu         Wavamizi wapatao 81,843 pamoja na mifugo ipatayo
      ya Lindimaji na Mikoko wataondolewa        44,611 wameondolewa kwenye mikoa ya Tanga na
      msituni katika mikoa ya Tabora,            Tabora kuanzia mwezi Julai 2006.
      Tanga, Pwani na Shinyanga.

9.    Kuingizwa katika Hifadhi za Taifa          Mchakato wa kupandisha hadhi Pori la Akiba Usangu
      baadhi ya maeneo ya Mabonde ya             lenye ukubwa wa kilometa za mraba 4,148 na maeneo
      vyanzo vya maji, kama bonde la             muhimu ya ardhioevu za Bonde la Usangu zenye
      Usangu ili utunzaji madhubuti uwepo        ukubwa wa kilometa za mraba 5,778 kuwa sehemu ya
      na baadhi ya maeneo ya wazi                Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, hivyo kufanya hifadhi hiyo
      yatawekwa katika taratibu za Mapori        kuwa na ukubwa wa kilometa za mraba 20,226
      ya Akiba ili kutunza mazingira             umekamilika. Azimio la kuridhia hoja hiyo litafikishwa
      yasiharibiwe na shughuli za binadamu.      Bungeni.

10.   Kutangaza maeneo ya Visiwa vidogo          Maeneo hayo yametangazwa rasmi kuwa maeneo




                                                  70
      vya Sinda, Makatumbe, Nyororo,             Tengefu na yatasimamiwa na Kitengo cha hifadhi za
      Shungimbili na Mbarakuni kuwa              Bahari na maeneo Tengefu (Government Notice No.52
      maeneo tengefu.                            ya tarehe 2/3/2007).

11.   Kuendelea kukarabati na kuimarisha          Katika mwaka huu wa fedha serikali imetekeleza
      Magofu ya majengo na maeneo ya              yafuatayo katika kulinusuru eneo la Kilwa kutoka
      urithi wa dunia ya Kilwa Kisiwani na        katika orodha ya Urithi ulio hatarini kutoweka.
      Songo Mnara kwa lengo la kuendeleza
                                                  Uoteshaji wa mikoko karibu na Gereza la Kilwa-
      jitihada za kulinusuru eneo hilo kutoka
                                                  Kisiwani; Kujenga kinga maji Kilwa Kisiwani; Kujenga
      katika orodha ya urithi wa ulio hatarini
                                                  birika za maji kwa ajili ya mahitaji ya ukarabati;
      kutoweka kwenye kumbukumbu.
                                                  Kujenga tanuru la kuchomea chokaa; Mafunzo
                                                  yalitolewa kwa wananchi wa Kilwa Kisiwani na
                                                  kushirikishwa katika shughuli za uhifadhi; Kuweka
                                                  mabango yenye maelezo mbalimbali kwa wageni;
                                                  Uchongaji wa mawe kwa ajili ya shughuli za uhifadhi
                                                  wa Songo Mnara unaendelea; Kuandaa vipeperushi
                                                  kwa ajili ya Elimu kwa Umma.

12.   Kukuza na kusambaza miche 15,000           Wakala wa Mbegu za Miti umekusanya kilo 10,557 za
      ya miti aina mbalimbali na kupima          mbegu bora, kuuza kilo 8,858 za mbegu bora humu
      ubora wa mbegu kwa kuchunguza              nchini na kilo 1,187 nchi za nje. Aidha, wakala
      sampuli 1,200.                             umesambaza miche 31,307, imehifadhi kiasi cha kilo
                                                 15,700 na kuchunguza sampuli 337 za mbegu.

13.   Kuendelea kushirikiana na Serikali za
                                                 Shughuli za ugani, kuhamasisha upandaji miti
      Mitaa, Serikali za Vijiji na wadau
                                                 zinaendelea ikiwa ni sehemu ya matayarisho na
      wengine kuendeleza Kampeni ya Taifa
                                                 kuhamasisha kampeni ya upandaji miti. Taarifa za
      ya Upandaji miti kwa kutambua vyanzo
                                                 kisekta, kuanzia ngazi ya vijiji hadi kitaifa zitakusanywa
      vya maji na kuhimiza kupanda miti kwa
                                                 na kusambazwa kwa kutumia mfumo wa kompyuta
      kila Wilaya kupanda miti milioni 1.5.
                                                 (National Forestry and Beekeeping Databank –
                                                 NAFOBEDA).

                                                 Mfumo huo wa NAFOBEDA utaunganishwa na mfumo
                                                 wa kompyuta wa Serikali za Mitaa, yaani “Local
                                                 Government       Management           Database-LGMD”.
                                                 Muungano huu utawezesha kupatikana kwa taarifa za
                                                 upandaji miti kuanzia ngazi ya kijiji, vikundi na watu
                                                 binafsi.

                                                 Wizara kupitia mpango shirikishi wa usimamizi misitu,
                                                 yaani “Partipatory Forest Management” imehamasisha
                                                 wilaya kutenga misitu ya usimamizi shirikishi, ambayo
                                                 mpaka sasa imefikia eneo la hekta 3,672,854, ambapo




                                                   71
                                             jumla ya vijiji 1,821 vimesimamia misitu hiyo.

                                             Wilaya zimeelekezwa kutenga maeneo, hasa yale
                                             yalioko katika eneo lisilohifadhi (General land) ili
                                             yapandwe miti mingi kwa ajili ya matumizi ya nishati
                                             (kuni na mkaa). Kwa yale maeneo yenye vyanzo vya
                                             maji yanapandwa miti inayohifadhi vyanzo. Lengo la
                                             Serikali ni kupanda miti milioni 1.5 kwa kila wilaya.
                                             Mwaka 2001 miti milioni 80 ilipandwa (kitaifa), ambapo
                                             mwaka 2006/2007 lengo liliongezeka na kufikia miti
                                             milioni 118, sawa na ongezeko la asilimia 47.5.

14.   Kutenga maeneo manne (4) ya Hifadhi
                                             Eneo la hekta 1,700 za hifadhi za Nyuki za Taifa
      za Nyuki (Bee Reserve) katika Wilaya
                                             limetengwa katika Wilaya ya Handeni na Manyoni.
      za Manyoni, Handeni, Kondoa na
                                             Hifadhi hizo ni Hifadhi ya Nyuki Aghondi katika Wilaya
      Kibondo,    na    wafugaji     Nyuki
                                             ya Manyoni yenye hekta 500 na ya Kang‟ata Wilayani
      watawezeshwa      kuanzisha       na
                                             Handeni yenye hekta 1,200. Hatua za kuzitangaza na
      kuimarisha vyama vya ushirika ili
                                             kumiliki hifadhi hizi zinaendelea baada ya vijiji husika
      viweze kusimamia uzalishaji na
                                             kuandaa muhtasari wa kukubali kutenga eneo kwa ajili
      Masoko.
                                             ya hifadhi ya Nyuki. Aidha katika kuwezesha wafugaji
                                             nyuki kuanzisha hifadhi za nyuki Vijiji vya Kalangasi,
                                             Lutona na Tura katika Wilaya ya Uyui; Nkonko na
                                             Mpola katika Wilaya ya Manyoni na Kijiji cha
                                             Kilimamzinga Wilayani Handeni viliwezeshwa kutenga
                                             maeneo na kupima hifadhi za nyuki za Vijiji. Vile vile
                                             shule za msingi tano Wilayani Manyoni ziliwezeshwa
                                             kuanzisha manzuki.

                                             Katika juhudi za kuwezesha wafugaji nyuki kuanzisha
                                             vyama vya ushirika, wizara imewezesha wilaya za
                                             Manyoni na Kondoa kuanzisha vyama vya msingi katika
                                             ngazi ya Kijiji.
                                             Wilaya ya Kondoa hadi sasa imesajili vyama vya msingi
                                             vya wafugaji nyuki tisa ambavyo viko katika hatua ya
                                             kuunda chama cha ushirika ngazi ya wilaya.
                                             Wilaya ya Manyoni imesajili vyama vitatu vya msingi na
                                             viko kwenye hatua ya kuunda chama cha ufugaji nyuki
                                             Manyoni (Bekeepers Association).
                                             Wilaya ya Handeni Kijiji cha Mswaki kimeunda
                                             SACCOS na Katika Wilaya ya Uyui, Vijiji vya Kizengi na
                                             Malongwe vimeunda SACCOS.
                                             Africare imewezesha wafugaji nyuki katika wilaya za




                                               72
                                               Sikonge na Urambo kuunda SACCOS tatu kwa kila
                                               wilaya.

15.   Kabrasha jipya la Maombi kuwezesha       Kabrasha la maombi la kuwezesha mji Mkongwe wa
      Mji Mkongwe wa Kilwa Kivinje             Kilwa-Kivinje kujumuishwa pamoja na Kilwa-Kisiwani na
      kujumuishwa pamoja na Kilwa Kisiwani     Songo Mnara katika urithi wa Dunia limekamilika na
      na Songo Mnara litawasilishwa            limewasilishwa UNESCO kwa ajili ya utekelezaji.
      UNESCO.
      Kuendelea kutekeleza programu ya
16.                                            Kazi ya upimaji na uchoraji wa ramani ya Njia Kuu ya
      uboreshaji wa Njia ya Kati ya Biashara
                                               Kati ya Biashara ya Utumwa na Vipusa ambalo ni hitaji
      ya Utumwa na Vipusa kutoka
                                               muhimu kuwezesha njia hiyo kuwekwa katika orodha ya
      Bagamoyo mkoa wa Pwani hadi Ujiji
                                               Urithi wa Dunia imekamilishwa.
      mkoa wa Kigoma. Kazi ya upimaji
      pamoja na uchoraji wa ramani ya njia
      ya kati ya Utumwa na Vipusa
      vitakamilikishwa.
17.   Kuhifadhi Mji Mkongwe wa Bagamoyo        Kwa kushirikiana na mtaalam – mshauri Wizara
      kwa kupima viwanja na kuandaa            inaendelea na ukamilishaji wa zoezi la upimaji wa
      mchoro wa Mpango Mji.                    viwanja pamoja na uandaaji wa mchoro wa Mpango Mji
                                               – Bagamoyo.

18.   Maeneo kumi (10) ya Jumuiya ya           Mafunzo ya ujasiriamali kwa Jumuiya nne yalifanyika
      Hifadhi ya Wanyamapori yatapatiwa        kupitia kituo cha ujasiriamali cha Chuo Kikuu cha DSM.
      haki ya matumizi ya rasilimali ya        Jumla ya washiki 43 walipatiwa mafunzo hayo.
      Wanyamapori.
                                               Eneo la Ukutu wilayani Morogoro na eneo la Songea
                                               wilayani Songea walipatiwa fedha kukamilisha mipango
                                               ya matumizi bora ya ardhi. Jumla ya vijiji 29 vilipata
                                               huduma hiyo.
                                               Maeneo 8 kati ya 16 ya majaribio ya WMA yamepatiwa
                                               Haki ya Kutumia raslimali ya wanyamapori. Kati ya
                                               hayo, Jumuiya tano zilipatiwa mgawo wa mafao
                                               yatokanayo na uwindaji wa kitalii ya jumla ya TZS
                                               74,074,705.
                                               Maeneo matatu (Twatwatwa, Loliondo na Tarime)
                                               yamesitishwa kwenye majaribio kutokana na migogoro
                                               ya matumizi ya ardhi (wakulima na wafugaji) na mipaka
                                               (kijiji cha Mrito na Mbiso wilaya ya Tarime).

19.   Kutoa elimu kwa Maofisa Ugavi 300 na     Kutokana na mpango wa utekelezaji wa kazi za Idara
      Wafugaji Samaki 300 juu ya               ya Uvuvi, kazi hiyo imetekelezwa kuanzia mwezi Mei,
      uendelezaji na usimamizi bora wa         2007.
      ufugaji uwiano wa samaki katika Mikoa




                                                 73
      ya Mbeya, Iringa na Kilimanjaro.

20.   Elimu itatolewa kwa vikundi 60 vya        Vipindi 9 vya Radio vimeandaliwa na kutangazwa
      wakulima wa zao la Mwani ili              kupitia Radio Tanzania Dar es Salaam ambapo kwa
      kuwajengea uwezo wa kiujasiriamali        mwaka mzima hutangazwa vipindi 18 kulingana na
      na uundaji wa vikundi vya kuweka na       ratiba. Vipindi 10 vya televisheni vimeandaliwa na
      kukopa ili waweze kunufaika zaidi na      vinatangazwa na Televisheni ya Taifa – TUT.
      rasilimali za Uvuvi.
                                               Vipeperushi, vijarida na makala yanayohusiana na
                                               sheria na kanuni navyo havikutengenezwa kutokana na
                                               ufinyu wa bajeti.

21.   Vyombo vya Uvuvi baharini ikiwa ni       Mfumo wa kuratibu vyombo vya uvuvi kwa njia ya
      pamoja na vile vya kigeni vinavyovua     satellite ujulikanao kama VMS (VESSEL MONITORING
      katika Bahari Kuu vitadhibitiwa kwa      SYSTEM) umefungwa kwenye Ofisi za Idara ya Uvuvi
      kutumia    mfumo       wa     Satelite   Makao Makuu na unafanyakazi. Mfumo huu unatumia
      (Kompyuta) ili kuratibu mienendo ya      teknolojia zifuatazo:
      vyombo hivyo.
                                               INMARSAT – C mfumo ambao utatumiwa kuratibu meli
                                               za uvuvi kutoka nchi za Umoja wa Ulaya (EU) na
                                               ARGOS mfumo ambao utatumika kuratibu mienendo ya
                                               meli za uvuvi za Kijapani.

22.   Kuandaa na kutangaza vipindi 120 vya     Kwa kushirikiana na Taasisi ya Utangazaji Tanzania
      redio na televisheni, kuchapisha         (TUT) Wizara ilianza rasmi kurusha kipindi cha
      nakala 4,000 za majarida, vipeperushi,   ZAMADAMU kuanzia tarehe 16/11/2006. Kipindi hiki
      mabango pamoja na kuendesha              hurushwa na TVT kila Alhamisi saa 1.30 hadi 2.00
      mikutano,      warsha/semina      kwa    usiku na kurudiwa Jumapili saa 5.30 – 6.00 mchana.
      wananchi na viongozi ili kutoa elimu     Hadi kufikia mwezi Mei, 2007, Idara imeweza kurusha
      kwa Umma kuhusu sheria, kanuni na        jumla ya vipindi 26 kuhusu masuala mbalimbali
      matumizi endelevu ya rasilimali za       yanayohusu malikale.
      Maliasili na Malikale.
                                               Maandalizi ya Mpango wa Uhamasishaji jamii
                                               yamekamilika. Mpango huu utatoa fursa kwa jamii
                                               kuifahamu historia ya nchi yetu na urithi wa utamaduni,
                                               kukuza utalii na kuhamasisha jamii kuendelea kutunza
                                               urithi wetu kwa faida ya vizazi vijavyo. Utekelezaji wake
                                               utaanza katika mwaka wa fedha 2007/2008.
                                               Vimechapishwa vipeperushi kuhusu Kilwa Kisiwani,
                                               Mapango ya Amboni na Caravan Serai.
                                               Vipindi 70 vya Redio vimerushwa kupitia kipindi chake
                                               cha Misitu ni Uhai na Maliasili, kati ya Programu 5 za
                                               televisheni ni vipindi viwili vya mahojiano ya moja kwa
                                               moja vimeonyeshwa. Mada za vipindi hivi zilikuwa elimu
                                               juu ya:




                                                 74
                                                Sera ya Taifa ya Misitu ya mwaka 1998; Sera ya Taifa
                                                ya Ufugaji Nyuki ya mwaka 1998; Mwongozo wa uvunaji
                                                endelevu wa mazao ya misitu; Ufafanuzi wa Sheria Na.
                                                14 ya mwaka 2002 ya Misitu; Taratibu za kuanzisha
                                                hifadhi za nyuki nchini; Mbinu bora za Ufugaji Nyuki.
                                                Machapisho mbalimbali, vipeperushi, vijarida na vijitabu
                                                vifuatavyo vilitayarishwa, kuchapishwa na kusambazwa
                                                kwa wananchi wakati wa maonesho ya Biashara ya
                                                Kimataifa Dar es Salaam(Saba Saba) yaliyofanyika
                                                katika viwanja wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere,
                                                Barabara ya Kilwa na katika maonesho ya kilimo (Nane
                                                Nane) yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwl. Julius
                                                Kambarage Nyerere;
                                                 Nakala 3000 za stika ya Moto na Mazingira; Fuga
                                                  nyuki, hifadhi mazingira punguza umaskini, misitu ni
                                                  uhai.
                                                 Nakala 4000 za mabango ya Sera ya Taifa ya
                                                  Ufugaji Nyuki; Nyuki ni hazina, kilio cha mti, nishati
                                                  mbadala na usimamizi shirikishi wa misitu.
                                                 Nakala 7000 za vijarida kuhusiana na Matumizi ya
                                                  Mlonge, taratibu za serikali za kusafirisha mazao ya
                                                  misitu nje ya nchi, taratibu za uvunaji, usafirishaji na
                                                  biashara ya mazao ya misitu “Investment
                                                  opportunities in Beekeeping in Tanzania”, ubora wa
                                                  asali, njia rahisi ya kutambua asali yenye kiwango
                                                  kizuri cha maji na isiyochemshwa.
                                                 Nakala 1000 za vijitabu vya ufugaji nyuki vijijini
                                                  vilichapishwa.
                                                Semina 14 kuhusu mbinu bora za ufugaji nyuki
                                                zimetolewa kwa wafugaji nyuki katika Wilaya tisa
                                                ambazo ni: Chunya, Uyui, Nachingwea, Rufiji, Kilindi,
                                                Njombe, Simanjiro, Kiteto na Babati.

23.   Ili kudhibiti kunguru weusi wajulikanao   Jumla ya mitego 65 ya kukamata Kunguru weusi
      kama “Indian House Crow” Wizara           imetengenezwa na kusambazwa katika maeneo 36 jijini
      itatumia mbinu za Kisayansi ambazo        Dar es Salaam. Jumla ya Kunguru 11,427
      hazitakuwa       na    madhara      kwa   wameshanaswa kwenye mitego hiyo na kuuawa.
      binadamu, mifugo, viumbe wengine na
                                                Sumu iitwayo DRC 1339 imenunuliwa kutoka nchini
      mazingira.
                                                New Zealand na kufanyiwa majaribio na wataalamu
                                                kutoka Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu katika nchi za
                                                Tropiki (Tropical Pesticides Research Institute-TPRI).




                                                 75
                                               Majaribio ya sumu hii yameonyesha mafanikio makubwa
                                               katika kuua Kunguru hao.
                                               Zoezi la kuharibu mayai na makinda ya Kunguru
                                               linatarajiwa kufanyika kuanzia mwezi Septemba, 2007
                                               ambacho ni kipindi cha majira ya Kunguru weusi kutaga
                                               mayai.

24.   Kufanya sensa katika maeneo ya           Sensa za Wanyamapori zilifanyika nchi nzima isipokuwa
      Hifadhi za Taifa za Serengeti, Ruaha     Pori la Akiba Mkomazi na Umba.
      na Katavi pamoja na Mapori ya Akiba
      ya Selous, Rungwa na Mkomazi.

25.   Kuboresha Maonyesho ya Ekolojia ya       Mchanganuo wa mradi wa kuboresha maonyesho ya
      wanyama na matengenezo ya magari         Ekolojia ya wanyama umekamilika ikiwa ni pamoja na
      aina ya Rolls Royce yaliyokuwa           michoro na gharama za mradi zinazofikia Sh.
      yakitumiwa wakati wa Ukoloni na          77,905,340/=. Aidha, matengenezo ya masanduku ya
      baada ya Ukoloni na baada ya Uhuru,      maonyesho kwenye chumba kimoja yamekamilika na
      yatafanyiwa matengenezo ili yaweze       baadhi ya vifaa vya maonyesho vikiwemo fuvu la Faru
      kutumika katika siku rasmi za Kitaifa.   na fuvu la Tembo vimepatikana.
                                               Banda la maonyesho lilitengenezwa na hivyo magari ya
                                               kihistoria kuonwa na wananchi na watalii kwa urahisi
                                               zaidi. Uthamini wa utafiti umefanywa kubaini gharama
                                               za kutengeneza magari haya ili yaweze kutumika katika
                                               siku rasmi za kitaifa. Utafiti ulihusu mawasiliano na
                                               Kampuni ya Rolls Royce inayotengeneza magari hayo.
                                               Matengenezo kwa gari moja yanakadiriwa kufikia
                                               Shilingi 501,026,000 sawa na Pauni za Kiingereza
                                               200,000 na hivyo kwa magari mawili ni Shilingi
                                               1,002,052,000.      Jitihada zinafanywa kushawishi
                                               Makampuni na watu binafsi kuchangia gharama za
                                               matengenezo ya magari hayo ya kihistoria.

26.   Kuimarisha na kuendeleza Utalii          Utalii wa kiekolojia unaendelea kuimarishwa huko
      Ekologia katika Misitu ya Mazingira      Amani Tanga kwa kuendelea kuboresha mazingira
      Asili ya Amani, Milima ya Ukaguru,       kwa kuwaondoa wavamizi wanaochimba madini, n.k.
      West Kilombero na Nilo-Tanga.            Kwa upande wa Misitu ya Nilo na West Kilombero
                                               mchakato unaendelea wa kubadili matumizi ya misitu
                                               hiyo na kuwa “Natural Reserves” kama ilivyo kwa
                                               msitu wa Amani.

27.   Ili kuharakisha utekelezaji wa Sera ya   Katika kuandaa Programu hiyo Wizara ilishirikisha
      Utalii ya mwaka 1999, Wizara             wadau mbalimbali na kukamilisha awamu tatu za
      itakamilisha Programu ya Uendelezaji     programu hiyo ambazo ni; uchambuzi wa hali halisi ya
      Utalii itakayobainisha dhima ya kila     sekta, kupitia mipango mbalimbali inayogusa sekta ya




                                                76
      mdau wa sekta na kuanza maandalizi        Utalii, kuoanisha mipango ya sekta mbalimbali na
      ya Mwongozo wa Utalii Ikolojia.           muelekeo wa sekta ya utalii. Rasimu ya awali ya
                                                mpango huo inatarajia kukamilishwa katika mwaka ujao
                                                wa fedha.
28.   Katika kuendeleza na kuimarisha           Kutokana na ufinyu wa bajeti, majarida hayo
      utangazaji wa utalii ndani na nje ya      hayakuweza kuchapishwa. Majarida husika ni yale
      nchi, Wizara itachapisha nakala           yanayobeba Marketing Slogan ya “Tanzania the Land of
      250,000 za majarida kwa lugha za          Kilimanjaro and Zanzibar” hapo nyuma lilijulikana
      Kiingereza,    Kiitaliano, Kijerumani,    “Tanzania Authentic Africa”.
      Kiarabu, Kichina, Kijapani, Kirusi na
      Kihispaniola.
29.   Kukamilisha ujenzi wa kituo cha taarifa   Ujenzi wa kituo cha Taarifa cha Dkt. Livingstone Ujiji
      katika Kituo cha Kumbukumbu cha           unaendelea vizuri.
      Dkt. Livingstone, Ujiji – Kigoma.

30.   Kuendelea kusimamia maendeleo ya          Washauri Wasanifu Majengo walikamilisha michoro ya
      ujenzi wa Nyumba ya Utamaduni Dar         majengo na ujenzi ulipangwa uanze Mei, 2007. Katika
      es Salaam pamoja na kuboresha Kijiji      bajeti ya maendeleo ya mwaka 2006/07 Wizara ilitenga
      cha Makumbusho ili kiweze kuvutia         Shilingi 130,000,000/- kwa ajili ya Mradi kununua magari
      watalii wengi zaidi badala ya kutumika    mawili (2) ambayo yatasaidia kupeleka programu za
      kama eneo la burudani kama ilivyo         kielimu kwa wananchi.
      sasa.
                                                Kijiji cha Makumbusho huendesha matamasha ya Siku
                                                ya Utamaduni wa Mtanzania. Mwaka 2006 ilifanikisha
                                                tamasha la jamii za kutoka Ukerewe lililofanyika kwa
                                                siku mbili kuanzia tarehe 19-20/8/2006. Aidha, kuna
                                                vikundi vya sanaa vya aina tatu ambavyo hufanya
                                                shughuli zake katika Kijiji cha Makumbusho. Sanaa hizo
                                                ni za ngoma, maigizo na Uchoraji. Vikundi hivyo ni
                                                Kusini Group Sanaa – Tanzania, Jakamoyo Dancing
                                                Group, Makumbusho Dancing Group na Nchabwende
                                                Dancing Group. Vingine, ni Dhahabu Arts Group, Impera
                                                Arts Group na Dira Arts Group. Vilevile kuanzia mwezi
                                                Septemba, 2006 kikundi cha Sanaa cha Nosimo
                                                kimekuwa kikiendesha gulio la sanaa kila Jumamosi na
                                                Jumapili. Vipo vikundi vingine ambavyo hufanya
                                                mazoezi kila wiki. Tarehe 1-6 Novemba Chama cha
                                                Masoko ya Sanaa Tanzania (CHAMASATA) kilifanya
                                                maonesho ya sanaa za Tanzania katika Kijiji cha
                                                Makumbusho katika wiki ya mfuko wa Utamaduni
                                                Tanzania.
                                                Mgahawa wa vyakula vya kitanzania uliboreshwa kwa
                                                kutoa huduma ya vyakula vya jadi na kuandaa tamasha
                                                la “Ya Kale yanapokutana na ya sasa” lililofanyika katika




                                                 77
                                               Kijiji cha Makumbusho tarehe 11–17 Januari, 2007.
                                               Tamasha lilihusisha vikundi mbalimbali vya wasanii
                                               kutoka Dar es Salaam na Bagamoyo.
                                               Mipango ya baadaye ya Kijiji ni ujenzi wa maduka ya
                                               Sanaa na uanzishaji wa bustani ndogo ya wanyama.

31.   Kuweka Miundombinu eneo la               Taratibu za kuwapata wakandarasi watakaojenga Kituo
      Oldonyosambu (Tarafa ya Sale) kwa        cha Polisi, Zahanati na Shule ya Msingi kwa kuzingatia
      ajili ya wahamiaji wa Tarafa ya          Sheria ya Manunuzi (Public Procurement Act)
      Ngorongoro.                              zinaendelea.
                                               Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro inashirikiana na
                                               Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kutengeneza
                                               barabara kati ya Kijiji cha Oldonyosambu na eneo
                                               lililotengwa ili kurahisisha mawasiliano katika eneo hilo.

32.   Kukarabati kilometa 400 za barabara      Barabara za urefu wa km. 282 na viwanja vya ndege 8
      na viwanja vya ndege vinane (8) katika   vimekarabatiwa katika Mapori ya Akiba ya Selous,
      Mapori ya Akiba.                         Rungwa, Maswa, Rukwa-Lukwati, Mpanga –Kipengele,
                                               Liparamba na Lukwika – Lumesule - Msanjesi.
                                               Kilometa 24 za barabara kutoka “View Point” hadi
33.   Kuanza kuendelezwa kwa “Crater” ya
                                               Lemala zimekarabatiwa ili watalii waweze kutembelea
      Embakai katika kiwango cha juu sawa
                                               eneo hilo.
      na Ngorongoro ili eneo hilo liweze
      kunufaisha Taifa ki-utalii.
                                               “Request for Proposals” ya kujenga Hotel Embakai
                                               zimeshapokelewa ili hatimaye ijengwe Hotel ya Kitalii
                                               katika eneo hilo.




                                                 78
                 WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

NA.                  AHADI                                        UTEKELEZAJI

1.    Kuendelea kuiletea nchi yetu maslahi    Serikali ilitekeleza jukumu hili kwa kufanikisha ziara za
      ya     kiuchumi       kwa  kuwavutia    viongozi wa kitaifa katika nchi mbalimbali zenye lengo
      wawekezaji wenye mitaji na teknolojia   la kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo nchini mwetu
      ya kisasa na watalii.                   na kuwashawishi wawekezaji kuja kuwekeza nchini.
                                              Ziara zilizofanywa na viongozi wa kitaifa na kuleta
                                              mafanikio makubwa ni pamoja na ziara za Mheshimiwa
                                              Rais nchini Marekani, Japan, China, Korea ya Kusini na
                                              ziara za Mheshimiwa Waziri Mkuu nchini Vietnam,
                                              Thailand na Canada. Kutokana na ziara hizi
                                              wafanyabiashara na wawekezaji katika sekta
                                              mbalimbali wameahidi kutembelea Tanzania ili kuja
                                              kujionea mazingira halisi na hatimaye kuanza
                                              kuwekeza au kuingia ubia na kufanya biashara za
                                              pamoja na Watanzania.
                                              Kufuatia ziara ya Mhe. Rais nchini Japan, Gavana na
                                              Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Japan (Japan Bank of
                                              International Cooperation – JBIC) Bwana Koji Tonami
                                              alizuru Tanzania mwezi Machi, 2007. Ziara ambayo
                                              pamoja na mambo mengine, iliwezesha kutia saini
                                              mikataba ya mkopo wa utekelezaji wa MKUKUTA wa
                                              dola za kimarekani milioni 20 kila mwaka kwa miaka
                                              mitano, mkopo wa shilingi bilioni 74.2 kwa ajili ya ujenzi
                                              wa barabara ya Arusha-Namanga, pamoja na
                                              uboreshwaji wa huduma za uhamiaji na forodha
                                              mpakani Namanga. Bwana Tonami alitangaza pia
                                              hatua ya Japan kuisamehe Tanzania deni la shilingi
                                              bilioni 742.
                                              Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China imetia saini
                                              makubaliano ya kujenga ukumbi wa mikutano wa
                                              Kimataifa jijini Dar es Salaam. Pia kufuatia mwaliko
                                              alioutoa Mhe. Rais wakati wa ziara yake katika Umoja
                                              wa Falme za Kiarabu, Mtoto wa Mfalme na Naibu
                                              Mtawala wa Imarati ya Ras Al Khaimah, H.H. Sheikh
                                              Saud Bin Saqr Al Qasimi alifanya ziara nchini Tanzania
                                              mwezi Aprili, 2007 kwa nia ya kuangalia na kutafuta
                                              fursa za uwekezaji nchini huku akiambatana na
                                              wawekezaji na wafanyabiashara ambao wameonyesha
                                              nia ya kuwekeza katika utafutaji wa mafuta na gesi,
                                              uchimbaji wa madini, ujenzi wa nyumba na makazi,
                                              sekta ya utalii na upanuzi na uendelezaji wa bandari na




                                               79
                                           viwanja vya ndege. Katika juhudi za kuimarisha
                                           mahusiano yetu ya kibiashara na kukuza utalii, Shirika
                                           la Ndege la Qatar lilianzisha safari za ndege kati ya
                                           Doha na Dar es Salaam mnamo mwezi Februari, 2007.
                                           Wizara imeshiriki kikamilifu katika kuandaa na
                                           kusimamia mkutano mkubwa wa Taasisi ya Kimataifa
                                           ya ”Technology Entertainment and Design (TED)
                                           Global” kati ya tarehe 4 hadi 8 Juni, 2007 huko Arusha
                                           ambapo zaidi ya washiriki 600 wakiwemo wawekezaji,
                                           wabunifu na wanasayansi kutoka nchi mbalimbali za
                                           dunia walihudhuria.
                                           Vile vile Wizara ilishiriki katika makongamano ya
                                           uwekezaji na maonyesho ya biashara yaliyofanyika
                                           Moscow, Urusi mwezi Oktoba, 2006 na maonyesho ya
                                           biashara na utalii yaliyofanyika London, Novemba,
                                           2006.
                                           Kutokana na ziara ya Kiserikali katika nchi za Falme ya
                                           Kiarabu, Tanzania imepata fursa ya kuuza nyama
                                           katika nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE),
                                           Oman na Kuwait. Aidha, ujumbe kutoka UAE
                                           (advanced team) ulikuja nchini mwezi Oktoba, 2006
                                           kuangalia/kutathmini maeneo ya uwekezaji.
                                           Serikali pia iliwakilishwa katika kikao cha Mawaziri wa
                                           Umoja wa Nchi zinazopakana na Bahari ya Hindi huko
                                           Tehran, Iran tarehe 7-8 Machi, 2007. Katika kikao hicho
                                           Mawaziri waliazimia kuanzisha Eneo la Biashara Huru
                                           (Preferential Trade Area); kutayarisha na kutekeleza
                                           mpango wa kubadilishana wataalam na wanafunzi wa
                                           vyuo vikuu vya nchi wanachama; kushirikiana katika
                                           maonyesho ya biashara kila mwaka; na kuimarisha
                                           Sekretarieti ya Umoja huo yenye Makao Makuu yake
                                           nchini Mauritius.
2.   Kuendeleza sera ya ujirani mwema na    Jukumu hili limefanikishwa kwa ufanisi mkubwa hasa
     nchi jirani.                          kutokana na kufanyika kwa vikao vya ujirani mwema
                                           baina ya nchi yetu na nchi za jirani. Vikao hivi
                                           vimefanyika katika mikoa ya mipakani na nchi za jirani.
                                           Tume za pamoja za ushirikiano wa kiuchumi na ziara
                                           za viongozi wa kitaifa na wataalam kutoka katika sekta
                                           mbalimbali zimekuwa chachu kubwa ya kuendeleza
                                           sera ya ujirani mwema na nchi jirani.
                                           Serikali imeendelea na juhudi za kuvishawishi vyama
                                           vya CNDD-FDD na PALIPEHUTU-FNL vya Burundi




                                            80
                                              katika kufikia makubaliano. Kutokana na ushawishi huo
                                              pande hizi mbili ziliweza kufikia makubaliano tarehe 7
                                              Septemba, 2006, Jijini Dar es Salaam. Viongozi wa
                                              PALIPEHUTU-FNL walirejea Burundi ili kuanza hatua
                                              ya utekelezaji wa Mkataba huo mapema mwaka huu
                                              2007. Katika hatua za mwisho wa mazungumzo baina
                                              ya pande husika iliafikiwa kwamba askari wa chama
                                              cha P-FNL wajumuishwe kwenye Jeshi la serikali ya
                                              Burundi.
3.   Kushiriki katika kuimarisha Jumuiya ya   Serikali imeshiriki katika mikutano inayohusu Jumuiya
     Afrika Mashariki (EAC), Jumuiya ya       ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kama
     Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC),      ifuatavyo:
     Umoja wa Nchi za Afrika (UA), Umoja
                                              Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa SADC wenye
     wa Nchi Zisizofungamana na Upande
                                              dhamana ya Ulinzi na Usalama (ISDSC) uliofanyika
     Wowote (NAM), na Umoja wa Mataifa
                                              Windhoek, Namibia tarehe 18-21 Julai, 2006. Katika
     (UNO).
                                              mkutano huo, Tanzania ilikabidhiwa uenyekiti wa
                                              Kamati hiyo; Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa SADC
                                              wenye dhamana ya masuala ya Siasa, Ulinzi na
                                              Usalama (MCO) uliofanyika Windhoek, Namibia tarehe
                                              2-4 Agosti, 2006. Katika mkutano huo Tanzania
                                              ilikabidhiwa uenyekiti wa Kamati hiyo ya Mawaziri;
                                              Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC
                                              uliofanyika Maseru, Lesotho tarehe 17-18 Agosti, 2006.
                                              Katika mkutano huo, Tanzania ilichaguliwa kuwa
                                              Mwenyekiti wa Asasi ya SADC ya kusimamia masuala
                                              ya Siasa, Ulinzi na Usalama (SADC Organ on Politics,
                                              Defence and Security Cooperation). Hivyo Mhe. Rais
                                              Jakaya Mrisho Kikwete hivi sasa ndiye Mwenyekiti wa
                                              ”Organ” hadi Agosti 2007.
                                              Tanzania imeongoza waangalizi wa uchaguzi wa SADC
                                              katika nchi za Zambia, DRC, Madagascar na Ufalme
                                              wa Lesotho. Aidha Tanzania ilisimamia Mkutano wa
                                              Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC
                                              uliofanyika mjini Dar es Salaam tarehe 29 Machi, 2007.
                                              Wakuu hao walifanya tathmni ya hali ya siasa ya
                                              Lesotho, DRC na Zimbabwe ambapo Rais Thabo
                                              Mbeki wa Jamhuri ya Afrika Kusini alipendekezwa kuwa
                                              msuluhishi wa mazungumzo ya kisiasa ndani ya
                                              Zimbabwe.
                                              Mkutano wa Mawaziri wa Troika ya Asasi ya Siasa,
                                              Ulinzi na Usalama ya SADC (SADC Organ Troika)
                                              ulifanyika Dar es Salaam tarehe 26 Mei, 2007 kwa
                                              madhumuni ya kufuatilia kwa karibu maendeleo ya hali




                                               81
ya kisiasa katika nchi za Lesotho, DRC na Zimbabwe.
Aidha, Wizara pia imeshiriki kwenye mikutano
inayohusu Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ifuatavyo:
(i) Mkutano wa Baraza la         Mawaziri la Jumuiya ya
       Afrika Mashariki uliofanyika Arusha, Tanzania
       tarehe 27-28 Novemba 2006. Katika kikao hicho,
       Baraza la Mawaziri lilipendekeza kwa Wakuu wa
       Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakubali
       maombi ya Burundi na Rwanda kujiunga na
       Jumuiya ya Afrika Mashariki na mpango wa
       maendeleo wa miaka minne hadi 2010 wa
       Jumuiya ya Afrika ya Mashariki.
(ii) Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya
       ya Afrika ya Mashariki uliofanyika Arusha,
       Tanzania tarehe 30 Novemba, 2006. Katika
       mkutano huo mapendekezo ya Baraza la
       Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
       yalikubaliwa na hivyo kuzifanya Burundi na
       Rwanda kuwa wanachama wapya wa Jumuiya
       ya Afrika Mashariki. Hivyo mnamo tarehe 18
       Juni, 2007 katika kikao cha Wakuu wa nchi za
       Jumuiya ya Afrika Mashariki kilichofanyika jijini
       Kampala, Uganda, Nchi za Rwanda na Burundi
       zilisimikwa rasmi kuwa wanachama wa jumuiya
       hiyo.
   Serikali ilishiriki kikamilifu katika mkutano wa
    Wakuu wa Nchi zisizofungamana na upande
    wowote (NAM), Havana, Cuba, tarehe 11-16
    Septemba, 2006. Katika mkutano huo suala la
    haki za Watu wa Sahara Magharibi kujitawala
    wenyewe ambalo lilishindikana kupatiwa ufumbuzi
    katika Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nchi
    za Nje wa Umoja huo mwezi Mei/Juni 2006 nchini
    Malaysia hali iliyotishia kuugawa umoja huo
    lilijadiliwa. Mchango madhubuti uliotolewa na
    ujumbe wa Tanzania ulisaidia katika kuepusha
    kuwepo kwa mgawanyiko wa umoja huo. Wizara
    ilishiriki kikamilifu katika kuandika rasimu ya Ibara
    163,194 na 165 ambazo kwa pamoja zinakubalika
    na pande zote zinazohusika na mgogoro huo
    ikiwemo Morocco. Ibara hizo zinasisitiza kwamba
    Watu wa Sahara Magharibi wana haki ya
    kujitawala wenyewe chini ya Umoja wa Mataifa




 82
                                                kwa mujibu wa maazimio mbalimbali
                                                yaliyopitishwa na Baraza Kuu la Umoja wa
                                                Mataifa – Azimio Na. 60/144 na Azimio Na.
                                                1514(XV). Aidha suala la haki ya Wapalestina ya
                                                kujitawala wenyewe kama Taifa huru na kuishi
                                                kwa amani na Taifa la Israel lilisisitizwa na
                                                ujumbe wa nchi yetu katika mkutano huo.
                                             Kwa kutambua juhudi na mchango wa Tanzania
                                              katika masuala mbalimbali yanayohusu Ukanda
                                              wa Maziwa Makuu, Wizara, katika kikao cha Nchi
                                              Zisizofungamana na Upande wowote (NAM)
                                              iliandika rasimu ya Ibara 162 kuhusu kutambulika
                                              kwa juhudi za nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu
                                              katika kuleta amani, demokrasia na maendeleo
                                              endelevu katika eneo hilo hususan Tamko la Dar
                                              es Salaam la mwaka 2004. Ibara hiyo ilipitishwa
                                              kwa kauli moja.
                                                Serikali ilishiriki kikamilifu katika kuimarisha Umoja
                                                wa Mataifa kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi
                                                na Serikali waliohudhuria kikao cha Baraza Kuu la
                                                Umoja wa Mataifa tarehe 17 Septemba hadi
                                                Oktoba, 2006. Katika kikao hicho Tanzania
                                                ilisisitiza umuhimu wa Umoja wa Mataifa
                                                kuendelea kuwa mhimili wa kutatua masuala
                                                mbambali ya kimataifa. Kuhusu Ukanda wa
                                                Maziwa Makuu, Tanzania aliahidi kuendelea
                                                kujihusisha na juhudi zake za kuleta amani,
                                                utulivu na maendeleo katika eneo hilo. Aidha,
                                                kuhusu Mashariki ya Kati, Tanzania ilionyesha
                                                wasiwasi wake kuhusu kusuasua kwa
                                                mazungumzo ya kuleta amani ya kudumu kati ya
                                                Palestina na Israel. Iliziomba nchi wanachama
                                                wa Umoja wa Mataifa na taasisi mbalimbali
                                                duniani hususan Umoja wa Mataifa, Umoja wa
                                                nchi za Ulaya, Marekani na Urusi kuendelea na
                                                juhudi hizo za kuleta amani kati ya Mataifa hayo
                                                mawili kwa njia ya mazungumzo.
4.   Kulitangaza jina la nchi yetu na     Wizara imetekeleza jukumu la kuitangaza nchi yetu kwa
     kuitetea heshima yake miongoni mwa   kupitia vipindi mbalimbali vilivyorushwa katika
     mataifa.                             Televisheni ya Taifa (TVT).       Vipindi hivyo vya
                                          televisheni vilihusu ziara za Mheshimiwa Rais na
                                          wafanyabiashara alioambatana nao nje ya nchi,
                                          diplomasia ya uchumi na Mchakato wa Helsinki.




                                           83
                                           Vipindi hivi vya Televisheni vimesaidia kuitangaza Sera
                                           yetu Mpya ya Mambo ya Nje inayoweka msisitizo wa
                                           diplomasia ya uchumi ndani na nje ya nchi yetu.
                                           Wizara imeshiriki katika maonyesho na makongamano
                                           ya kimataifa kama vile ”Forum on China-Africa
                                           Cooperation” (FOCAC) lililofanyika tarehe 1 hadi 5
                                           Novemba, 2006 huko Beijing, China.               Katika
                                           kongamano hili Serikali ya China iliahidi kuongeza idadi
                                           ya bidhaa za Afrika ziingizwazo kwenye soko la China
                                           bila kulipia ushuru kutoka 187 hadi 440, kuongeza
                                           misaada yake maradufu kwa nchi za Afrika ifikapo 2009
                                           na kuleta wafanyakazi wa kujitolea katika sekta za
                                           kilimo, afya, michezo, elimu, n.k. Makongamano
                                           mengine ni pamoja na ”Economic Forum” iliyofanyika
                                           Hanoi, Vietnam tarehe 6 Septemba, 2006 na Moscow,
                                           Urusi Novemba, 2006. Maonyesho ya Kumi ya
                                           Kimataifa ya China yaliyofanyika huko Xiamen, Jimbo
                                           la Fujian kuanzia tarehe 8 hadi 11 Septemba, 2006 na
                                           Kongamano la Biashara na Utalii lililofanyika London,
                                           Uingereza Novemba, 2006.
                                           Balozi zetu za Riyadh na Abu Dhabi tayari zimeanzisha
                                           tovuti ambazo zina taarifa nyingi kuhusu Tanzania na
                                           zimeunganishwa na anuani za tovuti za mashirika na
                                           taasisi mbalimbali. Aidha, Ubalozi wetu wa Muscat na
                                           Ubalozi Mdogo Dubai wako mbioni kuanzisha tovuti zao
                                           ifikapo mwishoni mwa 2007.
                                           Serikali imeshiriki kikamilifu katika mikutano ya Umoja
                                           wa Afrika (AU), SADC na Umoja wa Mataifa (UNO)
                                           ambapo mchango wa Tanzania umeendelea
                                           kuheshimika katika jumuiya ya kimataifa.
5.   Kudai mageuzi katika Umoja wa         Wizara ilishiriki katika mkutano wa Umoja wa Mataifa
     Mataifa kwa lengo la kuongeza sauti   uliofanyika New York, Septemba, 2006 ambao
     za nchi zinazoendelea.                uliwahusisha Wakuu wa Nchi na Serikali ambapo
                                           pamoja na mambo mengine serikali ilisisitiza dhima ya
                                           Tanzania kuendelea kuhimiza umuhimu wa kuleta
                                           mabadiliko ya mfumo wa muundo wa Umoja wa Mataifa
                                           hususan Baraza la Usalama la Umoja huo ili liweze
                                           kuwa wakilishi na sikivu kwa nchi zinazoendelea na
                                           linalokwenda na wakati.
6.   Kuitambua Jumuiya ya Watanzania       Serikali    imeanza kulishughulikia suala hili kwa
     wanaoishi Ughaibuni "Tanzanians in    kushirikiana na Balozi zetu nchi za nje. Viongozi wetu
     the Diaspora" na kuweka utaratibu     wa Kitaifa katika ziara zao nchi za nje, wamepata fursa




                                            84
     utakaowawezesha            kuchangia    ya kuzungumza na Watanzania waishio nchi za Japan,
     maendeleo ya Taifa lao.                 China, Korea Kusini, Saudi Arabia, Falme za Kiarabu
                                             n.k na kuwahamasisha kuwekeza vitega uchumi vyao
                                             hapa nchini ikiwemo pia kuitangaza nchi yetu huko
                                             ughaibuni. Aidha, Wizara inaandaa utaratibu maalum
                                             utakaoimarisha zaidi dhima ya Serikali yetu katika suala
                                             hili.
                                             Wizara ilizielekeza balozi zetu kuwatambua na kujua
                                             idadi ya Watanzania waliopo ughaibuni wakati wa zoezi
                                             la kubadilisha pasi mpya za kusafiria.
                                             Wizara ilishiriki katika mkutano wa "Wanataaluma wa
                                             Afrika walio Ughaibuni – ”Intellectuals from Africa and
                                             the Diaspora” uliofanyika Salvador, Brazil mwezi Julai,
                                             2006 ambao ujumbe wa Serikali ya Tanzania
                                             uliongozwa na Makamu wa Rais, Mheshimiwa Dkt. Ali
                                             Mohamed Shein. Mkutano huo ulihimiza umuhimu wa
                                             kuwatumia wasomi wetu waliopo ughaibuni ili
                                             kuwawezesha kuchangia maendeleo ya nchi za Afrika.
                                             Kwa kutambua umuhimu wa habari kwa wananchi na
                                             wadau wetu ikiwa ni pamoja na Watanzania waishio nje
                                             ya nchi, Wizara imefungua tovuti yake mwezi Mei, 2007
                                             inayopatikana kwa anwani ya www.mfaic.go.tz ambapo
                                             taarifa zote muhimu kuhusu muundo wa Wizara na
                                             idara zake, balozi au uwakilishi hapa Tanzania,
                                             mashirika ya kimataifa yaliyopo nchini, taarifa za balozi
                                             zetu zilizopo nje ya nchi na taarifa za uhamiaji
                                             zitapatikana.
7.   Kutekeleza kwa makini jukumu la         Serikali inafuatilia kwa makini majukumu yanayotokana
     uenyekiti wa kuratibu masuala ya        na Tanzania kuwa mwenyekiti wa asasi ya kusimamia
     siasa, ulinzi na usalama katika Kanda   masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama katika jumuiya ya
     ya SADC.                                SADC. Majukumu hayo ni pamoja na kuimarisha
                                             demokrasia, utulivu wa kisiasa na hali ya usalama
                                             katika jumuiya ya SADC, kuratibu utekelezaji wa Mradi
                                             wa Hashim Mbita, kuanzisha chombo cha masuala ya
                                             Polisi; maandalizi ya kituo cha masuala ya usalama na
                                             kuratibu maandalizi ya kuunda Brigedi ya Jeshi la
                                             kulinda amani. Waraka wa Baraza la Mawaziri
                                             umeshaandaliwa maalum kwa kulitaarifu Baraza
                                             kuhusu taarifa ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na
                                             Serikali za SADC uliofanyika Maseru, Lesotho mwezi
                                             Agosti, 2006.




                                              85
8.   Kufanya          maandalizi       yote   Hatua iliyofikiwa katika mchakato wa uanzishwaji wa
     yanayohitajika ili azma ya kuanzishwa    Mahakama hiyo ni            kupatikana kwa kiwanja
     kwa Mahakama ya Haki za Binadamu         yatakapojengwa makao makuu ya Mahakama hiyo
     na Watu ya Afrika itakayokuwa na         maeneo ya Tengeru, jijini Arusha. Serikali iko katika
     Makao Makuu mjini Arusha itimie          hatua za mwanzo za mazungumzo na mmiliki wa eneo
     haraka.                                  hilo ili kuangalia uwezekano wa kulinunua badala ya
                                              kupangisha kwa muda. Jumla ya shilingi bilioni 19.3
                                              zinahitajika kwa ajili ya uanzishwaji wake. Gharama
                                              hizo zinajumuisha ununuzi wa eneo na majengo yake,
                                              kodi za pango kwa ajili ya nyumba za kuishi Rais na
                                              Msajili wa Mahakama, pamoja na ununuzi wa vitendea
                                              kazi vikuu vinavyohitajika.
9.   Kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa     Wizara kwa niaba ya Serikali iliendelea kupitia na
     makubaliano ya Tume za Pamoja ili        kufufua Tume za Kudumu za Ushirikiano katika kipindi
     kufikia malengo yaliyokusudiwa.          cha mwaka 2006/2007 ambapo Tanzania ilisaini
                                              Mkataba na Msumbiji katika sekta ya afya na
                                              ushirikiano wa pamoja na kuondoa matumizi ya viza
                                              kwa pasi za kidiplomasia na za kiserikali. Pia Tanzania
                                              ilisaini Mkataba wa kuondoa viza kwa pasi za
                                              kidiplomasia na kiserikali na nchi ya Afrika ya Kusini.
                                              Lengo ni kurahisisha muingiliano baina ya Serikali hizi
                                              mbili na kukuza mahusiano yatakayosababisha kukua
                                              kwa biashara.
                                              Katika kipindi cha 2006/2007 serikali imefanya
                                              mikutano ya Tume za Pamoja za Ushirikiano kati ya
                                              nchi yetu na Msumbiji na Burundi, Tume ya Uchumi ya
                                              Marais (PEC) kati ya nchi yetu na Afrika Kusini pamoja
                                              na kusaini mkataba wa Ushirikiano na Serikali ya
                                              Uganda. Mikutano yote ililenga kukuza ushirikiano
                                              katika usalama wa anga; kupambana na wahalifu;
                                              usalama mipakani; ushirikiano katika sekta ya biashara;
                                              elimu na ufundi; kilimo na masoko;masuala ya viza na
                                              matumizi ya bandari. Mashirikiano haya hukuza
                                              maslahi makubwa ya kiuchumi ikiwa ni pamoja na
                                              kutupatia ushuru wa forodha, fedha za kigeni na ajira
                                              kwa raia wetu.
                                              Wizara imeshiriki katika mchakato utakaowezesha
                                              kufanyika kwa vikao vya Tume ya Pamoja kati ya
                                              Tanzania na nchi za India na Vietnam. Aidha, imeshiriki
                                              katika kikao cha Tume ya Pamoja ya Ushirikiano kati ya
                                              Tanzania na Cuba kilichofanyika Arusha mwezi Machi,
                                              2006. Maeneo ambayo utekelezaji wake umefanyika
                                              kulingana na mkataba ni katika sekta ya afya ambapo




                                               86
                                                madaktari 12 kutoka Cuba wapo nchini na idadi hiyo
                                                itaongezeka zaidi katika kipindi cha muda mfupi ujao.
                                                Aidha, Taasisi ya uchunguzi wa magonjwa ya NIMR ya
                                                Tanzania imeshirikiana vyema na Labiofam ya Cuba
                                                katika utafiti wa madawa ya kuangamiza panya na kuua
                                                vimelea vya mbu wa malaria. Wataalamu 3 wa
                                                Labiofam walikuja nchini kufanya utafiti. Kwa upande
                                                wa elimu wanafunzi 5 wa Kitanzania wamekwenda
                                                Cuba kati ya Septemba na Oktoba, 2006 kusomea
                                                shahada za kwanza za ”Sports Administration”,
                                                ”Computer Science” na ”Economics”.
10.   Kushirikiana na Wizara nyingine katika    Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano
      uendelezaji wa sera zinazolenga           wa Kimataifa, Mipango, Uchumi na Uwezeshaji,
      kuongeza kasi ya kukuza uchumi na         Fedha, Viwanda, Biashara na Masoko, Maliasili na
      kujenga mazingira ya kuliletea taifa      Utalii imeweza kuandaa na kufanikisha Makongamano
      letu maendeleo.                           ya Biashara na Uwekezaji yaliyofanyika katika nchi
                                                mbalimbali kama vile ”Tanzania Business Forum” na
                                                ”Tanzania Tourism Seminar” zilizofanyika tarehe 1
                                                Novemba, 2006 huko Tokyo, Japan na ”Tanzania-
                                                Korea Business Forum” iliyofanyika huko Seoul, Korea
                                                ya Kusini tarehe 8 Novemba, 2006 wakati wa ziara ya
                                                Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete nchini Korea ya
                                                Kusini.
                                                Kwa kushirikiana na Wizara zinazohusika na sekta za
                                                kilimo, nishati, maji, madini, afya na elimu, Wizara
                                                imetayarisha jumla ya miradi kumi na saba na
                                                kuwasilishwa Serikali ya China.
11.   Kufuatilia kwa makini utekelezaji wa      Wizara imeshirikiana vyema na Wizara ya Fedha katika
      mpango wa kuondoa umaskini                vituo vya ”Millennium Challenge Account” vilivyokuwa
      ulioandaliwa na Serikali ya Marekani      na lengo la kuandaa mazingira mazuri ya kupata
      unaoitwa     ”Millenium    Challenge      msaada kutoka Serikali ya Marekani.
      Account”      ambao      umeihusisha
      Tanzania.
12.   Kufuatilia kwa umakini mkubwa tatizo      Majadiliano yamefanyika kati ya serikali na maafisa wa
      la upatikanaji wa viza katika baadhi ya   Ubalozi wa Marekani na Uingereza ili kupata ufumbuzi
      balozi mbalimbali kwa kufanya jitihada    wa kudumu wa tatizo la visa katika balozi hizi. Kufuatia
      zaidi za kuondoa tatizo hilo kwa          majadiliano hayo Ubalozi wa Marekani ulikubali
      kuzingatia taratibu za kidiplomasia.      kubadilisha mwenendo wao wa kutoa visa. Aidha,
                                                Ubalozi wa Uingereza ulikubali kubadilisha utaratibu wa
                                                waomba visa kusimama kwa muda mrefu wakisubiri
                                                kufikisha maombi kwa wahusika.




                                                 87
13.   Kukamilisha taratibu mpya za uteuzi na   Utaratibu huo umekamilishwa na Wizara na hivi sasa
      utendaji kazi wa ofisi za Wawakilishi    upo katika hatua za mwisho za utekelezaji.
      wa Heshima wa nchi.
14.   Kuajiri watumishi wapya 48 wa kada       Kibali cha ajira ya nafasi mpya 40 kimeshatolewa.
      mbalimbali.                              Hatua za kuajiri watumishi wapya 25 zinaendelea kwa
                                               kuchambua maombi ya Ajira hizo. Kibali kinafuatiliwa
                                               kwa ajili ya nafasi 15 ambazo ni:-
                                               Maafisa Utumishi 7, Wahasibu 2 na Maafisa Mambo ya
                                               Nje 5 – jumla nafasi 14. Nafasi 3 za Wakurugenzi
                                               zimejazwa. Nafasi ya Mkurugenzi wa Sera na Mipango
                                               (DPP) imefikishwa kwenye Mamlaka ya Ajira.
15.   Kuwapatia mafunzo muhimu watumishi       Mpango wa mafunzo, (Training Programme)
      wa Wizara.                               umekamilishwa na mafunzo husika yameanza kutolewa
                                               kwa watumishi wa kada zote kwa kuzingatia mahitaji.
                                               Kwa kushirikiana na OR-Menejimenti ya Utumishi wa
                                               Umma yametolewa mafunzo ya Mfumo wa Wazi wa
                                               Mapitio ya Tathmini ya Utendaji Kazi (OPRAS). Jumla
                                               ya watumishi mia moja na hamsini na nne (154)
                                               wamekwishapatiwa mafunzo hayo kati ya watumishi
                                               mia tatu na themanini na nane (388). Zoezi hili
                                               linaendelea na litawafikia watumishi wote.
                                               Wizara iliendelea kutoa semina ya mafunzo elekezi kwa
                                               Wakuu wa Utawala na Fedha katika balozi zetu zote.
                                               Jumla ya wakuu wa utawala na Waambata Fedha sitini
                                               na nne (64) kutoka katika balozi zetu thelathini
                                               walishiriki mafunzo hayo.
16.   Kupitia upya Kanuni za Utumishi wa       Kanuni mpya zimekamilishwa katika ngazi zote na
      Nje ( Foreign Service Regulations) na    zimeshawasilishwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
      Posho za Utumishi wa Nje ( Foreign       Utumishi wa Umma kwa ajili ya hatua za kiutawala
      Service Allowance) ili zizingatie hali   ikiwa ni pamoja na kuzisajili, ili ziwe na nguvu ya
      halisi ya maisha katika vituo            kisheria. Viwango vya posho vimeongezwa kwa
      mbalimbali.                              aslimilia 13 kwa vituo vyote vya Ubalozi.
17.   Kuendeleza mpango wa miaka 15 wa         Wizara inaendelea na ujenzi/ununuzi wa majengo yake.
      kununua na kujenga majengo katika        Mwaka 2006/2007 imejenga majengo mapya ya kisasa
      balozi zetu.                             kwa ajili ya Ofisi (Chancery) na makazi ya watumishi
                                               (Apartments) huko New Delhi, India ambako Jengo la
                                               Ubalozi lilizinduliwa na Mhe. Waziri wa Mambo ya Nje
                                               na Ushirikiano wa Kimataifa tarehe 23 Novemba, 2006.
                                               Vile vile tumefanikiwa kupewa na wenyeji wetu kiwanja
                                               kwa ajili ya ujenzi wa Ubalozi huko Kigali, Rwanda.
                                               Katika kipindi hiki cha mwaka wa fedha wa 2006/2007




                                                88
                                              pia Wizara imeweza kununua jengo la ubalozi
                                              (Chancery) jijini Stockholm, Sweden.
                                               Aidha, Wizara inaendelea na mazungumzo na mfuko
                                              wa Hifadhi ya Jamii ya Taifa (NSSF) ili kuwa na
                                              Mkataba wa kutupatia mikopo ya kujengea nyumba au
                                              kujenga kwa ubia kwenye vituo vyetu mbalimbali.
18.   Kuhakikisha    kuwa    Chuo    cha      Wizara imeendelea kutekeleza juhudi za kukiimarisha
      Diplomasia kinaandaa mkakati wa         Chuo cha Diplomasia kwa kutekeleza yafuatayo:
      maendeleo kwa kurekebisha mitaala,
                                              (i) Mkakati wa maendeleo unaojumuisha uandaaji wa
      kuandaa mpango mkuu wa matumizi
                                                  mitaala umeandaliwa na upo katika rasimu kwa
      ya ardhi na kuimarisha miundombinu
                                                  vile hakukuwepo Baraza la Chuo la kupitisha.
      ya Chuo.
                                                  Aidha, Kamati ya uongozi ya kusimamia uinuaji wa
                                                  hadhi ya Chuo imeshaundwa.
                                              (ii) Mpango Mkuu wa matumizi ya ardhi umeandaliwa
                                                   na upo katika rasimu ukingojea Baraza la Chuo
                                                   kuupitisha.
                                             (iii)     Uimarishaji wa miundombinu unaendelea;
                                                     Madarasa yameboreshwa kwa juhudi za ndani.
                                                     Maboresho hayo yamefanyika katika awamu mbili.
19.   Kuhakikisha kuwa Kituo cha Mikutano     Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC)
      cha Kimataifa cha Arusha kinaongeza     kimeendelea na jitihada za kujitangaza zaidi ndani na
      idadi ya mikutano kwa kujitangaza na    nje ya nchi pamoja na kuboresha huduma na vifaa kwa
      kutoa huduma bora zaidi.                kadri bajeti ilivyoruhusu, ili kutoa huduma bora zaidi
                                              kwa wateja na kuongeza pato la kituo na nchi kwa
                                              ujumla.
                                              Ili kuongeza idadi ya wateja wa mikutano ya ndani ya
                                              nchi (local meetings) Kituo kimeendelea kujitangaza
                                              katika Televisheni ya Taifa na ITV, kuweka matangazo
                                              katika majarida yanayohusiana na utalii (Tourism
                                              Industry related magazine) kushiriki katika salaam za
                                              pongezi na/au matukio muhimu nchini, kuchapisha
                                              kalenda na ‟diaries‟ za Kituo pamoja na vipeperushi
                                              mbalimbali. Kituo pia hutumia tovuti yake kujitangaza.
                                              Kituo kinashiriki katika maonyesho makubwa ya
                                              mikutano na utalii kwa ajili ya kujitangaza zaidi na pia
                                              kuuza huduma kwa wateja wa mikutano ya kimataifa,
                                              ambao hualikwa kuhudhuria maonyesho hayo. Haya ni
                                              pamoja na yale yaliyoratibiwa na Bodi ya Utalii ya
                                              Tanzania (TTB) ya ”European Incentive Business
                                              Tourism and Meetings Exhibitions (EIBTM) –
                                              Barcelona, Spain (Novemba 27 – Desemba 01, 2006)”




                                                89
                                              pamoja na "Incentive Meetings and Exhibitions (IMEX)”
                                              yanayofanyika Frankfurt, Ujerumani kila mwaka kati ya
                                              Aprili na Mei.
20.   Kushirikiana na Wizara ya Elimu na      Kwa kushirikiana na Wizara husika, vimeshafanywa
      Mafunzo ya Ufundi na Wizara ya          vikao vya kuainisha namna ya kutekeleza ahadi ya
      Habari, Utamaduni na Michezo katika     Mheshimiwa Rais kuhusu kufundisha Kiswahili nje ya
      kuandaa walimu wa Kiswahili             mipaka ya Tanzania. Wizara kwa kushirikiana na
      watakaochukua nafasi za ajira           Ubalozi wetu nchini Ethiopia imepitisha bajeti ya
      zinazojitokeza katika Umoja wa Afrika   kuanzisha kituo cha kufundishia lugha ya Kiswahili.
      na nchi nyingine za Afrika.             Aidha, nchi zinazohitaji walimu wa Kiswahili
                                              zimeombwa kuainisha azma zao kwa maandishi na
                                              kuweka bayana kuhusu maslahi ya raia wetu katika
                                              ajira hizo.




                                               90
                       WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI

 NA                 AHADI                                           UTEKELEZAJI
1.    Kutangaza fursa za masoko zilizoko       Wizara kwa kushirikiana na wadau wa sekta mbalimbali
      Kenya na Uganda na kwingineko kwa        imewezesha utoaji wa taarifa kuhusu fursa na
      kutumia vyombo mbalimbali vya habari     changamoto zilizoko katika Jumuiya. Aidha, vikao vya
      yakiwemo Magazeti, Radio na              sekta ya biashara vya kila mkoa vimetumika kutoa
      Televisheni.                             taarifa muhimu kwa wafanyabiashara na wajasiriamali
                                               nchini. Serikali imetoa fursa ya kuziwezesha Taasisi na
                                               Sekta binafsi kutoa mapendekezo ya kuendeleza sekta
                                               muhimu za uchumi zikiwemo viwanda na kilimo.
                                               Jitihada hizo zinaonyesha mafanikio kupitia
                                               mashauriano rasmi yanayofanywa kila mwaka kati ya
                                               Serikali na Sekta binafsi chini ya uenyekiti wa
                                               Mheshimiwa Rais.
2.    Kuwahamasisha            Waheshimiwa     Semina kwa Waheshimiwa Wabunge zilifanyika mwezi
      Wabunge kutumia mikutano yao na          Machi/Aprili, 2007 kwa ajili ya kutoa elimu ya masuala
      wapiga kura kuwaelimisha kuhusu          ya Shirikisho la Afrika Mashariki, kutoa taarifa ya
      umuhimu wa kukuza uzalishaji mali        uamuzi wa kuziingiza nchi za Rwanda na Burundi
      nchini ili Tanzania iweze kunufaika na   katika Jumuiya pamoja na masuala ya utekelezaji wa
      fursa inayotolewa na Jumuiya ya Afrika   Umoja wa Forodha.
      Mashariki.
3.    Kufanya utafiti kuhusu nyanja za         Kamati za kitaifa za kuchambua na kutafuta njia za
      ushirikiano kwa lengo la kubaini         ufumbuzi kuhusu masuala ya umoja wa forodha
      vikwazo na kubuni mikakati ya            hususan masuala ya vikwazo visivyo na kodi ziliteuliwa
      kukabiliana navyo.                       katika nchi wanachama Mwezi Juni, 2006.
4.    Kutumia Balozi zetu nchini Kenya na      Balozi zetu zimekuwa zikishiriki kikamilifu katika
      Uganda        katika     kuwawezesha     mikutano ya sekta mbalimbali katika vikao vya Jumuiya
      Watanzania kuendeleza biashara.          na zimeiwezesha Serikali kupokea taarifa sahihi na
                                               kamili kuhusu nchi za Kenya na Uganda kulingana na
                                               makubaliano mbalimbali na Mkataba wa Jumuiya kwa
                                               ujumla.
5.    Kuwasiliana na Wizara, sekta binafsi     Wizara imeratibu vikao mbalimbali kwa kushirikisha
      na wadau wengine katika kubuni sera,     sekta mbalimbali kwa ajili ya kupitia masuala ya vifungu
      mikakati na programu za utekelezaji      vya mkataba wa Jumuiya, masuala ya kijamii na elimu.
      katika kukuza na kuendeleza uzalishaji   Wizara imeshiriki katika majadiliano ya Itifaki ya
      mali na biashara.                        Kamisheni ya Sayansi na Teknolojia katika kikao
                                               kilichofanyika mwezi Machi, 2007, Zanzibar. Itifaki hiyo
                                               imekamilika na kuwekwa saini na nchi wanachama
                                               mwezi Aprili, 2007.

                                               Aidha, Wizara ilishiriki katika kukamilisha vigezo kwa
                                               ajili ya „centres of excellence‟ ambavyo vilipitishwa na
                                               Jumuiya. Vituo vitakavyofaidika na utaratibu huu ni
                                               pamoja na Mweka – Moshi, Chuo cha Sanaa –




                                                91
                                                Bagamoyo, Utalii College – Kenya na „Sorot School of
                                                Aviation‟ ya nchini Uganda. Aidha, katika kukuza
                                                matumizi ya Kiswahili katika Jumuiya, Muswada wa
                                                Sheria kuhusu Kamisheni ya Jumuiya ya Kiswahili
                                                unatarajiwa kuwasilishwa katika mkutano wa Bajeti wa
                                                mwaka 2007/2008.
6.   Kufanya maandalizi ya Kutosha katika       Kuzishirikisha sekta mbali mbali kuandaa makala
     majadiliano na Nchi Wanachama.             mahsusi juu ya sekta zao kuhusiana na masuala ya
                                                Soko la Pamoja. Aidha, Mwezi Aprili, 2007 Sekretariat
                                                iliiteua Kampuni ya „MA consultants‟ ili kuandaa taarifa
                                                ya awali kuhusu Soko la Pamoja. Taarifa hiyo inapitiwa
                                                na kila nchi wanachama. Tarehe 22/6/2007 ilipitiwa na
                                                Nchi yetu kwa kuhusisha wadau wa sekta za umma,
                                                sekta binafsi na taasisi mbali mbali Tanzania Bara na
                                                Zanzibar.
7.   Kufanya tathmini ya utekelezaji wa         Serikali imeshirikiana na wadau wa Sekta ya sheria na
     Mkataba wa kuanzisha Jumuiya ya            wadau mbalimbali mwezi Februari, 2007 katika kupitia
     Afrika Mashariki na Itifaki zake kwa       mapendekezo ya marekebisho ya Kifungu cha Mkataba
     lengo la kubaini mafanikio au upungufu     wa kuanzisha Jumuiya ya Afrika Mashariki kinachohusu
     wa utekelezaji na kuchukua hatua           masuala ya Mahakama. Aidha, Mapendekezo ya
     zinazostahili.                             marekebisho ya baadhi ya vifungu yalisainiwa na
                                                Wakuu wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika
                                                Mashariki katika Mkutano Mkuu wa Kilele wa Nane
                                                (Summit) wa Wakuu wa Nchi uliofanyika mwezi
                                                Novemba, 2006 mjini Arusha.

                                                Marekebisho hayo yanalenga kuunda upya Mahakama
                                                ya Afrika Mashariki kwa kuanzisha vitengo viwili yaani
                                                kitengo cha Mahakama ya awali na kitengo cha
                                                Mahakama ya Rufani. Kitengo cha Mahakama ya
                                                Rufani kitatoa fursa ya rufaa kwa mtu ambaye
                                                hataridhika na uamuzi wa Mahakama ya awali.
8.   Kujifunza kutoka Kanda au Nchi             Ushiriki wetu katika mikutano ya Kikanda kama vile
     nyingine jinsi ya kuimarisha ushiriki wa   SADC, WTO unawezesha Nchi kujifunza mahusiano
     Tanzania katika Jumuiya ya Afrika          mbalimbali ya kiuchumi na kibiashara yaliyopo katika
     Mashariki na ukuaji wa Jumuiya             Kanda nyingine.
     yenyewe.
9.   Kuratibu kwa karibu utekelezaji wa         Wizara imekuwa ikishiriki na kuratibu vikao, mikutano
     maamuzi mbali mbali ya vyombo vya          inayohusu Taasisi mbalimbali zilizo chini ya Jumuiya
     Jumuiya ya Afrika Mashariki ukiwemo        kwa ajili ya kufuatilia kwa karibu maendeleo ya Taasisi
     Mkutano wa Wakuu wa Nchi                   hizo kama vile Kamisheni ya Ziwa Victoria, Bunge la
     Wanachama wa Jumuiya ya Afrika             Jumuiya, Mahakama pamoja na Sekretariati ya
     Mashariki, Baraza la Mawaziri la           Jumuiya.
     Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bunge na
     Mahakama ya Jumuiya ya Afrika              Aidha, Jumuiya iliandaa semina iliyolenga kujenga




                                                 92
      Mashariki.                              mahusiano ya ndani baina ya Mabunge ya Nchi
                                              wanachama na Bunge la Afrika Mashariki (enhancing
                                              functional relationship between East African legislative
                                              Assembly – EALA and national Assemblies). Semina
                                              ilifanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 13-16 Agosti, 2006
                                              na kuhudhuriwa na Wajumbe 150 kutoka Nchi
                                              wanachama wa Jumuiya. Waheshimiwa Wabunge wa
                                              Nchi wanachama na Waheshimiwa Wabunge wa
                                              Bunge la Jumuiya.
10.   Kuendelea       kushawishi   Nchi       Tanzania imekuwa makini katika ushiriki wake katika
      wanachama kuweka mkazo katika           majadiliano mbalimbali kwa kuzingatia maslahi ya nchi
      masuala yahusuyo maendeleo badala       na wananchi kwa ujumla. Aidha, imehakikisha ushiriki
      ya biashara pekee.                      wake kuwa sawa na Dira ya Taifa 2025, MKUKUTA na
                                              Mikakati ya sekta mbalimbali Nchini.
11.   Kujenga uelewa kwa Wananchi katika       Wizara kwa kushirikiana na wadau wa Sekta
      Mikoa yote ya Tanzania Bara na          mbalimbali wameshiriki miezi ya Februari na Machi,
      Visiwani, Sekta binafsi, Baraza la      2007 katika kutoa elimu na mafunzo kwa wananchi
      Wawakilishi la Mapinduzi Zanzibar,      kuhusu fursa na changamoto zilizo katika Jumuiya.
      Wabunge na viongozi wa Serikali kwa     Aidha, Wizara kwa kutambua nafasi waliyo nayo
      ujumla kuhusu masuala ya Ushirikiano    Waheshimiwa Wabunge katika kuhamasisha na
      wa Afrika Mashariki.                    kuelimisha wananchi juu ya masuala ya Jumuiya,
                                              iliandaa semina kwa wabunge mwezi Novemba, 2006
                                              kuhusu Utekelezaji wa Umoja wa Forodha, Soko la
                                              Pamoja na Mchakato wa kukusanya maoni ya
                                              Wananchi kuhusu Shirikisho.
12.   Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa    Kwa kushirikiana na Wadau wa sekta mbalimbali
      Itifaki ya Umoja wa Forodha.            wizara imeratibu utoaji wa elimu na mafunzo kuhusu
                                              Umoja wa Forodha kwa wajasiriamali na wananchi
                                              waishio mipakani kwa ujumla.
13.   Kuratibu na kuandaa taarifa kuhusu      Zoezi la kukusanya maoni ya wananchi kuhusu
      maoni ya wananchi, sekta binafsi na     uharakishwaji wa Shirikisho la Afrika mashariki kwa
      wadau wengine kuhusu haja ya            sehemu kubwa lilitumika pia kutoa elimu kwa wananchi
      kuharakisha Shirikisho la Afrika        kuhusu Jumuiya. Zoezi lilifanyika katika mikoa na
      Mashariki (Fast Tracking of Political   Wilaya mbalimbali Tanzania Bara na Visiwani. Mikoa
      Federation).                            iligawanywa kwa kanda ili kuwezesha kuwafikia
                                              wananchi walio wengi kwa urahisi. Zoezi lilizinduliwa
                                              mwezi Oktoba, 2006 katika nchi za Jumuiya ya Afrika
                                              Mashariki na linatarajiwa kukamilika mwezi Juni, 2007.

                                              Aidha, Kamati ya Kitaifa iliandaa na kukamilisha taarifa
                                              husika.
14.   Kufuatilia kwa karibu miradi na         Wizara iliratibu kwa karibu sana miradi na Programu za
      programu za maendeleo endelevu ya       Jumuiya hususan maendeleo endelevu ya Ziwa Victoria
      ziwa Victoria na Ukanda wake.           na miundombinu. Tanzania ilitoa kila msaada katika
                                              kuihamisha meli “RV” Jumuiya kutoka Ziwa Nyasa na




                                               93
                                                kuipeleka Ziwa Victoria.

                                                Meli husika itatumika kufanya tafiti mbalimbali
                                                zinazohusu usafi na usalama wa ziwa, kiwango cha
                                                uchafuzi wa mazingira na bioanuai ya Ziwa hilo. Vile
                                                Vile itasaidia kutafiti kiwango cha utajiri na aina ya
                                                samaki waliopo katika Ziwa hilo. Kamisheni
                                                inayosimamia maendeleo endelevu ya ziwa imehamia
                                                rasmi Kisumu nchini Kenya mwezi Desemba, 2006.

                                                Baadhi ya Miradi ya maendeleo iliyopo katika bonde
                                                hilo ni; Mradi wa usalama na uchukuzi katika Ziwa
                                                Victoria (The Lake Victoria Safety and Navigation
                                                Study); Mradi wa kuendeleza makazi kwa wananchi
                                                waishio kuzunguka Ziwa Victoria katika jumuiya. Mradi
                                                huu unaendeshwa kwa kushirikiana na UN – Habitat.
                                                Aidha, mradi unashughulikia masuala ya maji na
                                                utunzaji wa mazingira na makazi ya wananchi
                                                kuzunguka Ziwa katika miji ya Kisii, Homabay, Muleba
                                                na Bukoba. Mpango huu unatarajiwa kuhusisha miji 22.
                                                (Lake Victoria Regional Water and Sanitation Initiative);
                                                na Mradi unaosimamia uvuvi.
15.    Kuajri watumishi wasiopungua 40          Watumishi 30 wa kada mbalimbali wameajiriwa kwa
      katika mwaka 2006/2007 ambao kati         mwaka 2006/2007.
      ya hao ni wataalam wa masuala ya
      fedha, biashara, uchumi, sheria,
      sayansi ya jamii, takwimu na
      mawasiliano.
16.   Kuandaa mpango wa kuwapatia               Kutokana na ufinyu wa bajeti jukumu hili
      mafunzo wataalam wa Wizara katika         halikutekelezwa mwaka 2006/2007, hivyo linatarajiwa
      stadi za majadiliano (Negotiation         kutekelezwa mwaka 2007/2008.
      Skills), eneo ambalo ni muhimu katika
      kufanikisha ushiriki wa Tanzania katika
      Jumuiya.
17.   Kuimarisha uwezo wa Wizara                Serikali imewezesha kupatikana ofisi kwa ajili ya
      kiutendaji kwa kuboresha mazingira ya     Wizara katika jengo la NSSF – Waterfront pamoja na
      kazi pamoja na kutoa mafunzo kwa          kununua vitendea kazi na samani za ofisi ili kujenga
      wataalam wa Wizara.                       mazingira bora ya utendaji kazi kwa watumishi.
18.   Kuratibu kwa karibu zaidi maombi ya       Nchi za Rwanda na Burundi zimeingizwa katika
      Rwanda na Burundi ya kutaka kujiunga      Jumuiya tarehe 18/6/2007 baada ya kusainiwa kwa
      na Jumuiya ya Afrika Mashariki.           “Accession Treaty”. Aidha, nchi hizo zimekubaliwa
                                                baada kukamilisha vigezo maalum vilivyowekwa na
                                                nchi wanachama kulingana na mkataba wa uanzishwaji
                                                wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.




                                                 94
Vigezo viliwekwa katika sehemu kuu mbili ambazo
zililenga kupima mambo makuu ya msingi kuhusu
makubaliano juu ya Muundo wa Taasisi na Mkakati wa
maendeleo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Aidha
sehemu ya pili ilihusu maeneo maalum ya sekta
mbalimbali. Masuala yaliyopewa kipaumbele ni pamoja
na utawala bora, demokrasia, haki za binadamu, usawa
wa kijinsia na kumaliza migogoro ya kivita baina yao
wenyewe kwa wenyewe. Nchi za Rwanda na Burundi
watakuwa wanachama kamili ifikapo tarehe 1 Julai,
2007.




 95
                    WIZARA YA ELIMU YA JUU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA

NA.                 AHADI                                       UTEKELEZAJI
1.    IDARA YA ELIMU YA JUU
       Kuwadhamini wanafunzi shahada        Wizara imeendelea kudhamini wanafunzi wa shahada
          ya kwanza 1,500 katika programu    ya kwanza katika fani za Udaktari kwa mwaka wa
          ya udaktari (MD) katika vyuo       masomo 2006/07 kama ifuatavyo:
          vikuu hapa nchini.
                                             KCM – College     125
                                             BUCHS             110
                                             IMTU               65
                                             HKMU              143
                                             MUCHS             980

                                             JUMLA           1,423
         Kudhamini wanafunzi tisini (90)    Wizara imeendelea kudhamini wanafunzi 90 raia wa
          raia wa Uganda ikiwa ni            Uganda ikiwa ni kutekeleza utaratibu wa kubadilishana
          kutekeleza       utaratibu  wa     wanafunzi wa shahada ya kwanza kwa mwaka 2006/07
          kubadilishana wanafunzi wa         kama ifuatavyo:
          shahada ya kwanza katika vyuo
          vikuu vya Afrika Mashariki.        UDSM         -    52
                                             UCLAS        -    14
                                             MUCHS         -   16
                                             SUA           -   08
                                             JUMLA         -   90

         Kudhamini mafunzo wanafunzi        Serikali imedhamini wanafunzi 5 raia wa China
          watano, raia wa China, ikiwa ni    kusomea utaalamu wa Lugha ya Kiswahili Chuo Kikuu
          kutekeleza       mkataba     wa    cha Dar es Salaam kwa mwaka 2006/07 ikiwa ni
          ushirikiano kati ya Tanzania na    kutekeleza mkataba wa Ushirikiano kati ya Tanzania na
          China.                             China.

         Kuendelea kuelimisha umma juu      Imeelimisha umma kuhusu Sera ya uchangiaji wa elimu
          ya Sera ya uchangiaji gharama za   ya juu.
          elimu ya juu.

         Kukamilisha kazi ya kuhuisha
                                             Imepitia rasimu ya Sera ya Elimu ya Juu ya mwaka
          Sera ya Elimu ya Juu ya mwaka
                                             1999 iliyohuishwa na ambayo imejadiliwa na wadau
          1999.
                                             mwezi Juni, 2007.
         Kudhamini        mafunzo    ya     Imeendelea na udhamini wa mafunzo ya wanataaluma
          wanataaluma themanini (80)         themanini (80) katika vyuo vikuu vya umma.
          katika idara ambazo zina
          upungufu mkubwa wa wahadhiri,
          katika vyuo vikuu vya umma.




                                              96
        Kuongeza ushiriki wa rika husika      Kuna ongezeko la kwa rika husika kwa Elimu ya Juu
         katika Elimu ya Juu kutoka            kutoka 0.27 mwaka 1997 na kufikia 1.269 kwa mwaka
         asilimia 1.219 mwaka 2006/2007        2005/06. Lengo la Wizara ni kuongeza ushiriki wa
         na kufikia asilimia 2.0 ifikapo       Tanzania kwa rika hadi kufikia 2.0 mwaka 2010. Hii
         mwaka 2010.                           inatokanana na ongezeko la udahili katika Taasisi za
                                               umma na binafsi. Vile vile uanzishwaji wa Chuo Kikuu
                                               cha Dodoma utasaidia kufikia azma hii.
2.   IDARA YA ELIMU YA UFUNDI
        Kudhamini      mafunzo       kwa      Ilidhamini mafunzo kwa wanafunzi 1,754 katika ngazi
         wanafunzi 1,754 katika ngazi ya       ya Ufundi Sanifu katika Vyuo na Taasisi za Ufundi zilizo
         Ufundi Sanifu katika Vyuo na          chini ya Wizara
         Taasisi za Ufundi zilizo chini ya
         Wizara.
                                               Sera ya Elimu ya Ufundi inaendelea kuboreshwa na
        Kukamilisha kuhuisha Sera ya          utaratibu wa kupata maoni kutoka kwa wadau
         Elimu ya Ufundi ya mwaka 1996.        unaandaliwa.

                                               Wizara iligharimia mafunzo ya watumishi kumi na
        Kugharimia mafunzo ya watumishi
                                               wawili 12 wa Chuo cha Ufundi Arusha na Makao Makuu
         kumi na wawili (12) wa Chuo cha
                                               katika ngazi ya udaktari wa falsafa 4 na Shahada ya
         Ufundi Arusha na Makao Makuu
                                               Uzamili 8.
         katika ngazi ya udaktari wa falsafa
         (4), Shahada ya Uzamili (8).


        Kuratibu na kugharamia mafunzo        Wizara iliratibu na kugharamia mafunzo maalumu ya
         maalum ya ualimu (Pedagogical         ualimu (Pedagogical Skills) kwa wahandisi 23
         Skills) kwa walimu wahandisi 23       walioajiriwa katika Chuo cha Ufundi Arusha.
         watakaoajiriwa.

        Kuhamasisha wasichana katika          Uhamasishaji umefanyika katika robo ya tatu ya mwaka
         shule za sekondari ili waweze         wa fedha 2006/07 katika mikoa ya Mwanza, Iringa,
         kujiunga na Elimu na Mafunzo ya       Tanga, Morogoro na Songea.
         Ufundi kwa wingi.
3.   IDARA YA SAYANSI NA
     TEKNOLOJIA
        Kukamilisha utungaji wa Sera ya       Rasimu ya Sera ya Taifa ya Utafiti iliwasilishwa
         Taifa ya Utafiti.                     Sekretariati ya Baraza la Mawaziri.

        Kukamilisha    uandaaji         wa    Muswada wa sheria             utaandaliwa mara tu
         Muswada     wa    Sheria        ya    itakapokamilishwa uhuishwaji wa Sera ya Sayansi na
         Kuendeleza     Sayansi          na    Teknolojia (1996). Uhuishaji wa Sera ulianza mwezi wa




                                                97
         Teknolojia Tanzania.                  Februari, 2007. Mchakato wa urejeaji wa Sera ya

        Kukamilisha uhuishaji wa Sera ya      Taifa ya Sayansi na Teknolojia kwa madhumuni ya
         Taifa ya Sayansi na Teknolojia na     kutunga Sera mpya ya Taifa ya Sayansi, Teknolojia na
         Sheria Na. 7 ya mwaka 1986            Ubunifu, unaendelea.
         iliyoanzisha Tume ya Taifa ya
         Sayansi na Teknolojia.
                                               Taratibu za uanzishwaji wa Taasisi ya Nelson Mandela,
        Kuendelea na uanzishaji wa            katika eneo la kudumu lililoko Karangai katika
         Taasisi ya Kujenga Uwezo wa           Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru, Arusha,
         Maarifa na Kuendeleza Sayansi         zinaendelea.
         na         Teknolojia        nchini
         itakayojulikana kwa jina la Taasisi
         ya Nelson Mandela.
                                               Wizara ilitoa jumla ya tuzo 119 kwa wanafunzi wa kike
        Kuandaa         mkakati       wa      kutoka shule 20 zilizofanya vizuri katika masomo ya
         uhamasishaji wa wanafunzi wa          Sayansi na Hisabati katika mitihani ya kumaliza kidato
         kike ili waweze kujiunga katika       cha nne mwaka 2006 18, kidato cha sita mwaka 2006
         masomo ya sayansi, teknolojia na      na 2007 25 vyuo vikuu, taasisi za serikali na binafsi za
         uhandisi katika ngazi mbali mbali     Elimu ya Juu na Ufundi 43. Aidha wizara pia ilitoa tuzo
         za elimu.                             33 kwa shule za sekondari zilizowezesha wanafunzi
                                               hao kufanya vizuri katika masomo hayo.

      Kukamilisha uundaji wa Kamati ya        Rasimu ya mkakati inaendelea kukamilishwa. Taarifa
       Kitaifa ya Elimu ya Sayansi nchini.     ya Kikao cha Task Force iliyojadili makala mbalimbali
                                               zilizoeleza umuhimu wa kuundwa kwa Kamati
                                               imekwishaandaliwa na itajadiliwa, na Mkutano wa
                                               Wadau pindi fedha zitakapopatikana. Aidha, Rasimu
                                               ya WBLM kuhusu uundaji wa Kamati ime- tayarishwa,
                                               inasubiri kujadiliwa katika Kikao cha Menejimenti.
4.   IDARA YA SERA NA MIPANGO

        Kuratibu utekelezaji wa Ilani ya      Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha
         Uchaguzi ya Chama Cha                 Mapinduzi ya mwaka 2005-2010, na kuandaa taarifa ya
         Mapinduzi ya mwaka 2005.              utekelezaji, unaendelea.

        kuratibu utekelezaji wa miradi ya     Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo 21, katika Taasisi
         maendeleo inayoendelea na ile         na Makao Makuu unaendelea kati ya miradi hiyo, 18 ni
         itakayoidhinishwa katika kipindi      miradi inayogharamiwa na fedha za ndani na 3
         cha mwaka 2006/2007.                  inagharamiwa na fedha za nje.

                                               Uanzishwaji wa Chuo Kikuu cha Dodoma umekamilika.
        Kuratibu ujenzi wa Chuo Kikuu
         kipya Dodoma.




                                                98
        Kuratibu Uhuishaji wa Sera tatu      Sera zote tatu zimekabidhiwa kwa washauri waelekezi,
         (3) za Wizara, (Sera ya Elimu ya     Rasimu za awali zimewasilishwa Wizarani. Utaratibu wa
         Juu, Elimu ya Ufundi na Sera ya      kupata maoni ya Wadau unaandaliwa.
         Sayansi na Teknolojia).

        Kuratibu shughuli za Ushirikiano     Wizara imeshiriki katika mikutano mbalimbali ndani na
         wa Kimataifa.                        nje ya nchi.

        Kukamilisha zoezi la uhuishaji wa    Zoezi la ‟Maping Survey‟ limeanza na ripoti imetolewa
         vyuo vya elimu (Rationalization of   Juni, 2007.
         Post Secondary Institutions).

        Kukamilisha program nane (8) za      Maandalizi ya mpango maalum (Quickwin Programme)
         uwekezaji katika Elimu ya Juu na     kwa ajili ya kuendeleza Elimu ya Juu na Ufundi
         Elimu ya Ufundi.                     utakaofadhiliwa na Benki ya Dunia yanaendelea.
5.   IDARA YA UTAWALA NA UTUMISHI.

        Kuajiri watumishi 14 kwa ajili ya    Watumishi 14 waliajiriwa kati ya hao 2 Makao Makuu
         makao Makuu na Chuo cha              na 12 Chuo cha Ufundi Arusha. Aidha, watumishi 22
         Ufundi Arusha.                       wamepandishwa vyeo na 3 kuthibitishwa kazini.

                                              Mafunzo mbalimbali ndani na nje ya nchi yalitolewa
        Kugharimia mafunzo mbalimbali        kwa watumishi 47 ili kuwaongezea ujuzi maarifa na
         ya watumishi thelathini (30) ya      ufanisi katika utendaji wao kazi.
         muda mrefu na mfupi ndani na nje
         ya nchi.
                                              Utaratibu unaandaliwa ili watumishi wengine
        Kuendelea kutekeleza mkakati wa      wahudhurie mafunzo hayo ili kufikia lengo lililowekwa.
         kuwaelimisha     wananchi    na
         watumishi kupitia vyombo vya         Vyombo vya habari kama magazeti vimetumika
         habari kuhusu taratibu za kupata     kuelimisha wananchi juu ya taratibu za kupata huduma
         huduma zinazotolewa na wizara.       zitolewazo na Wizara.

        Kutekeleza mfumo wa uwazi wa         Utaratibu wa mafunzo elekezi kwa watumishi
         upimaji   utendaji kazi   wa         umeandaliwa.
         watumishi wa umma.
                                              Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ndicho pekee
        Kushirikiana na vyuo vya Elimu ya    kilichohuisha mitaala yake na kuingiza masuala ya
         Juu katika kuhuisha mitaala ili      UKIMWI.
         kuingiza masuala ya elimu ya
         UKIMWI.
                                              Iliendelea kushirikisha sekta binafsi katika utoaji wa
                                              huduma zisizo rasmi (non-core services) Makao Makuu
        Kuendelea kushirikisha sekta
         binafsi katika utoaji wa huduma      pamoja na Chuo cha Ufundi Arusha, hususan huduma




                                               99
         zisizo rasmi (non-core services)    za ulinzi, usafi na chakula.
         za ulinzi, mapokezi, usafi na
         chakula makao makuu ya wizara
         na Chuo cha Ufundi Arusha.
                                             Siku ya UKIMWI ya Wizara iliadhimishwa kwa kufanya
        Kuendelea            kuhamasisha    shughuli mbalimbali zinazohusu upimaji UKIMWI kwa
         watumishi kupima afya zao kwa       hiari, matumizi ya dawa za kurefusha maisha kwa
         hiari hususan virusi vya UKIMWI     waishio na virusi vya UKIMWI na kupunguza
         na kutoa huduma kwa wale            maambukizo ya UKIMWI kutoka kwa mama kwenda
         watakaojitokeza            kuwa     kwa mtoto. Pia iliandaa mwongozo wa kushughulikia
         wameathirika na VVU/UKIMWI.         taratibu za kutoa lishe na matibabu kwa watumishi
                                             waishio na virusi ya UKIMWI.
6.   CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

        Kudahili   jumla   ya   wanafunzi   Kilidahili jumla ya wanafunzi 6,027, kati yao wanafunzi
         4,075.                              wa Shahada ya kwanza ni 3,890 wanafunzi wa kike ni
                                             1,400 sawa na 36% na Shahada ya Uzamili ni 2,137
                                             wanafunzi wa kike ni 577 sawa na 27%.

                                             Zoezi ni la kila mwaka na linaendelea katika vitivo na
        Kuendelea na utaratibu wa           taasisi
         kuboresha mitaala kwa kuifanyia
         tathmini kila mwaka.


        Kuendeleza juhudi za kutumia        Kiliendeleza juhudi za kutumia teknolojia ya
         teknolojia ya mawasiliano (ICT)     mawasiliano (ICT) katika kufundisha na kujifunza kwa
         katika ufundishaji na kujifunzia    kutumia Kituo cha Elimu Endelevu (Centre for
         kwa kutumia kitengo cha “Centre     Continuing Education), kuwafundisha wahadhiri mbinu
         of Countinuing Education” (CCE)     mpya na bora za kufundishia pamoja na kuimarisha
         kuwafundisha wahadhiri mbinu        mtandao wa ndani (Local Area Network).
         mpya na bora za kufundishia
         pamoja na kuimarisha mtandao
         wa ndani “Local Area Network”
         (LAN).

        Kuajiri na kutoa mafunzo katika     Wameajiri watumishi 281 wanataaluma 185 na
         ngazi mbalimbali kwa wataalamu      waendeshaji 96 katika ngazi mbalimbali kwenye idara
         kwenye idara zenye upungufu         17 zenye upungufu mkubwa wa wafanyakazi.
         mkubwa wa wafanyakazi.
                                             Kiliendelea kushirikiana na taasisi za ndani na nje ya
        Kuendelea kushirikiana na taasisi
                                             nchi kugharamia utafiti kulingana na sera ya utafiti ya
         za ndani na nje ya nchi
                                             chuo.
         kugharamia utafiti kulingana na




                                             100
         sera ya utafiti ya Chuo. Chuo
         kitaweka juhudi zake kuhakikisha
         kuwa     matokeo     ya    utafiti
         yanasambazwa kwa walengwa.
                                               Kiliendelea kutumia mikakati mbalimbali pamoja na
        Kuendelea kutumia mikakati            kutoa mafunzo maalum kwa wasichana wanaotaka
         mbalimbali pamoja na kutoa            kujiunga na programu za sayansi, uhandisi na
         mafunzo maalum kwa wasichana          teknolojia, uchumi na takwimu, ili kuinua uwiano wa
         wanaotaka kujiunga na programu        wavulana kwa wasichana.
         za sayansi, uhandisi na teknolojia,
         uchumi na takwimu; ili kuinua
         uwiano     wa    wavulana       na
         wasichana.
                                                   Kiliendeleza ujenzi wa madarasa mawili yenye
        Kukamilisha ujenzi wa madarasa             uwezo wa kutumiwa na wanafunzi 1,000 kila moja
         makubwa mawili yenye uwezo wa              kwa wakati mmoja. Ujenzi umefikia asilimia 70.
         kutumiwa na wanafunzi 1000 kila            Kiliendelea na ukarabati wa Mabweni ya
         moja kwa wakati mmoja.                     wanafunzi hususan bweni Na. 2 na Na. 5.

        Kukamilisha ujenzi wa awamu ya        Kilikamilisha ujenzi wa msingi wa jengo la Utawala la
         kwanza ya Taasisi ya Sayansi za       Taasisi ya Sayansi za Bahari iliyopo Buyu Zanzibar.
         Baharini iliyopo Buyu Zanzibar.
                                               Ujenzi umekamilika.
        Kukamilisha ujenzi wa kitengo
         kitakachotumiwa na kituo cha
         ujasiriamali.
                                               Ujenzi wa awamu ya kwanza ya mradi wa Mlimani City
        Kuendelea na ujenzi wa awamu
                                               umekamilika.
         ya kwanza ya mradi wa “Mlimani
         City”.


        Kuendeleza      majadiliano    na     Kilikabidhiwa majengo yaliyokuwa ya Kampuni ya Simu
         Kampuni ya Simu Tanzania              Tanzania (TTCL) yaliyoko Kijitonyama, kwa ajili ya
         (TTCL) ili chuo kikabidhiwe rasmi     Kitivo cha Uhandisi Umeme na Mifumo ya Kompyuta
         majengo ya kilichokuwa Chuo cha       cha Kampasi ya Uhandisi (COET).
         Wafanyakazi wa Kampuni ya
         Simu eneo la Kijitonyama.
7.   CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA
     KILIMO
      Kudahili jumla ya wanafunzi wa          Kilidahili jumla ya wanafunzi 1,089 kati ya hao Shahada
         shahada ya kwanza 820 na 300          ya kwanza ni wanafunzi 820 wanafunzi wa kike wakiwa
         wa shahada za juu.                    ni 33% na Shahada Uzamili 269 wanafunzi wa kike




                                               101
                                         wakiwa 30%.

   Kuimarisha mafunzo ya shahada        Mitaala ya shahada zote za kwanza na za juu inapitiwa
    za kwanza, uzamili na shahada za     upya ili ziweze kuvutia na ziendane na mahitaji ya
    Juu za Falsafa.                      soko.

   Kuimarisha miradi ya       utafiti   Kiliimarisha tafiti zinazolenga kuboresha kilimo, mifugo
    unaoshirikisha wakulima.             na maliasili mfano kilimo cha mboga na matunda katika
                                         vijiji vya Mvomero, Mgeta, Mkuyuni, Kiroka, Matombo
                                         na Bunduki mkoani Morogoro.

   Kufanya warsha/kongamano za          Kilifanya warsha/kongamano 19 za kisayansi ambazo
    kisayansi ambazo wanataaluma         ziliwashirikisha wanataaluma na wadau ndani na nje ya
    na wadau ndani na nje ya nchi        nchi.
    watajadili matokeo ya utafiti na
    matumizi yake.

   Kuendesha kozi fupi, warsha,
    mikutano na semina na kutoa          Kiliendesha kozi fupi, semina na kutoa huduma za
    huduma za ushauri wa kilimo,         ushauri wa kilimo, utunzaji na usimamizi wa mali ya
    utunzaji na usimamizi wa mali ya     asili, misitu, na ufugaji kwa wakulima na wafanyakazi.
    asili, misitu na ufugaji kwa
    wakulima na wafanyakazi.

   Kuendeleza miradi ya maendeleo
    kama ifuatavyo:-
     - Kukarabati         majengo,       Ukarabati wa mabweni 12 umeanza na mpango wa
        (mabweni 5 na nyumba 20)         kukarabati nyumba 20 za wafanyakazi unafanyiwa kazi.
        na mtandao wa mabomba
        ya maji.


    -    Kuanza ujenzi wa chanzo         Kilikamilisha ujenzi wa maktaba iliyopo Kampasi ya
         mbadala cha maji katika         Solomon Mahlangu na jengo la Ujasiriamali na
         Kampasi    ya   Solomon         Biashara.
         Mahlangu.
                                         Kilikarabati madarasa 3, mabweni 12,maabara 1 na
    -    Kuendelea na ujezi wa           nyumba za wafanyakazi 4.
         vyumba      viwili     vya
         mihadhara, vyenye uwezo
         wa kukaa wanafunzi 500
         kila kimoja kwa wakati
         mmoja.
                                         Utaratibu wa kununua samani hizo umekamilika.
    -    Kununua samani kwa ajili ya
                                         Tayari mzabuni ameteuliwa.




                                         102
             maabara ya Zoolojia, Jengo
             la Ujasiriamali na Biashara,
             na Jengo la Maktaba lililopo
             Kampasi     ya     Solomoni
             Mahlangu.
8.   CHUO KIKUU MZUMBE

        Kudahili jumla ya wanafunzi elfu   Kilidahili wanafunzi 816 wa Shahada ya kwanza, kati ya
         moja (1000)                        hao wanafunzi wa kike ni 358 sawa na 44% na wa
                                            kiume ni 458. Aidha Chuo kilidahili wanafunzi 282 wa
                                            Shahada ya Uzamili kati yao wanafunzi 133 ni wa kike
                                            sawa na 47%.

        Kukamilisha ujenzi wa mabweni      Taratibu za kupata michoro kwa ajili ya Mradi huu
         ya wanafunzi yenye uwezo wa        zinaendelea.
         kuhudumia wanafunzi elfu moja
         (1,000) pamoja na ofisi za
         wahadhiri.
                                            Kilikamilisha upanuzi wa maktaba ya Chuo, kampasi ya
        Kujenga maktaba yenye uwezo
                                            Mzumbe.
         wa kuhudumia wanafunzi 1,000
         katika Kampasi ya Mbeya.

        Kujenga ukumbi wa mihadhara
         wenye uwezo wa kutumiwa na         Kiliendelea na ujenzi wa ukumbi wa mihadhara wenye
         wanafunzi 300 katika Kampasi ya    uwezo wa kutumiwa na wanafunzi 300 katika kampasi
         Mbeya.                             ya Mbeya. Ujenzi huu utakamilika mwezi Septemba,
                                            2007.

        Kuendelea kusomesha wahadhiri      Kilisomesha Wahadhiri watano (5) shahada ya uzamili
         14 ngazi ya Shahada ya Udaktari    na tisa (9) masomo ya Shahada ya Uzamivu.
         wa Falsafa na 13 ngazi ya
         Shahada ya uzamili.

        Kukamilisha tafiti 5 maeneo ya     Kilikamilisha tafiti ishirini na moja (21) katika maeneo ya
         Sayansi ya Jamii.                  Sayansi ya Jamii, maeneo hayo ni;

                                             -       “Public Private Partnership”
                                             -       “Environment”
                                             -       “HIV/AIDS”
                                             -       “Financial Management”
                                             -       “Administration”

        Kununua kompyuta 100 kwa ajili     Kilinunua kompyuta 130 kwa ajili ya kuboresha




                                            103
        ya matumizi ya wahadhiri.              ufundishaji.
9.   CHUO KIKUU HURIA CHA
     TANZANIA
      Kudahili jumla ya wanafunzi 5000        Kilidahili wanafunzi 3,868 kati ya hao Shahada ya
                                               kwanza ni wanafunzi 3,354 wanafunzi wa kike wakiwa
                                               987 sawa na 29% na Shahada ya uzamili 514 kati ya
                                               hao wanafunzi wa kike wakiwa 58 sawa na 11%.

                                               Kilikarabati ofisi za wafanyakazi Makao makuu na
        Kuendeleza kuboresha ofisi za         katika mikoa ya Iringa, Dodoma na kuzindua rasmi
         wafanyakazi makao makuu na            majengo ya mkoa wa Singida.
         katika mikoa ya Iringa, Kilimanjaro
         na Ruvuma, Rukwa, Mtwara na
         Manyara.

        Kuongeza idadi ya wafanyakazi         Kiliongeza idadi ya wanataaluma na waendeshaji ili
         wanataaluma na waendeshaji            kuimarisha utendaji. Idadi ya wanataaluma imefikia
         mikoani.                              181, waendeshaji 166 na mafundi wa TEKNOHAMA
                                               10.

        Kuongeza maabara za kompyuta          Vituo vya Mikoa ya Mtwara na Kinondoni vilipatiwa
         katika vituo vya mikoa na kuweka      maabara za kompyuta. Vituo hivyo pia vina mtandao
         mtandao wa ndani “Local Area          wa ndani (LAN). Uwekaji wa LAN katika vituo vingine
         Network”(LAN) katika vituo 5 vya      haujafanyika kwa sababu ya kutokuwa na majengo
         mikoa.                                ambayo yanamilikiwa na Chuo katika Mikoa husika.


        Kuanzisha mafunzo ya ngazi ya
         cheti, stashahada na kozi fupi za     Kilianzisha vituo vipya katika wilaya tatu (3) za mkoa
         ujasiriamali ili kuimarisha uwezo     wa Dar es salaam, ili kukabiliana na idadi kubwa ya
         wa wananchi kushiriki kikamilifu      wanafunzi.
         kwenye “MKUKUTA”.

        Kuanza utekelezaji wa mpango          Hadidu za rejea (ToRs) zimekwisha andaliwa.
         wa matumizi bora ya ardhi ya          Mkandarasi amekwisha teuliwa ambaye ni UCLAS.
         ekari 105 eneo liliko Kibaha.         Kazi inatarajiwa kuanza mwezi Desemba, 2006.
        Kuendelea kuongeza idadi ya           Chuo kimeunda mfuko kwa ajili ya elimu ya wanawake
         wanafunzi wa kike.                    (Women Education Fund). Chuo huhamasisha umma
                                               kupitia majarida yake, vipeperushi, maonyesho na
                                               mikutano ya ufunguzi wa mwaka mpya ili wanawake
                                               wengi zaidi wajiunge na Chuo.
                                               Idadi ya wanafunzi wanawake iliongezeka kutoka 689
                                               mwaka 2005 na kufikia 1035 mwaka 2006, yaani




                                               104
                                          ongezeko la wanafunzi 346 wa Shahada ya Kwanza au
                                          asilimia 50.2.
                                          Idadi ya wanafunzi wa kike wa Shahada za uzamili
                                          iliongezeka kutoka 52 mwaka 2005 na kufikia 118,
                                          yaani ongezeko la wanafunzi 66.

   Kuimarisha ushirikiano na Wizara      Idadi ya wanafunzi wa programu ngazi ya cheti cha
    ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi         Stashahada iliongezeka kutoka 371 mwaka 2005 na
    kwa lengo la kuongeza idadi ya        kufikia 570 mwaka 2006; yaani ongezeko la wanafunzi
    walimu wanafunzi.                     199.

   Kuendesha mafunzo maalum kwa          Chuo kimeanza kutoa mafunzo ya muda mfupi kwa
    walimu wa masomo ya Sayansi,          baadhi ya Wakufunzi wa Vyuo vya Ualimu (Teacher
    Hisabati na Teknolojia katika kituo   Educators). Hadi sasa kimetoa mafunzo hayo kwa
    cha “Open and Distance                wakufunzi 150. Chuo kikatoa mafunzo kwa walimu
    Education                Learning     wapatao 1500 wa shule za Sekondari ambao
    Centre”(ODEL Centre), kilichopo       hawakuwa na vyeti vya ualimu. Mafunzo hayo
    makao makuu ya Chuo Kikuu             yanatarajiwa kuanza mwezi Januari, 2007.
    Huria.

                                          Programu hii inaendeshwa na Vyuo Vikuu 10 kwa
                                          pamoja. Vyuo hivyo ni pamoja na:
                                             - Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki (East Africa
                                                  University – Putland Somalia).
                                              - Chuo Kikuu cha Nairobi (Kenya).
                                              - Mandlane Pedagogical University (Msumbiji).
                                              - Chuo Kikuu cha Kyambogo (Uganda)
                                              - Chuo Kikuu cha Zimbabwe.
                                              - Chuo Kikuu cha Zambia.
                                              - Chuo Kikuu cha Addis Ababa.
                                              - Chuo Kikuu cha Amoud (Somalia).
                                              - Chuo Kikuu cha Hargeisa (Somalia).
                                              - Cho Kikuu Huria cha Tanzania.

                                             Programme hii itaendeshwa kwa njia ya
                                              mawasiliano huria (Online taught Programme).
                                             Programme hii inawalenga Walimu na itatolewa
                                              kupitia AVU.
                                             Mpaka sasa mitaala (Curricula) imekamilika.
                                             Awamu ya kwanza ya kuandaa vifaa vya kujifunzia
                                              (authoring of study materials) imeanza. Awamu hii
                                              inahusu uandaaji wa vitabu vya kujifunzia vya
                                              Hisabati na Kemia.
                                             Awamu ya pili itaanza mwezi Januari 2007 na




                                          105
                                                  itahusu uandaaji wa vitabu vya Fizikia na Biolojia.
                                                 Vitivo vya Elimu vya vyuo vikuu vilivyotajwa
                                                  vitatakiwa kuandaa kozi za elimu ambazo
                                                  zitafundishwa katika vyuo vyote vilivyotajwa hapo
                                                  juu.
10.   CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA
      SAYANSI ZA AFYA MUHIMBILI
       Kudahili jumla ya wanafunzi 300.      Kilidahili jumla ya wanafunzi 331 kati ya hao wanafunzi
                                              wa kiume ni 230 na wa kike ni 101 sawa na 31%.

         Kukamilisha ukarabati wa hosteli    Kilikamilisha ukarabati wa Mabweni ya wanafunzi
          za wanafunzi zilizopo Barabara ya   yaliyopo barabara ya Chole Dar es salaam.
          Chole Dar es Salaam pamoja na
          kuweka samani.


         Kukamilisha ujenzi wa kumbi mbili   Kiliendelea na ujenzi wa kumbi mbili (2) za kufundishia
          (2) za kufundishia zenye uwezo      zenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 350 kila moja
          wa kuchukua wanafunzi 350 kila      kwa wakati mmoja na vyumba 40 vya ofisi.
          moja kwa wakati mmoja na
          vyumba 40 vya ofisi.

         Kuanza kujenga barabara katika      Kiliendelea na uendelezaji wa miundombinu ya Chuo
          ardhi ya Chuo iliyopo Kisokwa na    huko Mloganzila Mkoa wa Pwani kwa kushirikiana na
          Mloganzila.                         TANROADS

                                              Kilikamilisha maandalizi ya kukifanya Chuo Kikuu kamili
         Kukamilisha     taratibu  za        cha Tiba na Sayansi za Afya (Muhimbili University of
          kukipandisha hadhi kuwa Chuo        Health and Allied Sciences-MUHAS).
          Kikuu Kamili.
                                              Kiliendelea na utafiti wa magonjwa ya binadamu
         Kuendelea na utafiti wa magonjwa    hususan UKIMWI (chanjo), Kifua kikuu, Malaria na
          ya binadamu hususan UKIMWI,         magonjwa ya wanawake.
          Kifua kikuu, Malaria na magonjwa
          ya wanawake.

         Kukamilisha upanuzi wa maktaba
          ya chuo kuitayarisha kuwa           Kilikamilisha upanuzi wa maktaba ya Chuo.
          maktaba ya Taifa ya Sayansi za
          Afya ya Binadamu.
11.   CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA ARDHI
      NA USANIFU MAJENGO
       Kuimarisha utawala wa Chuo            Chuo kimekamilisha zoezi la uaandaji wa Charter na
          ikiwa ni maandalizi ya kuwa Chuo    tayari limepitishwa na Baraza la Chuo. Mapendekezo




                                              106
    Kikuu Kamili kwa kukamilisha         ya Charter yamewasilishwa Serikalini.
    “Charter” ya Chuo na kupata
    Mkuu wa Chuo na Makamu Mkuu
    wa Chuo.

   Kuongeza udahili wa wanafunzi
    kwa asilimia 50 baada ya             Kilidahili wanafunzi 466 wa shahada ya kwanza kati ya
    kuongeza idara za taaluma kutoka     hao 375 ni wa kiume na 91 ni wa kike sawa na 20% .
    6 na kufikia 22.
                                         Jumla ya tafiti 13 zimekamilika na tafiti 85 zinaendelea.
   Kupanua shughuli za utafiti,
    ushauri wa kitaalamu na matumizi
    ya Teknolojia ya Mawasiliano.
                                         Chuo kimeendelea kushirikiana na Vyuo Vikuu vingine
   Kuendelea kutafuta wahisani
                                         pamoja na mashirika ya misaada ndani na nje ya nchi
    mbalimbali kwa shughuli za utafiti
                                         katika shughuli za utafiti. Chuo kwa sasa kinashirikiana
    na maendeleo.
                                         na vyuo vikuu na mashirika ya misaada zaidi ya 30
                                         kutoka ndani na nje ya nchi katika shughuli za utafiti.
   Kuendelea na ukarabati wa            Chuo kiliendelea kupata misaada ya shughuli za
    mabweni,      ofisi,   madarasa,     maendeleo kutoka NORAD na Carnegie Corperation.
    barabara, mifereji ya maji na njia   Aidha Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) wamekipatia
    za umeme.                            chuo mkopo wa milioni mia tatu (TShs 300m) kwa
                                         madhumuni ya kuongeza kumbi za mihadhara hapa
                                         chuoni.
   Kukarabati jengo la zamani la        Chuo kimetekeleza awamu ya kwanza na ya pili ya
    utawala kuwa maktaba.                ukarabati wa mabweni ya wanafunzi ambao
                                         umehusisha upakaji wa rangi, uwekaji wa nyavu za
                                         kuzuia mbu, ubadilishaji wa milango mibovu na
                                         uboreshaji wa mfumo wa umeme chuoni. Chuo
                                         kimeendelea kuboresha mandhari yake ya nje na usafi
                                         wa madarasa, maabara na maofisi kupiti wakandarasi
                                         wa nje.

                                         Ukarabati wa jengo umekamilika na tayari huduma za
                                         Maktaba zimehamia kwenye jengo jipya. Maktaba
                                         mpya ina uwezo wa kuchukua wasomaji 400 kwa
                                         wakati mmoja na eneo la kompyuta kwa watumiaji100.
                                         maktaba ya zamani ilikuwa na uwezo wa kuchukua
                                         wanafunzi 70 na eneo la kompyuta kwa watumiaji 30 tu
                                         kwa wakati mmoja.
   Kuimarisha vifaa vya maabara         Chuo kimepanua eneo la maabara kwa kukarabati




                                         107
                                               jengo lililokuwa likitumika kwa ajili ya uchapishaji
                                               ambalo kwa sasa litakuwa sehemu ya maabara ili
                                               liweze kuchukua vifaa vingi vya maabara hususani
                                               vifaa ambavyo Chuo kimepata kutokana na msaada wa
                                               Mamlaka ya Elimu Tanzania. Michoro ya eneo
                                               imeandaliwa na kazi ya ukarabati imeanza na
                                               inatarajiwa kukamilika ndani ya mwaka huu wa fedha.

         Kuboresha huduma za wanafunzi        Chuo kimejenga mabenchi ya nje kwa ajili ya wanafunzi
          ikiwa ni pamoja na tiba na           kujisomea na kufanya mijadala.
          huduma za ushauri nasaha.
                                               Mfanyakazi mmoja wa chuo amehitimu mafunzo ya
                                               ushauri nasaha katika ngazi ya stashahada.

                                               Chuo kimeingia mkataba na hospitali na Phamasi mbili
                                               kwa ajili ya kuhudumia wanafunzi wakati wa dharura.
12.   CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA ELIMU
      DAR ES SALAAM
       Kudahili wanafunzi 500 wa              Kilidahili wanafunzi 1,479 kati ya hao wa kiume ni 833
         masomo ya Sayansi na 1000             na wa kike 646, sawa na 44%.
         masomo ya Sanaa na Sayansi ya
         Jamii.

         Kuajiri    walimu    106       na
                                               Kiliajiri walimu 103 kati yao 3 wana Shahada ya
          wafanyakazi waendeshaji 221 kati
                                               Udaktari wa Falsafa, 39 Shahada ya Uzamili na 61
          ya hawa walimu 75 ni kwa ajili ya
                                               Shahada ya kwanza. Pia Chuo kiliajiri wafanyakazi
          shule za Awali, Msingi na
                                               waendeshaji 191 kati yao 66 ni walimu wa Shule za
          Sekondari.
                                               Awali, Msingi na Sekondari, shule hizo zinamilikiwa na
                                               kuendeshwa kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo kwa
                                               walimu wanafunzi.

         Kupanua maktaba na kununua           Kilipanua maktaba na kununua         vitabu 316 vya
          vitabu vya kufundishia na            kufundishia na kujifunzia.
          kujifunzia.
                                               Vifaa vya maabara vimenunuliwa pia kwa udhamini
         Kununua vifaa vya maabara.           mkubwa wa TEA ambao walitoa msaada wa vifaa hivyo
                                               vyenye thamani ya shilingi milioni mia moja (100M).

         Kuongeza walimu wa sayansi na        Ili kupata walimu bora chuo kimeweka malengo ya
          lugha, na kuweka mkazo katika        kusomesha walimu kufikia kiwango cha PhD. Mpaka
          uzalishaji wa walimu bora na wa      sasa chuo kimedhamini walimu 18 ambao wanafanya
          kutosha katika lugha za kiswahili,   Shahada ya Uzamili katika Chuo Kikuu cha Dar es
          kiingereza na lugha zingine za       Salaam.
          kigeni.




                                               108
                                              Walimu watatu pia wamepata udhamini wa Wizara ya
                                              Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu, mmoja wao akiwa
                                              ni mwalimu wa lugha ya Kiswahili

                                              Kati ya walimu 18 wanaodhaminiwa na chuo, wawili
                                              wanachukua Masters ya Kifaransa, - 2 Literature, 1-
                                              Kiswahili na waliobaki wanachukua Masters za
                                              masomo mbalimbali.

                                              Kuongeza walimu wa sayansi, Chuo kimeanzisha
                                              programu ya Pre-entry kwa ajili ya wanafunzi wa kike ili
                                              kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga na masomo
                                              ya sayansi na hesabu na hatimaye kuweza kuongeza
                                              idadi ya walimu wa sayansi na hisabati. Kwa mwaka
                                              2006/2007 chuo kimedahili wanafunzi 53 wa kike
                                              kutoka kwenye programu hii.

                                              Chuo pia kinaandaa andiko kwa ajili ya kuboresha
                                              ufundishaji wa lugha za Kifaransa na Kiingereza.
                                              Andiko hizi zikikamilika zitawasilishwa ubalozi wa
                                              Ufaransa na Uingereza kwa ajili ya misaada ya vifaa
                                              vya kufundishia walimu na kusomesha walimu wa
                                              kifaransa na kiingereza katika kiwango cha Masters na
                                              PhD.
13.   CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA
      USHIRIKA NA BIASHARA – MOSHI
       Kudahili wanafunzi 300.               Kilidahili wanafunzi 403 kati ya hao 69 ni kwa ajili ya
                                              Diploma ya Uzamili na 334 ni kwa ajili ya Shahada ya
                                              kwanza.

         Kuendelea na mikakati ya            Kiliimarisha mtandao wa kompyuta kwenye maktaba.
          kuimarisha mtandao wa kompyuta
          kwenye maktaba.
                                              Kiliendeleza mafunzo ya wafanyakazi wanataaluma
         Kuendeleza        mafunzo     ya
                                              kumi (10) kufikia kiwango cha Udaktari wa Falsafa.
          wafanyakazi wanataaluma kumi
          (10) kufikia kiwango cha Udaktari
          wa Falsafa.

         Kuboresha shughuli za utafiti na    Machapisho 4 yametolewa.
          uchapishaji.

         Kuendelea kuboresha kiwango         Mafunzo ya wanachama wa SACCOS yamefanyika.
          cha huduma za uelekezi na
          ushauri.




                                              109
                                             Kozi ya kujenga uwezo wa uendeshaji wa SACCOS
         Kuandaa programu na mipango        inatolewa kwa njia ya Masafa na Chuoni.
          ya kujenga uwezo wa wanachama
          wa ushirika katika kuendeleza
          vyama vyao.
                                             Wanafunzi wameelimishwa kupitia warsha kuhusu jinsi
         Kupambana na maadui UKIMWI         UKIMWI unavyoambukiza na njia za kujikinga. Semina
          na rushwa.                         zaidi zitaandaliwa kuhamasisha wanachuo kujikinga na
                                             kupima.
14.   CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA ELIMU
      MKWAWA
       Kudahili wanafunzi 130 wa            Kilidahili wanafunzi 917 kati ya hao, wanafunzi wa
         stashahada na 870 wa shahada        kiume ni 656 na wa kike 301 sawa na 33%.
         ya kwanza.
                                             Ukarabati wa mabweni umekamilika na tayari samani
         Kuendelea na ukarabati wa          mbalimbali zimeshanunuliwa. Aidha ukarabati wa
          mabweni, madarasa na kuweka        madarasa umekamilika ambapo vyumba 8 vya
          samani.                            mihadhara na vyumba 10 vya semina vimewekewa
                                             samani kwa ajili ya kufundishia.


                                             Chuo kinaendelea na ukarabati wa vyumba vya
         Kuweka samani na vifaa vya         maabara na kwamba vifaa vya maabara
          maabara ya Kemia, Elimu Viumbe     vimeshaagizwa na baadhi vimeshapokelewa chuoni.
          na Fizikia.

                                             Chuo kimemaliza ukarabati wa jengo la maktaba na
         Kukarabati na kupanua jengo la     kimepokea fedha kutoka Mamlaka ya Elimu Tanzania
          maktaba.                           jumla ya TShs. 50,000,000/= na Dola za Kimarekani
                                             24,000 kwa ajili ya kununua vitabu na kompyuta.

                                             Chuo imeendelea na ukarabati wa zahanati ya chuo
         Kuendelea   na   ukarabati   wa    yenye uwezo wa kutoa huduma kwa wanachuo,
          zahanati.                          waalimu, na familia zao, pamoja na jamii inayoizunguka
                                             chuo. Zahanati hiyo, ina uwezo wa kulaza wagonjwa
                                             40 kwa wakati mmoja. Chuo kwa sasa kimeanza
                                             utaratibu wa kuigeuza zahanati hii kuwa kituo cha afya.

         Kuanza ukarabati wa barabara,      Ukarabati wa barabara na usawazishaji wa maeneo
          miundombinu ya maji safi na maji   “landscaping” bado haujaanza kutokana na ukosefu wa
          taka.                              fedha. Shughuli hizi zinatarajia kuanza katika awamu
                                             ya pili ya mpango wa maendeleo.

         Kutoa mafunzo maalum kwa           Utoaji wa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wa kike




                                             110
          wanafunzi wa kike katika masomo       katika masomo ya sayansi ili kuinua uwiano wa
          ya Sayansi ili kuinua uwiano wa       wanafunzi wa kike na wa kiume bado haujaanza kwa
          wanafunzi wa kike na wa kiume.        ville chuo ndio kwanza kimeanza na kinatarajia kuanza
                                                mafunzo haya katika mwaka ujao wa masomo.

         Kuajiri wafanyakazi mia moja na       Chuo kimeajiri wafanyakazi waendeshaji 70 na
          ishirini na saba (127) kati ya hawa   wahadhiri 18. Aidha wahadhiri 7 wamehamishwa kwa
          Wahadhiri ni hamsini (50),na          muda kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vile vile
          Waendeshaji sabini na saba (77).      chuo kimeweka utaratibu wa kuajiri waadhiri kutoka
                                                vyuo vikuu vingine kwa muda (Part Time Staff).
15.   TAASISI YA UANDISHI WA HABARI
      NA MAWASILIANO YA UMMA
       Kudahili wanafunzi 120 wa               Ilidahili wanafunzi 301, kati ya hao wavulana ni 187 na
          shahada ya kwanza na 20 wa            wasichana 114, sawa na 38%.
          shahada ya uzamili, ukiwa
          mkupuo wa pili ngazi ya shahada.

         Kuongeza madarasa mawili (2)
                                                Iliongeza madarasa mawili yenye uwezo wa kuhudumia
          yenye uwezo wa kuhudumia
                                                wanafunzi sitini (60) kila darasa.
          wanafunzi sitini (60) kila darasa.

         Kuendesha Radio Mlimani FM na         Iliendesha kituo cha Radio – Radio Mlimani FM kwa
          kuanza kuendesha kituo cha            kutoa ushauri wa kitaalam katika masuala ya habari,
          Television kiitwacho “Mlimani         mawasiliano ya umma, matangazo na utangazaji.
          Television”.

         Kuendelea kutoa ushauri wa            Taasisi imetoa huduma ya utaalamu kwa kuendesha
          kitaalam katika masuala ya            kozi fupi na warsha juu ya masuala ya mawasiliano kwa
          habari, mawasiliano ya umma,          wafanyakazi wa Taasisi ya Kuzuia Rushwa (TAKURU).
          matangazo na utangazaji.              Vile vile Taasisi imetoa huduma kwa Ofisi ya Rais juu
                                                ya MKUKUTA, kwa waandishi wa habari.
16.   TAASISI YA TEKNOLOJIA DAR ES
      SALAAM
       Kudahili wanafunzi 647. Kati ya         Ilidahili jumla ya wanafunzi 793 wa mwaka wa kwanza
         hao wanafunzi 25 katika fani za        katika programu za Shahada ya Uhandisi 278,
         Kompyuta na (25) kwa ajili ya          Stashahada ya Ufundi sanifu 411 na Cheti cha Ufundi
         Mawasiliano   ya     Anga     ili      sanifu 104. Aidha, kati ya wanafunzi 411 wa
         kupunguza pengo kati ya mahitaji       stashahada ya Ufundi Sanifu waliodahiliwa, 23 ni wa
         ya soko na wataalamu wa fani           fani ya Uhandisi Migodi.
         hizo.

         Kuanza mafunzo ya Uhandisi            Matayarisho ya Program yameishakamilika bado
          Migodi “Mining Engineering”           tunasubiri kibali kutoka NACTE mafunzo kuanza.
          katika ngazi ya Ufundi Sanifu.




                                                111
         Kukamilisha matayarisho ya          Ilikamilisha mtaala wa programu ya mafunzo ya
          mitaala na taratibu za programu     Shahada ya Uzamili ya Ukarabati (Culture of
          ya mafunzo ya Shahada ya            Maintenance).
          Uzamili       ya       Ukarabati
          (Maintenance Management).
                                              Iligharimia mafunzo ya wafanyakazi 16 wa Taasisi
         Kuendelea kutoa mafunzo ya          katika masomo ya muda mrefu na 5 katika masomo ya
          muda mfupi na muda mrefu kwa        muda mfupi
          wafanyakazi 43 wa Taasisi katika
          nyanja mbalimbali kwa lengo la
          kuongeza ufanisi katika kutoa
          elimu bora ya ufundi.
                                              Iliendesha mafunzo maalum kwa wanafunzi wa kike na
         Kutoa mafunzo maalum kwa            kufanikiwa kudahili 23 baada ya kupata sifa za kujiunga
          wasichana ili waweze kujiunga na    na Taasisi
          elimu ya ufundi katika Taasisi ya
          Teknolojia Dar er Salaam kwa
          lengo la kuongeza uwiano wa
          kijinsia.
                                              (i)     Kutayarisha mtaala wa kozi husika kunahitaji
         Kutayarisha mtaala wa kozi ya               TShs. 20 mill/= lakini kwa sababu ya ufinyu wa
          mafunzo ya Ufundi Sanifu katika             bajeti (OC) zimetengwa Tshs. 2 mill/= ambazo
          fani ya “Multimedia Graphics and            hazitoshi kukamilisha kazi hii.
          Animation”.
                                              (ii)    Fedha hii itatosha kufanya utafiti wa mahitaji ya
                                                      soko ya mafundi wa fani hii tu (market survey).

         Kuanza ujenzi wa jengo jipya kwa    (iii)   Ilikamilisha utafiti wa udongo sehemu ya ujenzi
          ajili ya kuongeza madarasa,                 (soil testing), maombi ya kibali cha ujenzi,
          maabara na ofisi za wafanyakazi.            michoro ya ujenzi (structural drawings) na
                                                      taratibu za kumpata Msimamizi wa Ujenzi
                                                      (Consultant), kwa ajili ya kuanza ujenzi wa
                                                      “Teaching Tower” ili kuongeza madarasa,
                                                      maabara na ofisi za wafanyakazi.
17.   TAASISI    YA    SAYANSI         NA
      TEKNOLOJIA MBEYA
       Kudahili wanafunzi 175.               Ilidahili wanafunzi 175 wa mwaka wa kwanza katika
                                              ngazi ya Ufundi Sanifu kati yao 18 ni wasichana sawa
                                              na 10% na 34 wa Stashahada ya Juu ya Uhandisi.

         Kukarabati mabweni 2, mfumo wa      Ukarabati haujafanyika. Fedha kwa ajili ya kazi hizi
          maji   taka    na     kuufanyia     hazijatolewa.
          marekebisho mfumo wa umeme.




                                               112
         Kununua na kukarabati mitambo,        Hakuna mitambo na mashine mpya zilizonunuliwa
          mashine na vifaa mbalimbali vya       katika kipindi hiki kwa ajili ya ukosefu wa fedha.
          kufundishia na kujifunzia.            Ukarabati mdogo unafanywa na walimu.

         Kuajiri walimu tisini na mmoja (91)   Iligharamia mafunzo ya walimu 10. Kati ya hao 5
          na wafanyakazi hamsini na watatu      wanachukua mafunzo ya uzamili, 3 mafunzo ya
          (53) wengine kulingana na mfumo       udaktari wa falsafa na 2 wanasoma Shahada ya
          mpya wa Taasisi.                      kwanza. Aidha, wafanyakazi 4 wasiokuwa walimu
                                                wanasomea mafunzo mbalimbali hapa nchini.

         Kuongeza udahili wa wanafunzi         Kupitia utaratibu wa “Access Programme” Taasisi
          wa kike katika kozi za                imeweza kudahili wanafunzi 15 wa kike. Mwanafunzi
          ufundi/uhandisi kwa lengo la          aliyedahiliwa kupitia utaratibu wa kawaida wa
          kuongeza uwiano wa kijinsia.          wanafunzi waliomaliza kidato cha nne alikuwa mmoja tu
                                                (1).
18.   CHUO CHA KUMBUKUMBU YA
      MWALIMU NYERERE
       Kudahili wanafunzi 120 wa               Hadi Alhamisi tarehe 19 Oktoba, 2006 wanafunzi wa
         shahada ya kwanza.                     Shahada ya kwanza waliokuwa wamedahiliwa ni kama
                                                ifuatavyo:-

                                                    (a) Shahada ya kwanza ya Siasa na Uendeshaji
                                                        wa Maendeleo ya Jamii – 43.
                                                    (b) Shahada ya kwanza ya Uchumi kuhusu
                                                        Maendeleo – 35 Jumla – 78.

         Kuanza kuendesha programu ya          Udahili wa Shahada ya kwanza umechelewa kukamilika
          shahada ya kwanza ya Siasa na         kutokana na ucheleweshaji wa mikopo kutoka Bodi ya
          Menejimenti ya Maendeleo ya           Mikopo. Chuo kilipokea orodha ya wanafunzi waliopata
          Kijamii na Uchumi katika              mikopo tarehe 9 Oktoba, 2006 wakati udahili wa
          Maendeleo.                            wanafunzi wa Shahada ya kwanza ulianza tarehe 25
                                                Septemba, 2006. kwa mujibu wa orodha kutoka Bodi
                                                ya Mikopo, wanafunzi wa MNMA waliopata mikopo ni
                                                83 (43.23%) katika wanafunzi 192 waliochaguliwa
                                                kujiunga na mafunzo ya Shahada ya kwanza.

                                                Mafunzo ya Shahada ya kwanza ya siasa na
                                                Uendeshaji wa Maendeleo ya Jamii na Uchumi kuhusu
                                                Maendeleo yalianza rasmi Jumatatu, tarehe 02 Oktoba,
                                                2006.

         Kuajiri wanataaluma 21 na             Wahadhiri 22 na watumishi wengine 20 wameajiriwa na
          watumishi wengine 20 ili kumudu       Chuo kuanzia tarehe 01 Septemba, 2006. kuhusu




                                                113
          majukumu ya chuo.                 wahadhiri, mchanganuo ni kama ifuatavyo:-
                                                (a) Wahadhiri Daraja la Pili – 14 (wote wana
                                                      Shahada ya Uzamili).

                                                  (b) Wahadhiri Daraja la Tatu – 8 (wote wana
                                                      Shahada ya kwanza).

                                            Ajira ya Wahadhiri 22 imekiwezesha Chuo kuanza
                                            mafunzo ya Shahada ya kwanza katika mwaka wa
                                            masomo 2006/2007.

         Kukarabati jengo la Utawala,      (1)    Ukarabati wa Jengo la Utawala ulianza katika
          jengo la Uhuru, Jengo la                 mwaka wa fedha 2005/2006. Ukarabati huo
          Mihadhara    na   Jengo   la             unaendelea vizuri na unategemewa kukamilika
          Utamaduni.                               2006/2007.

                                            (2)    Kuhusu ukarabati wa Jengo la Uhuru, Jengo la
                                                   Mihadhara na Jengo la Utamaduni ni kwamba
                                                   Zabuni ya “Prequalification” ilitangazwa na Bodi
                                                   ya Zabuni ya Chuo na ilifunguliwa tarehe 18
                                                   Septemba, 2006. Bodi ya Zabuni ya Chuo
                                                   iliwapitisha makandarasi watano wenye uwezo
                                                   wa kufanya kazi hiyo ya ukarabati. Uteuzi wa
                                                   mwisho wa mkandarasi haujafanyika kwa kuwa
                                                   bado Chuo hakijapata fedha za ukarabati huo.
                                                   Mara baada ya fedha kupatikana, uteuzi wa
                                                   mwisho utafanyika na kazi itaanza mara moja.


          Kuendeleza wahadhiri kumi (10)   Hadi sasa chuo kimefanikiwa kumpeleka mfanyakazi
          na watumishi wengine watano (5)   mmoja kusomea Stashahada ya Juu katika Ugavi.
          kitaaluma na kitaalamu.           Kuhusu wahadhiri ni kwamba jitihada za kujiendeleza
                                            kitaaluma zilikwamishwa na uhaba wa wahadhiri. Chuo
                                            kilikuwa na wahadhiri 12 tu wa kudumu. Baada ya ajira
                                            mpya ya wahadhiri 22, kikwazo hicho hakitakuwepo
                                            tena.

         Kuandaa mpango Mkakati wa         Chuo kimeingia mkataba na “National Institute for
          Chuo wa Miaka 10.                 Productivity” wa kuandaa mpango mkakati.

19.   CHUO CHA UFUNDI ARUSHA
         Kudahili wanafunzi 418.           Chuo Kimedahili wanafunzi 389 ikiwa ni asilimia 93.06
                                            ya makadirio.




                                            114
         Kununua na kufunga mashine na      Ahadi hii bado kutekelezwa kwa sababu fedha bado
          mitambo mbalimbali kwa lengo la    kupatikana.
          kuboresha mafunzo.

         Kuanza ujenzi wa maktaba mpya      Fedha kwa ajili ya kujenga maktaba mpya bado
          ili kukidhi na kuboresha huduma    kupatikana. Hata hivyo Wizara imeendelea kununua
          ya maktaba.                        vitabu vipya vya kiada na rejea.

         Kutoa mafunzo maalum kwa           Chuo kwa kupitia mkondo wa “Access Course”
          wasichana ili waweze kujiunga na   kimefanikiwa kudahili wanafunzi wa kike 13.
          matumizi ya elimu ya ufundi kwa
          lengo la kuongeza uwiano wa
          kijinsia.

         Kukarabati majengo, mitambo na     Chuo kimetekeleza yafuatayo:-
          vifaa mbalimbali.                   - Kukamilisha ukarabati wa jengo la wasichana.
                                              - Kupaka rangi majengo ya madarasa pamoja na
                                                   jengo la utawala.

20.   TUME YA TAIFA YA UNESCO
         Kuratibu utekelezaji na kufanya    Mwaka 2004/05 Tanzania ilipata miradi 6 na yote
          tathmini ya miradi inayoendelea    imetekelezwa. Taarifa za matumizi ya fedha na
          na ile itakayoidhinishwa na        tathmini za miradi hiyo zimewasilishwa UNESCO.
          UNESCO kwa kipindi cha
          2006/2007 kama ilivyoamuliwa       Mwaka 2006/07 mpaka sasa miradi 2 yenye thamani ya
          katika Kikao cha 33 cha Mkutano    Dola za Kimarekani $ 40,000 imepokelewa; (i) Msaada
          Mkuu wa UNESCO.                    wa dharura kwa shule ya sekondari Solifo, Songea, $
                                             25,000 (ii) Warsha ya kuhamasisha Wabunge kuhusu
                                             shughuli za UNESCO nchini, $ 15,000. Mipango ya
                                             utekelezaji wa miradi hiyo inaandaliwa.

         Kulishirikisha   Taifa  katika     Kongamano kuhusu Mwaka wa Kimataifa wa Sayari
          Maadhimisho ya kuutangaza          Dunia lilifanyika Dar es Salaam tarehe 28/06/2006.
          mwaka 2008 kuwa “Mwaka wa
          Kimataifa wa Sayari Dunia”         Kamati ya wajumbe 21 ya Ki-Taifa ya Mwaka wa
          (International Year for Planet     Kimataifa ya Sayari Dunia imeundwa.
          Earth).
                                             Rasimu ya Waraka wa Baraza la Mawaziri iliandaliwa
         Kukamilisha  mchakato    wa
                                             na kuwasilishwa Sekretariati ya Baraza la Mawaziri.
          kuifanya Tume ya Taifa ya
                                             Inasubiriwa kujadiliwa na Baraza la Mawaziri.
          UNESCO kuwa chombo huru cha
          Serikali.
                                             Mapendekezo ya Muundo mpya wa Tume ya UNESCO
                                             yamewasilishwa kwa Msajili wa Hazina kutolewa
                                             maamuzi.




                                             115
                                           Huu ni Mradi wa miaka miwili wa UNESCO kwa nchi
                                           wanachama Kusini mwa Jangwa la Sahara wenye
                                           lengo la kuimarisha mafunzo ya Waalimu umeanza
                                           rasmi Aprili, 2005.

   Kuratibu mradi wa UNESCO wa            UNESCO imetoa US $ 1,000,000 kwa Tanzania kwa
    kuimarisha mafunzo ya walimu.          ajili ya Mradi huu.

                                           Hadi sasa, walimu 36 toka Tanzania Bara na 30 toka
                                           visiwani wameishapata mafunzo ya muda mfupi.

                                           Wakufunzi 32 Tanzania Bara na 35 Tanzania Visiwani
                                           wamepata mafunzo ya wiki mbili kuanzia Agosti, 2006.

   Kuratibu utekelezaji wa mradi wa       Mradi unatekelezwa kwa ushirikiano na Taasisi ya
    kujenga Utamaduni wa Ukarabati         Teknolojia Dar es Salaam, (DIT), Ofisi ya UNESCO
    Miundombinu na Vitendea Kazi           Dar es Salaam, na UNESCO Paris. Mchanganuo wa
    “Culture of Maintenance.”              kutafuta fedha umewasilishwa UNESCO.

   Kufuatilia ombi la Kuanzishwa          Ombi la kuanzisha Kiti cha UNESCO cha Historia
    kwa “UNESCO Chair” katika Chuo         liliandaliwa na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar
    Kikuu cha Taifa cha Zanzibar ili       (SUZA) na kupelekwa UNESCO Paris.
    kukiwezesha kupata kituo cha
    kumbukumbu       za     kihistoria     Ofisi ya Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika
    (History Resource Centre).             masuala ya UNESCO mjini Paris inafuatilia
                                           ukamilishwaji wa ombi hilo.

   Kuandaa warsha ya kuhamasisha          Warsha ilifanyika tarehe 26-29 Septemba, 2006 mjini
    Mtandao             wa        Shule    Mwanza.
    zilizoshirikishwa katika shughuli
    za UNESCO katika Kanda ya              Wajumbe walikuwa walimu wa sekondari kutoka
    Ziwa         Victoria     (UNESCO      Unguja, Pemba, mikoa ya Mara, Kagera, Shinyanga,
    Associated        Schools    Project   Mwanza na nchi za jirani Kenya na Uganda, na
    Network).                              viongozi wa juu kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya
                                           Ufundi walihudhuria.

   Kuratibu mradi wa kutunza na           Mradi unahusisha nchi zilikuwa mstari wa mbele katika
    kuhifadhi     kumbukumbu    za         harakati za Ukombozi Kusini mwa Afrika, ambazo ni
    ukombozi Barani Afrika “Africa         Afrika ya Kusini, Angola, Msumbiji, Namibia, Tanzania.
    Liberation Movements Project”          Zambia, na Zimbabwe.
    (Mradi huu uko katika hatua za
    kutafutiwa fedha).                     Lengo ni kuanzisha kituo cha kutunza kumbukumbu ya
                                           historia ya harakati hizo.
                                           Kiasi cha $ 200,000 zimetolewa na UNDP kupitia
                                           UNESCO kwa ajili ya maandalizi ya awali.




                                           116
21.   TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA
       Kuratibu na kusimamia usajili na       Ukaguzi (Technical Visitation) wa vyuo hivi uliohusisha
         upatikanaji wa “Charter” kwa vyuo     wataalam wa ndani na nje ya nchi umekamilika.
         vikuu 5 na vyuo vikuu vishiriki 3     Maandalizi muhimu ya kukamilisha “Charters”
         vya Serikali.                         yanakwenda vizuri na kazi hii inategemewa kukamilika
                                               kabla ya tarehe 31 Desemba, 2006 kama Sheria Na. 7
                                               ya vyuo vikuu inavyoelekeza.

         Kuendelea kuboresha taratibu za      Zoezi hili ni la kudumu. Tume inaandaa miongozo
          udahili.                             mbalimbali na inapanga kuwasiliana na wadau ili kuwe
                                               na warsha katika nusu ya pili ya mwaka kuhusu
                                               kuboresha udahili na kuepuka matatizo yanayojitokeza
                                               mara kwa mara.

         Kuendesha warsha ya wadau wa         Maandalizi ya rasimu ya mfumo na mada kwa ajili ya
          ubora wa elimu ya juu, kuhusu        warsha yameanza.
          mfumo wa tuzo za kitaifa
          (National        Qualifications
          Framework).

         Kuandaa na kuratibu maonyesho        Maonyesho ya pili ya Elimu ya Juu, Sayansi na
          ya pili ya Elimu ya Juu, Sayansi     Teknolojia yalifanyika kwa mafanikio makubwa kwenye
          na Teknolojia.                       ukumbi wa Diamond Jubilee toka tarehe 31 Agosti hadi
                                               tarehe 2 Septemba, 2006.

         Kuendesha semina za maadili na       Semina hizi hazijafanyika.    Mategemeo ni kwamba
          utendaji     kwa      wataalamu      zitafanyika 2007/2008.
          wanaoshirikishwa katika tathmini
          ya vyuo, programu na vyeti.

         Kuratibu uendeshaji wa semina za     Juhudi za Tume za kupata fedha kwa ajili ya
          uongozi wa vyuo na ufundishaji.      kuendesha semina hizi bado hazijafanikiwa.
                                               Mategemeo ni kwamba semina hizi zitafanyika
                                               2007/2008.
         Kuendelea kutoa machapisho ya        Hili ni zoezi la kudumu. Tume inatoa machapisho
          kuelimisha        umma         na    mbalimbali kwa madhumuni yaliyotajwa. Tume ina
          kuhamasisha             wawekezaji   tovuti na pia inawasiliana na wadau mbalimbali na kila
          kuanzisha vyuo vikuu bora vyenye     inapotakiwa inatoa ushauri na maelekezo kwa
          kutoa elimu inayozingatia mahitaji   wanaokusudia kuanzisha vyuo.
          ya Taifa na soko la ajira.
                                               Kazi hii imeanza kufanyika baada ya Wizara kutoa
         Kuimarisha mtandao wa teknolojia
                                               “server” moja kwa Tume na kuvipa baadhi ya vyuo
          ya mawasiliano ndani ya Tume na
                                               kompyuta moja moja. Mategemeo ni kwamba vifaa
          wadau wake.
                                               vyote pamoja na programu zinazotakiwa kukamilisha




                                               117
                                             mfumo wa mawasiliano vitapatikana na kwamba kazi
                                             itakamilika 2007/2008.

         Kuendeleza     ushirikiano    na   Tume ina ushirikiano wa karibu na mabaraza ya Ithibati
          mabaraza ya Ithibati ya Elimu ya   ya Elimu ya Juu ya Kenya na Uganda. Tume pia
          Juu duniani.                       inashiriki kikamilifu katika shughuli za IUCEA na
                                             kuhudhuria mikutano mbalimbali inayoandaliwa na
                                             UNESCO, Association of African Universities, pamoja
                                             na Asasi nyingine zinazojishughulisha na masuala ya
                                             ithibati ya elimu ya juu.

         Kuendelea na mapambano dhidi       Hili ni zoezi la kudumu. Wafanyakazi wanakumbushwa
          ya UKIMWI na rushwa.               kila mara kuhusu masuala haya wakati wa mikutano.
                                             Tume imepanga kuwa na walau semina moja kwa
                                             wafanyakazi kuhusu mapambano dhidi ya ukimwi.
                                             kabla ya mwisho wa mwaka 2006/2007.
22.   TUME YA TAIFA YA SAYANSI NA
      TEKNOLOJIA
      1. Kuhawilisha tekinolojia mbali       (a) Teknolojia ya jiko bunifu kwa ajili ya kupunguza
         mbali kwa wananchi.                       matumizi ya kuni na mkaa na uhifadhi wa
                                                   mazingira. Sekta isiyo rasmi imepatiwa mafunzo
                                                   kwa ajili ya utengenezaji wa majiko bunifu katika
                                                   mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Singida,
                                                   Shinyanga, Morogoro na Mbeya. Wananchi
                                                   katika maeneo haya wamehamasishwa na
                                                   mpaka sasa zaidi ya majiko elfu kumi (10,000)
                                                   yamesambazwa.              Kufuatia    mafanikio
                                                   yaliyopatikana katika mikoa hiyo, jitihada
                                                   zinafanyika kuwasilisha teknolojia hii katika
                                                   mikoa mingine ya Tanzania kwa kushirikiana na
                                                   taasisi ya Chuo Kikuu cha Calfonia, Bekerley.

                                             (b)   Teknolojia ya Umeme wa Jua Wananchi
                                                   wamehamasishwa kutumia umeme unaotoka
                                                   katika mionzi ya jua hasa kwa ajili ya matumizi
                                                   ya majumbani hasa zile sehemu ambazo hazina
                                                   umeme wa gridi ya taifa katika mikoa ya Iringa
                                                   na Mwanza. Matumizi yanayoshauriwa ni hasa
                                                   ya mahitaji ya taa, mawasiliano, radio, kompyuta
                                                   na television. Tayari yapo makampuni kadhaa
                                                   yanayouza vifaa na vipuli vyake hapa nchini.

                                             (c)   Mashine ya Upepo (Windmill) kwa ajili ya
                                                   kusukuma maji Uboreshaji wa mashine ya
                                                   kusukuma maji (wind water pump) unaendelea.




                                             118
       Inatarajiwa kujaribiwa huko Ifakara na mradi wa
       RUBADA na huko Iringa.

(d)    Matumizi ya Makaa ya Mawe (Coal-Biomass
       Briquettes) Majumbani Badala ya Kuni
       Kuokoa Misitu. Tume ya Sayansi na Teknolojia
       imejenga uwezo wa kitaalamu kwa Kampuni ya
       Kiwira ya Tukuyu, Upendo Group –
       Sumbawanga na SPACE Engineering ya Dar es
       Salaam kwa ajili ya kuboresha makaa ya mawe
       yaweze kutumika majumbani.
(e)    Matumizi ya Mkaa Bora (Biomass Briquettes)
       kutokanana na masalia ya nafaka
       (agricultural residues). Jitihada zimefanyika
       kujenga uwezo wa kiwanda cha kutengeneza
       mkaa bora kutokana na masalia ya
       nafaka/mimea (agricultural/forest resdues) kwa
       ajili ya matumizi ya majumbani badala ya mkaa
       unaotokana na ukataji misitu na kuharibu
       mazingira. Kampuni ya Umbwana Engineering
       ya Dar es Salaam inaendeleza teknolojia hii
       ambayo inatarajiwa kupelekwa Mufindi.

(f)    Kuhawilisha Teknolojia katika Taasisi za
        Utafiti Nchini.
      Tume ya Sayansi na Teknolojia imeandaa kitabu
      cha       teknolojia  mbalimbali       “catalogue”
      zinazotengenezwa na taasisi za hapa nchini.
      Teknolojia hizo zinahusu sekta mbalimbali hasa
      viwanda na kilimo. Taarifa hizi zitasambwa katika
      ofisi za Makatibu Tawala Mikoa (RAS) na Wilaya
      (DAS) kwa ajili ya kuhamasisha na kuwaongoza
      wanachi sehemu za upatikanaji wa teknolojia hizo.

(g)Teknolojia ya Samadi ya Mifugo (Biogas)
     Tume ya Sayansi kwa kushirikiana na Idara ya
     Mifugo ya Wilaya ya Mbozi, Mbeya imeendelea
     kutoa mafunzo kwa wananchi ya ujenzi wa
     mitambo ya gesi ya “biogas” kwa ajili ya matumizi
     ya Majumbani hasa kupikia na kuwashia taa.
     Uwezo uliojengwa katika Idara hiyo ya mifugo
     itasaidi kusambaza teknolojia hiyo katika wilaya ya
     Mbozi kama nishati mbadala ya matumizi ya kuni
     na mkaa. Mpango upo wa kushirikisha Magereza
     katika mpango huu.




 119
                                            (h) Teknolojia ya ujenzi wa nyumba za gharama
                                                 nafuu.
                                                 Kikundi kimoja cha ujenzi cha Ukonga Mwembe
                                                 Madafu walipatiwa teknolojia hiyo. Juhudi ziko
                                                 mbioni kuwapatia teknolojia hiyo watengeneza
                                                 matofali wa mkoa wa Morogoro ili kuboresha
                                                 ubora wa matofali wanayozalisha.

   Kufanya tathmini ya mahitaji ya
                                            Tathmini katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na
    teknolojia katika mikoa minne (4)
                                            Morogoro inaendelea na iko karibu kumalizika. Mikoa
    nchini ikiwemo Dar es Salaam,
                                            ya Iringa, Mbeya na Dodoma itafuatia.
    Morogoro, Iringa na Mbeya.

   Kutoa elimu kwa wagunduzi na            Kituo kipya cha kutoa ushauri na habari kuhusu hati
    watafiti kuhusu umuhimu wa haki         miliki kimekamilika na elimu ya uendeshaji wa kituo hiki
    miliki (Interlectual Property Rights)   ilitolewa Desemba 2006 na washauri kutoka WIPO na
    na jinsi ya kutumia hataza              BRELA. Warsha ya matumizi ya hati miliki kwa umma
    (patents) kwa manufaa ya                inaandaliwa kufanyika Februari 2007. Warsha moja
    maendeleo.                              ilifanyika wakati wa PI & Today hapo 13 Septemba
                                            2006 Mnazi Mmoja Dar es Salaam.
   Kuandaa Benki ya Takwimu                Tume imekwisha kupata mtaalamu atakayetengeneza
    (database) ya wanasayansi nchini        muundo wa Benki ya Takwimu (database). Mtaalamu
    kwa ajili ya kubaini fani zao na        huyu ataanza kazi hii mnamo mwezi Januari 2007.
    kiwango cha elimu walichofikia na       Kazi hii inategemewa kukamilika baada ya miezi 3.
    maeneo wanayofanyia utafiti kwa         Baada ya muundo kutengenezwa, taasisi mbalimbali
    lengo la kusukuma maendeleo ya          zitakaribishwa kuingiza taarifa zao kupitia tovuti ya
    nchi kiuchumi na kijamii.               Tume ambako muundo huo utakuwa umewekwa.
   Kuendelea kufadhili utafiti wa          Kutokana na ufinyu wa bajeti katika mwaka huu wa
    kisayansi katika maeneo ya              fedha, Tume inaendelea kufadhili miradi iliyoanzishwa
    kipaumbele     ya       taifa na        mwaka uliopita.
    kuwawezesha          wanasayansi
    kubadilishana mawazo juu ya             Vilevile, Tume imekusudia kutumia fedha kidogo
    matokeo ya utafiti wao.                 zilizopatikana kuandaa miradi inayolenga kuleta
                                            matunda kwa jamii na maendeleo ya Taifa. Mradi
                                            ambao unaandaliwa hivi sasa unahusu:

                                            “Matumizi ya sayansi na teknolojia katika uzalishaji na
                                            utumiaji wa mazao ya mihogo na alizeti hapa
                                            Tanzania”.
                                            Lengo:
                                            - Kupatikana kwa chakula cha kutosha




                                             120
                                              - Kuzalisha bidhaa nyingi za Viwandani
                                                zitokanazo na muhogo na alizeti.
                                              - Kutumia muhogo na alizeti kuzalisha
                                                nishati (biofuels).

        Kuimarisha mtandao wa taasisi za     Taasisi moja ya utafiti na maendeleo (Ifakara)
         utafiti na mendeleo, kupanua         imeboreshewa miundombinu ya mawasiliano ya
         Masjala ya utafiti, kustawisha       internet hadi kufikia “broadband connectivity”.
         matumizi     ya    mifumo       ya   Ujenzi wa Kituo mama (base station) umeanzwa
         mawasiliano na habari vijijini; na   kujengwa.
         kuhamasisha wananchi kutumia
         sayansi na teknolojia katika
         harakati za maendeleo.
          Kuandaa mkakati wa kufikisha
           Sayansi, Teknolojia na Ubunifu
           kwa wananchi kwa kutumia
           Mifumo ya Ubunifu (Innovation
           Systems).
23.   TUME YA NGUVU YA ATOMIKI
      TANZANIA
       Kuimarisha        huduma         za   Mtumishi mmoja anapata mafunzo ya MSc; Technician
         matengenezo ya vifaa vya             mmoja ameajiriwa; na mafunzo kwa watumishi wanne
         elektroniki, mashine za “X-ray”,     toka Taasisi mbalimbali walipata mafunzo ya ndani
         kinga na upimaji wa mionzi katika    TAEC, katika ukarabati wa vifaa vya mionzi na x-rei
         vyanzo mbali mbali vya mionzi.       vifaa 10 vya electroniki na mashine 8 za x-rei
                                              zilikarabatiwa. Pia semina ya kinga ya mionzi kwa
                                              wafanyakazi wa mionzi 42, ukaguzi wa vituo 42
                                              vilifanyika na maombi 112 ya leseni zilishughulikiwa ili
                                              kuimarisha kinga ya mionzi.

         Kuratibu utekelezaji wa miradi ya   Tume iliendelea kuratibu miradi 14 ya kitaifa na 24 ya
          misaada na kikanda (Afrika)         kikanda ambapo URT ilipata misaada ya karibu USD
          inayogharamiwa na Shirika la        800,000 kwa mwaka wa 2006 hadi 30 Septemba, 2006.
          Kimataifa la Nguvu za Atomiki       Misaada hii, kupitia miradi hiyo katika taasisi
          “Internationa Atomic Energy         mbalimbali, ilikuwa katika vifaa, mafunzo na ushauri wa
          Agency” (IAEA).                     kitaalamu katika matumizi ya Teknolojia ya nyuklia.

         Kutoa elimu ya kinga dhidi ya       Zoezi hili limesogezwa mbele kwa sababu ya ukosefu
          madhara ya mionzi Ayonisha na       wa fedha na matayarisho muhimu kutokamilika.
          isiyo Ayonisha kwa Waheshimiwa
          Wabunge.
         Kuimarisha na kutoa miongozo ya     Mfumo wa utumishi (scheme of service) umekamilika
          uendeshaji wa shughuli na           na kupitishwa na Hazina. Sheria ndogo za fedha na
          majukumu ya Tume.                   utumishi ziko katika hatua ya kujadiliwa na Bodi ya




                                              121
                                              Tume.
         Kukamilisha uanzishaji wa ofisi     Baada ya kupata usafiri, mtumishi na kumfunza; na
          Zanzibar    katika   kutekeleza     kupata pango: zoezi hili lilisitishwa kusubiri uridhiaji wa
          majukumu yanayohusiana na           sheria ya Nguvu za Atomiki na Baraza la Wawakilishi
          Sheria ya Nguvu za Atomiki ya       Zanzibar ili iweze kutumika huko. Hivyo matayarisho
          mwaka 2003.                         ya kuanzishwa ofisi yalikamilika na inasubiriwa Baraza
                                              la Wawakilishi waridhie kutumika kwa sheria hiyo huko
                                              Zanzibar sawa na katiba ya Zanzibar.
24.   MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA
       Kuendelea kuhamasisha na              Mamlaka ya Elimu Tanzania inaendelea kuhamasisha
         kuelimisha wadau kuchangia na        wadau mbalimbali. Katika kipindi cha nusu mwaka
         kuwekeza kwenye miradi ya elimu      imeshiriki kwenye maonyesho ya Utumishi wa Umma,
         na kupanua wigo wa uchangiaji        maonyesho ya Mwalimu Nyerere pamoja na
         katika Mfuko wa Elimu kwa            maonyesho ya Elimu ya Juu kwa lengo la kuelimisha
         kushirikisha wadau katika ngazi      wadau; aidha Mamlaka ya Elimu iliandaa harambee
         ya Wilaya.                           mkoani Arusha kwa lengo la kuhamasisha uchangiaji.

         Kushawishi     uanzishwaji     na   Mamlaka ya Elimu Tanzania imekamilisha makubaliano
          uendelezaji wa mifuko ya Elimu      na ALAT kuendeleza ushawishi wa Halmashauri
          ya Halmashauri za wilaya            kuingia mashirikiano na Mamlaka ya Elimu Tanzania.
          mbalimbali.    Aidha, mamlaka       Hadi sasa Manispaa za Ilala, Kinondoni pamoja na
          itaendelea kushawishi ushirikiano   Halmashauri za Maswa, Karagwe, Kasulu na Musoma
          na mifuko hiyo ili kuchochea        Mjini zimekamilisha taratibu zote za mashirikiano na
          uchangiaji na maendeleo katika      Mamlaka ya Elimu Tanzania.
          elimu nchini.

                                              Mamlaka ya Elimu Tanzania ilitembelea Kisarawe,
                                              Mkuranga, Kibaha, Kyela, Kondoa, Babati na Hanang
                                              kwa lengo la kuwasilisha mada katika vikao vya
                                              madiwani juu ya dhana ya Mfuko wa Elimu na taratibu
                                              za mashirikiano.

         Kuendelea kutoa ruzuku na           Katika utekelezaji wa ahadi hii TEA tunakusudia kutoa
          mikopo kwa vyuo na shule kwa        ruzuku na misaada ipatayo Sh. 3.7 Bilioni katika kipindi
          ajili ya miradi mbalimbali ya       cha mwaka 2006/07. Aidha kwa sasa tumefanya
          kuboresha elimu, kuongeza           uchambuzi wa miradi mbalimbali iliyopokelewa na
          udahili na kuongeza usawa.          tunategemea ipitishwe na Bodi hivi karibuni, miradi hiyo
                                              inajumuisha vyuo vipatavyo 15 yenye thamani ya Sh.
                                              1.37 Bilioni na ya shule 13 yenye thamani ya Sh. 273.4
                                              milioni. Aidha tunaendelea kutafuta ufadhili kutoka nje
                                              ya bajeti ya TEA.

         Kuendelea kufanya ukaguzi wa        Kwa kushirikiana na Ofisi za Wakaguzi wa Elimu wa
          miradi iliyofadhiliwa na Mfuko wa   Kanda pamoja na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu
          Elimu.                              za Serikali; Mamlaka inaendelea kufanya Ukaguzi wa




                                              122
                                             miradi iliyofadhiliwa na Mfuko wa Elimu. Ukaguzi huo
                                             unafanyika katika Vyuo vya Elimu ya Juu, Vyuo vya
                                             Ufundi na Sekondari katika mikoa ya Tanzania Bara na
                                             Zanzibar.          Jumla ya miradi 29 itakuwa
                                             imekwishakaguliwa hadi mwishoni mwa mwezi
                                             Desemba, 2007.


         Kutoa mafunzo kwa wafanyakazi      Katika kufanya maandalizi ya upimaji wa matokeo ya
          ili kuongeza ufanisi.              uboreshaji wa elimu kupitia kwenye Mfuko wa Elimu;
                                             Mamlaka, kwa ushirikiano na wadau wengine wa elimu
                                             inaandaa vigezo ambavyo vitatumika katika kufanya
                                             tathmini hiyo.

                                             Mamlaka iliendesha Semina kwa wafanyakazi wote
                                             kuhusu maambukizi ya UKIMWI na jinsi ya kujikinga na
                                             Ugonjwa huo. Aidha, Masomo kuhusu upimaji wa hiari
                                             na Lishe Bora kwa wagonjwa wa UKIMWI
                                             yalifundishwa.

         Kuimarisha Mamlaka ya Elimu        Mamlaka kwa kushirikiana na Idara ya Utawala Bora na
          Tanzania kwa kuajiri wafanyakazi   Ofisi ya Usalama wa Serikali (Government Security
          kulingana na mahitaji.             Office) ilifanya Semina kwa wafanyakazi wote kuhusu
                                             Rushwa na Maadili ya Kiutendaji kazini.

        Kuendelea na mapambano dhidi
         ya maadui UKIMWI na rushwa.
25.   BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI
      WA ELIMU YA JUU
       Kuanza kutumia chombo cha            Chombo kimeanza kutumika na kinafanya kazi vizuri.
         elektroniki  (means     Testing     Chombo hiki kinafanya kazi kwa kutegemea taarifa
         Software) chenye uwezo wa           zilizojazwa kwenye fomu za maombi ya mikopo.
         kutambua wanafunzi wahitaji wa      Matokeo ya awali ya utumiaji chombo hiki yanaonyesha
         mikopo na kuweka kiwango            kwamba wanafunzi wengi wanawekwa katika kundi “B”
         maalum      ambacho    muhitaji     ambalo stahili yao ya mkopo ni asilimia 60. matokeo
         anaweza kukopeshwa.                 haya yanaashiria kuwa wanafunzi wengi wanashirikiana
                                             wakati wa kujaza fomu za maombi ya mikopo. Ili
                                             kuondoa dosari hizo chombo hicho sasa kinafanyiwa
                                             marekebisho, pia waombaji wanaelimishwa kuhusu
                                             umuhimu wa kujaza taarifa sahihi kwenye fomu za
                                             kuomba mkopo.
         Kuendelea kutoa mikopo kwa         Wanafunzi 8,023 wa vyuo vya elimu ya juu vya umma
          wanafunzi wahitaji wa elimu ya     na binafsi wamekopeshwa kiasi cha Tzs
          juu wanaostahili katika maeneo     3,318,969,510.00 kwa ajili ya ada ya masomo katika
          yafuatayo:                         kipindi cha Julai-Oktoba, 2006.




                                             123
    -   Ada ya masomo,                  Wanafunzi 44,847 wa vyuo vya elimu ya juu vya umma
    -   Chakula na Malazi               na binafsi       wamekopeshwa kiasi cha Tzs
                                        21,223,877,125.52 kwa ajili ya chakula na malazi.

    -   Vitabu na viandiko              Wanafunzi 24,534 wa vyuo vya elimu ya juu vya umma
                                        na binafsi wamekopeshwa kiasi cha Tzs
                                        4,617,000,000.00 kwa ajili ya vitabu na viandiko.

    -   Elimu kwa vitendo               Wanafunzi 2,001 wa vyuo vya elimu ya juu vya umma
                                        na binafsi wamekopeshwa kiasi cha Tzs
                                        775,662,000.00 kwa ajili ya elimu kwa vitendo

    -    Mahitaji maalumu ya vitivo     Wanafunzi 4.038 wa vyuo vya elimu ya juu vya umma
                                        na binafsi wamekopeshwa kiasi cha Tzs
                                        217,744,660.00 kwa ajili ya mahitaji maalumu ya vitivo

   Kuanza kukusanya madeni ya          Jumla ya fedha iliyotumika kukopesha wanafunzi
    mikopo iliyotolewa toka mwaka       mpaka tarehe 15/11/2006 ni Tzs 30,558,688,295.72
    1994/95.
                                        (i) mawasiliano ya awali na taasisi zinazoajiri
                                            wanufaika wa mikopo yamefanyika. Taasisi 552
                                            zimepokea barua za kuomba kutoa kwa Bodi taarifa
                                            za waajiriwa ambao wamenufaika mkopo.

                                        (ii) “Database” ya wakopaji waliokwisha hitimu na
                                             mahali wanakofanyia kazi imeandaliwa na
                                             inaendelea kuimarishwa.

                                        (iii) Baadhi ya wahitimu walionufaika na mikopo
                                              wameanza kurejesha mikopo yao. Hii inajumuisha
                                              pia wahitimu ambao wameajiriwa na Bodi ya
                                              Mikopo.

                                        (iv) Uhamasishaji       kuhusu   kurejesha    mikopo
                                             umefanyika kupitia vyombo vya habari yaani „press
                                             release‟ na redio.

                                         Mawasiliano na uongozi wa vyuo vya elimu ya juu
                                        umefanyika kupitia njia ya simu, barua fax na pia
                                        maafisa wa Bodi wamevitembelea vyuo ili kujenga
                                        uhusiano mzuri na kupata taarifa sahihi.


   Kushirikiana na vyuo vya elimu ya      Mwezi wa Agosti, 2006 Bodi ya Mikopo ilikutana




                                        124
          juu na taasisi zingine kwa lengo la        na wakuu wa vyuo vya elimu ya juu na viongozi
          kuongeza ufanisi katika utoaji wa          wa wizara na kujadiliana, kuweka mikakati ya
          mikopo na ukusanyaji wa madeni             ushirikiano baina ya Bodi, Wizara na vyuo.
          kutoka kwa waliokopeshwa.
                                                    Tarehe 7 Oktoba, 2006 Bodi ilikutana na viongozi
                                                     wa Serikali za wanafunzi kutoka vyuo vyote vya
                                                     elimu ya juu na kupeana taarifa ya utekelezaji
                                                     kuhusu utoaji kuhusu utoaji mikopo. Katika kikao
                                                     hicho mikakati ya kuboresha huduma hivyo na
                                                     kuimarisha ushirikiano baina ya Bodi, Serikali za
                                                     Wanafunzi na uongozi wa vyuo ilijadiliwa kwa kina.

         Kutoa elimu kwa wadau wa              Elimu imetolewa kupitia vyombo vya habari yaani
          mikopo – wanafunzi na umma            magazeti, radio, tovuti “press conference” na pia
          kwa ujumla kuhusu dhana ya            vijarida vimesambazwa kwa wateja mbalimbali.
          uchangiaji gharama za elimu na
          suala zima la mkopo na                Bodi ilishiriki maonyesho ya taasisi za elimu ya juu
          urejeshwaji wake.                     tarehe 31/8/2006-2/9/2006 huko Diamond Jubilee Hall.
                                                Katika maonyesho haya, jamii ilielimishwa kwa maelezo
                                                ya mdomo pamoja na vijarida.

                                                Tarehe 17-23 Juni 2006 Bodi ilishiriki maonyesho ya
                                                Utumishi wa Umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
                                                Katika maonyesho haya jamii ilielimishwa kwa maelezo
                                                ya mdomo pamoja na vipeperushi.

         Kuendelea kuajiri wafanyakazi         Hivi sasa Bodi ina wafanyakazi 37 ambao wako kazini.
          waendeshaji wa Bodi ya Mikopo.        Taratibu za ajira zimezingatiwa, wakurugenzi wanne
                                                wamekwishateuliwa. Taratibu za “vetting” zinaendelea.
                                                Nafasi zingine 45 za ajira zitatangazwa kipindi cha tatu
                                                cha robo mwaka baada ya upanuzi wa ofisi za Bodi
                                                zilizopo katika eneo la TIRDO-Msasani.
26.   BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA
      UFUNDI
       Kukagua         na        kutathmini    Vyuo 8 vimekaguliwa kwa ajili ya ithibati. Kati ya hivyo,
         taasisi/vyuo vya ufundi 20 kwa ajili   7 vimepata ithibati ya muda. Chuo 1 kimeelekezwa
         ya ithibati.                           kufanya marekebisho.

         Kusajili vyuo 15 vyenye uwezo wa      Vyuo 23 vimekaguliwa. Kati ya hivyo, 15 vimepata
          kutoa elimu na mafunzo ya ufundi.     usajili kamili na 8 vimepata usajili wa muda. Vyuo 4
                                                vimeruhusiwa kuendelea na matayarisho kwa ajili ya
                                                usajili.

         Kuandaa na kuidhinisha mitaala        Mitaala ya programu za mafunzo 8 imeandaliwa na
          ya programu za mafunzo 20             kuidhinishwa.




                                                125
    yenye kuzingatia mahitaji ya soko
    la ajira.

   Kuratibu mitihani ya ufundi ya       Baraza limeratibu mitihani ya Ufundi katika mfumo
    kitaifa katika mfumo mpya wa         mpya wa “National Technical Awards (NTA)” katika
    “National Technical Award” (NTA)     Vyuo 12 vinavyotumia mitaala mipya iliyoidhinishwa na
    katika vyuo 17 ambavyo               Baraza
    vinatumia       mitaala    mipya
    iliyoidhinishwa na Baraza.

   Kusimamia na kuhakiki ubora wa       Vyuo 21 vimetembelewa ili kuelekezwa namna ya
    mafunzo katika taasisi/vyuo 30       kuboresha taaluma kwa kutumia vigezo na viwango vya
    vya ufundi.                          ubora vilivyowekwa na Baraza.

   Kuandaa taratibu na kanuni za        Hadidu za rejea kwa ajili ya maandalizi ya taratibu na
    kuidhinisha programu za mafunzo      kanuni za kuidhinisha programu za mafunzo ya ufundi
    ya ufundi kwa taasisi/vyuo vya nje   nchini yatolewayo na Taasisi/Vyuo vya nje zimekamilika
    zinazotaka kuendesha mafunzo         tayari kwa hatua ya uzabuni.
    hayo nchini.
   Kuimarisha ushirikiano na baadhi     Baraza lina ushirikiano na “International Association for
    ya taasisi/vyuo vya ndani na nje     Education Assessment”.         Wawakilishi wa Baraza
    vilivyo na majukumu                  wamekuwa wakitoa mada katika mikutano ya IAEA.
    yanayofanana na Baraza hili.         Baraza lina ushirikiano pia na CAPA (Commonwealth
                                         Association of Polytechnics in Africa) na wawakilishi
                                         wake walitoa mada juu ya mageuzi katika utoaji elimu
                                         ya ufundi ili kukidhi mahitaji ya soko la ajira. Kikao
                                         kilifanyika Lusaka Zambia tarehe 3-9 Desemba, 2006.




                                         126
                                 WIZARA YA NISHATI NA MADINI

NA.                   AHADI                                         UTEKELEZAJI
      Sekta ya Nishati
1.    Katika kukabiliana na tatizo la umeme     Mitambo ya kukodi ya kampuni ya AGGREKO na
      nchini Serikali itakodi mitambo ya        Dowans Holdings yenye uwezo wa kuzalisha jumla ya
      uzalishaji umeme ya MW 100 na             megawati 145 imefungwa Dar es Salaam. Aidha,
      kuifunga Ubungo.                          mitambo ya Alstom Power Rentals yenye uwezo wa
                                                kuzalisha MW 40 imefungwa Mwanza.
2.    Grid ya Taifa ya umeme ya kV 220          Taratibu za awali za kuajiri mshauri mwelekezi ambaye
      kutoka Iringa hadi Singida kupitia        atafanya tathmini ya kiufundi pamoja na kutayarisha
      Dodoma itaimarishwa.                      hadidu za rejea ya zabuni zimekamilika.
3.    Hatua za utekelezaji wa miradi ya         Katika mradi wa upanuzi wa gridi ya msongo wa kV 220
      upanuzi gridi ya msongo wa kV220          kutoka Bulyankulu kwenda Geita, mtaalamu mshauri
      kutoka Bulyanhulu kwenda Geita, na        ameshaanza kazi, na Shinyanga hadi Buzwagi tathmini
      kutoka Shinyanga hadi Buzwagi na ya       ya mazingira na fidia zinaendelea.
      msongo wa kV 132 kutoka Musoma
      hadi Tarime zitaanza.                     Katika mradi wa upanuzi wa gridi ya msongo wa kV 132
                                                kutoka Musoma hadi Tarime Memorandum of
                                                Understanding na mwendelezaji wa mradi imesainiwa.
4.    Taratibu za awali za ujenzi wa gridi ya   Tathmini ya kupeleka umeme Kigoma kutokea Geita
      msongo wa kV132 kutoka Tabora hadi        kupitia Kibondo na Kasulu inaendelea.
      Kigoma na kutoka Makambako hadi           Upembuzi        yakinifu     wa     Makambako-Songea
      Songea zitaanza.                          umekamilika. Serikali ya Sweden inaangalia
                                                uwezekano wa kugharimia mradi huu.
5.    Mifumo ya usambazaji wa umeme             Majadiliano na Benki ya Dunia bado yanaendelea kwa
      katika miji ya Arusha, Moshi na Dar es    ajili ya kuruhusu fedha zilizobakia wakati wa kutekeleza
      Salaam itaboreshwa.                       mradi wa Songo Songo zitumike kuimarisha mifumo ya
                                                usambazaji ya Arusha, Moshi na Dar es Salaam.
                                                Majadiliano ya kina kati ya TANESCO na TANROADS
                                                kwa ajili ya kutandaza nyaya yanaendelea.
6.    Ujenzi wa kituo cha MW 6 eneo la          a) Ujenzi wa Kituo Kuzalishia Umeme
      Somanga Funga wilayani Kilwa chini
                                                  Mkandarasi amerudisha mashine na vifaa vingine na
      ya mradi wa Songo Songo
                                                   ameanza kazi mwezi Aprili, 2007.Mitambo pamoja
      utakamilishwa.
                                                   na vifaa vingine vimeshafika na ufungaji wa
                                                   mitambo na waya umekaribia kukamilika.
                                                b) Ujenzi wa nguzo na waya za Umeme wa Gesi wa
                                                     kV 33
                                                    Usimikaji wa nguzo unaendelea na kazi
                                                    imekamilika kwenye kipande kati ya Somanga
                                                    /Singino na Hospitali ya Mchukwi. Eneo la Kibiti –
                                                    Ikwiriri kazi ya kusimika nguzo imeanza baada ya
                                                    zoezi la kulipa fidia kukamilika hivi karibuni.




                                                127
                                              c) Kuongeza Wigo wa Gridi (Grid Extension)
                                                Ujenzi wa laini ya kV 33 kati ya Mwanambaya na
                                                 Mipeko         umekamilika. Ujenzi wa laini ya kV 11
                                                 kutoka Charambe mpaka Mbande na Chamazi
                                                 umekamilika. Transfoma 10 zimekwishafungwa
                                                 katika vijiji vyote 5.
7.   Kuendeleza mradi wa soko la umeme        Mradi umewezesha kuweka mitambo ya umeme nuru
     nuru mkoani Mwanza kwa lengo la          (Solar PV) katika shule, Zahanati na Kituo cha Afya
     kuondoa vikwazo vya matumizi ya          kimoja katika Wilaya zote za mkoa wa Mwanza.
     umeme nuru kama Nishati Mbadala.
                                              Kitabu cha Solar kwa ajili ya Shule za Sekondari
                                              kimekamilika na kuchapwa tayari kwa kusambaza
                                              katika shule za Sekondari mkoani Mwanza. Baada ya
                                              kukamilisha kuweka solar katika maeneo husika
                                              mkoani Mwanza, moduli (solar modules) zilizobaki
                                              zitapelekwa katika mikoa ya jirani ya Shinyanga na
                                              Mara.
8.   Umeme utasambazwa kwenye miji            Kazi za upelekaji umeme katika makao makuu ya
     mikuu ya wilaya ambazo ni Mbinga,        wilaya hizi ni kama ifuatavyo:
     Orkesmet, Ushirombo, Kilolo, Utete, na
     Ludewa.                                  Mbinga
                                              Kazi za ukarabati mifumo na upanuzi wa njia ya umeme
                                              wa msongo wa kilovoti 11 zinaendelea kufanywa na
                                              TANESCO. Zabuni ya ununuzi wa mashine mpya za
                                              2x1250 kVA imefunguliwa tarehe 24 Novemba, 2006 na
                                              tathmini (evaluation) imekamilika. Mkandarasi kwa ajili
                                              ya kufanya kazi hiyo amekwishapatikana na fedha za
                                              kazi hiyo zimeidhinishwa.

                                              Zabuni ya kazi za ujenzi (civil works) kwa ajili ya
                                              matanki ya mafuta, na gereji imepitishwa na Bodi ya
                                              Zabuni ya TANESCO kwa ajili ya kutangaza na kupata
                                              mkandarasi.

                                              Orkesmet
                                              Zabuni kwa ajili ya ujenzi imepitishwa na Bodi ya
                                              Zabuni ya TANESCO na Sida imeshatoa No Objection
                                              kwa ajili ya kuingia mkataba wa ujenzi na Kampuni ya
                                              Power Line Africa ya Namibia. Mazungumzo kwa ajili
                                              ya Mkataba (Contract Negotiations) yalifanyika tarehe 6
                                              Desemba, 2006. Lengo ni mkandarasi kumaliza kazi
                                              mapema mwaka 2008.




                                              128
                                        Ushirombo
                                        Mshauri wa utayarishaji upembuzi yakinifu wa mradi
                                        huu, yaani, Kampuni      ya SWECO ya Sweden
                                        amemaliza kazi yake na Serikali imetuma maombi
                                        rasmi kwa Shirika la Maendeleo la Sweden (Sida) ili
                                        kufadhili mradi huu. Sida wameonesha nia ya
                                        kuufadhili.

                                        Kilolo
                                        Upimaji wa awali wa njia ya umeme ya msongo wa
                                        kilovoti 33 toka Iringa (Tagamenda) hadi Kilolo
                                        umekamilika. Uandaaji wa vifaa vya ujenzi wa laini
                                        unaendelea.

                                        Utete
                                        Ujenzi wa njia ya msongo wa kilovoti 33 kutoka kituo
                                        cha Somanga hadi Utete –Ikwiriri na Bungu unaendelea
                                        chini ya mradi wa Benki ya Dunia ujulikanao kama
                                        Wayleave Electrification Scheme (WVES). Upatikanaji
                                        wa umeme katika mji wa Utete utategemea kukamilika
                                        kwa ujenzi wa kituo cha Somanga na ujenzi wa njia ya
                                        umeme wa msongo wa Kilovoti 33.

                                        Ludewa
                                        TANESCO imeendelea na ujenzi wa njia za umeme
                                        zenye msongo wa kilovoti 33 mjini Ludewa. Zabuni ya
                                        ununuzi wa mashine mpya za 2x 600 kVA imefunguliwa
                                        tarehe 24 Novemba, 2006 na tathmini imekamilika.
                                        Ruhusa ya kutumia fedha kutoka Multilateral Debt
                                        Relief Initiatives (MDRI) imetolewa.

                                        Zabuni ya kazi za ujenzi kwa ajili ya matanki ya mafuta,
                                        na gereji imeshapitishwa na Bodi ya Zabuni ya
                                        TANESCO kwa ajili ya kutangaza na kupata
                                        mkandarasi.
9.   Kuendeleza vyanzo mbalimbali vya   Majadiliano na wawekezaji wenye nia ya kuwekeza
     nishati kama vile jua, upepo,      katika kuzalisha umeme huko Makambaku mkoani
     tungamotaka, maporomoko ya maji,   Iringa na Kititimo mkoani Singida yalifanyika. Takwimu
     joto ardhi na makaa ya mawe.       za kasi ya upepo kutoka vituo viwili Makambaku na
                                        Singida zilipatikana na kuonesha uwezekano wa
                                        kuzalisha umeme.

                                        Kwa kushirikiana na Geological Survey ya Tanzania na
                                        Federal Institute for Geosciences and Natural
                                        Resources (BGR) ya Ujerumani, Wizara ya Nishati na




                                        129
                                                  Madini imefanya utafiti wa awali (reconnaissance)
                                                  katika eneo la Songwe – Mbeya, na sampuli za maji na
                                                  vipande vya miamba tayari zimepelekwa Ujerumani
                                                  kwenye maabara kwa ajili ya uchunguzi wa kina.
                                                  Serikali kwa kushirikiana na TANESCO inafanya utafiti
                                                  wa kuzalisha umeme katika maporomoko katika mikoa
                                                  7 nchini ambayo ni Morogoro, Iringa, Mbeya, Ruvuma,
                                                  Rukwa, Kigoma na Kagera. Tayari ukaguzi wa maeneo
                                                  umefanyika katika mikoa ya Rukwa, Ruvuma na Iringa.

                                                  Mawasiliano na wadau yalifanyika ili kuona jinsi ya
                                                  kuendeleza matumizi ya vitofali vya makaa ya mawe.
                                                  Sampuli za vitofali na jiko husika vilipelekwa maabara
                                                  kuhakiki usalama wa matumizi na ubora wa jiko.
10.   Mradi wa umeme nuru unaofadhiliwa           Shughuli za mradi zilizinduliwa katika mikoa ya
      na Serikali ya Sweden kupitia Sida          Morogoro na Pwani. Wafanyabiashara wa umeme nuru
      utaanza kutekelezwa katika mikoa ya         12 katika mikoa hiyo walipewa mafunzo ya ukuzaji soko
      Iringa Morogoro na Kigoma.                  la umeme nuru.
11.   Kuendelea na utafiti wa jiko linalotumia    Mradi wa Programme for Biomass Energy Conservation
      mkaa, kuni lijulikanalo kama rocket.        (ProBEC) chini ya SADC, unaendelea kuhamasisha
                                                  matumizi ya jiko bora la rocket. Katika awamu ya pili ya
                                                  mradi Kamati ya Ushauri (National Advisory Group)
                                                  iliundwa. Kazi ya kamati hiyo ni kuishauri Serikali
                                                  kuhusu utekelezaji wa mradi kwa manufaa ya
                                                  walengwa na Taifa kwa ujumla. Awamu ya pili ya mradi
                                                  ilianza kutekeleza shughuli zake kwa kutoa kipaumbele
                                                  katika maeneo kando kando ya barabara ya Morogoro
                                                  kupitia Iringa hadi Songea (Uhuru Corridor).
12.   Kuendelea kutekeleza Mradi wa Mining        Mfumo mpya wa utoaji wa leseni kwa njia ya kompyuta
      Cadastral Information Management            (FlexiCadastre) umeshaanza kutumika katika mchakato
      System (MCIMS) wenye lengo la               wa utayarishaji na utoaji wa leseni za madini kuanzia
      kuunganisha ofisi 22 zilizoko mikoani ili   Januari, 2007. Upungufu uliojitokeza unarekebishwa
      kuwa na mawasiliano ya moja kwa             kwa njia ya mtandao kadri unavyojitokeza.
      moja yatakayowezesha kila ofisi kujua
      hatua zilizofikiwa na Masjala Kuu ya        Takwimu zote zinazohusiana na leseni na vibali vya
      Madini na ofisi nyingine katika utoaji      utafutaji na uchimbaji wa madini; biashara ya madini na
      wa leseni za madini na malipo ya kodi       vibali vya kusafirisha madini nje ya nchi chini ya Sheria
      zinazostahili kwa kila leseni.              ya Madini ya mwaka 1998 na Sheria ya Baruti ya
                                                  mwaka 1963, zimehamishiwa kwenye mfumo wa
                                                  FlexiCadastre. Uhakiki wa taarifa hizo unaendelea
                                                  kubaki na taarifa sahihi.

                                                  Zoezi la upimaji wa mipaka ya viwanja vya madini na
                                                  leseni za uchimbaji mdogo (PMLs) kupata alama za
                                                  kijiografia (geographical coordinates) kwa kila leseni




                                                  130
                                             kwa nchi nzima lilianza mwezi Agosti, 2006 na
                                             kukamilika mwezi Machi, 2007. Jumla ya leseni za
                                             uchimbaji mdogo 4,166 kati ya 5,800 sawa na asilimia
                                             72 zilipimwa katika zoezi hilo. Kama ilivyo kwa leseni za
                                             uchimbaji mkubwa takwimu zilizopatikana zinaingizwa
                                             kwenye Mfumo Mpya wa Utoaji wa Leseni
                                             (FlexiCadastre) ili kurahisisha ufuatialiaji wa leseni hizo
                                             katika kutimiza masharti mbalimbali ya leseni kwa
                                             mujibu wa sheria. Masharti ya leseni za madini ni
                                             pamoja na: kutoa ripoti za utendaji, taarifa za matumizi
                                             ya fedha na gharama nyingine, taarifa za uzalishaji
                                             madini yanayochimbwa, taarifa za mapato na malipo ya
                                             maduhuli na kodi mbalimbali inavyohitajika kisheria.

                                             Ujenzi wa mtandao (Wide Area Network) wa
                                             mawasiliano utakaounganisha ofisi za madini kwa
                                             kutumia njia ya satelaiti (VSAT) umekamilika. Mtandao
                                             huu unaolenga kuwezesha mawasiliano ya papo kwa
                                             papo (online) utawezesha upokeaji wa maombi ya
                                             leseni za madini katika ofisi yoyote kati ya ofisi 21
                                             nchini. Aidha, mtandao huu utawezesha ofisi kuelewa
                                             hatua iliyofikiwa katika utayarishaji wa leseni
                                             zinazohusiana na maeneo husika.
13.   Kufanya marekebisho ya vipengele vya   Baada ya Mapendekezo ya Kamati kuwasilishwa
      Sera na Sheria ya Madini.              Serikalini, Wizara ya Nishati na Madini iliyachambua na
                                             kuandaa rasimu ya marekebisho ya Sera ya Madini ya
                                             mwaka 1997. Kazi hiyo imekamilika, kwa sasa Wizara
                                             inaandaa rasimu ya waraka wa BLM kwa ajili ya
                                             kuwasilisha Mapendekezo ya Kurekebisha Sera ya
                                             Madini ya Mwaka, 2007.
14.   Kufanya ukaguzi katika maeneo ya       Kwa kipindi cha Januari hadi Juni, 2007: ukaguzi
      uchimbaji madini ya mikoa ya Lindi,    ulifanyika katika maeneo ya uchimbaji madini ya mikoa
      Mtwara, Tanga, Pwani, Dar es Salaam    ya Lindi, Mtwara, Tanga, Pwani, Dar es Salaam na
      na Morogoro.                           Morogoro. Maeneo ya uchimbaji yaliyofanyiwa ukaguzi
                                             katika mikoa hiyo ni ya wachimbaji wa kati na
                                             wachimbaji wadogo. Jumla ya viwanja 580 katika mikoa
                                             hiyo ilikaguliwa kama ifuatavyo:

                                             Lindi (Lindi Mjini-34, Ruangwa – 58, Kilwa- 62); Mtwara
                                             (Mtwara Mjini-51, Masasi-70, Newala-2); Tanga
                                             (Korogwe-13, Mkinga-10, Tanga Mjini- 11, Lushoto- 5,
                                             Handeni- 35, Kilindi- 54); Morogoro (Morogoro Mjini-6,
                                             Morogoro Vijijini-10, Mvomero- 100, Kilosa- 24, Ulanga-
                                             20); Dar es salaam (Temeke- 12, Ilala-1). Jumla ya
                                             viwanja vilivyokaguliwa ni 580.




                                             131
                                           Baadhi ya upungufu ulioonekana wakati wa ukaguzi wa
                                           migodi hiyo ni pamoja na:
                                             Wafanyakazi kutokuwa na vifaa vya kujikinga.
                                             Migodi kutokuwa na taratibu za uokoaji (mining
                                              rescue plan & emergency preparedness).
                                             Ukosefu wa maji salama ya kunywa kwa
                                              wafanyakazi wa migodi na ukosefu wa vifaa vya
                                              huduma ya kwanza.
                                             Utunzaji na utumiaji wa baruti usiozingatia sheria
                                              na kanuni za baruti.
                                             Mashimo kutozungushiwa wigo kwa ajili ya
                                              usalama.
                                             Baadhi ya wamiliki wa leseni za madini kutotoa
                                              taarifa zao za uzalishaji madini Serikalini kwa
                                              mujibu wa Sheria ya Madini ya mwaka 1998.

                                           Wamiliki wa viwanja hivyo waliagizwa kurekebisha
                                           kasoro zilizoonekana wakati wa ukaguzi.
15.   Kujenga mazingira bora ya kuongeza   Serikali imeamua kudurusu Sheria ya Usonara
      thamani ya Madini.                   (Goldsmith and Silversmith Ordinance). Maandalizi
                                           yanafanyika ili yawasilishwe kwa wadau kupata maoni
                                           kabla ya kuundwa kuwa Sheria ya Usonara. Warsha ya
                                           wadau inatarajiwa kufanyika mwezi Septemba, 2007
                                           ambapo muswada wa Sheria ya Usonara utawasilishwa
                                           Bungeni kwa mara ya kwanza Februari, 2008 . Katika
                                           jitihada nyingine za Serikali, Wizara imeanzisha chuo
                                           cha kukata madini na kusanifu vinyago vya mawe
                                           kinachojulikana kama “Arusha Gemstones Carving
                                           Centre” na tayari chuo hicho kinatumika kufundishia
                                           wanafunzi juu ya elimu ya ukataji wa madini ya vito na
                                           usonara.




                                           132
                                 WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

 NA                  AHADI                                          UTEKELEZAJI
1.    Kukamilisha Sera ya Sekta ya Sheria.     Rasimu ya kwanza tayari imeandaliwa na kuwasilishwa
                                               kwenye kikao cha Makatibu Wakuu ili wakijadili na
                                               kutoa maelekezo yao kama wadau. Aidha Rasimu hii
                                               imesambazwa kwa wadau wengine kwa lengo la
                                               kupata maoni yao.
2.    Kuimarisha uendeshaji wa kesi na         Serikali imeajiri Mahakimu Wakazi 70 na mahakimu wa
      kupunguza mlundikano wa kesi             Mahakama za Mwanzo115.          Vile vile hivi karibuni
      mahakamani kwa kuandaa programu          ulifanyika uteuzi wa majaji 21 wa Mahakama Kuu na
      maalum kwa ajili ya upunguzaji wa        wawili (2) wa Mahakama ya Rufani. Majaji hao
      mlundikano wa kesi katika Mahakama       wamepangiwa katika vituo vya mikoani na wameanza
      (Case backlog Disposal Programme         kufanya kazi.
      and Resident Magistrate Courts).
                                               Ongezeko la Majaji na Mahakimu limeongeza kasi ya
                                               usikilizaji wa kesi kwa kuongeza idadi ya vikao vya
                                               Mahakama kutoka 12 hadi 15 kwa mwaka, kwa
                                               Mahakama ya Rufani, na kutoka 88 hadi 102 kwa
                                               mwaka kwa Mahakama Kuu. Mahakama za Mwanzo
                                               zitaendelea kufanya vikao vya Mahakama vya kila siku.
3.    Kuboresha huduma za kisheria,
      kuimarisha usimamizi na uendeshaji
      wa mashauri nchini kwa kutekeleza
      yafuatayo:
                                               Mchakato wa kutenganisha shughuli za upelelezi na
      (a) Kutenganisha shughuli za upelelezi
                                               uendeshaji mashtaka ulianza mapema baada ya
              na shughuli za uendeshaji wa
                                               marekebisho ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano
              mashauri ya jinai mahakamani.
                                               wa Tanzania. Marekebisho hayo yaliifanya Ofisi ya
              Mpango wa majaribio utaanza
                                               Mkurugenzi wa Mashtaka kuwa na Mamlaka ya
              katika mikoa ya Arusha, Dar-
                                               Kikatiba. Kwa mujibu wa marekebisho hayo,
              Es-Salaam, Mwanza, Ruvuma,
                                               Mkurugenzi wa Mashtaka anatakiwa kusimamia
              Shinyanga na Tanga. Jumla ya
                                               shughuli zote za uendeshaji mashtaka katika Tanzania
              mawakili 104 wataajiriwa,
                                               Bara. Kwa sasa shughuli hizo zinaendeshwa na Jeshi
              magari 6 na majengo 6
                                               la Polisi kwa sehemu, ingawa idara nyingine nazo
              yatanunuliwa.
                                               huchangia kwa kiasi fulani.

                                               Rasimu ya Sheria itakayoanzisha mfumo wa Kitaifa wa
                                               Uendeshaji Mashtaka (National Prosecution Service
                                               Act) imeandaliwa na hivi sasa ipo katika mchakato wa
                                               kuiwezesha kuwasilishwa Bungeni. Sanjari na Rasimu
                                               hiyo umeandaliwa Mwongozo utakaosimamia mfumo
                                               wa uendeshaji mashtaka nchi nzima. Hata hivyo
                                               inatarajiwa kwamba utekelezaji wa Mpango huo




                                               133
                                            utakuwa wa hatua kwa hatua na kwamba mikoa ya
                                            Arusha, Dar es Salaam, Mwanza, Ruvuma, Shinyanga,
                                            na Tanga imeteuliwa kuwa katika awamu ya kwanza,
                                            yote ikiwa na jumla ya wilaya 24.

                                            Ili kuwezesha programu hiyo kuanza katika mikoa sita
                                            ya awamu ya kwanza, yanahitajika mambo yafuatayo:
                                            ajira za wanasheria wenye shahada 150 na watumishi
                                            wa kada nyingine 12, majengo ya ofisi 24 na magari 24
                                            katika mikoa na wilaya.
(b)Kuendeleza na kutekeleza Mkakati         Taratibu za kupata fedha kupitia programu ya
   wa majaji na Mahakimu kusikiliza         kuboresha sekta ya sheria nchini, kwa ajili ya
   mashauri kwa haraka na kwa haki          kutekeleza Mpango huo zimeanza kufanyiwa kazi.
   na kumaliza mashauri kati ya 6 na 7      Mkakati umetekelezwa sambamba na mkakati namba
   katika      kila mashauri 10             mbili (2) hapo juu kupitia uteuzi wa majaji 2 wa
   yanayoandikishwa mahakamani.             Mahakama ya Rufani; 21 wa Mahakama Kuu na ajira
                                            za Mahakimu Wakazi 70 na Mahakimu wa Mahakama
                                            za Mwanzo 115. Aidha, Kamati za Kusukuma Kesi
                                            ziliendelea kutumika.
(c)Kuendelea kutumia utaratibu wa           Majaji na Mahakimu wa ngazi zote wanaendelea
   kalenda binafsi katika kusikiliza        kutumia utaratibu wa kalenda binafsi katika kusikiliza
   kesi.                                    kesi, katika Mahakama Kuu, Mahakama ya Hakimu
                                            Mkazi, Mahakama ya Wilaya na Mahakama za
                                            Mwanzo.
(d)Kuzipatia mahakama vitendea kazi:        Mahakama Kuu, Mahakama za Hakimu Mkazi,
   vifaa vya ofisi, usafiri na majengo na   Mahakama za Wilaya na Mahakama za Mwanzo
   vifaa vya kunasa kumbukumbu za           zinaendelea kupata vitendea kazi, kama vile - vifaa vya
   mwenendo wa kesi mahakamani.             ofisi na vyombo vya usafiri. Magari 52 ya ukaguzi wa
                                            Mahakama za Mwanzo tayari yamenunuliwa na
                                            kugawiwa yote kwa Mahakama za Wilaya. Shughuli za
                                            ujenzi na ukarabati wa majengo ya mahakama
                                            mbalimbali umekuwa ukiendelea. Ujenzi wa Mahakama
                                            Kuu Bukoba na Mahakama ya Hakimu Mkazi Manyara
                                            unaendelea ambapo taratibu za ujenzi wa jengo la
                                            Mahakama Kuu Shinyanga ziko katika hatua za awali
                                            kabisa. Aidha ukarabati wa jengo la Makao Makuu ya
                                            muda ya Mahakama ya Rufani ulikamilka na limeanza
                                            kutumika.

                                            Utekelezaji wa Mkakati huu unaenda sanjari na upanuzi
                                            wa ofisi za Mahakama ya Biashara ya Mwanza ambayo
                                            uzinduzi wake unatarajiwa kufanyika mapema mwaka
                                            2007/08.




                                            134
     (e)Mahakama ya Biashara kufungua         Kwa ujumla ziko masjala 13 kwenye Mahakama Kuu –
        masjala katika Kanda ya Mwanza.       Songea, Mbeya, Iringa, Dodoma, Tabora, Mwanza, Dar
        Mahakama ya Ardhi kufungua            es Salaam, Tanga, Moshi, Arusha, Sumbawanga,
        masjala 2 ndogo katika mikoa ya       Bukoba na Mtwara. Huduma za masjala katika mikoa
        Shinyanga na Mara.                    ya Shinyanga na Mara hazijaanzishwa. Huduma za
                                              masjala katika mikoa hii kutategemea upatikanaji wa
                                              fedha.
     (f) Kuendesha programu ya ujenzi wa      Ujenzi wa Mahakama katika ngazi zote umeanza na
          majengo ya Mahakama za ngazi        unaendelea. Maandalizi ya kuanzisha ujenzi wa Chuo
          zote, Chuo cha Sheria (Law          cha Sheria yameanza kupitia Programu ya Kuboresha
          School) na Jengo la Makao           Sekta ya Sheria ambapo wafadhali wameanza kuweka
          Makuu ya Wizara ya Katiba na        fedha kwenye mfuko wa pamoja wa Programu kwa ajili
          Sheria chini ya Programu ya         hiyo.
          Kuboresha Sekta ya Sheria chini
          ya Mradi wa Accountability,
          Integrity, & Transparency Project
          in Tanzania (ATIP).
4.   Kuboresha masjala zote katika Sekta      Utekelezaji wa shughuli hii umeanza kwa kuandaa
     ya Sheria chini ya Programu ya           hadidu za rejea ili kumpata mtaalamu mwenye uwezo
     Kuboresha Sekta ya Sheria kwa            wa kufunga mfumo maalum wa mawasiliano kwa
     kufunga      mfumo     maalum   wa       masjala na uendeshaji wa kesi.
     mawasiliano.
5.   Kwa kupitia Programu ya Uboreshaji       Ahadi hii ya Serikali imeanza kutekelezwa na
     wa Mazingira ya Biashara Tanzania        kuwezesha kuandaliwa kwa rasimu ya awali ya mapitio
     (MKUMBITA – BEST) sheria zifuatazo       ya sheria zote zinazohusu mfumo mzima wa utoaji wa
     zitafanyiwa marekebisho:                 haki katika masuala ya madai, (The Report on the
     (a) Sheria ya Mwenendo wa kesi za        Review of Civil Justice in Tanzania). Rasimu hiyo
           Madai;                             imeweza kuandaliwa kupitia mchakato ulioainishwa
     (b) Sheria ya Mawakili.                  hapa chini:
     (c) Sheria ya Madalali wa Mahakama
                                                 Tume ya Kurekebisha Sheria imekabidhiwa
                                                  jukumu la kuratibu mchakato wa mapitio ya mfumo
                                                  mzima unaohusu haki katika masuala ya madai
                                                  (The Review of Civil Justice System in Tanzania)
                                                  kwa ajili ya kuboresha mazingira ya biashara
                                                  Tanzania.

                                                 Tume imeunda kikundi-kazi (Civil Justice
                                                  Technical         Working     Group)     ambacho
                                                  kimeunganisha wadau muhimu kutoka katika
                                                  sekta mbalimbali ili kuweza kufanya kazi ya kupitia
                                                  Sheria hizo kwa lengo la kuzifanyia marekebisho.

                                                 Wadau hao ni pamoja na wawakilishi kutoka:




                                              135
                                                    Benki, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali,
                                                    Chama cha Wanasheria Tanzania, Kitivo cha
                                                    Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,
                                                    Mahakama Kuu, Mahakama ya Rufani na Wizara
                                                    ya Mipango, Uchumi na Uwezeshaji.
6.   Kuendelea kutoa ushauri wa Kisheria        Ushauri wa Kisheria umeendelea kutolewa kwa
     kwa Serikali kuhusu masuala mbali              Serikali na taasisi zake, katika mikataba ya
     mbali ya Sheria za Kimataifa.                  Kimataifa; mikopo, ubinafsishaji na uwekezaji;
                                                    masuala ya Katiba na Haki za Binadamu; Madai
                                                    na Jinai.
                                                Jumla ya Mashauri 1,113 yalipokelewa, kati ya
                                                    hayo mashauri 386 yametolewa uamuzi na
                                                    mashauri 727 yanaendelea kusikilizwa. Vile vile
                                                    jumla ya Mikataba 230 ya manunuzi, na migogoro
                                                    5 ya masuala ya upatanishi (arbitrations)
                                                    inayoihusu Serikali imeshughulikiwa. Aidha, kesi
                                                    za Katiba na Haki za Binadamu zimeendelea
                                                    kusimamiwa na kutolewa ushauri wa kisheria.
                                                    Jumla ya kesi za Katiba 36 zilizofunguliwa, 18 kati
                                                    ya hizo zimemalizika.
                                                Katika kujenga uwezo wa wataalam wetu katika
                                                    kutoa ushauri makini kwa Serikali, baadhi ya
                                                    Mawakili wa Kitengo cha tafsiri na urekebu wa
                                                    sheria wamepatiwa mafunzo ya muda mfupi ya
                                                    uandishi wa sheria.
7.   Kuimarisha zaidi kitengo cha tafsiri na   Kitengo hicho kimeongezewa wataalam 3 kutoka ofisi
     urekebu wa Sheria kwa kukiongezea         ya Mkurugenzi wa Mashtaka.
     idadi ya Wataalam wa fani hiyo.
8.   Mahakama ya Wilaya ya Kahama              Mahakama za Wilaya ya Kahama na Karagwe ni
     itapewa usafiri ili iweze kuhudumia pia   miongoni mwa Mahakama za Wilaya 52 ambazo
     Wilaya ya Bukombe wakati taratibu         zimepatiwa magari kwa ajili ya kurahisisha uendeshaji
     zinafanyika kujenga Mahakama ya           wa shughuli za Mahakama ikiwa ni pamoja na ukaguzi
     Wilaya     ya        Bukombe.    Aidha,   wa Mahakama za Mwanzo.
     Mahakama zote za Wilaya ambazo            Magari pia yamenunuliwa kwa ajili ya Majaji wapya 21
     hazina magari ikiwa ni pamoja na          wa Mahakama Kuu na wawili (2) wa Mahakama ya
     Karagwe zitapatiwa magari mapya.          Rufani.
9.   Mahakama ya Wilaya ya Ruangwa             Kutokana na uhaba wa Mahakimu katika kituo cha
     kupatiwa huduma za Hakimu wa              Lindi, zoezi la Wilaya ya Ruangwa kutembelewa na
     Wilaya kutoka Wilaya jirani wakati        Hakimu Mkazi wa Lindi halikufanyika. Hii ni kutokana
     taratibu za kuanzisha Mahakama ya         na kuacha kazi Mahakimu 2 na mmoja kufariki dunia na
     Wilaya zikiwa zinaendelea.                kufanya kituo cha Lindi kubakiwa na mahakimu 3 tu.
                                               Hata hivyo hivi karibuni Mahakama imeajiri Mahakimu
                                               wapya 77 ambapo watatu (3) kati yao wamepelekwa
                                               Mahakama ya Mkoa Lindi na wengine wamehamia
                                               kutoka wilaya nyingine.




                                               136
                                                  Kutokana na hatua hizo, Mahakama ya Wilaya ya
                                                  Ruangwa itaanza kutembelewa kwa ratiba
                                                  itakayopangwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Lindi.
10.   Mahakama ya Wilaya ya Misungwi              Wakati jitihada za kuipatia Wilaya ya Misungwi huduma
      kupatiwa Hakimu wa Wilaya katika            za mahakama ya wilaya zikiwa zinaendelea wananchi
      mwaka wa fedha 2007/08.                     wa Misungwi wameanza kupatiwa huduma hiyo kwa
                                                  kutembelewa na Hakimu Mkazi wa wilaya kutoka
                                                  Ngudu, Kwimba.
11.   Sheria ya Uandikishaji Vizazi na Vifo       Wakala wa Vizazi na Vifo Tanzania (RITA) imeandaa
      ipitiwe upya na kuboreshwa.                 hadidu za rejea na kuzipeleka "BEST na Legal Sector
                                                  Reform Program (LSRP)” ili kuomba fedha kwa ajili ya
                                                  kufanya kazi hiyo. LSRP tayari wameonyesha nia ya
                                                  kusaidia fedha kwa ajili ya kazi hiyo ya kupitia na
                                                  kuboresha sheria ya Uandikishaji wa Vizazi na Vifo.
12.   Hukumu zote zenye maamuzi                   Utaratibu wa maamuzi makubwa ya kisheria (hukumu)
      makubwa ya kisheria kuchapishwa             huchapwa kwa wakati kwenye ripoti za kesi na kwamba
      kwa wakati kwenye ripoti za kesi (Law       ripoti za kesi zitatolewa hivi karibuni baada ya
      Reports).                                   kukamilika.
13    Serikali    itaangalia     namna   ya       Bado utaratibu huu haujafanyiwa maandalizi ili uweze
      kuwatumia        wanasheria     ambao       kutumika.
      hawajaajiriwa kuweza kuwasaidia
      Majaji katika kufanya utafiti.
14.   Mahakama zote za Wilaya ambazo              Ununuzi wa magari kwa ajili ya ukaguzi wa Mahakama
      hazina magari ikiwa ni pamoja na            unafanywa kwa awamu katika awamu hii, magari
      Karagwe zitapatiwa magari mapya.            yaliyoagizwa yanajumuisha gari litakalopelekwa Wilaya
                                                  ya Karagwe.
15.   Kuendelea na jukumu lake la uandishi        Hadi sasa jumla ya Miswada 25 imeandaliwa, sheria
      wa Miswada ya Sheria, Serikali              ndogo 250 zimehakikiwa na kuchapishwa katika Gazeti
      itaandaa Miswada 25 na kuandika             la Serikali. Sheria moja (1) imetafsiriwa katika Kiswahili,
      sheria ndogo 500; kutafsiri sheria 10       na sheria nyingine 18 zimefanyiwa marekebisho.
      katika lugha ya Kiswahili;         na
      kurekebisha sheria 30.
      Uimarishaji wa Tume ya Kurekebisha          Tume ya Kurekebisha Sheria imeimarishwa kwa
      Sheria.                                     kupatiwa vitendea kazi kama vile Kompyuta, kuajiri
                                                  watumishi na kuwapatia wengine mafunzo. Jumla ya
                                                  magari matatu (3) yamenunuliwa.
16.   Tume ya Kurekebisha Sheria                  Tume ya Kurekebisha Sheria imeendelea kufanya
      itazifanyia utafiti sheria zilizopitwa na   shughuli za utafiti wa Sheria kwa ufanisi mkubwa na
      wakati na kukamilisha taarifa za            kuiwezesha kuandaa ripoti mbalimbali.
      maeneo yafuatayo:
      (a)     Ushindani wa haki katika            Rasimu ya mwisho ya ripoti kuhusu Sheria ya
              biashara (competition Law);         Ushindani wa Haki katika Biashara (Fair Competition
                                                  Law) inafanyiwa marekebisho kwa sasa.




                                                  137
      (b)    Usimamizi wa haki za Ugunduzi       Tume imeshafanya utafiti wa kina juu ya usimamizi wa
             na Uhamishaji wa Teknolojia         Haki za Ugunduzi na Uhamishaji wa Teknolojia na
             (Industrial property and Transfer   kuandaa ripoti. Rasimu ya mwisho ya ripoti hii
             of Technology & Pantents            inafanyiwa marekebisho kabla ya kuwasilishwa kwenye
             Protection).                        kikao cha Makamishna na hatimaye Wizarani kwa
                                                 Mheshimiwa Waziri wa Katiba na Sheria.

      (c)      Kufanya mapitio ya Sheria         Tume imefanya utafiti wa kina juu ya Sheria za Mila
               za Mila (Customary Law).          kwa nia ya       kuziondoa zile zinazowakandamiza
                                                 wanawake. Rasimu ya awali ya ripoti kuhusiana na
                                                 Sheria hii imeandaliwa kwa kuzingatia taratibu zote za
                                                 tafiti.

      (d)   Kufanya utafiti wa kisheria          Tume ya Kurekebisha Sheria haikuweza kuanza kazi
            kuhusu Usimamizi wa jumla wa         ya utafiti juu ya Usimamizi wa Maliasili kutokana na
            Maliasili (Natural Resources);       kupewa kazi nyingine na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu
                                                 wa Serikali. Mwanasheria Mkuu wa Serikali aliitaka
                                                 Tume kufanya utafiti wa kina kuhusu kuanzishwa kwa
                                                 Mahakama za Kadhi na kufutwa kwa adhabu ya kifo,
                                                 adhabu ya viboko na adhabu ya muda mrefu, na kutoa
                                                 ripoti katika mwaka wa fedha 2006/2007. Badala yake
                                                 kazi hii imepangwa kufanyika katika mwaka wa fedha
                                                 2007/2008.

      (e)   Ulinzi wa Haki za Watu wenye         Tume ya Kurekebisha Sheria imefanya utafiti wa kina
            ulemavu (Disability Law)             juu ya Sheria za kutetea haki za watu wenye ulemavu
                                                 na Rasimu ya awali ya marekebisho ya Sheria ya
                                                 watu wenye ulemavu imeandaliwa na inatarajiwa
                                                 kujadiliwa katika mkutano wa wadau siku za hivi
                                                 karibuni.

      (f)  Kufanya mapitio na utafiti wa         Utafiti wa kina umefanyika juu ya Teknolojia ya
           kuainisha Sheria itakayosimamia       kutambua chembechembe za vinasaba (DNA) ikiwa ni
           matumizi ya teknolojia ya             pamoja na warsha ya kukusanya maoni ya wadau
           Chembe za asili za urithi (DNA).      ambayo yatajumuishwa kwenye ripoti ya zoezi hilo.
17.   Kusimamia masuala ya haki za               Utaratibu wa masuala ya Haki za Binadamu
      Binadamu na Utawala Bora na Mambo          unatekelezwa vizuri kwa kuisimamia Serikali katika
      ya Katiba.                                 chunguzi za Kimataifa za uvunjaji wa haki za binadamu.
                                                 Chunguzi moja inayohusu kuondoa adhabu ya Kifo
       Taarifa ya utekelezaji wa Mkataba        katika Sheria ya Kanuni za Adhabu Sura ya 16 ni moja
        wa Kimataifa juu ya Haki za              ya masuala yaliyofanyiwa kazi.
        Kiuchumi; Kijamii na Kiutamaduni.
       Kutoa tafsiri ya Katiba ya nchi kwa      Tafsiri ya Katiba kwa lugha ya Kiingereza iliandaliwa
        lugha ya Kiingereza na pia               kwa madhumuni ya kutumika wakati wa Uchaguzi Mkuu




                                                 138
      kutoa vitabu vidogo vya Katiba hiyo.    wa Mwaka 2005. Rasimu hiyo itafanyiwa kazi zaidi ili
                                              kupata Katiba rasmi iliyotafsiriwa kwa Kiingereza.
       Kuimarisha utoaji wa haki kwa         Tume ilikagua Magereza 35 na vituo vya Polisi 53
         umma     hususan    Haki    za       katika wilaya 33 za Tanzania Bara ili kuona hali ya
         Binadamu, jumla ya Wilaya 4 na       Mahabusu na utekelezaji wa haki za binadamu na
         Magereza 16 yatatembelewa na         misingi ya utawala bora. Mikutano ya hadhara ilifanyika
         Wizara.                              kwa lengo la kutoa elimu kwa wananchi. Idadi ya
                                              malalamiko yaliyoshughulikiwa ni 3,006 sawa na
                                              asilimia 43.1. Malalamiko mapya yaliyopokelewa katika
                                              kipindi hicho ni 4,442 na ya zamani yalikuwa 5,860 na
                                              kufanya jumla ya malalamiko kuwa 10,302. Kati ya
                                              malalamiko yaliyopokelewa 195 yalitoka Zanzibar.

       Kufungua matawi 2 ya Ofisi za         Ofisi zimefunguliwa katika mikoa ya Lindi na Mwanza
         Tume ya Haki za Binadamu na          na zinafanya kazi.
         Utawala Bora katika mikoa ya
         Lindi na Mwanza.
18.   Kuendelea kuratibu    Programu ya       Jumla ya watumishi 10 wa kada mbalimbali
      Kuboresha Sekta ya Sheria (LSRP)        wameajiriwa katika ofisi ya kuratibu Programu ya
      kwa kufanya yafutayo:                   kuboresha Sheria kama ifuatavyo:

      Kuajiri wataalamu zaidi.                Mratibu wa Programu; Afisa Mkuu Utawala/Mhasibu;
                                              Afisa Mkuu Uchambuzi wa Sera, Ufuatiliaji na
                                              Tathmini; Afisa Mkuu Ugavi; Afisa Mwandamizi Habari
                                              na Wasaidizi wanne (support staff).

      Kuwapatia mafunzo wasimamizi 45 wa      Utekelezaji wa mpango huu umeanza kwa kutumia
      Programu na maofisa 120 kutoka          fedha za Serikali katika maeneo ya Sector Wide
      Taasisi na Asasi zinazotekeleza LSRP.   Approach Programme (SWAP) na Change
                                              Management na unategemewa kuendelea katika
                                              maeneo mengine, kupitia wafadhili,
                                              baada ya kukamilika kwa taratibu za basket fund kati ya
                                              Serikali na Wahisani.
                                              Katika mafunzo hayo wasimamizi 42 (link officers) wa
                                              Programu na maofisa 64 toka Tasisi na Asasi
                                              zinazotekeleza Programu hii wamepatiwa mafunzo ya
                                              namna ya kuandaa mpango na bajeti kwa kufuata
                                              utaratibu wa kuhusisha sekta mbali mbali (SWAP).

       Kuandaa mfumo wa usimamizi wa         Ofisi ya Uratibu wa Programu ya Kuboresha Sekta ya
        Programu - Monitoring & Evaluation    Sheria imeanza kuandaa Mfumo wa uratibu, usimamizi
        (M&E).                                na tathmini (M & E) kwa ajili ya programu.
                                              Aidha, Taasisi na wizara zote zinazotekeleza Programu
                                              ya kuboresha sekta ya Sheria zimeandaa na
                                              zinatekeleza mpango wa kazi wa mwaka mmoja.




                                              139
19.   Kuboresha utoaji huduma kwa wateja
      na wananchi kwa ujumla kwa
      kuwapeleka watumishi wa Kada
      mbalimbali kwenye mafunzo na kuajiri
      wengine zaidi:

       Mahakimu 6 na mawakili 16             Mahakimu 2 na Mawakili wa Serikali 12 wanasoma
         watahudhuria mafunzo ya muda         shahada ya uzamili katika Chuo Kikuu cha Dar es
         mrefu katika viwango vya             Salaam.
         Stashahada ya Uzamili na
         Mawakili 50 watapatiwa mafunzo
         ya muda mfupi.
        Mahakimu na watendaji 99             Idara ya Mahakama imedhamini watumishi/wanafunzi
          watapata mafunzo katika diploma     117 kwa ajili ya Stashahada ya Sheria na
          ya juu na cheti, na watumishi wa    watumishi/wanafunzi 20 kwa ajili ya Cheti cha Sheria.
          mahakama wa Kada nyingine 234       Watumishi wengine 87 wamehudhuria mafunzo ya
          watapata mafunzo ya muda mrefu      muda mfupi na mrefu kwa kada za Wapiga Chapa
          na mfupi.                           (Typists), Wahudumu, Walinzi na Makarani.
                                              "Induction training" itafanyika baada ya kutolewa kwa
          Makatibu Muhtasi na Mawakili 30     fedha zilizotengwa kwa kazi hiyo.
          waajiriwa wapya watapatiwa
          ”Induction course”.
                                              Mawakili 6 na watumishi wengine 17 wapya
          Kuajiri watumishi wapya 52         wameajiriwa. Idadi iliyobaki inasubiri taratibu za
           hususan Mawakili wa Serikali 31    kupandisha vyeo. Watumishi wengine 64 wa kada
           na watumishi wengine 21.           nyingine Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
                                              walipata mafunzo ya muda mfupi.
20.   Kuboresha mazingira ya kazi na utoaji   Jumla ya magari 75 yamenunuliwa na Mahakama kwa
      haki kwa kufanya yafuatayo:             ajili ya Majaji na matumizi ya ofisi za Mahakama za
                                              Mikoa na Wilaya kwa ajili ya Ukaguzi.

       Kuimarisha vyombo vya utoaji          Hatua za kuwapatia mahakimu wa Mahakama za
        haki nchini kwa kuzipatia vitendea    Mwanzo vyombo vya usafiri zinachukuliwa kulingana
        kazi vya kisasa na vyombo vya         na upatikanaji wa fedha. Hali kadhalika ofisi mbalimbali
        usafiri hususan kwa mahakimu wa       za Wizara zinapatiwa vitendea kazi vya kisasa -
        mahakama za Mwanzo.                   Kompyuta, Samani na shajala (stationeries).

       Kuimarisha usimamizi na ukaguzi       Ukaguzi wa Ofisi za Kanda za Mahakama na Ofisi ya
        wa Ofisi za Kanda za Mahakama,        Mwanasheria Mkuu wa Serikali unafanyika kila robo
        na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa       mwaka kwa kuwahusisha viongozi wa idara husika.
        Serikali.

       Kufuatilia utekelezaji wa Mpango      Ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mpango na Bajeti
        na Bajeti ya Wizara, ukusanyaji       umefanyika na taarifa zake kuandaliwa kwa kila robo
        wa maduhuli ya Serikali, na           mwaka. Uzingatiaji wa taratibu za manunuzi katika ofisi




                                              140
            uzingatiaji wa taratibu za          zote za Wizara umeimarishwa na unaendelea vizuri.
            manunuzi katika ofisi za Kanda za
            Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa        Ofisi ya Wakala wa Ufilisi, Usajili na Udhamini (RITA)
            Serikali na Mahakama za ngazi       imekusanya maduhuli ya Shilingi 667,910,319.50
            zote kwa lengo la kuongeza          ikilinganishwa na lengo la shilingi 642,400,000 ziada
            uwajibikaji kwa wananchi.           ya asilimia 4 juu ya lengo.
21.    Kuimarisha na Kuboresha utoaji wa
       ushauri wa Kisheria katika mikataba ya
       Serikali kwa kufanya yafuatayo:
      (i)      Kufanya maandalizi ya kutosha    Ushauri wa Kisheria uliendelea kutolewa katika maeneo
               ya pamoja na Sekta na Idara      yafuatayo: - mikataba ya           Kimataifa; Mikopo;
               zote zinazohusika na Mikataba;   Ubinafsishaji na uwekezaji; Masuala ya Katiba na Haki
                                                za Binadamu; Madai na Jinai.

      (ii)    Kuwapatia Mawakili wa Serikali    Aidha, maandalizi ya kutosha na yenye kuwahusisha
              katika Ofisi ya Mwanasheria       wataalam wa Idara husika na Mawakili wa Serikali
              Mkuu wa Serikali na wale walio    yamefanyika katika kuandaa Mikataba mbalimbali
              katika Wizara na Idara za         hususan iliyohusu Madini na Nishati kwa lengo la
              Serikali elimu ya fani ya         kulinda uwekezaji wa rasilimali baina ya Tanzania na
              majadiliano katika maeneo         nchi nyingine. Mabilioni ya shilingi yameweza
              maalum;                           kuokolewa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
                                                katika mashauri mbalimbali ya Madai.         Kuhusu
                                                mafunzo, Wakili wa Serikali mmoja (1) amehudhuria
                                                mafunzo mafupi ya fani ya majadiliano katika maeneo
                                                maalumu.

      (iii)   Kuongeza usimamizi wa hatua       Mawakili wa Serikali wamekuwa wakipitia Mikataba
              zote za majadiliano ya mikataba   baina ya Serikali, kwa upande mmoja, na watu binafsi,
              ili kubaini matatizo kabla ya     Mashirika ya Kitaifa na Kimataifa au Mamlaka nyingine
              Mkataba kusainiwa:                ya nje na ndani ya nchi, kwa upande mwingine, ili
                                                kuona kama inazingatia misingi ya Kisheria na
                                                kushauri ipasavyo pale ambapo inaonekana
                                                kutokukidhi matakwa ya kisheria. Katika hili Mikataba
                                                ya Madini imepitiwa na ile ya Nishati bado
                                                inashughulikiwa.
22.   Kutekeleza Sheria ya Ofisi ya             Sheria imeanza kutumika na kwa sasa Wizara
      Mwanasheria Mkuu wa Serikali              inakamilisha uandaaji wa daftari ya orodha ya
      iliyopitishwa na Bunge mwaka 2005;        mawakili. Muundo mpya umeandaliwa kwa mujibu wa
                                                sheria na umepitishwa na Baraza Kuu la Wafanyakazi
                                                ngazi ya Taifa. Kwa sasa muundo huo unasubiri
                                                kupitishwa na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi
                                                wa Umma kabla ya kuwasilishwa kwenye Kamati ya
                                                Rais.
23.   Kuimarisha Ofisi ya Kabidhi Wasii         Wakala imezidi kuimarika tangu ilipozinduliwa rasmi
      Mkuu ambayo sasa ni Wakala wa             tarehe 23/06/2006 ambapo imeweza kupata jengo la




                                                141
      Serikali tangu tarehe 23/6/2006.       kupanga ili kupisha ujenzi ambao unaandaliwa na
                                             imeweza kununua samani ambazo zitaboresha na
                                             kupunguza tatizo la vitendea kazi. Jina jipya la ofisi ni
                                             Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini, [Registration,
                                             Insolvency and Trusteeship Agency [RITA)].

                                             Aidha, Wakala imeendelea kusajili vizazi na vifo, ndoa
                                             na talaka, kusimamia ufilisi, usajili na udhamini wa mali
                                             isiyokuwa na mwenyewe na uasii wa watoto. Wakala
                                             pia imeanzisha tovuti ambayo inaelimisha umma
                                             kuhusu huduma zinazotolewa na Wakala.
24.   Kutoa mafunzo kwa watumishi ya jinsi   - Katika kutoa mafunzo ya elimu ya UKIMWI
      ya kujikinga na janga la Ukimwi,            Mahakama ya Biashara imeendesha na
      kuepuka rushwa na kuzingatia                inaendelea kuendesha semina mbalimbali elimishi
      masuala ya jinsia na kuhifadhi              kwa watumishi wake. Aidha katika masuala ya
      mazingira katika mipango ya Wizara.         jinsia Mahakama imewahusisha watumishi wa
                                                  jinsia zote katika utekelezaji wa shughuli zake za
                                                  kila siku.

                                             -   Katika kupambana na rushwa katika sehemu za
                                                  kazi, Mahakama ya Biashara imeboresha
                                                  mazingira kwa kutoa motisha na vitendea kazi kwa
                                                  watumishi wake.

                                             -   Kwa upande wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa
                                                  Serikali semina 4 zinazohusu UKIMWI
                                                  zimeendeshwa kwa viongozi. Pia Kamati ya
                                                  kuratibu shughuli za ukimwi imeundwa kwa
                                                  kuteua wajumbe kutoka Idara zote za Ofisi ya
                                                  Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Mawakili na
                                                  watumishi wa Ofisi za Kanda, wamepatiwa
                                                  mafunzo ya kujikinga na maambukizi ya Ukimwi,
                                                  ambapo mikutano miwili imeendeshwa Ki-kanda
                                                  mjini Iringa na Dodoma. Mikutano mingine ya
                                                  namna hii inatarajiwa kuendeshwa katika Kanda
                                                  ya Arusha, Mwanza na Dar es Salaam.

                                             -   Vile vile semina kwa viongozi za kuepuka na
                                                  kupambana na         rushwa kazini, kudumisha
                                                  nidhamu na maadili ya Uongozi kwa watumishi wa
                                                  Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
                                                  zimefanyika. Aidha, Watendaji Wakuu wote wa
                                                  Serikali walifanyiwa warsha Jijini Dar es Salaam
                                                  kuhusu majukumu ya Kamati za Maadili
                                                  zilizoundwa na Ofisi ya Rais ya Kitengo cha




                                             142
                                           Utawala Bora.

                                       -   Katika kampeni ya kuhifadhi mazingira Mahakama
                                            ya Biashara imeunda kamati ya kushughulikia
                                            utunzaji wa mazingira na masuala ya mazingira
                                            yanazingatiwa kwenye mpango wa Wizara.

Kuziimarisha Kamati za Kusukuma        Kamati za kusukuma kesi za ngazi zote (Kitaifa,
kesi (Case Flow Management             Kikanda, Kimkoa, na Kiwilaya) zimeimarishwa kwa
Committee).                            kupatiwa fedha na vitendea kazi kwa kuziwezesha
                                       kukutana mara moja kwa kila robo mwaka.

Kuongeza mzunguko wa Ukaguzi wa        Mkakati wa ukaguzi wa ofisi za Kanda za Ofisi ya
Ofisi za Kanda za Ofisi ya             Mwanasheria Mkuu wa Serikali mara mbili kwa mwaka
Mwanasheria Mkuu wa Serikali.          umetekelezwa na ushauri kutolewa ipasavyo. Mpango
                                       na Bajeti ya Wizara         ya 2006/07 imeendelea
                                       kusimamiwa katika utekelezaji wake na taarifa za robo
                                       mwaka za utekelezaji kuandaliwa na kuwasilishwa
                                       Hazina. Ushauri kuhusu masuala ya Sera, Mipango na
                                       Bajeti na uboreshaji wa Sekta ya Sheria na Utekelezaji
                                       wa MKUKUTA umetolewa ipasavyo.

                                       Kanda 3 zimetembelewa (follow up & supervision) kwa
                                       ofisi za Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mahakama
                                       za ngazi zote ili kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa
                                       Mipango na bajeti, kuona hali halisi ya Ofisi na Majengo
                                       ya Mahakama, kuongea na watumishi wote juu ya
                                       matatizo na mafanikio yao na kushauri ipasavyo.
                                       Kanda zilizotembelewa ni Tabora, Tanga na Dar es
                                       Salaam. Taarifa imeandaliwa na kuwasilishwa kwa
                                       uongozi wa Wizara. Kanda nyingine zitatembelewa
                                       pindi za bajeti ya shughuli hiyo zikitolewa.

                                       Taratibu zinaendelea kukamilishwa. Maandalizi ya
   Kukamilisha taratibu za Mawakili
                                       kuwaajiri Mawakili 104, kununua magari 6 na kununua
     wa Serikali kuendesha kesi za
                                       majengo ya ofisi 6 kwa mikoa ya Dar es Salaam,
     jinai hadi ngazi ya Mahakama za
                                       Arusha, Shinyanga-Bariadi, Mwanza, Tanga, Ruvuma-
     Wilaya.
                                       Songea na kununua vitendea kazi zinafanyika. Tayari
                                       gari moja limenunuliwa. Juhudi zinafanyika kupata
                                       fedha za kutekeleza majukumu haya chini ya Mkakati
                                       wa Programu ya Kuboresha Sekta ya Sheria na kupitia
                                       bajeti ya Serikali.

                                       Wizara iliunda Kamati ya Wataalamu ambayo ilipitia
   Kuendeleza      Mpango       wa




                                       143
mabadiliko katika Sheria ya        vifungu vyote muhimu na kutoa mapendekezo ya jinsi
Mwenendo wa Mashauri ya Madai      ya kuviboresha. Aidha mapendekezo hayo sasa
na Sheria ya Mwenendo wa           yanatafsiriwa katika vifungu vya sheria ili kuwezesha
Mashauri ya Jinai ili kuimarisha   kutungwa kwa sheria ya marekebisho ya vifungu hivyo.
dhana ya upatikanaji wa haki kwa   Mapendekezo ya Marekebisho ya kutungwa sheria ya
wakati chini ya Mradi wa BEST.     Marekebisho ya mwenendo wa jinai eneo "Anti-Money
                                   Laundering" yaliwasilishwa katika Bunge la Februari,
                                   2007.




                                   144
                   WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI

NA                    AHADI                                            UTEKELEZAJI

1.   Kukusanya Maduhuli ya Serikali ya             Hadi Juni 2007 jumla ya TSh. 8,632,957,800 zilikuwa
     jumla      ya    sh.    10,747,833,000        zimekusanywa sawa na asilimia 80 ya lengo.
     yanayotokana na kodi ya pango la
     ardhi na vyanzo vingine katika Jiji la
     Dar es Salaam na vituo vya mikoani.
2.   Kutoa miliki za ardhi yenye ukubwa wa         Mashamba 6 ya ardhi yenye ukubwa wa hekta 18,233
     kuanzia hekta tano na kuendelea,              kwa ajili ya uwekezaji yametengwa na kupimwa na
     ukanda wa Pwani (Fukwe, Visiwa                hatimaye kuingizwa kwenye Hazina ya Ardhi (Land
     vidogo) ardhi ya uwekezaji, viwanja           Bank). Maeneo hayo yaliyoko katika Mikoa ya
     kwa ajili ya Balozi na maeneo mengine         Morogoro na Pwani yamekabidhiwa kwa Kituo cha
     ambayo matumizi yake ni ya manufaa            Uwekezaji       Tanzania (TIC) ili yamilikishwe kwa
     kwa Taifa.                                    wawekezaji.
3.   Kutayarisha na kusaini hati miliki 6,000      Hadi kufikia Mei, 2007 hati 9,096 ziliandaliwa, kati ya
     za ardhi na nyaraka mbalimbali za             hizo hati 6,599 zilitoka Halmashauri na 2,497
     kisheria.                                     ziliandaliwa Wizarani. Aidha, Nyaraka mbalimbali
                                                   zipatazo 21,921 zilisajiliwa. Hii ni asilimia 182.6 ya
                                                   lengo la kusajili nyaraka za kisheria 12,000.
4.   Kufuta miliki za viwanja ambavyo              Zoezi la kufuta miliki za viwanja liliendelea nchini kote
     havijaendelezwa kwa mujibu wa sheria          ambapo hadi kufikia Mwezi Juni, 2007 ufutaji wa miliki
     katika maeneo mbalimbali nchini.              637 za Viwanja na Mashamba kutoka mikoa mbalimbali
                                                   nchini ulikuwa umependekezwa.
     Kutoa elimu kwa umma kuhusu                   Katika kipindi cha Julai, 2006 hadi Juni, 2007 Wizara
     matakwa ya Sera na Sheria za Ardhi            imetoa elimu kwa umma kuhusu Sera, Sheria na
     nchini.                                       matumizi bora ya Ardhi kwa njia mbalimbali katika
                                                   Wilaya 23 na Vijiji 172. Elimu pia ilitolewa kwa njia ya
                                                   redio, televisheni na Magazeti. Aidha, nakala 2,092 za
                                                   vitabu vya Sheria ya Ardhi ya Vijiji, Kanuni ya Sheria ya
                                                   Ardhi na Mwongozo nakala 5,270 zilisambazwa.
5.   Kuratibu ujenzi wa masjala 10 za ardhi        Masjala za Ardhi za Wilaya 7 na Vijiji 14 ziko katika
     katika ngazi za Wilaya na 80 katika           hatua mbalimbali za ujenzi. Vyeti vya ardhi ya Vijiji 211
     ngazi ya vijiji na kusajili vyeti vya ardhi   Hati za Hakimiliki za Kimila 3,940 zimetolewa kwa
     ya vijiji na hatimiliki za kimila katika      wanavijiji. Hii inafanya idadi kamili ya Vyeti ambavyo
     maeneo hayo.                                  vimetolewa kuwa 402 na Hati za Hakimiliki za Kimila
                                                   kuwa 5,202.
6.   (a)Kujenga hazina ya kumbukumbu za            Mpaka sasa kumbukumbu za uthamini 821,973
           Uthamini (Valuation Data Bank)          zimeingizwa kwenye Kompyuta. Vile vile, uingizaji wa
           itakayowezesha Uthamini wa              takwimu       kwa      mkono       bado      unaendelea.
           mali kufanyika kulingana na             Kinachosubiriwa ni mfumo wa Interface ili kuwezesha
           viwango vya bei ya soko.                matumizi ya kumbukumbu hizi.
     (b)Kuthamini nyumba na mali
        mbalimbali na kuhakiki taarifa za          Taarifa 5,519 za uthamini za Wizara na za wathamini




                                                   145
        uthamini kutoka kwa Makampuni          wa nje ya Wizara zimefanyika na kuiingizia Serikali
        binafsi, Halmashauri za miji na        Jumla ya Shilingi 232,579,237 sawa na asilimia 155.02
        Wilaya kama zitakavyopokelewa.         ya lengo.
7.   (a) Kujenga mtandao wa mawasiliano        Uanzishwaji wa mtandao unaounganisha Kanda za
         ya mbali (Wide Area Network) na       Msajili wa Hati za Dodoma, Mwanza, Mbeya, Moshi na
         mfumo wa habari na kumbukumbu         Makao Makuu ya Wizara ya Ardhi umekamilika. Aidha,
         za ardhi za Wizara (MOLIS) na         mtandao katika Manispaa za Ilala, Kinondoni na
         kuboresha tovuti ya Wizara            Temeke umekamilika kwa asilimia 100.
         (www.ardhi.go.tz).

     (b) Kujenga, mfumo wa kisasa wa           Ujenzi umekamilika kwa asilimia 90 ambapo “Movable
         Masjala ya ardhi (Computerized        shelves” zimekwishafungwa na zinafanya kazi. Hivi
         Movable Shelves).                     sasa Wizara inaingiza kumbukumbu zote zinazohusu
                                               majalada ya ardhi kwenye kompyuta ili kurahisha
                                               upatikanaji wake.

     (c) Kuziwezesha ofisi za Halmashauri      Serikali imeziwezesha Halmashauri za Miji ya Mwanza,
         za miji na wilaya kuongeza            Moshi, Arusha, Morogoro na Mbeya kutumia kompyuta
         matumizi ya teknolojia ya habari na   katika ukadiriaji wa kodi ya pango la Ardhi kwa
         mawasiliano.                          kuwapatia mafunzo, kompyuta na vifaa vya ofisi kama
                                               stationery. Kazi ya kuziunganisha katika mtandao
                                               Manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke ili kurahisisha
                                               mawasiliano kati ya Wizara na Manispaa hizo
                                               imekamilika kwa asilimia 95.
8.   Kuboresha kumbukumbu za ardhi             Zoezi la kuimarisha kumbukumbu za walipa kodi kwa
     zikiwemo     orodha    za  viwanja        kuhakiki wamiliki wa ardhi linaendelea.
     vilivyopimwa, wamiliki na matumizi        Halmashauri zipatazo 81 zimekwishaleta taarifa za
     yake.                                     kumbukumbu za viwanja vilivyopimwa, wamiliki na
                                               matumizi ya viwanja hivyo. Kati ya hivyo, kumbukumbu
                                               za Halmashauri 77 zimekwishaingizwa katika
                                               kompyuta.
9.   (a) Kuunda Mabaraza 7 ya Ardhi na         Mabaraza ya Ardhi na Nyumba yameundwa katika
         Nyumba katika wilaya zenye            Wilaya 10 zenye migogoro mingi ya ardhi. Wilaya hizo
         migogoro mingi ya ardhi na            ni Same, Simanjiro, Karatu, Tarime, Geita, Chato,
         nyumba ili kuwapunguzia wananchi      Kilomero, Njombe, Rungwe na Mbinga.
         gharama za kusafiri umbali mrefu
         hadi Makao Makuu ya Mikoa.

     (b) Kuyapatia vitendea kazi Mabaraza      Vifaa vya Ofisi vimetolewa kwa mabaraza yote 23.
          23 ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya
          yanayoendelea      kushughulikia
          mashauri yaliyopokelewa na
          kufungua mashauri mapya.




                                               146
10.    Kukamilisha kazi ya kupiga picha za       Zoezi halijakamilika kutokana na mawingu kuendelea
      anga       na     kutayarisha    digital   kutanda katika Jiji la Dar es Salaam na Kanda nzima ya
      orthophotos kwa eneo lililobakia katika    Mashariki.
      Jiji la Dar es Salaam na kufanya kazi
      kama hiyo katika Jiji la Mbeya na
      Manispaa ya Morogoro kwa ajili ya
      kuendeleza mradi wa kupima viwanja
      na kudhibiti ujenzi holela.

      Kupiga picha za anga katika Kanda ya       Hali ya hewa haijaruhusu upigaji picha msimu wa
      Mashariki inayojumuisha miji 128           kiangazi kutokana na mawingu kuendelea kutanda
      iliyopo katika Mikoa ya Pwani, Tanga,      katika kanda ya Mashariki. Kazi hii inatarajiwa
      Kilimanjaro, Manyara, Arusha, Singida,     kufanyika katika Mwaka ujao wa fedha.
      Dodoma na Morogoro.
11.   Kuendelea kuwasiliana na Shirika la        Mkutano wa wadau ulifanyika ukihudhuriwa na ujumbe
      Kimataifa linalohusika na Upimaji wa       wa United Kingdom Hydrographic Organisation (UKHO)
      ardhi ndani ya Maji (International         kwa niaba ya IHO. Shirika hili ni msimamizi wa masuala
      Hydrographic Organization – IHO) ili       ya Upimaji majini kwa Bara la Afrika. Aidha, Wizara
      kupata fedha kwa ajili ya kununua vifaa    imehudhuria mkutano wa 17 wa UNCLOS (United
      vya msingi vya upimaji wa ardhi ndani      Nations Convention on the Laws of the Seas)
      ya maji (hydrographic surveying) na        uliofanyika tarehe 18 - 24 Juni, 2007 huko New York,
      wataalam ili kupima na kutayarisha         Marekani.
      ramani za maeneo ya ardhini chini ya
      Bahari ya Hindi na Maziwa Makuu.
12.   (a) Kuongeza kasi ya kushughulikia         Ukaguzi umeimarishwa kwa kuweka hatua ya kuchuja
            kazi za upimaji zinazopokelewa       kazi mara tu inapoingia Wizarani na zile zisizokidhi
            kutoka kwenye Halmashauri za         vigezo vilivyowekwa hurudishwa kwenye Halmashauri
            miji, wilaya, na makampuni ya        zilikotoka.   Aidha,   matumizi    ya    kompyuta
            wapima banafsi.                      yameongezeka katika kukagua kazi hizo na hivyo
                                                 kuongeza ufanisi.

      (b) Kuratibu na kusimamia upimaji wa       Hadi kufikia Julai, 2006 Halmashauri 14 zilikamilisha
           viwanja katika Halmashauri za miji    marejesho yao yenye Jumla ya Shilingi
           na wilaya zilizopatiwa fedha za       157,207,161.15. Halmashauri 18 bado hazijakamilisha
           mkopo kwa ajili ya upimaji wa         marejesho yao yenye jumla ya Shilingi 212,605,195.50.
           viwanja mijini (Plot Development      Hadi kufikia Juni, 2007 Halmashauri 32 zilikuwa
           Revolving Fund) na kukusanya          zimepatiwa mikopo inayofikia Shilingi 576,333,351.
           marejesho.

      (c)    Kuziwezesha Halmashauri za Jiji     Jiji la Mwanza limewezeshwa kupima viwanja 9,800
            na Manispaa zenye mahitaji           kwa miaka mitatu iliyopita. Manispaa ya Morogoro
            makubwa ya viwanja kama Dar es       2,764 kati ya 4,000 vilivyotarajiwa kupimwa, Jiji la
            Salaam, Mbeya, Mwanza na             Mbeya limepima viwanja 2,350 kati ya 5,000
            Morogoro kupima viwanja kwa          vilivyotarajiwa na Jiji la Dar es Salaam viwanja 5,800
            utaratibu wa wananchi kuchangia      katika eneo la Kibada. Aidha, maandalizi ya kupima




                                                 147
           gharama.                             viwanja zaidi yanaendelea.     Maombi ya mikopo
                                                yamepokelewa kutoka Halmashauri za Mji wa Kibaha,
                                                Arusha na Moshi na yanachambuliwa ili kupitishwa.

      (d) Kusimamia upimaji wa vijiji 3,000     Upimaji wa Vijiji ulianza mwishoni mwa Mwezi Oktoba,
           katika mikoa yote ya Tanzania        2006 kwa Mikoa ya Pwani, Lindi, Iringa, Mbeya, Rukwa,
           Bara.                                Kigoma, Kagera, Shinyanga na Tanga. Hadi katikati ya
                                                Mwezi Juni, 2007 upimaji wa vijiji 2,800 umekamilika
                                                sawa na asilimia 90.
13.   Kutayarisha Sera na Sheria za upimaji     Mtaalam Mwelekezi tayari amependekezwa na Wizara
      wa ardhi ili upimaji wa ardhi na ndani    inasubiri majibu kutoka Benki ya Dunia.
      ya maji uendane na mabadiliko ya
      teknolojia Duniani na Sera ya Taifa ya
      Ardhi ya Mwaka 1995.
14.   (a) Kufanya mashauriano kati ya           Mazungumzo yalifanyika kati ya Tanzania na Serikali
          Tanzania na nchi za Comoro na         ya Msumbiji ambayo yaliwezesha kuandikwa barua ya
          Msumbiji yatakayohusu kuweka          pamoja kuwaita Comoros kwa ajili ya alama ya utatu
          mpaka ndani ya Bahari ya Hindi.       Baharini. Aidha, ukaguzi wa mpaka kati ya Tanzania na
                                                Msumbiji ulifanyika katika eneo la kutoka Mto Ruvuma
                                                hadi Ziwa Nyasa. Matokeo ya ukaguzi huo ni kwamba
                                                alama zipo lakini zinahitaji ukarabati. Pia, kuna haja ya
                                                kuongeza alama hizi ili zionekane kwa urahisi kwa
                                                wananchi wanaoishi mpakani.
      (b) Kuendelea na majadiliano ya            Mazungumzo yamefanyika kati ya Serikali za Burundi,
          kuhuisha na kutekeleza uimarishaji    Uganda, Kenya na Tanzania kuhusu uimarishaji wa
          wa mipaka kati ya Tanzania na         mipaka yetu. Kuhusu mpaka kati ya Tanzania na
          nchi za Malawi, Zambia, Burundi,      Malawi, mkutano wa pamoja ulishauri Serikali hizi mbili
          Rwanda, Uganda na Kenya.              kutenga fedha za kuanzia miradi iliyobainishwa katika
                                                upembuzi yakinifu uliofanyika katika bonde la mto
                                                Songwe.
15.    Kutafsiri mipaka ya ndani ya nchi        Wakuu wa Wilaya zote Tanzania Bara wamepewa
       hususan mipaka kati ya Wilaya na         nakala za “Government Notice” (GN) za mipaka ya
       Wilaya hasa kwenye maeneo yenye          Wilaya zao.
       migogoro.       Pia,         kusambaza
       “Government Notice” (GN) za mipaka
       ya Wilaya zote nchini ili kila Mkuu wa
       Wilaya awe na Nyaraka hizo.
16.   (a)Wizara kwa kushirikiana na             Wataalam tayari wako mjini Mwanza kwa maandalizi ya
           Halmashauri za miji na wilaya na     “Master Plan” ya mji huo. Maandalizi kwa mpango wa
           kwa kuzingatia dhana shirikishi      namna hiyo yameanza kwa mji wa Mtwara na
           zitaandaa mipango kabambe            yanatarajiwa kukamilika mwaka ujao wa fedha
           (Master plans), ikiwemo ya Jiji la   2007/2008. Kwa miji ya Dar es Salaam na Bukoba
           DSM, Mwanza, na miji ya Mtwara       utekelezaji unatarajiwa kufanyika katika mwaka wa
           na Bukoba.                           fedha 2007/2008.




                                                148
      (b) Kuandaa mipango ya matumizi ya        Miji ya Bunda, Chato, Dakawa (Mvomero) na Kibaigwa
         ardhi (Interim Urban Land Use          imeandaa Mipango ya Matumizi ya Ardhi. Aidha, kazi
         Plans), katika miji mbalimbali hasa    itaendelea kufanyika katika Mwaka wa fedha
         kwa vijiji vilivyotangazwa kuwa miji   2007/2008. Miji ya Mbarali, Kyela, Kasulu na Kibondo
         midogo.                                haijafanyiwa kazi kwa sababu ya uhaba wa wataalamu
                                                na fedha zilizochangiwa katika punguzo la Bajeti la
                                                Shilingi milioni 700 lililofanyika Mwaka 2006/2007.
17.   (a) Kuandaa mipango ya kuendeleza         Mipango hiyo imefanyika kwa eneo la Upanga. Aidha,
          upya maeneo kongwe yaliyoko           Maandalizi       ya      mipango     ya    namna    hiyo
          Jijini Dar es Salaam ambayo ni        yamekwishaanza kwa maeneo ya Magomeni, Dar es
          Upanga, Magomeni na Temeke.           Salaam.
          Maeneo                  mengine
          yatakayoandaliwa mpango huo ni
          pamoja na eneo la katikati ya mji
          wa Lindi.

      (b) Kuandaa na kutekeleza mpango wa       Hadi kufikia Novemba, 2006 wananchi 50 kati ya 188
          kuendeleza upya eneo la Kurasini      waliopangwa kulipwa katika mwaka 2006/07
          lililoko Jijini Dar es Salaam.        wamelipwa fidia na wengine wataendelea kulipwa kadri
                                                fedha zitakavyopatikana. Uthamini wa mali unaendelea.
18.   Kuandaa Miswada ya Sheria kwa ajili       Miswada yote imewasilishwa Bungeni na imepitishwa
      ya kuhuisha au kutunga Sheria mpya        na Bunge Mwezi Aprili, 2007. Uandaaji wa Kanuni
      zinazohusu: - Sheria ya mipango miji      unaendelea.
      na vijiji sura Na. 378 ya mwaka 1956;
      Sheria ya Mipango ya Matumizi ya
      Ardhi Na. 3 ya mwaka 1984; na Sheria
      ya Kusimamia taaluma ya mipangomiji.
19.   Kuandaa michoro mbalimbali ya             Wizara imeandaa aina 20 tofauti ya michoro ya nyumba
      mifano ya nyumba yenye lengo la           za mfano na kukamilisha uidhinishaji wake kwa
      kupunguza gharama za ujenzi.              Manispaa zote za Jiji la Dar es Salaam. Michoro hiyo
      Michoro hiyo itaandaliwa katika miji ya   pamoja na vifaa mbalimbali tayari vimekabidhiwa kwa
      Arusha, Moshi, Bukoba, Iringa, Mtwara     Manispaa hizo. Vifaa vilivyonunuliwa ni Kompyuta 1 na
      na Musoma.                                „Printer‟ kubwa kwa kila Halmashauri. Kila Halmashauri
                                                inatakiwa kuajiri mtaalam wa kuzalisha ramani hizo
                                                pamoja na chumba maalum katika ofisi zake.
20.   Kusimamia mfuko wa kutoa mikopo           Usimamizi wa mfuko umekuwa mzuri katika kipindi
      kwa ajili ya ujenzi na ununuzi wa         husika na watumishi 677 waliidhinishiwa mikopo yenye
      nyumba kwa watumishi wa Serikali          thamani ya Shilingi 1,730,677,979.00. Hadi Mwezi Mei,
      (Revolving Housing Loan Fund) ili         2007 marejesho yalifikia Shilingi 663,674,255.00.
      uweze kuwafikia watumishi walio
      wengi.
21.   Kusimamia utekelezaji wa awamu ya         Ukusanyaji wa taarifa juu ya maeneo yanayoweza
      pili ya mradi wa kutambua maeneo          kutumika katika uwekaji wa huduma muhimu za makazi
      yaliyojengwa kiholela hasa pembezoni      unafanyika katika maeneo ya Kimara, Mbezi, Kibamba
      mwa Jiji la Dar es Salaam. Pia,           na Kiluvya ambayo yako pembezoni mwa jiji la Dar es




                                                149
      utambuzi wa maeneo yaliyojengwa            Salaam.     Usajili wa mali umeanza katika eneo la
      kiholela utafanyika katika miji mingine    Kimara.
      nchini, ikiwa ni pamoja na Jiji la
      Mwanza na Manispaa ya Dodoma.
23.   (a) Kuandaa na kusimamia mipango           Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi Bora ya ardhi
            shirikishi ya matumizi bora ya       imeandaa na kukamilisha mipango shirikishi ya
            ardhi ngazi ya wilaya na vijiji      matumizi bora ya ardhi, ikiwemo maeneo wanayohamia
            mbalimbali nchini hasa kwenye        wafugaji kama ifuatavyo:- Chunya vijiji 15, Kisarawe
            maeneo        wanayotoka       na    vijiji 8, Rufiji vijiji 14, Kilwa vijiji 10, Lindi vijiji 10,
            watakayohamishiwa         wafugaji   Nachingwea vijiji 10, Mkuranga vijiji 5. Aidha, Tume
            nchini.                              kwa kushirikiana na Halmashauri za wilaya husika
                                                 imeandaa Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi ya
                                                 wilaya 13 ambazo ni Iringa vijijini, Kilolo, Kisarawe,
                                                 Lindi vijijini, Nachingwea, Chunya, Njombe, Makete,
                                                 Kilosa, Rufiji, Mafia, Kilwa na Mbarali.

      (b) Kuandaa Mpango wa Taifa wa             Tume ilikiteua Chuo Kikuu Kishiriki cha Ardhi na
            Matumizi ya Ardhi.                   Usanifu wa Majengo (UCLAS) kuwa Mkandarasi wa
                                                 kuandaa Mpango wa Taifa wa Matumizi Bora ya Ardhi
                                                 mnamo Januari, 2007.            Mnamo Februari, 2007
                                                 mkandarasi aliwasilisha taarifa ya awali (Inception
                                                 Report). Baada ya kuafiki taarifa hii mkandarasi alipitia
                                                 (review) taarifa za hali halisi kisekta (Sectoral Existing
                                                 Situation) na kuandaa rasimu ya kwanza inayoonyesha
                                                 hali halisi ya matumizi ya ardhi nchini na ramani zake
                                                 na kubainisha mtiririko na masuala yanayojitokeza.
                                                 Rasimu iliwasilishwa katika mkutano wa wadau tarehe
                                                 12 Juni, 2007. Hivi sasa kila sekta inapitia kwa makini
                                                 taarifa hii hususan sekta husika na kutoa maoni na
                                                 marekebisho na kuyawasilisha kwa mkandarasi. Maoni
                                                 haya, pamoja na maoni yaliyotolewa kwenye mkutano
                                                 yatazingatiwa na kujumuishwa na mkandarasi ili
                                                 kukamilisha Mpango wa Taifa wa Matumizi Bora ya
                                                 Ardhi.

      (c)Kutekeleza Mkakati wa Kuhifadhi         Vyanzo vya maji vya mto Ruaha Mkuu, Ruaha Mdogo
         mazingira ya ardhi na vyanzo vya        na Lukosi maji katika wilaya mbalimbali vimebainishwa
         maji wenye lengo la kudhibiti           na kuwekewa mikakati ya uhifadhi. Wavamizi wa
         uharibifu     wa        mazingira       vyanzo vya maji katika kijiji cha Kikondo wilayani
         unaotokana na ufugaji kwenye            Makete, wamehamishiwa vijiji vya Kinyika, Ipelele na
         vyanzo vya maji, kilimo kwenye          Mapanda. Vilevile wafugaji na wakulima katika vyanzo
         miteremko ya milima; mabonde na         vya maji wamehamishwa wilayani Mbarali na Mbeya
         vyanzo vya maji.      Kutafiti na       vijijini na kupatiwa ardhi mbadala wilayani Chunya,
         kubaini     maeneo       mbadala        Kisarawe, Rufiji, Kilwa, Lindi vijijini na Nachingwea.
         yanayofaa kuwahamishia wakulima         Katika maeneo haya mipango shirikishi ya matumizi




                                                 150
          na wafugaji.                             bora ya ardhi imeandaliwa kwa wilaya za Mbarali vijiji 9,
                                                   Mbeya vijijini vijiji 5, Makete vijiji 4, Chamwino vijiji 5,
      (d)Kufanya utafiti na kuandaa mipango        Iringa vijijini vijiji 7, Kilolo vijiji 3, Mufindi vijiji 5, Njombe
          ya matumizi bora ya ardhi katika         vijiji 5 na Manyoni vijiji 5.
          maeneo ya Manyoni, Dodoma
          Vijijini, Singida, Shinyanga Vijijini,   Mipango Shirikishi ya Matumizi Bora ya Ardhi ya vijiji
          Ilemela, Musoma nk. ambayo kwa           imeandaliwa na kuanza kutekelezwa kama ifuatavyo;
          asili ni ya ufugaji, lakini wafugaji     Kilombero vijiji 5, Kilosa vijiji 5, Ulanga vijiji 5, Mvomero
          wanahama na kuingia kwenye               vijiji 5, Liwale vijiji 9 na Morogoro vijijini vijiji 5.
          vyanzo vya maji.
24.   (a)Kuendesha semina za kuhamasisha           Wananchi wameendelea kuhamasishwa kuhusu ujenzi
         wananchi juu ya ujenzi wa nyumba          wa Nyumba Bora za gharama nafuu katika Wilaya ya
         bora na za gharama nafuu katika           Namtumbo, Kijiji cha Msindo wamehamasishwa na
         maeneo mbalimbali nchini na kutoa         kuanzisha kikundi cha ujenzi (Grassroot Building
         mafunzo ya vitendo na kuonyesha           Brigade – GBB). Pia, wamepatiwa mafunzo ya vitendo
         katika halmashauri za miji na wilaya      ya ujenzi wa kutumia matofali yanayofungamana na
         zinazohamasishwa.                         wameanza kujenga nyumba za waalimu kwa kutumia
                                                   ujuzi walioupata. Aidha, vikundi vya utengenezaji wa
                                                   matofali yanayofungamana vimeanzishwa katika
                                                   Manispaa ya Iringa eneo la Ipogoro kwenye mradi wa
                                                   National Housing Corporation (NHC) utakaotumia
                                                   matofali ya udongo saruji yanayofungamana.

                                                   Aidha, Semina za uhamasishaji ziliendeshwa katika
                                                   mikoa kama ifuatavyo; Morogoro (Morogoro Vijijini),
                                                   Tabora (vijiji vya Ilolangulu, Mbola, Ngokolo, Isila na
                                                   Mpenge - Tabora Vijijini), Pwani (Kisarawe -vijiji vya
                                                   Gwata na Mitengwe),Dar es Salaam, (Kinondoni katika
                                                   eneo la Mivumoni ambako imejengwa nyumba ya
                                                   mfano), Arusha (watendaji wa wilaya ya Karatu na kwa
                                                   Katibu Tawala wa Mkoa), Manyara (watendaji wa
                                                   Wilaya ya Simanjiro) Dodoma (Wakuu wote wa Wilaya
                                                   na kwa Katibu Tawala wa Mkoa) na Mara (Wilayani
                                                   Bunda).

      (b)Kuendesha       uhamasishaji    na        Magazeti na Vipindi vya redio na Televisheni vilitumika
          usambazaji wa teknolojia za ujenzi       katika uhamasishaji. Wizara ilishiriki katika maonyesho
          wa nyumba bora na za gharama             ya kitaifa ya Saba Saba na pia imeshiriki katika
          nafuu kwa njia za Redio, Magazeti,       maonyesho ya kitaalam yanayoandaliwa na Baraza la
          na televisheni, pamoja na kushiriki      Taifa la Ujenzi (National Construction Council) na yale
          katika Maonyesho ya Kitaifa na           yanayoandaliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi
          Kimataifa.                               (Contractors‟ Registration Board), Maonyesho kwa
                                                   Waheshimiwa Wabunge waliotembelea Wilaya ya
                                                   Kisarawe katika kufuatilia matumizi Bora ya Ardhi.
                                                   Aidha, Wizara ilishiriki kufanya maonyesho kwenye




                                                   151
                                                Mkutano wa Kimataifa wa HAKIMILIKI (Intellectual
                                                Property Day) yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi
                                                Mmoja Mkoani Dar es Salaam.
25.   (a) Kuongeza kasi ya kukusanya kodi       Shirika lilipanga kukusanya kodi ya Tsh.
          za pango la nyumba kutoka             19,073,808.000.00 kwa mwaka wa fedha 2006/2007.
          kwenye nyumba zinazosimamiwa          Hadi Mei, 2007 Shirika limekusanya Tsh.
          na Shirika la Nyumba la Taifa.        17,527,037,406.65 sawa na asilimia 92 ya lengo.

           Kurekebisha viwango vya kodi        Shirika limefanya marekebisho ya viwango vya kodi za
           za nyumba za Shirika la Taifa la     nyumba zake kuanzia mwezi Februari 2007 ili liweze
           Nyumba      ili    kuliwezesha       kuongeza uwezo wake wa kufanya matengenezo,
           kutekeleza majukumu yake kwa         kujenga nyumba mpya, na kujiendesha kibiashara. Kodi
           ufanisi.                             hiyo mpya itaongeza mapato kutoka TSh.
                                                15,000,000,000 hadi 22,000,000,000 kwa Mwaka.

      (b) Kukamilisha zoezi la kuuza nyumba     Hadi kufikia Mei 2007, jumla ya nyumba ndogo ndogo
           ndogondogo za Shirika zilizosalia,   4,838 kati ya nyumba 4,988 zilizokusudiwa kuuzwa
           na    kuzifanyia     matengenezo     zimelipiwa kikamilifu na kulipatia Shirika Sh.
           nyumba zilizoko katika maeneo        7,383,936,065.00.       Jumla ya nyumba 1,865
           mbalimbali nchini.                   zilitengenezwa pamoja na majengo 406 kwa gharama
                                                ya Tsh. 4,853,209,870.00
26.    Kujenga nyumba 239 kwa ajili ya         Ujenzi wa nyumba 23 eneo la Boko katika awamu ya III
        kuuza na kupangisha katika Jiji la      unaendelea na hadi sasa umefikia asilimia 99.
        Dar es Salaam (Boko, Mbweni             Makadirio ya gharama ya ujenzi ni Tsh.
        JKT, Mbezi Beach, Msasani na            1,054,343,130.00. Matumizi hadi Mei 2007 ni Tsh.
        Mwongozo)        na     Dodoma          1,019,198,875.00. Mradi unatarajiwa kukamilika ifikapo
        (Mpwapwa Flats).                        mwishoni mwa Mwezi Juni, 2007.           Awamu hii
                                                ikikamilika mradi mzima utakuwa na nyumba 213.

       Mradi wa ujenzi wa nyumba Boko,         Ujenzi wa nyumba 15 kati ya nyumba 63 ulioanza
        Dar es Salaam.                          Januari, 2006 unaendelea. Nyumba 10 kati ya 15
                                                ujenzi umefikia asilimia 100, nyumba 1 aina ya
       Mradi wa ujenzi wa Nyumba               maisonettes imefikia asilimia 70, na nyumba 4 ujenzi
        Mbweni JKT, Dar es Salaam.              umefikia asilimia 70.         Hadi Mei, 2007 Sh.
                                                881,555,574.00 zilitumika.
       Mradi wa ujenzi wa nyumba Mbezi         Ujenzi wa nyumba 3 eneo la Mbezi Beach unaendelea.
        Beach – Dar es Salaam.                  Kati ya nyumba hizi, nyumba 1 inajengwa kwa mtindo
                                                wa Complete type na nyumba mbili ni shell type.
                                                Gharama ya ujenzi ni Sh. 317,928,526.00. Ujenzi wa
                                                nyumba 1 umekamilika na kwa sasa ujenzi wa nyumba
                                                ya mtumishi (servant quarter) na kazi zingine za nje
                                                kwa nyumba kubwa unaendelea. Ujenzi wa nyumba
                                                zingine umefikia asilimia 80.            Fedha Sh.
                                                244,096,880.00 zimetumika.        Nyumba hizi tatu
                                                zikikamilika mradi utakuwa na nyumba 47.




                                                152
       Mradi wa ujenzi wa Nyumba za               Ujenzi wa majengo mawili (2) ya ghorofa mjini Dodoma
        kupangisha Dodoma (Mpwapwa                 unaendelea. Kila ghorofa litakuwa na nyumba 12 za
        Block of Flats ).                          kuishi. Makadirio ya gharama ya ujenzi ni Shs.
                                                   1,088,071,746.00. Ujenzi umefikia asilimia 70.

       Mradi wa ujenzi wa maduka Ipogoro,         Mradi huu ni wa ujenzi wa maduka 72 katika eneo la
        Iringa.                                    Ipogoro katika manispaa ya Iringa. Ujenzi ulianza
                                                   Mwezi Desemba, 2006 kwa makadirio ya Sh.
                                                   334,657,932.00
       Mradi wa ujenzi wa jengo la NHC            Hadi Mei, 2007 Tshs. 101, 972,000.00 zilishatumika.
        House.
                                                   Mradi huu ni wa ujenzi wa jengo la ghorofa 12
                                                   unaotekelezwa kwa mpango wa Turn- Key na Kampuni
                                                   ya SEM (Tanzania) Ltd. Makadirio ya ujenzi ni USD
                                                   28.8 Milioni. Ujenzi umefikia ghorofa 10 kati ya 12.

27.   (a)Kuajiri watumishi 166 wenye               Katika nusu ya kwanza ya 2006/07 Wahasibu 17 na
         taaluma mbalimbali wakiwemo,              wapima 2 waliajiriwa. Katika nusu ya pili wameajiriwa
         Maafisa Ardhi, Wapima na                  Wenyeviti wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba Wa
         Wahasibu.                                 Wilaya 7, Wasajili wasaidizi 6, Afisa Ardhi Msaidizi 1,
                                                   Wathamini 3, Katibu Mahsusi 3, Afisa Habari 1 na
                                                   Wasaidizi wa Kumbukumbu 4. Hii inafanya jumla ya
                                                   Ajira mpya kuwa 44.

      (b)Kukarabati jengo la „Ardhi House‟ na      Ukarabati ghorofa ya 7 na 6 umekamilika. Usanifu wa
          kuanza ujenzi wa jengo la Upimaji        jengo la Upimaji na Ramani umekamilika.
          na Ramani.

      (c)Kutoa mafunzo ya mfumo wa wazi            Mafunzo ya OPRAS yamefanyika kwa wafanyakazi 80
          wa upimaji kazi kwa watumishi            wa ngazi ya kati na chini wa Idara ya Maendeleo ya
          (OPRAS) hasa kwa watumishi wa            Ardhi.
          ngazi ya chini.

      (d)Kumteua Mtaalam Mwelekezi kwa             Mtaalam alipatikana na amekwishatoa taarifa yake na
         ajili ya kutafiti na kuandaa taarifa ya   kuiwasilisha Wizarani. Mafunzo kwa ajili ya waelimisha
         hali ya maambukizi ya UKIMWI              rika yamefanyika kuanzia Januari hadi Juni, 2007.
         Wizarani na mapendekezo ya
         mikakati ya kukabiliana na Janga
         hili. Pia, kuongeza idadi ya
         waelimisha rika kufikia 80 ikiwa ni
         wastani wa watumishi 10 kwa
         muelimisha rika mmoja.
28.   Kusimamia mafunzo kwa wanafunzi 59           Usimamizi wa wanafunzi walioko katika Vyuo vya Ardhi
      yanayotolewa na Chuo cha Ardhi cha           Tabora na Morogoro unafanyika na hadi Mwezi Juni,
      Morogoro (ARIMO) ambayo ni Diploma           2007, vyuo hivi vilikuwa na jumla ya wanafunzi 237 wa




                                                   153
na Cheti katika fani za Upimaji wa     kozi za Cheti na Diploma. Chuo cha Ardhi Morogoro
Ardhi. Pia, kusimamia mafunzo kwa      kina wanafunzi 100 wakati Chuo cha Ardhi Tabora kina
wanafunzi 88 yanayotolewa na Chuo      wanafunzi 137.
cha Ardhi cha Tabora (ARITA) ambayo
ni Diploma na Cheti katika fani za
Urasimu Ramani na mafunzo ya Cheti
katika masomo ya Umiliki wa Ardhi na
Uthamini na Uchapaji Ramani.




                                       154
                                  WIZARA YA MIUNDOMBINU

 NA                   AHADI                                      UTEKELEZAJI
1.    Kuendelea na utekelezaji wa Mradi
      maalum wa ujenzi wa barabara kuu
      zifuatazo kwa kiwango cha lami:-
       Nangurukuru – Mbwemkulu(km.95).       Jumla ya Km 47 za barabara zimejengwa katika
                                              kiwango cha lami. Utekelezaji wa mradi huu kwa ujumla
                                              umefikia asilimia 65. Ujenzi unaendelea.

       Mbwemkulu – Mingoyo (km.95).          Utekelezaji wa mradi huu umefikia asilimia 63. Tabaka
                                              la lami halijaanza kuwekwa kutokana na mkandarasi
                                              kutaka kutumia mawe ya kokoto zenye kiwango
                                              kisichotakiwa. Kazi ya ujenzi huo inaendelea.

       Dodoma – Manyoni (km.127).            Hadi sasa Km 63 za tabaka la lami zimeshajengwa.
                                              Utekelezaji wa mradi huu imefikia asilimia 58. Aidha,
                                              ujenzi unaendelea.

       Manyoni – Singida (km.119).           Tayari Km 22 za barabara zimejengwa kwa kiwango
                                              cha lami. Utekelezaji wa mradi huu kwa ujumla umefikia
                                              asilimia 39. Aidha, ujenzi unaendelea.
2.    Kuendelea na ukarabati wa barabara      Mkandarasi amepatikana na mkataba wake ulisainiwa
      ya Ilunde – Malagarasi.                 tarehe 21/11/2006. Kazi za ujenzi zinaendelea na
                                              zimefikia asilimia 50.
3.    Kuendelea na ukarabati kwa kiwango      Ukarabati unaendelea ambapo kazi zilizo kamilika ni
      cha lami sehemu ya barabara ya          Km 23.6 za tuta, Km 18.1 la tabaka la mwanzo la
      Mkuranga – Kibiti (km.45).              msingi, Km 15.2 tabaka la mwisho la msingi, na Km 12
                                              za tabaka la lami la kwanza limekamilika.
4.    Kuendelea kufanya usanifu na            Mkataba wa usanifu na uandaaji wa nyaraka za zabuni
      kuandaa nyaraka za zabuni za ujenzi     ulisainiwa mwezi Agosti, 2006. Kazi zinaendelea.
      wa barabara ya Kigoma – Uvinza
      (km.223) na Kaliua – Tabora (km.126).
5.    Kuendelea na ujenzi wa barabara ya      Ujenzi kwa kiwango cha lami kwa kipande cha Km 80,
      Nzega – Tinde – Isaka/ Tinde – Ilula    madaraja 6, pamoja na makalvati yote yamekamilika.
      (km.169) kwa kiwango cha lami.          Mradi umekamilika kwa asilimia 96.
6.    Kuendelea na ujenzi wa barabara ya      Kambi ya Mkandarasi na Mhandisi Mshauri
      Kagoma – Lusahunga (km.154) kwa         zimekamilika. Asilimia 80 ya mitanbo ipo eneo la kazi.
      kiwango cha lami.                       Km 30 za barabara zimesafishwa, ujenzi wa tuta la
                                              barabara na mifereji ya mvua unaendelea. Kokoto za
                                              majaribio    zinaendelea     kutengenezwa.     Ujenzi
                                              unaendelea.
7.    Kuendelea na ukarabati wa barabara      Mkataba wa kazi ya ujenzi ulisainiwa tarehe
      Shinyanga Border – Mwanza (km.10).      30/11/2006. Kazi zimeanza tarehe 05/03/2007, hadi
                                              sasa kazi zimekamilika kwa asilimia 35.




                                              155
8.    Kufanya usanifu sehemu ya barabara      Uchambuzi wa zabuni za Wahandisi Washauri
      ya Nzega – Tabora.                      umekamilika mwezi Juni, 2007.
9.    Kuendelea na Ujenzi wa barabara ya      Ujenzi wa barabara ya Usagara- Bwanga unaendelea
      Usagara – Bwanga – Kyamiorwa            ambapo Km 47 zimewekewa tabaka la lami. Kazi
      (km.120). Aidha, kuendelea na kazi ya   imekamilika kwa asilimia 70.2.
      ujenzi sehemu ya Kyamiorwa –            Ujenzi wa sehemu ya Kyamihorwa – Buzirayombo
      Buzirayombo (km.100).                   unaendelea ambapo Km 34 zimewekewa tabaka la
                                              lami. Kazi imekamilika kwa asilimia 40.
10.   Kuendelea na Ujenzi wa barabara ya      Tuta la barabara Km 90, tabaka la msingi la kati Km 33,
      Singida – Shelui (km.110) kwa           na tabaka la msingi la juu Km 45 zimekamilika.
      kiwango cha lami.                       Makalvati 117 yamekamilika. Asilimia 45 ya madaraja
                                              yamekamilika. Tabaka la lami limekamilika kwa Km 5.8,
                                              aidha ujenzi unaendelea.
11.   Kufanya upembuzi yakinifu wa            Mkataba wa ushauri ulisainiwa tarehe 02/02/2007.
      barabara ya Sumbawanga – Matai –        Mwezi Aprili, 2007 amewasilisha ripoti ya awali na
      Kasanga – port/Matai – Kasesya.         anaendelea na awamu ya kazi inayofuata.
12.   Kuendelea na upembuzi yakinifu wa       Mchakato wa kuwapata Wahandisi Washauri wa
      barabara ya Sumbawanga – Mpanda –       kufanya kazi za upembuzi yakinifu umekamilika. Kazi
      Kanyani – Kigoma – Nyakanazi            itaanza Julai, 2007.
      (km.865).
13.   Kuendelea na Ukarabati wa barabara      Mkataba wa usanifu ulisainiwa Februari, 2007. Aidha,
      ya Mwandiga – Manyovu (km.43).          kazi ya ujenzi imekamilika kwa asilimia 15.
14.   Kuendelea na ukarabati wa barabara      Ujenzi wa barabara ulikamilika Desemba, 2006. Kazi za
      ya Morogoro – Dodoma(km.256).           kurekebisha sehemu na alama za barabara
                                              zilizoharibiwa na mvua unaendelea.
15.   Kukamilisha upembuzi yakinifu na        Uchambuzi wa Zabuni za Wahandisi Washauri
      usanifu wa barabara ya Dodoma –         zilifunguliwa na unategemewa kukamilika mwezi Juni,
      Mtera – Iringa (km.267).                2007.
16.   Kukamilisha usanifu wa barabara ya      Upembuzi yakinifu umekamilika na Mhandisi Mshauri
      Minjingu – Babati – Dodoma.             ameagizwa kuendelea na kazi ya Usanifu wa kina.
17.   Kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha
      lami barabara zifuatazo:-
           Marangu – Tarakea – Rongai –      Kwa kipande cha Marangu – Rombo Mkuu (Km 36)
            Kamwanga. (km.100)                uteuzi wa Mkandarasi umekamilika na mkataba
                                              ulisainiwa tarehe 23/02/2007. Mkandarasi anaendelea
                                              kupeleka vifaa.

                                              Kipande cha Rombo Mkuu – Tarakea (Km 32)
                                              Mkandarasi ameanza kazi za awali.

                                              Kipande cha Tarakea – Kamwanga (Km 32) Km nane
                                              (8) zimewekwa tabaka la lami la awali, Km 14 za
                                              barabara zimekamilika kwa kuweka tabaka la juu na
                                              Km 14 zimekamilika kwa kiwango cha tabaka la chini.
                                              Ujenzi wa makalvati yote umekamilika. Hadi sasa kazi




                                              156
                                             zimekamilika kwa asilimia 60.

          Rujewa – Madibira – Mafinga.      Mkataba wa kazi za ujenzi unategemewa kusainiwa
                                             mwezi Juni, 2007 baada ya kukamilisha majadiliano ya
                                             kupata mkopo kutoka ADB.

          Mbeya – Chunya – Makongolosi.     Mradi umegawanywa sehemu tatu, ambapo mapitio ya
                                             nyaraka za zabuni yamekamilika. Uchumbuzi wa
                                             zabuni unaendelea na unatarajia kukamilika mwezi
                                             Juni, 2007.

          Msimba – Ikokoto – Mafinga.       Usanifu umekamilika. Nyaraka za zabuni za ujenzi
                                             zimepelekwa kwa mfadhili kwa ajili ya kuzipitia na kutoa
                                             kibali.

          Arusha – Namanga.                 Zabuni kwa ajili ya ujenzi zilitangazwa tarehe
                                             30/10/2006, na kuwasilishwa tarehe 16/03/2007.
                                             Uchambuzi wa zabuni unaendelea na unategemewa
                                             kukamilika mwishoni mwa mwezi Juni, 2007.
18.   Kuanza Kufanya ukarabati wa
      barabara zifuatazo:-
          Dsm – Mbagala (Kilwa Road         Mkataba wa usanifu na usimamizi ulisainiwa mwezi
           km.12).                           Agosti, 2006. Zabuni zimeitishwa mwezi Septemba,
                                             2006 na zimepokelewa mwezi Desemba, 2006 ambapo
                                             mkandarasi aliyeteuliwa alisaini mkataba tarehe 21
                                             Desemba, 2006 nchini Japani. Kazi zimeanza rasmi
                                             mwezi Februari, 2007.

          Nelson Mandela (km.16.8).         Mkataba wa Mhandisi Mshauri umesainiwa. Zabuni kwa
                                             ajili ya ukarabati zilifunguliwa tarehe 21/02/2007 na
                                             uchambuzi unaendelea.

           Sam Nujoma (km. 4).              Ujenzi unaendelea na umekamilika kwa asilimia 33.
19.   Kuhimiza maandalizi ya ujenzi wa       NSSF walileta maombi Wizarani ili Wizara iombe
      daraja la Kigamboni chini ya Uongozi   Hazina kuthibitisha mambo yafuatayo.
      wa Shirika la Hifadhi ya jamii ili      Kuithibitishia Serikali ya Uholanzi kuwa mradi huu ni
      kuunganisha Kigamboni na Jiji la Dar      wa kipaumbele (Letter of Priority) kwa mujibu wa
      es Salaam.                                matakwa ya kupata msaada chini ya utaratibu wa
                                                ORET.
                                              Kutoa dhamana kwa NSSF kuweza kukopa katika
                                                benki ya Uholanzi.
                                              Kuthibitisha kuwepo kwa fedha za ujenzi wa
                                                “Package” Na. 2 na gharama za fidia kwa usumbufu
                                                utakaotokea kwa jamii.




                                             157
                                              Wizara ya Fedha iliafiki na kushauri mapendekezo haya
                                              yapelekwe Baraza la Mawaziri kwa maamuzi. Wizara
                                              imekwisha andaa Rasimu ya Waraka kama
                                              ilivyopendekezwa na sasa yanasubiriwa maamuzi ya
                                              Baraza la Mawaziri.
20.   Kukamilisha usanifu na kuandaa          Kazi ya usanifu na kuandaa nyaraka za zabuni
      Nyaraka za zabuni za Ujenzi wa          imekamilika. Majadiliano yanaendelea na kampuni ya
      barabara ya Tanga – Horohoro (km.65)    MCC toka Marekani kwa ajili ya kugharimia ujenzi.
      kwa kiwango cha lami.
21.   Kukamilisha Usanifu na kuandaa          Mhandisi Mshauri anaendelea na kazi za usanifu na
      nyaraka za zabuni za ujenzi wa          kuandaa nyaraka za zabuni na anatarajiwa
      barabara ya Tunduma – Sumbawanga        kuzikamilisha mwezi Juni, 2007.
      (km.231) kwa kiwango cha lami.
22.   Kukamilisha ujenzi wa daraja jipya la   Ujenzi umekamilika.
      Mpiji.
23.   Kufanya upembuzi yakinifu, usanifu na   Kazi ya Upembuzi Yakinifu na Usanifu imekamilika kwa
      ujenzi wa daraja la Mto Kilombero.      kiwango cha asilimia 30.
24.   Kukamilisha ujenzi wa daraja la Mto     Kazi ya usanifu na uandaaji wa nyaraka za zabuni
      Mwatisi katika mkoa wa Morogoro.        umekamilika. Zabuni za ujenzi zitaitishwa baada ya
                                              kupatikana fedha za ujenzi.
25.   Kuendelea na usanifu wa ujenzi wa       Mkandarasi ameanza kazi ya ujenzi wa mihimili ya
      daraja jipya la Ruvu.                   kubeba nguzo za daraja jipya. Matayarisho ya ujenzi
                                              wa tuta la barabara za maingiliano yameanza.
26.   Kuendelea na ujenzi wa Daraja la        Ujenzi wa mradi huu umekamilika kwa asilimia 25
      Umoja.                                  ambapo kazi zilizofanywa ni pamoja na:
                                               Ujenzi wa nguzo 6 za daraja; Ujenzi wa nguzo za
                                               msingi 5 uko katika hatua mbalimbali; Daraja la muda
                                               (Bailey Bridge) limewekwa na Mkandarasi tarehe
                                               24/09/2006 ili kuvusha mitambo na vifaa upande wa
                                               Msumbiji; Usanifu wa kina ulikamilika na kuidhinishwa
                                               tarehe 04/09/2006; Calvati 2 kwa upande wa Tanzania
                                               zimekamilika; Kazi ya kujenga msingi wa barabara
                                               kwa Tanzania na Msumbiji unaendelea.
27.   Kuanzisha programu ya Taifa ya          Mpango huu sasa unatekelezwa na TAMISEMI.
      Usafiri Vijijini.
28.   Kujenga mwamko wa kuzingatia            Yafutayo yameanza kuzingatiwa:
      mahitaji maalum ya watu wenye             Kuwekwa kwenye sheria ya majengo (Codes,
      ulemavu katika ujenzi wa majengo           standards & specification).
      yanayotumiwa na umma.                     Kuwekwa kwenye sera ya nyumba na majengo
                                                 suala la walemavu.
                                                Kuna miradi kumi katika Tanzania ambayo imeanza
                                                 kutekelezwa kwa kuzingatia mahitaji maalum ya
                                                 walemavu.




                                              158
29.   Kuendelea kujenga nyumba za            Nyumba 12 za bei nafuu zinajengwa kila mkoa, mpaka
      watumishi wa Serikali kwa ajili ya     sasa mikoa 16 zinajengwa nyumba 12 na mikoa miwili
      kuwauzia.                              nyumba 4 kila mmoja.

                                             Mradi wa ujenzi wa nyumba 200 mikoani kote Tanzania
                                             bara uko katika hatua mbalimbali.

                                             Mradi wa ujenzi wa nyumba 25 za bei nafuu Jijini Dar
                                             es Salaam. Aidha, Wakala pia unajenga majengo
                                             matatu ya ghorofa ya familia sita kila moja kwa ajili ya
                                             kupangisha katika Jiji la Dar es Salaam.
30.   Kujenga kwa kiwango cha lami           Barabara hii ipo katika hatua mbalimbali za ujenzi kama
      barabara ya Iringa – Dodoma –          zilivyoelezwa katika na. 15 na 16 hapo juu.
      Arusha.
31.   Kukamilisha zabuni na kuanza ujenzi    Taratibu za kumpata mkandarasi ziko katika hatua za
      wa sehemu ya barabara ya Ndundu –      mwisho.
      Somanga (km.60).
32.   Kuweka vivutio kwa sekta binafsi ili   Serikali imechukua hatua zifuatazo:
      ishiriki uwekezaji kwenye ujenzi wa     Uanzishwaji wa „National Fibre Optic‟ kwa ajili ya
      Miundombinu inayohitajika katika          kurahisisha upelekaji wa huduma za mawasiliano
      ukuaji wa Miji.                           hadi vijijini na kwa gharama nafuu.
                                              Uanzishaji wa mfuko wa Maendeleo ya Huduma za
                                                Mawasiliano (Universal Communication Access
                                                Fund) utakaotumika kufidia gharama za huduma za
                                                mawasiliano kwenye maeneo yasiyo na mvuto wa
                                                kibiashara.
33.   Kufanya upembuzi yakinifu wa
      barabara ya:-
        Bagamoyo – Saadani – Tanga.         Zabuni ya kumpata Mhandisi Mshauri wa kufanya
                                             upembuzi yakinifu ilitangazwa mwezi Novemba, 2006
                                             na itawasilishwa tarehe 05/07/2007.

       Musoma – Mugumu – Loliondo –         Mkataba wa kufanya kazi ya upembuzi yakinifu
        Mto wa Mbu.                          ulisainiwa mwezi Agosti, 2006. Kazi zimekamilika kwa
                                             asilimia 75.
34.   Kufanya upembuzi yakinifu na usanifu   Uchambuzi wa Zabuni za kumpata Mhandisi Mshauri
      wa barabara ya Bagamoyo – Msata.       umekamilika na mkataba unategemewa kusainiwa
                                             mwezi Juni, 2007.
35.   Kuendelea na Ukarabati wa barabara     Uchambuzi wa maombi ya Makandarasi wanaotaka
      ya Same – Mkumbara –Korogwe            kushiriki zabuni kwa ajili ya kazi ya ujenzi unatarajiwa
      (km.165).                              kukamilika mwezi Juni, 2007.
36.   Kuimarisha kivuko cha Pangani.         Kivuko cha Pangani kimefanyiwa matengenezo
                                             makubwa kwenye injini zake mwezi wa Desemba,
                                             2006. Pia mtambo wake wa kuendeshea (Propulsion
                                             Unit) umefanyiwa matengenezo mwezi Machi, 2007.




                                             159
                                              Kivuko hicho kimekuwa kikifanyiwa matengenezo ya
                                              kinga (Preventive Maintenance) kulingana na ratiba ya
                                              matengenezo“Maintenance. Matengenezo hayo yote
                                              yameigharimu Wakala kiasi cha Tshs. 11,700,000/=.

                                              TANROADS wamepeleka Benki ya Dunia zabuni ya
                                              ununuzi wa kivuko kipya ili kupata „No Objection‟ ya
                                              kutangaza tena zabuni hiyo baada ya mkandarasi wa
                                              kwanza kushindwa kusaini mkataba.
37.   Kufanya Usanifu wa kina wa sehemu       Mhandisi Mshauri amepatikana kufanya usanifu na
      ya Songea – Matemanga na Masasi –       uandaaji wa nyaraka za zabuni katika sehemu ya
      Mangaka katika barabara ya Mtwara –     Songea – Tunduru (km 265), ambapo kazi ilianza
      Masasi – Songea – Mbamba Bay.           mwezi Januari, 2007.

                                              Kampuni ya kihandisi kwa ajili ya kufanya usanifu wa
                                              awali wa sehemu ya Masasi – Mangaka imekamilika.
                                              Usanifu wa kina unaendelea na unatarajia kukamilika
                                              Julai, 2007.
38.    Kujenga Majengo manne ya ghorofa      Ujenzi wa majengo saba katika mkoa wa Dar es
        Dar es         Salaam na mawili       Salaam na majengo mawili mkoani Arusha umeanza,
        Arusha.                               na jengo moja mkoani Dar es Salaam liko katika hatua
                                              ya upembuzi yakinifu.

       Kujenga nyumba za viongozi katika     Nyumba za viongozi 91 Jijini Dar es Salaam na 38
        mikoa       mbalimbali zikiwemo       mikoani yaani mbili kila mkoa isipokuwa Dar es Salaam
        nyumba za Majaji.                     na Dodoma zipo katika hatua ya mwisho. Nyumba 42
                                              katika wilaya mpya za Chato, Mkinga, Siha na
                                              Nanyumbu zipo katika hatua ya mwisho. Aidha,
                                              Nyumba 4 za Majaji Jijini Dar es Salaam zipo katika
                                              hatua mbalimbali za ujenzi.

        Kutafuta viwanja jijini Dar es       Fedha zimetengwa kwa ajili ya kununua viwanja 2 Dar
         Salaam kwa ajili ya ujenzi wa        es Salaam, 1 Dodoma, 1 Arusha na 1 Mwanza. Aidha,
         nyumba.                              fedha nyingine zimetengwa kwa ajili ya kupata na
                                              kupima viwanja mikoani. Viwanja 400 vilivyo katika
                                              mradi wa Bunju Dar es Salaam vimenunuliwa.

        Kuhifadhi jengo moja la kihistoria   Jengo hilo limetambuliwa na hatua za kutambua
         mkoani Lindi.                        gharama za ukarabati zimeanza kuchukuliwa.

        Kufanya matengenezo ya kawaida       Matengenezo ya kawaida         yaliyo   katika   hatua
         ya nyumba pamoja na Ofisi za         mbalimbali yanaendela.
         Serikali.
39.   Kufanya Mapitio ya Majukumu ya          Kazi hiyo imekamilika na „Business Plan‟ ya mwaka
      TEMESA kwa lengo la kuainisha           2006/07 imepitishwa mwezi November, 2006.




                                              160
      shughuli      ambazo       zitaendelea
      kufanywa na wakala kulingana na
      malengo mapya ya Wizara ya
      Miundombinu.
40.   Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC)           Mfuko wa Maendeleo ya Sekta ya Ujenzi (CIDF).
      kuendelea na jitihada za kuhakikisha      Kwa sasa hatua zinazoendelea zinajumuisha ajira ya
      mfuko wa maendeleo ya sekta ya            Mtaalam wa mambo ya fedha ambaye atatayarisha
      ujenzi     (Construction       Industry   miongozo na nyaraka kwa ajili ya utoaji huduma na
      Development Fund – CIDF) unaanza          “Business Plan”. Hii itafuatiwa na kumwajiri Meneja wa
      kufanya kazi na kuendeleza maandalizi     Mfuko.
      ya mazingira mazuri ya utekelezaji wa
      miradi ya ujenzi kwa njia ya ubia kati    Mazingira ya Utekelezaji Miradi kwa njia ya ubia kati
      ya sekta ya Umma na sekta Binafsi         ya sekta ya umma na sekta binafsi (PPP).
      (PPPs).                                   Katika mwaka huu wa fedha, miongozo ya kiufundi
                                                ilikamilika. Miongozo hiyo inahusu namna ya kufanya
                                                upembuzi yakinifu, usimamizi wa mikataba, utunzaji wa
                                                mahesabu ya fedha na ukaguzi wake. Mwaka ujao wa
                                                fedha Rasimu ya Sera ya Taifa ya Ubia kati ya Sekta ya
                                                Umma na Sekta binafsi itaandaliwa.
41.   Bodi ya Mfuko wa Barabara (RFB)           Hadi tarehe 30/04/2007 Bodi ilikusanya jumla ya Shs
      kukusanya jumla ya shilingi 77,123.9      milioni 83,917 ikiwa ni mapato yatokanayo na vyanzo
      milioni ikiwa ni mapato yanayotokana      vyake mbalimbali.
      na vyanzo vyake mbalimbali.
42.    Kusajili wahandisi 620 na Kampuni       Wahandisi 543 wamesajiliwa na kampuni za ushauri wa
          za Ushauri wa Kihandisi 20.           kihandisi 10 zimesajiliwa.

       Kusimamia utekelezaji wa mpango         Jumla ya wahandisi wahitimu waliopo katika mpango
        wa mafunzo ya vitendo kwa               huu hadi sasa, ni 855.
        wahandisi wahitimu wapatao 700.

       Kufanya ukaguzi wa shughuli za          Ukaguzi wa shughuli za kihandisi na wahandisi
        kihandisi nchini ili hatimaye           ulifanyika katika Migodi mikubwa yote nchini, na pia
        shughuli zote za kihandisi ziwe         katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Morogoro,
        zinafanywa        na        wahandisi   Dodoma, Rukwa, Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Mara,
        waliosajiliwa kwa kufuata maadili ya    Tanga, Kilimanjaro, Manyara, Kagera, Tabora, Mbeya
        utendaji kazi za kihandisi.             na Iringa. Jumla ya Makampuni ya kihandisi 46
                                                yalikaguliwa.
43.    Kusajili wataalam wa usimamizi wa       Katika kipindi cha 2006/2007 wataalamu wapatao 64
        vifaa pamoja na Uboreshaji wa           walisajiliwa.
        kiwango cha sifa za kujiunga na
        mafunzo.
       Kupanua huduma za Bodi ya Taifa         Bodi imeanza mchakato wa kurekebisha mitaala
        ya Usimamizi wa Vifaa (NBMM)            iliyoanza kutumika kuanzia 2004 kwa lengo la
        kwa       kufungua    vituo   vya       kuboresha sifa za kujiunga na mafunzo ya NBMM.
        kuendeshea mafunzo au mitihani          Mtaala mpya unategemea kukamilika mwaka ujao wa




                                                161
        katika mikoa mingi zaidi badala ya       fedha. Juhudi zilizofanywa na Bodi kufungua vituo vya
        kutegemea huduma zitolewazo              kuendeshea mitihani au mafunzo mikoani hazijaweza
        sasa katika mikoa ya Mbeya,              kukamilika vyema; hata hivyo kuna uwezekano
        Arusha, Mwanza, Singida, Mtwara,         mkubwa wa kufungua kituo Dodoma ambapo
        Tanga, Kilimanjaro, Dar es Salaam        maandalizi yanaendelea vizuri.
        na Visiwa vya Zanzibar na Pemba.
44.    Kukuza uwezo wa makandarasi wa           Rasimu ya mkakati wa makusudi wa kuendeleza
        ndani kufikia viwango vya kimataifa      makandarasi wazalendo “Program for Deliberate
        ili kujenga uwezo wa Taifa katika        Development of Selected Contractors” unaandaliwa
        kutekeleza miradi mikubwa na             waraka “Cabinet Paper” ili Baraza la Mawaziri uweze
        hivyo kuwezesha Makandarasi              kuridhia mpango huo.
        wenzao wadogo kupata miradi kwa
        njia ya “Sub-Contracts”.

       Kusajili, kuratibu na kutoa mafunzo      Bodi imekamilisha vigezo vya usajili wa makandarasi
         kwa makandarasi wa nguvu kazi ili       wa nguvu kazi katika ujenzi wa barabara katika
         kuwezesha Watanzania wenye              madaraja matatu. Bodi imesajili makandarasi 99 katika
         mtaji kidogo kushiriki katika kazi za   fani hii. Aidha, Bodi imeendesha kozi tatu za mafunzo
         ujenzi.                                 kwa ajili ya makandarasi.
45.   Bodi ya Wabunifu Majengo na
      Wakadiriaji Majenzi (AQSRB):

       Kusajili wataalam 35 na wale             Wataalam 54 na wenye sifa 39 wamesajiliwa; Kampuni
        wenye sifa za kati 75; Kusajili          23 za kitaalam zimesajiliwa; Wataalamu 100
        kampuni za kitaalam 15 na kutahini       wametahiniwa
        watalaam watarajiwa 81.

       Kuendeleza mpango wa mafunzo             Wahitimu 60 wako katika mafunzo katika makampuni
        maalum ya vitendo kwa ajili ya           ya kitaalam ya ubunifu majengo na ukadiliaji majenzi na
        kuwasaidia wahitimu 60 wa                18 wamehitimu mafunzo hayo.
        taaluma husika ili waweze
        kusajiliwa kwa mujibu wa Sheria.

       Kuangalia upya mfumo wa mitihani         Mfumo ya mitihani, na mitaala mipya katika fani za
        na mfumo mzima wa usajili kwa            ubunifu majengo na ukadiriaji majenzi imekamilika na
        lengo la kuimarisha na kuvutia           imeanza kutumika. Utafiti juu ya mfumo mzima wa
        wataalam wengi zaidi kujisajili.         usajili na maeneo mengine ya mfumo wa mitihani bado
                                                 inafanyiwa kazi.
46.   Chuo cha ujenzi Morogoro (MWTI)
      Kufundisha       mafundi        sanifu     Hadi sasa chuo kimeshafundisha Mafundi sanifu
      (Technicians) 120, madereva mahiri 40      (Technicians) 65, Madereva mahiri 12 na Mafundi
      pamoja na kuendesha mafunzo ya             stadi (artisans) 52 na madereva wa awali 64.
      mafundi stadi mbalimbali (artisans) 65
      na wanafunzi wa udereva wa awali
      160.




                                                 162
47.   Chuo cha Matumizi Stahili ya nguvu
      kazi (Appropriate Technology Training
      Institute – ATTI)
            Kuimarisha kitengo cha “Labour     Kitengo kimeanzishwa na Mratibu wa mradi
             Based Technology Unit” (LBTU)      ameteuliwa. Aidha, Vifaa vya ofisini na usafiri
             ili kiweze kusimamia utekelezaji   vimenunuliwa. Taratibu za kuajiri na kuwahamishia
             wa mpango wa “Taking Labour        Wahandisi kwenda katika kitengo hiki unaendelea.
             Based Technology (LBT) to
             scale”.
            Kushiriki kwenye Maandalizi ya     Maandalizi ya kumpata Mshauri Mwelekezi “Consultant”
             Sera ya kitaifa ya Matumizi ya     atakayepitia sera za sekta mbalimbali ili kubaini mahitaji
             teknolojia ya nguvukazi katika     muhimu ya uandaaji wa sera ya nguvu kazi
             kazi mbalimbali za Miundombinu.    yanaendelea.

          Kukiendeleza kituo cha utunzaji      Ukumbi wa kuanzisha kituo hiki upo tayari na vifaa vya
           habari zihusuzo teknolojia ya        ofisi vimenunuliwa.
           nguvukazi.

           Kuandaa mtaala mpya na              Kazi ya kuboresha mtaala wa Chuo kwa ushirikiano na
            kukiandikia chuo (NACTE) ili        JICA imeanza.
            kiweze      kutoa     mafunzo
            yanayotambuliwa kitaifa na
            kimataifa.
48.   Kufanya ukarabati barabara ya Kibiti –    Mkandarasi amepatikana na kuanza kazi tarehe 10
      Utete.                                    Novemba, 2006. Kazi ya kuchonga tuta imekamilika
                                                kwa asilimia 10.
49.   Kufanya upembuzi yakinifu katika          Kiasi cha shilingi 240 milioni kimetengwa. Kazi itaanza
      barabara ya Bomang‟ombe –                 baada ya kumpata Mhandisi Mshauri. Kwa sasa
      Sanyajuu.                                 taratibu za kumpata Mhandisi Mshauri zinaendelea.
50.   Kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha       Kazi zinaendelea na zipo katika hatua za mwisho za
      lami kwa barabara ya Sangasanga           kukamilika.
      kuelekea chuo Kikuu cha Mzumbe.
51.   Kufanya ukarabati katika barabara ya      Kiasi cha shilingi milioni 57 kimetengwa kwa kazi za
      Uru (Rau) - Mlimani                       ukarabati wa barabara hiyo kwa kiwango cha
                                                changarawe. Kazi zilianza mwezi Machi, 2007 na
                                                zinaendelea.
52.   Kuanza ujenzi wa barabara ya Muuze        Barabara itafanyiwa ukarabati chini ya ufadhili wa
      – Kilyamatundu (km. 170) kwa kiwango      DANIDA. Kiasi cha shilingi milioni 290 kwa mwaka huu
      cha changarawe.                           kimetengwa kugharamia kazi hizo. Kwa sasa taratibu
                                                za kumpata mkandarasi zinaendelea.
53.   Kuendelea na ukarabati wa barabara        Kazi zilianza mwezi April, 2007 na zinaendelea.
      ya Magu – Ngudu – Jojiro ( km. 64)
54.   Kufanya usanifu wa kina katika            Kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa awali kwa
      barabara ya Mikumi – Kilosa.              barabara yenye urefu wa kilometa 150 kutoka Mikumi –




                                                163
                                               Kilosa hadi Dumila imekamilika mwezi Mei, 2007.
55.   Kuzirekebisha sheria nane za sekta ili   Mapendekezo ya mabadiliko ya Sheria Na. 20 ya 1979
      ziendane na sera na mwelekeo wa          ya Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) na Sheria Namba 9
      uchumi wa soko. Sheria zilizoko katika   ya mwaka 1981 ya Bodi ya Taifa ya Usimamizi wa
      utaratibu wa kufanyiwa mapitio ya        Vifaa (NBMM) yalijadiliwa na Kamati ya Makatibu
      sheria ni sheria ya TAA, TMA, CRB,       Wakuu (IMTC) tarehe 15/11/2006. Mapendekezo hayo
      AQSRB, NBMM, ERB na NCC.                 sasa yanasubiri kuidhinishwa na Baraza la Mawaziri
                                               kabla ya kufikishwa Bungeni.

                                               Mapitio ya sheria za sekta za TAA, AQSRB, na ERB
                                               yanaendelea. Aidha, Rasimu ya Sera ya Hali ya Hewa
                                               imekamilika na iliwasilishwa kwa Wadau wa Sekta kwa
                                               utekelezaji zaidi.
56.    Kuendelea na mikakati ya               Mazingira ya sekta binafsi katika uwekezaji na utoaji wa
        kuboresha viwanja vya ndege kwa        huduma yanaendelea kuwekwa kwa kushirikisha sekta
        kushirikisha sekta binafsi katika      binafsi. Hadi sasa Mamlaka imependekeza viwanja
        uwekezaji na utoaji huduma             vitatu vya Julius Nyerere, Mwanza na Arusha ili kutoa
        nyingine.                              huduma kwa kushirikiana na sekta binafsi. Mamlaka
                                               imeshafanya hatua za awali za kutangaza miradi ya
                                               uwekezaji kwa kiwanja cha ndege cha Julius Nyerere.

       Kuendeleza kiwanja cha ndege cha       TAA inaendelea kukikarabati kiwanja kinachotumika
        Singida                                sasa ili kiweze kutoa huduma kwa mkoa wakati
                                               mpango wa kujenga kiwanja kipya eneo la Manga
                                               ukiendelea.

       Kuanza ukarabati wa kiwanja cha        Mamlaka imepanga kufanya ukarabati wa barabara ya
        ndege cha Mafia                        kurukia na kutua ndege, kiunga chake na maegesho ya
                                               ndege kwa kiwango cha changarawe kwa kujenga
                                               tabaka la kwanza. Aidha, Mamlaka imekwisha
                                               kamilisha mchakato wa manunuzi ambapo Mkandarasi
                                               na Mhandisi Msimamizi wamekwisha patikana.
                                               Mkandarasi alikabidhiwa eneo la kazi tarehe
                                               16/05/2007 na kazi itachukua muda wa miezi saba.
57.   Kuendelea kufanya matengenezo ya         Mamlaka imeendelea na Mradi wa kukarabati reli katika
      reli ya TAZARA kati ya Kitete-Mpanga.    eneo la Km 561 na 500m, Mpanga – Kitete (Landslide
                                               formation repair and rail alignment).
58.    Shirika la Reli Tanzania (TRC)
        kuendelea na utekelezaji wa mradi      Kazi hii ilikamilika Juni, 2006.
        wa kutandika nyaya (optic fibre) za
        mawasiliano ya simu katika njia ya
        reli kati ya Dodoma na Tabora.

       Shirika   la  Reli  kuendelea
        kutekeleza mradi wa kutandika          Fedha za kutekeleza mradi huu hazikupatikana na




                                               164
        upya reli za uzito wa ratili 80 badala   hivyo kazi hiyo haikufanyika.
        ya 56 ambapo jumla ya kilometa
        26.5 katika sehemu zilizochakaa
        zaidi kati ya Tabora na Kigoma
        zitakarabatiwa
59.    Kufanya utafiti kubaini mahitaji         Utafiti uko katika hatua ya kutafuta mzabuni.
        muhimu ya bandari zote katika            Makampuni yaliyoonyesha nia ya kufanya utafiti (EOI)
        Bahari na Maziwa nchini (Ports           yamejitokeza na kibali cha benki ya Dunia kimepatikana
        Master Plan Study).                      mwezi Novemba, 2006. Kazi ya kuitisha zabuni
                                                 inaendelea na utafiti umeanza mwezi Januari, 2007.

       Kuendelea na uboreshaji wa               Jumla ya Shilingi bilioni 40.9 zimetengwa kwa ajili ya
        maeneo ya kazi ili kulinda ufanisi       kununua vifaa mbalimbali na ukarabati katika bandari
        na ubora wa rasilimali iliyopo           za Dar es salaam, Tanga, Mtwara na bandari za
                                                 maziwa. Vifaa vilitarajiwa kuwasili mwezi Machi, 2007.


       Kuinua uwezo wa bandari kwa              Zabuni kwa ajili ya kazi za ukarabati      na
        kukarabati na kubadilisha vifaa na       matengenezo zimetangazwa na kazi imeanza mwezi
        maeneo ya kuhudumia meli na              Machi, 2007. Mchakato wa ununuzi wa vifaa
        mizigo                                   unaendelea.

       Ununuzi wa pantoni ya kupokelea          Shirika la kuhudumia wakimbizi Duniani (UNHCR)
        abiria na mizigo kutoka kwenye           waliomba na kupewa kibali cha kununua na kuweka
        meli (landing pantoon) katika            pantoni, Kazi ya kununua na kuweka pantoni
        bandari ya Kigoma.                       imekamilika mwezi Novemba, 2006.

                                                 Uchambuzi wa makadirio ya gharama za matengenezo
       Kufanya ukarabati wa gati la             unaendelea na kazi ilitarajiwa kuanza mwezi Machi,
         Kasanga                                 2007.
60.   Kampuni ya Meli ya Serikali ya China       Kampuni kwa kushirikiana na Kampuni ya Meli ya
      na Tanzania (SINOTASHIP) itaongeza         Uchina (COSCO) inaendelea kutafuta meli inayofaa ili
      meli moja ili kuongeza utendaji wa         iweze kununuliwa. Vigezo vinavyozingatiwa ni pamoja
      Kampuni kibiashara na kumudu               na ukubwa, bei, na umri wa meli.
      ushindani.
61.     Serikali itaendelea na juhudi za        Katika kipindi husika ajali za treni zilizotokea katika
         kuhakikisha kuwa ajali za treni         Shirika la Reli Tanzania (TRC) zilikuwa 56 , na
         zinapungua. SUMATRA itabuni na          zilipungua hadi kufikia 33 katika kipindi cha Julai-
         kuandaa mpango wa usalama wa            Septemba 2006. Aidha, ajali zilianza kuongezeka hadi
         usafiri wa reli.                        kufikia ajali 49 katika kipindi cha Januari-Machi 2007.
                                                 Hali hiyo ilitokana na kukosekana kwa matengenezo ya
                                                 njia na uchakavu wa mabehewa.

                                                 Kwa upande wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na
                                                 Zambia (TAZARA) hali ilikuwa ya kuridhisha. Ajali




                                                 165
                                               kubwa zilipungua kutoka ajali 20 hadi kufikia ajali 7
                                               (saba) katika kipindi cha Januari-Machi, 2007. Hii
                                               inatokana na juhudi mbalimbali zilizofanyika ikiwa ni
                                               pamoja na kufanya matengenezo ya njia.

       Kuandaa semina, warsha na              SUMATRA ikishirikiana na wadau mbali mbali wa
        kutumia redio, television, magazeti,   huduma za mizigo bandarini inaendelea kuratibu
        vipeperushi,     na      pia   kwa     shughuli za utoaji mizigo bandarini. Kwa hivi sasa
        kushirikiana na wadau ili kuweza       wastani wa Makontena 350 kwa siku hutolewa
        kuboresha ufanisi wa utoaji mizigo     bandarini ukilinganisha na awali ambapo wastani wa
        bandarini.                             makontena 250 kwa siku yalikuwa yakitolewa.

       Kuimarisha ukaguzi wa vyombo vya       Katika kuimarisha ukaguzi wa vyombo vya usafiri
        usafiri majini                         majini, mwezi Julai, 2006 na Januari, 2007 SUMATRA
                                               ilitangaza zabuni kwa ajili ya kupata makampuni
                                               yatakayofanya shughuli za ukaguzi wa vyombo vya
                                               majini.       Usaili wa makampuni yaliyojitokeza
                                               umekamilika      na uteuzi rasmi wa makampuni
                                               yaliyoshinda utafanyika karibuni. Kwa yale maeneo
                                               ambayo hayakupata mzabuni, SUMATRA kwa
                                               kuwatumia wataalam wake itafanya ukaguzi husika.
                                               Aidha, mwezi wa Julai, 2006, SUMATRA iliajiri maofisa
                                               watatu (Flag and Port State control officers) katika vituo
                                               vya Bukoba, Kigoma na Kyela.

        Kuendelea na ujenzi wa kituo cha      Ujenzi wa mnara wa kuongozea meli na ambao
         kuongozea meli na kutafuta meli       utasaidia katika suala zima la utafutaji na uokoaji
         zilizopotea au kupata ajali katika    (Maritime Rescue Coordinating Sub Centre – (MRCSC)
         eneo la bandari ya Dar es Salaam      kwa eneo la bahari ya Hindi kwa vyombo vinavyopata
         kwa kutumia vifaa vya mawasiliano     ajali au kupotea baharini unaendelea vizuri. Mnara huu
         vya ubora wa kimataifa.               unatarajiwa kukamilika ifikapo Septemba, 2007.
62.    Kuendelea kufanya kaguzi katika        Hili ni zoezi la kudumu na endelevu. Mamlaka imeweka
         viwanja vyote vya ndege nchini ili    ratiba ya kaguzi za kupangwa na kushtukiza kwa
         kufikia viwango vya Kimataifa vya     viwanja vya ndege, makampuni ya ndege na watoa
         usalama wa anga.                      huduma katika usafiri wa anga nchini.

       Kufunga mitambo na vifaa mbali         Mradi wa kufunga nyaya za mawasiliano (optic fibre
        mbali katika viwanja vya Dar es        project) ili kurahisisha mawasiliano ya kuongoza ndege
        Salaam,      Zanzibar,  Mwanza,        uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere umekamilika.
        Kilimanjaro, Songwe, Tabora na
        Kigoma.                                Mtambo wa kuzalisha nguvu za umeme kwa kutumia
                                               mionzi ya jua kwa ajili ya mtambo wa kuongozea ndege
                                               NDB Delta Mike pamoja na benki ya betri umefungwa.

                                               Zabuni imekwishatolewa kwa ufungaji wa „Doppler




                                               166
                                            VOR- DME katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro ili
                                            kuongeza ufanisi kwa waongoza ndege.

                                            Mitambo ya kuongoza ndege ya VOR/DME imefungwa
                                            katika Uwanja wa ndege wa Zanzibar pamoja na
                                            mtambo wa dharura wa umeme (standby generator
                                            25KVA) ili kuimarisha usambazaji wa umeme. Aidha,
                                            Meza ya waongoza ndege pamoja na radio zake mpya
                                            pia imefungwa.

                                            Jenereta la dharura la umeme (standby generator
                                            25KVA) limefungwa ili kuimarisha usambazaji wa
                                            umeme uwanja wa ndege wa Mwanza.

                                            Katika Uwanja wa ndege wa Tabora uzio wa
                                            kuimarisha usalama wa mitambo umekamilika ;
                                            Mtambo wa kuzalisha nguvu za umeme kwa kutumia
                                            mionzi ya jua (solar power) ili kuimarisha upatikanaji wa
                                            umeme kwa mitambo ya kuongoza ndege pamoja na
                                            Mitambo mipya ya kuongoza ndege (NDBs) imefungwa.
                                            Aidha, mtambo mpya wa radio kwa mawasiliano wakati
                                            wa tahadhari na dharura (121.500Mhz Distress radios)
                                            umefungwa.

                                            Zoezi la kufunga mitambo Uwanja wa ndege wa
                                            Songwe linasubiri kukamilika kwa ujenzi wa uwanja.

                                            Katika Uwanja wa ndege wa Kigoma mtambo mpya wa
                                            radio kwa mawasiliano wakati wa tahadhari na dharura
                                            (121.500Mhz Distress Radios) pamoja na „Antenna‟
                                            mpya kwa ajili ya mitambo ya mawasiliano na ndege
                                            kutoka kwenye mnara wa waongoza ndege
                                            vimefungwa.
          Kuweka mtambo maalum wa          Mtambo huu unafungwa ili kufuatilia mienendo ya watu
           kuona kwa njia ya televisheni    na matukio mbalimbali na kuweka kumbukumbu.
           (CCTV) katika kiwanja cha        Mpaka sasa jengo la abiria Na. 2 (TB II) na kamera
           ndege cha kimataifa cha          zimekwisha fungwa. Jengo la Na. 1 (TBI) utandazaji wa
           Mwalimu J.K.Nyerere              nyaya kuunganisha maeneo yatakayofungwa kamera
                                            yanaendelea.
63.    Kukamilisha taratibu za kuhamisha   Nyumba 3 za Nairobi, nyumba 1 ya Lusaka na nyumba
        umiliki wa nyumba tano zilizoko     1 ya Harare zimekabidhiwa Wizara ya Mambo ya Nje
        Johannesburg, Lusaka na Nairobi.    na Ushirikiano wa Kimataifa.

       Kukamilisha uuzaji wa mali          Nyumba zote za Dar es Salaam zimeuzwa. Nyumba za
        zisizohamishika zilizoko KIA na     KIA, Harare na Lusaka bado zipo katika hatua




                                            167
         uuzaji wa nyumba zilizoko Dar es     mbalimbali za uuzaji.
         salaam, KIA, Harare na Lusaka.
64.   Kuendelea kudumisha na kuboresha        Wakala iliendelea kutimiza masharti yatolewayo na
      usalama, aina na ubora wa huduma za     Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) na Mamlaka za
      Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA).     Kimataifa ikiwemo ICAO. Katika utekelezaji huo
                                              Wataalam mbalimbali wamepelekwa mafunzoni pamoja
                                              na kuzingatia Matengenezo ya ndege kulingana na
                                              ratiba na yale ya dharura kulingana na viwango vya
                                              Kimataifa.
65.    Kuhakikisha watoa huduma za           Mpango huu unatekelezwa chini ya “Association”
        takwimu (data) na mtandao             iitwayo “Tanzania Internet Service Providers
        (Internet      Service   Providers)   Association - TISPA” iliyoanzishwa mwezi April, 2005.
        wanajiunganisha kwenye mitambo        Mitambo imewekwa Dar es Salaam na inafanya kazi
        ya kuunganisha mawasiliano hayo       ambapo jumla ya makampuni 12 ya watoa huduma za
        kitaifa (Internet Exchange points -   takwimu na intaneti yameunganishwa. Baadaye
        IXPs) ili kupunguza gharama kwa       mitambo ya IXPs itasimikwa katika mikoa ya Mwanza,
        watumiaji kwa kutumia njia na         Arusha, Zanzibar na Mbeya.
        masafa ya kimataifa wakati wa
        kufanya mawasiliano ndani ya nchi.

       Kuwezesha nchi kuwa na mhimili        Kamati maalum (Task Force) ya maandalizi ya
        wa Teknolojia ya Habari na            “National ICT Broadband Infrastructure Backborne
        Mawasiliano ya kisasa na yenye        Network” imeshaundwa, na imekutana na kutoa
        uwezo mkubwa kwa kuendelea            mapendekezo Serikalini kwa ajili ya hatua zaidi.
        kushirikiana na Baraza la Watumiaji
        wa Huduma za Mawasiliano
        pamoja na jumuiya za watoa
        huduma za mawasiliano ili
        kuhakikisha       kuwa      viwango
        vinavyotozwa vinakuwa vya bei
        nafuu.
66.    Kutekeleza ujenzi wa Njia kuu za      Mkandarasi alishapatikana, na kwa sasa kazi za ujenzi
        simu “Digital Microwave” kati ya      inaendelea. Kazi hii inategemewa kukamilika mwishoni
        Dar es Salaam na Dodoma na Dar        mwa mwaka 2007.
        es Salaam/Tanga/Arusha. Ujenzi
        huu utapanua njia kutoka njia 1,890
        za sasa kufikia njia 3,780.

       Kukamilisha uboreshaji wa huduma      Kazi ya kuondoa simu za kukoroga inaendelea kwa
        kwa kuondoa mitambo 23 ya             awamu. Mitambo hii kwa sasa imekwisha ondolewa
        kukoroga (manual boards) iliyobaki    Kondoa, Kiomboi, Ikwiriri, Utete, Kibiti, Kilwa Masoko,
        nchini na kuweka mitambo ya           Mafia, Namanyere, Malya, Misungwi, na Ngudu. Kazi
        kisasa kwenye vituo vya Mtera,        ya kuondoa mitambo 18 iliyobaki inatarajiwa kukamilika
        Mvumi, Mwakaleli, Lwangwa,            mwezi Julai, 2007.
        Litembo, Liuli, Itigi, Misungwi,




                                              168
         Ngudu,     Mallya,    Malampaka,
         Urambo,     Sikonge,     Ruangwa,
         Nachingwea, Mikindani, Ndanda,
         Makiungu, Liwale na Kaliua.

       Kuweka mitambo ya kuwezesha           Usambazaji (Rollout) wa huduma hii mikoani
        kupata huduma bora za takwimu na      unatekelezwa kwa awamu kwa kutumia teknolojia ya
        mtandao katika makao makuu ya         ADSL. Huduma hii ya TTCL Broadband kwa sasa
        Mikoa na baadhi ya Wilaya.            inapatikana katika miji mikuu yote ya mikoa na baadhi
                                              ya wilaya.

       Kuweka mtandao wa “optical fibre”     Katika miji ya DSM, Mwanza, Dodoma, Arusha, na
        katika jiji la Dar es Salaam ili      Zanzibar kutawekwa mtandao wa „Optical Fibre‟
        kuimarisha     uunganishaji   wa      kwenda kwenye majengo makubwa, na kazi hii
        majengo na wateja wakubwa ili         imekwishaanza katika mikoa ya DSM na Arusha na
        wapate huduma bora na za kisasa.      inatarajiwa kukamilika mwezi Julai, 2007.

       Kuweka mitambo mipya ya simu za       Ujenzi wa kuweka mitambo ya kisasa yenye uwezo wa
        msingi kati ya Tanga na Arusha na     kutoa huduma ya sauti, „data na Internet‟ kwa miji ya
        kuondoa mitambo michakavu             Moshi, Morogoro, Tanga, Kigoma, Kagera, na Arusha
        ambayo vipuri vyake havipatikani.     imeshaanza na inatarajiwa kukamilika mwezi Julai,
                                              2007.

       Kuweka mitambo kati ya Dodoma         Utekelezaji wa mradi huu upo katika hatua ya ujenzi wa
        na Arusha kupitia Babati na hivyo     mitambo na unatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Julai,
        kuwezesha      kupatikana     njia    2007.
        mbadala kwenda na kutoka Arusha.
                                              Mkandarasi amekwishapatikana na utengenezaji
                                              (manufacturing) wa mitambo umekamilika. Mitambo hii
                                              inategemewa kuwasili nchini Desemba, 2006 na mara
                                              itakapowasili ufungaji wa mitambo utaanza.
67.   Kuhusisha utoaji wa huduma kwa          Shirika la Posta tayari linatumia teknolojia ya kompyuta
      kutumia teknolojia ya kompyuta katika   kwa mawasiliano kwenye Ofisi zote Kuu za Posta nchi
      mawasiliano katika ofisi zote kuu za    nzima. Mtandao huo unatoa huduma za “internet” na
      posta za mikoa na kuimarisha biashara   “e-mail”. Ili kuimarisha biashara za ki-elektroniki (e-
      za ki-elektroniki (e-business)          business) Shirika limeanzisha huduma ya “internet
                                              cafe” kwenye ofisi kuu za Posta kumi na moja kati ya
                                              kumi na nne. Lengo ni kupanua huduma hii hadi makao
                                              makuu ya Wilaya.

       Kufungua posta ndogo katika           Utekelezaji wa ufunguaji wa vituo vya posta ni kama
        maeneo ya Kicheba (Tanga),            ifuatavyo:
        Bereko (Dodoma) na Posta kamili          Kicheba (Tanga) – anatafutwa wakala mpya baada
        katika maeneo ya Nyakato                   ya aliyekuwepo kufariki dunia na hivyo Shirika
        (Mwanza) na Namanga (Arusha).              kusitisha huduma.




                                              169
                                                 Bereko (Dodoma) – Mkuu wa shule ya Bereko
                                                    amepewa jukumu la kuuza stempu (Stamp
                                                    Vendor) kwa niaba ya ofisi.
                                                 Nyakato (Mwanza) – ofisi kamili yenye kutoa
                                                     huduma zote muhimu za Posta imefunguliwa.
                                                 Namanga (Arusha) – Ofisi kamili imefunguliwa.
68.   Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania         “Technical specifications” kwa ajili ya ununuzi wa rada
      (TMA) inatarajia kununua rada ya         ya kisasa umekamilika. Utaratibu wa kutangaza zabuni
      kisasa ili kuboresha utoaji huduma za    husika umeanza.
      hali ya Hewa.
69.   Chuo cha Mabaharia cha Dar es            Kozi hizi mbili zimeshaanzishwa katika muhula wa
      Salaam (DMI) kinatarajia kuimarisha      masomo wa 2006/07.
      utendaji wake kwa kuanzisha program
      za mafunzo kwa maofisa wa meli ngazi
      ya Nahodha (Class 2/1 Master
      Mariner) na Mhandisi Mkuu (Class 1/2
      – 2 Chief Engineer).
70.   Kufanya mapitio na kuunganisha           Rasimu imeandaliwa na kuwasilishwa Ofisi ya Rais,
      Mipango Mkakati (Strategic Plans) ya     Menejiment ya utumishi wa Umma mwezi Novemba,
      zilizokuwa Wizara ya Ujenzi na Wizara    2006 kwa mapitio.
      ya Mawasiliano na Uchukuzi iliyokuwa
      imetayarishwa
71.   Kuimarisha bandari ya Tanga ili kuibua   Jumla ya Tshs 2.05 bilioni zimetengwa kwa ajili ya
      uchumi wa nchi kwa kuchochea kasi        ukarabati wa miundombinu na kununua vifaa
      ya ukuaji wa uchumi.                     mbalimbali vya kuhudumia mizigo ikiwa ni pamoja na
                                               cargo Lighter, Mooring Boat, Light Towing Tug na cargo
                                               Pantoon.

                                               Aidha, ukarabati na “Dredging” katika gati namba 1 na
                                               2 utafanyika, pia maboya matatu ya kuongozea meli
                                               yatafungwa. Taratibu za ununuzi wa vifaa zinaendelea
                                               na kutegemewa kukamilika mwezi Juni, 2007.
72.   Kuanza mchakato wa kuanzisha             Bodi iliyoingia madarakani mnamo mwezi Februari,
      “National Carrier” mpya baada ya         2007, imeshaanza mchakato wa kuanzisha “National
      mkataba wa sasa kati ya „South Africa    Carrier”. Ili kuweza kufanikisha hilo, bado inapitia
      Airways‟ na Serikali kusitishwa.         “Business Plan” ya ATCL. Hata hivyo tayari malipo ya
                                               awali ya kukodishwa ndege tatu (3) za kisasa aina ya
                                               Air Bus A.319‟s yameshafanyika. Ndege zote tatu
                                               zitakuwa zimeingizwa nchini kati ya mwezi Septemba
                                               na Novemba, 2007.
73.   Ujenzi wa bandari ya nchi kavu (Dry      Kutokana na ufinyu wa bajeti, fedha ya kuchangia
      port) wa Shinyanga na Mwanza ili         kwenye mradi huu hazikupatikana kutoka Serikali ya
      kuunganisha bandari ya Dar es            Tanzania ili kukidhi moja ya masharti iliyokubaliana na
      Salaam na nchi jirani                    Serikali ya Ubelgiji.




                                               170
74.   Upembuzi yakinifu wa ujenzi wa reli ya    Mshauri Mwelekezi (Consultant) wa kufanya upembuzi
      Isaka-Kigali utafanyika katika mkakati    yakinifu amepatikana na ameanza kazi mwezi Mei,
      wa kuunganisha ukanda wa kati             2007.
      (Central Corridor)
75.   Kuendelea na miradi ya ukarabati wa       Reli, mataruma na Vifaa vya kubadilisha Km 47 za reli
      reli ya kati ikiwa ni pamoja na kufanya   kati ya Itigi na Tabora vimeanza kuwasili Dar es
      uchunguzi kwa lengo la kupanua geji       Salaam mwezi Novemba, 2006. Utandikaji utaanza
      ya reli hiyo ambayo ni mhimili mkubwa     mara kazi ya kupokea vifaa hivyo itakapokamilika.
      wa maendeleo ya Ukanda wa kati.           Uchunguzi wa kupanua geji ya reli umewekwa katika
                                                Mpango wa Uwekezaji wa Sekta ya Uchukuzi
                                                (Transport Sector Investment Programme-TSIP).




                                                171
                     WIZARA YA KAZI, AJIRA NA MAENDELEO YA VIJANA

 Na                  AHADI                                       UTEKELEZAJI
1.    Kukamilisha maandalizi ya kuandaa        Uandaaji wa Kanuni za Sheria ya Ajira na Mahusiano
      kanuni za Sheria za Ajira na             Kazini na Sheria ya Taasisi za Kazi, 2004
      Mahusiano Kazini na Sheria ya Taasisi    umeshakamilika na kuchapishwa katika Gazeti la
      za Kazi zote za mwaka 2004, ili          Serikali Na.42 la tarehe 16/02/2007 na hivyo
      kuwezesha sheria hizo kuanza kufanya     kuwezesha Sheria hizo kuanza kufanya kazi.
      kazi katika robo ya kwanza ya
      2006/07.
2.    Kuunda Tume ya Usuluhishi na Utatuzi     Tume ya Usuluhishi na Utatuzi wa Migogoro ya kikazi
      wa Migogoro ya Kikazi (Commission        imeshaundwa na kuanza kufanya kazi rasmi tangu
      for Mediation and Arbitration) na        tarehe 4/5/2007 katika kanda 11 ambazo ni: Dar es
      kuiwezesha kuanza kufanya kazi           Salalam (Kibaha, Temeke na Ilala); Dodoma (Singida);
      katika robo ya kwanza ya mwaka wa        Morogoro (wilaya zote); Moshi (wilaya zote); Tanga
      fedha 2006/07.                           (wilaya zote); Arusha (Manyara); Mwanza (Kagera,
                                               Shinyanga na Mara); Tabora (Kigoma na Kahama);
                                               Iringa (Mufindi); Songea (Njombe) na Mbeya (Rukwa).
3.    Kutoa elimu kwa umma juu ya dhana        Mafunzo juu ya Sheria za Kazi yametolewa kwenye
      nzima ya masuala ya kazi na Hifadhi      Wizara na Asasi mbalimbali kama ifuatavyo:
      ya Jamii, mchango wa sekta hizi katika
      kuondoa umaskini na sheria mpya za       (i) Wizara sita ambazo ni Afya na Ustawi wa Jamii,
      kazi katika mfumo wa utatu kwa lengo         Usalama wa Raia, Ardhi na Maendeleo ya Makazi,
      la kudumisha mahusiano mema kazini.          Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Mambo ya Nje
                                                   na Ushirikiano wa Kimataifa na Viwanda, Biashara
                                                   na Masoko;

                                               (ii) Mashirika sita ambayo ni Benki Kuu, Shirika la
                                                    Posta, Kampuni ya       Usafiri DSM, COASCO,
                                                    Chuo Kikuu DSM na Kampuni ya Ndege;

                                               (iii) Asasi nne ambazo ni Mahakama Kuu ya Tanzania,
                                                     DAWASCO, TUCTA, Bodi ya Pamba Tanzania;

                                               (iv) Mamlaka tatu ambazo ni Viwanja vya Ndege,
                                                    Usalama wa Anga na Usimamizi wa Bandari.

                                               Mafunzo mengi ya sheria za kazi yanafanyika kwa
                                               ushirikiano wa UTATU. Juhudi zinafanyika kwa
                                               ushirikiano baina ya Wizara na vyama husika vya
                                               wafanyakazi na waajiri kuona kuwa wafanyakazi na
                                               waajiri wanahusishwa katika mafunzo hayo ya UTATU.
4.    Kushirikiana na Idara ya Mahakama        Taratibu za kuanzisha Divisheni ya Mahakama ya Kazi
      kuanzisha Divisheni ya Mahakama ya       zinaendelea ambapo Jaji wa Mahakama hiyo na Msajili
      Kazi katika Mahakama Kuu ya              wamekwishateuliwa. Mahakama hiyo imezinduliwa




                                               172
     Tanzania.                               tarehe 12/6/2007. Aidha, Kanuni za Mahakama hiyo
                                             ziko kwenye hatua ya mwisho kwa kuchapishwa.
5.   Kusimamia uundaji wa Bodi za kisekta    Bodi za Kisekta za Vima vya Chini vya Mishahara
     za vima vya chini vya mishahara kwa     zimekwishaundwa katika sekta nane;
     kuzingatia Sheria ya Ajira na           Sekta ya huduma za majumbani; Sekta ya huduma za
     Mahusiano Kazini na Sheria ya Taasisi   Biashara na Viwanda; Sekta ya Madini; Sekta ya
     za Kazi zote za mwaka 2004.             huduma za Afya; Sekta ya huduma za Majini, Bahari na
                                             Maziwa; Sekta ya huduma za Ulinzi Binafsi; Sekta ya
                                             Kilimo na Sekta ya Usafiri na huduma za Mawasiliano.

                                             Bodi hizo zimezinduliwa rasmi tarehe 18/4/2007 na
                                             hatua za awali za mchakato mzima wa kuandaa kima
                                             cha chini cha mshahara katika kila sekta
                                             umekwishaanza na kazi hiyo itakamilika katika kipindi
                                             cha miezi mitatu.
6.   Kuendeleza juhudi za kutoa elimu juu    Mwongozo wa Utatu juu ya Mapambano dhidi ya
     ya mapambano dhidi ya UKIMWI kwa        UKIMWI katika sehemu za kazi (Tripartite Code of
     Waajiri na Wafanyakazi katika maeneo    Conduct of HIV/AIDS at work places in Tanzania
     ya kazi nchini.                         Mainland) umekwishaandaliwa na kupitishwa na
                                             Kanseli ya masuala ya Kazi, Uchumi na Kijamii
                                             (LESCO). Aidha wafanyakazi na waajiri kupitia vyama
                                             vyao      wameshirikishwa     katika    makongamano
                                             mbalimbali yanayohusu masuala ya UKIMWI.
7.   Kuendelea kupokea na kushughulikia      Jumla ya madai 563 ya malipo ya fidia kwa watumishi
     rufaa, mikataba ya hiari na madai ya    wa Umma walioumia/kupata madhara wakiwa kazini
     malipo ya fidia kwa wafanyakazi         yamepokelewa na kiasi cha TShs.21,000,000/=
     walioumia au kupata maradhi kazini.     zimelipwa hadi kufikia mwezi Juni, 2007. Halikadhalika
                                             jumla ya madai 1,412 yalipokelewa kutoka Sekta
                                             Binafsi, na kati ya hayo madai 898 yamelipwa. Aidha
                                             jumla ya Migogoro ya kikazi 268 imepokelewa na
                                             kushughulikiwa hadi kufikia mwezi Mei, 2007.

                                             Rufaa 1016 zilipokelewa kutoka kwa wafanyakazi na
                                             waajiri katika Sekta Binafsi, na kati ya hizo rufaa 431
                                             zimetolewa uamuzi. Rufaa 66 zilipokelewa kutoka kwa
                                             wafanyakazi na waajiri kutoka katika Sekta ya Umma
                                             na kati ya hizo rufaa 62 zimetolewa uamuzi.
8.   Kuratibu ufanisi wa kazi za Mabaraza    Uratibu wa ufanisi wa kazi za Mabaraza ya Usuluhishi
     ya Usuluhishi.                          unaendelea kufanyika na unaandaliwa mkakati maalum
                                             kwa ajili ya kuharakisha utolewaji maamuzi katika
                                             mabaraza hayo.
9.   Kuratibu na kusimamia Sheria na Sera    Mikutano mbalimbali ya wadau ilifanyika kati ya Januari
     zinazopambana na Ajira mbaya ya         na Mei, 2007 kutathmini suala zima la Ajira ya Watoto
     mtoto.                                  ikiwa ni pamoja na kuzishirikisha Halmashauri za
                                             Wilaya na Wadau kwa ujumla katika kuweka mipango




                                             173
                                               na mikakati ya kupambana na utumikishwaji wa watoto.
10.   Kukamilisha taratibu za kutunga Sheria   Nyaraka za Baraza la Mawaziri zinazohusu kutungwa
      ya Hifadhi ya Jamii nchini.              kwa Sheria ya fidia kwa Wafanyakazi na sheria ya
                                               Hifadhi ya Jamii zimekwishajadiliwa katika ngazi ya
                                               Makatibu Wakuu (IMTC) kwa sasa zinasubiri kujadiliwa
                                               katika ngazi ya Baraza la Mawaziri.
11.   Kufanya ukarabati wa Ofisi za Kazi za     Ukarabati wa Ofisi ya Kazi ya Arusha umekamilika.
      Morogoro, Dodoma, Mtwara, Arusha,        Ukarabati wa majengo ya ofisi za kazi Dar es Salaam,
      Dar es Salaam, Kilimanjaro, Kigoma       Morogoro, Same na Kigoma unaendelea. Aidha,
      na kufanya maandalizi ya ukarabati       maandalizi ya ukarabati wa majengo ya ofisi za kazi
      kwa Ofisi za Kazi za Shinyanga, Mara,    Shinyanga, Mara, Kagera, Rukwa, Tabora, Singida na
      Kagera, Rukwa, Tabora, Singida na        Lindi yanaendelea.
      Lindi.
12.   Kukamilisha na kuanza kutekeleza         Rasimu ya Mkakati wa Taifa wa Kukuza Ajira
      Mpango wa Taifa wa kukuza Ajira          imekamilika, kuwasilishwa na kupitishwa na Sekretarieti
      nchini na kusimamia shughuli za          ya Baraza la Mawaziri na inasubiri kujadiliwa na Kamati
      kukuza ajira katika sekta rasmi na       ya Makatibu Wakuu (IMTC). Ili baada ya sera ya Taifa
      sekta isiyo rasmi.                       ya Ajira kupitishwa na Baraza la Mawaziri, Mkakati huo
                                               utatekelezwa.

                                               Mpango wa Taifa wa kukuza ajira (National
                                               Employment Creation Programme) umekamilika na
                                               kujadiliwa na wadau wa sekta ya Ajira tayari kwa hatua
                                               za utekelezaji katika mwaka wa fedha wa 2007/08 –
                                               2009/2010.       Sekta mbalimblai zikiongozwa na
                                               Wizara/Idara na Wakala wa Serikali, Serikali za Mikoa
                                               pamoja na Halmashauri za Manispaa/Wilaya zote
                                               zitahusika na utekelezaji wa Mpango huu.

                                               Jumla ya Tshs.67,200,000/= zimetolewa kwa
                                               Halmashauri za Wilaya 16 za Tanzania Bara (kila moja
                                               Tshs.4,200,000/=) kwa ajili ya utekelezaji wa mpango
                                               wa mafunzo kwa wananchi kujiajiri kwa lengo la
                                               kuondoa umaskini.
13.   Kuendelea kukusanya mawazo na            Viashiria muhimu “Key indicators” vya Utafiti wa watu
      mbinu za kukuza ajira katika sekta       wenye uwezo wa kufanya kazi “Intergrated Labour
      mbalimbali na kupima kasi ya ukuaji      Force Survey” 2005/06 vinavyotoa mwelekeo na
      wa ajira na Nguvu kazi nchini kwa        mwenendo wa hali ya ajira vimekamilika na vinaweza
      kushirikiana na Ofisi ya Takwimu ya      kutumika katika mipango mbalimbali ya kisera. Ripoti
      Taifa.                                   kamili inatarajiwa kuzinduliwa mwezi Julai, 2007.

                                               Kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu
                                               umeandaliwa mkakati wa ukusanyaji wa Takwimu mpya
                                               za ajira kwa kupitia tafiti mbalimbali za Kaya za kila
                                               mwaka zilizopangwa kwenye Mkakati wa Kukuza




                                               174
                                               Uchumi na kupunguza umaskini Tanzania (MKUKUTA);
                                               ambapo kwa mara ya kwanza masuala ya ajira
                                               yameingizwa katika utafiti wa mapato na matumizi ya
                                               kaya binafsi “Household Budget Survey” 2006/07.

                                               Wizara kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu
                                               (National Bureau of Statistics) inakamilisha utaratibu
                                               endelevu wa kukusanya taarifa na takwimu za hali na
                                               mipango ya ukuaji wa Ajira nchini kupitia mpango wa
                                               takwimu wa Wizara (Sectoral Statistical Master Plan).
14.   Kuanzishwa kwa vituo vya ajira katika    Ukarabati wa jengo la Wizara katika jiji la Mwanza
      miji ya Mwanza, Arusha na Mbeya ili      umekamilika na Kituo kimefunguliwa na kuanza
      kupanua wigo wa huduma za ajira kwa      shughuli zake kuanzia tarehe 21/04/2007. Kituo hiki
      wananchi nchini.                         kitatoa huduma katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa
                                               ikiwemo Mkoa wa Kagera, Shinyanga, Mara na
                                               Mwanza. Juhudi za kuanzisha vituo katika majiji ya
                                               Arusha na Mbeya zinaendelea.
15.   Kukamilisha taratibu za upatikanaji wa   Utaratibu umekamilika na fedha zimewasilishwa kwa
      mitaji kupitia mabenki kutokana na       CRDB Bank na National Micro-Finance Bank (NMB)
      fedha za wastani wa shilingi billioni    kwa ajili ya kuwakopesha walengwa. Benki hizi
      moja kwa kila Mkoa zilitolewa na         zimeshatoa mikopo kwa SACCOS, Vikundi vya
      Serikali.                                wajasiriamali mbalimbali katika Mikoa/Halmashauri za
                                               Tanzania Bara.

                                               Jumla ya Tshs.17,802,129,660/= zimeshatolewa hadi
                                               kufikia mwezi Mei, 2007. Wizara kwa kushirikiana na
                                               Wizara ya Mipango, Uchumi na Uwezeshaji, Ofisi za
                                               Serikali za Mikoa, Halmashauri za Manispaa/Wilaya,
                                               Benki Kuu ya Tanzania, CRDB na NMB zimeendelea
                                               kutoa elimu na taarifa kuhusu utaratibu wa wananchi
                                               kupata mitaji kupitia benki na Taasisi zilizoidhinishwa
                                               kutoa mikopo kwa wananchi.

                                               Halmashauri zimeelimishwa juu ya majukumu ya
                                               uwezeshaji na kutoa mafunzo ya kuwaelimisha
                                               wajasiriamali. Wizara imesambaza mwongozo kuhusu
                                               utaratibu wa utekelezaji wa Mpango wa Uwezeshaji
                                               kwa Halmashauri zote na jinsi ya kutoa mikopo kwa
                                               wananchi. Utaratibu unaandaliwa kuhusu mfumo bora
                                               wa ukusanyaji wa takwimu, kuhifadhi na kutoa taarifa
                                               kwa mamlaka husika kuhusu mwenendo wa utekelezaji
                                               wa mpango.
16.   Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara         Kikao cha utatu kimekuwa kikiendelea kupitia maombi
      katika makampuni mbalimbali ili          yote ya vibali na kutoa maamuzi ya kukagua wageni
      kuhakiki ajira kwa wageni na             ambao wanatiliwa shaka. Kikao hiki hufanyika mara




                                               175
      kujiridhisha kuwa sheria za nchi          tatu kwa mwezi na kinahusisha wadau kutoka TUCTA,
      zinafuatwa.                               ATE, Idara ya Uhamiaji na Wizara ya Kazi, Ajira na
                                                Maendeleo ya Vijana.
17.   Kuanzisha kitengo cha “Cross border       Kitengo bado hakijaanza rasmi japokuwa kwa sasa kina
      placement services” kwa ajili ya          maofisa wawili wanaoshughulikia kuanzishwa kwa
      kuwatafutia Watanzania nafasi za kazi     kitengo hiki. Kwa sasa maofisa hawa wakisaidiana na
      nje ya nchi na kusaidia Watanzania        wafanyakazi wengine tayari wameshakamilisha rasimu
      waishio nje ya nchi kupata nafasi za      ya kuanzishwa kwa kitengo hiki pamoja na mpango wa
      kazi.                                     kazi kwa mwaka ujao wa fedha.
18.   Kuratibu maonesho ya biashara ya          Maonesho ya Nane ya Nguvu Kazi/Juakali kwa Nchi za
      sekta isiyo rasmi (nguvu kazi) kwa nchi   Jumuiya ya Afrika Mashariki yalifanyika Dar es Salaam
      za Afrika Mashariki yatakayofanyika       tarehe 3 – 13 Desemba, 2006. Jumla ya Wajasiriamali
      Dar es Salaam Novemba, 2006 kwa           ilikuwa 577; Kenya (127), Uganda (75), Tanzania (343)
      kushirikiana na Wizara ya Viwanda,        na Rwanda (32).
      Biashara na Masoko pamoja na
      Taasisi za Sekta Isiyo Rasmi.             Maandalizi ya Ushiriki wa Wajasiriamali wa Tanzania
                                                kwenda kwenye maonesho ya Tisa Jijini Nairobi, Kenya
                                                mwezi Novemba, 2007 yanaendelea.
19.   Kutoa       taarifa  kupitia  vyombo      Serikali imekuwa ikitoa taarifa mbalimbali kuhusu
      mbalimbali vya habari na mawasiliano      utekelezaji wa mpango wa uwezeshaji kupitia vyombo
      ili kuwawezesha wananchi kujua            vya habari (TV, Radio na Magazeti).
      namna ya kupata mitaji na mafunzo ya
      kujiajiri na kuondokana na umaskini.      Aidha, Wizara imekuwa ikiwasiliana na Halmashauri za
                                                Wilaya mbalimbali vijijini kutoa taarifa kuhusu mpango
                                                wa Serikali kuendesha mafunzo kwa wananchi
                                                kuwawezesha kujiajiri, kuboresha miradi yao kwa lengo
                                                la kuondoa umaskini. Kipaumbele ni kwa wananchi
                                                walioko vijijini. Wizara inahusika na kuwasilisha fedha
                                                za mafunzo, Halmashauri zinahusika na kuibua
                                                washiriki kulingana na mahitaji yao ya mafunzo na pia
                                                kulingana na malengo ya Halmashauri kwa wakati
                                                husika.
20.   Kuratibu na kuendeleza uanzishwaji        Hivi sasa makampuni yanayotoa huduma hizi yanakuja
      wa wakala binafsi wa huduma za ajira      wizarani kujiandikisha kabla ya kuanza kutoa huduma.
      nchini.
21.   Kukamilisha hatua ya pili ya              Rasimu ya Sera ya Taifa ya Ajira ya mwaka 2007
      marekebisho ya Sheria za Kazi na          imekamilika na kuwasilishwa kwa Kamati ya Makatibu
      Ajira.                                    Wakuu (IMTC) na kujadiliwa. Kamati imetoa hoja
                                                muhimu za nyongeza na mapendekezo ya maeneo ya
                                                kufanyiwa marekebisho na kuwasilishwa kwa
                                                majadiliano zaidi kabla ya kuwasilishwa kwenye kikao
                                                cha Baraza la Mawaziri.

                                                Wizara imeandaa mapendekezo ya utaratibu wa
                                                mchakato wa kukamilisha Rasimu ya Mswada wa




                                                176
                                                Sheria ya Huduma za Ajira nchini (Draft National
                                                Employment Promotion Services Bill, 2007) kwa mfumo
                                                wa kushirikisha wadau.

                                                Wizara kwa kushirikiana na Wizara ya Katiba na
                                                Sheria/Kamisheni ya kurekebisha Sheria (Law Reform
                                                Commission) itawashirikisha wadau wa Sekta ya Ajira
                                                na Kazi kuijadili na kukamilisha rasimu husika na
                                                baadaye kuwasilisha kwenye Mamlaka za Serikali na
                                                hatimaye Bungeni kwa kujadiliwa na kupitishwa.
22.   Kuratibu mpango wa kukuza ajira kwa       Kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo, Chakula na
      kuainisha Vyama vya Ushirika vya          Ushirika, Wizara iliandaa ujumbe wa Mwenge wa
      Akiba na Mikopo (SACCOS) za vijana        mwaka 2006 kuhusu uanzishaji na Uimarishaji wa
      katika Wilaya zote kwa kushirikiana na    SACCOS kama njia mojawapo ya kukuza ajira na
      Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika     kupunguza umaskini kwa watanzania. Ujumbe huu
                                                ulitolewa katika wilaya zote 136 za Tanzania na
                                                Watanzania wengi wamehamasika na kuanzisha
                                                SACCOS katika sehemu mbalimbali nchini. Aidha
                                                wataalam wa Wizara wameendelea kuhamasisha
                                                vijana kuanzisha SACCOS kwa kutumia fursa
                                                zinazojitokeza.
23.   Kuandaa Warsha za Wadau kwa ajili         Wizara kwa kushirikiana na Shirika la Kazi Duniani
      ya Mashirika na Taasisi za Serikali na    (ILO) iliendesha Warsha za wadau zilizolenga kupata
      NGOs zenye lengo la kuhamasisha           mawazo na michango kutoka kwa vijana wajasiriamali
      ukuzaji wa ajira kwa vijana katika        na wadau wa maendeleo ya vijana ili kuandaa na
      Mikoa yote.                               kutekeleza mkakati wa Taifa wa kukuza ajira. Jumla ya
                                                warsha tatu zilifanyika Dar es Salaam, Tanga na Iringa
                                                na kuwajumuisha vijana 300 kutoka Mikoa ya Dar es
                                                Salaam, Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Iringa, Mbeya na
                                                Ruvuma. Vijana walitoa michango mizuri ambayo
                                                imejumuishwa katika mkakati wa Taifa wa kukuza ajira
                                                nchini.
24.   Kuchapisha na kusambaza kwa vijana        Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana iliyofanyiwa
      na wadau wengine Sera ya Maendeleo        mapitio, tayari imepitishwa na Baraza la Mawaziri. Hivi
      ya Vijana iliyofanyiwa mapitio baada ya   sasa imepelekwa Baraza la Kiswahili la Taifa kufanyiwa
      kupitishwa na Baraza la Mawaziri.         Tafsiri na baada ya zoezi hili itachapishwa na
      Aidha programu ya Utekelezaji wa          kuzinduliwa rasmi ambapo usambazaji wake na
      Sera hiyo itaandaliwa na kuanza           utekelezaji utaanza mara moja.
      kutekelezwa ili kukuza ajira kwa vijana
      kote nchini na kupambana na
      umaskini.
25.   Kushirikiana na vyuo vikuu kuhakikisha    Wizara iliendelea kuhamasisha vijana wanaotarajia
      vijana wote wanaomaliza Vyuo Vikuu        kuhitimu na wale waliohitimu katika vyuo vikuu
      wanaandikishwa katika vituo vya Ajira     kujiandikisha katika vituo vya ajira kwa kushirikiana na
      kama nguvu kazi iliyo tayari kwa ajira.   vyuo vikuu na taasisi mbalimbali zinazojihusisha na




                                                177
                                               suala la ajira kwa vijana ili waweze kupata ajira pale
                                               nafasi zinapopatikana.
26.   Kuimarisha uzalishaji katika vikundi     Wizara imeendelea kuwahamasisha vijana kuanzisha
      vya vijana na “vijiwe” kwa kuwapatia     na kujiunga katika vikundi vya kuzalisha mali kote
      mafunzo katika nyanja za ukuzaji         nchini kupitia mbio za Mwenge wa Uhuru, Halmashauri
      biashara na Masoko, Ufundi na            za Wilaya na mikutano/warsha mbalimbali
      Uongozi na utawala wa Miradi.            inayoendeshwa na Wizara. Aidha kwa mwaka wa
                                               fedha 2006/2007 Wizara kwa kushirikiana na Mkoa wa
                                               Mwanza imeainisha/imetambua “vijiwe” vya vijana 169
                                               vyenye washiriki 1945 katika jiji la Mwanza kwa lengo la
                                               kuvibadilisha na kuwa vikundi vya kuzalisha mali. Kwa
                                               upande wa mafunzo ya ujasiriamali jumla ya vijana 80
                                               kutoka mikoa ya Dodoma, Iringa, Singida, Tanga,
                                               Mbeya na Morogoro wamepata mafunzo haya chini ya
                                               uratibu wa Kituo cha Vijana Ilonga yaliyofanyika mwezi
                                               Machi, 2007 Dodoma na mwezi Mei, 2007 Morogoro.
27.   Kuendelea kuratibu shughuli za Mfuko     Jumla ya Tshs.500,000,000/= zilitengwa kwa ajili ya
      wa Maendeleo ya Vijana kwa kuweka        kuwakopesha vijana kupitia mfuko wa vijana. Aidha
      utaratibu mzuri zaidi utakaohakikisha    maofisa wa Idara walikwenda wilayani Kwimba Jijini
      fedha     zinazotolewa     zinawafikia   Mwanza na Manispaa ya Arusha kuratibu utekelezaji
      walengwa.           Aidha    wakopaji    mzima wa utoaji wa mikopo na urejeshaji wa fedha za
      wanapatiwa mafunzo kabla ya kupewa       mfuko. Wizara inaendelea kuzihamasisha halmashauri
      mikopo na kuwajengea uwezo vijana ili    za wilaya kutenga asilimia 5% ya mapato yake kwa ajili
      waweze kurejesha mikopo kwa wakati.      ya mfuko wa maendeleo ya vijana.

                                               Wilaya 26 mpaka sasa zimerejesha jumla ya
                                               Tshs.75,602,469.28. Wilaya 15 zimekopeshwa mara
                                               mbili jumla ya Tshs.86, 513,390.80 na Wilaya tatu
                                               zimekopeshwa mara tatu jumla ya shilingi 38,
                                               932,902/=.
28.   Kukusanya takwimu za vijana              Serikali imeendelea kukusanya takwimu zinazohusu
      zinazohusu shughuli zao katika Wilaya    shughuli za vijana nchini na hadi sasa tayari imepokea
      43 zilizobaki na kuandaa orodha ya       taarifa na takwimu hizo kutoka wilaya 27 kati ya wilaya
      vikundi vya vijana (Youth Mapping)       46 zilizokuwa zimesalia awali na hivyo kufanya zoezi
                                               zima la “youth mapping” kukamilika katika wilaya 103.
                                               Zoezi hili lenye lengo la kutambua vijana nchini waliko
                                               na shughuli wanazofanya kwa lengo la kuwafikia
                                               kiurahisi linaendelea.
29.   Kuendeleza ukarabati wa vituo vya        Jumla ya Shilingi 151,966,538.30 zimetolewa kwa ajili
      Mafunzo kwa vijana vya Ilonga,           ya zoezi la ukarabati wa vituo vya vijana vya Ilonga,
      Sasanda na Marangu na pia                Sasanda na Marangu.           Utaratibu wa kumpata
      kuendelea kuimarisha Kituo cha           Mkandarasi umefanyika na kazi hiyo itaanza mara tu
      Mtandao wa mawasiliano (Tovuti ya        taratibu nyingine zitakapokamilika. Aidha, wizara
      Vijana) Ilonga na kuhamasisha vijana     imeandaa muhtasari na miongozo ya kufundishia katika




                                               178
      wengi zaidi kukitumia.                      vituo vya vijana nchini katika masomo ya ujasiriamali,
                                                  uongozi, utunzaji wa hesabu za fedha na stoo,
                                                  uanzishaji na uendeshaji wa miradi.
30.   Kuandaa na kutekeleza mpango wa             Semina ya mafunzo ya UKIMWI imeendeshwa kwa
      malezi unaojumuisha vijana na               waelimisha rika 25 kutoka mikoa ya Pwani na Dar es
      viongozi wa NGOs za vijana katika           Salaam. Aidha, imeendeshwa semina ya shughuli za
      kutoa ushauri nasaha, stadi za Maisha,      ushauri nasaha na maongozi kwa viongozi 20 kutoka
      Afya ya Uzazi na vita dhidi ya UKIMWI.      Idara ya Vijana, NGOs na vituo vya mafunzo ya vijana
                                                  vya Ilonga, Sasanda na Marangu.

                                                  Kwa kushirikiana na Asasi ya vijana ya UVIKITWE,
                                                  elimu kuhusu maambukizi ya UKIMWI imetolewa na
                                                  kuwanufaisha jumla ya vijana 100 kutoka Wilaya ya
                                                  Kinondoni.

                                                  Kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya kudhibiti dawa
                                                  za kulevya, Wizara imeendesha warsha ya kutoa elimu
                                                  ya ufahamu kuhusu dawa za kulevya na athari zake
                                                  kijamii, kiuchumi na kiafya kwa wadau kutoka katika
                                                  NGOs na Taasisi za kiserikali zinazoshughulika na
                                                  vijana nje ya shule. Washiriki 30 kutoka mkoa wa
                                                  Pwani na Dar es Salaam walifaidika na mafunzo hayo.

                                                  Viongozi wa vikundi vya vijana kutoka Mkoa wa
                                                  Morogoro walipatiwa mafunzo kuhusu stadi za maisha
                                                  kupitia semina iliyofanyika Ilonga – Kilosa ambapo
                                                  vijana 30 walihudhuria.
31.   Kuwahamasisha         vijana    kushiriki   Serikali kwa kushirikiana na UNDP iliandaa na
      kwenye shughuli za kujitolea Duniani        kuendesha kambi za kazi za vijana nne ambazo
      na kuendesha kambi za kujitolea za          zilifanyika Sasanda wilayani Mbozi, Madale katika
      vijana kwa kushirikiana na UNDP ikiwa       manispaa ya Kinondoni, Ilonga Wilayani Kilosa na
      ni utekelezaji wa kuinua moyo wa            Marangu – Moshi vijijini. Kambi hizi ziliwahusisha
      kujitolea kwa vijana nchi nzima.            vijana takriban 150 na wananchi wa maeneo husika
                                                  walihamasika na kushiriki katika kazi mbalimbali za
                                                  maendeleo zikiwa ujenzi wa shule, hifadhi ya mazingira
                                                  n.k. Aidha sherehe za siku ya kujitolea Duniani
                                                  zilifanyika wilayani Mwanga – Mkoani Kilimanjaro
                                                  ambapo wananchi wa Wilaya ya Mwanga na vijana
                                                  kutoka mataifa mengine walijitolea kufanya shughuli za
                                                  usafi na ujenzi wa uwanja wa mpira wa Cleopa D.
                                                  Msuya – Mjini Mwanga kwa wiki nzima.
32.   Kuhamasisha uanzishwaji wa vituo vya        Vituo vya vijana vimeanzishwa katika wilaya 19 ambazo
      Maendeleo ya vijana katika ngazi za         Wizara kwa kushirikiana na Shirika la kuhudumia
      wilaya kote nchini (Youth Development       watoto Duniani (UNICEF) zinaendesha mpango wa
      Centres).                                   vijana nje ya shule (Out of School Youth Programme)




                                                  179
                                                lakini katika Wilaya nyingine bado zoezi hili
                                                halijafanyika kutokana na ufinyu wa bajeti.
33.   Kuratibu Mbio za Mwenge wa Uhuru          Wizara iliratibu mbio za Mwenge zilizozinduliwa rasmi
      na Wiki ya Vijana na kuhamasisha kila     tarehe 30/05/2006 mjini Morogoro, katika Mikoa ya
      halmashauri ya wilaya kuadhimisha         Morogoro, Mwanza, Tanga, Kilimanjaro, Dar es
      wiki ya vijana ambayo hufanyika kila      Salaam, Zanzibar na Ruvuma.
      mwaka tarehe 8 - 14 Oktoba.
                                                Kilele cha Mbio za Mwenge kilifanyika kwa ufanisi
                                                Mkoani Ruvuma na wiki ya vijana kitaifa iliadhimishwa
                                                tangu tarehe 8 – 14 Oktoba, 2007. Halmashauri zote
                                                za wilaya zilihamasishwa kuadhimisha wiki hiyo ya
                                                vijana. Katika Mbio za Mwenge za mwaka 2006 jumla
                                                ya      miradi    1679       yenye       thamani       ya
                                                Tshs.73,929,512,030/= ilizinduliwa.        Aidha vijana
                                                kutoka Mikoa mbalimbali walishiriki katika wiki ya vijana
                                                na maonyesho pamoja na warsha iliyoendeshwa kwa
                                                siku saba na kuzungumzia pia masuala ya UKIMWI,
                                                ushauri nasaha, dawa za kulevya na matumizi ya ARV.
                                                Kwa mwaka huu mbio za Mwenge wa Uhuru
                                                zimezinduliwa rasmi tarehe 30/05/2007 mjini Magharibi
                                                – Zanzibar na matayarisho yote ya shughuli
                                                yamefanyika; kilele kitafanyika mkoani Arusha tarehe
                                                14/10/2007.
34.   Kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu Muundo wa Utumishi “Scheme of Service” kwa maofisa
      (TAMISEMI) ili kuajiri Maafisa Vijana vijana umeshaandaliwa na kuwasilishwa Ofisi ya Waziri
      katika Halmashauri zote ili kuwafikia Mkuu (TAMISEMI) kama mojawapo ya hatua za
      vijana.                                   mchakato wa kuwaajiri maofisa vijana katika kila
                                                Halmashauri ya Wilaya. Baadhi ya Halmashauri za
                                                Wilaya nchini zimeshatangaza nafasi za ajira ya Afisa
                                                vijana kwa mfano Halmashauri ya Mji wa Shinyanga.
35.   Kuratibu uanzishwaji wa Baraza la Kwa kuwa uanzishwaji wa Baraza umetamkwa ndani ya
      Taifa la Vijana kisheria, pamoja na Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana, uundaji wake
      kuanzishwa kwa vikundi vya vijana na ulitegemea ukamilishaji wa Sera ya Taifa ya Maendeleo
      kuvisajili katika ngazi ya kata na vijiji ya Vijana. Tayari Sera imepitishwa na Baraza la
      ikiwa ni maandalizi ya kuunda baraza Mawaziri na hivyo kutoa mwanya kwa Wizara kuanza
      la vijana kuanzia ngazi ya kijiji.        mchakato wa kuunda Baraza la vijana kwa kuzingatia
                                                vipengele muhimu vilivyorekebishwa katika sera kama
                                                vile umri. Hivi sasa Idara inaendelea na taratibu za
                                                kuandaa sheria itakayoanzisha Baraza la Vijana ikiwa
                                                ni pamoja na kuhamasisha vijana kuanzisha vikundi
                                                kisheria.
36.   Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi na Waajiri
      Kusimamia na kuratibu shughuli za Vyama viwili vya Wafanyakazi ambavyo ni “Tanzania
      Vyama vya Wafanyakazi na Waajiri Pilot Association” (TPA) na “Tanzania Agro-Forestry
      kwa mujibu wa sheria mpya ya kazi.        Workers Union” (TAWU) vilisajiliwa. Idadi ya Vyama




                                                 180
                                                vya Wafanyakazi na Waajri vilivyosajiliwa mpaka sasa
                                                imefikia 21. Aidha, ombi moja la usajili wa chama cha
                                                waajiri katika sekta za viwanda, kilimo, madini na
                                                biashara lilipokelewa na linashughulikiwa.
37.   Kufanya kaguzi za vyama pamoja na         Kaguzi 19 za kumbukumbu za wanachama kwa vyama
      matawi yake yaliyopo nchini kote ili      vilivyo katika Mikoa ya Kagera, Mara, Rukwa na Mbeya
      kuhakikisha kuwepo kwa ufanisi.           zilifanyika.

                                                Ushauri juu ya utekelezaji wa majukumu hususan
                                                katika uundaji wa Matawi mapya ya Vyama, utunzaji wa
                                                kumbukumbu za wanachama, matumizi mazuri ya
                                                fedha za Vyama, na usuluhishi wa migongano ya
                                                kichama, kupitia majadiliano (dialogue) umetolewa.
38.   Kutoa ushauri na kuelimisha vyama juu     Ushauri kwa vyama na wanachama, hususan
      ya utekelezaji wa Sheria Mpya za Kazi     migongano       inayotokana      na     kunyang‟anyana
      pamoja na majukumu yake kwa mujibu        wanachama, uundaji wa vyama vipya na migogoro kati
      wa kanuni na katiba za vyama hivyo ili    ya vyama na ile ya kiuongozi umetolewa kwa vyama 9
      kupunguza migogoro.                       (TASU, WAMEUTA, COTWU (T) DOWUTA, TEWUTA,
                                                RAAWU, TUICO, TUGHE na TUPSE).

                                                Aidha, ushauri umeendelea kutolewa kwa mfanyakazi
                                                mmoja mmoja kuhusiana na hoja mbalimbali
                                                zilizotolewa juu ya uhuru wa kujiundia vyama vya
                                                wafanyakazi. Mkutano kuhusu matumizi ya sheria mpya
                                                za kazi ulifanywa kwa kuwashirikisha wadau husika.
39.   Kushirikiana na ILO, kufanya mafunzo      Maandalizi ya mafunzo yamekamilika na mafunzo
      ya kuboresha uwezo wa majadiliano         yatafanyika robo ya kwanza ya mwaka 2007/08.
      kwa viongozi wa vyama vya
      wafanyakazi.
40.   Kukamilisha mchakato wa kushirikisha      Mchakato       wa    kushirikisha    sekta   binafsi
      sekta binafsi katika utoaji wa huduma     umeshakamilika. Sekta Binafsi inashirikishwa katika
      kwa Umma                                  utoaji wa Huduma kwa Umma Wizarani kupitia shughuli
                                                za ulinzi na uhudumu (hasa kutoa huduma ya usafi na
                                                matengenezo madogo madogo ya vifaa vya Ofisi).
41.   Kuendeleza mkakati wa kuongeza            Kwa mwaka 2006/2007 jumla ya watumishi arobaini
      idadi ya watumishi kwa kuajiri            (40) wa kada mbalimbali wameajiriwa.
      watumishi wapya na kuboresha
      mazingira ya kazi ili kuleta ufanisi na
      ubora unaotakiwa.
42.   Kuzindua mkataba wa Huduma kwa            Mkataba wa Huduma kwa Wateja (Clients Service
      wateja (Clients Service Charter)          Charter) kwa Utumishi wa Umma umezinduliwa tarehe
                                                23/06/2007.
43.   Kuratibu na kusimamia shughuli za         Wizara inaendelea kushiriki kikamilifu katika shughuli
      michezo kwa wafanyakazi wa Wizara         za michezo ya wizara na Idara za Serikali. Wizara pia
      ikiwa ni pamoja na kuhakikisha Wizara     inashirikisha wafanyakazi kwenye michezo ya Mei Mosi




                                                181
      inashiriki michezo ya Wizara na Idara   inayofanyika kila mwaka.          Aidha watumishi 10
      za Serikali (SHIMIWI).                  walishiriki kwenye Mei Mosi 2007 mkoani Mwanza.
                                              Wafanyakazi pia            hushiriki katika michezo ya
                                              BONANZA inayoshirikisha watumishi wa umma kutoka
                                              Wizara/Taasisi mbalimbali za umma katika Jamhuri ya
                                              Muungano wa Tanzania.
44.   Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF)
      Kukusanya mapato yanayofikia shilingi Shirika lilikusanya kiasi cha shilingi milioni 168,122.4
      billioni 208.8 kutoka katika vyanzo kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali mpaka mwezi
      vyake mbalimbali vya mapato na Machi, 2007 na kutumia kiasi hicho hicho kulipia mafao
      kutumia kiasi hicho hicho cha fedha.    ya wanachama, kuwekeza kwenye vitega uchumi
                                              mbalimbali, gharama za uendeshaji na miradi ya
                                              maendeleo. Hii ni asilimia 104 ya lengo la kukusanya
                                              shilingi milioni 162,058.3 katika kipindi hicho. Shirika
                                              lilitarajia kukusanya Shilingi 214,757.5 mpaka kufikia
                                              mwishoni mwa mwezi Juni, 2007.
45.   Kuendelea kuweka kompyuta katika Uwekaji wa kompyuta katika Ofisi mbalimbali na
      ofisi za Mikoa na Wilaya na kisha kuziunganisha unaendelea. Wataalam wa kuweka
      kuziunganisha katika mtandao wa mifumo ya kompyuta na mawasiliano kupitia mtandao
      shirika (“Internet communication”).     wa kompyuta kwa shughuli zote za Shirika
                                              wanaendelea na kazi hiyo ili kuboresha huduma
                                              ambapo Ofisi 21 za mikoa na 2 za wilaya
                                              zimekwishaunganishwa kwenye mfumo wa kompyuta
                                              wa Shirika katika kipindi hiki.
46.   Kuendelea kuboresha uwekaji wa Shirika               linaendelea    kuboresha      uwekaji   wa
      kumbukumbu            mbalimbali     za kumbukumbu mbalimbali za wananchama, vituo vya
      wanachama kwa kujenga vituo vitatu kutunzia kumbukumbu katika mikoa ya Mtwara na
      vya kuweka kumbukumbu katika Mikoa Morogoro, Iringa, Mwanza umekamilika. Vituo vingine
      ya Mbeya, Shinyanga na Mara.            vidogo viko kwenye maandalizi navyo ni Mbeya na
                                              Musoma.
47.   Kuendelea na ujenzi wa majengo ya Ujenzi wa jengo la Ofisi katika Jiji la Mwanza
      ofisi na vitega uchumi katika jiji la umeshakamilika. Ujenzi wa Ofisi katika mkoa wa
      Mwanza, Manispaa ya Bukoba na ofisi Kagera, wilaya ya Mbozi na Njombe umesogezwa
      ya Wilaya ya Mbozi.                     mpaka kipindi cha mwaka wa fedha ujao.
48.   Kukamilisha ujenzi wa jengo la Mafuta Ujenzi wa jengo la Benjamin Mkapa Pension Tower
      House (Benjamin Mkapa Pension (Mafuta House) unaendelea vizuri na uko katika hatua
      Tower).                                 za mwisho kukamilika.
49.   Kuanzisha Miradi Mipya ya ujenzi wa Jengo la Bunge limekamilika na kukabidhiwa kwa
      jengo la Ubalozi wa Tanzania Jijini Serikali. Ujenzi wa nyumba za watumishi wa Serikali
      Nairobi Nchini Kenya, Ujenzi wa Kijitonyama umeshakamilika ujenzi umegharimu kiasi
      nyumba za Jeshi la Wananchi wa cha Shilingi bilioni 13.8.
      Tanzania (JWTZ) na ujenzi wa nyumba
      za Jeshi la Polisi, Nyumba za Mamlaka Shirika limeanza ujenzi wa nyumba za Jeshi la
      ya      Mapato       Tanzania    (TRA), Wananchi. Aidha mazungumzo ya ujenzi wa nyumba
      Uendelezaji wa kiwanja cha Ex-AISCO za Polisi na Magereza yanaendelea.




                                                182
      kilichopo Jijini Dar es Salaam na
      Ujenzi wa majengo kwa ajili ya
      Wafanyabiashara           ndogondogo
      (Industrial Parks).
50.   Kukamilisha taratibu za maandalizi ya      Mapendekezo ya ujenzi wa daraja la Kigamboni
      ujenzi wa daraja la Kigamboni ambapo       yamekamilishwa na kuwasilishwa Serikalini kwa
      ujenzi wake utaanza katika mwaka wa        maamuzi.
      fedha wa 2007/2008
51.   Kuanza ujenzi wa mabweni ya                Mabweni ya Wanafunzi yataanza kujengwa katika
      wanafunzi wa Chuo Kiukuu kishiriki         mwaka wa fedha wa 2007/08.
      cha Waalimu Chang‟ombe (DUCE)
      Jijini Dar es Salaam.
52.   Kufanya kaguzi 3800 za kawaida za          Kaguzi 3,432 za kawaida zilifanyika.
      usalama na afya viwandani na sehemu
      zingine za kazi.
53.   Kufanya kaguzi 3,680 muhimu za             Kaguzi 3,005 maalum za kisheria zilifanyika. Kati ya
      kisheria za Usalama na Afya Mahali pa      hizo 239 ya mitambo ya mvuke, 780 ya vyombo vya
      Kazi.                                      upepo na 1,986 ya vyombo vya umeme.
54.   Kukamilisha uandaaji wa Sera ya Taifa      Maandalizi ya Sera ya Taifa ya Usalama na Afya
      ya Afya na Usalama Mahala pa Kazi.         Mahali pa Kazi yamekamilika na iko katika hatua ya
                                                 kupelekwa katika kikao cha Makatibu Wakuu.
55.   Kuimarisha Ofisi mbili za Kanda za         Ukarabati wa Ofisi ya Kanda ya Kaskazini
      Kaskazini na Ziwa zinazohusiana na         umeshakamilika. Maandalizi ya ukarabati wa Ofisi ya
      Usalama na Afya Mahali pa Kazi.            Kanda ya Ziwa yamekamilika na kazi imeanza Juni,
                                                 2007.
56.   Kuendelea kutoa mafunzo ya afya na         Mafunzo ya Afya na Usalama yanaendelea kutolewa.
      usalama mahali pa kazi wa kutumia          Mafunzo ya Kamati za Usalama na Afya yametolewa
      njia mbalimbali zikiwemo redio,            katika sehemu za kazi sita (6) na vipindi vya TV vitatu
      televisheni, magazeti na vipeperushi ili   vimerushwa.
      kuwafikia walengwa kwa wingi zaidi,
      hususan namna ya kuunda na
      kuendesha kamati za afya na usalama
      mahala pa kazi.
57.   Kuendelea kukamilisha ukarabati wa         Ukarabati wa makao makuu sehemu ya maabara na
      jengo la Ofisi sehemu ya Maabara na        maktaba unakaribia kumalizika, kilichobaki ni ufungaji
      Maktaba.                                   wa viyoyozi na samani.
58.   Kuendelea kuboresha shindano la Afya       Shindano la Afya na Usalama Kazini limeendelea
      na Usalama mahali pa kazi katika           kuboreshwa. Mwaka huu washiriki wameshirikishwa
      sehemu za kazi na waajiri wanaofanya       katika sekta tatu, ambazo ni Sekta ya Ujenzi, Madini na
      vizuri kupewa tuzo katika jitihada za      Kilimo na Misitu.
      kuboresha afya na usalama mahali pa
      kazi.
59.   Kuwahamasisha wafanya biashara             Mafunzo ya wahamasishaji wa warsha hizo
      wadogowadogo na wa kati ili waweza         yameshafanyika na uchambuzi wa sekta ya kuanzia
      kuboresha mazingira ya kazi kwa            umekamilika.




                                                 183
      kuendesha warsha katika mikoa sita ya
      Tanzania Bara.
60.   Kuajiri Wakaguzi zaidi ili kuimarisha   Tayari OSHA imepata kibali cha kuajiri watumishi 46.
      kanda zote nchini.                      Kati ya hao Wakaguzi ni 25.
61.   Kutoa mafunzo 80 ya kuboresha           Mafunzo 75 kati ya 80 yametolewa sawa na asilimia
      ufanisi na tija yatakayonufaisha        95.75 ya lengo lililopangwa. Aidha, Washiriki 1085 kati
      Watanzania kwa watu 1100 kutoka         ya 1100 waliotegemewa wamepata mafunzo sawa na
      taasisi za umma na binafsi.             asilimia 98.64 ya lengo lililokusudiwa.
62.   Kutoa huduma za uelekezi kwa wateja     Huduma za uelekezi zimetolewa kwa wateja 28. Hii ni
      30.                                     sawa na asilimia 93 ya lengo lililopangwa.
63.   Kufanya tafiti 8 katika maeneo          Tafiti 6 kati ya 8 zilizopangwa zimefanyika. Hii ni sawa
      yanayolenga kuboresha tija pamoja na    na asilimia 75 ya lengo lililopangwa.
      kuchangia katika juhudi za kukuza
      uchumi na kupunguza umaskini.
64.   Kuamua mashauri yatakayowasilishwa      Divisheni ya Mahakama ya Kazi inataratibu mbili za
      kwa mara ya kwanza mbele ya             usikilizaji wa mashauri kwa sasa. Utaratibu wa kwanza,
      Mahakama pamoja na kukaza hukumu        ni ule wa zamani wa kusikiliza mashauri yatokayo kwa
      na kumalizia mashauri yaliyopo.         Kamishna wa Kazi na Waziri wa Kazi. Kwa utaratibu
      Pia itapokea, itasikiliza na kuamua     huu imeendelea kusikiliza na kuyatolea maamuzi
      rufaa marejeo na rejea kutoka           mashauri 468 yaliyofikishwa mbele ya Mahakama.
      Kamisheni ya usuluhishi na utatuzi wa
      migogoro (CMA).                         1.    Mashauri yaliyokuwepo yalikuwa 252.
                                              2.    Mashauri mapya yaliyopokelewa ni 216
                                              3.    Jumla ya mashauri yaliyopo ni 468
                                              4.    Mashauri hayo yamegawanywa kama ifuatavyo:
                                                      Migogoro ya uchunguzi 338
                                                      Migogoro ya kikazi          3
                                                      Mikataba ya hiari          19
                                                      Marejeo                   108
                                              5.    Jumla ya mashauri yaliyotolewa maamuzi ni 116
                                              6.    Mashauri yaliyokaziwa hukumu ni 7.

                                              Katika utaratibu wa pili, Divisheni ya Mahakama ya Kazi
                                              imepokea mashauri mawili yaliyofikishwa Mahakamani
                                              kwa utaratibu wa Sheria mpya za Kazi. Kati ya
                                              Mashauri hayo shauri moja ni rufaa kutoka Kamisheni
                                              ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) na shauri jingine
                                              limeletwa moja kwa moja Mahakamani na tayari
                                              limeshatolewa uamuzi.
65.   Kukarabati Jengo la Mahakama na         Divisheni ya Mahakama ya Kazi ya Mahakama Kuu
      kuhamia.                                haikuweza kukarabati jengo lake lililoko Kinondoni Dar
                                              es Salaam kwa sababu ya zuio lililotolewa na Divisheni
                                              ya Mahakama ya Ardhi katika shauri lililofunguliwa na
                                              aliyekuwa mpangaji wa jengo hilo akidai kurudishiwa
                                              fedha alizotumia kukarabati jengo hilo wakati akiingia




                                              184
                                                kwenye jengo hilo miaka mitano iliyopita. Wakala wa
                                                Majengo Tanzania (TBA) wamekataa kumrudishia
                                                gharama hizo kwa sababu anadaiwa kodi ya pango
                                                inayozidi gharama za ukarabati alioufanya mpangaji
                                                huyo. Divisheni ya Mahakama ya Ardhi bado haijatoa
                                                uamuzi wa suala hili.
66.   Kuboresha huduma za Mahakama kwa          Divisheni ya Mahakama ya Kazi imeweka vifaa vya
      kuweka na kutumia vifaa vya kisasa        kisasa vya kutendea kazi katika kila ofisi ikiwa ni
      vya kimahakama, usajili, ukatibu na       pamoja na kompyuta, “laptops” na kadhalika. Divisheni
      kiutawala.                                pia imeweka samani mpya katika kila ofisi zake na
                                                ilianza kuweka mtambo wa kusajili, kupanga na
                                                kusikiliza mashauri kwa mtandao wa kompyuta kwa
                                                kutumia mtaalamu wa Mahakama ya Kazi ya Denmark.
                                                Lakini wakati wa ku-“install software” kati ya mtaalamu
                                                huyo akiwa Denmark na mtaalamu wa Divisheni ya
                                                Mahakama ya Kazi aliyekuwa Dar es Salaam,
                                                iligundulika kwamba utaalamu huo pamoja na mtambo
                                                wenyewe ulikuwa ukimtegemea sana mwenye mtambo
                                                huo aliyeko Denmark.              Hivyo suala zima la
                                                “sustainability” lilijitokeza. Divisheni ya Mahakama ya
                                                Kazi ilipendekeza na wafadhili walikubali kwamba kazi
                                                hiyo sasa ifanywe na wataalamu walioko nchini.
                                                Divisheni ya Mahakama ya Kazi hivi sasa iko kwenye
                                                mchakato wa kumtafuta mtaalamu atakaye “design” na
                                                ku-“install” mtambo huo.
67.   Kuboresha utendaji wa Mahakama            Divisheni ya Mahakama ya Kazi imeendelea
      kwa kuwaendeleza na kuwa na               kuwasomesha watumishi wake karibu wote waliokuwa
      watumishi wenye sifa ile kuleta ufanisi   hawana sifa ili wapate sifa. Watumishi wawili, Katibu
      zaidi.                                    Muhtasi na dereva mmoja wamefanya mtihani wa
                                                kidato cha nne. Watumishi wawili dereva na mhudumu
                                                wamefanya mtihani wa kidato cha pili na ili kuboresha
                                                utendaji wa watumishi, Divisheni ya Mahakama ya Kazi
                                                imewapeleka watumishi wake karibu wote, isipokuwa
                                                wahudumu, madereva na walinzi kwenye masomo
                                                mafupi ya mwezi mmoja mmoja nje ya nchi kama vile
                                                Swaziland, Afrika ya Kusini, Nairobi – Kenya, Zambia
                                                na Arusha hapa nchini. Pia watumishi wa ngazi ya
                                                chini waliotajwa hapo juu wamepelekwa kwenye
                                                mafunzo yanayotolewa na NIP Morogoro.
68.   Kufikisha huduma za Mahakama kwa            Divisheni ya Mahakama ya Kazi imeendelea kusogeza
      wahitaji kwa kufungua Ofisi za Kanda,       huduma zake karibu na wananchi. Mahakama
      kutumia “circuit/mobile courts” na njia     imeendesha kesi zake katika Kanda zake za Dar es
      za kisasa za mawasiliano pamoja na          Salaam, Arusha, Mbeya, Dodoma na kwa njia ya
      kuwapatia watumishi wa Mahakama             Circuit/Mobile Courts kwenye Mikoa ya Tanga,
      vitendea kazi.                              Morogoro na Mwanza. Watumishi wameendelea




                                                185
                                               kupatiwa vitendea kazi na huduma mbalimbali
                                               zimeendelea kutolewa kwa watumishi.
69.   Kuendesha Semina na mafunzo             Divisheni ya Mahakama ya Kazi imeendesha semina
      mbalimbali ili kuongeza uelewa kwa      moja ya watumishi na familia zao (mke na mume) na
      wafanyakazi na wadau juu ya janga la    kuwahamasisha kupima kwa hiari. Watumishi ishirini
      UKIMWI, uwajibikaji kazini, kuzuia na   na saba na familia zao walipima kati ya watu themanini
      kuepusha rushwa na kujenga maadili      waliohudhuria semina hiyo.
      mema ya wafanyakazi na wadau.
70.   Kuwaelimisha wadau na kutoa taarifa     Divisheni ya Mahakama ya Kazi ilianzishwa tarehe 20
      mbalimbali kwenye vyombo vya habari     Desemba, 2006 na ilizinduliwa rasmi na Mhe. Jaji Mkuu
      juu ya haki za wadau katika             tarehe 12 Juni, 2007. Wadau wote walifahamishwa na
      Mahakama ya Kazi.                       kualikwa. Divisheni ya Mahakama ya Kazi imeendelea
                                              na utaratibu wake wa kutoa taarifa mbalimbali za kuitwa
                                              shaurini kwenye magazeti, kubandikwa kwenye mbao
                                              za matangazo katika ofisi zake na kusambaza samasi
                                              kwa wadau kwa kutumia watumishi waliopo na kwa njia
                                              ya posta na EMS.




                                              186
                                         WIZARA YA MAJI

NA.                   AHADI                                            UTEKELEZAJI
1.    Kuimarisha mtandao wa vituo vya           Serikali ilikarabati jumla ya vituo 53 katika Mabonde ya
      kukusanya takwimu na taarifa              Pangani (14), Rufiji (5), Ziwa Victoria (4), Wami/Ruvu
      mbalimbali za raslimali za maji.          (29) na Ziwa Nyasa (1). Aidha, vituo vya hali ya hewa
                                                10 vilikarabatiwa katika Mabonde ya Ziwa Victoria (4)
                                                na Wami/Ruvu (6) na kituo kipya kimoja cha kupima
                                                mvua kilijengwa katika Bonde la Wami/Ruvu kupitia
                                                mradi wa Uboreshaji wa Huduma ya Maji katika Jiji la
                                                Dar es Salaam.
2.    Ununuzi wa vifaa vya kiufundi ili         Serikali iliendelea kuimarisha Ofisi za Mabonde ya Maji
      kuimarisha na kupanua mtandao wa          kwa kuzipatia vifaa vya kuchunguza mwenendo wa maji
      kufuatilia wingi na ubora wa rasilimali   chini ya ardhi. Kwa kutumia vifaa hivyo jumla ya
      za maji.                                  maeneo 850 yalionekana kuwa yanafaa kwa ajili ya
                                                kuchimba visima vya maji.
3.    Kuimarisha Ofisi za Mabonde kwa           Serikali iliendelea kuziimarisha Ofisi za Mabonde ya
      kuzipatia wataalam, nyenzo na             Maji kwa kuzipatia wataalam mbalimbali wa kada za
      vitendea kazi.                            Wahaidrolojia Daraja la II (21), Maafisa Maendeleo
                                                Jamii Daraja la II (11) na Mafundi Sanifu (Haidrolojia)
                                                (11) ambao wanatarajiwa kuajiriwa. Mgawanyo wa
                                                watumishi ni kama ufuatavyo:
                                                  Wahaidrolojia Daraja la II – Makao Makuu Dar es
                                                      Salaam (2), Bonde la Pangani (2), Bonde la
                                                      Wami/Ruvu (2), Bonde la Rufiji (2), Bonde la Mto
                                                      Ruvuma (2), Bonde la Ziwa Nyasa (2), Bonde la
                                                      Kati (3), Bonde la Ziwa Rukwa (2), Bonde la Ziwa
                                                      Tanganyika (3) na Bonde la Ziwa Victoria (1).

                                                  Maafisa Maendeleo Jamii Daraja la II – Bonde la
                                                   Pangani (2), Bonde la Wami/Ruvu (1), Bonde la
                                                   Rufiji (2), Bonde la Mto Ruvuma (1), Bonde la
                                                   Ziwa Nyasa (1), Bonde la Kati (1), Bonde la Ziwa
                                                   Rukwa (1), Bonde la Ziwa Tanganyika (1) na
                                                   Bonde la Ziwa Victoria (1).

                                                  Mafundi Sanifu (Haidrolojia) Daraja la II – Bonde la
                                                     Mto Ruvuma (3), Bonde la Ziwa Nyasa (3), Bonde
                                                     la Kati (3), Bonde la Ziwa Rukwa (3).
4.    Kujenga Ofisi mpya ya Bonde la Ziwa       Maandalizi ya kujenga ofisi mpya ya Bonde la Ziwa
      Nyasa katika mji wa Tukuyu na             Nyasa yamekamilika baada ya kupatiwa eneo la ujenzi
      kukamilisha ukarabati wa Ofisi ya         katika mji wa Tukuyu.
      Bonde la Mto Ruvuma katika mji wa
      Mtwara.                                   Ujenzi wa jengo la ofisi ya Bonde la Mto Ruvuma
                                                umekamilika, kazi iliyobaki ili majengo ya ofisi kuanza




                                                187
                                               kutumika baada ya kuwekewa samani. Kazi hii
                                               itafanyika katika mwaka ujao wa fedha.
5.   Kuchunguza upatikanaji wa maji chini      Jumla ya maeneo 1,500 yamefanyiwa utafiti wa maji
     ya ardhi ili kubaini maeneo 1,500 ya      chini ya ardhi nchini ili kubaini maeneo yanayofaa
     kuchimba visima virefu.                   kuchimba visima vya maji. Katika uchunguzi huo jumla
                                               ya maeneo 850 yalionekana kuwa yanafaa kwa ajili ya
                                               kuchimba visima vya maji. Maeneo hayo yapo katika
                                               mikoa ya Arusha (124), Dodoma (52), Iringa (19),
                                               Kagera (6), Kilimanjaro (97), Lindi (39), Manyara (34),
                                               Mara (6), Mbeya (5), Mtwara (48), Mwanza (40), Pwani
                                               (2), Rukwa (51), Ruvuma (18), Shinyanga (168),
                                               Singida (29), Tabora (74) na Tanga (38).
6.   Kusimamia na kuratibu uchimbaji wa        Serikali iliendelea kusimamia uchimbaji wa visima kwa
     visima vya maji kwa kuimarisha            lengo la kuhakikisha taratibu zilizowekwa zinafuatwa.
     usimamizi na udhibiti kupitia Ofisi za    Serikali ilisimamia uchimbaji visima 161 katika maeneo
     Mabonde.                                  yafuatayo: Arusha (1), Dodoma (6), Lindi (38),
                                               Kilimanjaro (12), Manyara (6), Mtwara (47), Singida (6),
                                               Shinyanga (9), Tabora (3) na Tanga (2).
7.   Kuanzisha Kamisheni itakayoratibu         Tanzania iliendelea na mchakato wa kuridhia Mkataba
     matumizi endelevu ya rasilimali za maji   wa Makubaliano ya Uanzishaji wa Kamisheni ya Bonde
     katika bonde la Mto Zambezi.              la Mto Zambezi (ZAMCOM), ambao ulisainiwa tarehe
                                               13 Julai 2004 huko Kasane, Botswana. Aidha, nchi
                                               zilizomo kwenye Bonde la Mto Zambezi zilianza
                                               kutayarisha Mkakati wa Usimamizi Shirikishi wa
                                               Rasilimali za Maji (Strategy for Integrated Water
                                               Resources Management) chini ya mradi unaosimamiwa
                                               na SADC katika bonde hilo.

                                               Takwimu za sekta mbalimbali zinazohusiana na
                                               rasilimali za maji katika bonde hilo zilikusanywa ili
                                               zitumike katika kupanga matumizi ya uwiano kwa
                                               kushirikiana na wadau mbalimbali. Mradi huo
                                               utawezesha nchi zote zilizopo kwenye bonde la Mto
                                               Zambezi kubadilishana taarifa na takwimu kupitia
                                               mtandao utakaoanzishwa.
8.   Kutekeleza mkakati wa kuhifadhi           Katika jitihada za kulinda vyanzo vya maji dhidi ya
     mazingira na vyanzo vya maji ili          uchafuzi unaotokana na majitaka ya viwandani na
     kudhibiti uchafuzi na uharibifu wa        majumbani, jumla ya viwanda 90 vilikaguliwa katika
     vyanzo hivyo                              mabonde yafuatayo:- Mto Pangani 16, Mto Rufiji 14,
                                               Wami/Ruvu 19 na Ziwa Victoria 41. Vilevile, ukaguzi
                                               wa miundombinu ya majitaka kwenye Jiji la Arusha,
                                               Mbeya na Mwanza na Manispaa 5 za Moshi, Dodoma,
                                               Morogoro, Tanga na Iringa umefanyika. Katika ukaguzi
                                               huo, jumla ya sampuli 195 za majitaka zilichunguzwa
                                               kimaabara na matokeo yameonyesha kuwa viwango




                                               188
                                                 vya majitaka yanayorejeshwa kwenye vyanzo vya maji
                                                 vinakubalika.

                                                 Hata hivyo ukaguzi huo ulibainisha kuwepo kwa
                                                 matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na uchakavu wa
                                                 miundombinu       iliyopo.   Mamlaka      zinazomiliki
                                                 miundombinu ya majitaka na viwanda zimeagizwa
                                                 kufanya marekebisho ili kuondoa kasoro hizo. Lengo ni
                                                 kuhakikisha kuwa majitaka yanasafishwa kwa viwango
                                                 vilivyokubaliwa kisheria kabla ya kurejeshwa katika
                                                 vyanzo vya maji.

9.    Kuziimarisha maabara za maji nchini        Serikali iliendelea kuziimarisha maabara za maji kwa
      kwa kuzipatia usafiri, vifaa na madawa.    kutekeleza yafuatayo:
                                                  Maabara za Tanga, Arusha, Singida, Mbeya,
                                                    Sumbawanga, Kigoma, Songea na Mtwara
                                                    zimepatiwa madawa kwa ajili ya kuratibu ubora wa
                                                    maji katika vyanzo vilivyoko kwenye maeneo yao.
                                                  Watumishi 2 walihudhuria mafunzo ya Statistical
                                                    Method Validation for Test Laboratory – Afrika ya
                                                    Kusini.
                                                  Maabara ya Maji ya Mwanza ilipatiwa vifaa ambavyo
                                                    ni Autoclave, Incubator na Refrigerator kwa ajili ya
                                                    kuchunguza ubora wa maji yanayotumika kusindika
                                                    minofu ya samaki.
10.   Kujenga, kupanua na kukarabati miradi      Jumla ya miradi 33 ilikarabatiwa kwa viwango
      ya maji vijijini, kuchimba visima virefu   mbalimbali katika maeneo ya Kwimba, Monduli, Meatu,
      na vifupi, kujenga mabwawa hususani,       Bariadi, Iringa Vijijini, Tarime, Lushoto, Rondo,
      katika Wilaya kame na kuendeleza           Karagwe, Muheza, Njombe Vijijini, Muheza,
      teknolojia ya uvunaji wa maji ya mvua.     Mugango/Kiabakari, Maswa, Njombe Mjini, Magu,
                                                 Nzega, Lindi Vijijini, Mbalizi, Korogwe, Makonde,
                                                 Wanging‟ombe,        Chalinze,        Makete,      Mwanga,
                                                 Sengerema, Chunya, Kongwa, Masasi, Mwanza
                                                 (Mkurugenzi wa Jiji), Same, Tunduru na Sikonge.
                                                 Aidha, miradi 5 ya maji vijijini ilipanuliwa katika maeneo
                                                 ya Madibira, Lesingita, Bunda mjini, Nyamuswa na
                                                 Kilwa Masoko.

                                                 Serikali kwa kushirikiana na Serikali ya Ujerumani
                                                 iliendelea na ujenzi wa miradi ya maji katika maeneo ya
                                                 Lyamungo Kiranya, Lyamungo Sinde, Lyamungo Kati,
                                                 Mrama, Tella, Usari, Urori na Kimashuku katika Wilaya
                                                 ya Hai na Kifuni, Umbwe Onana, Umbwe Sita, Kindi
                                                 Kati, Sambarai, Mkomongo, Kombo, Manushi Ndoo na
                                                 Manushi Sinde katika wilaya ya Moshi Vijijini.




                                                 189
Ujenzi wa miradi ya maji katika mikoa ya Lindi na
Mtwara uliotekelezwa kwa ushirikiano na Serikali ya
Japan na ulikamilika. Wananchi wapatao 200,000
wananufaika na huduma ya maji. Aidha, serikali kwa
kushirikiana na Serikali ya Uholanzi ilichimba visima
144 kupitia mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini
katika mkoa wa Shinyanga. Mradi huo ulikamilika
mwezi Desemba, 2006.

Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya
Afrika (AfDB), iliendelea na utekelezaji wa mradi wa
maji katika wilaya ya Monduli kwa kuchimba visima 25,
kujenga mabwawa 16 na matangi 29, na kulaza
mabomba yenye urefu wa kilomita 131. Vilevile,
uhamasishaji wa uvunaji wa maji ya mvua ulitekelezwa
katika wilaya ya Masasi, kwa kufundisha mafundi
binafsi 37 kutoka katika Kata 37 za wilaya hiyo. Ujenzi
wa matangi 2 ya mfano umekamilika katika maeneo ya
Shule ya Msingi ya Mangaka (1) wilayani Nanyumbu na
katika zahanati ya kijiji cha Nanyindwa (1) wilayani
Masasi.

Ujenzi wa mabwawa
Serikali ilipanga kujenga mabwawa 21 na kuendelea na
ujenzi wa bwawa la Mugumu. Hadi sasa ujenzi wa
mabwawa mapya 9 umefikia hatua mbalimbali za
utekelezaji. Mabwawa hayo yanajengwa katika maeneo
yafuatayo: Ugunga (Urambo), Moita na Ingamuriak
(Monduli), Nyashitanda (Misungwi), Habiya (Bariadi),
Nyambele na Kinyambwiga (Bunda), Matwiga (Chunya)
na Iguluba (Iringa Vijijini). Aidha, mikataba ya ujenzi wa
mabwawa 3 mapya katika maeneo ya Amasatwa
(Kiteto), Emboret (Simanjiro) na Katoro (Geita)
imesainiwa na wakandarasi wapo katika hatua za
kupeleka vifaa vya ujenzi kwenye maeneo hayo.
Tathmini ya zabuni za ujenzi wa mabwawa mengine
mapya 9 katika maeneo ya Masuguru (Bagamoyo),
Seke Ididi (Kishapu), Nyambori (Tarime), Sasajila
(Dodoma Vijijini), Mwanjoro (Meatu), Wegero (Musoma
Vijijini), Ingondin (Longido), Mnazi Mmoja (Monduli) na
Bulenya (Igunga) imekamilika na wakandarasi
wameteuliwa na taratibu za kusaini mikataba
zinaendelea.




190
                                                      Uchimbaji wa Visima
                                                      Hadi Juni, 2007 visima virefu 429 vilichimbwa na kati ya
                                                      hivyo, visima 364 vilifanikiwa kupata maji na vina
                                                      uwezo wa kutoa maji mita za ujazo milioni 32 .
11.   Kusanifu miradi ya maji kwa ajili ya miji       Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Kiarabu ya
      ya Muleba, Urambo, Chunya,                      Maendeleo ya Afrika (BADEA) imekamilisha upembuzi
      Ruangwa na kijiji cha Nyakagomba                yakinifu wa mradi wa kuvipatia huduma ya maji vijiji 46
      (Geita) na Awamu ya pili ya mradi wa            ambapo vijiji 42 viko wilayani Bagamoyo na 4 katika
      maji wa Chalinze.                               wilaya ya Morogoro vijijini. Uchunguzi huo ni moja ya
                                                      hatua za utekelezaji wa mradi wa maji wa Chalinze
                                                      Awamu ya Pili.
12.   Kukarabati miradi ya maji ya Same,              Hadi kufikia Juni, 2007, jumla ya miradi 33 ilikarabatiwa
      Gonja            Maore,             Kilulu,     kwa viwango mbalimbali katika maeneo ya Kwimba,
      Kiponzero/Kihanga,                              Monduli, Meatu, Bariadi, Iringa Vijijini, Tarime, Lushoto,
      Mugango/Kiabakari, Gabimori, Hedaru,            Rondo, Karagwe, Muheza, Njombe Vijijini, Muheza,
      Makonde, Maswa, Lushoto, Rombo                  Mugango/Kiabakari, Maswa, Njombe Mjini, Magu,
      vijijini,    Njombe-Wakichi        Kibena,      Nzega, Lindi Vijijini, Mbalizi, Korogwe, Makonde,
      Karagwe,               Muheza               -   Wanging‟ombe,        Chalinze,     Makete,       Mwanga,
      Ubembe/Kwemhosi, Bariadi, Mwanza                Sengerema, Chunya, Kongwa, Masasi, Mwanza
      vijijini, Mbinga vijijini na Iringa Vijijini.   (Mkurugenzi wa Jiji), Same, Tunduru na Sikonge.
      Miradi mingine ni ya Kayenze -
      Ilemela, Nassa, Sikonge, Kitomanga,
      Iwindi, Chato, Tunduma, Makete,
      Dindimo,             Nyang‟hanga/Kabila,
      Masonga,                   Singa-Kibosho,
      Elerai/Longido, Kwanyange-Mwanga,
      Sumve/Mantare, Korogwe mjini na
      Njombe vijijini. Miradi mingine
      itakayokarabatiwa ni ya            Usangi,
      Nzega vijijini, Mgwashi-Handeni,
      Kamachumu, Ileje vijijini, Rondo,
      Litumbakuhama/Kingirikiti-Mbinga,
      Njombe mjini, Maswa, Mwanga mjini,
      Kongwa,
      Galula/Mbuyuni/Mbagala/Songwe,
      Magu, Ngudu, Igunga, Nderema -
      Handeni, Same mjini, Namanyere,
      Tukuyu, Magubike, Biharamulo, Kilwa
      Masoko na Sengerema.
13.   Kuziwezesha Halmashauri za Wilaya               Hadi kufikia Juni, 2007 ujenzi wa matangi 2 ya mfano
      za Lindi Vijijini na Babati kujenga             umekamilika katika maeneo ya Shule ya Msingi ya
      matangi ya mifano ya kuvuna maji ya             Mangaka (1) wilayani Nanyumbu na katika zahanati ya
      mvua kwenye mapaa ya nyumba                     kijiji cha Nanyindwa (1) wilayani Masasi.
      katika taasisi za umma.




                                                      191
14.   Kupanua miradi ya maji ya Madibira,      Miradi 5 ya maji vijijini ilipanuliwa katika maeneo ya
      Chiuwe, Pangani, Ilula, Igombe, Malya,   Madibira, Lesingita, Bunda mjini, Nyamuswa na Kilwa
      Kilwa Masoko, Mwisanga/Ntomoko,          Masoko. Aidha, Serikali kwa kushirikiana na Serikali ya
      Mundarara, Mji wa Bunda na               Ujerumani iliendelea na upanuzi wa miradi ya maji
      Nyamuswa.                                katika maeneo ya Lyamungo Kiranya, Lyamungo
                                               Sinde, Lyamungo Kati, Mrama, Tella, Usari, Urori na
                                               Kimashuku katika Wilaya ya Hai na Kifuni, Umbwe
                                               Onana, Umbwe Sita, Kindi Kati, Sambarai, Mkomongo,
                                               Kombo, Manushi Ndoo na Manushi Sinde katika wilaya
                                               ya Moshi Vijijini.
15.   Kutekeleza Programu ya Taifa ya Maji     Kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya Afrika
      na Usafi wa Mazingira Vijijini.          Serikali kwa kutumia Vigezo vya kugawa fedha kwa kila
                                               Halmashauri kwa kuzingatia idadi ya watu ambao bado
                                               hawajapata huduma ya maji na aina ya tekinolojia
                                               inayotumika katika miradi ya maji katika kila Wilaya
                                               ilipeleka fedha kwenye halmashauri kutekeleza miradi
                                               ya maji ya mafanikio ya haraka (quick wins).

                                               Pia, Serikali iliendelea na utekelezaji wa mradi wa Maji
                                               na Usafi wa Mazingira Vijijini kwa mkopo kutoka Benki
                                               ya Dunia. Mradi huo unatekelezwa katika wilaya 14 za
                                               Rufiji, Morogoro Vijijini, Mvomero, Kilosa, Kongwa,
                                               Mpwapwa, Kondoa, Manyoni, Singida Vijijini, Iramba,
                                               Igunga, Kiteto, Kilindi na Handeni, ambapo utekelezaji
                                               umefikia wastani wa asilimia 85. Katika wilaya mbili za
                                               Rufiji na Mpwapwa utekelezaji umekamilika. Aidha,
                                               chini ya mradi huo, upembuzi yakinifu ulifanyika kubaini
                                               vyanzo vya maji na viwango vya mahitaji ya maji katika
                                               miji midogo tisa (9) ya Utete, Ikwiriri, Kibiti, Mvomero,
                                               Turiani, Kilosa, Gairo kwa msaada wa serikali ya
                                               Ufaransa. ,
16.   Kuimarisha skimu kubwa Sita (6) za       Serikali iliendelea kuendesha skimu kubwa za maji za
      maji            vijijini         za      Maswa, Handeni, Makonde, Chalinze, Wanging‟ombe
      Maswa,Mugango/Kiabakari/Butiama,         na Mugango/Kiabakari kwa kulipia umeme, madawa na
      Chalinze, Makonde, Handeni Trunk         mishahara ya watumishi. Kwa mwaka 2006/2007, jumla
      Main (HTM) na Wanging‟ombe.              ya shilingi 572,456,170 zimelipwa kwa ajili ya kulipia
                                               umeme, fidia kwa wananchi walioathirika na ujenzi wa
                                               miradi ya maji ya Chalinze na Makondeko, ununuzi wa
                                               vipuri vya mitambo na kulipia mafao ya vibarua.

17.   Kukamilisha ujenzi wa bwawa la           Ujenzi wa tuta la bwawa umefikia kimo cha mita 3 na
      Mugumu katika Wilaya ya Serengeti.       Ujenzi wa bwawa hilo utakamilika katika mwaka wa
                                               fedha 2007/2008.
18.   Kukarabati mifumo ya majisafi katika     Serikali kwa kushirikiana na Washiriki wa Maendeleo
      miji ya Babati, Lindi, Mtwara na         ikiwa ni pamoja na Jumuiya ya Nchi za Ulaya (EU) na




                                               192
      Sumbawanga.                              Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW), Benki ya
                                               Kiarabu kwa Maendeleo ya Afrika (BADEA), iliendelea
                                               kuboresha huduma za maji mijini kwa kukarabati na
                                               kupanua mifumo ya majisafi na majitaka. Kazi
                                               zilizotekelezwa kama ifuatavyo:-

                                                     Kujenga mtambo wa kusafisha maji, matangi na
                                                       mabomba ya kusambaza maji na kuchunguza
                                                       mfumo wa majitaka katika makazi yasiyo rasmi
                                                       katika Jiji la Mwanza.
                                                  Kujenga vyanzo vya maji, matangi na kupanua
                                                       mifumo ya usambazaji wa maji safi na majitaka
                                                       katika maeneo ya kati ya Jiji la Mbeya.
                                                  Kusanifu mradi wa majisafi katika Manispaa ya
                                                       Iringa.
                                                  Kujenga mfumo wa usambazaji wa majisafi na
                                                       ujenzi wa mfumo wa majitaka katika Manispaa
                                                       ya Songea.
                                                  Kuchimba visima virefu 3 vya maji na kuanza
                                                       usanifu wa mfumo wa majitaka mjini Singida.
19.   Kuchunguza, kusanifu na kuandaa          Kwa kushirikiana na Jumuiya ya nchi za Ulaya (EU)
      mpango wa muda mrefu wa kukarabati       kupitia Mfuko wa ACP - EU Water Facility, Benki ya
      na kupanua mifumo ya majisafi na         Maendeleo ya Ujerumani (KfW), na Serikali ya
      ujenzi wa mifumo ya uondoaji wa          Ufaransa kupitia shirika la Maendeleo la AFD, serikali
      majitaka (Urban upgrading program)       ilifanya uchunguzi kwa lengo la kuandaa mpango wa
      katika miji saba ya Babati, Lindi,       muda mrefu wa kukarabati na kupanua mifumo ya
      Mtwara,    Sumbawanga,     Bukoba,       majisafi na ujenzi wa mifumo ya uondoaji wa majitaka
      Musoma na Kigoma.                        (Urban Upgrading Program) katika miji saba ya Babati,
                                               Lindi, Mtwara, Sumbawanga, Bukoba, Musoma na
                                               Kigoma. Pia, Serikali ikishirikiana na Serikali ya Uswisi
                                               kupitia Shirika la SECO ilianza maandalizi ya
                                               utekelezaji wa mradi wa kuboresha huduma za majisafi
                                               na usafi wa mazingira katika miji ya Dodoma na Tabora
                                               kwa kumteua Mshauri Mwelekezi (consultant).
20.   Kuchimba na kuendeleza visima virefu     Uchunguzi wa kubaini kuwa maji yapo umefanyika kwa
      vinne ili kuboresha huduma za majisafi   kuchimba visima vitatu vya majaribio.                Maji
      katika mji wa Singida.                   yamepatikana mengi. Usanifu na Utayarishaji wa
                                               vitabu vya zabuni kwa ajili ya kuchimba visima vya
                                               uzalishaji umekamilika.           Taratibu za kumpata
                                               Mkandarasi zinaendelea kwa kuomba kibali BADEA.
21.   Kukarabati miradi ya majisafi kwenye     Fedha za ukarabati zilipelekwa katika miji ya Mtwara
      miji ya Sumbawanga, Lindi, Mtwara,       (50mil), Musoma (50mil.) na Lindi (88mil). Kazi za
      Kigoma, Musoma na Tabora.                ukarabati wa mifumo ya maji safi zinaendelea. Katika
                                               miji ya Sumbawanga na Kigoma, fedha za ukarabati
                                               hazikutolewa na Hazina, hivyo kazi ya ukarabati




                                               193
                                                haikufanyika. Hata hivyo kazi ndogondogo zinafanywa
                                                kwa kutumia fedha za Mamlaka.
22.   Kupanua mifumo ya majisafi katika miji    Utekelezaji unaendelea katika miji ya Dodoma, Singida
      ya Iringa, Mwanza, Dodoma, Singida        na Bukoba. Aidha, miji ya Mwanza na Iringa inaendelea
      na Bukoba.                                kutekeleza upanuzi wa miundombinu kwa kutumia
                                                fedha kutoka KFW na EU.
23.   Kuendelea na ujenzi wa mradi wa           Serikali iliendelea na ujenzi wa mradi mkubwa wa kutoa
      kutoa maji Ziwa Victoria kwenda Miji ya   maji Ziwa Victoria kwenda miji ya Kahama na
      Kahama na Shinyanga.                      Shinyanga. Mradi huo ambao unagharamiwa na
                                                Serikali yetu, utavipatia maji vijiji 54 vilivyoko umbali
                                                usiozidi kilometa tano kutoka kwenye bomba kuu katika
                                                mikoa ya Mwanza na Shinyanga. Ujenzi wa mradi huo
                                                unaendelea kutekelezwa kwa kutumia Kandarasi 5
                                                kama ifuatavyo:-
                                                  Kandarasi Na. 1 inahusu ujenzi wa chanzo cha maji
                                                   ziwani na ulazaji wa mabomba makubwa ya kipenyo
                                                   cha mm 900 ya urefu wa kilomita 9.6 kutoka kijiji cha
                                                   Ihelele hadi mlima Mabale; ujenzi wa chujio la
                                                   kusafishia maji; ujenzi wa tangi kubwa la kuhifadhia
                                                   maji lenye uwezo wa mita za ujazo 35,000; kufunga
                                                   pampu za kusukuma maji yasiyosafishwa na
                                                   yaliyosafishwa na upanuzi wa kituo cha umeme cha
                                                   Bulyanhulu na kujenga njia ya umeme ya msongo
                                                   wa megavolti 33 hadi Ikangala.
                                                  Kandarasi Na. 2 inahusu ulazaji wa mabomba ya
                                                   kipenyo cha mm 1,200 ya urefu wa kilomita 27.7
                                                   kutoka mlima Mabale hadi kijiji cha Mwawile; ulazaji
                                                   wa mabomba ya kipenyo cha mm 300 kwa urefu wa
                                                   kilomita 22 kutoka kijiji cha Mwawile hadi Tarafa ya
                                                   Mwamashimba; na ulazaji wa mabomba ya kipenyo
                                                   cha mm 1,100 ya urefu kilomita 18.3 kutoka kijiji cha
                                                   Mwawile hadi Solwa.
                                                  Kandarasi Na. 3 inahusu kazi za ulazaji wa
                                                   mabomba ya kipenyo cha mm 750 kwa urefu wa
                                                   kilomita 62.1 kutoka Solwa hadi mji wa Kahama
                                                   ikiwa ni pamoja na ujenzi wa tangi lenye mita za
                                                   ujazo 18,000 na upanuzi wa mfumo wa usambazaji
                                                   wa maji safi katika mji huo.
                                                  Kandarasi Na. 4 inahusu kazi ya ulazaji wa
                                                     mabomba ya kipenyo cha mm 700 yenye urefu wa
                                                     kilomita 64.4 kutoka Solwa hadi Manispaa ya
                                                     Shinyanga; na ujenzi wa tangi lenye mita za ujazo
                                                     18,000, upanuzi na ukarabati wa mfumo wa
                                                     usambazaji wa maji safi katika Manispaa hiyo.
                                                  Kandarasi Na. 5 inahusu kuvuta umeme kwa ajili




                                                194
                                                   ya kuendesha mitambo imeanza kwa kulaza
                                                   nyaya za umeme kutoka Ikangala hadi kijiji cha
                                                   Nyamtukuza.

                                              Hadi kufikia mwezi Juni, 2007, utekelezaji wa mradi huo
                                              ulifikia asilimia 88.
24.   Kuanza taratibu za awali za ujenzi wa   Kumekuwa na tatizo la kupungua kwa wingi wa maji
      bwawa la Kidunda kwa ajili ya           katika Mto Ruvu ambao ni chanzo kikuu cha maji kwa
      kuboresha huduma za majisafi katika     ajili ya Jiji la Dar es Salaam na Miji ya Kibaha na
      Jiji la Dar es Salaam na Miji ya        Bagamoyo hususan wakati wa kiangazi na hivyo
      Bagamoyo na Kibaha.                     kuathiri uzalishaji wa maji katika mitambo ya Ruvu Juu
                                              na Ruvu Chini. Katika jitihada za kukabiliana na tatizo
                                              hilo, Serikali iliendelea kuchunguza vyanzo vipya vya
                                              maji juu na chini ya ardhi. Matokeo ya uchunguzi
                                              yamependekeza kujengwa bwawa katika mto Ruvu
                                              maeneo ya Kidunda Wilayani Morogoro. Maandalizi ya
                                              awali ya ujenzi ya bwawa hilo yanaendelea ikiwemo
                                              uchunguzi wa athari za kimazingira zinazoweza
                                              kusababishwa na ujenzi huo na uchunguzi wa hali ya
                                              miamba katika eneo la ujenzi.
25.   Kutoa mafunzo kwa watumishi 335         Watumishi 250 walipatiwa mafunzo ya muda mrefu na
      kwa muda mfupi na mrefu ndani na nje    mfupi.
      ya nchi.
26.   Kuwathibitisha  kazini    watumishi     Watumishi 220 waliajiriwa kwa ajili ya sekta ya maji,
      wanaomaliza muda wao wa majaribio       kati ya hao 98, ni Wahandisi walioajiriwa kwa mkataba
      kazini.                                 kwa lengo la kuzijengea uwezo Halmashauri, na
                                              Sekretarieti za Mikoa katika kutekeleza Programu
                                              Ndogo ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini. Aidha,
                                              watumishi 16 walithibitishwa kazini, watumishi 598
                                              walipandishwa vyeo.
27.   Kutathimni kwa pamoja na wahisani       Mwezi Septemba, 2006 Serikali kwa kushirikiana na
      wa sekta ya Maji katika nyanja za       Washiriki wa Maendeleo (Development Partners),
      utoaji huduma, uwekezaji na maeneo      ilifanya tathmini ya pamoja ya sekta ya maji. Tathmini
      ya ushirikiano na sekta nyingine.       hiyo iliangalia mwenendo wa sekta ya maji ili kubaini
                                              matatizo yanayoikabili, changamoto zilizopo na mbinu
                                              za kuiwezesha kufikia malengo ya MKUKUTA na yale
                                              ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapindizi (CCM)
                                              ya mwaka 2005, pamoja na Malengo ya Milenia.
                                              Mapitio hayo yalibaini mambo makuu manne
                                              yanayotakiwa kutekelezwa kama ifuatavyo:
                                               Kuimarisha uhusiano kati ya Serikali, Washirika wa
                                                    Maendeleo na asasi nyingine zisizo za kiserikali
                                                    kwa kuweka utaratibu wa kujadili mara kwa mara
                                                    kwa pamoja na kwa uwazi matatizo na changamoto
                                                    zinazoikabili sekta ya maji na kupendekeza njia




                                              195
                                             sahihi za kutatua matatizo hayo.
                                            Serikali kuanza kuandaa mipango na bajeti kwa
                                             kuhusisha sekta nzima (Sector Wide Approach to
                                             Planning – SWAP) kuanzia mwaka wa fedha wa
                                             2007/2008 badala ya kuangalia mradi mmoja
                                             mmoja kama ilivyokuwa hapo awali.
                                          Kuainisha vigezo sahihi na vilivyo wazi vya kupima
                                             maendeleo ya sekta ya maji na kubaini mafanikio
                                             na matatizo mwaka hadi mwaka.
                                          Kuipatia sekta ya maji fedha kwa kiwango cha
                                             kutosha ili kuwezesha uwekezaji katika ujenzi na
                                             uboreshaji wa miundombinu na kuijengea uwezo
                                             wa kutekeleza majukumu yake.
28.   Kutathmini hali halisi ya UKIMWI   Suala la UKIMWI limeendelea kupewa kipaumbele na
      pamoja na madhara yake katika      Serikali na ni moja ya ajenda katika matukio muhimu ya
      Wizara.                            sekta ya maji. Mwaka 2006/2007, Wizara iliendelea
                                         kutekeleza mkakati wa kupambana na janga la UKIMWI
                                         kwa kuwapatia mafunzo ya kujikinga na maambukizi
                                         watumishi 787 na kuwahamasisha kupima afya zao
                                         mapema ili waweze kupatiwa msaada kwa wale
                                         watakaobainika kwamba wameathirika. Hadi Juni, 2007
                                         watumishi wawili (2) wamejitokeza na wameanza
                                         kupatiwa huduma kwa kuzingatia Waraka wa Utumishi
                                         wa Umma Na.2 wa mwaka 2006.




                                         196
                              WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO

NA.                 AHADI                                          UTEKELEZAJI
1.    Kusambaza Sera ya Mifugo kwa              Kufuatia Serikali kupitisha Sera ya Taifa ya Mifugo
      wadau baada ya kupitishwa.                mnamo mwezi Desemba, 2006, Wizara imechapisha na
                                                kusambaza nakala kwa wadau. Aidha, tafsiri ya Sera hii
                                                katika lugha ya Kiswahili imekamilika na itachapishwa
                                                hivi karibuni.
2.    Kuandaa Mkakati wa kutekeleza Sera        Maandalizi ya kutayarisha Mkakati wa kutekeleza Sera
      ya Taifa ya Mifugo baada ya               ya Taifa ya Mifugo yanaendelea. Hatua za kumpata
      kupitishwa.                               Mtaalamu mwelekezi zinaendelea.
3.    Kurekebisha sheria za mifugo              Rasimu ya sheria mpya ya Ustawi wa Wanyama
      zifuatazo: Ulinzi kwa Wanyama             (Animal Welfare Act) imekamilishwa na marekebisho
      Wafugwao (The animal protection           ya sheria ya Ngozi yamefanyika. Mapendekezo
      Ordinance) Sura ya 153 ya mwaka           yamewasilishwa Sekretariati ya Baraza la Mawaziri na
      1930 na Kuzuia wanyama wazururao          yamepangwa kujadiliwa Julai, 2007.
      (The Animal Pounds Ordinance) Sura
      ya 154 ya mwaka 1930; Kudhibiti           Rasimu ya sheria ya Maeneo ya Malisho na Sheria ya
      Ndorobo (The Tsetse fly Control           Vyakula vya Wanyama (Grazing Land and Animal Feed
      Ordinance) Sura ya 100 ya mwaka           Resources Act), imekamilishwa na itapelekwa kwa
      1943; Ngozi Na. 30 Sura ya 120 ya         wadau ili kupata maoni yao.
      mwaka 1965; na Sheria ya Mbolea na
      vyakula vya Mifugo (The Fertilizer and    Rasimu ya kwanza ya sheria ya kuanzishwa Taasisi ya
      animal Foodstuff Ordinance) Sura ya       Utafiti wa Mifugo (National Livestock Research Institute
      467 ya mwaka 1962. Pia, kuandaa           Act), sheria ya kuanzishwa Maabara Kuu ya Mifugo
      sheria mpya zifuatazo:- Sheria ya         (Central Veterinary Laboratory Act) na sheria ya
      kuanzishwa Taasisi ya Utafiti wa          Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji (Livestock Identification,
      Mifugo (The National Livestock            Registration and Traceability Act) zinaendelea
      Research Institute); Sheria ya            kuboreshwa na wataalamu.
      kuanzishwa Maabara kuu ya Mifugo
      (The Central Veterinary Laboratory);
      na Sheria ya Uendelezaji wa Maeneo
      ya Malisho.
4.    Kuimarisha kitengo cha takwimu kwa        Kitengo cha takwimu kimeimarishwa kwa kukipatia
      kukipatia vifaa zaidi, kutoa mafunzo na   vifaa zaidi, kutoa mafunzo na kukipatia watumishi
      kukiunganisha na vituo vingine vya        watatu (3). Aidha, watumishi wa kitengo hicho
      Wizara.                                   wamepatiwa mafunzo.
5.    Kuimarisha mashamba ya uzalishaji         Mashamba ya uzalishaji mitamba ya Nangaramo,
      mitamba ya Nangaramo, Ngerengere,         Ngerengere, Sao Hill, Mabuki na Kitulo yameimarishwa.
      Sao Hill, Mabuki na Kitulo kwa            Jumla ya ng‟ombe wazazi 60 aina ya “boran”
      kuyanunulia ng‟ombe wazazi 310,           walinunuliwa na kufanya jumla ya ng‟ombe
      kuyapatia vitendea kazi na pembejeo       walionunuliwa kufikia 230 mwaka 2006/07 na
      za mifugo.                                kugawanywa kama ifuatavyo: Mabuki (85), Nangaramo
                                                (85) na Sao Hill (60). Lengo la kununua ng‟ombe 310
                                                halikufikiwa kutokana na kupanda kwa bei ya ng‟ombe.




                                                197
6.    Kushirikiana na Wadau wengine              Wizara kwa kushirikia na shirika lisilokuwa la kiserikali
      kusambaza ng‟ombe 200 ili kuongeza         la „Heifer Project Tanzania‟ lilisambaza ng‟ombe 178
      idadi ya ng‟ombe wa maziwa katika          kipindi cha Julai – Desemba, 2006 katika mikoa ya
      Mikoa ya Kusini ya Lindi, Mtwara na        Lindi, Mtwara na Ruvuma.
      Ruvuma.
7.    Kushirikiana na mkoa wa Rukwa              Serikali imeshatangaza umilikishaji wa shamba la
      kukamilisha umilikishaji wa shamba la      ng‟ombe wa maziwa la Malonje kwa wananchi. Taratibu
      ng‟ombe wa maziwa la Malonje kwa           za umilikishaji zinaendelea.
      wananchi.
8.    Kushirikiana na Bodi ya Maziwa             Kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa Wizara
      kuratibu uzalishaji na usindikaji wa       imeendelea kuratibu uzalishaji, usindikaji na
      maziwa nchini na kuandaa Wiki ya           uhamasishaji wa matumizi ya maziwa nchini kupitia
      Uhamasishaji Unywaji wa Maziwa             machapisho mbalimbali. Wiki ya Uhamasishaji Unywaji
      ikiwa ni pamoja na kuhamasisha             Maziwa ilifanyika Kitaifa Jijini Mbeya kuanzia tarehe 1-4
      unywaji wa maziwa, hususani                mwezi Juni, 2007.
      mashuleni.
9.    Kuandaa na kutekeleza Mpango               Mpango Mkakati wa kuboresha na kuendeleza
      Mkakati wa kuboresha na kuendeleza         uzalishaji katika ranchi za NARCO umekamilika na
      uzalishaji katika ranchi za NARCO.         kusambazwa kwa wadau (TIC, Hazina, MPEE na
                                                 PSRC) ili kupata maoni yao.
10.   Kuhamasisha uzalishaji wa nyama na         Mkutano wa wadau kuhusu kuhamasisha uzalishaji wa
      biashara ya mifugo pamoja na               nyama bora inayokidhi viwango vya kimataifa
      uundwaji      wa     vyama     vya         ulifanyika. Aidha, u hamasishaji wa kuunda vyama vya
      wafanyabiashara ya mifugo ili              wafanya biashara ya mifugo na nyama umefanyika
      kuwawezesha kutafuta masoko ya             katika mikoa 11 ya Arusha, Manyara, Shinyanga,
      ndani na nje.                              Dodoma, Singida, Mwanza, Mbeya, Iringa, Pwani,
                                                 Tanga na Dar es salaam ambayo imeshaunda kamati
                                                 za kimkoa zinazohamasisha wilaya kuanzisha vyama
                                                 vya wafanyabiashara.
11.   Kuimarisha kitengo cha Utambuzi,           Kitengo cha Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji wa Mifugo
      Usajili na Ufuatiliaji kwa kutoa mafunzo   kimeimarishwa kwa kupatiwa vitendea kazi na
      na vitendea kazi ili kiweze kuandaa        watumishi wake kufanya ziara ya mafunzo nchini
      mfumo wa kutambua, kusajili na             Zimbabwe, Namibia na Botswana. Serikali iko katika
      kufuatilia mifugo na mazao yake.           hatua za mwisho za kuanzisha Mfumo wa Utambuzi,
      Aidha, kuanzisha Rejista ya Taifa ya       Usajili na Ufuatiliaji wa Mifugo na Mazao yake.
      kumbukumbu za mifugo kwa ng‟ombe           Watalaamu wa mifugo 250, wafugaji 300,
      wa maziwa na nyama katika                  wafanyabiashara ya mifugo 80 na wenye viwanda vya
      mashamba makubwa 10 ya Serikali na         kusindika mazao ya mifugo watano (5) walielimishwa
      watu binafsi ya Mabuki, Kongwa,            na kuhamasishwa kuhusu mfumo huo.
      Kitulo,     Mpwapwa,         Nangaramo,
      Ngerengere, Ruvu, Sao Hill, Kibebe         Mashamba 35 ya serikali na watu binafsi yamefanyiwa
      Farm na Sumbawanga Agricultural and        tathmini kwa kukusanya takwimu za kutambua mifugo
      Animal Feeds Industries.                   iliyopo kwa lengo la kuisajili katika Rijesta ya Taifa ya
                                                 Kumbukumbu za Mifugo.




                                                 198
                                                Serikali imezindua uanzishaji wa Ofisi na shughuli za
                                                Ofisi ya Kanda ya Afrika ya Shirika la Kulinda
                                                Wanyama Duniani (World Society for Protection of
                                                Animal – WSPA) Jijini Dar-es-Salaam ambayo imetoa
                                                ajira kwa Watanzania watano (5). Ofisi inaratibu
                                                shughuli za shirika na kusaidia Asasi zisizo za Kiserikali
                                                kama TSPCA, ASPA na Dar Animal Haven kuendeleza
                                                ustawi wa wanyama nchini.
12.   Kuimarisha vituo vyote vya uhamilishaji   Kituo cha NAIC kimeimarishwa kwa kununua
      na kununua mtambo mpya wa                 microscope na kukarabati mtambo wa kutengeneza
      kutengeneza “liquid nitrogen” kwa ajili   hewa baridi ya Nitrojeni (LN2) itumikayo kuhifadhia
      ya Kituo cha Mwanza. Pia, kuzalisha       mbegu za uhamilishaji. Jumla ya dozi 58,500 za mbegu
      dozi 48,950 za mbegu bora za              zimezalishwa. Aidha, ng‟ombe 20,720 wamehamilishwa
      uhamilishaji na kuhamilisha ng‟ombe       na kufanya ng‟ombe waliohamilishwa kuanzia mwezi
      48,500.                                   Julai, 2006 hadi sasa kufikia 50,500. Lengo lilikuwa
                                                kuzalisha dozi 48,950 na kuhamilisha ng‟ombe 48,500.
13.   Kuanzisha matumizi ya teknolojia ya       Maandalizi ya kumpata mshauri mwelekezi wa
      upandikizaji wa mayai yaliyorutubishwa    kuanzisha na kuendeleza teknolojia hii katika shamba
      (Multiple Ovulation and Embryo            la Uzalishaji mifugo la Sao Hill yanaendelea.
      Transfer) katika shamba la mifugo la
      Sao Hill.
14.   Kutoa mafunzo kwa wachinjaji,             Mafunzo yametolewa kwa wachinjaji, wachunaji na
      wachunaji, wakataji nyama (butchers),     wataalam wenigne 267 na kufanya idadi yao kufikia 441
      wawambaji na wakaguzi wa ngozi 400        mwaka 2006/2007 katika mikoa ya Dar es Salaam,
      ili kuboresha ubora na ukusanyaji wa      Mwanza, Mbeya, Shinyanga, Dodoma na Arusha
      ngozi katika maeneo ya vijijini.          kupitia mradi wa ngozi wa CFC.
15.   Kukarabati minada ya Buhigwe              Ujenzi wa uzio kuzunguka mnada wa Meserani
      (Kasulu), Kasesya (Sumbawanga             (Arusha) na mnada wa Lumecha (Ruvuma) umefikia
      Vijijini), Lumecha, Mlowa, Mbuyuni        asilimia 50. Taratibu za kujenga na kukarabati minada
      (Chunya), Meserani na vituo vya           ya Buhigwe (Kigoma), Kasesya (Rukwa) na Mbuyuni
      kupakilia mifugo katika minada hiyo.      (Mbeya) zinaendelea. Aidha, mnada wa Kizota
      Aidha, kuboresha mnada wa Kizota          (Dodoma) unaboreshwa kwa kujenga bucha, maeneo
      (Manispaa ya Dodoma) ili kufikia hadhi    ya kupumzikia wateja na ya mfano ya kuchomea
      ya kituo cha biashara ya mifugo.          nyama ili uwe na hadhi ya kituo cha biashara ya
                                                mifugo.
16.   Kuanzisha mfumo wa kukusanya na           Kwa kushirikiana na Wizara ya Viwanda, Biashara na
      kusambaza taarifa za masoko ya            Masoko Wizara imeanzisha mfumo wa utoaji wa taarifa
      mifugo.                                   za masoko ya mifugo (Livestock Information Network
                                                Knowledge System - LINKS) katika minada 14 ya Pugu
                                                (Ilala), Mhunze (Kishapu), Meserani (Monduli),
                                                Weruweru (Hai), Ulemo (Singida), Korogwe,
                                                Lugodalutali (Mufindi), Mkongeni (Mvomero), Kizota
                                                (Dodoma Manispaa), Igunga (Igunga), Nasa (Magu),
                                                Kiabakari (Tarime), Kiliamatundu (Sumbawanga Vijijini)




                                                199
                                                na Mbuyuni (Chunya) ambayo hutoa taarifa za bei na
                                                aina ya mifugo iliyouzwa kwa madaraja kwa kutumia
                                                ujumbe wa simu.
17.   Kubaini maeneo yenye maziwa mengi         Tathmini kubaini maeneo yenye maziwa mengi ili
      na kuanzisha mfumo wa kukusanya,          kuweza kuanzisha mfumo wa kukusanya, kuhifadhi na
      kuhifadhi na kusindika maziwa. Aidha,     kusindika maziwa imefanyika katika mikoa 11 ya
      kuhamasisha uundaji wa vikundi vya        Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Dar es Salaam, Pwani,
      wasindikaji na mazao yake.                Morogoro, Iringa, Mbeya, Mwanza, Kagera na Mara.
18.   Kuhamasisha uwekezaji zaidi katika        Tathmini ya hali halisi ya viwanda vya kusindika nyama
      viwanda vya kusindika nyama ili           katika mikoa ya Arusha, Mbeya, Dar es Salaam na
      kukidhi mahitaji ya soko.                 Shinyanga imefanyika. Aidha, Serikali imeridhia
                                                kubinafsisha Kiwanda cha nyama cha Shinyanga kwa
                                                Kampuni ya Triple “S” Beef Limited. Pia, Serikali
                                                imeridhia kuuza asilimia 51 ya mali za machinjio ya
                                                Dodoma kwa Kampuni ya National Investment
                                                Company Limited (NICO).
19.   Kujenga mabwawa mawili (2) katika          Serikali ilichangia jumla ya Shilingi milioni 130 kwa ajili
      Wilaya za Mwanga (1) na Kishapu (1).       ya uchimbaji na ukarabati wa malambo 13 katika
      Aidha, kuchangia ujenzi wa malambo         Wilaya 8 za Lindi (2), Nachingwea (2), Kilwa (2),
      20 katika maeneo ya Kiwawa na              Longido (2), Maswa (2), Misungwi (1), Bariadi (1) na
      Marendegu (Lindi), Maurowa na              Chunya (1). Pia, mabwawa ya Kishapu na Mwanga
      Ngereyani (Longido), Mbondo na             yalichangiwa jumla ya Shilingi milioni 160 na ujenzi
      Matekwe (Nachingwea), Mchakama na          unaendelea.
      Mtandago (Kilwa), Zavuza na Chogo
      (Handeni), Mwamabiti (Shinyanga
      Vijijini), Magaji (Chunya), Mwamboka
      (Misungwi),      Tubugwe     (Kongwa),
      Kinamweri         (Bariadi),   Kambala
      (Mvomero), Manyoni (1), Urambo (1)
      na Maswa (2).
20.   Kuainisha maeneo yanayofaa kwa            Hekta takriban 1,894,700 zimeainishwa kwa ajili ya
      ufugaji,     kuhamasisha       matumizi   ufugaji na kati ya hizo, hekta 706,783 zimetengwa
      endelevu ya ardhi kwa ajili ya malisho    katika vijiji 135 vya Halmashauri za Wilaya za Chunya
      na kutoa mafunzo kwa wataalamu            (hekta 448,977), Kisarawe (hekta 28,579), Lindi Vijijini
      katika Halmashauri 10 za Wilaya za        (hekta 76,800), Kilwa (hekta 10,733), Nachingwea
      Bagamoyo,        Bukombe,      Handeni,   (hekta 41,577), Makete (823), Mbarali (28,101),
      Kishapu,        Manyoni,      Mvomero,    Morogoro (9,871), Chamwino (9,176) na Rufiji (hekta
      Nachingwea, Namtumbo, Nkasi na            52,146).
      Urambo kuhusu matumizi bora ya
      ardhi. Aidha, kuhamasisha uendelezaji     Mafunzo yametolewa kwa wafugaji 102 na wataalamu
      wa njia za asili za hifadhi ya malisho,   50 wa Mikoa 5 ya Kanda ya Ziwa kwa lengo la
      matumizi bora ya mabaki ya mazao ya       kuhamasisha uendelezaji wa njia za asili za hifadhi ya
      kilimo, hususan wakati wa kiangazi na     malisho na matumizi bora ya mabaki ya mazao ya
      kufuatilia hali ya malisho katika         kilimo.
      maeneo ya malisho ili kutoa tahadhari




                                                200
      kwa wafugaji.
21.   Kuimarisha mashamba ya malisho ya        Mashamba ya kuzalisha mbegu bora za malisho ya
      Vikuge na Langwira na kuanzisha          Langwira (Mbeya) na Vikuge (Pwani) yaliendelea
      mashamba mapya ya Kizota na              kuimarishwa na mashamba mapya 6 ya taasisi za
      Kongwa (Dodoma) Sao Hill (Iringa),       Serikali yalianzishwa huko Tanga (Mivumoni na
      Mivumoni na Buhuri (Tanga), West         Buhuri), Dodoma (Kizota na Kongwa), Mwanza
      Kilimanjaro na Mabuki (Mwanza) kwa       (Mabuki) na Iringa (Sao Hill) kwa lengo la kuongeza
      lengo la kuzalisha tani 25 za mbegu za   uwezo wa uzalishaji mbegu bora za malisho. Pia,
      malisho na marobota ya hei 150,000.      mashamba 6 binafsi yameanzishwa. Tani 26 za mbegu
      Aidha, kugharamia upimaji wa             bora za malisho na marobota 216,000 ya hei
      mashamba ya Vikuge na Langwira na        yalizalishwa katika mashamba ya Serikali pamoja na
      mashamba mapya yatakayo anzishwa.        taasisi.
22.   Kuhamasisha Halmashauri na Sekta         Serikali imehamasisha watu binafsi kuanzisha
      Binafsi kuanzisha mashamba ya            mashamba ya kuzalisha mbegu za malisho. Zaidi ya
      mbegu za malisho na hei ili kuwa na      ekari 1,346 za watu binafsi zimepandwa malisho. Kazi
      uhakika wa malisho, hususan wakati       ya kuhamasisha inaendelea. Hadi sasa, mashamba
      wa kiangazi.                             mapya sita yameanzishwa na Sekta binafsi imezalisha
                                               tani 15 za mbegu na marobota 90,000.
23.   Kudhibiti ubora wa vyakula vya mifugo    Sheria ya vyakula vya mifugo inapitiwa upya ili kudhibiti
      vinavyozalishwa na sekta binafsi         ubora wa vyakula vya mifugo. Tani 606,566 za vyakula
      ambayo inatarajiwa kuzalisha tani        vya mifugo zilizalishwa. Uzalishaji huo ni sawa na
      574,400.                                 asilimia 93.3 ya mahitaji ya takriban tani 650,000 kwa
                                               mwaka.
24.   Kufuatilia maambukizi ya Sotoka katika   Serikali imeendelea kufuatilia ugonjwa wa Sotoka
      Kanda ya Ziwa na Kanda ya Kaskazini      katika Kanda za Ziwa na Kaskazini ambapo sampuli za
      na kuwasilisha Shirika la Afya ya        damu 2,842 za ng‟ombe, 1,186 za mbuzi na kondoo na
      Wanyama Duniani (OIE) maombi ya          18 za wanyama pori zilipimwa na kuthibitisha kwamba
      nchi yetu kutambuliwa kuwa huru na       nchi yetu haina maambukizi ya ugonjwa huo. Maombi
      maambukizi ya Sotoka.                    ya kutambuliwa na Shirika la Afya ya Wanyama
                                               Ulimwenguni (OIE) kuwa huru na virusi vya ugonjwa wa
                                               Sotoka yamekubaliwa baada ya kuridhiwa na Baraza la
                                               OIE na kutoa Cheti kwa nchi yetu cha kutokuwa na
                                               virusi vya ugonjwa wa Sotoka mwezi Mei, 2007.
25.   Kununua dozi milioni 5 za chanjo ya      Serikali imenunua dozi milioni 3.2 za chanjo ya Homa
      CBPP ili kuendeleza mpango wa „Roll      ya Mapafu ya ng‟ombe (CBPP) kwa ajili ya kuendelea
      Back          Vaccination       Plan‟    na mpango wa “Roll Back Vaccination Plan” ambapo
      utakaotekelezwa na Halmashauri za        jumla ya ng‟ombe milioni 2.5 wamechanjwa dhidi ya
      Wilaya na Manispaa katika mikoa yote     ugonjwa huo. Zoezi la uchanjaji linaendelea.
      nchini isipokuwa Mkoa wa Kilimanjaro
      ambao hauna ugonjwa ambapo jumla
      ya ng‟ombe milioni 6 watachanjwa.
26.   Kushirikiana na sekta binafsi na         Sekta binafsi imeendelea kuhamasishwa kuagiza na
      wafugaji kudhibiti ugonjwa wa Miguu      kusambaza dawa ya chanjo ya Ugonjwa wa Miguu na
      na Midomo. Aidha, kukamilisha ujenzi     Midomo (FMD) ambapo jumla ya dozi 240,000
      wa maabara ya ugonjwa wa Miguu na        zilinunuliwa na kutumika katika mikoa ya Mwanza,




                                               201
      Midomo, Temeke.                              Iringa, Arusha, Morogoro, Dar es Salaam na Pwani.
                                                   Ujenzi wa Maabara ya ugonjwa wa Miguu na Midomo,
                                                   Temeke umekamilika.
27.   Kushirikiana na Halmashauri na               Ugonjwa wa Homa ya Nguruwe umedhibitiwa na
      wafugaji kudhibiti ugonjwa wa Homa           hakuna matukio mapya yaliyoripotiwa nchini. Aidha,
      ya Nguruwe ambao bado hauna kinga            elimu ya tahadhari ya kujikinga imeendelea kutolewa
      ikiwa ni pamoja na kuzuia usafirishaji       kutokana na taarifa ya kuwepo kwa ugonjwa huo nchini
      holela wa nguruwe na mazao yake.             Kenya.
28.   Kutoa ruzuku ya shilingi milioni 500         Serikali ilitoa shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya ruzuku ya
      kwa ajili ya ununuzi na usambazaji wa        dawa za kuogeshea mifugo. Kampuni 8 ziliingia
      madawa ya kuogeshea mifugo.                  mkataba wa kuagiza na kusambaza lita 126,000 za
                                                   dawa hizo katika mikoa 18 nchini ya Mwanza, Arusha,
                                                   Tanga, Kigoma, Rukwa, Tabora, Kilimanjaro, Kagera,
                                                   Manyara, Dodoma, Iringa, Mara, Morogoro, Lindi,
                                                   Shinyanga, Pwani, Singida na Mbeya. Aidha, dozi
                                                   120,000 za chanjo ya Ndigana Kali zilitolewa na FAO
                                                   ambazo zilitumika kuchanja ng‟ombe 117,184 katika
                                                   mikoa 12 nchini.
29.   Kushirikiana na Halmashauri na               Mafunzo yalitolewa kwa jumla ya wataalamu 15 kutoka
      wananchi kufuatilia na kudhibiti             Halmashauri za Wilaya 15 za Iringa (V), Karatu,
      Mbung‟o na Nagana na kutoa mafunzo           Kibaha, Kiteto, Kyela, Mbeya (V), Mbulu, Mvomero,
      kwa wataalamu 50 katika mikoa yote           Newala, Ngorongoro, Simanjiro, Singida (V), Temeke,
      yenye tatizo la mbung‟o na nagana.           Tunduru na Uyui walipatiwa mafunzo ya kudhibiti
                                                   mbung‟o na ugonjwa wa Nagana.
30.   Kununua dozi 100,000 za chanjo ya            Jumla ya dozi 100,000 za chanjo ya Kichaa cha Mbwa
      kichaa cha mbwa na kusambazwa                zimenunuliwa na kusambazwa katika wilaya 39 zenye
      katika wilaya 90. Aidha, kuhamasisha         ukubwa wa tatizo na zilizotoa taarifa za matukio ya
      Halmashauri kutunga sheria ndogo             ugonjwa huo. Aidha, maelekezo kuhusu udhibiti wa
      ndogo za kuzuia uzururaji wa mbwa na         Kichaa cha Mbwa na mbwa wanaozurura yametolewa
      paka ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa           kwa wilaya zote nchini.
      huo.
31.   Kuimarisha vituo vya ukaguzi wa              Serikali imeendelea kuimarisha vituo vya ukaguzi wa
      mifugo na mazao yake vya Madaba              mifugo na mazao yake ambapo kituo cha Marendego
      (Songea Vijijini), Sirari (Tarime), Holili   (Kilwa) kimeimarishwa kwa kupatiwa mtumishi,
      (Rombo), Ruvu Darajani (Kibaha) na           kununuliwa vifaa vya kufanyia chanjo, usafiri wa pikipiki,
      Kasanga (Sumbawanga Vijijini) pamoja         ujenzi wa josho na nyumba ya mtumishi ili kutoa
      na vituo vya bandarini vya Pangani na        huduma kwa mifugo inayohamia mikoa ya kusini. Aidha,
      Bagamoyo na viwanja vya ndege                kituo cha Kwala (Pwani) kimeimarishwa na kimeanza
      Kilimanjaro na Dar es Salaam kwa             kutoa huduma za ukaguzi wa mifugo inayosafirishwa
      kukarabati, kuvipatia vitendea kazi na       kwenda nje ya nchi.
      vifaa vya mawasiliano. Pia kuimarisha
      vituo vya Karantini vya Kwala na
      Mparange (Rufiji), Kirumi (Musoma
      Vijijini) na Manjenga/Ihefu (Mbarali)
      kwa ajili ya kudhibiti magonjwa ya




                                                    202
      mifugo na uharibifu wa mazingira.
      Aidha, kutoa mafunzo kwa wataalamu
      60 katika vituo hivyo.
32.   Kushirikiana na Halmashauri na wadau     Ukaguzi umefanywa katika machinjio na mabanda ya
      wengine       kufanya   ukaguzi    wa    ngozi katika mikoa ya Dar es Salaam, Mbeya na
      machinjio, mabanda ya ngozi, maghala     Rukwa. Mafunzo yalifanyika kipindi cha Julai –
      ya kuhifadhia ngozi, madawa ya           Desemba, 2006 ambapo wakaguzi 80 wa nyama na
      mifugo na pembejeo nyingine. Pia,        ngozi kutoka Halmashauri 16 katika mikoa 6 walipatiwa
      kutoa mafunzo kwa wakaguzi wa            mafunzo kupitia mradi wa kuboresha zao la ngozi wa
      nyama na ngozi 150 wa Halmashauri        CFC.
      mbalimbali.
33.   Kuimarisha Baraza la Veternari ili       Baraza la Veterinari lilisajili madaktari wa mifugo 18 na
      liweze kusimamia utekelezaji wa          kufanya idadi ya waliosajiliwa mwaka 2006/07 kufikia
      miongozo, kusajili madaktari wapya,      36. Aidha wataalamu wasaidizi 89 waliorodheshwa na
      kuandikisha, kuorodhesha na kujenga      kuandikishwa na kufanya idadi ifikie 217.
      uwezo wa wataalamu wasaidizi 300 wa
      afya ya mifugo; kusajili na kukagua      Vituo 22 vya huduma ya afya ya mifugo vimesajiliwa na
      vituo 140; kutoa mafunzo ya kitaaluma    kufanya vituo vilivyosajiliwa kufikia 37 mwaka huu wa
      kwa wajumbe 9, watendaji 65 wa           fedha, Pia vituo 43 vimekaguliwa na watoa huduma 135
      Baraza la Taaluma ya Veterinari na       wamekaguliwa katika Halmashauri za Jiji la Mbeya na
      wakaguzi 77 na kuhamasisha               Tanga na Manispaa za Arusha, Kinondoni, Morogoro
      Halmashauri kuhusu ushirikishwaji wa     na Wilaya ya Handeni.
      sekta binafsi katika kutoa huduma za
      mifugo.                                   Wakaguzi 57 walipatiwa mafunzo kuhusu utekelezaji
                                                wa kanuni za ukaguzi wa maadili chini ya Sheria ya
                                                Veternari.

                                               Mitaala ya kufundishia taaluma ya Veterinari Chuo
                                               Kikuu cha Sokoine cha Kilimo, Vyuo vya Mafunzo ya
                                               Mifugo vya Madaba, Morogoro, Mpwapwa na Tengeru
                                               imefanyiwa mapitio na kutolewa ushauri kwa kuzingatia
                                               kanuni za Sheria ya Veternari.
34.   Kufanya utafiti wa ng‟ombe wa nyama      Taasisi ya Utafiti wa Mifugo – Mpwapwa imeendelea na
      aina ya Mpwapwa pamoja na                utafiti na uzalishaji wa ng‟ombe aina ya Mpwapwa
      kuongeza idadi yao ili waweze            ambapo idadi ya ng‟ombe hao imeongezeka kutoka
      kusambazwa kwa wingi kwa wafugaji        979 hadi 1,060 na hivyo kukidhi mahitaji ya kuwa koo
      nchini.                                  kamili (stable breed). Pia, madume 50 yamesambazwa
                                               kwa ajili ya utafiti na kuboresha uzalishaji katika
                                               mazingira ya vijijini.
35.   Kufanya utafiti wa ng‟ombe wa maziwa     Utafiti wa ng‟ombe wa maziwa kwa ajili ya kuongeza
      kwa kuzalisha na kusambaza               kiwango cha kuzaa (calving rate) na kupunguza muda
      teknolojia zitakazolenga kuongeza        wa mzao (calving interval ) unaendelea katika vituo vya
      kiwango cha kuzaa (calving rate)         utafiti wa mifugo vya Tanga, Uyole na Mpwapwa
      kutoka wastani wa asilimia 40 hadi 70,   ambapo matokeo ya awali katika kundi la ng‟ombe wa
      kupunguza muda wa mzao (calving          maziwa nchini yanaonyesha kuwa kiwango cha kuzaa




                                               203
      interval) kutoka wastani wa miezi 24     kimeongezeka kutoka asilimia 40 na kufikia asilimia 55
      hadi miezi 15.                           na muda wa mzao kutoka miezi 24 hadi 20. Vile vile,
                                               vifo vya ndama vimepungua kutoka asilimia 40 hadi 30.
                                               Aidha, uzalishaji wa maziwa kutoka ng‟ombe wa asili
                                               umeongezeka kutoka wastani wa lita 0.5 hadi lita 2.5
                                               vyote vikiwa na uhusiano wa karibu na lishe ya
                                               wanyama na kiwango cha damu chotara.
36.   Kufanya utafiti wa mbuzi na kondoo       Utafiti wa mbuzi na kondoo umeendelea katika vituo
      kwa kuzalisha na kusambaza               vya utafiti vya Tanga, West Kilimanjaro, Kongwa,
      teknolojia zitakazolenga kupunguza       Naliendele na Mpwapwa. Tathmini ya utunzaji bora wa
      vifo vya vitoto vya mbuzi na kondoo      mbuzi chotara 526 waliozaliwa katika wilaya za
      kutoka wastani wa asilimia 50 hadi 20    Kondoa, Muheza, na Handeni ulionyesha kuwa vifo vya
      na kuongeza uzito wa mbuzi na            mbuzi watoto vimepungua kutoka asilimia 50 hadi 30
      kondoo kutoka kilo 25 hadi kilo 45 kwa   na uzito kuongezeka kutoka kilo 25 hadi 30 kwa umri
      umri wa miaka 2.                         wa miaka 2 ikiwa ni matokeo ya kuboresha mabanda
                                               na lishe.
37.   Kuendeleza utafiti wa kuku unaolenga     Utafiti wa kutathmini ubora wa kuku chotara katika
      katika kutathmini ubora wa kuku          mazingira ya vijijini umefanywa katika vijiji 30 vya
      chotara wanaoweza kukua haraka na        Wilaya za Bagamoyo, Korogwe, Muheza, Pangani na
      kuzalisha mayai kwa wingi katika         Tanga mjini. Utafiti huo umeonyesha kuwa kuku
      mazingira ya wafugaji wadogo.            chotara wakilishwa vyakula vya ziada wanataga
                                               wastani wa mayai 60 hadi 70 kwa mwaka ukilinganisha
                                               na mayai 40 yanayotagwa na kuku wa asili
                                               wanaofugwa kwenye mazingira hayo. Aidha, tathmini
                                               ya aina 5 za kuku wa asili (Kuchi, Bukini, Kinyavu,
                                               Kawaida na Kishingo) katika mazingira yaliyoboreshwa
                                               imeanza katika vituo vya utafiti wa mifugo vya Tanga na
                                               Mpwapwa ili kuangalia uhimili wa magonjwa na
                                               uzalishaji wao wa nyama na mayai.
38.   Kuendeleza utafiti wa nguruwe            Utafiti unaolenga kuboresha nguruwe wa asili na
      unaolenga kuboresha nguruwe wa asili     chotara na mbinu za kuboresha uzalishaji umefanyika
      katika maeneo mengine ya mikoa ya        katika kaya 75 za Sumbawanga Vijijini. Tathmini
      Mbeya, Iringa na Rukwa.                  imeonyesha kuwa katika mazingira ya wafugaji
                                               nguruwe wa asili huzaa wastani wa watoto 7 kwa mzao
                                               na kati yao ni 4 tu wanaofikia umri wa kuachishwa
                                               kunyonya. Aidha, uzito wakati wa kuachishwa
                                               kunyonya huwa ni wastani wa kilo 10.8 katika mazingira
                                               ya vijijini.
39.   Kuendeleza utafiti wa malisho ya         Utafiti wa malisho ya mifugo unaendelea kufanyika
      mifugo katika mikoa yenye mifugo         katika vituo 5 vya utafiti kwa kusia mbegu bora za
      mingi na maeneo kame ya Arusha,          nyasi, mikunde na miti malisho kwa lengo la kuongeza
      Dodoma, Iringa, Kilimanjaro, Manyara,    uwingi na ubora wa malisho. Aidha, hifadhi ya malisho
      Mara, Mbeya, Morogoro, Mwanza,           (forage conservation) ilijaribiwa ili kukidhi mahitaji
      Pwani, Rukwa, Shinyanga, Singida,        hususani wakati wa kiangazi. Jumla ya hekta 117 za
      Tabora na Tanga.                         malisho zilihusika katika Mikoa ya Dodoma, Mbeya,




                                               204
                                                  Tabora na Tanga. Tathmini ya viinilishe vya
                                                  mchanganyiko na ongezeko la uzalishaji inaendelea.
40.   Kuendelea kufanya utafiti wa maradhi        Serikali imeendelea kufanya utafiti wa magonjwa ya
      ya mifugo katika Maabara Kuu ya             mifugo katika Maabara Kuu ya Mifugo Temeke na
      Mifugo Temeke na Taasisi ya Utafiti         Taasisi ya Utafiti wa Ndorobo na Malale (Tsetse and
      wa Ndorobo na Malale (Tsetse and            Trypanosomosis Research Institute – TTRI), Tanga
      Trypanosomosis Research Institute –         yakiwemo Homa ya Mafua Makali ya Ndege na Homa
      TTRI), Tanga.                               ya Bonde la Ufa. Aidha, sampuli za ndege 3,438
                                                  zilifanyiwa uchunguzi katika maabara hiyo kwa
                                                  kushirikiana na OVI - Afrika Kusini na Chuo Kikuu cha
                                                  Minnesota Marekani na kudhihirisha kuwa ugonjwa wa
                                                  Homa ya Mafua Makali ya Ndege haujaingia nchini.
41.   Kuendelea na utafiti wa chanjo ya           Utafiti na uzalishaji wa chanjo ya Mdondo wa Kuku
      Ugonjwa wa Mdondo wa Kuku pamoja            unaendelea ambapo dozi 7,328,800 zimezalishwa na
      na kuzalisha na kusambaza dozi              kusambazwa nchini kupitia Vituo vya Kanda vya
      milioni 12 za chanjo hiyo.                  Uchunguzi wa Magonjwa ya Mifugo (VIC‟s) na kufanya
                                                  jumla ya dozi zilizozalishwa mwaka 2006/07 kufikia
                                                  14,496,000.
42.   Kuimarisha Taasisi ya Mbung‟o na            Taasisi ya Utafiti wa Mbung‟o na Nagana imefanyiwa
      Nagana kwa kukarabati majengo na            ukarabati wa majengo. Aidha, uchunguzi wa
      kununua vitendea kazi.        Aidha,        mtawanyiko wa mbung‟o katika mikoa ya Kagera,
      itakamilisha ramani inayoonyesha            Tabora, Kigoma na Mwanza umefanyika na kazi ya
      mtawanyiko wa mbung‟o nchini na             kuandaa ramani ya kuonyesha mtawanyiko huo
      itahamasisha wafugaji kutumia mitego        inafanyika. Pia, wafugaji wamehamasishwa kutumia
      inayohamishika ili kuweza kunasa            mitego inayohamishika ili kuweza kunasa mbung‟o kwa
      mbung‟o kwa wingi.                          wingi.
43.   Kutayarisha na kusambaza mwongozo           Rasimu ya mwongozo wa utoaji wa huduma za ugani
      wa utoaji wa huduma za ugani na             imeandaliwa na itapelekwa kwa wadau ili kupata maoni
      kuratibu utoaji wa huduma hizo katika       yao. Kukamilishwa kwa mwongozo huu kutasaidia
      Halmashauri na sekta binafsi.               kuratibu utoaji wa huduma za ugani katika Halmashauri
                                                  na sekta binafsi.
44.   Kushirikiana na Halmashauri na wadau        Wafugaji 20,440 walipatiwa mafunzo juu ya ufugaji
      wengine kuwaelimisha wafugaji 20,000        bora, usindikaji, malisho, masoko na udhibiti wa
      juu ya umuhimu wa ufugaji bora ikiwa        magonjwa ya mifugo kupitia Vyuo vya Mafunzo ya
      ni pamoja na matumizi na hifadhi bora       Mifugo, Vituo vya Maendeleo ya Wananchi (FDC) na
      ya mabaki yatokanayo na mazao ya            Vituo vya Mafunzo kwa Wakulima (FTC).
      Kilimo ili kuongeza chakula cha mifugo
      wakati wa kiangazi.
45.   Kushirikiana        na      Halmashauri     Wataalam tisa wa mifugo kutoka Halmashauri nane za
      kuanzisha mashamba darasa 10 katika         Chamwino, Kongwa, Meatu, Misungwi, Morogoro
      Mikoa ya Arusha, Dodoma, Morogoro,          Vijijini, Mvomero, Ngorongoro na Nyamagana walipata
      Mwanza na Shinyanga na kuimarisha           mafunzo kwa ajili ya kuanzisha mashamba darasa
      mengine 10 katika wilaya za Bukoba          katika Halmashauri zao. Jumla ya mashamba darasa
      Vijijini (2), Karagwe (2), Tanga Vijijini   tisa kuhusu ufugaji bora wa kuku, mbuzi wanyama na
      (1), Pangani (3) na Handeni (2).            unenepeshaji wa ng‟ombe yameanzishwa katika Wilaya




                                                  205
                                                 hizo.
46.   Kuandaa na kusambaza vipeperushi           Nakala za vijitabu 13,200, vipeperushi 152,100, na
      24,000 vya ufugaji bora, kuandaa na        mabango 30,700 ya mada mbalimbali kuhusu uzalishaji
      kurusha hewani vipindi 64 vya redio na     bora wa mifugo, usindikaji, malisho, masoko na udhibiti
      televisheni kuhusu ufugaji bora. Aidha,    wa magonjwa ya mifugo viliandaliwa na kusambazwa
      kushirikiana na TALMETA na                 kwa wadau. Jumla ya vipindi 52 vya redio na 12 vya
      Halmashauri kukamilisha uundaji wa         televisheni kuhusu ufugaji bora, uboreshaji zao la
      vikundi vya wafanyabiashara ya mifugo      ngozi, uendelezaji wa malisho na masoko; na udhibiti
      katika mikoa ya Manyara, Singida na        wa Mafua Makali ya Ndege, Homa ya Bonde la Ufa na
      Tabora.                                    Kichaa cha Mbwa vilitayarishwa na kurushwa hewani.

                                                 Uhamasishaji wa kuunda vyama vya wafanya biashara
                                                 ya mifugo na nyama umefanyika katika mikoa 11 ya
                                                 Arusha, Manyara, Shinyanga, Dodoma, Singida,
                                                 Mwanza, Mbeya, Iringa, Pwani, Tanga na Dar es
                                                 salaam ambayo imeshaunda kamati za kimkoa
                                                 zinazohamasisha wilaya kuanzisha vyama vya
                                                 wafanyabiashara.
47.   Kuongeza idadi ya wanafunzi katika         Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo vimeongeza usajili wa
      Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo kutoka          wanafunzi kutoka 748 katika kipindi cha mwaka
      748 waliopo kwa sasa hadi 800 kwa          2005/2006 hadi 765 mwaka 2006/2007. Kati yao
      lengo la kutumia kikamilifu uwezo wa       wanafunzi 190 wanafadhiliwa na Serikali na 575
      vyuo hivyo.         Aidha, kugharamia      wanajigharamia.
      mafunzo kwa wataalamu 250 katika
      ngazi ya astashahada (80) na
      stashahada (170).
48.   Kuandaa na kusimamia utekelezaji wa        Serikali imeendelea kusimamia utekelezaji wa mitaala
      mitaala na mitihani katika vyuo vya        na kuhakiki mitihani ya pamoja ya vyuo na kuweka
      mafunzo ya mifugo. Pia, kuanzisha          mihtasari katika mfumo wa moduli. Pia, ukaguzi wa
      kozi ya ufugaji kibiashara ili kuboresha   utendaji kazi ulifanyika katika vyuo vya Tengeru,
      mbinu za ufugaji wa kibiashara.            Mpwapwa, Morogoro, Madaba, Temeke na Buhuri.
49.   Kukarabati majengo, miundombinu na         Mazingira ya vyuo vya mifugo yameboreshwa kwa
      kununua vifaa kwa ajili ya vyuo 6 vya      kukarabati majengo, kuimarisha miundombinu,
      mafunzo ya mifugo na kuendelea             kununua vifaa vya kufundishia na vifaa vingine vya
      kugharamia mafunzo ya uzamili kwa          ofisi.
      watumishi wake 6.
50.   Kuajiri watumishi 113 ili kuimarisha       Wizara imeajiri watumishi wanane na kukamilisha
      utendaji na kutoa motisha kwa              taratibu za kuajiri watumishi wengine 99, kuthibitisha
      watumishi ikiwa ni pamoja na               kazini 20 na kupandisha vyeo 179.
      kuwapatia vitendea kazi na mafunzo.
51.   Kutoa elimu kwa watumishi wake na          Elimu kwa watumishi na wadau wa Sekta ya Mifugo
      wadau wa Sekta ya Mifugo kuhusu            kuhusu taratibu, kanuni, na maadili ya utendaji katika
      taratibu, kanuni, na maadili ya utendaji   utumishi wa umma imeendelea kutolewa. Aidha,
      katika utumishi wa umma. Aidha,            utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Kupambana na
      kuendelea kutekeleza Mkakati wa            Rushwa umeimarishwa.




                                                 206
      Taifa wa Kupambana na Rushwa.
52.   Kuendelea kuimarisha mahusiano ya         Dawati la Jinsia limeimarishwa kwa kuundiwa Kamati
      jinsia katika vitengo vyake na kutoa      yenye wajumbe kutoka kila idara. Pia, mafunzo
      mafunzo yahusuyo masuala ya jinsia        yametolewa kwa Mratibu wa dawati hilo.
      na kuandaa viashiria muhimu vya
      kuweza kufuatilia na kupima mafanikio
      ya jinsia ndani ya Wizara.
53.   Kushirikiana na Tume ya Taifa ya          Mpango Mkakati wa kudhibiti UKIMWI sehemu ya kazi
      Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS) kufanya        umetekelezwa kwa kuunda Kamati ya UKIMWI (TAC)
      tathmini ya athari za UKIMWI kijamii na   na Sekretarieti yake. Aidha, dawati la kudhibiti UKIMWI
      kiuchumi katika Wizara na Taasisi         limeimarishwa kwa kupatiwa vitendea kazi na
      zake na kuchukua hatua za kuzuia          linandelea kuhamasisha vita dhidi ya UKIMWI ambapo
      athari hizo. Aidha, kutoa mafunzo kwa     Jumla ya makasha 411 ya kondom yalinununuliwa na
      watumishi wa ngazi zote kwa lengo la      kusambazwa. Aidha, watumishi wamehudhuria semina
      kupambana na kupunguza athari             na makongamano mbalimbali kuhusu UKIMWI.
      zitokanazo na ugonjwa hatari wa           Mtumishi mmoja wa Wizara alihudhuria mafunzo ya
      UKIMWI. Vile vile, kuboresha mkakati      muda mfupi nchini Afrika Kusini.
      wake wa kupambana na kuenea kwa
      UKIMWI.
54.   Kukiimarisha kitengo cha habari,          Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano kimeendelea
      mawasiliano na elimu kwa kutoa            kuimarishwa kwa kuwapatia watumishi husika mafunzo
      mafunzo kwa watumishi na kukipatia        stahili pamoja na kukipatia vitendea kazi na samani.
      vifaa na vitendea kazi muhimu ili
      kiweze kutekeleza majukumu yake
      kwa ufanisi.
55.   Kushirikiana na wadau wa sekta            Rasimu ya Mkakati wa Mawasiliano wa Wizara ipo
      kukamilisha maandalizi ya Mkakati wa      katika hatua za kukamilishwa.
      Mawasiliano wa Wizara.




                                                207
                        WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI NA MICHEZO

NA.                   AHADI                                       UTEKELEZAJI
1.    Kuanzisha Tovuti ya Habari kwa umma     Ujenzi wa Tovuti umekamilishwa na kampuni ya
      itakayotumiwa na wananchi kuelezea      Infocom Technologies Ltd. Tovuti ilianza kwa majaribio
      kero zao za maisha na kutoa maoni       tarehe 22 Juni, 2007.
      mbalimbali yatakayosaidia Serikali
      katika utekelezaji wa mipango yake.     Maafisa Habari wawili wamepelekwa Chuo Kikuu cha
                                              Dar es Salaam kusomea masomo ya juu ya kompyuta
                                              yatakayowawezesha kuendesha Tovuti hiyo baada ya
                                              mkandarasi kuondoka.
2.    Kupendekeza Serikalini muswada wa       Maoni ya wadau kuhusu muswada huo
      uhuru wa habari kuhusu upatikanaji wa   yameshakusanywa.      Mchakato umeanza kuandaa
      haki ya wananchi ya kupata na kutoa     Waraka wa Baraza la Mawaziri kwa hatua za kutunga
      habari.                                 Sheria ya Habari.
3.    Kupendekeza Serikalini uanzishwaji      Mapendekezo ya chombo hicho kitakachojulikana kama
      wa Chombo kitakachoratibu kisheria      Bodi ya Viwango vya Vyombo vya Habari (Media
      viwango vya elimu na taaluma ya         Standards Board) yatakuwa ni sehemu ya Sheria ya
      habari.                                 Habari inayopendekezwa kutungwa.
4.    Kuanzisha mtandao kati ya Idara ya      Mkutano wa kwanza baina ya Maafisa Habari na
      Habari na Vitengo vya Habari            Maafisa Mawasiliano ulifanyika tarehe 25 Agosti, 2006
      Serikalini.                             na kubainisha vipaumbele katika kuitetea na kuitangaza
                                              Serikali.
                                              Mkutano wa pili ulifanyika Mbeya, Oktoba 30 hadi
                                              Novemba 2, 2006 na kuhusisha Maafisa Habari na
                                              Mawasiliano 70. Katika mkutano huo, mkakati wa
                                              pamoja wa kuitangaza Serikali uliandaliwa.

                                              Mtandao wa Mawasiliano ya intaneti unaanzishwa chini
                                              ya Mradi wa Tovuti ya Habari kwa Umma. Kazi ya
                                              Kufunga mitambo katika ofisi za Maafisa Habari na
                                              Mawasiliano wa Wizara itaanza Julai, 2007.
5.    Kufungua Ofisi za Habari katika Mikoa   Serikali imeamua kuwa Ofisi za Habari Mikoani ziwe
      ya Kigoma, Mbeya, Mtwara, Mwanza        sehemu ya Sekretarieti ya Mikoa kama sehemu ya
      na Rukwa na kuimarisha zilizopo kwa     mpango wa Serikali wa kuimarisha Sekretarieti hizo.
      vifaa na mafunzo.                       Wizara itashirikiana kwa karibu na TAMISEMI katika
                                              zoezi la kuajiri na kuwaendeleza kitaaluma maafisa wa
                                              Habari Mikoani.
6.    Kuimarisha Vitengo vya Habari katika    Orodha ya vifaa vya kompyuta kwa ajili ya maofisa
      Wizara na Idara zinazojitegemea.        wasiokuwa navyo imeandaliwa na baadhi vimeanza
                                              kununuliwa chini ya Mradi wa Habari kwa Umma
                                              unaotekelezwa na Idara ya Habari.

                                              Aidha, mafunzo yameanza kutolewa kwa Maafisa
                                              Mawasiliano wa Wizara. Awamu ya kwanza ya




                                              208
                                               mafunzo hayo ilifanyika Mbeya Oktoba/ Novemba,
                                               2006.
7.    Kueneza usikivu na kuonekana kwa         Mitambo imeagizwa na mkandarasi ameteuliwa
      vipindi vya RTD na TVT nchi nzima.       kufunga mitambo ya FM katika Mikoa ya Kigoma,
                                               Mtwara, Mbeya, Mwanza na Arusha. Ujenzi unatarajiwa
                                               kukamilika mwezi Julai, 2007.
8.    Kuongeza    muda    wa     kurusha       Radio Tanzania (PRT) inatangaza saa 24 kuanzia Julai,
      matangazo ya RTD na TVT kufikia saa      2006 katika Mikoa ya Pwani na Dar es Salaam.
      24.                                      Televisheni ya Taifa nayo ilianza kutangaza saa 24
                                               kuanzia Julai, 2006.
9.    Kuanzisha gazeti la Kiswahili la         Gazeti hilo lilizinduliwa mwezi 21 Desemba, 2006.
      Serikali.                                Linajulikana kama Habari Leo.
10.   Kukarabati Maktaba ya Taifa ya           Mchakato wa kumpata mkandarasi umekamilika na
      Kumbukumbu ya Picha iliyopo Dar es       imeteuliwa kampuni ya „MF1 Office Solutions Ltd‟ ya
      Salaam.                                  Dar es Salaam kwa gharama ya sh. 369,052,710.00.
                                               Mkataba tayari umeidhinishwa na Ofisi ya Mwanasheria
                                               Mkuu wa Serikali. Utekelezaji wa mchakato huo
                                               unaendelea.
11.   Kuendesha mafunzo ya mbinu za            Warsha ya mafunzo ya mbinu za Utawala na
      utawala na uendeshaji wa shughuli za     Uendeshaji wa shughuli za Utamaduni kwa Maofisa
      utamaduni kwa Maofisa Utamaduni wa       Utamaduni Wilaya, Miji, Manispaa na Majiji
      Wilaya, Miji, Manispaa na Majiji.        haikufanyika kutokana na ufinyu wa bajeti.
12.   Kutathmini mradi wa “TUSEME” kwa         Tathimini ya Mradi wa “TUSEME” ilifanyika mwezi
      wasichana wa Shule za Msingi na za       Februari, 2007 katika Shule za Sekondari za Arusha,
      Sekondari.                               Machame, Lindi, Msalato, Kilakala, Korogwe,
                                               Bagamoyo na Mwenge.             Tathimini imewasaidia
                                               wanafunzi hasa wa kike kueleza waziwazi matatizo
                                               yanayowasibu katika shule hizo na kuyatafutia
                                               ufumbuzi wao wenyewe.
13.   Kufanya utafiti wa mila na lugha za      Utafiti umefanyika katika Mikoa ya Mara, Arusha na
      asili kwa makabila ya nchi yetu ili      Ruvuma. Katika utafiti huo imeonekana kwamba yapo
      kukuza msamiati wa Lugha ya              maneno mengi katika lugha za asili katika fani
      Kiswahili.                               mbalimbali hususani, kilimo, uvuvi, ufugaji, n.k. ambayo
                                               yanaweza kuingizwa katika lugha ya Kiswahili badala
                                               ya kutumia maneno ya lugha za kigeni.
14.   Kuendesha warsha 2, semina 1 na          Warsha moja ya Kiswahili Sanifu ilifanyika Morogoro
      mkutano 1 ili kuimarisha matumizi ya     mwezi Septemba, 2006 iliyohusisha washiriki 50
      Kiswahili sanifu na fasaha kwa           wakiwemo Waandishi wa Habari, Watangazaji wa
      Wizara, Idara za Serikali na Mashirika   Radio na watumishi kutoka Idara ya Maendeleo ya
      ya Umma.                                 Utamaduni.
15.   Kuandaa na kuendesha Mkutano Mkuu        Mkutano ulifanyika Dodoma tarehe 11 - 16 Novemba,
      wa Nne wa Sekta ya Utamaduni,            2006. Ulihusisha Maofisa Utamaduni kutoka Wilaya,
      utakaofanyika Novemba, 2006.             Mikoa, Taasisi za Utamaduni na wadau wengine wa
                                               Utamaduni.




                                               209
16.   Kuratibu na kusimamia uendeshaji wa   Tamasha la Utamaduni liliadhimishwa pamoja na siku
      Tamasha la Utamaduni Kitaifa          ya Utamaduni Duniani. Jumla ya vikundi 18 vya
      litakalofanyika mwezi Mei, 2007.      Utamaduni vilishiriki katika maonyesho ya Utamaduni
                                            na shughuli za Sanaa. Shughuli hii ilifanyika Dar es
                                            Salaam tarehe 21 Mei, 2007.
17.   Kuanza kujenga Jumba la Utamaduni     Kiwanja chenye ukubwa wa ekari 100 kimepatikana
      la Taifa hapa jijini Dar es Salaam.   katika Kijiji cha Kiromo Wilaya ya Bagamoyo.

                                            Mkutano wa wadau kuhusiana na dhana nzima ya
                                            Jumba la Utamaduni katika muktadha wa Tanzania
                                            umefanyika. Aidha, mbunifu Majengo „Architect‟
                                            ameshapatikana ambaye ndiye atasimamia kazi ya
                                            kuandaa michoro na ujenzi.

                                            Mawazo ya awali ni kuwa Jumba litakuwa na sehemu
                                            kuu zifuatazo:-
                                            Maonyesho ya Sanaa; Maigizo; Kituo cha Habari za
                                            Utamaduni; Utunzaji wa Kumbukumbu za Utamaduni
                                            wa Historia ya nchi yetu.
18.   Kuendesha mafunzo ya Stashahada       Chuo cha Sanaa Bagamoyo kiliendesha mafunzo ya
      kwa Washiriki 100 na Mafunzo ya       Stashahada kwa wanafunzi 95 na Mafunzo ya muda
      muda mfupi kwa Wasanii 120 ambao      mfupi kwa Wasanii 120 walio kazini
      wako kazini katika Chuo cha Sanaa,
      Bagamoyo.
19.   Kuendesha Tamasha la 25 la            Tamasha la 25 la Kimataifa la Chuo cha Sanaa
      Kimataifa la Chuo cha Sanaa           Bagamoyo lilifanyika mwezi Septemba, 2006 kwa
      Bagamoyo litakalofanyika mwezi        mafanikio makubwa.
      Septemba 2007.
20.   Kukarabati Jengo la Maonyesho ya      Chuo cha Sanaa Bagamoyo kimeanza kufanya
      Sanaa na kujenga Bweni la Wanafunzi   ukarabati wa majengo ya Ukumbi wa Maonyesho
      Chuo cha Sanaa Bagamoyo.              yaliyoungua. Ujenzi wa        bweni     la wanafunzi
                                            haukufanyika kutokana na ufinyu wa bajeti.
21.   Kutoa elimu kwa kutumia Sanaa   na    Mpango wa uraghibishi kuhusu kujikinga na
      Vipeperushi katika sehemu       za    maambukizi mapya ya VVU na UKIMWI umefanyika.
      burudani nchini kuhusu namna    ya    Jumla ya vipeperushi 1,000 vimesambazwa katika
      kupunguza maambukizi mapya      ya    maeneo ya burudani.
      VVU/UKIMWI.
                                            Utafiti umefanyika katika Mikoa ya Kigoma, Singida na
                                            Tabora na kubaini kwamba kuna mila na desturi nzuri
                                            zinazoweza kusaidia katika jitihada za kupambana na
                                            kuenea kwa maambukizi ya ukimwi.




                                            210
22.   Kuendelea na kazi ya ujenzi wa           Ujenzi wa Ukumbi wa Wazi wa Maonyesho (Open Air
      Ukumbi wa Wazi kwa maonyesho ya          Theatre) umekamilika kwa asilimia 60. Lengo ni
      Sanaa awamu ya pili Ilala - BASATA       kukamilisha ujenzi wa Ukumbi huo mwezi Septemba,
                                               2007.
23.   Kuandaa Warsha ya Wataalamu wa           Warsha ya Wataalamu wa Kiswahili ilifanyika Kibaha
      Lugha wa BAKITA na BAKIZA.               mwezi Mei, 2007. Lengo la mafunzo lilikuwa kuwapa
                                               mbinu zaidi za kufanya kazi zao ambazo wamekuwa
                                               wakifanya kwa uzoefu.
24.   Kuchapisha kitabu cha kufundishia        Warsha iliyowajumuisha walimu wa Kiswahili kwa
      Kiswahili kwa wageni nchini.             wageni ilifanyika kwa lengo la kufanya maandalizi ya
                                               msingi ya kuandika kitabu cha kufundishia wageni
                                               Kiswahili Hatua ya kwanza. Kazi iliyofanyika ni
                                               kuainisha mada za kitabu na uteuzi wa wataalamu wa
                                               kuandaa Muswada wa kitabu hicho.
25.   Kuandaa warsha ya kusanifisha istilahi   Kufanya utafiti na kukusanya istilahi 1,800 katika
      za kidiplomasia za mchanganyiko na       uwanja wa Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa kwa
      kuandaa mwongozo wa usafirishaji.        lengo la kuzisanifu na kuandaa Kamusi kwa ajili ya
                                               mikutano ya UA na kwingineko.
26.   Kuchapisha kitabu cha makosa katika      Ilifanyika warsha ya kuwaandaa Walimu wa Kiswahili
      matumizi ya Kiswahili sanifu.            kwa wageni. Kazi iliyofanyika ni kuainisha mada za
                                               kitabu na uteuzi wa Wataalamu wa kuandaa Muswada
                                               wa kitabu chenyewe.
27.   Kuandaa semina kwa Vyombo vya            Vipindi 52 vya “Lugha ya Taifa” vilitangazwa katika
      Habari ili kudhibiti matumizi ya lugha   redio. Aidha, vipindi 52 vya “kumepambazuka” na
      ya Kiswahili yasiyokuwa sahihi.          vipindi 52 vya “ulimwengu” wa Kiswahili vilitangazwa
                                               katika Televisheni. Mafunzo hayo yalielimisha na
                                               kuhamasisha matumizi fasaha ya Kiswahili.
28.   Kuandaa Warsha kwa Wafasiri na            Semina ya mafunzo kwa Wafasiri na Wakalimani 15
      Wakalimani.                              ilifanyika. Lengo la mafunzo haya ilikuwa kuwapatia
                                               wataalam mbinu zaidi za kufanya kazi ya Ukalimani na
                                               tafsiri kwa umakini na ufanisi zaidi.
29.   Kuandaa Mwongozo wa Waandishi wa         Kazi hii haijafanyika kutokana na ufinyu wa bajeti.
      Vitabu vya Kiswahili.
30.   Kukarabati Banda la Maonyesho la         Kazi imeanza na kukamilika.
      BAKITA katika Uwanja wa Maonyesho
      ya Kimataifa ya Biashara wa Mwalimu
      J.K. Nyerere, Dar es Salaam.
31.   Kuendelea kusimamia ukamilishaji wa      Uwanja Mpya wa Michezo unaendelea kujengwa
      Uwanja wa Kisasa unaojengwa jijini       utakabidhiwa Serikalini mara utakapomalizika. Awamu
      Dar es        Salaam hadi        hapo    ya Pili ya ujenzi itahusisha utaratibu wa jenga, endesha
      utakapokabidhiwa kwa Serikali mwezi      na kabidhi {Build Operate and Transfer - (BoT)}.
      Februari, 2008; na kukamilisha awamu
      ya pili ya ukarabati wa Uwanja wa




                                               211
      zamani wa Taifa.
32.   Kuandaa na kusimamia mjadala wa            Mwongozo wa kuendesha mjadala huo umetayarishwa.
      kitaifa utakaowashirikisha Watanzania      Aidha, Baraza la Michezo la Taifa (BMT) linaendelea
      wote, hasa wadau wa michezo, ili           kukusanya maoni kutoka kwa wadau mbalimbali wa
      kupata mawazo yao kuhusu hatma ya          Michezo kote nchini ambayo yatasaidia wakati wa
      michezo nchini mwetu.                      majadiliano hayo.
33.   Kuiandaa Timu ya Taifa inayojumuisha       Timu ya Taifa katika Michezo ya 9 ya Mataifa ya Afrika
      michezo mbali mbali kwa ajili ya           2007 huko Algeria ilishiriki kama ilivyopngwa. Timu
      michezo ya Mataifa ya Afrika               ilijumuisha Michezo ya Ngumi, Riadha, Judo, Mpira wa
      yatakayofanyika         Algiers-Algeria,   Meza, na Michezo kwa watu wenye ulemavu wa
      mwaka 2007.                                viungo.
34.   Kuendelea kutoa mafunzo ya utaalamu        Mafunzo ya Stashahada ya miezi 18 ya Ualimu na
      wa Ualimu, Uamuzi, Uongozi bora na         Uamuzi kwa michezo ya mpira wa miguu, mpira wa
      huduma ya Kinga na Tiba, ili kuinua        mikono, mpira wa kikapu, mpira wa wavu, netiboli na
      viwango vya fani hizo katika Vyama na      riadha yanaendelea katika Chuo cha Malya. Wanachuo
      Vilabu vya Michezo.                        36 wanaendelea na mafunzo hayo.
35.   Kuboresha mazingira ya kufundishia         Chumba kimoja cha darasa kimejengwa ikiwa ni
      na kujifunza katika Chuo cha               nyongeza ya Madarasa ya kujifunzia katika Chuo cha
      Maendeleo ya Michezo Malya na vituo        Michezo Malya.
      vya Kanda vya Arusha na Songea.
                                                 Chumba cha Kompyuta na Maktaba vinaendelea
                                                 kujengwa katika Chuo cha Maendeleo ya Michezo
                                                 Malya. Majiko mapya mawili ya kupikia yamefungwa
                                                 na yanatumika.
                                                 Vituo vya Michezo vya Kanda Arusha na Songea vilitoa
                                                 mafunzo mbalimbali ya michezo. Washiriki 501
                                                 walihudhuria mafunzo hayo, Arusha 296 na Songea
                                                 205.
36.   Kuwawezesha watu wenye ulemavu             Timu ya wachezaji 24 ya watu wenye ulemavu ya
      kushiriki mashindano ya kitaifa na         Olimpiki Maalumu inaendelea na Maandalizi kwa
      kimataifa, kwa kuiandaa timu ya            Michezo ya Dunia itakayofanyika China mwaka 2007.
      Olimpiki   Maalumu       itakayoshiriki
      michezo ya Dunia itakayofanyika
      China mwaka 2007.
37.   Wizara ya Habari, Utamaduni na             Wizara kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na
      Michezo itashirikiana na Wizara ya         Mafunzo ya Ufundi pamoja na TAMISEMI
      Elimu na Mafunzo ya Ufundi                 zimekubaliana kuimarisha somo la Elimu ya Michezo
      kuimarisha somo la Elimu kwa               Shuleni, Vyuoni pamoja na kurejesha michezo Shuleni
      Michezo shuleni kwa kutoa mafunzo ya       na Vyuoni. Waraka wa Utekelezaji wa Baraza la
      ualimu wa michezo.                         Mawaziri umeshaandaliwa.
38.   Kuandaa na kuendesha kongamano             Wizara imeandaa utaratibu wa kuwa na kongamano na
      kwa vyama vya michezo na watu mbali        viongozi wa vyama vya michezo ngazi ya Taifa kila
      mbali kuhusu uanzishaji wa michezo         baada ya miezi mitatu. Mikutano mitatu imefanyika.
      ya kulipwa na kukusanya maoni              Suala kuhusu michezo ya kulipwa lilipewa msukumo




                                                 212
      kuhusu maendeleo ya michezo kwa            mkubwa.
      jumla.
39.   Kuhamasisha kwa njia ya mikutano,          Uhamasishaji umefanyika na vikundi 27 vya wanawake
      semina na makongamano ili kuongeza         vya michezo viliundwa na watu wenye ulemavu
      ushiriki na uundaji wa vikundi zaidi vya   wanaendelea kujitokeza katika michezo mbali mbali.
      michezo kwa wanawake na watu
      wenye ulemavu.
40.   Kuwawezesha watumishi kuunda               Mchakato umeshaanza kwa kulifikisha suala la
      Ushirika wa Kuweka na Kukopa.              kuanzisha SACCOS kwa watumishi katika Baraza la
                                                 Wafanyakazi lililofanyika Dodoma tarehe 1 – 2 Machi,
                                                 2007. Baraza la Wafanyakazi lilipitisha azimio la
                                                 kuanzishwa kwa SACCOS.
                                                 Mawasiliano yanaendelea baina yetu na Wizara ya
                                                 Kilimo, Chakula na Ushirika katika ukamilishaji wa
                                                 hatua za uanzishaji wa SACCOS kwa wafanyakazi.




                                                 213
                                   WIZARA YA ULINZI NA JKT
NA.                  AHADI                                         UTEKELEZAJI
1.    Kuendelea na kuimarisha mafunzo          Jumla ya maafisa na askari 169 walihudhuria kozi
      ndani na nje ya nchi kwa wanajeshi       katika nchi 21 tofauti, na matokeo yake ni mazuri.
      wetu.                                    Aidha, mwezi Februari, 2007 kulifanyika zoezi la kivita
                                               liitwalo JUHUDI. Zoezi hilo lilifanywa na 27 KJ Mkoani
                                               Mara.
2.    Kuendeleza na kuimarisha mazoezi ya        Serikali imeendelea kuchukua hatua kuhakikisha Jeshi
      medani na mazoezi ya ulinzi na amani.      linapata uwezo wa kuwapatia wanajeshi wake
                                                 mafunzo na mazoezi ya elimu ya Kijeshi hususani
                                                 kuhusu matumizi ya teknolojia mpya ya kijeshi, mbinu
                                                 za kisasa za kivita na utendaji katika majukumu yake
                                                 mapya. Katika mwaka 2006/2007 wanajeshi wetu
                                                 wamewezeshwa kufanya mafunzo na mazoezi kuanzia
                                                 ngazi ya mtu binafsi (Individual training) hadi mazoezi
                                                 ya pamoja na makundi (collective formation training
                                                 exercises).

                                               Ushiriki wa jeshi letu katika majukumu ya kimataifa,
                                               ikiwa ni pamoja na ulinzi na uangalizi wa amani katika
                                               nchi zenye migogoro duniani, ni njia mojawapo ya
                                               kuwapatia wanajeshi wetu elimu zaidi ya kijeshi.
                                               Ushiriki wa wanajeshi wetu katika majukumu haya
                                               umewapatia ujuzi na kutekeleza majukumu yao katika
                                               mazingira mbalimbali.       Aidha, umetoa fursa kwa
                                               wanajeshi wetu kujipatia uzoefu wa kujifunza kutoka
                                               kwa wanajeshi wa nchi nyingine.
3.    Kuendeleza na kuimarisha upatikanaji     Jenereta mbili zimeshanunuliwa kwa ajili ya matumizi
      wa vifaa na nyenzo bora za kufanyia      kwenye kambi za JKT.
      kazi.
4.    Kuendeleza mipango ya ujenzi wa           Wizara imepata mkopo wa fedha toka Shirika la Akiba
      makambi mbali mbali ikiwemo              ya Wafanyakazi (NSSF) shs. bilioni 21.0 kwa lengo la
      kukamilisha ujenzi wa nyumba kwa ajili   kujenga nyumba za makazi 270 maeneo ya Dar es
      ya makazi, maghala na mifumo ya maji     Salaam na Arusha kwa mwaka wa fedha 2006/07.
      safi na maji taka na umeme.              Ukarabati wa mifumo ya maji safi na maji taka
                                               umekamilika katika kambi za Mirambo (Tabora) na
                                               Lugalo (Dar es Salaam). Aidha, kwa kutumia fedha za
                                               matumizi ya kawaida wizara iliendelea kufanya
                                               ukarabati wa majengo mbali mbali na miundombinu
                                               katika kambi mbalimbali zikiwemo za JKT.
5.    Kupatikana kwa vyombo vya usafiri        Magari yaliyonunuliwa kuanzia Julai, 2006 hadi Juni,
      hasa magari.                             2007 ni kama ifuatavyo:-
                                               Nissani Patrol Pick up kumi na tatu (13); Nissan
                                               Civilian Minbus mbili (2); Nissan Patrol station wagon




                                               214
                                              sita (6); Toyota Land cruiser S/wagon moja (1); Toyota
                                              Hiace 15 seater moja (1); IVECO Trucks (6 Ton) 72.
                                              Magari ya msaada yaliyopokelewa Julai, 2006 – Juni,
                                              2007.
                                              Kutoka China: Hyundai Tucson 32; Mitsubish Rosa
                                              Minbus moja (1); IVECO Jeep nane (8)
                                              Kutoka UAE:
                                              Land Rover 110 P/up kumi (10); Land Rover
                                              Ambulance mbili (2), Bedford Lorry mbili (2).
6.    Kuwapatia wanajeshi na vijana wa JKT    Hatua zilizochukuliwa ni kununua sare za jeshi na vifaa
      sare za kutosha kulingana na stahili    vyake kukidhi mahitaji ya askari wapya pamoja na
      kwa wakati.                             mavazi ya kubadili kwa wanajeshi waliopo kulingana na
                                              uwezo kifedha. Kipaumbele kinatolewa kwa combat
                                              dress, boots, mavazi ya baridi na vitambaa vya
                                              kushonea sare za matumizi ya kila siku katika majeshi
                                              yetu.
7.    Kuwapatia vijana wa JKT, wanajeshi      Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa inaendelea
      pamoja na familia zao huduma za tiba.   kuwapatia wanajeshi na vijana wa Jeshi la Kujenga
                                              Taifa (JKT) huduma na mahitaji muhimu katika viwango
                                              vinavyoridhisha. Ikiwemo chakula, sare, vifaa vya
                                              malazi, mabwalo na huduma bora za tiba na juhudi za
                                              kuzuia maambukizi mapya ya ugonjwa wa UKIMWI.
8.    Kuwapatia wanajeshi na vijana wa JKT     Ili kukabili tatizo la upandaji bei za vyakula na
      huduma ya chakula.                      kusababisha kushuka kwa ubora wa huduma
                                              inayotolewa Serikali imeongeza kiwango kutoka Tshs.
                                              60,000/= hadi Tshs. 75,000/= kwa mtu kwa mwezi
                                              kuanzia nusu ya pili ya mwaka 2006/2007.
                                              Inategemewa kuwa badiliko hilo litaleta unafuu, ingawa
                                              kiwango hicho bado hakijafikia gharama halisi
                                              kulingana na bei za chakula katika soko.
9.    Kulipia kikamilifu huduma za maji na    Huduma za maji na umeme zimekuwa zikilipwa kwa
      umeme.                                  wakati kwa mamlaka husika kwa kutumia fedha
                                              zinazopatikana kwa kila mwezi.
10.   Kuendelea na upimaji wa maeneo ya        Maeneo yaliyopimwa ni pamoja na; Tanganyika
      JWTZ na JKT na kuyapatia hatimiliki     Packers (977 KJ); Mwenge Band Coy; Dodoma
      pamoja na kulipa fidia kwa wananchi     Makutopora JKT; Lindi- Singino Radar; Ngerengere;
      waliochukuliwa maeneo kwa ajili ya      Mtwara – Umoja Camp; Mwanza Nyegezi (MTC);
      shughuli za JWTZ na JKT.                Shinyanga – Meatu; Songea (37 KJ); KTC – Dar es
                                              Salaam; Ubungo Kibangu (671 KJ), Lake Duluti Estate-
                                              Ltd (eneo la ziada la CSC Tengeru) na Singino Kilwa.
11.   Kuwapatia wanajeshi na watumishi wa     Kero ya makato ya baiskeli na mafriji imeondolewa kwa
      Umma stahili zao za kisheria kwa        kuwafidia wahusika vifaa walivyokuwa wanadai kabla
      wakati na kikamilifu zikiwemo           ya mwaka 2001. Kuhusu kero ya mikopo ya magari
      mishahara na likizo. Hii ni pamoja na   kwa maafisa wa JWTZ, Serikali imesimamisha makato
      kuendelea na udhibiti wa kero           ya mikopo hiyo na kusamehe 25% ya mkopo kwa




                                              215
      zilizokwisha kuondolewa jeshini hasa      wanajeshi wanaoendelea na makato ya mikopo.
      zinazohusu madeni binafsi kwa
      wapiganaji.                               Mishahara na malipo mengine vikosini imeboreshwa
                                                hususan ongezeko la kima cha mishahara. Sehemu
                                                kubwa ya madai binafsi ya wanajeshi na watumishi wa
                                                Umma ya miaka ya nyuma yamelipwa. Usimamizi wa
                                                utoaji wa huduma bora za mikopo na vinywaji vya
                                                motisha kwa wanajeshi umetekelezwa kwa kusimamia
                                                makato ya mikopo bila kuathiri wakopaji/au
                                                wakopeshaji.

                                                Jitihada kubwa zimefanyika kuwalipa wanajeshi na
                                                watumishi wa Umma stahili zao za kisheria kikamilifu
                                                ikiwa ni pamoja na kulipa mishahara na likizo kwa
                                                wakati. Madeni yaliyokuwa yanadaiwa huko nyuma
                                                katika mwaka 2004/2005 yamelipwa.
12.   Kuendeleza juhudi za kupambana na         Majeshi yetu yameendelea na juhudi za kupambana na
      janga la Ukimwi.                          janga la UKIMWI kwa njia mbali mbali:-
                                                Zimeundwa kamati maalum za kudhibiti Ukimwi (JWTZ
                                                na JKT); JKT lilipeleka ujumbe wa maafisa wa ngazi
                                                ya juu kwenda nchini Uganda kujifunza jinsi nchi hiyo
                                                ilivyofanikiwa katika kudhibiti Ukimwi; katika mikutano
                                                ya kila siku na amri za kila siku, suala la UKIMWI
                                                hujadiliwa na kupewa uzito unaostahili; yameendeshwa
                                                mafunzo kwa wajumbe wa kamati za ushauri za vikosi
                                                pamoja na kuundwa kamati za vikosi, zimeanzishwa
                                                huduma za ushauri nasaha na upimaji kwa hiari katika
                                                vikosi, Hospitali za JWTZ na JKT zimekuwa ni vituo vya
                                                kutoa dawa za kurefusha maisha kwa waathirika wa
                                                ugonjwa wa Ukimwi.
13.   Kuendeleza ushirikiano wa kijeshi kati    JWTZ limeendelea kudumisha mahusiano mazuri
      ya nchi jirani na rafiki katika nyanja    kimataifa katika nyanja ya Ulinzi.         Kwa kupitia
      zinazohusu mafunzo ya pamoja,             ushirikiano huo Tanzania imepata misaada mbali mbali
      taaluma mbali mbali na kutekeleza         ya kijeshi kama ifuatavyo:-
      makubaliano      yaliyofikiwa    katika
      ushirikiano wa kiulinzi ndani ya          Mafunzo
      ushirikiano wa Afrika Mashariki na        Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China imetoa nafasi za
      Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa        kozi za kijeshi kwa maafisa na askari wa JWTZ nchini
      Afrika.                                   China.
                                                Misaada ya Vifa na Zana za Kijeshi
                                                JWTZ limepata msaada uliowezesha kununua vifaa vya
                                                kijeshi kama meli za kijeshi, ukarabati wa rada na
                                                ndege.
                                                Ziara za Viongozi wa Majeshi. Katika kudumisha
                                                mahusiano kati ya nchi hizi mbili, kumekuwepo na ziara




                                                216
za kirafiki kwa viongozi wa juu, ambapo Waziri wa
Ulinzi na JKT ametembelea nchini China mwezi Mei,
2007 na viongozi wa ngazi za juu wa Jeshi la Watu wa
China pia walifanya ziara za kikazi nchini mwaka 2006
na 2007.

Ujerumani
Tanzania iliendelea kupata misaada toka Serikali ya
Ujerumani kama ifuatavyo:-
Ujenzi na ukarabati wa Hospitali ya Kijeshi ya Lugalo,
Hospitali ya Kanda ya Arusha, Mwanza na Mbeya.
Ujenzi wa Hospitali ya Bububu Kanda ya Zanzibar
umekamilika na ilikabidhiwa rasmi mwezi Machi 2007.
Vile vile Ujerumani wamekamilisha ukarabati wa
karakana kuu ya Jeshi iliyopo 501 KJ.

Nafasi mbali mbali za kozi za kijeshi na kitaalam katika
fani mbali mbali nchini Ujerumani zikiwemo uhandisi
makenika na tiba zilitolewa.

Canada
Serikali ya Canada iliendelea kutoa nafasi za kozi kama
vile kozi za ulinzi wa amani, lugha ya Kifaranza na
“Junior Command and Staff Course.” Jeshi la Canada
linatarajia kuendesha kozi maalum kwa wanasheria
wetu wa jeshi ili hatimaye waweze kufanya
marekebisho ya sheria zetu za kijeshi.

Marekani
Kufuatia uamuzi wa kurejesha mafunzo kwa Tanzania,
Marekani imetoa nafasi kwa baadhi ya kozi na semina
zinazofadhiliwa na nchi hiyo.

India
 Iliendelea kutoa nafasi za mafunzo ya kijeshi kwa
maafisa.

 Uingereza
Imeendelea kutoa nafasi mbali mbali za kozi na semina
zinazoendeshwa nchini Uingereza.

 Ushirikiano na nchi zenye JKT
Ushirikiano na nchi zenye JKT za Zambia na Guyana
unaendelea kuimarika. Aidha Wizara ya Ulinzi ya
Msumbiji ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha




217
utaratibu wa kusaini mkataba wa ushirikiano katika
sekta ya ulinzi ili waweze kusaidiwa kuanzisha shughuli
za JKT.

Ushirikiano na Nchi za EAC
JWTZ linaendelea na utekelezaji wa mkataba wa
ushirikiano na Nchi za Afrika Mashariki katika sekta ya
ulinzi. Mpango wa utekelezaji wa mkataba huo
ulipitishwa na Mawaziri wa Ulinzi:-

Mafunzo ya Kijeshi
Nafasi katika vyuo zilitolewa na kutumiwa kama
ilivyopangwa.      Ubadilishanaji wa Wanafunzi na
Wakufunzi umetekelezwa kama ipasavyo. Mzunguko
wa mazoezi matatu ya vituo vya uamrishaji kama
utangulizi wa Field Training Exrcises umekamilika. Nchi
za EAC hivi sasa zinafanya maandalizi ya zoezi la
medani litakalofanyika mwaka 2008.

Ushirikiano Kiufundi
Vifaa vya mawasiliano salama vimenunuliwa na
kufungwa kwa ajili ya Wakuu wa Majeshi. Taasisi za
kiufundi za kijeshi zimetolewa kwa matumizi ya nchi za
EAC. Rasimu ya Mwongozo (Roadmap) wa matumizi
ya taasisi za kiufundi imeandaliwa na itapitishwa katika
vikao vya sekta ya ulinzi. Rasimu ya sera ya utafiti na
maendeleo kijeshi imeandaliwa.

Ziara na Ubadilishanaji wa Taarifa
Ziara za viongozi zinafanyika mara kwa mara. Aidha,
michezo na utamaduni inafanyika kila mwaka kwa
mzunguko wa kila nchi kuwa mwenyeji wa michezo
hiyo. Tanzania ilikuwa mwenyeji wa wiki ya tatu ya
michezo na utamaduni wa kijeshi kuanzia tarehe 20 –
30 Mei, 2007 ambapo Tanzania ilikuwa mshindi wa
kwanza wa jumla wa michezo yote. Mzunguko wa pili
unatarajiwa kuanza mwaka 2008 ambapo nchi za
Rwanda na Burundi pia zitashiriki. Wakuu wa Usalama
wanakutana mara kwa mara kwa ajili ya kubadilishana
habari.

Ushirikiano na Nchi za SADC
Tanzania hivi sasa ni Mwenyekiti wa “SADC Organ”.
JWTZ limeendelea kuratibu na kufuatilia utekelezaji wa
makubaliano ya ki-ulinzi ya Jumuiya hiyo na kushiriki




218
                                               katika vikao kwenye ngazi ya Mawaziri na Wakuu wa
                                               Majeshi na Wataalam. Pamoja na utaratibu wa kikanda
                                               majeshi ya nchi za SADC yamekuwa yakishirikiana kwa
                                               karibu katika kutoa nafasi za mafunzo katika vyuo vya
                                               kijeshi ili kubadilishana ujuzi na kuimarisha utendaji wa
                                               majeshi hayo.

                                               Wakuu wa Majeshi na viongozi wa Majeshi wamekuwa
                                               wakitembeleana kudumisha mahusiano.           Makao
                                               Makuu ya Jeshi yanaendelea na mpango wa
                                               kukamilisha mikakati ya kuunda kikosi ambacho
                                               kitakuwa chini ya Brigedi ya SADC itakayoundwa katika
                                               Jeshi la pamoja la Afrika.      Pamoja na majukumu
                                               mengine katika nyanja ya ulinzi Tanzania kama
                                               mwenyekiti wa “Organ” ina jukumu la kufanikisha
                                               uzinduzi wa SADCBRIG ambao unatarajiwa kufanyika
                                               tarehe 17 Agosti, 2007 Lusaka nchini Zambia.

                                               Tanzania inalo jukumu la kusimamia na kuratibu
                                               msaada wa kikanda wa SADC nchini DRC baada ya
                                               nchi hiyo kuwa katika migogoro ya kivita vya ndani hata
                                               baada ya uchaguzi mkuu wa kidemokrasia uliofanyika
                                               mwaka 2006.

                                               Operesheni za Kulinda Amani
                                               Tanzania inashiriki katika Operesheni za Umoja wa
                                               Mataifa za kulinda amani katika nchi mbali mbali za
                                               Afrika na Asia ambazo zilikumbwa na vita vya wenyewe
                                               kwa wenyewe.
                                               Kipindi cha mwaka 2006 – 2007 JWTZ lilipeleka
                                               maafisa katika opereshini za kimataifa za kulinda amani
                                               katika nchi za Ethiopia na Eritrea, Lebanon, Ivory
                                               Coast, Sudan (UNMIS) kama waangalizi katika Jeshi la
                                               Umoja wa Mataifa la kulinda Amani (UN MILOBs) na
                                               wanadhimu.
14.   Kuendeleza tafiti na uboreshaji katika   Viwanda vinavyomilikiwa na JWTZ, (TATC--Nyumbu
      uzalishaji wa bidhaa mbali mbali toka    Project na Mzinga Corporation – Mazao KJ),
      viwanda na mashirika yetu kwa            vinaboreshwa ili kuweza kufanya tafiti na uzalishaji wa
      matumizi ya majeshi yetu.                bidhaa bora kwa matumizi ya Majeshi yetu.
15.   Kuendelea kutoa mafunzo ya JKT kwa       Mafunzo kwa vijana yameendelea kutolewa tangu
      vijana wa Kitanzania yanayohusu          yaliporejeshwa tena mwaka 2001. Lengo ni kufikia
      Ulinzi na Ujenzi wa nchi, uimarishaji    idadi ya vijana 15,000 kwa mwaka ifikapo mwaka 2010.
      wa Umoja wa Kitaifa na kuwajenga         Hadi hivi sasa imefikiwa idadi ya vijana 4,000 kwa
      vijana katika uzalendo wa hali ya juu.   mwaka 2006/2007.




                                               219
16.   Kuendelea kutoa mafunzo ya Mgambo   Kanda zote nne za ulinzi zimeendesha mafunzo ya
      kwa Umma wa Kitanzania kwa          mgambo ya awali, “refresher” na uongozi mdogo katika
      madhumuni ya kuimarisha ulinzi wa   kipindi cha mwaka 2006/2007, vikosi vya JWTZ
      umma.                               viliendelea kutoa wakufunzi wa kutosha. Mafanikio ya
                                          kiasi cha asilimia 97% yamefikiwa kwa nchi nzima.

                                          Mafunzo ya Awali
                                          Mwongozo wa mafunzo ya mgambo wa mwaka 2007 ni
                                          mwendelezo wa mafunzo ya mwaka 2006. Kila mkoa
                                          uliagizwa kuwafundisha wanamgambo 1,000 kwa
                                          mwaka ambapo jumla ya wanamgambo 11,600
                                          walipata mafunzo.

                                          Mafunzo ya Kujikumbusha (Refresher)
                                          Maendeleo ya mafunzo ya kujikumbusha (refresher)
                                          yaliendeshwa katika mikoa kumi ya Tanzania Bara.
                                          Mikoa ambayo haikuendesha, sababu kubwa ilikuwa ni
                                          kutojitokeza kwa wanamgambo pale ambapo mafunzo
                                          yalipotangazwa.

                                          Mafunzo ya Uongozi Mdogo
                                           Katika mwaka 2006/2007 JWTZ liliazimia kuanzisha
                                          tena mafunzo ya uongozi wa Mgambo yaliyokuwa
                                          yamesimamishwa mwaka 1992 kwa sababu mbali
                                          mbali za kiutawala. Jumla ya viongozi wa Mgambo 619
                                          wamepatikana katika kipindi hiki. Mafanikio katika kila
                                          mkoa ni kama ifuatavyo:-
                                          Kagera (34); Mwanza (28); Kigoma (28); Tabora (28);
                                          Shinyanga         (29); Mara (29); Dar es Salaam (37);
                                          Dodoma (29); Lindi (26);         Morogoro (28); Pwani
                                          (28); Mtwara (28); Manyara (25); Kilimanjaro (29);
                                          Tanga (30); Singida (31); Arusha (34);           Iringa
                                          (30);Mbeya (3); Rukwa (29); Ruvuma (29); Jumla
                                          (619).

                                          Ushiriki wa Vikosi vya Mgambo katika Mazoezi ya
                                          Kivita. Katika mwaka 2006/2007 Wanamgambo nchini
                                          wameshirikishwa katika mazoezi mbali mbali ya kivita
                                          kwa ngazi ya Kombania na Kikosi katika Kanda za
                                          Ulinzi kama ifuatavyo:-
                                           Kanda ya Magharibi ilishirikisha kikosi kimoja cha
                                               askari wa miguu cha Mgambo katika zoezi la kivita
                                               lililojulikana kama Ulinzi wa Umma mwaka 2006.
                                           Mwaka 2006 kanda ya Mashariki ilishirikisha
                                               kombania moja ya Mgambo katika zoezi lililoitwa




                                          220
                                                 ZOEZI PIMA UWEZO.

                                              (Uundaji wa Kombania za Mgambo)
                                              Mikoa yote nchini imeagizwa kuunda Kombania za
                                              Mgambo kuanzia ngazi za uongozi wa Tarafa. Kila
                                              Wilaya nchini inatarajiwa kuwa na angalau kikosi
                                              kimoja cha Wanamgambo hai wasiopungua 516
                                              wanaofahamika kwa Makamanda wa Mgambo wa
                                              Wilaya (DC) ifikapo mwezi Julai, 2008. Mafanikio
                                              katika utekelezaji yameanza kuonekana, Vikosi 170
                                              nchini vimeundwa na hatua ya kuviimarisha
                                              inaendelea.
17.   Kuendelea na utekelezaji wa Awamu       Ujenzi umekamilika wa mtambo chotara wa (Hybrid)
      ya Tatu ya Mradi wa Mtandao wa          masafa ya “C” na “K”. Hii ni kuashiria utayari wa kutoa
      Mawasiliano ya Pekee (ITN).             huduma zozote za ki-mawasiliano zinazohitajika.
                                              Ubadilishaji wa mitambo iliyochakaa unaendelea
                                              vituoni. JKT imeaanzisha mtandao wa mawasiliano ya
                                              ndani.
18.   Kuboresha Utumishi wa Umma kama         Jukumu hilo limekuwa likitekelezwa katika ngazi ya
      ilivyoelekezwa katika “Public Service   wizara. Aidha, kwa upande wa JWTZ, maafisa, askari
      Reform Programme”.                      na watumishi wa Umma wamepelekwa katika vyuo
                                              mbali mbali hapa nchini kwa lengo la kuboresha
                                              utendaji.




                                              221
                           WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA

NA.                   AHADI                                         UTEKELEZAJI
1.    Kuratibu utekelezaji wa Programu ya        Semina za uhamasishaji zimefanyika kwa Wabunge,
      Maendeleo ya Sekta ya Kilimo.              Wakuu wa Mikoa, Makatibu tawala wa Mikoa,
                                                 Wakurugenzi wa Maendeleo wa Wilaya na Halmashauri
                                                 Kuu ya Taifa ya CCM.

                                                 Mipango kazi na Bajeti (Annual workplans and Budget)
                                                 zimeandaliwa na kujadiliwa na kupitishwa na “ASDP
                                                 Basket fund steering Committee”.

                                                 Akaunti ya Programu (ASDP Basket Fund Holding A/C)
                                                 imefunguliwa ili wahisani waweze kuweka fedha. Aidha,
                                                 wafadhili wanne wamekwishaingiza fedha zao (Japan
                                                 USD 752,445.44 na Irish Aid USD 1,534,925.00),
                                                 Jumuiya ya Ulaya (Euro 7,100,000) na Benki ya Dunia
                                                 (USD 8,053,046). IFAD bado wako kwenye hatua ya
                                                 kukamilisha taratibu zao kisheria

                                                 Kikao cha kuhamasisha ushiriki na nafasi ya sekta
                                                 binafsi katika utekelezaji wa ASDP kimefanyika.
2.    Kuzijengea uwezo Halmashauri za            Timu za wawezeshaji za Wilaya (District Facilitation
      Wilaya wa kuandaa Mipango ya               Team) katika Halmashauri zote zimepatiwa mafunzo ya
      Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya              namna ya kuandaa na kutekeleza Mipango ya
      DADPs.                                     Maendeleo ya Wilaya zao. Wataalamu wa wizara za
                                                 sekta wamekamilisha zoezi la kutoa maelekezo na
                                                 ufafanuzi zaidi kwa timu za wawezeshaji wa wilaya
                                                 zilizokuwa zikitoa mafunzo kwa timu za wawezeshaji
                                                 wa kata.
3.    Kuandaa utaratibu wa kuratibu,             Kamati inayoangalia masuala ya takwimu, utoaji wa
      kufuatilia, na kutathmini utekelezaji wa   taarifa na tathmini na ufuatiliaji imeundwa na
      ASDP.                                      inaendelea na kazi.

                                                 Mfumo wa ufuatiliaji na tathmini (M&E Framework)
                                                 unaendelea kuandaliwa kwa kuanza kuangalia na
                                                 kupitia mfumo wa utoaji wa taarifa za Halmashauri kwa
                                                 kutumia Plan Rep, Mfumo wa Serikali kuu wa kutoa
                                                 taarifa. Aidha, rasimu ya viashiria muhimu (Key
                                                 performance indicators) vimetayarishwa pamoja na
                                                 mchakato      wa    kupata      mtaalam     muelekezi
                                                 atakayetayarisha M&E System unaendelea.
4.    Kuhakikisha upatikanaji wa pembejeo        Mikopo ya pembejeo za kilimo na mifugo iliyotolewa na
      za kilimo.                                 pembejeo zilizonunuliwa ni kama ifuatavyo: Mikopo 88




                                                 222
                                         ya mbolea mbalimbali tani 2,337.25, mikopo 14 ya
                                         mbegu mbalimbali tani 49.5, madawa ya mimea ya
                                         unga tani 4,363.62 na ya maji lita 2,569. Aidha,
                                         madawa ya mifugo lita 1,557, vifungashi robota 10 na
                                         plau 2,280. Matrekta makubwa 81 yamekopeshwa,
                                         power tillers 51 na matrekta machakavu 5
                                         yamekarabatiwa.
5.   Kurutubisha udongo kulisha taifa.   Utekelezaji wa usambazaji wa pembejeo umeendelea
                                         katika vituo vikuu 24 vilivyoteuliwa kusambazia
                                         pembejeo zenye ruzuku katika mikoa 21 ya Tanzania
                                         bara. Vituo hivyo ni vya Iringa, Makambako, Mbeya,
                                         Songea, Tunduru, Sumbawanga, Mpanda, Bukoba,
                                         Mwanza, Musoma, Shinyanga, Tabora na Kigoma.
                                         Vituo vingine ni Dodoma, Singida, Arusha, Babati,
                                         Moshi, Dar es Salaam, Pwani, Morogoro, Tanga, Lindi
                                         na Mtwara. Hadi kufikia tarehe 24 Mei 2007, jumla ya
                                         tani 112,670.42 za mbolea na tani 1,355.63 za mbegu
                                         bora zimesambazwa. Kati ya pembejeo hizo, tani
                                         76,906.24 za mbolea zimeuzwa na zitafidiwa kiasi cha
                                         sh. 12,201,512,860. Aidha, tani 628.70 za mbegu bora
                                         zimeuzwa na zitafidiwa kiasi cha sh. 521,919,965.
6.   Kupanua Kilimo cha Umwagiliaji.     Upanuzi umeanza katika kanda 7 za umwagiliaji za
                                         Mbeya, Mwanza, Kilimanjaro Morogoro,         Manyara,
                                         Mtwara na Tabora ili kuwezesha eneo linalomwagiliwa
                                         kufikia Hekta 274,388 kutoka Hekta 264,388 za mwaka
                                         2005/06.

                                         Usanifu wa skimu 63 utakaowezesha uendelezaji wa
                                         hekta 1,000,000 zilizopangwa kuendelezwa kwa kilimo
                                         cha umwagiliaji hadi mwaka 2009/2010 umeendelea na
                                         kufikia hatua mbali mbali. Kati ya skimu hizi, jumla ya
                                         skimu 16 usanifu wake umekamilishwa.

                                         Ili kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji
                                         katika skimu 12, taratibu za zabuni za ujenzi kwa
                                         skimu 4 zimefikia hatua za mwisho. Hizi ni skimu za
                                         Uturo, Gwiri, Kimani na Luanyo Katika Wilaya ya
                                         Mbarali Mkoani Mbeya. Ujenzi wa banio Skimu ya
                                         Mwiruzi (Kibondo) umefikia 50% na mfereji mkuu
                                         umejengwa km 2.

                                         Ukarabati umeendelea katika skimu 8 ambazo ni
                                         Mgololo Mufindi), Mto wa Mbu (Monduli), Sakalilo
                                         (Sumbawanga), Rwangenyi (Tarime), Mang‟ola
                                         (Karatu), Mwiruzi (Kibondo), Msoga (Bagamoyo) na




                                         223
                                   Msanjesi (Namtumbo) na uko katika hatua mbalimbali.

                                   Usanifu wa Bwawa la Ulyanyama (Sikonge)
                                   umekamilika, taratibu za zabuni ya ujenzi zinaendelea.
                                   Pia usanifu wa mabwawa mengine matatu (3)
                                   umekamilishwa. Aidha uanzishwaji na uimarishaji wa
                                   skimu za umwagiliaji katika maeneo ya mwambao wa
                                   Ziwa Nyasa na Ziwa Viktoria umeeendelezwa. Katika
                                   maeneo ya mwambao wa Ziwa Viktoria, utoaji wa vifaa
                                   vya umwagiliaji kwa wakulima wadogo wadogo
                                   umefanyika baada ya kutoa pampu 155 za umwagiliaji,
                                   vifaa kwa ajili ya kilimo cha matone (Drip Kits) 380,
                                   pampu za upepo 12 na matanki 380 kwa vikundi vya
                                   umwagiliaji 162. Hii ni katika Wilaya za Ilemela,
                                   Nyamagana, Magu (Mwanza) Maswa, Tarime (Mara)
                                   na Bukoba. Ukarabati wa skimu 4 kutoka katika
                                   mwambao wa Ziwa Nyasa umeendelezwa na ujenzi wa
                                   banio umekamilika kwenye Skimu za Kibande, Mkalati
                                   na Ngingama.

                                   Kazi za usimamizi, uendeshaji na ukarabati wa
                                   miundombinu ya umwagiliaji iliyochakaa imekamilika
                                   kwa Skimu ya Gichameda (200 ha) kanda ya Manyara
                                   na ukarabati unaendelea katika Kanda zingine 7 za
                                   Mwanza, Morogoro, Tabora, Mtwara, Kilimanjaro na
                                   Mbeya.
7.   Kuimarisha huduma za ugani.   Mbinu shirikishi jamii ya Shamba Darasa zilitumika
                                   kulenga kutoa mafunzo kwa wataalamu 262 wa ngazi
                                   ya wilaya katika Halmashauri zote nchini. Aidha,
                                   mafunzo ya aina hii yalilenga kutolewa kwa wakulima
                                   200. Hadi kipindi hiki, wataalamu 147 kutoka Wilaya za
                                   Mikoa ya Singida, Dodoma, Tanga, Pwani, Mbeya,
                                   Rukwa, Iringa, Lindi, Mtwara na Ruvuma
                                   wamefundishwa. Mikoa mingine ni Morogoro, Arusha,
                                   Manyara, Mara, Kagera, Kigoma, Tabora, Mwanza na
                                   Shinyanga. Wataalamu hawa watasimamia uenezaji
                                   wa mbinu shirikishi ya Shamba Darasa kwa wakulima.
                                   Pia wakulima 100 kutoka wilaya za Mbeya, Rungwe,
                                   Morogoro, Mvomero, Babati, Arusha, Mbinga,
                                   Namtumbo, Kongwa na Dodoma Vijijini nao wamepata
                                   mafunzo ili wasaidiane na maafisa kilimo kuanzisha
                                   Mashamba Darasa na watakuwa wahamasishaji kwa
                                   wakulima wengine.
                                   Ili kukabiliana na upungufu wa Wataalamu wa Ugani,
                                   uchambuzi wa kina wa mahitaji ya wataalamu pamoja




                                   224
                                        na vifaa/vitendea kazi umefanywa kwa kushirikiana na
                                        OWM -TAMISEMI.              Wataalamu wa Ugani
                                        wanaohitajika katika ngazi ya kata na kijiji ni 15,082,
                                        waliopo ni 3,379 na upungufu ni 11,703. Utaratibu wa
                                        kuajiri Wataalamu wa Ugani 2,500 unaendelea kwa
                                        kushirikiana na Wizara za TAMISEMI, Menejimenti ya
                                        Utumishi wa Umma na Fedha.
8.   Kupanua matumizi ya Zana bora za   Mafunzo ya matumizi ya zana za Kilimo Hifadhi
     Kilimo.                            yamefanywa kwa wataalamu 23 kutoka Wizara ya
                                        Kilimo Chakula na Ushirika na Mashirika yasiyo ya
                                        Kiserikali ya RECODA, WADEC na CPAR-TZ,
                                        mtaalamu kutoka Mradi wa Kilimo Hifadhi wa Babati na
                                        Mkuu wa Kituo cha Mradi wa Matrekta Morogoro.
                                        Mafunzo hayo yalitolewa kwa mfumo wa Shamba
                                        Darasa na wakulima 3,675 walijifunza kwa vitendo
                                        matumizi ya zana hizo.

                                        Mafunzo juu ya matumizi ya zana bora za kilimo za
                                        kukokotwa na wanyamakazi yamefanyika kwa
                                        wakulima wafundishaji 40 kwa wiki tatu wilayani
                                        Mpwapwa kwa kushirikiana na Asasi isiyo ya Kiserikali
                                        (NGO) ya LVIA.

                                        Zana bora za Kilimo Hifadhi zimesambazwa kwa
                                        vikundi vya mafunzo vya wakulima. Zana hizo ni
                                        pamoja na “ripper” 75 na “knife rollers” 30 ambazo
                                        zimesambazwa katika Wilaya 20 za Mbeya, Kilosa,
                                        Mvomero, Babati, Mbulu, Kiteto, Hanang, Karatu,
                                        Arumeru, Dodoma (M). Dodoma (V), Mpwapwa,
                                        Singida (V), Singida (M), Ileje, Kyela, Mufindi, Njombe,
                                        Sumbawanga (V), na Sumbawanga (M). Aidha
                                        mashamba darasa 200 ya mafunzo ya matumizi ya
                                        zana za Kilimo Hifadhi yameandaliwa katika wilaya hizo
                                        na pembejeo zikiwemo mbolea tani 24.1, mbegu za
                                        mahindi tani 1.3, mbegu za mazao funika (cover crops)
                                        tani 1.3, dawa za kuua wadudu lita 97 na za magugu
                                        lita 79      kwa ajili ya mashamba ya mfano
                                        zimesambazwa.

                                        Vituo vya maksai 12 vya Sikonge FDC (Sikonge), Konje
                                        (Handeni), Inonelwa (Misungwi) Kifunda (Rungwe),
                                        Kipalapala (Tabora Mjini), Malagarasi (Kigoma),
                                        Katumba (Sumbawanga), Kibakwe (Mpwapwa), Milama
                                        (Mvomero), Ngimu (Singida), Gairo (Kilosa) na Ngana
                                        (Kyela) vimeendelea kufanyiwa ukarabati kwa




                                        225
                                                kushirikiana na Halmashauri za Wilaya. Vituo hivyo
                                                vimepatiwa zana mbalimbali zikiwemo plau, majembe
                                                ya palizi, majembe ya matuta na “ripper” kwa ajili ya
                                                kutoa mafunzo na kufanya maonesho kwa wakulima.
9.    Kuanzisha mifuko ya utafiti wa Kanda      Warsha za uzinduzi wa mfuko zilizoshirikisha wadau
      (Zonal Agricultural Research and          walioko kwenye ngazi ya kanda zilifanyika kwenye
      Development Fund – ZARDEFs).              kanda zote. Wadau waliwachagua kwa kura wajumbe
                                                wa Kamati za Kanda kwa ajili ya kusimamia mfuko wa
                                                ZARDEF (Zonal Steering Committee – ZSC). Kamati
                                                hizi zitasimamia shughuli zote za Utafiti na Maendeleo
                                                kwenye kanda. Kamati hizi za Usimamizi, kila moja ina
                                                wajumbe 10 ambao asilimia 50 ni wakulima
                                                wawakilishi. Wajumbe wengine ni wawakilishi wa
                                                wajasiriamali wa shughuli za Kilimo na wawakilishi wa
                                                taasisi zinazohusika na maendeleo ya Kilimo. Vile vile
                                                katika warsha hizo kamati za kiufundi (ZARDEF
                                                Technical Committee) zilichaguliwa.           Wajumbe
                                                waliochaguliwa katika kamati hizo mbili watapewa
                                                mafunzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao.
                                                Kwa kuanzia, kanda za Kati, Ziwa na Kaskazini
                                                zitahusishwa katika mafunzo haya mwishoni mwa
                                                mwaka wa fedha 2006/2007.
10.   Kueneza dhana ya usimamizi wa utafiti     Uhamasishaji wa CORDEMA                  umefanyika kwa
      kulingana na mahitaji ya wateja (Client   wadau wa Kilimo kwenye kanda zote za Utafiti na
      Oriented Research and Development         Mafunzo. Mafunzo kamili yatafanyika baada ya Kamati
      Management Approach (CORDEMA)).           za Uongozi (Zonal Steering Committee – ZSC) kuanza
                                                kazi zake. Mafunzo ya CORDEMA yatahusisha wadau
                                                wote; na ni ya wiki sita zilizogawa kwenye mafunzo ya
                                                wiki mbilimbili (3 phase training programe). Mafunzo
                                                haya yataanza katika kipindi cha fedha cha mwaka
                                                2007/2008.
11.   Kudhibiti visumbufu vya mimea na          Ukaguzi wa mazao yanayoingia na yanayotoka nchini
      mazao.                                    ulifanyika katika bandari za DSM, Tanga, Kigoma na
                                                Mtwara. Aidha, ulihusisha viwanja vya ndege vya DSM
                                                na Kilimanjaro; vituo vya mpakani vya Namanga, Sirari,
                                                Horohoro, Murongo, Mutukula, Tunduma na Holili.
                                                Jumla ya tani 259,831.57 za mazao mbalimbali ya
                                                kilimo zilisafirishwa nje ya nchi na tani 630,209.54 za
                                                mazao yaliyoingia nchini yalikaguliwa na kupasishwa.
                                                Katika kipindi hiki, vyeti vya usafi wa mazao 3,874 na
                                                vibali 257 vya kuingiza mazao nchini vilitolewa, na
                                                jumla ya shilingi 512,839,927.40 zilikusanywa.
                                                Udhibiti uingizaji kiholela madawa ya kilimo umefanyika
                                                ambapo viuatilifu 49 vya aina mbalimbali vimesajiliwa
                                                na TPRI.




                                                226
Udhibiti wa nzi wa maembe (Bactrocera invadens)
umefanyika kwa kusambaza mabango 2,700 na
vipeperushi 4,800 vinavyoelezea namna ya kumtambua
na kumdhibiti nzi mharibifu wa maembe. Kwa
kushirikiana na FAO/IFAD nakala 100 za kitabu kipya
(Mwaka 2006) kiitwacho “A Field Guide to the
Management of Economically Important Tephritid Fruit
Flies in Africa”       kinachoelezea kuwatambua na
kuwadhibiti nzi waharibifu wa matunda kimechapishwa
na kusambazwa kwa wakaguzi wa vituo vyote vya
mipakani nchini        ili kuwaongezea utaalamu wa
kutambua na kudhibiti nzi waharibifu wa matunda.
Aidha, wataalamu 19 wa kilimo wa wilaya kutoka
Wilaya zote za Mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara na
mabwana shamba 74 na wakulima 800 wamepatiwa
mafunzo juu ya kumdhibiti na kumtambua inzi mharibifu
wa embe. Mafunzo kama haya yalifanyika huko vikindu
wilayani Mkuranga kwa wakulima 19 wanaolima
maembe kibiashara (Association of Mango Growers –
AMAGRO). Katika jitihada za kupambana na tatizo hili
Wizara imeagiza lita 60 za kiuatilifu kijulikanacho kama
“Methyl euginol” kwa lengo la kumdhibiti nzi huyu
mharibifu katika mashamba ya wakulima. Dawa hii
ilichelewa kufika katika muda uliopangwa kwa sababu
ya kuharibika kabla ya kuingia nchini. Dawa hii sasa
itawasili nchini tarehe 30/07/07.

Migomba 40,644 yenye ugonjwa wa mnyauko wa
migomba unaotishia zao la migomba katika Mkoa wa
Kagera imeng‟olewa ili kuzuia ugonjwa huo usienee.
Aidha vimeundwa vikundi vya wakulima katika vijiji
vyote vinavyohofiwa kupata ugonjwa huo ili kufuatilia
kwa karibu tatizo hilo.
Mipango ya kutoa mafunzo ya IPM imefanywa na
utekelezaji umefanyika kwa watalaamu 28 wa Mikoa ya
Kigoma na Kagera. Aidha, mafunzo mengine kwa
watalaamu wa Afya ya Mimea ya Wilaya (DPPOs)
yalifanyika katika wilaya 26 zilizo chini ya mradi wa
PADEP.

Katika jitihada za kudhibiti viwavijeshi, mitego 70
ilifanyiwa ukarabati katika Mikoa ya Mtwara, Lindi,
Morogoro, Iringa, Mbeya, Dodoma, Singida, Shinyanga,
Tanga na Kilimanjaro. Jumla ya lita 29,983 za viuatilifu




227
na mabomba 4,429 ya kunyunyizia viuatilifu
yamesambazwa katika Mikoa ya Mtwara, Lindi, Mbeya,
Iringa, Ruvuma, Dodoma, Morogoro, Tanga,
Kilimanjaro, Arusha na Manyara. Aidha mafunzo
yalitolewa kwa mabwana shamba 871 wakulima 232 na
wahudumu wa mitego 34 katika mikoa ya Morogoro,
Lindi, Mtwara, Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara.

Panya walidhibitiwa katika vijiji 622 vya Wilaya 27 za
Mvomero, Morogoro vijijini, Morogoro mjini, Ulanga,
Kilombero, Bagamoyo, Mkuranga, Kibaha mjini,
Kisarawe, Rufiji, Mheza, Handeni,Korogwe na
Pangani. Wilaya zingine ni Kilindi, Lindi vijijini, Liwale,
Nachingwea, Ruangwa, Kilwa, Moshi vijijini,Hai,
Monduli, Kinondoni,Temeke, Nzega na Masasi. Jumla
ya kilo 3,606.11 za sumu ya panya zilitumika katika
udhibiti huo na wakulima 67,670 walipatiwa mafunzo
juu ya udhibiti panya katika wilaya zao.

Nzige wekundu walidhibitiwa katika maeneo ya mazalio
yao ambayo ni mbuga za Wembere, Malagarasi,
Iku/Katavi, Ziwa Rukwa na Bahi. Nzige hawa walikuwa
kwenye eneo lenye jumla ya hekta 16,580. Jumla ya
lita 7,895 za viuatilifu zilitumika katika kudhibiti nzige
hawa .

Udhibiti wa ndege waharibifu umefanyika katika Mikoa
ya Morogoro, Singida Shinyanga, Mwanza, Dodoma
na Kilimanjaro ambapo zaidi ya ndege milioni 100
waliangamizwa        na     lita   4,420    zilitumika.
Wasingedhibitiwa ndege hawa wangeweza kuleta
uharibifu wa tani 1,002 za nafaka kwa siku.

Ili kudhibiti magugumaji, mbawakavu wanaendelea
kuzalishwa na kusambazwa Ziwa Viktoria pamoja na
mabwawa yenye magugumaji. Jumla ya mbawakavu
milioni 4.5 walizalishwa katika vituo vya Kyakairabwa,
Kyaka, Chato, Nyegezi na Nyahiti na walisambazwa.
Kwa kuwa wadudu aina ya mbawakavu wameonekana
kushindwa kudhibiti magugumaji katika mito ya ukanda
wa ziwa (hasa mto Kagera na Mara) uchunguzi
unaohusiana na ubora wa maji, virutubisho katika maji
na hali ya hewa unafanyika ukilinganishwa na mito ya
Pangani na Sigi ambako mbawakavu wameonyesha
mafanikio ya kudhibiti gugumaji katika mito hiyo. Aidha




228
                                             kwa kushirikiana na nchi za Kenya na Uganda mipango
                                             inafanywa ya kutafuta wadudu maadui aina nyingine
                                             ambao wataweza kudhibiti gugumaji katika mito.
12.   Kutoa mafunzo ya Kilimo         kwa    Wakulima walipata mafunzo ya nyanja mbalimbali
      wataalam na wakulima.                  katika vyuo saba, ambapo KATC Moshi ilifundisha
                                             wanawake 117 na wanaume 176, Igurusi ilifundisha
                                             wanawake 16 na wanaume 24, Ilonga ilifundisha
                                             wanawake 13 na wanaume 37, Mlingano ilifundisha
                                             wanawake 148 na wanaume 55, Mtwara ilifundisha
                                             wanawake 58 na wanaume 63, Ukiriguru ilifundisha
                                             wanawake 292 na wanaume 287, na Uyole ilifundisha
                                             wanawake 42 na wanaume 216. Jumla ya wakulima
                                             waliofundishwa ni 1,544.

                                             Aidha, mafunzo kwa maafisa ugani 50 hayakuweza
                                             kutolewa kwa sababu fedha iliyotengwa haikuweza
                                             kutoka hadi sasa.
13.   Kutoa mafunzo ya usindikaji wa mazao   Tathmini ya mahitaji ya mafunzo katika hifadhi,
      ya Kilimo.                             usindikaji na matumizi ya mazao hayo ilifanyika katika
                                             mikoa ya Iringa, Mbeya, Rukwa, Ruvuma na Mtwara.
                                             Aidha program ya mafunzo iliandaliwa na mafunzo
                                             kufanyika katika mikoa ya Iringa, Mbeya, Rukwa na
                                             Ruvuma. Jumla ya wataalamu 123 wa kilimo katika
                                             ngazi ya Mkoa na Halmashauri walipatiwa mafunzo.
14.   Kuandaa mpango kabambe wa              Mkutano kwa ajili ya kuandaa Mpango Kabambe wa
      matumizi bora ya ardhi ya Kilimo       Matumizi Bora ya Ardhi ya Kilimo umefanyika mjini
      (Agricultural Land Use Masterplan).    Morogoro. Mkutano umeshirikisha wadau mbalimbali
                                             wa kilimo kutoka baadhi ya Wizara na Taasisi za
                                             Serikali, na pia Taasisi zisizo za Serikali kama vile
                                             Wizara ya Kilimo, Mifugo, Maliasili, TAMISEMI,
                                             Mazingira, Ardhi, na baadhi ya Taasisi kama; – SUA,
                                             IRA, UCLAS, NEMC, NLUPC, TIC n.k. Lengo la
                                             mkutano lilikuwa kupata maoni ya wadau kuhusu
                                             mambo muhimu ya kuzingatiwa kwenye mchakato wa
                                             maandalizi ya “Agricultural Land Use Master Plan”, na
                                             majukumu (nafasi) ya kila mdau katika utekelezaji wa
                                             mpango huo.
                                             Wadau kwa pamoja wameona umuhimu wa kuwa na
                                             Mpango Kabambe wa Matumizi Bora ya Ardhi ya Kilimo
                                             kwa kuwa mpango huo utasaidia kuelekeza matumizi
                                             endelevu/ kuilinda, kurahisisha uwekezaji na kuchangia
                                             katika kuondoa migogoro ya ardhi ya Kilimo.
15.   Kuongeza uzalishaji wa mazao makuu     Ekari 400 zimelimwa kwa ajili ya kuzalisha vipando
      ya chakula na biashara nchini.         bora milioni kumi na sita (16,000,000) vya zao la
                                             muhogo vyenye ukinzani dhidi ya magonjwa na




                                             229
wadudu. Kazi ilifanyika kwa kushirikiana na Idara ya
Magereza. Magereza yaliyohusika ni Namajani
(Masasi), Lilungu (Mtwara), Nachingwea, Korogwe,
Kigongoni (Bagamoyo), Tabora B (Serengeti),
Kasungamile (Sengerema), Kibondo, Urambo na
Kanegele (Bukombe).

Bustani sita za Serikali kwa ajili ya kuzalisha vipando
bora vya mazao ya bustani ziliendelea kutunzwa.
Bustani hizo pia ni kwa ajili ya kutoa mafunzo ya
teknolojia bora za uzalishaji mazao kwa wakulima.
Vituo hivyo pia hutumika katika kuhifadhi aina mpya na
bora za vipando vya matunda, viungo na mboga. Jumla
ya miche 48,400 ya aina mbalimbali ya mazao
ilizalishwa katika vituo hivyo. Usambazaji wa miche,
uliendelea kwa kasi ndogo kwa upande wa kituo cha
Songa kutokana na kutokuwa na mvua za uhakika.

Mipango ya kuendeleza zao la chai kwa Wilaya za
Mufindi, Bukoba, Muleba, Korogwe, Muheza, Kilolo,
Njombe na Rungwe imeingizwa kwenye mipango ya
Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya (DADPs) kwa ajili ya
kutekelezwa.

Wakulima 50 na wataalamu 10 Wilaya za Morogoro na
Muheza walipata mafunzo ya kilimo bora cha vanilla.

Machipukizi 70 ya migomba iliyozalishwa kwa chupa
(tissue culture banana) yalipandwa katika maonyesho
ya viwanja vya Nanenane mjini Dodoma. Aidha, bustani
za serikali ziliendelea kutunzwa na kuzalisha jumla ya
miche 16,000 ya michungwa iliyobebeshwa katika
bustani za Songa na Kizugu. Miche hiyo itasambazwa
kwa wakulima msimu wa mvua. Bustani za Mpiji,
Bugaga, Inyala na Jaegetal pia ziliendelea kuzalisha
aina mbalimbali za miche ya matunda na viungo.

Jumla ya kilo 500 za mahindi aina ya Situka
yanayostahimili ukame kutoka Selian zilipelekwa
Gereza la Kigongoni wilayani Bagamoyo kwa ajili ya
kuzalisha mbegu zaidi.

Kilo 2,300 za mbegu bora za soya toka kituo cha utafiti
cha Uyole zilipelekwa Ileje, Songea na Naliendele kwa
ajili ya kuzalisha mbegu zaidi.




230
                                         Warsha ya kuendeleza uzalishaji na matumizi ya zao la
                                         soya kwa mwaka 2006/2007 ilifanyika. Warsha iliweka
                                         mikakati ya kuliweka zao hilo katika kuinua uchumi na
                                         kuboresha afya ya watumiaji. Wajumbe walikuwa ni
                                         wasindikaji wa vyakula vya binadamu na mifugo,
                                         watafiti na wataalamu wa kilimo ngazi ya mkoa na
                                         wilaya wa Mikoa ya Kanda za Nyanda za Juu Kusini na
                                         Kanda ya Kusini. Wengine ni Taasisi za TFNC, TIRDO,
                                         COSTECH, SIDO, TBS na Wizara za Mifugo na
                                         Viwanda, Biashara na Masoko.

                                         Ziara ya mafunzo juu ya kilimo cha zao la soya nchini
                                         Zimbabwe ilifanyika. Mapendekezo ni kwa Tanzania
                                         kuangalia uwezekano wa kuagiza teknolojia ya
                                         matumizi ya virutubisho aina ya “rhizobium inoculant”
                                         kuongeza uzalishaji wa soya kwa eneo na kuiga
                                         utaratibu wa namna ya kuunda chama cha wazalishaji
                                         wa soya (soya bean association) kama ilivyo
                                         Zimbabwe.

                                         Jumla ya machipukizi 22,970 ya migomba bora
                                         yamesambazwa, yaliyotokana na migomba ya msimu
                                         wa 2005/2006 ya Mwanza (Ilemela 5,630 na
                                         Nyamagana- 5,440) na Mara (Tarime-11,900).

                                         Miche bora 350 ya miembe ilipelekwa Dodoma
                                         (Chalinze na Makang‟wa); miche 450 Mkuranga na 500
                                         iliyozalishwa kwa ushirikiano na AMAGRO ilipandwa
                                         Kibaha, Mkuranga na Kinondoni. Wakulima 100
                                         walipewa mafunzo ya kilimo bora cha miembe.
16.   Kuhimiza Kilimo nishati na mazao   Taasisi na asasi mbalimbali zinazozalisha mbegu za
      mapya.                             jatropha ziliainishwa kwa lengo la kuzifanya ziwe
                                         wazalishaji wa mbegu ambazo zitasambazwa kwa
                                         wakulima wengine wa kilimo cha mbono (jatrofa) nchini.
                                         Taasisi hizo ni pamoja na JKT waliopewa tani nne (4)
                                         za mbegu za jatrofa. Miche 650 ya jatrofa imepandwa
                                         viwanja vya nanenane vya Dodoma na Morogoro kwa
                                         ajili ya maonyesho.

                                         Halmashauri nane (Sumbawanga, Mpanda, Nkasi,
                                         Same, Mkuranga, Ilala na Bunda) zimepatiwa jumla ya
                                         tani 1.5 za mbegu za jatrofa kwa ajili ya vikundi vya
                                         wakulima wa maeneo yao.




                                         231
                                               Makampuni 21 ya ndani na nje yameanza kuwekeza
                                               katika uzalishaji na usindikaji wa mazao ya nishati
                                               mbadala. Baadhi yake ni SEKAB/BAFF, FELISA,
                                               PROKON, AMMA na KAKUTE. Makampuni haya
                                               yamekwisha panda zaidi ya hekta 5,000; na
                                               yanaendesha kilimo cha mkataba. Aidha, wakulima na
                                               taasisi zilizoainishwa ni vituo vya mfano vya
                                               kuendeleza kilimo na matumizi ya mazao ya nishati
                                               mbadala.
                                               Jumla ya washiriki 15 kutoka Jeshi la Kujenga Taifa
                                               (JKT) walipata mafunzo ya uzalishaji na matumizi ya
                                               zao la jatropha mjini Arusha. Mafunzo hayo yalifanyika
                                               kwa kushirikiana na Kampuni ya Kusambaza Teknolojia
                                               (KAKUTE) inayoendeleza zao hilo nchini Tanzania.
                                               Jumla ya kilo 450 za kutosha ekari 225 na zenye
                                               thamani ya shilingi milioni 1.057 zilinunuliwa toka
                                               KAKUTE na kusambazwa katika mashamba ya JKT ya
                                               Oljoro, Maramba, Mgambo, Chita, Ruvu, Itende na
                                               Mlale. Mashamba hayo yatakuwa chanzo cha mbegu
                                               za jatropha na kutoa mafunzo kwa wadau juu ya
                                               uzalishaji na matumizi ya zao hilo. Wizara inashirikiana
                                               na Wizara za Nishati na Madini, Mipango, Uchumi na
                                               Uwezeshaji na Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na
                                               Taasisi za Serikali na zisizo za Serikali katika
                                               maandalizi ya sera ya kuendeleza uzalishaji na
                                               matumizi ya mazao ya nishati mbadala.
17.   Kuzijengea uwezo Halmashauri kuibua      Mwongozo kwa ajili ya mafunzo ya utekelezaji wa
      miradi inayolenga kutatua matatizo ya    DADPs katika nyanja za usalama wa chakula
      upungufu wa Chakula kupitia DADPs.       umeandaliwa. Mwongozo huu utatumika kwa ajili ya
                                               kutoa mafunzo kwa wawezeshaji wa ngazi za wilaya.
18.   Kuimarisha uwezo wa kuratibu hali ya     Jumla ya wataalamu 147 kutoka ngazi ya mkoa na
      uzalishaji wa mazao ya Chakula nchini.   wilaya zote walipatiwa mafunzo juu ya ukusanyaji wa
                                               takwimu za uzalishaji wa mazao na taarifa za hali ya
                                               chakula nchini.
19.   Kupanua mtandao wa kupima kiasi cha      Jumla ya wapima mvua 85 kutoka mikoa ya Dodoma,
      mvua kutoka vituo 500 vya sasa hadi      Singida, Shinyanga na Tanga wamepatiwa mafunzo ya
      vituo 600.                               ufuatiliaji wa hali ya mvua na mazao mashambani.
                                               Aidha vitendea kazi, makoti 100 na “gum boots” 100
                                               vilisambazwa.
20.   Kusambaza teknolojia mbalimbali          Uboreshaji wa miongozo ya teknolojia za usindikaji
      zitakazosaidia kupunguza upotevu wa      umefanyika. Miongozo ya Utayarishaji na matumizi ya
      mazao ya Chakula baada ya mavuno.        mazao ya mtama, muhogo mboga na matunda
                                               iliandaliwa jumla ya nakala. 750 zimechapishwa.
21.   Kununua jumla ya tani 80,000 za          Jumla ya tani 122,058 za akiba ya mahindi
      mahindi na mtama tani 1,500.             zimenunuliwa. Kati ya hizo, tani 92,097.51




                                               232
                                              zimenunuliwa kutoka kwa wakulima wa hapa nchini na
                                              tani 30,000 zimenunuliwa kutoka kwa wafanyabiashara
                                              walioagiza nje ya nchi. Hivyo, kuna akiba ya mahindi
                                              yenye jumla ya tani 128,667.97. Aidha, tani 2,831.32
                                              za mtama zimenunuliwa kutoka kwa wakulima wa hapa
                                              nchini.
22.   Kuweka     mkakati       wa kuvutia     Kwa kushirikiana na Wizara na Idara nyingine za
      wawekezaji na kuongeza upatikanaji      Serikali wizara imeanza kutekeleza mikakati ya kuvutia
      wa mikopo katika kilimo.                wawekezaji katika sekta ya kilimo. Mikakati hiyo ni
                                              pamoja na:
                                               Kuondoa kodi zote zinazohusiana na uagizaji na
                                                  usambazaji wa pembejeo za kilimo kama vile
                                                  matrekta, mbolea na madawa.
                                               Kuondoa kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa
                                                  mazao yote ya kilimo ambayo hayajasindikwa.
                                               Kupunguza kodi ya ardhi kutoka shilingi 600 hadi 200
                                                  kwa ekari.
                                               Serikali kupitia TIC imeanzisha hifadhi ya ardhi ya
                                                  uwekezaji (landbank). Aidha, Serikali imepunguza
                                                  urasimu wa upatikanaji wa Hatimiliki kwa kuanzisha
                                                  kitengo maalum cha Ardhi katika ofisi za TIC.
                                                  Wawekezaji hutumia Hatimiliki hizo kupata mikopo
                                                  benki.
                                               Serikali imeondoa kodi ya mauzo ya nje (export
                                                taxes) kwa mazao yote ya kilimo ili kuvutia uwekezaji
                                                na uuzaji wa mazao nje ya nchi.
23.   Kuratibu utekelezaji wa Programu        Utekelezaji umeanza kwa kuratibu chaguzi za viongozi
      Kabambe      wa      Mageuzi       na   wa vyama vya ushirika nchini. Hadi Mei 30, 2007
      Modenaizesheni ya Ushirika nchini.      zimekamilika chaguzi za viongozi wa vyama vya
                                              ushirika vya msingi katika mikoa ya Tanzania Bara
                                              (ukiondoa vyama vya msingi vichache ambavyo
                                              vilikuwa havijakamilisha taratibu). Aidha, chaguzi za
                                              viongozi kwenye vyama vikuu zimekamilika kwa
                                              asilimia 90. Mikoa ambayo chaguzi hizo hazijafanyika
                                              ni Pwani na Morogoro. Vyama vikuu ambako chaguzi
                                              zimekamilishwa karibuni ni; WETCU NA ICU (Tabora);
                                              MBOCU, MICU, KYECU, RUCU na ISAYULA (Mbeya);
                                              TANECU na MAMCU (Mtwara); ILULU (Lindi);
                                              SONAMCU (Ruvuma) na CETCU – Singida. Lengo la
                                              chaguzi hizo lilikuwa ni kupata viongozi waadilifu na
                                              wenye upeo katika masuala ya uongozi na pia
                                              kuwezesha vyama hivyo kufanya maboresho
                                              yaliyokusudiwa.

                                              Kuratibu Mikutano ya wadau wa Programu Kabambe ya




                                              233
                                          Mageuzi na Modenaizesheni ya Ushirika nchini ambayo
                                          imechambua mipango ya kuboresha TFC na SCCULT
                                          na kupanga mikakati ya utekelezaji wake.

                                          Wizara imeandaa miongozo ya: Uhasibu na
                                          Menejimenti ya fedha za SACCOS, Mifumo ya
                                          Menejimenti ya Taarifa ili kuviwezesha vyama
                                          kujiendesha kibiashara na kwa kuzingatia Sheria,
                                          taratibu na maslahi ya wanachama wake.

                                          Rasimu ya Waraka wa Baraza la Mawaziri kuhusu
                                          utaratibu wa uanzishaji wa Benki ya Ushirika ya Taifa
                                          inaandaliwa kwa ajili ya kuwasilisha mapendekezo
                                          Serikalini.

                                           Mafunzo ya awali yametolewa kwa wajumbe wa Bodi
                                          za Vyama Vikuu vya Ushirika 7 vinavyohusika na uuzaji
                                          wa mazao ya Pamba, Kahawa na Tumbaku kwa Mikoa
                                          ya Tabora, Shinyanga, Mwanza, Mara na Kagera.

                                          Kutoa udhamini wa mafunzo mbalimbali ambapo
                                          Maafisa 146 wa Ushirika wamepata udhamini kama
                                          ifuatavyo: Masters Degree (3), Post graduate Diploma
                                          (11), Advanced Diploma (43), Ordinary Diploma (18) na
                                          Professional Cooperative Financial Management (7),
                                          Computer (2), Waendesha Mashitaka- Cooperative
                                          Procecutors (14), na kozi nyingine fupi (5).
24.   Kufufua, kuimarisha na kuendeleza   Wizara imeshiriki katika utatuzi wa migogoro katika
      Ushirika nchini.                    Vyama vya Ushirika ambapo miongoni mwa migogoro
                                          iliyosuluhishwa ni mgogoro wa mali kati ya KCU na
                                          KDCU uliokuwa umekwamisha shughuli za uwekezaji
                                          katika miradi yao. Usuluhishi uliviwezesha vyama hivyo
                                          kufikia makubaliano ya kugawana mali husika. Vilevile
                                          Wizara iliendelea kufuatilia kesi mahakamani
                                          zinazohusu viongozi, wanachama au wabia wa vyama
                                          vya ushirika wanaotuhumiwa kuhusika na ubadhirifu
                                          katika vyama wanavyoviongoza.

                                          Wizara kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imefanya
                                          uhamasishaji mkubwa kwa wananchi ili wajiunge
                                          pamoja na kuanzisha vyama vya ushirika. Jumla ya
                                          SACCOS mpya 1,441 na vyama vya ushirika wa mazao
                                          – AMCOS 43 vimeanzishwa nchini kati ya mwezi Mei,
                                          2006 hadi Mei, 2007.




                                          234
                                            Mafunzo yametolewa kwa SACCOS 25 za mikoa ya
                                            Pwani, Dar es salaam na Arusha kuhusu uboreshaji
                                            (modernisation) wa SACCOS hizo ikiwa ni pamoja na
                                            kubadili mifumo ya uendeshaji. Wajumbe wa Bodi na
                                            watendaji 20 wa SACCOS 5 za Mkoa wa Dodoma
                                            walipelekwa kwenye ziara ya mafunzo Pwani na Dar es
                                            salaam kujifunza kwenye SACCOS zilizobadili mifumo
                                            na kuajiri watendaji na zinatoa huduma/bidhaa
                                            mbalimbali ikiwa ni pamoja na bima na huduma ya
                                            ATM.
25.   Kuimarisha uwezo wa Wizara wa kutoa   Watumishi wapya 279 wa kada mbalimbali wameajiriwa
      huduma kwa wadau wa Sekta ya          hadi sasa. Watumishi walioajiriwa wameanza kuongeza
      Kilimo.                               nguvu kazi katika utoaji huduma baada ya kupangiwa
                                            vituo na kuanza kuteleza majukumu yaliyopo.

                                            Mafunzo yametolewa kwa watumishi 13 ili kuweza
                                            kukidhi mahitaji ya miundo yao ya Utumishi. Mafunzo
                                            hayo yametolewa katika Chuo cha Utumishi wa umma.
                                            Aidha, mafunzo ya muda mfupi yametolewa kwa
                                            Wahudumu, Makarani wa Masijala na Makatibu
                                            Muhtasi 35. Pia yalitolewa mafunzo elekezi kwa
                                            waajiriwa wapya 279 ambayo yalitolewa kwa muda wa
                                            wiki moja Makao Makuu ya Wizara.

                                            Watumishi 973 walipandishwa vyeo katika zoezi la
                                            mlundikano baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais
                                            Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Kero za muda
                                            mrefu za kutopandishwa vyeo watumishi zimepungua
                                            kwa kiwango kikubwa na hivyo kuongeza morali ya
                                            watumishi kufanya kazi zilizopangwa.

                                            Watumishi 475 wa Kanda za Nyanda za Juu Kusini,
                                            Mashariki na Kusini wamepata mafunzo ya jinsi ya
                                            kujikinga na maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
                                            Watumishi waliopata mafunzo hayo wameonekana
                                            kuelewa mbinu mbalimbali za kujikinga na maambukizi
                                            na wengi wamehamasika na kujitokeza kupima virusi
                                            vya UKIMWI.
26.   Kuandaa maeneo mengine kwa            Kazi ya kusavei (topographical survey) na kusanifu
      wakulima waliovamia shamba la         miundombinu mbalimbali iliyoainishwa imekamilika kwa
      umwagiliaji la Mbarali.               skimu zote zilizoandaliwa ambazo ni Gwiri (ha 500),
                                            Luanyo (ha 500), Uturo (ha 700) na Kimani (ha 1,000).
                                            Kazi ya ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji kwa
                                            kutumia mkandarasi imeanza mwezi Mei, 2007 kwenye
                                            skimu mbili za Uturo na Kimani.




                                            235
27.   Kufanya mapitio ya Sera, sheria na   Wizara kwa kuwahusisha wadau mbalimbali kwenye
      kanuni za Sekta ya Kilimo.           sekta ya Kilimo, Ardhi na Sheria imekamilisha taarifa na
                                           rasimu ya awali ya mapendekezo          ya mfumo wa
                                           kisheria unaofaa kwa ajili ya kulinda na kuendeleza
                                           ardhi ya kilimo. Mapendekezo ya Sheria hiyo
                                           yatawezesha maandalizi ya Muswada wa Sheria
                                           ambao utazingatia mahitaji ya kisekta. Wizara
                                           inaendelea na mchakato wa kukusanya maoni ya
                                           wadau na kupata kibali cha Serikali cha kutunga Sheria
                                           hiyo ya kutambua, kulinda na kuendeleza ardhi ya
                                           kilimo.

                                           Wizara iliandaa vikao mbalimbali vya wadau ili kupata
                                           maoni na mapendekezo ya kuwezesha kufanya
                                           marekebisho katika Sheria za Bodi za mazao ili
                                           ziendane na mabadiliko ya kisekta. Kupitia vikao hivyo,
                                           Wizara imepata maoni na mapendekezo ya
                                           marekebisho ya Kisheria na inaendelea na kukamilisha
                                           mchakato wa kuandaa rasimu ya marekebisho kwa kila
                                           sheria na kanuni za Bodi za Mazao.

                                           Wizara imekamilisha rasimu za mapendekezo ya
                                           marekebisho ya Sheria ya Usalama wa Chakula (Food
                                           Security Act of 1991) na Sheria ya Hifadhi ya Mimea
                                           (Plant Protection Act 1997).

                                           Kuhusu maandalizi ya kanuni za Sheria za sekta ya
                                           kilimo, Wizara imekamilisha na kupitisha Kanuni za
                                           Sheria ya Mbegu (Seeds Regulations) ambazo zilianza
                                           kufanya kazi mwezi Februari, 2007.

                                           Kwa kuwahusisha wadau, Wizara imeweza kukusanya
                                           maoni na taarifa mbalimbali na kukamilisha rasimu ya
                                           awali ya taarifa ya mchakato wa kutunga Sheria ya
                                           Kulinda Nasaba za Mimea kwa ajili ya Kilimo na
                                           Chakula (Plant Genetic Resource for food and
                                           Agriculture). Sheria itakayotungwa itakuwa na
                                           madhumuni ya kutambua na kulinda nasaba zote za
                                           mimea kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa
                                           kulinda nasaba za mimea wa mwaka 2001 ambao
                                           Tanzania ni mwanachama.




                                           236
                       WIZARA YA VIWANDA, BIASHARA NA MASOKO

 NA                 AHADI                                        UTEKELEZAJI
1.    Kuendelea kutekeleza MKUKUTA.          Wizara imeendelea kutoa Ruzuku kwa Mashirika na
                                             Taasisi zilizo chini yake kwa lengo la kutekeleza
                                             majukumu mbalimbali ya taasisi hizo yanayolenga
                                             kukuza uchumi na kupunguza umaskini. Hata hivyo,
                                             fedha zinazotolewa ni kidogo kulingana na kiasi
                                             kilichopangwa kwenye mpango wa kazi (Action Plan)
                                             wa Taasisi mbalimbali. Tatizo hili linatokana na
                                             mabadiliko katika makusanyo ya mapato ya Serikali.
2.    Ifikapo mwaka 2010 kiwango cha         Serikali inaendelea kubuni mikakati itakayosaidia
      ukuaji wa sekta ya Viwanda kitafikia   kuimarisha sekta ya viwanda hapa nchini ili ukuaji wa
      asilimia 15 kwa mwaka.                 sekta uonekane mwaka hadi mwaka na hatimaye
                                             kufikia kiwango cha uchumi kilichokusudiwa. Takwimu
                                             zinaonyesha kuwa sekta ya viwanda imeendelea kukua
                                             kutoka asilimia 1.6 mwaka 1995 hadi asilimia 9 mwaka
                                             2005. Hata hivyo, kutokana na matatizo ya uhaba wa
                                             umeme yaliyojitokeza mwaka 2006 ambao ni nyenzo ya
                                             msingi katika uzalishaji viwandani na katika kuvutia
                                             wawekezaji wa ndani na nje kuanzisha viwanda vipya
                                             ni dhahiri kwamba ukuaji wa viwanda katika mwaka
                                             2006 umeathirika. Mikakati inayotekelezwa na Serikali
                                             inayolenga kusaidia kuimarisha sekta ya viwanda ni
                                             pamoja na:-

                                                Kutatua matatizo ya upatikanaji umeme ikiwemo
                                                 kutafuta vyanzo vingine vya kuzalisha umeme
                                                 hapa nchini hususan kuzalisha umeme kwa
                                                 kutumia makaa ya mawe.

                                                Kuimarisha        Miundombinu inayojumuisha
                                                 barabara, reli, mawasiliano n.k ili kurahisisha
                                                 usafirishaji wa malighafi zinazohitajika viwandani
                                                 na kusambaza bidhaa zinazozalishwa kufikia
                                                 walaji.

                                                Kuimarisha sekta ya Kilimo ili kuhakikisha
                                                 upatikanaji wa malighafi za kutosha kwa viwanda.

                                                Kuhamasisha na kuhimiza uanzishwaji wa viwanda
                                                 vya kusindika mazao ya kilimo, misitu na maliasili.

                                                Kuwawezesha wananchi kukuza kipato chao na
                                                 hatimaye waweze kuwa soko kuu la bidha




                                             237
                                                 zinazozalishwa na viwanda ili kukuza soko la
                                                 ndani.

                                                Kuhakikisha upatikanaji wa mikopo ya muda mrefu
                                                 kwa wawekezaji katika viwanda.

                                                Kuweka vivutio (incentive packages) kwa sekta za
                                                 viwanda zenye mwelekeo wa kuchangia kwa
                                                 kiwango kikubwa katika maendeleo ya viwanda, hii
                                                 ikiwa ni pamoja na sekta ya ngozi, nguo, usindikaji
                                                 wa matunda na kujenga miundombinu ya EPZ na
                                                 kuhamasisha uwekezaji ndani ya EPZ.

                                                Kuhamasisha na kuhimiza uanzishwaji wa viwanda
                                                 vidogo kwa kutekeleza Sera ya Viwanda Vidogo na
                                                 Biashara ndogo.

                                                Kuvutia wawekezaji kutoka nje kuja kuwekeza
                                                 katika sekta ya Viwanda.

                                                 Kuhimiza uzalishaji wa vida bora kwa kutoa
                                                  mafunzo ya ubora wa vida, ufungashaji wa vida na
                                                  utafutaji masoko hususan kwa wazalishaji wadogo
                                                  (SMEs).
3.   Kuandaa mikakati itakayouwezesha        Mikakati hiyo imeandaliwa katika ripoti ya marejeo ya
     uchumi wa Taifa kuhimili ushindani na   Sera ya Biashara kwa nchi yetu na nchi za Afrika
     kulifanya Taifa letu liwe na uwezo      Mashariki (Trade Policy Review for Tanzania and EAC)
     madhubuti wa kushiriki na kufaidika     iliyowasilishwa Makao Makuu ya Shirika la Biashara la
     katika mfumo wa biashara kwenye         Dunia (WTO) Geneva, Uswisi tarehe 25-27/10/2006.
     masoko ya Kitaifa, Kikanda na
     Kimataifa katika mazingira ya
     utandawazi.
4.   Kupanua ajira kwa kuendeleza            SIDO imeendelea kutoa huduma zinazolenga kuwapa
     ujasiriamali katika viwanda vidogo na   wananchi ufahamu wa ujasiriamali, kuwawezesha
     biashara ndogo.                         kutambua mahitaji ya soko, kuwawezesha kupata
                                             teknolojia zifaazo na utoaji wa mikopo pale ambapo
                                             haja ilijitokeza. Huduma katika maeneo yote haya,
                                             yanawawezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika
                                             kuanzisha viwanda vidogo na biashara ndogo na hivyo
                                             kujiajiri wenyewe na kutoa ajira kwa watu wengine pia.
5.   Kuanzisha viwanda mama, kwa             Mchakato wa kupata wawekezaji katika mradi wa
     kutafuta wabia wa kuwekeza katika       makaa ya mawe Mchuchuma na mradi wa chuma
     mradi wa makaa ya mawe ya               Liganga unaendelea. Serikali imefikia hatua ya
     Mchuchuma, mradi wa chuma wa            kubainisha wawekezaji watakaofaa kuendeleza mradi
     Liganga na tafiti za miradi mingine     wa machimbo ya mkaa na uzalishaji wa umeme.




                                             238
     kama vile soda-ash iliyo katika Ukanda     Wawekezaji waliojitokeza ni wafuatao;-
     wa Maendeleo wa Mtwara.                    MMI Steel Mills Ltd (Tanzania); Athi River Steel Plant
                                                Ltd (Kenya); BSG Resources (Israel); Sub – Sahara
                                                Resources NL (Australia); ISPAT Mittal ya India; Lugala
                                                Mining Ltd/Pangea Proprietary (Pty) Ltd (Afrika Kusini);
                                                China CAMCE Engineering Company Ltd (China);
                                                SIEMENS/Grinaker LTA/Cinergy Global Power (Africa
                                                Kusini).
6.   Kuendelea na utekelezaji wa programu       Utafiti wa mashine za mkono (manual) za kukamua
     inayolenga katika kuimarisha usindikaji    mafuta kutoka aina zote za mbegu umekamillika.
     wa mazao ya kilimo, mifugo na              Teknolojia ya mashine za kukatakata majani ya kula
     maliasili;                                 wanyama imekomaa. Utafiti wa mashine za kusindika
                                                maziwa na bidhaa zake unaendelea. Aidha SIDO
                                                imeendeleza mafunzo kwa wasindikaji wa vyakula
                                                mbali mbali na mpaka sasa mafunzo yamewafikia watu
                                                5,000. Mazungumzo yamefanyika pia kati ya Wizara,
                                                SIDO na Jumuiya ya Madola ili kuendeleza mafunzo ya
                                                usindikaji.
7.   Kuendelea kuhamasisha uanzishaji wa        Mamlaka ya EPZ (EPZ Authority) imeendelea na zoezi
     maeneo ya uzalishaji kwa ajili ya uuzaji   la kuhamasisha uwekezaji katika maeneo ya EPZ kwa
     nje (EPZ) pamoja na uwekezaji katika       kutembelea na kutoa Mada katika nchi za Marekani,
     viwanda ndani ya maeneo hayo.              Urusi, Japan, China, Korea na Falme za Kiarabu.
                                                Wawekezaji wawili wamepewa leseni za kuzalisha chini
                                                ya EPZ (EPZ Operator‟s License). Wawekezaji hawa ni
                                                Unnat Fruits Processing Ltd na CAMI Apparel Ltd.
                                                Aidha, Kampuni ya Unnat Fruits Processing Ltd ilipewa
                                                vile vile leseni ya ujenzi wa miundombinu ya EPZ (EPZ
                                                Developer‟s License).
8.   Kuandaa taarifa kuhusu fursa za            Wizara inaendelea kukusanya taarifa za rasilimali
     uwekezaji katika miradi ya maendeleo       zilizopo katika mikoa mbalimbali zitakazosaidia
     ya viwanda (project profiles) na           kubainisha fursa za uwekezaji na kuandaa taarifa za
     kubainisha fursa za mitaji kwa             miradi (project profiles).
     wawekezaji.
9.   Kuendelea kuvutia na kuhamasisha           Kwa kushirikiana na ubalozi wa Tanzania nchini China,
     wawekezaji wa nje na wa ndani na           Wizara iliandaa ziara ya wawekezaji kutoka taasisi ya
     kuwekeza katika sekta mbalimbali za        “China Textile Planning Institute of Construction”
     viwanda.                                   wakiambatana na Mkurugenzi wa MIZUDA group of
                                                companies, mojawapo ya          kampuni kubwa ya
                                                kutengeneza nguo nchini China kwa nia ya
                                                kuhamasisha uwekezaji katika sekta ya nguo nchini.

                                                Aidha, Wizara ilipokea wawekezaji kutoka kampuni ya
                                                RITES Limited wenye nia ya kuwekeza katika miradi ya
                                                Soda-ash ya Lake Natron, Kampuni kutoka Ukraine
                                                yenye nia ya kuwekeza katika uzalishaji wa nyaya za




                                                239
                                              umeme. Wengine ni kutoka Kuwait wenye nia ya
                                              kuwekeza katika viwanda vya kutengeneza bidhaa
                                              zitokanazo na petroli.

                                              Wizara imeendelea kutembelea mikoa mbalimbali kwa
                                              lengo la kubainisha fursa za uwekezaji katika sekta ya
                                              Viwanda ikiwemo mikoa ya kusini yenye uzalishaji
                                              mkubwa wa korosho, miradi ya chumvi na gesi asilia.

                                              Mheshimiwa Rais, Waziri wa Viwanda, Biashara na
                                              Masoko na wafanyabiashara wamefanya ziara katika
                                              nchi za Marekani, Japan, Korea, China, UAE n.k kwa
                                              lengo la kushawishi wawekezaji wa nchi hizo kuwekeza
                                              nchini. Wawekezaji hao wameonyesha nia kubwa ya
                                              kuwekeza hapa nchini.
10.   Kuendelea kutekeleza mkakati wa         Mfuko wa kuendeleza sekta ya ngozi na bidhaa za
      kuimarisha sekta ya ngozi na viwanda    ngozi ulianzishwa kwa jina la “Livestock Development
      vya ngozi;                              Fund”, ili kupata fedha za kutekeleza mkakati wa
                                              kufufua na kuendeleza sekta ya ngozi na viwanda vya
                                              ngozi. Hadi sasa mfuko huu umekusanya zaidi ya
                                              shilingi bilioni 5. Utekelezaji wa mkakati husika bado
                                              unasuasua kutokana na kutokukamilika kwa taratibu za
                                              kiserikali za kuteua msimamizi wa mfuko ili kupata
                                              ridhaa ya Bunge kuweza kutumia fedha za mfuko huo.
                                              Suala hili linashughulikiwa ili kukamilisha taratibu hizo.

                                              Shughuli nyingine ni kukamilisha GN ya Motisha kwa
                                              wasindikaji wa ngozi ili kuhamasisha usindikaji na
                                              uuzaji nje ngozi zilizosindikwa badala ya ngozi ghafi.
                                              Aidha, wakulima chini ya CAMARTEC, Wakulima 123
                                              wamepewa mafunzo kuhusu matumizi na utengenezaji
                                              wa lijamu za punda na mijeledi ya ng‟ombe.
11.   Kuwezesha        na      kuhamasisha    Jitihada mbalimbali zimefanyika katika kufanikisha
      uanzishaji wa viwanda vya kusindika     uhamasishaji wa usindikaji wa mazao ya kilimo. Katika
      mazao ya kilimo, mifugo na maliasili.   jitihada za kusindika matunda nchini, kampuni ya Unnat
                                              Fruit Processing Ltd inakamilisha ujenzi wa kiwanda
                                              cha kusindika matunda (machungwa na mananasi)
                                              huko Kingorwila Morogoro chini ya mpango wa EPZ.
                                              Kiwanda hicho kitasindika tani 25,000 za matunda kwa
                                              mwaka na kuuza nje ya nchi tani 2,500 za juisi.
                                              Matunda yatatoka katika vijiji vya Mikuyuni na Matombo
                                              mkoani Morogoro, Muheza mkoani Tanga na Chalinze
                                              mkoani Pwani. Kwa upande wa mazao ya mifugo
                                              Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko ilianzisha
                                              mkakati wa kuendeleza sekta ya ngozi. Aidha mfuko wa




                                              240
                                              kuendeleza sekta ya ngozi umeanzishwa ili kuweka
                                              motisha kwa wasindikaji wa ngozi.
12.   Kutekeleza mkakati wa kuhifadhi         Wizara kama mojawapo wa wadau wakuu wa kuhifadhi
      Mazingira ya Ardhi na Vyanzo vya Maji   na kutunza mazingira, hususan katika jukumu la
      na kufuatilia utekelezaji wa tamko la   kuoanisha uhamasishaji na uendelezaji wa viwanda na
      serikali    la    kupiga     marufuku   mazingira endelevu (industrial development and
      utengenezaji wa mifuko laini ya         environmental sustainability), imefanya shughuli
      plastiki;                               zifuatazo:
                                               i. Semina (Mwezi Julai, 2006) kwa baadhi ya wakuu
                                                  (Chief Executive Officers) katika sekta ya viwanda
                                                  iliyolenga kuwahamasisha kutumia teknolojia bora
                                                  (Cleaner Production Technologies), kutoa elimu na
                                                  ufafanuzi juu ya utekelezaji wa Sheria mpya ya
                                                  mazingira ya mwaka 2004, njia bora za urejerezaji
                                                  na utupaji wa maji-taka na taka ngumu zitokanazo
                                                  na shughuli za uzalishaji viwandani (Recycling
                                                  Techiniques and Disposal).
                                              ii. Mwezi Novemba, 2006 ilifanyika semina ya
                                                  kuhamasisha na kutoa elimu kwa viwanda
                                                  vinavyotumia kuni kama nishati, kutumia nishati
                                                  mbadala kama vile makaa ya mawe, gesi, majiko
                                                  sanifu na mabaki ya mimea. Aidha, walihimizwa
                                                  kupanda miti kwa ajili ya mahitaji yao.
                                              iii. Mikutano     imefanyika     ikihusisha   viwanda
                                                   vinavyotengeneza bidhaa na mifuko ya plastiki kwa
                                                   lengo la kuwahamasisha kutumia technolojia ya
                                                   kisasa zaidi ambayo itasaidia kuzalisha
                                                   bidhaa/mifuko inayooza (bio-degradable bags).
                                              iv. Kutembelea viwanda kila mara malalamiko ya
                                                  uchafuzi wa mazingira unaotokana na shughuli za
                                                  viwanda yanapojitokeza na kuwahamasisha
                                                  watendaji wakuu kuchukua hatua za haraka dhidi
                                                  ya uchafuzi huo pale unapodhihirika.
                                               v. Wajasiriamali     mafundi         mchundo        23
                                                  wamefundishwa jinsi ya kutengeneza, kutumia na
                                                  kubiasharisha teknolojia za kilimo cha hifadhi ardhi
                                                  na maji kutoka Singida vijijini, Iramba (Singida),
                                                  Babati, Mbulu, Hanang na Simanjiro (Manyara),
                                                  Karatu, Ngorongoro, Arumeru (Arusha) na Maswa
                                                  (Shinyanga).




                                               241
13.   Kuweka utaratibu wa kudumu wa           Rasimu ya utaratibu wa kusimamia biashara ya chuma
      upatikanaji wa biashara ya chuma        chakavu imeandaliwa na kuwasilishwa katika kikao cha
      chakavu;                                wadau tarehe 5/7/2006. Maoni ya wadau yameingizwa
                                              kuboresha rasimu ya utaratibu husika. Kikao kingine
                                              cha wadau kitaitishwa kupata muafaka juu ya utaratibu
                                              huo kabla ya kuwasilishwa Serikalini kwa uamuzi.
14.   Kuimarisha taasisi za utafiti na        Taasisi husika zinaendelea kuimarishwa kwa kupatiwa
      maendeleo ya viwanda hususan,           fedha za kuendeshea shughuli zake kutoka katika bajeti
      CAMARTEC, TEMDO, TIRDO;                 ya MKUKUTA. Mapato mengine hutokana na huduma
                                              za utafiti na ushauri wa kitaalam zitolewazo katika
                                              taasisi hizo.
15.   Kushirikiana na Sekta Binafsi katika    Katika kuendeleza ushirikiano katika utatuzi wa
      kubuni mikakati ya kuendeleza sekta     matatizo ya sekta ya viwanda nchini, Wizara imefanya
      ya viwanda kwa lengo la kukuza          vikao vilivyohusisha wadau wa sekta kujadili biashara
      mchango wa sekta hiyo katika            ya chuma chakavu, mkakati wa sekta ya ngozi, mkakati
      maendeleo ya uchumi wa Taifa            wa mazingira na kuandaa kongamano lililofanyika siku
                                              ya viwanda Afrika tarehe 20 Novemba, 2006 kujadili
                                              mafanikio na matatizo ya sekta ya viwanda.
16.   Kuendelea kushirikiana na Wizara na     Serikali inaendelea kuhamasisha taasisi za kifedha
      Taasisi nyingine pamoja na Sekta        kusaidia kwa kutoa mikopo ya muda wa kati na mrefu
      Binafsi katika kubainisha na kutafuta   kwa wawekezaji. Pia Wizara kwa kushirikiana na taasisi
      ufumbuzi wa matatizo mbalimbali ikiwa   zingine inajiandaa kutoa mapendekezo ya kuanzishwa
      ni pamoja na matatizo ya upatikanaji    kwa Benki ya Uwekezaji itakayolenga kutoa mikopo
      wa mikopo ya muda mrefu kwa             kwa wawekezaji hususan wanaoanzisha viwanda
      wawekezaji                              kwani suala hili limekuwa likiungwa mkono na wadau
                                              wengi.
17.   Kuhamasisha wawekezaji kuwekeza         Baadhi ya viwanda vimehamasishwa na kukubali
      katika teknolojia mpya za kisasa ili    kuwekeza katika teknolojia inayoviwezesha kutumia
      kuzalisha bidhaa bora zinazoweza        gesi asilia. Aidha, juhudi za kuhamasisha uwekezaji
      kuhimili ushindani.                     kuwekeza katika teknolojia ya uzalishaji wa umeme
                                              kwa kutumia makaa ya mawe ya Mchuchuma
                                              zinaendelea. Teknolojia nyingine ni pamoja na Chuma
                                              cha Liganga ili kuzalisha vipuri na bidhaa za chuma
                                              kwa matumizi ya viwandani, uzalishaji wa mbolea kwa
                                              kutumia gesi na madini ya Phosphate, soda-ash kwa
                                              ajili ya kuzalisha Caustic soda na nyingine kwa ajili ya
                                              kuongeza thamani kwenye mazao ya kilimo, madini na
                                              maliasili.
18.   Kuendelea na juhudi za kuimarisha       EAC
      ushirikiano wa kiuchumi na nchi         Kenya, Uganda na Tanzania tayari zimeanza
      nyingine za ki-Afrika kupitia EAC na    kutekeleza mpango wa ushirikiano wa umoja wa ushuru
      SADC ili kufungua masoko ya bidhaa      wa forodha. Tayari nchi wanachama zinafaidika katika
      za Tanzania katika nchi hizo.           mpango huu ambao ulianza tangu tarehe 1 Januari,
                                              2005. Tanzania imeshafunguliwa masoko ya bidhaa
                                              zake zote kwa nchi za Kenya na Uganda. Wakati




                                              242
                                                 Tanzania imefungua masoko yake kwa bidhaa zote
                                                 zinazotoka Uganda na baadhi ya bidhaa za kutoka
                                                 Kenya. Ifikapo mwaka 2010, Tanzania itakuwa
                                                 imefungua masoko kwa bidhaa zote kutoka Kenya pia.

                                                 SADC
                                                 Katika harakati za kufungua milango ya masoko,
                                                 Tanzania imejitahidi kupunguza viwango mbalimbali
                                                 vya ushuru ili kwenda sanjari na mpango wa SADC wa
                                                 kufikia soko huru huria mwaka 2008. Katika harakati
                                                 hizo takwimu zinaonyesha kuwa ifikapo 2008, Tanzania
                                                 tutakuwa tumepunguza kiasi cha asilimia 83 kulingana
                                                 na asilimia 85 ambayo ilikubaliwa na nchi wanachama,
                                                 kwamba ifikapo 2008 kila nchi mwanachama wa SADC
                                                 awe amepunguza ushuru kwa kiasi cha asilimia 85 kwa
                                                 bidhaa nyingi ili kuweza kufungua milango kwa masoko
                                                 ya nchi wanachama. Asilimia 15 iwe kwa “sensitive
                                                 products” ambazo ndizo kitovu cha uchumi kwa nchi
                                                 mbalimbali.
19.   Kuandaa mikakati itakayouwezesha           Wizara imeshiriki katika mikakati ya biashara ya nje
      uchumi wa Taifa kuhimili ushindani na      kwa kuandaa mapitio ya sera ya Biashara ambayo
      kuweza kushiriki kikamilifu na kufaidika   ilifayika Geneva Septemba, 2006.
      na mfumo wa biashara katika                Wizara imekuza na kuendeleza ushirikiano            wa
      mazingira ya utandawazi kama               kibiashara na nchi mbalimbali za Mashariki ya Mbali na
      ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya             Mashariki ya Kati ambazo zimeonyesha nia ya kufanya
      Uchaguzi.                                  biashara ya kununua bidhaa zetu.
20.   Kituo cha Biashara cha Tanzania            Kituo cha Biashara London kinaratibu safari za
      kilichopo     London         kitaendelea   wafanyabiashara kutoka Tanzania wanaokwenda Bara
      kushirikiana na Makampuni Binafsi,         la Ulaya kutafuta masoko ya bidhaa zinazotengenezwa
      Mashirika na Mamlaka mbalimbali ili        nchini. Pia huandaa semina mbalimbali pamoja na
      kuongeza ufanisi wa mauzo ya bidhaa        makongamano kuhusu ukuzaji wa biashara kati ya nchi
      na mazao ya asili kwa lengo la             hizo na Tanzania. Kutokana na jitihada hizo kumekuwa
      kuliongezea Taifa mapato ya fedha za       na ongezeko la mauzo ya bidhaa zinazouzwa Ulaya
      kigeni na kuendeleza mkakati wa            kama vile chai, kahawa, madini, viungo, sukari, bidhaa
      kuitangaza Tanzania kiutalii katika        zinazozalishwa na tumbaku, nguo, samaki na pamba.
      vyombo vya habari nchini Uingereza.        Kila mwaka wakati wa maonyesho huja Tanzania
                                                 kushiriki maonyesho na kuchukua sampuli za bidhaa
                                                 kwa ajili ya kuziingiza kwenye mtandao ili kuzitangaza
                                                 katika soko la nje.
21.   BET kuboresha Maonesho ya Biashara         Kwa kushirikiana na BET, Wizara itatenga maeneo
      ya Kimataifa ya Dar es Salaam              maalum kwa ajili ya washiriki wanaotaka kuonjesha
      ambayo sasa yanatambulika na               bidhaa zao kwa walaji watarajiwa (test sales) na wale
      Chama Kinachosimamia Maonesho              wanaotaka kuonyesha tu bidhaa zao. BET itaendelea
      Duniani      (Union   des    Foires        kuboresha huduma katika uwanja wa Maonyesho wa
      Internationale - UFI)                      Mwalimu Nyerere, hasa upatikanaji wa maji, umeme,




                                                 243
                                               mawasiliano na huduma za mtandao. Kadhalika
                                               itaendelea kuchukua hatua za kuboresha huduma za
                                               usafi na mandhari ya uwanja kwa ujumla ikiwa ni
                                               pamoja na kupanda miti.

                                               Ili kuboresha usimamizi wa shughuli za Maonyesho
                                               BET itashirikisha sekta binafsi katika Kamati za
                                               Kupanga, Kuratibu na Kusimamia maonyesho.

                                               Katika kuchangia ukuzaji wa mauzo nje ya nchi, BET
                                               iliendelea kuandaa na kushiriki katika maonyesho ya
                                               Biashara ya Kitaifa na Kimataifa. Mwaka 2006/2007
                                               BET ilishiriki maonyesho ya Biashara ya Kimataifa
                                               katika nchi za Kenya, Rwanda, Zimbabwe, Malawi,
                                               China, Dubai na Marekani (New York). Kadhalika BET
                                               iliandaa maonyesho ya kitaifa (Dar es Salaam
                                               International Trade Fair) na yale ya Uhuru Shopping
                                               Festival.
22.   Bodi ya Biashara ya Nje itaendelea       BET iliendesha mafunzo katika nyanja zilizotajwa katika
      kutoa mafunzo kwa wajasiriamali          maeneo yafuatayo na idadi katika mabano. Morogoro
      wapatao 100, kuhusu ubora wa             (124) kwa wafanyabiashara wa kawaida, Wilaya ya
      bidhaa, utaalamu wa kuuza nje kwa        Mvomero na Morogoro Vijijini (92) kwa Wakulima wa
      ujumla na jinsi ya kuzitumia fursa za    Iliki, Mdalasini na Pili pili manga. Mkoa wa mwanza
      upendeleo zinazopatikana katika          (116), Mkoa wa Arusha (130), Mkoa wa Kigoma kwa
      masoko kadhaa.                           Wavuvi wa Samaki (97), Mkoa wa Mbeya (121), Mkoa
                                               wa Rukwa (143), Mkoa wa Singida (70), Wilaya ya
                                               Bagamoyo kwa Wazalishaji wa Vikundi (130). Hii ni
                                               mbali na mafunzo yanayoendeshwa na BET kwa
                                               kushirikiana na Taasisi za nje ambapo silabasi ya
                                               mafunzo hayo inagusia pia vipengele vilivyopo katika
                                               mada hii. Na kazi hiyo bado inaendelea.
23.   Kuendeleza kampeni ya “NUNUA             Kampeni hii iliendelezwa kwa kushirikiana na Chama
      BIDHAA ZA TANZANIA JENGA                 cha Wenye Viwanda (Confederation of Tanzania
      TANZANIA”. BET kuendelea kufikisha       Industries – CTI) hasa katika Maonesho ya Biashara ya
      huduma za kutoa habari za biashara       Dar es Salaam yaliyofanyika Julai, 2006. Pamoja na
      kupitia “Tele-Centres” katika Mikoa ya   wito katika Semina zilizofanyika, pia kulikuwepo na
      Morogoro na Mbeya.                       vipeperushi (banners) katika eneo lote la viwanja vya
                                               maonyesho.

                                               Kuhusu “Tele Centres” katika Mikoa ya Morogoro na
                                               Mbeya, jitihada zinafanyika kupata majengo ya kudumu
                                               yatakayotumika kwa shughuli hiyo.
24.   BET itaimarisha na kuongeza              BET imeimarisha ofisi ya Zanzibar kwa kuipa vitendea
      wafanyakazi na vitendea kazi kwa         kazi kama vile Kompyuta, printa, „scanner‟, viyoyozi,
      upande wa Zanzibari.                     meza, viti, vitabu na Majarida. Pia jitihada zinafanyika




                                               244
                                              kutafuta ofisi yake ya kudumu ili iweze kuajiri rasmi.
                                              Kwa hivi sasa, BET inatumia ofisi za kuazima zilizoko
                                              katika ofisi ya jengo la Wizara ya Viwanda, Biashara na
                                              Masoko na Utalii.
25.   Kuiunda upya BET kuwa Mamlaka ya        Mchakato wa kuunda upya BET kuwa Mamlaka ya
      Maendeleo ya Biashara (Tanzania         Maendeleo ya Biashara (Tanzania Trade Development
      Trade Development Authority) yenye      Authority),      umeanza kwa kuwashirikisha wadau
      jukumu la kuendeleza biashara na        mbalimbali katika kujadili rasimu ya mapendekezo ya
      wafanyabiashara.                        uundaji mamlaka hiyo. Mapendekezo yanajadiliwa
                                              katika ngazi mbalimbali wakiwemo wafanyakazi wa
                                              BET, Bodi ya Wakurugenzi na Wizara. Waraka wa
                                              Baraza la Mawaziri kuhusu mabadiliko haya
                                              umeandaliwa.
26.   Kuendelea kutekeleza Sera ya Taifa ya   Lengo kuu la Sera ya Taifa ya Biashara (2003) ni
      Biashara.                               kuiwezesha Tanzania kubaini njia na mbinu za
                                              kuelekea katika uchumi imara unaotegemea biashara
                                              ya kimataifa kuondoa umaskini. Sera inatoa fursa kwa
                                              Serikali kubuni mikakati ya kutekeleza azma hii kwa
                                              kuzingatia maslahi ya Kitaifa na makubaliano yetu ya
                                              Kimataifa. Moja ya mbinu zinazotumika ni kushirikiana
                                              na Wizara pamoja na Washirika wetu wa Maendeleo
                                              wa nje (Development Partners) kujenga uwezo wa
                                              kitaifa wa kushiriki katika majadiliano ya biashara ya
                                              kimataifa kwa kutoa mafunzo kwa wadau mbalimbali
                                              wakiwemo watumishi wa Serikali, Taasisi pamoja na
                                              Asasi zisizokuwa za kiserikali kwa njia ya semina,
                                              warsha na mafunzo ya muda mrefu vyuo vikuu. Kwa
                                              mara ya kwanza mwezi wa Oktoba, 2006 Nchi za Afrika
                                              ya Mashariki ziliwasilisha kwa pamoja Sera zao za
                                              biashara kwenye Shirika la Kimataifa kwa ajili ya
                                              mapitio (Trade Policy Review) kama masharti ya
                                              uanachama wetu katika shirika hilo yanavyohitaji.
                                              Wizara inaendelea kuratibu utekelezaji wa mikakati na
                                              programu mbalimbali zinazolenga kukuza biashara
                                              kama vile Mpango Shirikishi wa Kukuza Biashara
                                              (Intergrated Framework - IF) uliobuniwa na WTO na
                                              kufadhiliwa na wafadhili mbalimbali, Mkakati wa
                                              Kuboresha Mazingira ya Biashara Tanzania (Business
                                              Environment Strategy for Tanzania – BEST) pamoja na
                                              utekelezaji wa mapendekezo ya Uchambuzi wa
                                              Mchango wa Sekta ya Kiuchumi katika Kukuza Mauzo
                                              Nje (Diagnostic Intergrated Framework – DTIS).
27.   Kuainisha na kuandaa mkakati wa         Wizara imeboresha mahusiano kati ya Balozi zetu
      utekelezaji wa fursa zitokanazo na      Geneva na makao makuu ya Wizara, hii imerahisisha
      makubaliano ya WTO;                     Wizara kupokea na kutoa              taarifa mbalimbali




                                              245
                                               zinazohusu WTO. Aidha, wataalam wawili wa Biashara
                                               wameongezwa katika Ubalozi wa Tanzania huko
                                               Geneva.
28.   Kuimarisha Mamlaka ya EPZ pamoja         Zoezi la kuajiri watumishi wa Mamlaka ya EPZ
      na BET ili kuongeza juhudi za            linaendelea. Kufuatana na ufinyu wa Bajeti, zoezi la
      kuongeza mauzo ya nje;                   kuimarisha Mamlaka ya EPZ kifedha bado
                                               halijafanikiwa.
29.   Kuendelea kufanya mashauriano na         Rasimu ya waraka wa BLM imeshawasilishwa
      wadau kuhusu programu ya kuainisha       Serikalini. Baada ya kukubalika na Serikali wadau
      matatizo yanayokwamisha biashara         watafanya mashauriano juu ya utekelezaji wake kabla
      (Diagnostic Trade Integration Study -    ya utekelezaji halisi.
      DTIS);
30.   Kwa kushirikiana na DANIDA kufadhili     Watumishi 26 walifadhiliwa na DANIDA kuchukua
      watumishi 26 wa Wizara, Idara za         mafunzo ya Shahada ya Uzamili ya Biashara ya
      Serikali, Sekta Binafsi na Asasi         Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
      nyingine kuchukua mafunzo ya             Walianza mafunzo Agosti, 2006.
      Shahada ya Uzamili ya Biashara ya
      Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Dar
      es Salaam.
31.   Kuendeleza shughuli za vituo vya         Wizara imekuwa ikishirikiana na vituo hivyo kwa
      kupokelea      na    kutolea   taarifa   kuwapatia watumishi mafunzo ya kitaalam kila nafasi
      mbalimbali zilizoanzishwa na mpango      inapopatikana hapa nchini na nje ya nchi. Hadi sasa
      wa pamoja (UNCTAD/WTO/ITC) wa            watumishi 15 wameshanufaika na mpango huo.
      kujenga uwezo wa kitaalamu katika
      muasuala ya biashara.
32.   Kuendelea na majadiliano ya EPAs         Tanzania inaendelea na majadiliano ya EPA ikiwa
      baina ya nchi zinazoendelea na           katika kundi la SADC – EPA. Kundi hili linajumuisha
      Jumuiya ya Ulaya;                        nchi za Botswana, Namibia, Lesotho, Swaziland,
                                               Angola na Msumbiji.

                                               Majadiliano kati ya SADC –EPA na EU hayajapiga
                                               hatua kubwa, pamoja na kwamba majadiliano hayo
                                               yalitakiwa yawe yamekamilika Juni, 2007 na kutoka
                                               Julai-Desemba, 2007 ni wakati wa kutiliana saini
                                               makubaliano yaliyoafikiwa.
33.   Kuendelea kuboresha mazingira ya         Sheria ya Usajili wa Shughuli za Biashara ilipitishwa na
      biashara nchini ikiwa ni pamoja na       Bunge mwezi Februari, 2007. Sheria hii inalenga katika
      kukamilisha utaratibu wa uandikishaji    kupunguza gharama za kufanya biashara kwa
      wa biashara badala ya utaratibu wa       kuanzisha mfumo rahisi wa kusajili shughuli za
      utoaji wa leseni.                        biashara na kuondokana na mfumo wa zamani wa
                                               kutumia leseni kama vyanzo vya mapato. Sheria hii
                                               itawezesha wafanyabiashara walio katika sekta isiyo
                                               rasmi kuingia kwenye sekta iliyo rasmi. Maandalizi ya
                                               Kanuni za kutekeleza Sheria hii yameanza.




                                               246
34.   Kuendeleza mkakati wa kurasimisha        Kanuni za kutekeleza Sheria ya Usajili wa Shughuli za
      biashara;                                Biashara zinaandaliwa. Mkakati wa kurasimisha
                                               biashara utaendelezwa baada ya kukamilika kwa
                                               Kanuni hizo ikiwa ni pamoja na kuunganisha ofisi za
                                               usajili wa leseni mikoani katika mtandao wa kompyuta.
35.   Kamati ya Kitaifa ya kusimamia           Awali Kamati kwa kushirikiana na baadhi ya wadau
      utekelezaji wa mpango wa AGOA            imeandaa rasimu ya “AGOA National Strategy Paper”
      itaimarishwa kwa madhumuni ya kutoa      ambayo baadaye itahusisha wadau wote na kuijadili ili
      ushauri katika masuala ya utekelezaji    iwe dira ya utekelezaji wa mpango mzima wa AGOA.
      na uenezaji wa taarifa za masoko kwa
      Sekta Binafsi ili waweze kuuza zaidi
      kupitia mpango wa AGOA;
36.   Kuendelea na jitihada za kuwezesha       Wakulima,      wasindikaji  na     wafanyabiashara
      mazao ya wakulima kuuzwa kwa bei         wamewezeshwa kushiriki katika maonesho mbalimbali
      ya kuridhisha kulingana na mahitaji ya   kama yale ya Nane Nane na Siku ya Viwanda Afrika ili
      ubora wa soko la ndani na nje.           kujifunza aina ya ubora, usindikaji na ufungashaji
                                               unaotakiwa ili kuwawezesha kuuza bidhaa zao katika
                                               masoko ya uhakika na hivyo kujipatia bei nzuri za
                                               mazao yao.

                                               Taarifa za bei ya mazao makuu ya chakula ilikusanywa
                                               na kusambazwa kwa wadau mara tatu kila wiki.

                                               Kanuni za kutekeleza Utaratibu wa Stakabadhi za
                                               Mazao zilikamilishwa. Utaratibu wa Stakabadhi za
                                               Mazao utawawezesha wakulima kuweka mazao yao
                                               katika maghala na kuyauza wanapopata bei nzuri.
37.   Kuendeleza usindikaji wa mazao           Semina, Warsha na mikutano mbalimbali imefanyika
      yanayozalishwa hapa nchini ili           kwa lengo la Kuhamasisha na kuelimisha wakulima juu
      kuongeza thamani na nafasi za ajira.     ya umuhimu wa kusindika mazao yao ili kuongeza
                                               muda wa kutumika kwa mazao yenyewe, kuimarisha
                                               uzalishaji na kuongeza ajira. Aidha kwa kupitia
                                               Programu ya ACCESS inayofadhiliwa na Canada,
                                               SIDO ilishirikiana na TBS, BET na Wizara ya Kilimo
                                               kuelimisha wadau kuhusu mbinu za kuweza kuyafikia
                                               masoko ya nje.
38.   Kuhakikisha upatikanaji wa masoko        Wafanyabiashara wanaosafirisha bidhaa mbalimbali nje
      kwa bidhaa zisizokuwa za kilimo.         ya nchi walipewa leseni za kusafirisha bidhaa hizo
                                               kwa wakati, baadhi ya bidhaa hizo ni pamoja na mifugo,
                                               mazao ya biashara kama korosho, maua, kahawa n.k.
                                               Muswada wa kurahisisha na kuboresha shughuli za
                                               usajili wa shughuli za biashara umeshapitishwa kwenye
                                               BLM kinachosubiriwa ni taratibu za kuupeleka Bungeni
                                               na hatimaye kupitishwa na kuwa Sheria.




                                               247
39.   Kukamilisha Sera na Mkakati wa        Sera ya Masoko ya Mazao ya Kilimo imekamilishwa.
      Masoko ya Mazao ya Kilimo nchini.     Waraka wa Baraza la Mawaziri umeandaliwa na
                                            kuwasilishwa. Mkakati wa utekelezaji wa sera hiyo
                                            utaandaliwa baada ya Sera hiyo kupitishwa na Baraza
                                            la Mawaziri.
40.   Kuimarisha na kuendeleza mfumo wa     Mafunzo kwa wakusanyaji wa taarifa za masoko ya
      ukusanyaji, uchambuzi na usambazaji   mazao yameandaliwa na yamefanyika mwezi
      wa taarifa za masoko.                 Desemba, 2006. Taratibu za kukusanya, kuchambua
                                            na kusambaza taarifa za masoko kutoka katika Ofisi za
                                            Dar es Salaam zinakamilishwa kwa kuimarisha
                                            vitendea kazi.

                                            Mtandao wa “Internet” umewekwa na baadhi ya wadau
                                            usambaziwa taarifa hizo kwa njia ya “Internet”.
                                            Takwimu za bei zimeingizwa katika Programu maalumu
                                            ya kutunzia taarifa za masoko ya Mazao (FAO
                                            AgriMarket).
41.   Kuwezesha mchakato wa ujenzi     wa   Taratibu (Hadidu za Rejea) za kuwezesha ujenzi wa
      masoko ya kimataifa ya mazao     ya   masoko ya kimataifa zimeandaliwa. Mshauri mwelekezi
      kilimo na bidhaa zake pamoja     na   kwa ajili ya kufanya uchambuzi yakinifu atateuliwa
      kufanya tathmini ya uboreshaji   wa   baada ya fedha kupatikana.
      miundombinu ya masoko;
42.   Kufanya tathmini ya uboreshaji   wa   Kazi ya kuendeleza miundombinu ya masoko
      miundombinu ya masoko                 inaendelea kutekelezwa chini ya Programu ya
                                            Kuendeleza Mifumo ya Masoko ya Mazao (AMSDP) na
                                            Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo (ASDP).
                                            Aidha, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tanzania Social
                                            Action Fund – TASAF) unajihusisha na uendelezaji wa
                                            miundombinu.

                                            Jumla ya wilaya 20 zimeshiriki katika uendelezaji wa
                                            miundombinu ya masoko chini ya AMSDP na mchakato
                                            wa kuendeleza masoko katika miji ya Makambako na
                                            Segera unaendelea chini ya ASDP. Katika kipindi cha
                                            2007/08, Wizara itafanya tathmini ya miundombinu
                                            iliyoendelezwa na inayoendelea kutekelezwa.
43.   Kukamilisha Kitabu cha Orodha ya      Kitabu hiki kwa sasa kipo katika hatua za mwisho
      Wanunuzi na Wasindikaji wa mazao;     baada ya kufanyika kwa warsha ya wadau wa mazao
                                            ya kilimo ambao walichangia maoni mbalimbali ya
                                            kukiboresha zaidi. Hatua itakayofuata ni kukisambaza
                                            kwa wadau hao.
44.   Kuelimisha wadau kuhusu maendeleo     Kamati ya kitaifa yenye wadau mbalimbali toka
      ya masoko ya mazao na bidhaa ndani    Serikalini, Sekta Binafsi, Taasisi za Elimu na Utafiti na
      ya nchi na katika Jumuiya za          Taasisi zisizo za kiserikali zimehusishwa katika
      Ushirikiano wa Kibiashara (EAC,       majadiliano ya kutafuta masoko nafuu. Ushiriki wa




                                            248
      SADC, EU) na nchi nyingine.             Wizara kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa na
                                              Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma (Public
                                              Service Week) pia vimetoa fursa kwa wadau mbalimbali
                                              hususan wafanyabiashara na wananchi kujua fursa hizi
                                              za masoko. Vilevile, Wizara inachapisha vipeperushi
                                              vinavyotoa taarifa za fursa hizo za masoko. Mbali na
                                              fursa hizo, Wizara ina mipango ya kufanya Semina za
                                              Kikanda, kutumia vyombo vya habari ikiwa ni pamoja
                                              na televisheni, radio, magazeti na tovuti kwa
                                              kushirikiana na Kitengo cha Habari Wizarani.
45.   Kuimarisha uwezo wa Halmashauri na      Mafunzo kwa wakusanyaji wa taarifa za masoko ya
      Manispaa kukusanya na kusambaza         mazao yameandaliwa na kufanyika mwanzoni mwa
      taarifa za masoko.                      mwezi Desemba, 2006.
46.   Kuratibu na kusimamia Programu ya       Programu ya Kuendeleza Mifumo ya Masoko ya Mazao
      Kuendeleza Mifumo ya Masoko ya          ya Kilimo iliendelea kutekeleza majukumu yake kama
      Mazao ya Kilimo kwa kushirikiana na     ilivyopangwa. Majukumu hayo ni pamoja na kuwezesha
      Ofisi ya Waziri Mkuu na wadau           ukamilishaji wa Sera ya Masoko ya Mazao ya Kilimo,
      wengine;                                kuwaunganisha        wazalishaji,   wasindikaji   na
                                              wafanyabiashara na masoko (market linkages),
                                              kuwaunganisha        wazalishaji,   wasindikaji   na
                                              wafanyabiashara na vyanzo vya fedha (financial
                                              support services) na uimarishaji wa miundombinu ya
                                              masoko ya mazao.
47.   Kuendelea kutekeleza Mradi wa           Kanuni za Matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za
      Kuendeleza na Kuboresha Biashara ya     Mazao zimekamilishwa. Jitihada zinazoendelea kwa
      Pamba       na    Kahawa    hususan     sasa ni mikakati ya kuelimisha umma juu ya taratibu,
      utekelezaji wa Mfumo wa Stakabadhi.     kanuni na sheria za mfumo huu ambao kwa kiasi
                                              kikubwa utachangia katika kuwapatia bei nzuri
                                              wazalishaji.
48.   Kuendeleza soko la ndani kwa kukuza     Semina, warsha na mikutano imefanyika yenye lengo la
      matumizi ya mazao na bidhaa mbali       kuhamasisha na kuelimisha wazalishaji, wasindikaji
      mbali zinazozalishwa nchini.            kuhusu kuboresha bidhaa zao ili kujipatia soko la
                                              uhakika ndani ya nchi. Aidha, Kamati kwa ajili ya
                                              kuhamasisha matumizi ya bidhaa zinazozalishwa nchini
                                              imeundwa.
49.   Kuhamasisha uanzishaji na uimarishaji   Wizara kwa kushirikiana na IFAD imeandaa mradi wa
      wa viwanda vidogo na biashara ndogo.    Uendelezaji wa Viwanda vidogo na Biashara Ndogo
                                              Vijijini.

                                              Mradi wa MUVI {Muunganisho wa Ujasiriamali Vijijini
                                              (Rural SMEs Support Programme)} ambao
                                              unasimamiwa na IFAD upo katika hatua za mwisho za
                                              maandalizi na unategemea kuanza katika kipindi cha
                                              mwaka 2007/2008. Lengo la mradi huu ni kuimarisha
                                              ujasiriamali vijijini. Mradi utajihusisha katika usindikaji




                                              249
                                                wa mazao ya kilimo na unatarajia kutekelezwa katika
                                                mikoa ya Ruvuma, Manyara, Iringa, Mwanza, Pwani na
                                                Tanga.
50.   Kuendelea kuimarisha utoaji wa            Mradi wa “Gender Mainstreaming” umeendelea kujenga
      huduma      zinazolenga    kuchochea      uwezo wa asasi na kutoa mafunzo juu ya upatikanaji
      uanzishaji na uimarishaji wa viwanda      wa masoko na kutoa mafunzo kwa wajasiriamali na
      vidogo na biashara ndogo.                 kwa wakufunzi. Hadi kufikia Mei, 2007 programu hii
                                                ilikuwa imewafikia wajasiriamali 1,195.

                                                Wizara kwa kushirikiana na Shirika la Kazi Duniani
                                                (ILO) na Serikali ya Irish iliandaa Maadhimisho ya
                                                Mwanamke Mjasiriamali Tanzania mwezi Novemba,
                                                2006 kwa lengo la kuwawezesha wanawake wasio na
                                                wenye ulemavu na wale wanaoishi na VVU kushiriki
                                                katika shughuli za ujasiriamali. Katika mwezi huo wa
                                                Novemba, 2006 zilifanyika warsha katika mikoa ya
                                                Pwani, Dar es Salaam, Morogoro, Mbeya na Tanga
                                                ambapo kila warsha ilikuwa na washiriki wasiopungua
                                                50.

                                                Mfuko wa kujenga Ushindani (SCF) umekuwa
                                                ukichangia katika uboreshaji wa bidhaa na huduma na
                                                kuwezesha biashara kufikia kiwango cha kimataifa na
                                                kuuza nje. Mfuko huu unalenga usindikaji wa vyakula
                                                na mazao ya kilimo, uchimbaji madini mdogo,
                                                uboreshaji wa ufungashaji wa bidhaa na kushiriki katika
                                                maonesho ya biashara kwa manufaa. Hadi kufikia Mei,
                                                2007 vikundi 250 vilikuwa vimewasilisha maombi yake
                                                na kati ya hivyo, vikundi 42 vilikuwa vimesaidiwa kwa
                                                mfumo wa „matching grant‟.
51.   Kujenga uwezo wa wajasiriamali            Uhamasishaji wa wanaviwanda wadogo kushiriki katika
      kuzalisha kwa tija kwa kutafuta na        kuzalisha na kuuza mashine na vifaa vitokanavyo na
      kusambaza                    teknolojia   teknolojia zilizobuniwa na kutengenezwa na taasisi za
      zilizotengenezwa na kujaribiwa na         utafiti za hapa nchini umeedelea vizuri. Mashine na
      taasisi mbalimbali za hapa nchini.        zana katika maeneo yafuatayo sasa zinazalishwa na
                                                kusambazwa kwa wahitaji katika sehemu mbalimbali za
                                                nchi kupitia juhudi hizi; ubanguaji wa korosho, usindikaji
                                                wa mihogo, ukamuaji wa mafuta ya mawese, uhifadhi
                                                wa malimbichi kwa kutumia matenki ya barafu,
                                                uoteshaji uyoga, usindikaji wa chumvi, uvunaji wa maji
                                                ya mvua na kupura mtama. Bidhaa hizi zimewezekana
                                                kutengenezwa kwa ushirikiano mkubwa wa taasisi za
                                                TIRDO, TEMDO, CAMARTEC na TATC (Nyumbu).
                                                Aidha ulianzishwa mpango wa kulea wabunifu kwa njia
                                                ya viatamizi au „incubators‟. Kwa sasa programu hii




                                                250
                                               inaendelezwa na SIDO, Chuo Kikuu cha Dar-es-
                                               Salaam na pia mashirika ya TIRDO, TEMDO na
                                               CAMARTEC.
52.   Kuwawezesha wajasiriamali kuanzisha      Wananchi wamehamasishwa na kupewa mafunzo ya
      miradi ya usindikaji wa vyakula na       usindikaji wa vyakula, mikopo ya zana na mitaji kwa
      kutoa huduma za ushauri wa kiufundi.     miradi ya wasindikaji.          Mafunzo yanayolenga
                                               kuainishwa viwango vya ubora wa bidhaa pamoja na
                                               vifungashio yameendeshwa kwa kushirikiana na Shirika
                                               la Viwango nchini (TBS) ili kuhakikisha kuwa uzalishaji
                                               unafanywa kuzingatia viwango vya kitaifa na kimataifa
                                               na hivyo kukidhi mahitaji ya soko.
53.   Kwa kushirikiana na Serikali za Mitaa,   Uhamasishaji ulifanywa vya kutosha, Halmashauri za
      SIDO kutafuta maeneo na kuratibu         Wilaya ziliitikia vizuri, jumla ya maeneo 192
      ujenzi wa miundombinu na majengo         yaliainishwa na kutengwa kwa ajili ya matumizi ya
      kwa matumizi ya wajasiriamali            wazalishaji na wafanyabiashara wadogo. Mahitaji ya
      wadogo.                                  raslimali kwa maana ya fedha ni makubwa, utekelezaji
                                               hadi sasa umefanywa kwa Serikali kuchangia ujenzi wa
                                               soko la Songea mjini, Masoko ya Mchikichini (Ilala),
                                               Kawe (Kinondoni) na Rangitatu (Temeke) ambayo
                                               ujenzi wake umekamilika na sasa yanatumika.
54.   Kuhamasisha        zaidi      huduma     Jumla ya wahunzi 150 wamewezeshwa kupata
      zitakazoweka msisitizo katika kusaidia   mafunzo ya kuongeza ujuzi wao na kushiriki katika
      maendeleo ya shughuli za uzalishaji na   maonesho ya Kanda ya Ziwa mjini Kahama, nane nane
      biashara vijijini hasa kujenga na        mjini Arusha na Kanda ya Mashariki mjini Morogoro.
      kuimarisha uwezo wa wahunzi na
      makundi mengine.                         CAMARTEC imetoa mafunzo kwa wajasiriamali
                                               mafundi katika utengenezaji na utunzaji wa zana za
                                               kilimo kutoka Wilaya za Singida vijijini, Iramba
                                               (Singida), Babati, Mbulu, Hanang na Simanjiro
                                               (Manyara), Karatu, Ngorongoro, Arumeru (Arusha) na
                                               Maswa (Shinyanga).
55.   Kuendelea kutoa huduma za kiatamizi      Huduma za kiatamizi tayari zinatolewa Mkoa wa Dar es
      pamoja na huduma kwa wachimbaji          salaam, tayari wajasiriamali 12 wamekwishafaidika, kati
      wadogo wa madini katika maeneo           ya hao wanane (8) bado wapo katika hatua mbali mbali
      mbalimbali ya nchi                       za utengenezaji wa vida mpya, watatu (3) bidhaa zao
                                               ziko tayari kuzalishwa kibiashara na mmoja (1)
                                               amekwishafuzu na kuanzisha mradi wake kwa
                                               mafaniko nje ya mpango wa kiatamizi. Mitambo na
                                               bidhaa zinazohusika ni pamoja na: „Popcorn making
                                               machine, Food warmer, Fruit/Honey yogurt, Test tubes,
                                               Biogas incubator, Bamboo products‟ na vida mbalimbali
                                               kutokana na Mihogo (Keki, „Donuts‟ n.k). Utoaji wa
                                               huduma kama hii utaanza kutolewa mkoani Mbeya na
                                               Mwanza katika mwaka wa fedha wa 2007/08. Aidha,
                                               maandalizi ya majengo kwenye mitaa ya viwanda




                                               251
                                                vidogo inayomilikiwa na SIDO kwa ajili ya uanzishaji wa
                                                huduma ya kiatamizi yanaendelea.
56.   Kuhamasisha uzalishaji wa bidhaa za       Kutokana na Mkakati wa Kuendeleza Sekta ya Ngozi
      ngozi kwa kutoa mafunzo na huduma         na Viwanda vya Ngozi, mpango wa kazi (Action Plan)
      kwa wazalishaji.                          umeandaliwa na utahusisha vituo vya mafunzo kwa
                                                vijana wa DSM na Morogoro (Leather Training Centres)
                                                kupatiwa ujuzi wa kutengeneza bidhaa za ngozi ili
                                                kujiajiri kwa kuanzisha viwanda vidogo.

                                                Aidha, Mfuko wa Maendeleo ya Mifugo (Livestock
                                                Development Fund) kwa sasa una takriban shilingi
                                                bilioni 4. Pamoja na shughuli zingine, Mfuko huu
                                                utaanza kutumika mwaka wa fedha 2007/2008.
57.   Kuendesha kozi za ujasiriamali na         Mafunzo ya aina mbalimbali yamekuwa yakitolewa ama
      uongozi wa biashara na kutoa mafunzo      kutoa ufahamu na ujuzi wa namna nzuri ya kuzalisha
      kwa wasindikaji wa vyakula na             na kufanya biashara au kutoa ujuzi maalumu wa
      matunda.                                  kuwawezesha wajasiriamali kuongeza thamani za
                                                bidhaa zao. Hadi sasa wajasiriamali wapatao 5,000
                                                wamenufaika na programu hii.
58.   SIDO kutumia mbinu ya kuwaendeleza        Maandalizi ya zoezi la kuwahamasisha na
      wazalishaji wadogo kwa kuwatumia          kuwashawishi wazalishaji na wafanyabiashara wazoefu
      wazalishaji    na     wafanyabiashara     kushiriki katika utaratibu huu bado linaendelea.
      waliofanikiwa (mentorship program).       Utekelezaji halisi utaanza baada ya kuwapata na
                                                kuweka utaratibu mzuri wa kuwaunganisha.
59.   Kuendelea kuilea mifuko ya mitaji         Mfuko wa kuwaendeleza wafanyabishara wadogo
      iliyopo na kuhakikisha kuwa mitaji        (NEDF) ulioanzishwa na Serikali na SIDO kupewa kazi
      inatolewa na kutumika kwa ufanisi.        ya kuratibu utoaji mikopo umeendelea kuimarishwa
                                                ambapo kwa mwaka 2005/06 na 2006/07 mfuko
                                                ulitunishwa kwa shillingi billioni moja kila mwaka. Aidha,
                                                katika mwaka 2007/08 mfuko utatunishwa. Usimamizi
                                                wa mfuko huu umeedelea kuimarishwa na ufanisi
                                                kuongezeka, wastani wa marejesho ni zaidi ya asilimia
                                                80.
60.   SIDO kuendelea kutoa mitaji kwa           Pamoja na mfuko wa NEDF uliotajwa hapo juu, SIDO
      wajasiriamali wadogo na kutafuta          imeendelea kusimamia fedha za mikopo kutoka
      vyanzo mbalimbali vya fedha kwa ajili     sehemu mbalimbali, mfuko wa „Regional Revolving
      ya mitaji ya wajasiriamali.               Fund‟ (RRF) wenye mtaji wa Sh. 1.5 billioni, mfuko wa
                                                Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) wenye
                                                mtaji wa Sh. 500 milioni na mifuko mingine midogo.
                                                Ufanisi wa mifuko yote ni mzuri, wastani wa marejesho
                                                umefikia asilimia 83.
61.   Kuendelea na juhudi za kuwawezesha        Shirika la TIRDO lilitoa huduma kwa wajasiriamali ili
      wajasiriamali kushiriki katika masoko     kuwawezesha kuimarisha miradi yao na kuongeza
      ya ndani na nje ya nchi na pia            uwezo wao wa kuyafikia masoko ya nje. Huduma
      kongamano             la        Kitaifa




                                                252
litakalowakutanisha wadau mbali mbali   zilizotolewa ni pamoja na:-
wa sekta litaandaliwa.
                                        Mfumo wa Ufuatiliaji (Traceability)
                                        Kwenye mfumo huu nia ni kufuatilia bidhaa kufuatana
                                        na kumbukumbu na ubora wa kutoka kwa mlaji kurudi
                                        hadi kwa mzalishaji ili kukidhi matakwa ya walaji
                                        kimataifa. Mazao ambayo yameangaliwa ni pamoja na
                                        kahawa, chai na korosho. Aidha, mafunzo yalitolewa
                                        kwa washika dau 47.

                                        Mfumo wa kutengeneza chaki
                                        Kikundi kilichopo Kipunguni B, Dar es Salaam (Tuamke
                                        Women Group) wajasiriamali 40 wamefundishwa jinsi
                                        ya kutengeneza chaki. Kisarawe wamefundishwa watu
                                        35.

                                        Uchomeleaji wa chuma cha pua ili kutengeneza
                                        vifaa vya kubebea         chakula (Stainless steel
                                        welding)
                                        Mikoa iliyonufaika na mpango huu ni pamoja na Dar-es-
                                        Salaam, Tabora na Iringa.

                                         Kutengeneza vifaa vya chuma ya udongo (Metal
                                        casting)
                                        Sampuli 11 kutoka Songea na Moshi zimefanyiwa
                                        uchunguzi kwenye maabara kwa nia ya kuona ubora
                                        wa vifaa vinavyotengenezwa huko na kutoa ushauri wa
                                        kitaalamu.

                                        Vikausha vyakula kwa kutumia Nishati ya Jua
                                        Vikausha samaki (hasa dagaa) vimetengenezwa na
                                        mafunzo ya matumizi ya vifaa hivyo yalitolewa Dar-es-
                                        Salaam, Pwani na Mwanza. Aidha, mafunzo yalitolewa
                                        kuhusu namna ya kukausha mboga za majani na
                                        matunda.

                                        Mafunzo ya uzalishaji uyoga
                                        Mafunzo yalifanyika huko Kilimanjaro na DSM kuhusu
                                        kuzalisha uyoga. Aidha, mbegu za uyoga zilizalishwa
                                        na kusambazwa nchini kote.

                                        Kutengeneza unga wa Muhogo na Wanga
                                        Wajasiriamali 150 kwenye Wilaya za Newala, Tunduru
                                        na Ruangwa walipata mafunzo na kupelekewa mashine
                                        tatu za kutengeneza unga wa muhogo na tatu za




                                         253
                                              kutengeneza wanga.

                                              Kurejea taka za plastiki
                                              Vikundi viwili Dar es Salaam vimepatiwa mafunzo
                                              kuhusu jinsi ya kurejea takataka za plastiki (plastic
                                              recycling) kwa nia ya kujua jinsi ya kukusanya,
                                              kuzitenga kwenye vikundi vya plastiki za aina moja na
                                              kuvifanyia usafi.

                                              Kutengeneza matembe ya kukaushia Tumbaku.
                                              Jumla ya watu 21 wilayani Mbinga wamehamasishwa
                                              jinsi ya kutengeneza matembe bora yatumiayo kuni
                                              kidogo ili kukausha tumbaku.
62.   Utafiti na Maendeleo
      Taasisi za utafiti yaani CAMARTEC,       CAMARTEC imefanya utafiti na majaribio ya pampu
      TEMDO na TIRDO, kuendelea kulenga         ya maji iendeshwayo kwa nguvu za upepo (Vertical
      katika        kubuni       teknolojia     Sail Wing Windmill) kwa ajili ya kilimo cha
      zitakazokwamua matatizo yanayokabili      umwagiliaji, mifugo, na matumizi ya familia wilayani
      sekta ya kilimo na viwanda hususan,       Ngorongoro.
      viwanda vidogo na vya kati ambavyo
      havina uwezo wa kufanya utafiti          Utafiti na majaribio juu ya mashine ya kukatakata
      vyenyewe.                                 malisho ya wanyama kwa kutumia injini itumiayo
                                                mafuta ya diezeli unaendelea.

                                               Utafiti katika mashine za kukoboa na kusaga nafaka
                                                na za kuvuta maji umekamilika.

                                              Kuanzia Septemba, 2006 CAMARTEC imeanza
                                              kufanya utafiti wa kutengeneza sehemu zitakazotumika
                                              katika kuunda trekta dogo la kulima chini ya mradi wa
                                              PANTIL kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sokoine,
                                              (SUA).

                                              Katika juhudi za kujikwamua kutoka katika tatizo la
                                              nishati, CARMATEC inafanya tathmini ya utumiaji wa
                                              kinyesi cha binadamu katika uzalishaji wa umeme.
                                              Kitaalamu teknolojia hiyo inaitwa “Bio-latrine” na tayari
                                              imeshaanza katika nchi jirani ya Rwanda. Aidha
                                              Wizara itaandaa Mpango wa Utekelezaji (Business
                                              Action Plan) ya teknolojia mbalimbali ikiwemo ya
                                              Biolatrine kwa lengo la kufanikisha usambazaji wake.

                                              TIRDO imekamilisha utafiti wa sumu aina ya
                                              “Ochratoxin A (OTA)” kwenye zao la kahawa kwa
                                              kushirikiana na taasisi nyingine za nje kwa kufadhiliwa




                                              254
                                               na Jumuiya ya Ulaya (EU). Utafiti umeonyesha kuwepo
                                               kwa ukungu (fungus) yenye kutoa sumu ya “Ochratoxin
                                               A” kwenye kahawa mikoani Kilimanjaro na Arusha.
                                               Udhibiti wa ukungu huo kwa kutumia bacteria na
                                               “yeast” zipatikanazo kwenye kahawa kwenye maeneo
                                               hayo imetayarishwa (bio-control). Hii itatumika pamoja
                                               na uzalishaji bora (Good Manufacturing Practices and
                                               HACCP).
63.   Kushughulikia utafiti wa teknolojia ya   Utaratibu wa kuunda tovuti ya Wizara umeanza na
      mawasiliano                              kamati imeundwa ikijumuisha wawakilishi kutoka kila
                                               Idara kushughulikia taarifa zitakazowekwa kwenye
                                               tovuti hiyo ili kurahisisha mawasiliano kati ya Wizara na
                                               Wadau wa sekta ya viwanda, biashara na masoko.

                                               Wataalamu wa TIRDO wamefanya tathmini ya kiwango
                                               cha matumizi ya teknolojia ya mawasiliano na habari
                                               kwenye viwanda kwa kuanzia kwenye miji ya Dar es
                                               Salaam, Arusha na Mwanza. Hatua itakayofuatwa ni
                                               kuviwezesha kitaaluma viwanda kutumia Internet kama
                                               njia ya kujitangaza na kupata masoko mapya kwa
                                               kuwawekea tovuti (Websites) na kuwajengea mitandao
                                               (Local Area Networks) na mawasiliano ya barua pepe
                                               (E-mail).
64.   Kuendelea kuzitengea Taasisi hizi        Kiasi cha shilingi milioni 202.25 zimetengwa kwa ajili ya
      fedha za bajeti kupitia MKUKUTA na       CAMARTEC, shilingi milioni 433.5 zimetengwa kwa ajili
      kutafuta wafadhili kwa lengo la          ya TIRDO na shilingi milioni 163 zimetengwa kwa ajili
      kuziwezesha kuendelea na shughuli        ya TEMDO.
      zao.
65.   Taasisi kuongeza nguvu katika            Taasisi za TIRDO, CAMARTEC, SIDO, TEMDO,
      kutangaza teknolojia ilizobuni na        BRELA na TBS zimehamasishwa kushiriki katika
      kutengeneza ili kupata soko na           maonyesho mbalimbali ikiwa ni pamoja na maonesho
      kujipatia fedha na kuzingatia kubuni     ya DITF, na Siku ya Viwanda Afrika ili kutangaza
      teknolojia kulingana na mahitaji ya      teknolojia walizobuni. Aidha taasisi hizo zimeanzisha
      soko (demand driven) badala ya           mfumo wa ushirikiano katika kuendeleza teknolojia
      kuzitengeneza ndipo watafute soko        wanazozalisha hii ikiwa ni pamoja na kufanya
                                               maonyesho ya pamoja.
      Usimamiaji wa Sheria za Udhibiti
      Ubora:
      Kulenga kukamilisha ununuzi wa vifaa     Hatua za awali za ununuzi wa vifaa vya kituo
      muhimu vya Kituo cha Ufungashaji ili     zimechukuliwa kwa kushirikiana na “Crown Agents”
      kuongeza ubora wa ufungashaji wa         ambao wametangaza tenda ya kimataifa.
      bidhaa zinazozalishwa hapa nchini na
      kuhakiki vifungashio kwa bidhaa
      zinazotoka nje ya nchi.




                                               255
67.   Kuanza utekelezaji wa kiwango cha         Utekelezaji wa mita za teksi utafanyika mwaka ujao wa
      mita za teksi na kukamilisha ujenzi wa    fedha 2007/08 mara baada ya uchaguzi wa chama cha
      maabara ya kemikali                       madereva teksi wa Dar es Salaam kufanyika.
68.   Kuendelea na hatua za kuthibitisha        Maabara ya Ugezi (Metrology) imeishatathiminiwa
      maabara za shirika na mifumo ya           (assessed against ISO 17025) na Shirika la
      utendaji wa Shirika la Viwango la         Kuthathimini Maabara la Afrika ya Kusini (South Africa
      Kimataifa (ISO certification) pamoja na   National Accreditation System – SANAS) na kufanikiwa
      kuhakikisha kuwa maabara zake             kupita hatua zote za tathimini hiyo. Maabara hii
      zinaboreshwa ili kuweza kutoa huduma      imekubaliwa kupata cheti cha Umahiri wa Utendaji Kazi
      nzuri zaidi kwa wananchi                  zake (Accreditation Certificate) terehe 15 Desemba,
                                                2006.
                                                Aidha maabara za Chakula (Food Microbiology) na
                                                Nguo/Ngozi (Male Latex Condom Testing) zimefanyiwa
                                                tathimini ya Umahiri wake (Initial Assessment) tarehe
                                                11 – 14 Desemba, 2006.
                                                Maabara ya Kemikali imefanyiwa uchanganuaji wa
                                                awali kabla ya kutathiminiwa (Pre-assessment).
69.   Kuendelea kutoa mafunzo kwa               Tume ya Ushindani (Fair Competition Commission)
      wataalam wake, kuelimisha umma na         imeendelea kuajiri watendaji na tarehe 2 Mei, 2007
      utekelezaji wa Sheria ya Ushindani ya     imefikia idadi ya watumishi 30, kiwango cha chini
      Mwaka 2003                                ambacho kinaiwezesha Tume kusimamia shughuli za
                                                uchumi wa soko kwa mujibu wa Sheria ya Ushindani.
                                                Tume imeanza kutoa huduma kwa Baraza la Kushauri
                                                Mlaji ili hatimaye kuwe na asasi au umoja wa kitaifa
                                                unaojitegemea wa kutetea maslahi ya mlaji nchini.
                                                Aidha, Tume kwa kushirikiana na vyombo vingine vya
                                                Dola imeanza kudhibiti bidhaa feki (counterfeits)
                                                zinazoingizwa nchini kwa kuzikamata na kuziharibu kila
                                                zinapopatikana.
70.   Kuhakiki vipimo vinavyotumika kwenye      Ofisi ya Vipimo katika mikoa yote nchini zinaendelea na
      biashara;                                 jukumu hili kwa kufanya uhakiki na ukaguzi wa vipimo
                                                katika maeneo ya biashara.
71.   Kutangaza majukumu ya Wakala wa            Jukumu hili linafanywa na maafisa vipimo wakati wa
      Vipimo ili wadau waweze kuelewa            zoezi la uhakiki wa vipimo katika ngazi za mitaa, vijiji
      huduma zinazotolewa                        na kata. Kabla ya kuwahudumia wananchi, maafisa
                                                 hao huwaeleza kwanza madhumuni ya kuhakiki vipimo
                                                 vyao na faida ya matumizi ya vipimo sahihi.

                                                - Baadhi ya mikoa imefanikiwa kutumia ziara za wakuu
                                                  wa Mikoa na Wilaya katika kuelezea wananchi
                                                  umuhimu wa kutumia vipimo sahihi. Mfano wa mikoa
                                                  hiyo ni Tanga, Arusha, Mbeya, Iringa na Mara.

                                                - Mkoa wa Arusha ulipata ufadhili toka AMSDP




                                                256
                                                (Agricultural Marketing Systems Development
                                                Programme) na kuweza kuendesha semina kuhusu
                                                matumizi ya vipimo sahihi kwa ngazi za wilaya
                                                (Arumeru, Karatu na Monduli).

                                             - Wakala iliweza kushiriki Maonesho ya Sabasaba na
                                               Nanenane na kutumia fursa hiyo kuonesha huduma
                                               za wakala na kuelezea wananchi umuhimu wa
                                               matumizi ya vipimo sahihi.

                                             - Vipindi vya redio na televisheni (TV) vimeanza
                                               kurushwa hewani kuanzia mwezi Januari, 2007.
72.   Kushirikiana na taasisi nyingine,      Wakala inashirikiana kwa karibu na Serikali za Mitaa,
      hususan Wizara ya Kilimo, Chakula na   Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Idara ya
      Ushirika na Ofisi ya Waziri Mkuu,      Masoko (Katika Wizara ya Viwanda), Ofisi za Wakuu
      Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa   wa Mikoa na wilaya na NGO kama DAIPESA, AMSDP
      ili kuhakikisha wauzaji wa mazao ya    na TCCIA.
      kilimo wanatumia vipimo sahihi.
73.   Kuhakikisha mianya yote ya wizi na     Jukumu hili linatekelezwa kwa kuhakiki na kufanya
      udanganyifu wa kutumia vipimo          ukaguzi wa kawaida (routine) na ule wa kushtukiza
      visivyokuwa sahihi na rasmi katika     (suprise inspections) na wahalifu wote huchukuliwa
      biashara inazibwa.                     hatua za kisheria.

                                             Tumefanikiwa kuanza kupima matenki makubwa ya
                                             mafuta (bulk storage tanks) na hivyo kulisaidia taifa
                                             katika juhudi za kuondoa udanganyifu mkubwa
                                             unaofanyika katika biashara ya mafuta nchini.

74.   Wakala wa Usajili (BRELA) Kuanza       Lengo ni kupanua wigo na kuboresha huduma za usajili
      kutekeleza mpango wa awamu ya tatu     wa makampuni ya ndani na nje ya nchi, Majina ya
      wa mwaka 2006/07-2008/09.              Biashara, Alama za Biashara, Utoaji wa Hataza
                                             (Patents) na utoaji wa leseni za Viwanda. Utekelezaji
                                             unahusisha kupitia Sheria zinazosimamiwa na BRELA
                                             na kubainisha maeneo yanayohitaji marekebisho na
                                             kuondoa vipengele ambavyo sio vya lazima ili
                                             kurahisisha utoaji huduma haraka.

       Kuboresha na kusimamia sheria.       Wakala imeanza kutekeleza sheria mpya             ya
                                             Makampuni (New Company) Act No. 12 of 2002.

       Kuelimisha na kuhamasisha wadau      Sheria ya Usajili wa Majina ya Biashara (Business Cap
        wake kwa kutangaza huduma zake       213) na Sheria ya Leseni za Viwanda (National
        kupitia radio na televisheni.        Industries Act No. 10 of 1967) zinategemewa kupitiwa
                                             upya kuondoa masharti yasiyo ya lazima na kuongeza
                                             ufanisi katika usimamizi wa sheria na tija.




                                             257
                                                 Sheria ya Miliki Ubunifu inaandaliwa upya kwa lengo
                                                  la kuirekebisha ili iende sambamba na hali halisi ya
                                                  kiuchumi, kijamii na kimaendeleo. Hatua hizi
                                                  zitatekelezwa na BRELA ikishirikiana na wahisani
                                                  chini ya mpango wa BEST (Business Environment
                                                  Strengthening Tanzania).

       Kujenga uwezo wa ndani.                  Kazi kubwa ni kuboresha mazingira ya utendaji kazi
                                                  ili kuongeza tija na usimamizi bora wa vitendea kazi
                                                  na rasilimali za Serikali.

       Kujenga na kutumia mbinu za              Kurahisisha taratibu za kutoa huduma na
        kisasa za utekelezaji.                    kuchapisha vipeperushi vitakavyoelezea utaratibu
                                                  wa kutoa huduma kwa kiswahili na kiingereza na
                                                  kwa lugha rahisi.

                                                 Kutoa elimu ya utawala bora kwa viongozi na
                                                  wafanyakazi.

                                                 Kutoa elimu ya juu ya madhara ya rushwa sehemu
                                                  za kazi na kwa nchi kwa ujumla.

       Kupanua wigo ili kupeleka huduma        Mkakati wa utekelezaji ni kuwa Wakala imeazimia
        karibu na wananchi.                     kupeleka huduma mikoani na kwenye kanda na kutoa
                                                huduma kikamilifu kwa kutumia Ofisi za Biashara za
                                                Mikoa kwa wakati. Mradi huu muhimu unafadhiliwa na
                                                wafadhili kwa kupitia BEST kabla ya kufungua ofisi za
                                                kanda.
75.   Kuboresha na kuzingatia mkataba wa        BRELA imeshaandaa Mkataba wa Huduma kwa Mteja
      huduma kwa wateja.                        ambao ni makubaliano ya kijamii baina ya Wakala
                                                kama mtoa huduma na wateja wakiwa wapokea
                                                huduma. Mkataba huu unategemewa kuzinduliwa hivi
                                                karibuni.
76.   Kupunguza kero za wadau kwa               Ili kuondoa matatizo yanayojitokeza wakati wa
      kuanzisha mtandao wa kuratibu             kuwahudumia wateja, Wakala imeanzisha taratibu za
      matatizo yanayojitokeza wakati wa         kupeleka matangazo kwenye magazeti ili wateja watoe
      kuwahudumia;                              maoni yao kuhusu huduma zetu “Mnatuonaje”. Aidha,
                                                lipo sanduku la maoni makao makuu ya Wakala ili
                                                wateja waweze kutoa maoni yao na wakala iweze
                                                kuyafanyia kazi na hivyo kupunguza kero za wateja.
77.   Kuendelea kujijengea uwezo wa             MKUMBITA unasaidia Wakala kwa kujijengea uwezo
      utendaji kazi na ufanisi wa utekelezaji   kwa njia zifuatazo:-
      kwa msaada wa MKUMBITA                     Kutoa mafunzo mbalimbali kwa wafanyakazi wa
                                                    Wakala; kutoa vitendea kazi kwa Wakala




                                                258
                                              Kufanya “Computation” ya BRELA kwa nia ya
                                                  kurahisisha upatikanaji wa huduma bora na haraka.
                                              Kupeleka huduma karibu na wanachi kwa
                                                  kuwezesha kuwepo kwa mtandao na kufungua ofisi
                                                  za kanda.
                                              Kusaidia kupitia sheria mbalimbali kwa nia ya
                                                  kuziboresha.
78.   Kukusanya mirabaha kupitia kwa         Wakala 16 wameanza zoezi la kukadiria na kukusanya
      Wakala katika kila mkoa wa Tanzania    mirabaha nchini kote. Jumla ya sh. 8,862,500
      na kuweza kuwagawia wasanii husika     ziligawiwa tarehe 25 Agosti, 2006. Wakala hao sasa
                                             wamekusanya sh. 65, 001,90o.
79.   Kuendesha semina na elimu kwa          Semina ziliendeshwa katika Mikoa ya Tabora na Dar es
      umma katika mikoa kwa njia ya          Salaam. Pia, elimu kwa umma ilitolewa kwenye
      vyombo vya habari; na                  vyombo vya habari kupitia radio na televisheni.
80.   Kuingia mikataba na Vyama vya          Mikataba na vyama vya nje vya Perfoming Rights
      Hakimiliki vya nchi mbalimbali vya     Society (PRS) cha Uingereza na ONDA (Algeria)
      kulinda Hakimiliki kwa lengo la        itakamilika hivi karibuni.
      kukusanya mirabaha kwa niaba ya
      COSOTA pale ambapo kazi za wasanii
      na watunzi wa Tanzania zimetumiwa
      nchini kwao.
81.   Kuendeleza warsha za utawala bora      Wizara iliendesha warsha za utawala bora na elimu ya
      na huduma kwa mteja kwa watumishi      Huduma kwa Mteja kwa watumishi na viongozi ili
      wake na watumishi wa Wakala wa         kuboresha huduma na kuondoa mianya ya rushwa.
      Vipimo ikiwa ni mwendelezo wa          Aidha, Wizara imeandaa Mkataba wa Huduma kwa
      utekelezaji wa Mkakati wa Wizara wa    Mteja ambao umeainisha masuala mbalimbali juu ya
      Vita dhidi ya Rushwa.                  utoaji huduma zinazotolewa na Wizara ili kuruhusu
                                             maoni na kuboresha huduma zaidi kwa wananchi.

                                             Mafunzo ya Sheria ya Fedha na Manunuzi
                                             yameendelea kutolewa kwa viongozi wa Wizara na
                                             wajumbe wa Kamati ya Bodi ya Zabuni ya Wizara na
                                             Maafisa Ugavi ili kuwawezesha kutoa maamuzi sahihi
                                             katika masuala ya manunuzi na fedha.
82.   Kuendeleza juhudi za kupambana na      Katika kuendeleza juhudi za kupambana na kudhibiti
      kupunguza athari zitokanazo na         maambukizi mapya kwa watumishi wake Wizara imetoa
      ugonjwa wa UKIMWI pia kudhibiti        mafunzo ya uelimishaji na uhamasishaji wa kupima
      maambukizi mapya kwa kushirikiana      virusi vya UKIMWI kwa watumishi na wadau wa sekta
      na Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI   ya Viwanda, Biashara na Masoko na kutoa msaada
      (TACAIDS).                             usio wa kimatibabu kwa watumishi walioathirika na
                                             ugonjwa huo na kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa
                                             mipango ya shughuli za UKIMWI sehemu za kazi
                                             wizarani na kwenye taasisi.
83.   Kupitia na kuboresha Mkakati wake wa   Katika kuendeleza juhudi za kupambana na kuthibiti
      kupambana na UKIMWI, ikiwa ni          maambukizi mapya kwa watumishi wake Wizara




                                             259
      pamoja na kufanya tathmini ya hali        imepitia na kuboresha Mkakati wake wa kupambana na
      halisi ya maambukizi kwa watumishi        UKIMWI na kuendesha zoezi la tathimni ya hali halisi
      wake.                                     ya UKIMWI kama ilivyopanga kwenye wizara na taasisi
                                                zilizo chini yake kwa lengo la kujua hali ya watumishi na
                                                kuweza kupanga mikakati ya kuwaendeleza ili
                                                waendelee kutoa michango yao katika sekta.
84.   Kuendesha semina za uhamasishaji          Mafunzo hayo hayakuweza kufanyika kwa sababu ya
      kuhusu masuala ya jinsia ili              ufinyu wa bajeti. Mara bajeti ya Wizara itakapopatikana
      wafanyakazi waweze kuwa na uelewa         ya kutosha mafunzo haya yataendeshwa.
      wa jinsi ya kuyahusisha katika kazi zao
      za kila siku.




                                                260
                         WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI

NA                       AHADI                                        UTEKELEZAJI
1.   (a)   Kutoa ruzuku ya maendeleo ya         Vyumba vya madarasa 2,303 vimejengwa kwa kutumia
           Shilingi 3,010,000,000 kwa ajili     Ruzuku ya Maendeleo ya shilingi 7,845,300,000. Hili ni
           ya ujenzi wa vyumba vya              ongezeko la vyumba 1,443 zaidi ya lengo la kujenga
           madarasa 860.                        vyumba 860.
     (b)   Kuendelea kutoa ruzuku ya            Shilingi Bilioni 52 za Ruzuku ya Uendeshaji zimetolewa
           uendeshaji kwa ajili ya ununuzi      kwa Halmashauri zote nchini. Kati ya fedha hizo
           wa vitabu vya kiada vya              shilingi 20,800,000,000 zimetolewa kwa lengo la
           kufundishia na kujifunzia ili        kununua vitabu. Aidha, zoezi la ufuatiliaji wa ununuzi,
           kufikia uwiano wa kitabu kimoja      matumizi na uhifadhi wa vifaa vya kufundishia na
           kwa mwanafunzi mmoja(1:1)            kujifunzia umefanyika kote nchini. Mpaka sasa uwiano
                                                wa kitabu kwa mwanafunzi ni wastani wa kitabu kimoja
                                                kwa wanafunzi watatu (1:3) kama ilivyokuwa mwaka
                                                2006.
     (c)    Kuandikisha watoto wa darasa        Jumla ya wanafunzi 1,407,812 wameandikishwa darasa
            la kwanza 1,166,737 wenye           la kwanza ambao ni wanafunzi 241,075 zaidi ya lengo
            umri wa miaka 7 na waliobaki        la kuandikisha wanafunzi 1,166,737 mwaka 2007.
            wa miaka 8 na 9 wa mwaka
            2005 na 2006.
     (d)    Kujenga Nyumba za Walimu            Nyumba za walimu 2,183 zimejengwa hususan maeneo
            500 hasa vijijini                   ya vijijini kwa ruzuku ya maendeleo ya shilingi
                                                7,858,800,000. Hili ni ongezeko la nyumba 1,683 zaidi
                                                ya lengo.
     (e)    Kuajiri walimu wapya 7,337 ili      Walimu wapya 6,565 wameajiriwa, sawa na asilimia
            kukabiliana na ongezeko la          89.5% ya lengo na kufanya uwiano wa mwalimu kwa
            uandikishaji.                       wanafunzi kuwa 1:55.
     (f)    Kusimamia utekelezaji wa            Wizara imesimamia utekelezaji wa Elimu ya Msingi kwa
            Mpango wa Elimu ya Msingi           Walioikosa (MEMKWA) pamoja na kuendesha mafunzo
            kwa Walioikosa (MEMKWA).            kwa walimu wa MEMKWA na ununuzi wa vitabu
                                                180,000 kwa Shilingi 251,826,000. Aidha, Wizara
                                                imeendesha uhakiki wa vituo vya MEMKWA katika
                                                Halmashauri 56 nchini
     (g)     Kujenga majiko 27 katika           Kwa kushirikiana na Halmashauri na mashirika
             shule za Wilaya ya Mpwapwa         mbalimbali kupitia mradi wa lishe shuleni yamejengwa
             na kujenga matangi manne ya        majiko 27 katika Wilaya ya Mpwapwa na Kondoa.
             maji katika shule za Mkoa wa
             Singida zilizo kwenye Mpango
             wa Lishe Shuleni.
     (h)    Kufuatilia na kutathmini ushiriki   Ufuatiliaji na tathmini vimefanyika. Aidha, uhamasishaji
            wa viongozi wa wilaya, Kamati       wa jamii umefanyika katika shule 622 za mradi wa
            za shule na jamii katika kuleta     shule zinazomjali mtoto.
            mazingira ya kumjali mtoto
            katika shule za mradi.




                                                261
     (i)   Kuinua kiwango cha kufaulu       Kiwango cha kufaulu katika mtihani wa kumaliza darasa
           kufikia 90%                      la VII kimepanda kutoka asilimia 61.8 mwaka 2005 hadi
                                            asilimia 70.48 mwaka 2006. Kwa darasa la IV kiwango
                                            cha kufaulu kimeshuka kutoka asilimia 87.8 mwaka
                                            2005 hadi asilimia 86 mwaka 2006.
     (j)   Kuandikisha watoto wa shule za   Jumla ya wanafunzi 795,011 wameandikishwa katika
           awali 1,321,124.                 elimu ya awali mwaka 2007. Hii ni sawa na asilimia 60
                                            ya lengo la kuandikisha watoto 1,321,124.
2.   (a)   Kujenga madarasa mapya           Jumla ya madarasa mapya 1631 kati ya 1637
           1,637 kwenye shule za            yaliyotarajiwa yalijengwa katika shule za wananchi
           sekondari za ngazi ya kawaida    zenye kidato cha I-IV. Aidha, madarasa 128
           zinazojengwa kwa nguvu za        yamejengwa katika shule zenye kidato cha V-VI
           wananchi na mengine 128
           katika shule za ngazi ya juu
           zilizopo.
     (b)   Kujenga nyumba za walimu         Ruzuku ya kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu
           1,000 kwa gharama ya Shilingi    1,000 ilitolewa katika shule za Serikali hasa zilizoko
           9,000,000,000 kwenye shule za    vijijini.
           sekondari.
     (c)   Kuchangia ujenzi wa maabara      Shule 40 zimepelekewa fedha za ujenzi wa maabara.
           40 kwa gharama ya Shilingi
           560,000,000/=
     (d)   Kujenga vyoo katika shule 60,    Shule 30 zilipelekewa fedha shilingi Milioni 9 kila moja
           mabweni 5 na maktaba 30.         kwa ajili ya ujenzi wa maktaba, pia shule 47 kati ya
                                            shule 60 zilipelekewa fedha kwa ajili ya ujenzi wa vyoo.
                                            Aidha, shule 24 zikiwemo za wasichana tano
                                            zimepatiwa fedha jumla ya shilingi Milioni 22 kila moja
                                            kwa ajili ya ujenzi wa mabweni (Hostel).
     (e)   Kukarabati shule 30 kati ya      Ruzuku ilitolewa kwa ajili ya ukarabati wa shule 16 kati
           shule 100 za zamani.             ya shule 30 zilizotarajiwa.
     (f)   Kukarabati       miundombinu     Shule tatu (3) kati ya Sita (6) zenye wanafunzi wenye
           kwenye shule sita (6) za         ulemavu ambazo ni Njombe, Pugu na Jangwani
           wanafunzi wenye mahitaji         zimeshapatiwa fedha za MMES kwa ajili ya ukarabati.
           maalumu.
     (g)   Kugharamia elimu ya Sekondari    Wanafunzi 33,865 wa kidato cha I-IV wanaotoka katika
           kwa      wanafunzi      45,873   familia zenye kipato duni na wasichana 147 waliokuwa
           wanaotoka katika familia zenye   wakigharimiwa      na Mradi wa „Girls Secondary
           kipato duni wakiwemo 33,934      Education Support‟ (GSES) uliokwisha mwaka 2003
           wanaoendelea kulipiwa.           waligharimiwa elimu ya sekondari.
     (h)   Kuwajengea      uwezo       wa   Wakuu wa shule 450            walipatiwa mafunzo ya
           kimenejimenti wakuu wa shule,    manejimenti na uongozi kwa siku tano (5) ADEM-
           Bodi za shule, kamati za         Bagamoyo.
           uendeshaji za shule, maafisa
           walioko Makao Makuu ya
           Wizara.




                                            262
     (i)   Kuendesha mafunzo kwa              Waratibu 105 wa Elimu ya Sekondari ngazi ya Wilaya
           viongozi wa ngazi ya Mkoa na       walipatiwa mafunzo ya Menejimenti ya uongozi.
           Wilaya     ili   kuwashirikisha
           kikamilifu katika ufuatiliaji wa
           Mpango wa Maendeleo ya
           Elimu ya Sekondari katika
           maeneo yao.
     (j)   Kuteua Mratibu wa Elimu ya         Waratibu 105 wameshateuliwa na wameanza kazi
           Sekondari       kila      Wilaya   Januari 2007 baada ya kupatiwa mafunzo mafupi.
           atakayesimamia matumizi ya
           fedha za MMES pamoja na
           kazi nyingine.
     (k)   Kugharimia      walimu       200   Jumla ya walimu 150 kati ya 200 wanaosoma chuo
           mafunzo ya shahada ya              kikuu huria waligharimiwa vitabu na fedha za utafiti.
           kwanza katika Chuo Kikuu
           Huria.
3.   (a)   Kuandaa miundombinu na             Mitambo ya kisasa ya Kompyuta imefungwa katika
           Mtandao wa TEHAMA na               vyuo 32 vya Ualimu vya Serikali na kuunganisha vyuo
           kugharimia      na    kuandaa      nane (8) kwenye mtandao wa internet kwa njia ya
           muhtasari wa kufundishia           Setelite (VSAT System).
           TEHAMA kwenye Vyuo vya
           Ualimu.
     (b)   Kuchagua wanachuo wa                    Walimu Tarajali Daraja la III    A    7,200
           kujiunga na Mafunzo ya ualimu            walichaguliwa kujiunga na mafunzo ya Ualimu
           tarajali Daraja A 7,200,                 katika Vyuo vya Ualimu 18.
           Stashahada 4,000, Mafunzo
           Maalum ya mwezi mmoja                   Wanachuo 4,390 waliomaliza kidato cha sita
           3,500 na Mafunzo kazini 1,350.           wenye sifa stahili walichaguliwa kujiunga na
                                                    mafunzo ya Stashahada ya ualimu.
                                                   Mafunzo maalumu ya muda mfupi yalitolewa kwa
                                                    vijana 5,546 waliohitimu kidato cha sita ili
                                                    waweze kufundisha katika shule za sekondari
                                                    kwa leseni.
     (c)   Kuendeleza walimu 26,000 wa        Walimu wa Daraja C na B 21,519 walifanya mitihani ya
           Daraja C na B kwa utaratibu        Baraza la Mitihani la Tanzania ngazi ya Daraja III A.
           wa moduli kufikia Daraja A         Kati ya hao 20,021 walifaulu. Hii ni asilimia 92.10 ya
           ifikapo mwaka 2007.                walimu walioandikishwa kwa kozi hiyo.

     (d)   Kugharamia wakufunzi 314           Jumla ya wakufunzi 645 wanaosoma Chuo Kikuu Huria
           wanaosoma Chuo Kikuu Huria.        walilipiwa ada.

     (e)   Kufuatilia   uandaaji   wa         Serikali ilisaidia kugharamia maandalizi ya awali ya
           muhtasari wa Teknolojia ya         muhtasari wa kufundisha TEHAMA katika Vyuo vya
           Habari na Mawasiliano              Ualimu ambao upo katika hatua za awali. Kwa sasa




                                              263
           (TEHAMA) kwa ajili ya vyuo          wataalamu wanaendelea kufanyia kazi.
           vya ualimu.
     (f)   Kuwa     na   Mkakati   wa          Wadau wa elimu walifanya ziara ya kutembelea vyuo
           Maendeleo na Uongozi wa             vya ualimu 32 ili kukusanya taarifa, takwimu na kuona
           Elimu ya Ualimu (Teachers           hali halisi ya maandalizi ya Mkakati wa Maendeleo na
           Development            and          Menejimenti ya Walimu katika vyuo. Aidha, rasimu ya
           Management Strategy-TDMS).          Mkakati huo imekamilika.
     (g)   Kufuatilia na kutathmini (Rapid     Ufuatiliaji wa programu ya walimu wa shule zinazomjali
           Needs Assessment – RNA)             mtoto katika wilaya zote sita ulifanyika. Aidha, mpango
           program ya walimu wa Shule          huu utasambazwa katika shule 10 za mfano.
           za Msingi
           Zinazomjali     Mtoto      (Child
           Friendly Schools) katika wilaya
           sita za majaribio, Ngara,
           Musoma        (V),    Kisarawe,
           Masasi, Songea (V) na
           Makete.
     (h)   Kupatiwa        mafunzo       ya    Mafunzo kwa walimu 41,650 wa shule za msingi
           ufundishaji na ujifunzaji wa njia   kuhusu ufundishaji na ujifunzaji yalitolewa.
           shirikishi walimu wa shule za
           msingi wa Daraja “A” 41,975.
4.   (a)   Kukagua jumla ya asasi 20,112       Jumla ya asasi 13,695 sawa na asilimia 68 ya lengo la
           zikiwemo shule za awali 4,411,      kukagua 20,112 zilikaguliwa. Asasi hizi ni: Shule za
           msingi 7,164, vituo vya EWW         Awali 2,250, Shule za Msingi 3,242, Vituo vya Elimu
           7,164, vituo vya ufundi stadi       maalumu 36, Vituo vya Ufundi Stadi 14, Vituo vya
           162, vituo vya elimu maalum         EWW 2,552, Shule za sekondari 452 na Vyuo vya
           129, shule za sekondari 1,032       Ualimu 45.
           na vyuo vya ualimu 50.

     (b)   Kutoa nakala 1,000 za               Nakala 500 za Mwongozo wa Mafunzo ya Awali ya
           Mwongozo wa Mafunzo ya              ukaguzi wa shule na nakala 1500 za Kiongozi cha
           Awali ya ukaguzi wa shule na        Mkaguzi wa Shule zilitolewa.
           nakala 1,000 za Kiongozi cha
           Mkaguzi wa shule.
     (c)   Kuendesha Mtihani wa Taifa          Mtihani wa Taifa Kidato cha pili mwaka 2006
           Kidato cha II Mwaka 2006.           uliendeshwa katika Kanda zote nane (8). Jumla ya
                                               vituo 1,790 vilisajili watahiniwa 220,617, ambapo jumla
                                               ya watahiniwa 209,967 walifanya mtihani huo.
     (d)   Kuboresha mazingira ya kazi         Jumla ya ofisi 20 zilikarabatiwa. Aidha samani kwa ajili
           kwa wakaguzi wa shule kwa           ya ofisi za wakaguzi pamoja na Kompyuta zilitolewa
           Kununua samani na vifaa vya         Katika Wilaya 20.
           ofisi, kukarabati ofisi za Kanda
           na Wilaya.




                                               264
     (e)    Kutoa mafunzo juu ya mtaala       Mafunzo kuhusu mtaala uliorekebishwa mwaka 2005
            mpya kwa wakaguzi wa shule        yalifanyika kwa wakaguzi 1,064 kama yalivyopangwa.
            1,064.
     (f)    Kununua magari matano (5)         Jumla ya magari 16 yalinunuliwa na kusambazwa
            kwa ajili ya ofisi za ukaguzi     katika Kanda saba (7) na Wilaya tisa (9).
            wilayani.
5.   (a)   Kufuatilia     utekelezaji   wa    Ufuatiliaji wa utekelezaji wa Waraka wa Elimu Na. 3 wa
           Waraka wa Elimu Na. 3 wa           Mwaka 2006 ulifanywa na Walezi wa Elimu ya Watu
           Mwaka 2006, unaoelekeza            Wazima katika mikoa yote 21.
           kuhusu utekelezaji wa Mkakati
           wa Elimu ya Watu Wazima na
           Elimu nje ya Mfumo Rasmi.
     (b)   Kununua vifaa vya kufundishia      Ununuzi wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia
           na kujifunzia Wanafunzi wenye      Wanafunzi Wenye Ulemavu ulifanyika.
           Ulemavu wa Akili, Wasiiona,
           Wenye Uoni Hafifu, Wenye
           Otizim, Viziwi, Viziwi Wasioona,
           Ulemavu wa Viungo na Albino.
     (c)    Kuchapa aina 13 za vitabu vya     Jumla ya aina 13 za Vitabu vya Kiada zenye nakala
            kiada zenye nakala 600 kila       600 kila moja kwa Shule za Msingi, aina nane (8) zenye
            moja kwa shule za msingi, aina    nakala 400 kila moja kwa Shule za Sekondari na aina
            nane (8) zenye nakala 400 kila    mbili (2) zenye nakala 400 kila moja kwa Vyuo vya
            moja kwa shule za sekondari       Ualimu zilichapwa.
            na aina mbili (2) zenye nakala
            400 kila moja kwa vyuo vya
            Ualimu.
     (d)    Kuchapa       mwongozo      wa    Jumla ya nakala 1,000 za mwongozo wa mwezeshaji
            Mwezeshaji na Kuendesha           wa Mafunzo ya Elimu Jumuishi ulichapwa. Aidha,
            Mafunzo ya Elimu Jumuishi         Mafunzo ya Elimu Jumuishi kwa walimu 432 katika
            kwa walimu 1,200 katika           Halmashauri 18 yalitolewa.
            Halmashauri 50.
     (e)   Kuendesha mafunzo ya muda          Mafunzo ya muda mfupi kwa wataalamu wa elimu
           mfupi kwa wataalam wa Elimu        Maalumu kwa Wasioona na wenye Uono Hafifu 50,
           Maalumu kwa Wasiiona na            wenye ulemavu wa Akili na wenye Otizim 50 na Viziwi
           Wenye Uono Hafifu 50, Wenye        pia Viziwi Wasioona 50 yalitolewa.
           Ulemavu wa Akili na Wenye
           Otizim 50 na Viziwi na Viziwi
           Wasioona 50.




                                              265
6.   (a)   Kusajili jumla ya shule zisizo    Shule 160 zilisajiliwa: Awali saba (7), Msingi mbili (2),
           za Serikali 150.                  Awali na Msingi 63, Sekondari 82 na Vyuo vya Ualimu
                                             sita (6).
     (b)   Kushughulikia maombi 100 ya       Maombi 164 yalithibitishwa Mwenye Shule na Meneja:
           kuthibitisha Meneja na Wenye      Awali mbili (2), Msingi moja (1), Awali na Msingi 59,
           Shule Zisizo za Serikali.         Sekondari 96 na Vyuo vya Ualimu tano (5) na Chuo
                                             cha Kidini moja (1).
     (c)   Kuchambua maombi ya vibali        Shule za Sekondari 1,084 za Serikali zilizojengwa kwa
           vya kuanzisha Shule za            nguvu za wananchi zilisajiliwa.
           Sekondari zilizojengwa kwa
           nguvu za Wananchi.
     (d)   Kuchambua maombi ya leseni        Leseni 6,319 zilitolewa: Shahada ya      Uzamili 44,
           za kufundisha.                    Shahada ya Kwanza 152, Stashahada 26, Vyeti 22,
                                             Kidato cha Sita 44, na Mafunzo ya muda mfupi 6,031.
     (e)   Kuendesha mafunzo kuhusu          Mafunzo kuhusu taratibu za usajili wa shule
           taratibu za usajili wa Shule na   yaliendeshwa katika Halmashauri (4) nne.
           Walimu kwa Watendaji 200
           kutoka Halmashauri (7) Saba.
     (f)    Kukusanya takwimu za Walimu      Jumla ya taarifa za walimu walio kazini kutoka
            walio       kazini      kutoka   Halmashauri 33 zimekusanywa.
            Halmashauri 60.
     (g)    Kuratibu utafiti kuhusu ubora    Uratibu wa uendeshaji wa utafiti wa awali kuhusu ubora
            wa Elimu kwa nchi 15 za Kusini   wa elimu katika nchi 15 za Kusini mwa Afrika –
            mwa Afrika „Southern Africa      “Southern Africa Consortium for Monitoring Education
            Consortium for Monitoring        Quality” (SACMEQ III) umefanyika.
            Education Quality‟ (SACMEQ
            III).
7.   (a)    Kuandaa na kutangaza vipindi     Jumla ya vipindi 52 vya BORESHA           ELIMU
            mbalimbali 536 vikiwepo 52       viliandaliwa na kutangazwa na RTD kwa lengo la
            vya BORESHA ELIMU, 52 vya        kuhamasisha jamii juu ya utekelezaji wa MMEM na
            ufundishaji na 432 vya           MMES.
            masomo mbalimbali ya shule
            za msingi.
                                             Vipindi 52 vya ufundishaji kuhusu mbinu shirikishi
                                             viliandaliwa na kutangazwa na RTD.
                                             Vipindi 432 vya masomo ya Kiingereza, Maarifa ya
                                             Jamii, Kiswahili na Sayansi kwa madarasa V, VI na VII
                                             pamoja na Historia, Jiografia na Uraia Darasa la III na
                                             IV viliandaliwa na kutangazwa na RTD.
     (b)   Kuendesha semina kwa Walimu       Walimu 164, Wakaguzi wa Shule 120 wa Kanda ya
           1,260 na Wakaguzi wa Shule        Mashariki, Kaskazini Magharibi na Magharibi na
           756 kutoka kanda sita (6) za      Magharibi walielimishwa kuhusu utumiaji wa mwongozo




                                             266
           elimu kuhusu utumiaji wa           Wa mkakati wa Ujanishaji shule na kufundishia Elimu
           mwongozo wa elimu ya               ya Mazingira.
           mazingira pamoja na kuhariri
                                              Mwongozo wa kufundisha Elimu ya Mazingira kwa
           nakala 200,000 za kufundishia
                                              Shule za Msingi ulihaririwa na nakala 150,000
           elimu ya mazingira.
                                              zilichapwa.
     (c)   Kuchapisha nakala 9,000 za         Jumla ya nakala 10,000 za Mwongozo wa Ushauri
           Mwongozo wa Ushauri Nasaha         Nasaha zimechapwa.
           na unasihi na kutoa mafunzo ya
           ushauri nasaha na unasihi kwa
           walimu 1,000 wa shule za
           sekondari na vyuo vya ualimu.

     (d)   Kutafsiri Mwongozo wa Ushauri
                                              Mwongozo wa Ushauri Nasaha ulitafsiriwa kutoka lugha
           Nasaha na Unasihi kutoka
                                              ya Kiingereza kwenda Kiswahili.
           Kiingereza kuwa Kiswahili.

     (e)   Kuchapisha na kusambaza            Andiko la Elimu Rika Dhidi ya UKIMWI kwa shule za
           maandiko ya mafunzo ya             sekondari limekamilika.
           kujikinga na UKIMWI katika
                                              Nakala 86,400 za vitabu vya Uelimishaji Rika, UKIMWI
           shule na vyuo vya ualimu.
                                              na Magonjwa ya Zinaa zimenunuliwa na kusambazwa.
                                              Kuchapa na kusambaza nakala 58,000 za vitabu vya
                                              kujikinga na UKIMWI katika shule za Msingi na
                                              Sekondari.
     (f)   Kuendesha mafunzo ya elimu         Walimu wa shule za msingi 200 wamepatiwa mafunzo
           ya familia kwa walimu 777 wa       juu ya namna ya kufundisha mada za UKIMWI.
           masomo chukuzi ya elimu ya
           familia na wakuu wa shule za
           sekondari 250 kutoka kanda ya
           nyanda za juu kusini.
8.   (a)   Kufanya      utafiti  juu     ya
           maendeleo ya taaluma na            Utafiti kuhusu mwenendo wa mdondoko wa wanafunzi
           uongozi kwa baadhi ya shule        katika shule za Msingi na Sekondari umefanyika.
           za msingi zilizoteuliwa nchini     Aidha, pendekezo la utafiti (research proposal) wa
           Tanzania, kutafiti mwenendo        maendeleo ya taaluma ya uongozi kwa baadhi ya shule
           wa mdondoko (drop-out) wa          za Msingi limeandaliwa.
           wanafunzi wa shule za msingi
           na sekondari kuanzia mwaka
           1995 hadi 2005 na kufanya
           utafiti wa athari za ada katika
           utoaji wa elimu ya sekondari.




                                              267
(b)   Kufanya ufuatiliaji na tathmini   Ufuatiliaji na tathmini juu ya matumizi ya fedha na utoaji
      katika shule na vyuo vya          wa huduma za elimu na mafunzo umefanyika katika
      ualimu kuhusu matumizi ya         shule 380 za Sekondari.
      fedha na utoaji wa huduma za
      elimu na mafunzo ya ufundi.

(c)   Kuboresha rasimu ya mapitio       Zana za ukusanyaji maoni ya wadau na kuingiza
      ya Sera ya Elimu na Mafunzo       masuala mtambuka ili kuboresha rasimu ya Sera ya
      ya mwaka 1995 ili kuingiza        Elimu na Mafunzo zimeandaliwa.
      masuala ya Mafunzo ya
      Ufundi.

(d)   Kukamilisha andiko la pili la     Andiko la pili la Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya
      Mpango wa Maendeleo ya            Msingi (MMEM II) 2007-2011 limekemilika. Aidha,
      Elimu ya Msingi (MMEM II) na      nakala 5000 za Vitabu vya Basic Education Statistics in
      kuchapa kitabu cha Takwimu        Tanzania (BEST) 2007 vimechapwa.
      za Elimu ya Msingi Tanzania
      2007       (Basic    Education
      Statistics in Tanzania 2007).

(e)   Kusimamia ukarabati wa shule      Jumla ya majengo katika shule 20 za sekondari, ofisi za
      za sekondari 20, Vyuo vya         makao makuu, ofisi tatu (3) za kanda za Mpango wa
      Ualimu 10, ofisi za makao         matengenezo zilikarabatiwa kama ilivyokusudiwa, pia
      makuu na Wakala wa                vyuo tisa (9) vya Ualimu kati ya 10 vilivyokusudiwa
      Maendeleo ya Uongozi wa           vilikarabatiwa.
      Elimu (ADEM) na ofisi za
      Kanda tatu (3) za Mpango wa
      Matengenezo         (Physical
      Planning and Maintenance
      Zones).

(f)   Kutoa Ithibati 80 kwa vitabu      Jumla ya vitabu 80 vilivyokusudiwa pamoja na vifaa
      vya kielimu na zana za            vingine vya kufundishia na kujifunzia vilitolewa ithibati.
      kufundishia shuleni na vyuoni.

(g)   Kuimarisha    hifadhi       na    Mtandao wa Kompyuta imeunganishwa katika Idara
      mpangilio kwa taarifa       za    zote za Makao Makuu.
      kompyuta (Database)         na
      kumbukumbu za Wizara.

(h)   Kuendesha      mafunzo      ya    Walimu 72 kutoka shule 36 za sekondari walipewa
      matengenezo na dhana        ya    mafunzo ya matengenezo na utunzaji majengo na
      utunzaji wa majengo         na    Mazingira.
      mazingira kwa Wakuu         wa
      Shule na Vyuo vya Ualimu




                                        268
            katika kanda 8 za elimu.

9.    (a)   Kuratibu utoaji wa habari katika   Utoaji wa taarifa za elimu kwa vyombo vya habari
            vyombo vya habari na kupiga        uliandaliwa na kuratibiwa ipasavyo, pia utunzaji wa
            picha za video na mnato katika     kumbukumbu za matukio ya elimu katika picha za video
            matukio mbalimbali ili kuweka      na mnato ulifanyika kama ilivyopangwa.
            kumbukumbu za Wizara.

      (b)   Kutayarisha matangazo 40 ya        Matangazo 40 ya redio na televisheni yalitayarishwa ili
            redio na televisheni ili           kuifahamisha jamii kuhusu mikakati, changamoto na
            kufahamisha na kuhamasisha         mafanikio; pamoja na kuhamasisha jamii kushiriki
            jamii kuhusu mikakati na           katika kutekeleza mipango ya elimu.
            mafanikio ya Wizara katika
            kutekeleza mipango ya elimu.

      (c)   Kuandaa       na   kusambaza       Jumla ya nakala 330,000 za jarida la “Ed-SDP
            nakala 330,000 za jarida la        Newsletter” zilichapwa na kusambazwa katika kanda
            EdSDP la kitaifa na katika         nane (8) za elimu ili kuwaelimisha wadau na
            kanda nane (8) za elimu nchini     kuwahamasisha kushiriki katika utekelezaji wa mipango
            kwa ajili ya kuhamasisha jamii     ya elimu.
            na wadau wa elimu kushiriki
            katika kutekeleza mpango wa
            elimu nchini.

      (d)   Kuandaa vipindi 50 vya redio na    Vipindi 50 vya redio na televisheni ili kuelezea Sera ya
            televisheni kwa kushirikiana na    Elimu ya mwaka 1995 na utekelezaji wa programu za
            vyombo vya habari vya redio na     MMES na MMEM viliandaliwa.
            televisheni kuelezea kuhusu
            kazi za Wizara, Sera na
            utekelezaji wa miradi ya elimu
            kama        MMEM,        MMES,
            MEMKWA na Elimu nje ya
            mfumo rasmi (Non-Formal).

      (e)   Kuandaa     vipeperushi na          Jumla ya nakala 50,000 za kalenda, vipeperushi
            kalenda 50,000 za MMEM na          20,000 mabango 10,000 na shajara 50,000 zenye
            MMES.                              taarifa na takwimu
                                               za utendaji wa programu za MMES na MMEM
                                               zilichapwa na kusambazwa.

10.   (a)   Kuajiri   watumishi     7,024      Jumla ya walimu 7,872 wa sekondari na vyuo vya
            wakiwemo walimu 6,755 na           ualimu pamoja na watumishi wengine wasio walimu
            watumishi wasio walimu 269.        170 waliajiriwa.




                                               269
      (b)   Kugharimia mafunzo ya muda          Viongozi na Watumishi wa Wizara 360 walihudhuria
            mrefu na mfupi ndani na nje ya      mafunzo ya muda mfupi ya huduma kwa mteja.
            nchi kwa watumishi 150.
      (c)   Kuthibitisha kazini watumishi       Jumla ya watumishi 127 walithibitishwa kazini.
            220 wasio walimu.
      (d)   Kupandisha             madaraja     Watumishi 545 walipandishwa madaraja.
            watumishi 1,347 wasio walimu.
      (e)   Kuendelea kushirikisha Sekta        Wizara imeshirikisha sekta binafsi katika utoaji huduma
            Binafsi katika kutoa huduma za      za ulinzi, usafi na mapokezi Makao Makuu.
            usafi, ulinzi na mapokezi.
      (f)   Kutekeleza Mpango wa Mwaka          Utekelezaji wa OPRAS kwa ajili ya walimu mashuleni
            wa Thathmini ya Utendaji Kazi       kwa majaribio ulianza Januari, 2007. Aidha, utaratibu
            wa Watumishi kwa utaratibu          huu utaanza kutumika rasmi Julai, 2007.
            mpya       unaolenga     kuweka
            malengo na matokeo katika
            utendaji         kazi      (Open
            Performance Review and
            Appraisal System (OPRAS) kwa
            watumishi wa Wizara.
      (g)    Kupitia muundo wa Utumishi         Uchambuzi wa Muundo unaendelea.
             wa Walimu kwa kushirikiana na
             Ofisi ya Rais Menejimenti ya
             Utumishi wa Umma.
11.   (a)    Kutoa mafunzo ya Stashahada        Wanachuo 97 wamepata mafunzo ya Stashahada ya
             ya Uongozi wa Elimu kwa            Uongozi na Uendeshaji wa Elimu Kati ya 100
             viongozi 150 wa idara              walioandikishwa na 148 kati ya 150 wanaendelea na
             mbalimbali        za       Elimu   mafunzo.
             yanayowahusu Walimu Wakuu
             wa shule za Msingi, Waratibu
             Elimu Kata, Maafisa wa Elimu
             ngazi ya Wilaya, Walimu wa
             Shule za awali, Msingi,
             Sekondari, Wafanyakazi katika
             Mashirika yasiyo ya Kiserikali
             (NGOs) na Mameneja na
             Wamiliki wa shule Zisizo za
             Serikali.
      (b)   Kuendesha         mafunzo      ya   Mafunzo ya awali ya uongozi wa elimu kwa wakuu wa
             Uongozi na Menejimenti ya          shule wapya 450 wa shule za sekondari katika vituo
             mwezi mmoja kwa wakuu wa           vya Kanda vya elimu yametolewa.
             shule wapya na wasaidizi wa
             shule za sekondari za serikali
             120 na zisizo za serikali 100
             kutoka kanda zote.




                                                270
(c)   Kutoa mafunzo ya Uongozi na      Mafunzo ya Uongozi na Uendeshaji wa Elimu kwa
      Uendeshaji wa elimu kwa          Waratibu wa Elimu Kata 746 kati ya 2,300 yamefanyika
      Waratibu wa Elimu kata, 2,300    kutoka katika Wilaya za Mpwapwa, Singida vijijini,
      kutoka Wilaya za Mpwapwa,        Singida Manispaa, Nachingwea, Mtwara vijijini, Mtwara
      Nachingwea, Mbinga, Urambo,      Mikindani, Mbinga, Urambo, Nzega, Kasulu, Shinyanga
      Kasulu, Sumbawanga (M),          Vijijini, Shinyanga Manispaa, Kishapu, Sumbawanga
      Sumbawanga (V), Njombe,          Vijijini, Sumbawanga Manispaa, Mbeya Vijijini, Mbeya
      Kilombero, Same, Monduli,        Jiji, Njombe, Iringa Vijijini, Iringa Manispaa, Kilolo,
      Karagwe, Singida (M), Singida    Kilombero, Rufiji, Same, Lushoto, Monduli, Arumeru,
      (V), Dodoma (V), Ilala,          Karagwe, Musoma Vijijini, Musoma Manispaa, Tarime
      Mkuranga, Kilosa, Mwanga,        na Geita.
      Lushoto, Arumeru, Babati,
      Geita, Tarime, Bukoba (M),
      Bukoba (V), Iringa (M), Iringa
      (V), Mbeya (J), Mbeya (V),
      Mtwara Mikindani, Songea,(M),
      Songea (V) na Lindi (M).

(d)   Kutoa mafunzo ya mwezi           Mafunzo ya Uongozi wa Elimu ngazi ya cheti kwa
      mmoja ya Cheti cha Uongozi       Walimu Wakuu wa Shule za Msingi 127 kati ya 1,000
      na Uendeshaji Elimu kwa          waliokusudiwa yalitolewa.
      Walimu Wakuu wa Shule za
      Msingi 1,000 katika kanda zote
      za kielimu kupitia Vyuo vya
      Ualimu.

(e)   Kuendesha       mafunzo    ya    Mafunzo ya OPRAS kwa viongozi wa kielimu 700
      OPRAS kwa Maafisa Elimu          ambao ni Maafisa Elimu Mkoa na Wilaya, Wakuu wa
      Mkoa na Wilaya, Wakuu wa         Shule za Sekondari, Wakaguzi wa Shule (W) na
      Shule za Sekondari, Wakaguzi     Makatibu wa Idara ya Utumishi wa Walimu yametolewa.
      wa Shule (W), na Makatibu wa
      Idara ya Utumishi wa Walimu.
      Mafunzo hayo yataendeshwa
      katika kanda ya Nyanda za
      Juu, Magharibi, Ziwa na Kanda
      ya Kaskazini.

(f)   Kutoa mafunzo ya mwezi           Mafunzo ya uongozi kwa Maafisa Elimu vifaa na
      mmoja ya Uongozi na              Takwimu na Maafisa Elimu Taaluma 116 katika ngazi
      Uendeshaji wa Elimu kwa          ya Wilaya kutoka Mikoa ya Tabora, Pwani, Morogoro,
      maafisa Elimu wa Wilaya          Mara, na Manyara yametolewa.
      Taaluma, Vifaa na Takwimu 40
      kwa mikoa ya Tabora na
      Pwani.




                                       271
      (g)   Kutoa mafunzo ya wiki mbili ya     Mafunzo elekezi ya wiki mbili kwa uongozi wa elimu
            Uongozi wa Elimu kwa               kwa wajumbe wa bodi za Shule za Sekondari 2,500,
            wajumbe wa Bodi za Shule za        kutoka katika kanda nne (4) yalifanyika.
            Sekondari kutoka kanda zote
            za Elimu.
      (h)   Kutoa mafunzo ya wiki mbili ya     Mafunzo kwa Timu za Menejimenti za shule za
            Uendeshaji kwa Timu za             sekondari yameendeshwa katika mikoa ya: Pwani,
            Menejimenti za Shule za            Singida, Rukwa, Lindi na Kigoma. Washirki 1,351
            Sekondari 1,400 kutoka kanda       wamehudhuria mafunzo hayo.
             zote za kielimu.
      (i)   Kuendesha tafiti za kielimu kwa    Tafiti nne (4) za uongozi na uboreshaji wa taasisi za
            kushirikiana na nchi za Malawi,    elimu zinaendelea kwa ushirikiano na Malawi, Uganda
            Zambia, Msumbiji na Afrika ya      na Afrika ya Kusini.
            Kusini. Tafiti hizo zinahusu
            uboreshaji      wa      Uongozi,
            Kutathmini        mahitaji    ya
            Mafunzo, Tabia za Viongozi na
            Mifano Bora ya Uongozi katika
            Shule za Msingi.
12.   (a)   Kuendesha        mafunzo      ya   Jumla ya walengwa 182 (Me 119 na Ke 63) walipewa
            stashahada        ya juu kwa       mafunzo ya Stashahada ya juu kwa mwaka wa kwanza
            walengwa 124 na stashahada         na wa pili, na pia walengwa 261 (Me 151 na Ke 110)
            ya kawaida ya Elimu ya Watu        walipewa mafunzo ya kawaida mwaka wa kwanza na
            Wazima kwa walengwa 260.           wa pili.
      (b)   Kutoa elimu ya Sekondari kwa       Walengwa 16,801 (Me 7,596 na Ke 9,205) wa masomo
            walioikosa kwa njia ya masafa      ya ana kwa ana na Elimu masafa wameandikishwa na
            au posta kwa walengwa              wanaendelea na masomo.
            30,000 katika mikoa yote
            Tanzania bara.
      (c)   Kuchapa moduli za masomo ya        Nakala 500 za “Studies in Adult Education”(SAED) Na
            Uraia, Kiingereza, Kiswahili,      63 na 500 za “Journal of Adult Education” Na 15
            Historia, Jiografia, Hisabati na   zilichapwa na kusambazwa.
            Baiolojia za elimu kwa masafa,
            hatua ya pili Kuandaa na
            kuchapisha       majarida     ya
            “Studies in Adult Education
            (SAED) Na. 63 “Journal of
            Adult Education Tanzania
            (JAET) Na. 15, na “Alumni
            News letter” kwa ajili ya
            kufahamisha jamii kazi za
            Taasisi ya Elimu ya Watu
            Wazima.
      (d)   Kuongeza idadi ya wanafunzi        Wanachuo 190 (Me 137 na Ke 53) wanaendelea
            wa Cheti cha Sheria kutoka         kusoma Mafunzo ya cheti cha sheria.




                                               272
            168 hadi kufikia 200.
      (e)   Kuendelea kutoa mafunzo ya          Jumla ya wafanyakazi 112 wamepata mafunzo
            kuendeleza wafanyakazi wa           mbalimbali kama ifuatavyo: Shahada ya uzamili
            Wizara katika mafunzo ya            wafanyakazi 3, Stashahada ya juu wafanyakazi 3,
            Shahada ya Udaktari wa              Stashahada ya kompyuta na uongozi 2, Masomo ya
            Falsafa 1, Shahada ya Uzamili       sekondari 21 na Mafunzo ya muda mfupi wafanyakazi
            4, Elimu ya sekondari kwa           85.
            watumishi 40 ambao hawana
            elimu hiyo na mafunzo ya
            muda mfupi kwa watumishi 60.
      (f)   Kufanya ukarabati wa chumba         Viwanja vya ujenzi wa ofisi katika mikoa ya Dodoma na
            cha Studio Makao Makuu na           Manyara vimenunuliwa.
            kuanza kujenga kituo cha
            masomo eneo la Kisota Dar es
            Salaam na kununua nyumba
            mbili kwa ajili ya ofisi za mikoa
            ya Mwanza na Shinyanga
            ambapo hakuna majengo ya
            Taasisi.
      (g)   Kuimarisha shughuli za TEWW         Mtandao wa internet umefungwa makao makuu ya
            kwa kuweka mtandao wa               TEWW na watumishi 35 wameajiriwa.
            “internet” katika vituo 21 vya
            Elimu ya Watu Wazima mikoa
            yote, kuajiri watumishi 72 wa
            kada mbalimbali na kuomba
            kibali cha ajira mpya 14 na
            mbadala 8 kwa wafanyakazi
            wa kada za utaalamu.
      (h)   Kuimarisha uendeshaji na            Magari 5 yamenunuliwa kwa Mikoa ya Arusha,
            usimamizi wa Elimu Masafa           Dodoma, Ruvuma, Dar-es-salaam na Makao Makuu.
            kwa kununua magari 5 kwa ajili
            ya Kanda ya Ziwa, Mashariki,
            Magharibi, Kaskazini Magharibi
            na Kusini.
13.   (a)   Kuendesha mikutano ya paneli        Mikutano ya Panel za masomo kumi (10) imefanyika
            za masomo 10 kwa Shule za           katika elimu ya Msingi, Sekondari na Ualimu.
            Msingi na za Sekondari.

      (b)   Kufaragua (Improvise) zana za       Zana za kufundishia na kujifunzia Elimu ya Awali
            kufundishia na kujifunzia kwa       zimeandaliwa.
            ajili ya Shule za Elimu ya Awali.
      (c)   Kuandaa Mitaala na Mihtasari        Mtaala na Mihtasari 27 ya ualimu ngazi ya Cheti na
            ya Ualimu ngazi ya Cheti na         Stashahada imeandaliwa. Aidha, Mwongozo wa Mtaala
            Stashahada ili iendane na           wa Ualimu ngazi ya cheti umeandaliwa.
            Mitaala iliyorekebishwa.




                                                273
(d)   Kuandaa        Miongozo         ya   Miongozo ya uandishi wa moduli 24 za kufundishia
      kufundishia      masomo         ya   masomo ya Sekondari kidato cha I hadi IV kulingana
      sekondari ya kidato cha I-IV         na mtaala mpya imeandaliwa.
      kulingana na mtaala mpya.
(e)   Kufuatilia utekelezaji wa Mitaala    Ufuatiliaji umefanyika juu ya utekelezaji wa Mtaala wa
      ya Elimu ya Msingi na                Elimu ya Msingi katika kanda zote za elimu ili kupata
      Sekondari.                           taarifa kwa ajili ya uboreshaji.
(f)    Kuandaa vipindi sita (6) vya        Maandalizi ya kazi hii bado yanaendelea mafunzo ya
       radio na televisheni vya            namna ya kutumia vifaa vya kurekodia yamefanyika.
       kufundisha masomo ya Elimu
       ya Msingi vya Hisabati na
       Kiingereza darasa la III na IV
(g)    Kuchapisha na kusambaza             Mwongozo wa Taifa wa Ukuzaji Mitaala unaendelea
       kwa      wadau     wa      elimu    kuboreshwa ili uweze kuchapwa na kusambazwa kwa
       Mwongozo wa Taifa wa                wadau wa elimu.
       Ukuzaji Mitaala.
(h)    Kurekebisha vitabu 12 vya           Vitabu 24 vya MEMKWA vya mwaka wa tatu kwa kundi
       MEMKWA vya mwaka wa tatu.           rika la kwanza na la pili vimerekebishwa.
(i)    Kutoa        mafunzo         kwa    Mafunzo kwa wawezeshaji 30 yamefanyika kwa ajili ya
       wawezeshaji kwa ajili ya            upanuzi wa shughuli za MEMKWA katika Wilaya ya
       upanuzi wa shughuli za              Makete.
       MEMKWA katika Wilaya ya
       Makete.
(j)    Kutoa mafunzo kwa wakuza            Mafunzo kwa wakuza mitaala 25 na wafanyakazi
       mitaala 15 na wafanyakazi           wawezeshaji 10 wa TET yametolewa kikamilifu.
       waendeshaji 10 wa Taasisi ya
       Elimu Tanzania katika maeneo
       yao ya kitaalamu.
(k)    Kuendesha Semina tatu (3) za        Jumla ya semina tatu (3) za kitaalamu ziliendeshwa
       mafunzo ya kitaalamu kwa            kwa wafanyakazi 85 wa TET kuhusu utumiaji wa
       wafanyakazi wa TET kuhusu           TEHAMA.
       utumiaji wa Teknolojia ya
       Habari      na      Mawasiliano
       (TEHAMA).
(l)    Kuendesha mafunzo yahusuyo          Mafunzo yanayohusu mitaala iliyoboreshwa kwa
       Mitaala iliyorekebishwa kwa         walimu wa shule za msingi pamoja na wakaguzi wa
       walimu wa shule za msingi na        shule yamefanyika.
       sekondari, wakufunzi wa vyuo
       Vya Ualimu na Wakaguzi wa
       Shule
(m)    Kuandika mihtasari ya Historia,     Mihtasari ya Masomo ya Uraia na jiografia pamoja na
       Uraia na Jiografia kwa ajili ya     vitabu vya masomo hayo kwa darasa la III kwa shule za
       shule za msingi na Fizikia na       msingi na mihtasari ya fizikia na Kemia kwa shule za
       Kemia kwa ajili ya shule za         sekondari imerekebishwa.
       sekondari.




                                           274
      (n)   Kudurusu       mihtasari    ya   Andiko la kufanya utafiti ili kupata maoni ya wadau
            masomo ya sekondari ya           kuhusu mihtasari ya masomo ya sekondari kidato cha 5
            kidato cha 5 hadi 6.             na 6 limeandaliwa.
      (o)   Kuaandaa mwongozo wa             Mwongozo wa kuboresha masomo ya michepuo
            kurekebisha     masomo      ya   umeandikwa.
            michepuo ili kuainisha masomo
            ya ufundi Kilimo, Biashara,
            Sayansi Kimu na Mafunzo ya
            Ufundi Stadi yanayotolewa na
            VETA.
14.   (a)   Kuimarisha na kuboresha        Machapisho 7,226 yaliongezeka kati ya hayo: Vitabu
            huduma katika mikoa 18 yenye   vilivyonunuliwa ni 4,300; vilivyopatikana kwa mujibu wa
            maktaba       kwa     kuongeza Sheria 164; vilivyopatikana kwa misaada ni 2,762; jumla
            machapisho 40,000.             ya magazeti na majarida ni 6,618. Kati ya hayo,
                                           magazeti ni 5,864 na majarida 754 ; Idadi ya Vitabu
                                           vyote ni 810,060 na Idadi ya magazeti na Majarida yote
                                           ni 496,570.
      (b)   Kutoa makala 2 za orodha ya Toleo la mwaka 1999 hadi 2001 limekamilika na toleo la
            vitabu na machapisho mengine 2002 linaendelea kutayarishwa.
            yanayochapishwa         nchini
            (Tanzania            National
            Bibliography-TNB).
      (c)   Kuendeleza ujenzi wa awamu Hatua ya kwanza na ya pili ya ujenzi wa sehemu ya
            ya tatu ya Maktaba ya Mkoa chini na gorofa ya kwanza ya maktaba ya Dodoma
            wa Dodoma kwa kujenga imekamilika na huduma imeanza kutolewa. Hatua ya
            Ukumbi wa mikutano na tatu inakamilishwa kwa ununuzi wa samani za shilingi
            ununuzi wa samani.             milioni 18 na kuandaa michoro kwa ajili ya ujenzi wa
                                           ukumbi wa mikutano.
      (d)   Kuendeleza ujenzi wa Chuo Awamu ya kwanza ya ujenzi wa madarasa na ofisi za
            cha Ukutubi na Uhifadhi utawala umefikia asilimia 97.
            Nyaraka     Bagamoyo      kwa
            kujenga mabweni, jiko na
            ununuzi wa samani na vifaa.

      (e)   Kukarabati    majengo    ya      Maktaba ya wilaya ya Njombe, Kagera na Singida
            maktaba za mikoa ya Ruvuma,      zimefanyiwa ukarabati.
            Mtwara na Kagera.
      (f)   Kuboresha Maktaba za Shule       Elimu ilitolewa kuhusu matumizi ya Maktaba kwa shule
            za sekondari 21 na Vyuo vya      za sekondari na Msingi 3,105 na Taasisi 90
            Ualimu 10 nchini kwa kutoa       zilitembelewa. Aidha, kitengo cha "Multimedia"
            mafunzo ya ukutubi kwa           kiliendesha vipindi vya hadithi, kazi za mikono, usanii,
            watumishi     husika     na      uandishi, uchoraji, utumiaji wa kompyuta na maandalizi
            kuimarisha huduma za watoto      ya vipindi vya maonesho katika televisheni.
            nchini.




                                              275
      (g)    Kuanzisha Maktaba mpya Uongozi wa Mkoa wa Singida umekabidhi kwa Bodi hati
             katika mikoa ya Singida, Pwani miliki ya kiwanja Na. 174 kilichoko Singida mjini. Aidha,
             na Manyara.                    vyumba vitatu (3) vilivyotengwa kwa ajili ya kuanza
                                            huduma za maktaba ya muda ya Mkoa vimekarabatiwa
                                            na mkutubi ameteuliwa. Mkoa wa Pwani Kiwanja
                                            kimepatikana. Bodi inafuatilia hati miliki. Katika Mkoa wa
                                            Manyara uongozi unafanya mawasiliano na
                                            wahusika/watawala wa mkoa huo kuhusu uanzishaji wa
                                            maktaba.

      (h)    Kununua magari matatu (3)         Chuo cha ukutubi Bagamoyo kimepata gari. Aidha,
             kwa ajili ya Bodi, Chuo cha       Bodi inaendelea kufanya juhudi ya kutafuta fedha ili
             Ukutubi na Wasioona.              kupata gari la kusambaza vitabu mashuleni na vyuoni
                                               (Mobile Library Service).
      (i)    Kupanua na kuongeza uwezo         Watumishi wa Bodi 19 waliokuwa mafunzoni
             na ujuzi wa wafanyakazi wa        wanaendelea na masomo.
             maktaba za umma kwa kutoa
             mafunzo katika ngazi za cheti,
             stashahada, shahada, shahada
             ya uzamili na mafunzo ya
             Muda mfupi.
15.   (a)    Kufanya utafiti tathmini, usanifu  Karatasi 27 za Maswali ya Mtihani wa Kumaliza
             na kuinua ubora wa Mitihani         Elimu ya Msingi 2006 kwa masomo ya Kiswahili,
             mbalimbali ya Kitaifa.              Kiingereza, Maarifa ya Jamii, Hisabati na Sayansi
                                                 zilirekebishwa na kuhakikiwa.

                                               Mafunzo ya ndani (In-House Training) kwa waajiriwa
                                                 wapya 15 juu ya utunzi na urekebishaji bora wa
                                                 Maswali ya Mtihani Kitaifa yaliendeshwa.
      (b)    Kuendesha       mitihani    ya   Mitihani katika ngazi mbalimbali iliendeshwa ikiwemo
             Kumaliza Elimu ya Msingi,        Mitihani ya kumaliza Elimu ya Msingi Septemba, 2006,
             Maarifa, Kidato cha nne (4) na   Kidato cha nne (4), Ualimu daraja III A na mtihani wa
             sita (6), Ualimu Daraja A na     maarifa Oktoba, 2006, kidato cha sita          (6) na
             Stashahada ya Ualimu.            Stashahada ya Ualimu Februari, 2007, Ufundi Mei,
                                              2007.
      (c.)   Kuendesha mitihani ya Cheti      Watahiniwa 663 walifanya mitihani ya Ufundi, kati yao
             cha      Ufundi    Sanifu na     313 walifaulu sawa na asilimia 47.2.
             Stashahada ya Juu ya
             Uhandisi kwa niaba ya Baraza
             la Taifa la Elimu ya Ufundi
             (NACTE).
      (d)    Kusimamia mitihani ya nje Usimamiaji wa mitihani itolewayo na Bodi za nje ya nchi
             inayofanywa na watahiniwa uliendelea. Baraza lilisimamia mitihani ya nje kwa niaba
             binafsi hapa nchini.         ya Taasisi za Uingereza.




                                               276
      (e)   Kukamilisha ujenzi wa Kituo         Ujenzi wa kituo cha usahihishaji Mitihani cha Mbezi
            cha Kusahihishia Mitihani cha       Wani unaendelea.
            Mbezi Wani.
      (f)   Kutoa mafunzo yenye lengo la        Mafunzo yametolewa kwa wafanyakazi wote kwa lengo
            kupunguza maambukizi ya             la kupunguza maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
            virusi vya UKIMWI, kifua kikuu,
            malaria, ukoma na kisukari.
16.   (a)   Kukamilisha ukarabati kwa           Mkataba wa ununuzi wa vifaa kwa ajili ya vyuo vya
            kufunga vifaa katika vyuo vya       ufundi stadi vya Mara, Kagera, Songea, Mikumi, Arusha
            ufundi stadi vya Mara, Kagera,      na Dakawa umesainiwa.
            Dakawa, Mikumi, Songea,
            Oljoro na Kigoma.
      (b)   Kuendelea na ukarabati na           Makandarasi kwa ajili ya ukarabati na upanuzi wa vyuo
            upanuzi wa vyuo vya ufundi          vya Ufundi Stadi vya Shinyanga, Mpanda, Tabora,
            stadi vya Shinyanga, Mpanda,        Ulyankulu, Singida na ujenzi wa Chuo kipya cha Hoteli
            Tabora Ulyankulu na Dakawa.         Arusha kwa kushirikiana na ADB wamepatikana na
                                                ujenzi umeanza.
      (c)   Kuanza ujenzi wa vyuo vipya         Mchakato wa kuwapata makandarasi kwa ajili ya ujenzi
            vya Arusha, Singida, Pwani,         wa vyuo vipya vya ufundi stadi vya Lindi, Manyara,
            Manyara, Lindi na kituo cha         Pwani na Dar es Salaam kwa kushirikiana na Serikali ya
            Habari      Teknolojia      na      Korea ya Kusini umeanza.
            mawasiliano (ICT) Dar es
            Salaam.
      (d)   Kuhamasisha na kuvisaidia           Vyuo vya Asasi zisizo za Serikali vimesaidiwa kikanda
            vyuo vya Ufundi Stadi vya           kama ifuatavyo :
            Asasi Zisizo za Serikali, watu      Dsm -             (42,249,000/=) ;
            binafsi na taasisi za kidini ili    Ziwa -            (41,990,000/=) ;
            viweze kukuza na kuboresha          Magharibi -          (1,828,000/=) ;
            mafunzo yanayotolewa.               Kusini Mashariki –(40,280,000/=) ;
                                                Mashariki -        (62,113,000/=) ;
                                                Nyanda za Juu - (41,021,000/=) ;
                                                Kaskazini -        (90,788,000/=) ;
                                                Kusini Magharibi - (10,665,000/=) ;
                                                Kati -              (59,928,000/=)
                                                      Jumla kuu 400,862,000/=.
      (e)   Kuandaa         mkakati   wa        Mkakati wa utekelezaji wa mpango wa uanzishaji wa
            utekelezaji wa Mpango wa            vyuo vya Ufundi Stadi kila Wilaya umeandaliwa. Aidha,
            Uanzishaji wa Vyuo vya Ufundi       kamati maalumu yenye kushirikisha wajumbe 11
            Stadi kila Wilaya.                  kutoka wizara na taasisi mbalimbali imeundwa na
                                                Imeshakutana mara mbili kujali namna ya kufanya kazi
                                                hiyo.
      (f)   Kuboresha      viwango        vya   Mitaala ya mafunzo imeboreshwa ki-sekta. Mtaala wa
            mafunzo yanayotolewa kwa            sekta ya Hoteli na Utalii umekamilika na sasa
            kutoa mitaala inayolingana na       unafanyiwa majaribio (piloting).
            mahitaji ya soko la ajira, chini




                                                 277
      ya utaratibu wa mafunzo ya
      CBET kulingana na mahitaji ya
      mfumo wa mafunzo hayo.

(g)   Kujiunga na kazi ya ualimu wa    Mafunzo ya taaluma (technical skills upgrading) kwa
      ufundi.                          walimu wa Ufundi Stadi 140 yametolewa.

(h)   Kukuza na kuboresha mafunzo      Mafunzo kwa ajili ya sekta isiyo rasmi yamekuzwa
      yanayotolewa kwa sekta isiyo     kupitia kozi fupi fupi kwa wanafunzi 18,788 ambapo
      rasmi ikiwa ni pamoja na sekta   asilimia 27 ni wasichana.
      ya kilimo ili kutoa fursa kwa
      walengwa kujipatia stadi na
      kukuza ajira na kuboresha
      Kilimo.

(i)   Kupanua       utekelezaji  wa    Kitabu cha maelekezo (INTEP) kimefanyiwa
      utaratibu mpya “Integrated       marekebisho kwa lengo la kupanua na kuboresha
      Training for Entrepreneural      utekelezaji.
      Promotion” (INTEP) unaolenga
      sekta isiyo rasmi kwa kubaini
      fursa za kiuchumi zilizopo
      katika jamii na kutoa mafunzo
      kulingana na fursa hizo.




                                       278
                    WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

NA.                  AHADI                                         UTEKELEZAJI
1.    Kutoa mafunzo ya rejea kuhusu            Jumla ya watumishi 301 wa Maendeleo ya Jamii kutoka
      uandishi wa miradi (Project write ups)   kwenye Halmashauri za Wilaya za Mikoa ya Tanga,
      kwa watumishi wa Maendeleo ya            Lindi, Mtwara, Mbeya, Rukwa, Ruvuma, Iringa,
      Jamii kutoka kwenye Halmashauri          Dodoma, Morogoro, Singida, Manyara, Kilimanjaro,
                                               Arusha na Pwani wamepatiwa mafunzo hayo.
2.    Kununua       pikipiki   15    ambazo    Jumla ya pikipiki 10 zimenunuliwa na kugawiwa katika
      zitagawiwa katika Halmashauri 15 kwa     Halmashauri 10 zifuatazo: Handeni, Rombo, Uyui,
      ajili ya matumizi ya Maafisa Maendeleo   Muheza, Iringa, Songea, Morogoro, Singida (V),
      ya Jamii.                                Shinyanga na Ikwiriri.
3.    Kuandaa mitaala ya Maendeleo ya          Mitaala ya Stashahada imeandaliwa na imekamilika.
      Jamii katika ngazi ya Stashahada         Aidha, mitaala ya Astashahada imedurusiwa.
      katika Vyuo vya Rungemba, Misungwi
      na Buhare kwa mwaka 2007/08.
4.    Kuboresha mazingira ya Chuo cha          Ujenzi wa jengo la Mihadhara umeanza na unaendelea.
      Tengeru kwa kukamilisha ujenzi wa        Michoro ya awali ya Usanifu wa jengo la Maktaba
      jengo la maktaba, Mihadhara na           imekamilika.      Matengenezo ya Ofisi na ujenzi
      matengenezo ya Ofisi.                    haukufanyika kutokana na ufinyu wa bajeti.
5.    Kuweka vifaa vya kisasa vya              Vifaa zikiwemo kompyuta na „satellite dish‟
      mawasiliano, kukuza matumizi ya          vimenunuliwa na kufungwa Chuoni Tengeru. Tovuti ya
      Teknolojia katika Chuo cha Tengeru.      Chuo tayari imezinduliwa na inafanya kazi.
6.    Kutoa mafunzo ya kompyuta kwa            Mtumishi mmoja tu amepata mafunzo hayo kutokana
      watumishi 20 wa Chuo cha Tengeru.        na ufinyu wa bajeti.
7.    Kutoa mafunzo kwa wanachuo 810           Jumla ya wananchuo 1,235 wamepatiwa mafunzo.
      wanawake kwa wanaume katika Chuo         Aidha, mafunzo yanaendelea kutolewa katika Vyuo
      cha Tengeru katika ngazi ya              vyote vinne (4) vya Maendeleo ya Jamii.
      Stashahada ya Juu na wanachuo 600
      katika ngazi ya cheti kwa Vyuo vya
      Maendeleo ya Jamii, Missungwi,
      Buhare na Rungemba.
8.    Kufanya ukarabati mkubwa katika          Kiasi cha shilingi 180,000,000 zimepelekwa Buhare na
      Chuo cha Buhare ambapo Chuo cha          kazi ya ukarabati wa nyumba za walimu, ujenzi wa
      Rungemba kitafanyiwa ukarabati           maktaba mpya na ukumbi wa chakula inaendelea.
      mdogo.                                   Aidha, kiasi cha Shilingi 54, 000,000 zimepelekwa
                                               Rungemba na kazi inaendelea. Ukarabati wa nyumba
                                               4 za walimu ulitekelezwa na utamalizika mwanzoni
                                               mwa Julai, 2007. Aidha Chuo cha Buhangija pia
                                               kilipata jumla ya shilingi 35,668,500 kwa ajili ya
                                               ukarabati wa majengo yake.
9.    Kutoa mafunzo ya stadi za kazi mbali     Jumla ya wananchi 27,907 wakiwemo wanawake
      mbali katika vyuo 58 vya Maendeleo       13,054 na wanaume 14,853, wamepatiwa mafunzo ya
      ya Wananchi kwa makundi ya               stadi mbali mbali za kazi.
      wanawake,      vijana, wazee     na




                                               279
      walemavu.
10.   Kuimarisha majengo na miundombinu          Fedha zilizopatikana Shilingi 118,571,000 zimetumwa
      katika vyuo vinne (4) vya Chala,           kwenye Vyuo vya Chilala, Munguri na Malampaka.
      Chilala, Kiwanda na Malya.
11.   Kuweka      mitambo     ya umeme           Chuo cha Chisalu kimepatiwa Shilingi 35,000,000/=
      unaotokana na nguvu za jua (Solar          kwa ajili ya kazi ya kuweka mitambo ya umeme
      Power) katika Chuo cha Chilala,            utokanao na nguvu za jua. Aidha Chuo cha Ulembwe
      Muhukuru na Ulembwe na kuwezesha           kimepewa shilingi milioni 35 na Mhukuru kimepewa
      upimaji wa maeneo kwenye vyuo              shilingi milioni 29 kwa kazi hiyo hiyo. Chuo cha Chilala
      thelathini.                                kimefanyiwa ukarabati wa majengo kwanza, upimaji wa
                                                 maeneo ya Vyuo unaendelea kama ifuatavyo:
                                                 Handeni - (600,000/-);
                                                 Masasi       - (1,104,000/-);
                                                 Mamtukuna - (2,100,000/-);
                                                 Nzega - (600,000/-);
                                                 Ifakara - (1,448,000/-);
                                                 Bariadi - (391,800/-);
                                                 Muhukuru - (1,500,000/-);
                                                 Rubondo - (1,100,000/-);
                                                 Mlale - ( 3,883,000/-);
                                                 Ulembwe - (2,064,000/-);
                                                 Malampaka - (945,000/-);
                                                 Ilula - (1,448,000/-);
                                                 Nandembo - (2,500,000/-);
                                                 Kibondo - (818,000/-).
12.   Kununua pikipiki 10 kwa ajili ya Vyuo      Pikipiki 8 zimenunuliwa na zitapelekwa katika Vyuo vya
      vya Chala, Chilala, Chisalu, Kiwanda,      Chilala, Chisalu, Msaginya, Sofi, Muhukuru, Mlale,
      Nzega, Malampaka, Mlale, Msaginya,         Kiwanda na Chala.
      Msingi, Muhukuru na Sofi.
13.   Kudurusu Mkakati wa Kuwakinga              Kazi ya kudurusu Mkakati wa Kuwakinga Wanawake na
      Wanawake na Watoto Dhidi ya                Watoto Dhidi ya UKIMWI imekamilika na utasambazwa
      UKIMWI na Magonjwa ya Zinaa na             kwa wadau.
      kuusambaza Mkakati huo kwenye
      Halmashauri.
14.   Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka          Maafisa Maendeleo ya Jamii 301 kutoka mikoa ya
      Mikoa ya Iringa, Mbeya, Ruvuma,            Iringa, Lindi, Mtwara, Mbeya, Rukwa, Ruvuma,
      Singida na Tabora watapatiwa               Dodoma, Morogoro, Kilimanjaro, Arusha na Pwani
      mafunzo      ya     Mbinu     Shirikishi   walipatiwa mafunzo ya mbinu shirikishi jamii (Mapping)
      yatakayowezesha kuandaa mipango            ya kupambana na UKIMWI.
      ya kukabiliana na janga la UKIMWI.
15.   Kuhamasisha wanawake waanzishe             Mafunzo ya Uhamasishaji na Uanzishaji wa Vyama vya
      vyama vya wanawake vya ushirika vya        Ushirika vya Kuweka na Kukopa yaliendeshwa kwa
      kuweka na kukopa (SACCOS).                 wanawake na Maafisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya
                                                 Wilaya na Kata. Jumla ya washiriki 30 na wanawake




                                                 280
                                             wajasiriamali 40 walihudhuria mafunzo hayo.
16.   Kukamilisha mchakato wa kuanzisha      Benki imesajiliwa na kupatiwa jina la „Benki ya
      Benki ya Wanawake.                     Wanawake Tanzania Ltd‟, Kanuni za Makampuni
                                             imeandaliwa na kutiwa saini. Aidha, Benki imefungua
                                             akaunti ya ASCROW Na.011103028717 katika Benki
                                             ya Biashara ya Taifa (NBC) Ltd, tawi la Corporate,
                                             Mkakati wa upatikanaji wa hisa umeandaliwa.
17.   Kutoa mafunzo kwa Maafisa wa           Mafunzo haya yalifanyika kwa Maafisia wa Serikali
      Serikali wanaosimamia utekelezaji wa   wapatao 100 kutoka mikoa ya Tabora, Singida,
      sheria na upatikanaji wa haki katika   Dodoma, Kilimanjaro, Kigoma, Pwani, Dar es Salaam
      jamii.                                 na Morogoro.
18.   Kuelimisha Maafisa Maendeleo ya        Mafunzo haya yamefanyika mwezi Juni, 2007.
      Jamii ngazi ya Kata kuhusu utunzaji
      wa taarifa na takwimu za wanawake na
      wanaume waliodhurika na vitendo vya
      ukatili.
19.   Kuelimisha jamii kuhusu Sheria za      Mafunzo haya kwa jamii yalifanyika kwa Maafisa wa
      Makosa ya Kujamiiana (1998), Sheria    Serikali wapatao 100 kutoka mikoa ya Tabora, Singida,
      ya Ardhi na Sheria ya Ardhi Vijijini   Dodoma, Kilimanjaro, Kigoma, Pwani, Dar es Salaam
      (1999).                                na Morogoro.
20.   Kutoa mafunzo ya ujasiriamali na       Wanawake wajasiriamali wapatao 200 walipatiwa
      ushauri nasaha kwa wanawake 200        mafunzo ya ujasiriamali na ushauri nasaha katika
      waliobainishwa na mitandao yao         kipindi cha Januari-Machi, 2007. Wanawake hawa
      ambao watatoa mafunzo kwa wengine.     walitoka Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA),
                                             Wanawake waishio na virusi vya UKIMWI na
                                             Walemavu wengine. Mafunzo haya yalifanyika Dar es
                                             Salaam.
21.   Kuandaa mpango utakaohakikisha         Mkakati wa Taifa wa kuwasaidia watoto yatima na
      watoto wanaondolewa mitaani na         waishio katika mazingira magumu zaidi wakiwemo
      wanapatiwa elimu kama haki yao ya      watoto wa mitaani umeandaliwa na kuwasilishwa katika
      msingi na kuwaunganisha na familia     sekretariati ya Baraza la Mawaziri. Vilevile kumefanyika
      zao.                                   utafiti kuhusu jukumu la familia na jamii katika
                                             kupunguza ongezeko la watoto wa mitaani na
                                             wanaoishi katika mazingira magumu zaidi katika mikoa
                                             ya Iringa, Dodoma na Mwanza. Haya yote yatasaidia
                                             kuwahusisha wadau mbalimbali kuweza kuwasaidia
                                             watoto hao waweze kuunganishwa na familia zao.
22.   Kuandaa Mkakati wa Taifa wa Elimu      Wizara kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa
      ya Malezi ya Watoto Wachanga chini     masuala ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya
      ya Umri wa Miaka Minane (8).           Mtoto imeandaaa mafunzo ya kuratibu utekelezaji wa
                                             shughuli zinazofanywa na taasisi za Serikali na zisizo
                                             za kiserikali ili kuboresha taasisi za Serikali na zisizo za
                                             kiserikali katika utoaji wa malezi ya awali ya watoto.
                                             Aidha, hivi sasa mchakato wa kuandaa Mkakati wa
                                             Taifa wa Elimu ya Malezi ya Watoto Wachanga chini ya




                                             281
                                                 umri wa miaka minne 8 unaandaliwa na wataalamu
                                                 washauri.
23.   Kuelimisha familia na jamii kuhusu         Kitini cha Jamii cha Elimu ya Idadi ya Watu na Maisha
      malezi, makuzi na maendeleo ya awali       ya Familia kimeshaandaliwa. Kitini hicho kitaanza
      ya mtoto ili kuongeza uelewa kuhusu        kutumika kufundishia Jamii/Familia katika mwaka wa
      elimu ya Idadi ya watu na familia kwa      fedha 2007/2008.
      kupitia Maafisa Maendeleo ya Jamii
      katika Halmashauri na vyombo vya
      Habari.
24.   Kuandaa zana za habari, elimu na           Zana zitaandaliwa baada ya kuchapishwa kwa Kitini
      ushawishi kwa lengo la kutoa mafunzo       katika mwaka wa fedha 2007/2008.
      kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii 260
      katika ngazi za Kata.
25.   Kuelimisha jamii na familia kuhusu haki    Mafunzo ya haki za mtoto kulingana na mikataba ya
      za msingi za watoto kulingana na           kimataifa ya haki na ustawi wa mtoto yalitolewa kwa
      mikataba ya kimataifa ya haki na           Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka ngazi ya Wilaya,
      ustawi wa mtoto.                           pamoja na Wakuu wa Vyuo vya Maendeleo ya
                                                 Wananchi katika mikoa yote isipokuwa mikoa ya Lindi,
                                                 Mtwara, Kigoma, Tabora na Shinyanga.
26.   Kwa kushirikiana na Shirika la Umoja       Wizara kwa kushirikiana na UNICEF imewezesha
      wa Mataifa la Kuhudumia Watoto             Mtandao wa Harakati za Watoto (TMC) kuendeleza
      (UNICEF)         Wizara     itaendelea     shughuli zake na kuwa na vikao               vya wadau
      kuwezesha mtandao wa harakati za           vinavyotakiwa mara kwa mara. TMC inapata misaada
      Watoto. (Tanzania Movement for and         kutoka UNICEF ambapo Wizara inasaidia kutoa
      with Children).                            utalaam.
27.   Kushirikisha watoto katika kutoa           Rasimu ya „Kitabu cha Mbiu – Shawishi na Mbinu
      mawazo yao na kusikika katika              Shirikishi’ kwa watoto kimeandaliwa katika mwaka huu
      masuala yanayohusu maslahi na              wa fedha. Kitabu hicho kitasaidia kuwapatia watoto
      ustawi wao na kuanzisha Mabaraza ya        ujuzi na uelewa kushiriki katika masuala mbalimbali ya
      Watoto katika ngazi ya Mkoa na             kitaifa. Hadi sasa mikoa 19 imeunda mabaraza ya
      Wilaya.                                    watoto.
28.   Kuyawezesha Mashirika yasiyo ya            Idara ilipata nafasi ya kuhudhuria Warsha ya Mafunzo
      Kiserikali    kuyawezesha      kushiriki   kwa Vyama vya Kiraia (CSOs) na kutoa mada kuhusu
      kikamilifu katika kuleta maendeleo ya      jukumu lao katika utekelezaji wa MKUKUTA. Warsha
      Kijamii na Kiuchumi katika utekelezaji     hii ilifanyika mkoani Kilimanjaro tarehe 24-2/06/2006 na
      wa MKUKUTA na malengo ya Milenia.          Morogoro tarehe 1 – 2/06/2006.               Warsha hii
                                                 ilihudhuriwa na wajumbe 100. Wizara iliwaelimisha kwa
                                                 kina kuhusu jukumu la NGOs katika utekelezaji wa
                                                 MKUKUTA.
29    Kutafsiri Sheria ya Mashirika Yasiyo ya    Utekelezaji wa ahadi hii ulipangwa kufanyika katika
      Kiserikali (NGOs) Na. 24/2002 katika       robo ya 3 na 4 ya mwaka wa fedha 2006/07. Hata
      lugha ya Kiswahili kuwawezesha             hivyo kazi hii haikufanyika kutokana na mtiririko wa
      wadau wengi kuielewa.                      fedha kutoka Hazina kutokuwa mzuri. Kazi hii sasa
                                                 inatarajiwa kufanyika katika kipindi cha mwaka wa
                                                 fedha 2007/2008.




                                                 282
30.   Kuimarisha mifumo ya mawasiliano         Wizara imepokea jumla ya taarifa za NGOs 250 kati ya
      miongoni mwa Wadau wa Sekta ya           hizi taarifa za kazi za mwaka ni 150 na taarifa za fedha
      Mashirika Yasiyo ya Kiserikali na        za NGOs ni 100. Taarifa hizo zimechambuliwa na
      kuendelea kuimarisha Benki ya            kufanyiwa tathmini pamoja na kuziingiza kwenye Benki
      Takwimu za Mashirika Yasiyo ya           ya Takwimu ya Wizara.               Taarifa hizi pia
      Kiserikali.                              zimesambazwa kwa wateja kulingana na mahitaji yao.
31.   Kuwezesha kuwepo kwa mkakati wa         Mkakati wa mawasiliano utaweza kuwepo na kufanya
      Mawasiliano, Kitabu cha Orodha          kazi mara baada ya Baraza la Taifa la NGOs
      (NGOs Directory), Kitabu cha Taarifa    kukamilisha Kanuni za Maadili ya NGOs.
      ya mwaka ya Sekta ya Mashirika
      Yasiyo ya Kiserikali na kuboresha       Kitabu cha Orodha ya NGOs (NGO‟s Directory)
      taarifa ya sekta hii katika Tovuti ya   hakikuandaliwa na kuchapishwa, lakini Benki ya
      Taifa.                                  Takwimu ya NGOs inazo taarifa zote za NGOs
                                              zilizosajiliwa chini ya Sheria ya NGOs Na. 24 ya mwaka
                                              2002, taarifa za kazi za NGOs za mwaka na taarifa za
                                              fedha.
32.   Kuendelea kuweka kumbukumbu             Mfumo wa computer (Gender Sensitive Monitoring and
      muhimu katika tovuti ya Wizara ili      Evaluation System) unafanyiwa majaribio na wakufunzi
      taarifa zinazohusu Wanawake na          wa “University Computing Centre” wanaendelea
      Watoto, Maendeleo ya Jamii na Jinsia    kurekebisha upungufu uliyojitokeza. Uingizaji wa
      ziweze kusambazwa kwa wadau             kumbukumbu utaanza mara baada ya mfumo kuanza
      mbalimbali.                             kufanya kazi kikamilifu, mfumo huo umeanza kutumika
                                              rasmi mwezi Januari, 2007.
33.   Kuanzisha mchakato wa kudurusu          Ilionekana kuwa Sera ya Maendeleo ya Wanawake na
      Sera ya Maendeleo ya Wanawake na        Jinsia ya mwaka 2000 bado inahitajika. Hivyo Wizara
      Jinsia ya Mwaka 2000. Wizara pia        iliandaa Mkakati wa Maendeleo ya Jinsia (2005) ili uwe
      itaandaa programu ya sekta ya           mwongozo kwa sekta zingine zinazotekeleza sera hii.
      Maendeleo ya Jamii itakayo tekeleza     Aidha, programu ya kuboresha sekta ya Maendeleo ya
      sera hii na sera zingine.               Jamii imeandaliwa.
34.   Kutoa mafunzo kwa watumishi wake ili    Wizara imewapeleka katika mafunzo watumishi wake
      waweze kupata elimu na maarifa ya       kama ifuatavyo:
      kutekeleza majukumu yao ipasavyo.          Uongozi: Maafisa 26, London, Uingereza. Wakuu
                                                   wa Vyuo na Maafisa Waandamizi wa Wizara 50
                                                   walipatiwa mafunzo Morogoro mwezi Julai.

                                               Ugavi: Mafunzo ya muda mfupi Afisa mmoja
                                                Marekani na mmoja Singapore, Maafisa Ugavi
                                                watatu walipata mafunzo ya muda mfupi ya
                                                masuala ya Ugavi yaliyoendeshwa na NBMM:
                                                Mafunzo ya muda mrefu: Maafisa Maghala wawili
                                                wanaendelea na masomo ya Stashahada ya Juu,
                                                TIA.

                                               Makatibu Muhtasi saba (7) na Msaidizi wa
                                                Kumbukumbu watatu (3) wanaendelea na mafunzo




                                              283
    katika Chuo cha Utumishi wa Umma.

    Maafisa Habari wawili walihudhuria mafunzo ya
     namna ya kuandaa vipindi vya redio na
     televisheni.

    Ofisa Maendeleo ya Jamii mmoja anaendelea na
     masomo ya Shahada ya Uzamili ya masuala ya
     Jinsia, mmoja anaendelea na masomo ya
     Shahada ya Uzamili ya MBA ambapo
     mwanasheria mmoja anaendelea na Stashahada
     ya Uzamili ya Sheria na mwingine LLM.

 Maafisa 24 wanaendelea na mafunzo ya Shahada
  ya Kwanza katika Chuo Kikuu Huria.

 Wahasibu Wasaidizi watano wanaendelea na
  mafunzo ya Stashahada ya Juu ya Uhasibu katika
  TIA na mmoja anaendelea na Shahada ya Kwanza
  ya Biashara katika Chuo Kikuu cha Nyegezi.

 Maafisa watatu (3) wamehitimu mafunzo ya Msc
  (Community Economic Development) katika Chuo
  Kikuu Huria.




284
                         WIZARA YA MIPANGO, UCHUMI NA UWEZESHAJI

 NA                   AHADI                                          UTEKELEZAJI
1.    Kuelimisha na kuhamasisha wananchi         Serikali imeendelea kuelimisha na kuhamasisha
      kuhusu MKUKUTA na kuandaa taarifa          wananchi kuhusu MKUKUTA kupitia vipeperushi na
      ya    utekelezaji    wa     MKUKUTA        kipindi cha redio (RTD) kiitwacho “TUJIKOMBOE”.
      (MKUKUTA Implementation Progress
      Report) na Taarifa ya Hali ya Umaskini     Taarifa ya kwanza ya utekelezaji wa MKUKUTA
      (Poverty Status Report).                   (2005/06) na Taarifa ya Hali ya Umaskini 2006
                                                 imeshaandaliwa na kuchapishwa. Aidha taarifa hizo
                                                 zinapatikana kwenye tovuti ya Mfumo wa kufuatilia
                                                 Umaskini            nchini         http://www.tanzania
                                                 monitoring.go.tz.
2.    Kufanya tathmini (survey) ya Hali ya       Zoezi la ukusanyaji wa takwimu za utafiti wa Mapato
      Matumizi na Kipato katika kaya binafsi,    na Matumizi ya Kaya Binafsi kwa mwaka 2006/07
      na tathimni ya Hali ya Ajira, na           (Household Budget Survey) linaendelea Tanzania Bara
      uchambuzi utakaotoa hali halisi ya         na linatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Desemba,
      maendeleo katika sekta mbalimbali.         2007. Sampuli ya maeneo pamoja na vijiji ni jumla ya
                                                 448 na kila kijiji na eneo la mjini kaya 24 zitahusika.
                                                 Inatarajiwa kuwa kaya zisizozidi 10,752 zitahusika na
                                                 utafiti huu.

                                                 Katika utekelezaji wa Mfumo wa Ufuatiliaji wa
                                                 MKUKUTA, Utafiti wa Watu Wenye Uwezo wa Kufanya
                                                 kazi, 2005/06 (Integrated Labour Force Survey)
                                                 umekamilika na uchambuzi wa zoezi hili utakamilika
                                                 kabla ya mwezi Agosti, 2007. Aidha, utafiti wa Ajira na
                                                 Mapato wa mwaka 2002 umekamilika na matokeo
                                                 yanaonyesha kuwa kasi ya ongezeko la ajira kwenye
                                                 sekta binafsi ni kubwa kuliko sekta ya Umma.
3.    Kuziwezesha        sekta      mbalimbali   Tathmini ya gharama za kutekeleza MKUKUTA
      kuainisha gharama za MKUKUTA,              (MKUKUTA costing exercise) kwa sekta za elimu, afya,
      kuandaa mfumo wa hifadhi za jamii,         maji, barabara, ardhi, kazi/ajira na maendeleo ya vijana
      kuandaa namna ya kupata taarifa za         na madini imefanyika na zoezi linategemewa kuendelea
      watu wenye hali tete, kuendesha wiki       kufanyika katika sekta za Biashara na Utalii.
      ya Sera za Kuondoa Umaskini,
      kushiriki kwenye mijadala mbalimbali       Mafunzo ya mfumo wa kuweka na kutunza
      ya kitaifa na kimataifa inayohusu          kumbukumbu za takwimu uitwao ‟Tanzania Social-
      umaskini, na kuandaa midahalo ya           Economic Data Base‟ (TSED) yamefanyika kwa sekta
      kisekta katika Serikali za Mitaa.          zote za Wizara, Idara na Wakala wa Serikali. Aidha,
                                                 maoni ya Wananchi juu ya sera mbalimbali za Serikali
                                                 yamekusanywa na ripoti inaendelea kuandaliwa (Views
                                                 of the People Report 2007).




                                                 285
4.    Kuendelea na ujenzi wa Eneo Maalum         Ujenzi wa Eneo Maalum la Uwekezaji “Benjamin
      la Uwekezaji lililopo Mabibo (The          William Mkapa Special Economic Zone” (BWM – SEZ)
      Benjamin William Mkapa Special             lililopo Mabibo unaendelea.
      Economic Zone – BWM SEZ).
5.    Kuunda Mamlaka ya Kusimamia                Mamlaka ya kusimamia maeneo maalum ya uwekezaji
      Maeneo Maalum ya Uwekezaji (SEZs           (SEZs Authority) imeshaundwa.
      Authority).
6.    Maandalizi ya ujenzi wa Kituo cha          Upembuzi yakinifu umeshakamilika kwa ajili ya kuanza
      Teknolojia ya Habari na Mawasiliano        ujenzi wa Kituo Maalum cha Teknolojia ya Habari na
      katika eneo maalum la uwekezaji            Mawasiliano (ICT - SEZ) katika eneo la Chuo Kikuu cha
      lililoko eneo la Chuo Kikuu cha Dar es     Dar es Salaam. Ujenzi unategemewa kuanza katika
      Salaam.                                    mwaka wa fedha 2007/2008.
7.    Kuutangaza mpango wa Tanzania              Zoezi la kuutangaza Mpango wa Tanzania Mini-Tiger
      Mini-Tiger 2020 kwa kuchapisha vitabu      Plan 2020 kwa kuchapisha vitabu na kuvisambaza
      na kuvisambaza.                            linaendelea.
8.    Kulitangaza Eneo Maalum               la   Matayarisho ya matangazo na vipeperushi muhimu
      uwekezaji       rasilimali linalojengwa    yamekamilika kwa kushirikiana na Japan Development
      Mabibo.                                    Institute (JDI) kwa ajili ya kulitangaza Eneo hili Maalum
                                                 la Uwekezaji “The Benjamin William Mkapa Special
                                                 Economic Zone (BWM- SEZ)”.
9.    Kuratibu utekelezaji wa mradi wa           Mradi wa Biashara ndogo ndogo na za kati unaendelea
      Biashara Ndogo ndogo na za Kati na         kuratibiwa ukiwa chini ya jina jipya la Mradi wa
      kuboresha mazingira ya biashara            kuendeleza Ushindani katika Sekta Binafsi (Private
      ikiwemo mapitio ya sheria na kanuni        Sector Competitiveness Project) umetekeleza
      za biashara ndogo ndogo na za kati.        yafuatayo:

                                                  Mkataba wa Makubaliano baina ya Benki ya
                                                   Dunia, Washirika wa Maendeleo na Serikali kwa
                                                   ajili ya kipengele cha Mpango wa Kuboresha
                                                   Mazingira Bora umeshaandaliwa na unasubiri
                                                   kutiwa saini na pande husika kwa utekelezaji.
                                                  Katika kipengele cha kuongeza ushindani wa
                                                   Taasisi za Kibiashara, maafisa wa mradi
                                                   wanaendelea kuajiriwa na utekelezaji wa sehemu
                                                   nne za mradi umeanza kutekelezwa chini ya
                                                   Taasisi ya Sekta Binafsi Nchini (Tanzania Private
                                                   Sector Foundation-TPSF).
                                                  Utekelezaji wa Kipengele cha kufanikisha
                                                   upatikanaji wa Huduma za Kifedha ulio chini ya
                                                   Mfuko wa Kuendeleza Sekta ya Fedha (Financial
                                                   Sector Deepening Trust-FSDT) .

10.   Kufanya utafiti wa kubaini fursa za        Kituo cha Uwekezaji kupitia wataalam wa ESRF
      kukuza    uchumi na uwezo wa               wameshakamilisha taarifa ya tafiti za kubaini fursa za




                                                 286
      kuharakisha ukuaji wa uchumi kwa        kukuza uchumi (Study on Growth and Impact of
      lengo la kuhimiza uwekezaji.            Investment in Tanzania).
11.   Kuwasaidia      wawekezaji    wadogo    Kituo cha Uwekezaji (TIC) kiliendesha semina katika
      wadogo na wa kati (SMEs) ili kuandaa    Mikoa ya Ruvuma           na Mara       kwa lengo la
      miradi inayouzika kwa lengo la kupata   kuwahamasisha wawekezaji kuwekeza katika fursa
      mikopo kutoka kwenye mabenki.           zilizopo ndani ya mikoa yao ili kuinua uchumi wa Taifa
                                              hatimaye         kupunguza umaskini. Sambamba na
                                              kuendesha semina Kituo kimeshirikiana na mikoa hiyo
                                              kuandaa „Regional Profiles‟ kwa lengo la kuainisha
                                              rasilimali zilizopo
12.   Kutangaza miradi ya SMEs kwa lengo      TIC kwa kushirikiana na viongozi wa Kitaifa waliandaa
      la kuwavutia wabia wa ndani na nje      ujumbe wa Watanzania wenye miradi inayofaa
                                              kuwekeza kwenda nchi mbalimbali kwa lengo la
                                              kutangaza fursa za uwekezaji na kunadi miradi ya
                                              watanzania kwa lengo la kuwavutia wageni kuja
                                              kuwekeza nchini. Nchi zilizotembelewa ni pamoja na
                                              Marekani, China, Japani na Korea ya Kusini, Oman,
                                              Umoja wa Nchi za Kiarabu (UAE), Canada, Thailand,