Embed
Email

TUME HURU YA UCHUNGUZI _IREC_

Document Sample

Shared by: gegeshandong
Categories
Tags
Stats
views:
33
posted:
12/8/2011
language:
pages:
108
KIAMBATISHO 6 .A





TUME HURU YA UCHUNGU ZI (IREC)







TAARIFA





YA









Uchambuzi wa data ya matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2007





kutokana na sampuli ya maeneobunge na chambuzi wakilishi









TAARIFA YA MWISHO









Septemba 9, 2008

Yaliyomo



1. MUHTASARI WA MAMBO MUHIMU



2. UTANGULI ZI NA MALENGO



2.1 Tume huru ya uchunguzi (IREC) ni nini



2.2 Wajibu na matokeo



2.3 Uchunguzi wa data na takwimu



3. MUHTASARI WA TAKWIMU ZA UCHAGUZI MKUU WA 2007



4. MFUMO WA UCHUNGUZI



4.1 Kanuni za kuongoza uchaguzi



4.2 Njia zilizotumiwa



4.3 Kukataa haki n vikomo: kile data inaweza kufunua na kile haiwezi kufunua



5. CHANZO CHA DATA NA NJIA YA UCHUNGUZI



6. MAENEOBUNGE YALIYOCHAM BULIWA



7. UCHAMBUZI



8. YALIYOGUNDU LIWA



8.1 MUHTASARI



8.2 Kirinyaga ya Kati



8.3 Kajiado Kaskazini



8.4 Kaloleni



8.5 Limuru



8.6 Bondo

8.7 Bomachoge



8.8 Juja



8.9 Molo



8.10 Maragua



8.11 Imenti Kaskazini



8.12 Wajir Kaskazini



8.13 Kieri



8.14 Lari



8.15 Malava



8.16 Masinga



8.17 Changamwe



8.18 Machakosi Mjini



8.19 Imenti ya Kati



8.20 Saku



9 UTARATIBU WA KUTENGENE ZA NA KUPELEKA MATOKEO



10 MAPENDEKEZO

1. MUHTASARI WA MAMBO MUHIMU





Matokeo ni kitovu cha uchaguzi wo wote ule. Maandalizi yote kabla ya uchaguzi wo

wote, yakiwemo usafirisaji na aina zingine za mifumo iliyowekwa yote inachangia kwa

shughuli yenyewe ya kupiga kura, na matokeo ya huku kupiga kura yanajumlishwa,

kupelekwa, kurekodiwa, kutangazwa na hata kuangaliwa upya au kukaguliwa. Uadilifu

wa utaratibu wa makoteo ni sifa muhimu ya uchaguzi wenye heshima, huru na wa haki.

Hii inahusu zaidi Kenya, kwa sababu ya mfumo wa uchaguzi mshindi kuchukua

mamlaka yote ambao ndio upo sasa.







Ripoti hii ilifanya muhtasari wa matokeo ya uchunguzi wa data na takwimu ambao

ulifanyiwa matokeo ya maeneobunge 19 yaliyochaguliwa kutoka uchaguzi mkuu wa

2007. Uchunguzi huu ulifanywa kama sehemu ya utafiti wa Tume huru ya uchunguzi

(IREC) iliyolenga kusaidia Tume kuchunguza vipengele fulani vya uchaguzi hasa ule wa

Urais. Ripoti hii inaanza kwa kueleza njia iliyotumiwa, sifa zilizotumiwa kuchagua

maeneobunge yatakayochunguzwa, njia za utafiti zilizotumiwa, vikomo, yaliyogunduliwa

na kumaliza kwa kutoa maoni au mapendekezo ya jumla.







Uchunguzi na matokeo ya ripoti hii yanatokana na kazi iliyotekelezwa katika

maeneobunge 19 yaliyochaguliwa kwa kutumia sifa zilizo imara. Maeneobunge ambapo

kulikuwa na madai yaliyotolewa kuhusu matokeo na vyama vya kisiasa na mashirika

mengine; maeneobunge yaliyochaguliwa kwa kutumia sifa zilizowekwa kuhusu kasoro

mbalimbali kama vile kujitokeza kwa kiwango cha juu, tofauti kubwa ya kujitokeza baina

ya uchaguzi wa urais na wa ubunge, na kadhalika; maeneobunge yaliyokuwa na sifa au

tabia za kipekee ambazo zinaweza kufanyiwa maovu ya uchaguzi, kama vile

maeneobunge yaliyowasilisha matokeo yao mwisho, maeneo ambapo malalamishi

makubwa yaliibuka, na kadhalika.







Mtazamo uliochukuliwa wa uchunguzi wetu ni utaratibu wa kufanya majaribio mepesi ya

hesabu na kuangalia upya matokeo kutoka maeneobunge haya, kuanzia ngazi ya vituo na

mikondo ya kupigia kura hadi ngazi ya eneobunge na wakati mwingine, ngazi ya taifa.

Hususan tulilenga kutengeneza upya fomu 17A ambayo inaweka rekodi ya jumla ya kura

zote za wagombea kutoka vituo vya kupigia kura na ambayo ndio inayotumiwa

kutengeneza fomu 16A - stakabadhi ambayo kisheria hutumiwa kupata matokeo ya

mwisho ya uchaguzi. Mwisho, tofauti, hitilafu na kasoro zingine zilitambuliwa, zikiwemo

athari zao.







Ni lazima ieleweke kuwa uchambuzi wa takwimu huwa na upungufu katika vipengele

fulani vya uwezo wake wa kugundua vitendo viovu au ulaghai wa uchaguzi. Hii ni kwa

sababu baadhi ya vitendo hivi, kama vile kushindilia karatasi za kura kwenye sanduku la

kura huenda visiathiri takwimu, hivyo kuwa vigumu kuvitenga. Zaidi ya hayo, data

inayotolewa kutoka ngazi ya fomu 16A (yaani ngazi ya kituo cha kupigia kura) itasema

machache kuhusu vitendo (viovu) ambavyo huenda yametokea katika shughuli za kabla

ya ngazi ya fomu 16A. Hata hivyo, kuangalia usahihi wa kujumlishwa, kuingizwa na

kupelekwa kwa matokeo kumeleta uvumbuzi wa kushangaza, na sehemu zinazoweza

kurekebishwa.



Matokeo ya uchunguzi wa eneobunge yamegawanywa katika kategoria mbalimbali.

Tumegundua msururu wa makosa kuhusiana na jinsi matokeo ya wagombea

yalivyojumlishwa katika ngazi ya kituo cha kupigia kura na kuhamishwa hadi fomu 17A

katika ngazi ya eneobunge. Vilevile kuna makosa mengi yanoyohusiana na kuhesabu,

yaani, kujumlisha matokeo katika ngazi ya eneobunge kwenye fomu 17A.







Baadhi ya haya matokeo yenye makosa yalipelekwa hadi kwa fomu 16 na hatimaye kwa

ngazi ya taifa, ambapo kwa masikitiko, yalitangazwa. Baadhi ya haya matokeo yasiyo

sahihi (kama vile ya Kirinyaga ya Kati) yalipelekea kwa mgombea ambaye hakupata

idadi kubwa zaidi ya kura, kutangazwa mshindi. Kwingine, hasa katika uchaguzi wa

urais, matokeo ya wagombea yaliripotiwa kwa uchache sana au kwa wingi sana, kama

huko Masinga, Changamwe na kadhalika. Ni bayana kuwa baadhi ya matokeo

hayakuingizwa au yaliachwa kabisa nje ya kujumlishwa kwa matokeo katika fomu 17A.

Kuna visa ambapo matangazo ya matokeo ya urais yaliyotolewa yalikuwa na idadi ya

chini kuliko zile zilizoandikwa bayana kwenye fomu 16A.







Mengi ya makosa na vikwazo hivi yanaashiria kushindwa kwa mfumo na utaratibu wa

ECK, pamoja na mpango, usimamizi na uangalizi wa hasa utaratibu wa kutoa matokeo,

na uchaguzi wote kwa jumla. Ingawa suluhu la kitaalamu liko katika kuwekeza kwenye

mfumo imara unaofaa wa kiteknolojia, tatizo, na suluhisho la kutatua tatizo hilo, ni zaidi

ya matumizi ya teknolojia au mitambo kama vifaa vya kufanya miujiza katika

kusuluhisha matatizo haya.

Kama jambo la muhimu, wafanyikazi au maafisa wa uchaguzi na makarani walioajiriwa

kuendesha uchaguzi lazima wafunzwe vyema, wasimamiwe kwa njia inayofaa na kuweka

mfumo wa kukagua matokeo papohapo kabla ya kutangazwa na/au kupelekwa. Kutumia

mitambo katika mfumo ulio na hitilafu, utafanya ulaghai na vitendo viovu vya uchaguzi

kuwa vigumu kugundua. Ili kuwa na kujumlishwa kwa matokeo usio na hitilafu, suluhu

yake ni kutumia mseto wa vifaa vinavyofaa vya kiteknolojia, uadilifu wa maafisa wa

uchaguzi na taratibu imara au zisizo na hitilafu. Hapa, huenda chaguo likafanywa baina

ya kuondoa haraka iwezekanavyo matokeo yenye makosa, au matokeo ambayo

hayajakaguliwa, au kuchukua muda wa kujumlisha na kutangaza matokeo yaliyo sahihi.







ECK inapaswa kuacha kutegemea uzoefu wa chaguzi zilizopita (kwa kusisitiza umuhimu

wa umri) na kupuuza mambo mengine muhimu kama vile uwezo wa kutumia teknologia

ya kompyuta, usimamizi wa serikali na ujuzi mkubwa wa hesabu. Ingawa haipendekezwi

kuwa wasimamizi wa kura wanapaswa kuwa wanatakwimu, kutakuwa na manufaa zaidi

iwapo mmoja wao ataweza kufanya kazi za habari nyingi, labda kwa kushurutishwa.

Vivyohivyo kwa makarani, au hasa wasomaji wa kuthibitisha na wakaguzi wa data,

ambao ripoti hii inapendekeza wawe miongoni mwa sehemu ya kundi la makarani wa

uchaguzi.







Kuna masuala mengine makubwa ambayo yanahusu sheria na sera. Je, ni vipi kuwa ECK

haiwezi kupitia upya au kurekebisha pale inapogundua makosa yaliyofanywa kwa,

tuseme fomu 16, na msimamizi wa kura ambaye ameajiriwa kwa muda tu? Hali hii ni

yanavyopokelewa pamoja na kuhakikishwa kwa usahihi na uhalisi wa matokeo hayo.







Muhimu zaidi, uadilifu wa matokeo utategemea sana mifumo na miundo, pamoja na nia

njema na imani ya maafisa wa uchaguzi, shirika linalosimamia uchaguzi na wanasiasa.







2. UTANGULI ZI NA MALENGO





2.1. Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) ni nini?





Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) iliundwa tarehe 15 Machi 2008 (nambari ya

Gazeti la Serikali 1982). Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) kama shirika

limetokana na majadiliano yaliyofanywa chini ya mazungumzo ya upatanishi wa

taifa (National Reconciliation Dialogue), yaliyofanyika kwa msaada wa jopo la

Wafrika mashuhuri la Umoja wa Afrika (African Union Panel of African Eminent

Personalities), ulioongozwa naye Kofi Annan. Mazungumzo hayo yalilengwa

kutatua mgogoro na vurugu za baada ya uchaguzi zilizofuatia uchaguzi mkuu wa

2007 ulioleta mabishano nchini Kenya. Tume Huru ya Uchunguzi (IREC)

iliundwa baada ya vyama kukubali kuunda kamati itakayochunguza vipengele

mbalimbali vya uchaguzi huo uliopingwa. Tume Huru ya Uchunguzi (IREC)

inajumuisha makamishina saba na wafanyikazi ambao wanaweza kufanikisha

jukumu lake. Mwenye kiti wa Tume hii alikuwa Jaji Johann C. Kriegler.







2.2. Wajibu na matokeo





Wajibu wa jumla wa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) ni kuchunguza vipengele

vyote vya uchaguzi mkuu wa 2007 na hasa uchunguzi wa kina wa uchaguzi wa

urais. Sehemu zingine za wajibu wa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) ni pamoja

na kuchunguza mfumo wa kisheria na kikatiba uliotumiwa kuendesha uchaguzi

huu, kuchunguza vipengele mbalimbali vya Tume ya Uchaguzi ya Kenya (ECK),

ushiriki wa umma, mienendo ya vyombo vya habari, vyama vya uraia,

waangalizi, na kuchunguza kuhesabiwa na kujumlishwa kwa hesabu za kura ili

kupima uadilifu wa matokeo hayo. Kama matokeo yake, Tume Huru ya

Uchunguzi (IREC) ilipewa mamlaka ya, kwanza, kupendekeza marekebisho

mbalimbali ambayo yataboresha uchaguzi wa siku za baadaye na, pili

kupendekeza marekebisho mengine ya kisheria na kiusimamizi ambayo

yatahitajika. Tume hii ilifanya kazi yake zaidi kupitia uchunguzi, kupokea

mapendekezo yaliyowasilishwa, utafiti, mikutano ya hadhara iliyofanyika kote

nchini, na mikutano rasmi iliyoendeshwa jijini Nariobi.







2.3. Uchambuzi wa data na takwimu





Kama sehemu ya utafiti wake, Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) ilifanya

uchunguzi wa takwimu na data wa matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2007.

Uchunguzi wa data na takwimu ziliarifu kuhusu jukumu la Tume Huru ya

Uchunguzi (IREC) (d) na (e), linalogusia utaratibu wa kuhesabu na kujumlisha

hesabu za kura, ili kufikia uamuzi kuhusu uadilifu wa matokeo. Kazi ya data na

takwimu ina malengo kadha, yakiwemo:-

a) Kuchunguza matokeo ya uchaguzi wa 2007 ya ubunge na urais kwa lengo la

kuthibitisha usahihi, uaminifu na tofauti zao zilizopo;

b) Kuchunguza matokeo ya idadi fulani iliyochaguliwa ya maeneobunge ambayo

yalitajwa na mashirika mbalimbali, kwa mfano, katika mapendekezo ya

chama cha kisiasa yaliyowasilishwa kwa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC).

c) Kuchunguza matokeo/data kwa lengo la kutenga maeneobunge ambako

kulikuwa na sifa zisizo za kawaida, k.m. kujitokeza kwa wapiga kura kwa

kiwango cha juu, maeneo yaliyokuwa na madai ya kasoro za wapiga kura au

za kuhesabu kura, n.k.

d) Kutoa usaidizi wa takwimu kwa mikutano ya hadhara na mikutano rasmi ya

Tume.

e) Kutoa mapendekezo kwa kamati zingine za Tume Huru ya Uchunguzi (IREC)

kuhusu sehemu na maeneobunge ambayo yatahitaji upelelezi zaidi kufanywa.









3. MUHTASARI WA TAKWIMU ZA UCHAGUZI MKUU WA 2007





Muhtasari wa jumla wa takwimu za uchaguzi mkuu wa 2007 unafunua mambo kadha. 1

Mwaka wa 2007 idadi ya wapiga kura waliojisajili kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu

iliongezeka kwa zaidi ya 36% ikilinganishwa na 2002. Wapiga kura zaidi ya milioni 14

waliwakilisha 71% ya Wakenya milioni 19.8 ambao wamepewa kitambulisho cha kitaifa

(watu wenye umri wa kupiga kura). Uchaguzi huu ni moja ya chaguzi zilizokuwa na

ushindani mkali katika historia ya Kenya. Ikilinganishwa na mwaka 2002, idadi ya

wagombea wa urais iliongezeka kutoka 5 hadi 9, lakini ilibaki kuwa chini zaidi ya 15

waliogombea uchaguzi wa 1997. Katika ngazi ya ubunge, idadi ya wagombea

iliongezeka kwa zaidi ya mara 1.5, kutoka 1,035 mwaka 2002 hadi 2,548 mwaka 2007.

Idadi ya wagombea wa udiwani pia iliongezeka zaidi ya mara mbili, na ile ya vyama vya

kisiasa vilivyoshiriki katika uchaguzi huu ilizidi mara tatu. Tazama hapa chini.









1

Inapaswa kutambuliwa kutoka mwanzo kwamba katika uchunguzi wa data ya ECK, kumefunuliwa makosa mengi

ya kuingizwa, kujumlishwa na makosa mengine ya kupiga chapa. Jumla ya athari za makosa haya imepelekea kwa

takwimu kadha kugeuzwa kama ilivyojadiliwa na kuelezwa baadaye katika ripoti hii. Kwa hivyo, hesabu

zilizowasilishwa katika kitengo hiki zimetoka kwa hesabu kama zinavyotokea ripoti na matokeo ya ECK ambayo

ECK iliwasilisha kwa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC).

Muhtasari wa uchaguzi wa Kenya zilizofanyika majuzi







1997 2002 2007



Wapiga kura waliosajiliwa 8,967,569 10,451,150 14,296,180



Wapiga kura chini ya miaka 40, % ,, 54.0 60.8







Urais



Idadi ya wagombea 15 5 9



Jumla ya kura halali 6,181,701 5,871,408 9,877,028



Mshindi 2,500,320 3,636,783 4,584,721



% ya jumla ya kura 40.45 61.94 46.42



Mshindi wa pili, % 30.83 31.39 44.07



Mshindi wa tatu, % 10.80 6.18 8.91







Ubunge



Idadi ya wagombea 883 1,035 2,548



Wanaume 835 991 2,279



Wanawake 48 44 269







Udiwani



Idadi ya wagombea 8,468 7,012 15,334



Wanaume 8,050 6,630 13,856



Wanawake 418 382 1,478

Kujitokeza kwa wapiga kura kitaifa, %



Urais 70.74 58.75 70.71



Ubunge 69.74 58.46 69.57







Maeneo ya kupigia kura 12,778 14,114 20,655



Vituo vya kupigia kura ,, 18,366 27,555



Vyama vya kisiasa vilivyoshiriki 27 39 117



Chanzo: Ripoti za uchaguzi mkuu za ECK; stakabadhi kadha



.. ina maana kuwa data haikupatikana.







Idadi ya wagombea katika baadhi ya maeneobunge imeongezeka pakubwa. Mwaka 1997

idadi ya juu zaidi ya wagombea wa ubunge ilikuwa katika maeneobunge ya Starehe na

Kamukunji (10 kila eneo), na Embakasi na Dagoretti (9 kila eneo). Kulikuwa na jumla

ya maeneobunge 81 ambayo yalikuwa na wagombea 5 au zaidi. Mwaka 2002 eneobunge

la Kangundo lilikuwa na idadi kubwa zaidi (13) likifuatwa na Makadara, Changamwe,

Kigumo na Juja (zikiwa na 10 kila eneo). Embakasi ilikuwa na 10: idadi ya

maeneobunge yaliyokuwa na wagombea 5 na zaidi iliongezeka hadi 103. Mwaka 2007

kulikuwa na maeneobunge 190 yakiwa na angalau wagombea wa ubunge 5, na kwa mara

ya kwanza katika historia ya Kenya, kulikuwa na maeneobunge 28 yenye angalau

wagombea 20. Maeneo kadha yalikuwa na idadi ya juu sana ya wagombea: Kitutu

Masaba (33); Kasarani, Emuhaya, Bomachoge na Mugirango Borabu Kaskazini (ikiwa na

28 kila eneo).







Uchaguzi huu uligombewa kwa ushindani wa karibu sana. Matokeo ya mwisho ya

uchaguzi wa urais (ikiwa na tofauti ya ushindi wa pointi 2.35% pekee) ndiyo yalikuwa ya

karibu sana. Wagombea wa urais wawili wa juu walichukuwa karibu 90% ya jumla ya

kura za urais. Kura hizi karibu zilingane kwa idadi; tofauti na vile ilivyokuwa 2002 na

1997 ambapo washindi wa urais walikuwa na tofauti ya ushindi ilio mkubwa. Kujitokeza

kwa wapiga kura kulikuwa chini zaidi kuliko mwaka 2002, lakini kulilingana na mwaka

1997. Wastani ya kujitokeza kwa wapiga kura kwa uchaguzi wa 2007 ilikuwa karibu

70%.

4. MFUMO WA UCHAMBUZI





4.1. Kanuni za kuongoza uchambuzi





Kazi hii ililengwa kufanya uchambuzi usio na upendeleo wo wote. Tahadhari

zote zilichukuliwa ili kuhakisha uadilifu wa data na takwimu zilizotolewa na

vyama na mashirika mbalimbali. Hata hivyo, hii isichukuliwe kumaanisha kuwa

wenye data walitumia njia zinazokubalika za kukusanya na kuandaa habari hizi.

Pale suala linalohusiana na kupendelea kwa data au suala la hesabu liliibuka, hili

lilitajwa. Uangalifu unaostahili umetekelezwa ili kuhakikisha kuwa uchunguzi ni

sahihi inavyowezekana. Hata hivyo, hili haliondoi uwezekano wa makosa ya

makarani au ya kupiga chapa.







4.2. Njia zilizotumiwa





Kuna aina mbili za uchambuzi wa takwimu zinazoweza kutumiwa kuchunguza

data ya uchaguzi wa 2007. Njia ya kwanza ni uchambuzi wa ekonometriki wa

data ambao unalenga kuangalia mienendo na mahusiano mbalimbali ya takwimu

miongoni mwa vipengele vinavyobadilika kama vile kura zilizopigiwa

wagombea, vyama, n.k. kwa uhusiano na idadi fulani ya vipengele

vinavyobadilika vinavyoweza kuelezwa. Njia hii inaweza kufanywa katika

vipindi vyote, ambayo ni, kuangalia data katika mfuatano wa wakati wa uchaguzi

wa 1997, 2002 na 2007. Njia ya pili ni kufanya majaribio mepesi ya hesabu ili

kuangalia uadilifu wa matokeo katika kujumlishwa kwa hesabu na uthabiti wa

utaratibu uliotumiwa kutengeneza, kurekodi, kupeleka, kupokea, kuhifadhi na

kutangaza matokeo hayo. Tafiti mbalimbali zilifanya uchunguzi wa matokeo

hayo kwa kutumia njia ya kwanza.2 Matokeo yanayowasilishwa hapa yalitumia

njia ya pili.









2

Tazama, kwa mfano, The Kenyan Election 27th Desemba, 2007: was it Rigged na David W. Throup, wasilisho

lililotolewa wakati wa mikutano ya hadhara ya Tume Huru ya Uchunguzi (IREC). Vilevile toleo maalum la Journal

of Eastern African Studies, volume 2 toleo la 2, 2008, ambalo linalochunguza kwa kina uchaguzi wa Kenya wa

2007.

4.3. Kuchagua maeneobunge yenye kufanyiwa uchambuzi



Ukubwa wa tatizo lililoleta ubishani katika matokeo ya uchaguzi wa 2007 ni kubwa mno.

Matokeo yote na sehemu kubwa ya uchaguzi yalikuwa na ubishani mkali. 3 Kwa hivyo

uteuzi wa kile kitakachochambuliwa ulihitaji uwe na mkakati na uwe imara, lakini wakati

huohuo uwe mwangalifu ili usiache nje sehemu muhimu zilizokuwa na mabishano

makali, au zile ambazo zingesaidia Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) kufanikisha wajibu

wake. Ili kutambua maeneobunge yatakayofanyiwa uchambuzi, tuliongozwa na sifa

kadha zikiwemo:





a. Kuangalia maeneobunge mahsusi yenye mabishano yaliyoorodheshwa na

vyama/mashirika mbalimbali kwa mfano, mapendekezo yaliyowasilishwa

kwa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) na Orange Democratic Movement

(ODM), Party of National Unity (PNU) na mashirika mengine, yaliorodhesha

maeneobunge kadha yenye matatizo:-





b. Kuchagua sehemu kwa kutumia sifa zilizowekwa kutokana na hitilafu

mbalimbali za uchaguzi kama vile madai ya kujitokeza kwa wapiga kura kwa

kiwango cha juu na kadhalika.





c. Sehemu zilizo na sifa au tabia maalum ambazo zinaweza kufanyiwa maovu ya

uchaguzi kama vile maeneobunge yaliowasilisha mwisho matokeo yao,

sehemu ambapo malalamishi makubwa yaliibuka, na kadhalika.





4.4. Kutahadharisha na mipaka: kIle data inaweza kufunua na kile haiwezi kufunua.





Lazima ionyeshwe kuwa ingawa data Ililenga kutoa utambuzi katika matokeo au

data zenye mabishano, uchambuzi huu ukiwa peke yake, jinsi inavyohitajika,

unahitaji kusaidiwa na aina zingine za uchunguzi ili kupata ile picha kamili ya

kile ambacho kilienda mrama katika uchaguzi wa mwaka jana. Kikwazo kikuu

cha takwimu ni kuwa ingawa zinaweza kutumiwa kugundua tabia na hitilafu

zisizo za kawaida, uchambuzi kama huu unaweza kuwa na mpaka au usiweze

kabisa kuonyesha vitendo viovu au ulaghai wa uchaguzi.



_____________________________________



2 Tazama, kwa mfano, uchunguzi wa kujitokeza kwakwa wapiga kura kwa

kiwango cha juu kwenye mfuatano wa wakati katika baadhi ya maeneobunge,

ukilinganishwa na chaguzi zilizopita, umetumiwa na wengi kama kiashirio cha

hitilafu za uchaguzi. Lakini mabadiliko ya kujitokeza husababishwa na vitendo

viovu pamoja na mienendo halisi ya uchaguzi au kisiasa. Vilevile tuseme katika

visa vya, kushindilia karatasi za kura zilizowekwa alama awali kwenye

masanduku ya kura, uchambuzi wa matokeo haya huenda ukadhihirisha masuala

machache ya takwimu, lakini chini yake huenda kukawa na mfuatano wa ulaghai

au dhuluma za uchaguzi. Kama inavyoweza kuonekana katika chati ya utaratibu

wa usimamizi kwenye kitengo 9 hapo chini, data zilizotumika kwa uchambuzi

wetu ulitoka kwenye fomu 16A, zilizotengenezwa baada ya kuhesabu katika kituo

cha kupigia kura. Ulaghai wo wote wa uchaguzi unaotokea kabla ya hapa, au nje

ya kile kilicho kwenye fomu za kisheria zilizotumika, hauwezi kugunduliwa na

uchambuzi wa takwimu uliotumiwa hapa.







Katika mwaka wa 2007, ambapo kulikuwa na madai mengi ya kubadilishwa kwa

fomu za kisheria, uchaguzi huu pia unaweza kupita majaribio ya takwimu lakini

inaweza tu kukosolewa kwa kuvunja sheria au kanuni na vitendo fulani vya

uchaguzi. Kwa hivyo uchunguzi wa data na takwimu, unapaswa kuoekana kwa

ukamilifu wa aina zingine za taratibu za uchaguzi, siasa na sheria. Hivyo basi,

matokeo ya ripoti hii, hayaelezi taratibu halisi za kupiga kura na taratibu

zinginezo ambazo huenda zilifanyika katika maeneobunge yaliyochambuliwa.

Uchambuzi huu ulitegemea tu stakabadhi na matokeo rasmi yaliyowasilishwa na

ECK kwa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC).









3

Vikundi, vyama vya kisiasa, waangalizi mbalimbali na hata baadhi ya



makamishna wa ECK, wameshuhudia ukweli huu.

CHANZO CHA DATA NA NJIA ZA UCHUNGUZI



Data na habari iliyotumiwa katika uchambuzi wetu ilipatikana kutoka Tume ya Uchaguzi ya

Kenya(ECK), ambayo iliwasilisha aina kadha za habari za kitakwi kwa Tume Huru ya

Uchunguz(IREC)i. Hizi zilikuwa ni pamoja na:

· Data ya matokeo ya uchaguzi (matokeo ya mwaka 2007 ya urais, bunge na madiwani).



· Idadi ya watu waliopiga kura , idadi ya wapiga kura waliosajilishwa (ikiwa ni pamoja na

wapiga kura wapya, kuhamishwa kwa wapiga kura, n.k)



· Data za Uchaguzi za siku za nyuma kutoka ripoti rasmi za ECK za Uchaguzi kuu za

1997 na 2002.



· Idadi ya vituo na sehemu za kupigia kura.



· Data za aina nyingine, kama vile, mgawanyiko wa kimakundi ya watu katika jumla ya

watu nchini na kiasi cha vifo kila mwaka zilipatikana kutoka kwa afisi ya Taifa ya

Takulikwimu na idara ya usajili wa raia mtawalia.



Tume Takiwimu ya Uchunguzi (IREC) iliomba Tume ya Uchaguzi ya Kenya(ECK)

iwasilishe faili za maeneobunge ambazo zilikuwa na nakala za fomu 16A kutoka vituo vya

kupigia kura za uchaguzi wa bunge na ule wa urais. Faili hizi pia zilikuwa na fomu 17A,

fomu 16 na data ya usimamizi inadhihirisha fomu zilizotumiwa kwenye kituo cha ujumlishi

cha taifa katika KICC kupokea matokeo (ya muda) . Uchambuzi takwimu na data ulizingatia

matokeo yaliyohitajika. Jambo hili lilifanywa kwa sampuli kielelezo cha maeneo bunge kwa

msingi wa vigezo vilivyoelezewa hapa juu na ambavyo viliruhusu kufikia maamuzi kuhusu

ukweli na uadilifu wa matokeo ya Tume ya Uchaguzi ya Kenya yaliyoteuliwa. Uchambuzi

ulihusu kuchunguza mfumo wa kuandika matokeo ya wagombea viti kuhamisha tarakimu

kutoka fomu moja rasmi hadi nyingine( tazama utaratibu wa kusimamia matokeo ulioo hapa

chini) na ambavyo matokeo yalijumlishwa na kusafirishwa. Jambo hili lilihitaji ufahamu

thabiti wa jinsi matokeo ya uchaguzi yanatengenezwa na fomu rasmi zinazotumiwa huku

uchaguzi mdogo ukifanywa kuhusiana na kama kuangalia upya ukweli na kujumlisha

TArakimu kwa hivyo methodolojia ilihusu uchambuzi wa aina mbalimbali.



(a) Kuangalia ukweli wa matokeo na matangazo yaliyozingatia fomu rasmi 16, 16A NA

17A. Jambo hili lilihusu kujumlisha kura zote katika fomu hizi na hata matokeo ya

mwisho ya taifa yaliyotolewa na Tume ya Uchaguzi ya Kenya (ECK) kuthibitisha

ukweli na mkokotoo wa mambo kama kura zilizokubalika na watu waliopiga kura.



(b) Kuangalia mifumo mingine ambayo ingehakikisha kuwepo kwa uadilifu wa utaratibu

mzima . Maeneo yanayoweza kuruhusu udanganyifu au udhaifu katika mfumo mzima

wa kusimamia matokeo yalimulikwa



(c) Kuunda upya fomu 17A ambayo ndiyo hati muhimu zaidi inayotumiwa kuleta

pamoja na kujumlisha matokeo kwenye kiwango cha eneo bunge. Hii ndiyo

iliyokuwa shughuli muhimu zaidi na ilijengeka kwenye hatua mbili za mwanzo.



(d) Hatimaye, ulinganishi ulifanywa kati ya tarakimu za kijumla tatu: Hesabu za Tume

ya Uchaguzi ya Kenya yenyewe za jumla za kila mgombea kiti, jumla za wagombea

viti zilizoorodheshwa katika fomu 17A na /au fomu 16; matokeo ya mwisho

yaliyochapishwa ya Tume ya Uchaguzi ya Kenya (ECK) , na kisha kumulika tofauti

na maana yake.







6. MAENEO BUNGE YALIYOCHAMB ULIWA



Kwa kutumia vigezo vilivyotolewa kwa muhtasari hapo juu, tuliweza kutengeneza orodha fupi

ya maeneo bunge kama 18 hivi ambapo uchunguzi na uchambuzi zaidi ulifanywa. Kila moja

wapo ya makundi matano ya maeneo yaliyoorodheshwa hapa chini yalitoa orodha ya maeneo

bunge. Baadhi yalipatikana katika zaidi ya kundi moja. Haya ndiyo yalitambuliwa kama kwa

uchambuzi zaidi.Baadhi ya takwimu kuhusiana na orodha ya maeneo bunge yaliyochambuliwa

yanaonyeshwa katika jedwali na kielelezo hapa chini.



Kupanga maeneobunge katika makundi kwa minajili ya uchambuzi



Ishara



A.Maeneo bunge 47 yaliyozozaniwa na ODM



B. Yaliyokuwa maauda baada ya uthibitishaji wa kura



C. Hizo zilikuwa fomu na tarakimu za fomu zilizotofautiana na kusanyo la data la ECK



D. Maeneo bunge 30 ambayo matokeo yake yalipokewa mwisho



E. Mambo mengine, k.m idadi kubwa sana ya waliopiga kura, madai makali yaliyofanywa, n.k

Orodha ya maeno bunge yaliyochambuliwa kwa makini zaidi

Eneo Bunge Visa katika kategoria



009 Changamwe D,E

017 Kaloleni A,B,D

034 Wajir Kaskazini E

043 Saku Baseline

051 North Imenti Kaskazini A,B,C

052 Imenti ya kati Haihusiki

066 Masinga C,E

070 Machakos Mjini C,E

082 Kieni A

090 Kirinyaga ya kati A,E

095 Maragwa E

100 Juja A,B,E

104 Limuru E

105 Lari B

138 Molo A,B,D

144 Kajiado Kaskazini A,B,C,D,E

155 Malava B,D,E

182 Bondo B,E

203 Bomachoge E

Idadi ya vitu vikuu

kuchagua mbunge









vidogo vya kupiga

vya kupigia kura

waliosajilishwa









zinazokubalika







zinazokubalika







zinazokubalika









zinazokubalika

Kura za pengo

Kura za bunge







Kura za bunge









% ya jumla ya









Idadi ya vituo

waliosajilisha

Wapiga kura









Kura zote za









kupiga kura

Kura za rais

Eneobunge









zilizopigwa









% ya kura









kura

A B C D E F G H I J K



1 Kaloleni 85,131 41,231 28,740 40,581 28,266 12,491 30.3 14.7 94 97



2 090 Kirinyaga Central 68,878 55,380 44,446 55,061 43,957 10,934 19.7 15.9 50 102



3 144 Kajiado North 107,390 79,901 66,190 78,351 63,273 13,711 17.21 12.8 117 188



4 203 Bomachoge 70,590 45,725 38,484 45,481 38,481 7,241 15.8 10.3 130 151



5 104 Limuru 65,771 52,343 44,769 51,940 44,078 7,574 14.5 11.5 46 97



6 100 Juja 163,657 119,964 114,808 119,050 113,646 5,156 4.3 3.2 69 231



7 138 Molo 126,361 100,066 95,967 99,143 94,725 4 099 4.1 3.2 120 204



8 095 Maragwa 70 524 6 0,117 58,899 59,795 58,163 1,281 2.0 1.7 72 113



9 182 Bondo 62,352 53,282 52,674 53,332 52,332 608 1.1 1.0 85 109



10 051 North Imenti 123,948 84,188 84,158 83,535 83,364 30 0.04 0.0 158 217



11 043 Saku 19,247 14,215 14,214 14,100 14,008 1 0.01 0.0 37 44



12 034 Wajir North 14,176 10,292 10,314 10,292 10,314 (22) (0.2) (0.2) 53 56



13 082 Kieni 84,687 73,057 73,898 72,896 72,269 (841) (1.2) (1.0) 109 145

14 105 Lari 59,391 50,082 51,015 49,864 50,681 (933) (1.8) (1.6) 62 95



15 155 Malava 67,242 35,578 42,983 35,507 41,864 (7,405) (17.2) (11.0) 96 124



16 070 Machakos Town 94,844 48,650 62,858 45,811 61,848 (14,208) (22.6) (15.0) 113 165







17 052 Central Imenti 78,243 45,209 60,807 44,907 60,205 (15,598) ((25.7) (19.9) 120 142



18 009 Changamwe 107,545 32,614 44,812 32,614 44,812 (12,198) (27.2) (11.3) 53 150



19 066 Masinga 51,302 23,341 34,818 22,942 34,317 (11,477) (33.0) (22.4) 118 129

Chanzo: Zimekokotolewa kwa kutumia matokeo ya ECK. Zile ambazo zina makosa

zimeonyeshwa vyema katika uchambuzi wa maeneo bunge.



Tarakimu zilizomo kwenye mabano zinamaanisha kwamba, kulikuwa na kura nyingi zilizopigia

wagombea kiti cha bunge kuliko za wale waliogombea urais.



Kura zinazohusika zinamaanisha kuwa maeneo bunge ambapo waliopigia kura za urais ni wengi

kuliko waliopiga kura za bunge, kura za pengo zinachukuliwa kuwa asilimia ya jumla ya kura

zilizopigiwa rais.



Katika maeneo ambapo kura zilizopigwa waliogombea kiti cha bunge ni wengi % ya pengo

inachukuliwa kama asilimia ya jumla ya kura zilizopigiwa waliogombea kiti cha bunge.







7. UCHAMBUZI



Kazi kuu ya uchanbuzi ni kuangalia upya utaratibu wa kujumlisha matokeo kwanzia kituo cha

kupigia kura hadi kiwango cha eneo bunge na kwa baadhi, hadi kiwango cha taifa. Kuunda upya

fomu ya 17A kulifanywa kwa kuchukua fomu 16A zote, kuangalia yaliyoandikwa katika fomu

ya 17 na kujumlisha katika karatasi tofauti ili kuwezesha zaidi kupatikana usahihi. Jambo

linalotupaaia sio jumla za vituo vya kupigia kura, bali pia jumla ya kila mgombea kiti katika

kiwango cha eneo bunge. Jambo hili linafanywa kwa matokeo ya urais na vilevile ya bunge.

Shughuli hii ilitupatia jumla tatu ambazo zililinganishwa ili kufikia ugunduzi wetu:



a) Jumla ya matokeo kwa kila mgombea kiti kulingana na kujumlisha sahihi kwa tarakimu

za fomu 16A.

b) Matokeo kama yaliyvotolewa na afisa wa uchaguzi wa eneo bunge katika fomu 17A au

zinazojumlishwa au kutangazwa katika kiwango cha eneo bunge.

c) Matokeo kama yalivyotolewa na matangazo ya mwisho ya ECK na yale yaliyochapishwa

hatimaye.



Hizi jumla tatu kisha zinalinganishwa kuona ikiwa tunafikia tarakimu tofauti. Tofauti

zinazofafanuliwa pale inapowezekana, kuna mkabala wa pili wa uchambuzi unaohusika na

hesabu rahisi za matokeo kama yalivyotolewa na ECK katika kiwango cha taifa hasa pale palipo

kuwa na tofauti kubwa baina ya waliopiga kura za urais na waliopiga kura za bunge. Jambo hili

pia limeleta maamuzi kuhusu usahihi wa vile matokeo/data zilivyoshughulikiwa.



8. MAMBO YALIYOGUNDULIWA





8.1. Muhtasari

Sehemu hii inawasilisha matokeo kutokana na uhakiki uliofanywa kuhusiana na baadhi ya maeneo bunge.

Inaonyesha majedwari ambayo yanaonyesha mkinzano katika matokeo kwenye hatua mbalimbali za

kutengeneza matokeo, na kwenye baadhi ya sehemu, mambo yaliyosababishwa na makosa hayo. Kwa

muhtasari, makosa yafuatayo yalipatikana:



· Makosa ya kuandika matokeo. Matokeo ya wagombea viti katika fomu 16A hayakujazwa kwa namna

sahihi katika fomu 17A. Matokeo ya baadhi ya wagombea viti yamechanganywa na yale ya

wagombea viti wengine. Matokeo ya baadhi yaliongezeka au kupungua, huku mengine yakiwa

hayakujazwa katika fomu 17A. Ingawa makosa haya yalihusu tu idadi ndogo ya wagombea viti, jumla

ya makosa hayo kwenye kiwango cha eneo bunge na cha taifa yangesababisha athari kubwa kama

ilivyo kuhusiana na Kirinyaga Central, Changamwe, Masinga na maeneo mengine kama

ilivyoorodheshwa hapa chini. Kuna visa vingine ambapo wagombea viti wadogo walikuwa na

tarakimu mbili zinazokina katika fomu 16A ile ile.





· Makosa ya mkokoto. Haya ndiyo yaliyokuwa makosa mengi na yaliyopatikana katika maeneo mengi.

Yalitokea katika viwango mbalimbali yaani:





Katika idadi kubwa ya fomu 16A katika vituo vya kupigia kura, jumla ya kura za wagombea viti

haikulingana na idadi ya kura zilizokubalika. Kura hizo zinapasua kulingana.







Katika fomu 17A, kura kutoka na mjumlisha wima kutoka vituo vyote vya kupigia kura ulionyesha

idadi tofauti na tarakimu zilizopatikana na afisa wa uchaguzi katika eneo bunge na wakati jumla zetu

wenyewe zilitofautiana na tarakimu zilizotumwa kituo cha taifa za kumjulisha kura kwenye KICC.







· Tofauti zizoonekana. Kwenye maeneo bunge machache, kulikuwa na tofauti baina ya idadi ya

mwisho ya kura za eneo bunge (jumla yote katika fomu 17A) na tarakimu za fomu 16 ambazo

zilitumwa au kupokelewaKICC. Baadhi yake ziliingia katika matokeo ya mwisho yaliyochapishwa na

ECK.





· Makosa ya mfumo kulikuwa na makosa makubwa na yaliyoonekana katika matokeo ya mwiso

yaliyochapishwa na ECK, kuhusiana, tarakimu zilizotolewa kama kura halali jumla ya kura zilizopigwa

na asilimia ya waliopiga kura. Kwa mfano kujumlisha kura za wagombea viti wote kunapaswa

kuonyesha jumla ya kura halali. Jambo hili likifanywa kwa mkono, kura zinatofautiana na tarakimu

zinazoonyeshwa kama kura halali katika matokeo ya ECK. Jambo hili linabadilisha kura zilizopigwa

na idadi ya waliopiga kura. Hali hii iligunduliwa katika idadi kubwa ya maeneo bunge katika matokeo

ya ECK. Inaonyesha kutokuwa na mfumo wa kujitadhimini katika njia iliyotumiwa kuhifadhi na

kuchapa matokeo y mwiso.





Visa Kura kuachwa bila kuandikwa. Kwa mfano, matokeo ya wagombea viti katika fomu 16A ambazo

hazikuandikwa katika fomu 17A au kura zilizokaliwa ambazo zimeandikwa katika fomu 16A nyingi

zikiwa hazika katika matokeo ya mwisho. Kwa mfano, matokeo ya ECK yanaonyesha Changamwe na

Wajir North zikiwa hazina kura zozote zilizokataliwa, jambo ambalo kwa hakika haliwezekani.

Kuchunguza fomu 16A kuhusiana na maeneo bunge haya kunaonyesha idadi kubwa ya kura

zilizokataliwa katika 16A lakini sio katika matokeo ya mwisho.



Inapasa takwimu zilizomo hapa chini zisomwe pamoja na karatasi zilizotumiwa kufikia takwimu ili mtu

aone maoni yaliyotolewa kuhusiana na kila kisa na fomu chache za 16A ambazo zilikuwa zinakosekana

na ambazo ECKilitupatia.

8.2. Kirinyaga Central





Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 090 Kirinyaga Central





Kujumlisha Matokeo rasmi Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti

kwetu yaliyochapishwa mwisho ya tarakimu

wenyewe ya ECK yaliyosahihishwa katika 17A

kwa matokeo na ECK bila tofauti

ya fomu 16 ya data

na jumal iliyoandikwa

sahihi

A B C D B-A

Wagombea Urais

Kibaki Mwai 55,097 52,866 54,219 (2,231)

Kukubo Nixon 8 8 8 -

Matiba Kenneth 10 9 9 (1)

Musyoka Stephen 59 53 57 (6)

Mwangi Pius 36 37 40 1

Ngacha Joseph 150 130 133 (20)

Ngethe David 13 2 13 (11)

Odinga Raila 601 580 595 (21)

Rajput Nazlin 4 3 3 (1)

Jumla ya kura halali 55,978 55,061 53,688 55,077 (2,290)

Kura zilizokataliwa 319 319 319 318 -

Jumla ya kura zilizopigwa 56,297 55,380 54,007 55,395 (2,290)

Waliopiga kura 81.73% 80.40% 78.41% 80.42% -3.32%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK.

Fahamu: Haiwezekani kulinganisha na tarakimu za fomu 16 kwa vile kuna fomu



16 mbili zenye tarakimu tofauti.







Mambo yaliyogunduliwa:



· Tofauti kuu baina ya idadi yetu na tangazo la mwisho.

· Kuna fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wa uchaguzi.

· Kuna nambari zilizotiwa katika fomu 17A kwa namna isiyofaa.

· Kujumlisha kuliko na makosa kwa kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK kunakosababisha mambo

yafuatayo:

a. idadi ya kura halali iliyotolewa na ECK si sahihi. Idadi ya kura zote zilizopatikana na wagombea viti tisa ni

53,688, sio 55,061 kama ilivyotolewa na ECK. Pamoja na kura zilizokataliwa 319, idadi mya* ni 54,007 (sio

55,380 kama ilivyotolewa na ECK) na Jumla ya waliopiga kura ni 78% (sio 80.4% kama ilivyotolewa na ECK)





Jambo hili linapunguza pengo la ECK baina ya chaguzi mbili kutoka kura zaidi za rais 10,934 (au asilimia 15.87 ya

waliopiga kura) hadi kura zaidi za bunge 3,579 (au asilimia 5.2 za waliopiga kura.

Uchaguzi wa Bunge



Uchambuzi wa Kirinyaga Central



Jumla ya watu Matokeo katika Matokeo ya Matokeo ya Tofauti

wenyewe ya fomu 17A na 16 mwisho ya ECK mwisho

matokeo ya fomu yaliyorekebishwa

16A



A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Abubakar Hasaia I. 214 219 219 5

Gatimu Pauline W. 353 536 536 183

Gichuki Evan M. 126 126 126 -

Giture Eric K. 479 474 474 (5)

Kagondu Andrew M. 621 226 226 (395)

Kaponda D. 379 372 372 (7)

Dickson Daniel Karaba 17,270 17,151 17,151 (119)

Karimi Dishon K. 354 336 336 (18)

Thomas Raymond K. 326 309 309 (17)

Kariuki John Ngata (Mshindi ECK) 17,268 17,219 17,219 (49)

Keriri John M. 4,537 7,298 7,298 2,761

Kinyua Edwin M. 9,597 9,239 9,239 (358)

Mbui Nicholas K. 1,078 948 948 (130)

Mwangi Lawrence R. 206 199 199 (7)

Mwaniki Henry M.J. 1,918 1,855 1,855 (63)

Njeru Samuel K. 208 257 257 49

Njiru James N. 305 309 309 4

Njogu Richard M. 31 24 21 (7)



Jumla ya kura halali 55,270 54,688* 43,957 57,097

Kura zilizokataliwa 512 489 489 489

Jumla ya kura zilizopigwa 55,782 54,199* 44,446 57,586

Waliopiga kura 80.99% 64.53% 83.61%

Chanzo: nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK



Idadi iliyopatikana moja kwa moja kutoka fomu 17A. Kujumlisha kura za wagombea viti wote inaleta kura

halali 57,586 kama ilivyo katika D



Mambo yaliyogunduliwa



· Tofauti kuu baina ya kujumlisha kwetu na matangazo ya mwisho.

· Kujumulisha kulio na makosa kuhusu kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK.

· Kuna fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wakuu wa uchaguzi.





Mambo Muhimu yaliyogunduliwa:



Takwimu zetu na kujumulisha kura kutoka fomu 16A za vituo vyote vya kupigia kura zinaonyesha kwamba mshindi

aliyetangazwa hakuwa ameshinda. Kulingana na ECK/RO mshindi alikuwa Kariuki John Ngata akiwa na kura 17,219

zikilinganishwa na kura 17,151 za Dickson Karaba. Kujumulisha kwetu kunaonyesha kura za Dickson Daniel Karaba

zikiwa 17,270 na za Kariuki John Ngata zikiwa 17,268. Jambo hili linaleta hali ya kinyume na tangazo la mshindi wa

kiti cha bunge.



8.3. Kajiado North

Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 144 Kajiado North



Jumla za watu Matokeo katika Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

wenyewe fomu 17A mwisho rasmi jumla za 17A na

matokeo ya ya ECK matokeo ya

fomu 16A mwisho ya ECK

A B C D C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 49,055 49,038 49,038 (17)

Kukubo Nixon 1 1 1 -

Matiba Kenneth 12 97 97 85

Musyoka Stephen 3,260 3,644 3,664 404

Mwangi Pius 55 68 68 13

Ngacha Joseph 127 131 131 4

Ngethe David 11 10 10 (1)

Odinga Raila 28,921 25,330 25,330 (3,591)

Rajput Nazlin 30 32 32 2



Jumla ya kura halali 81,472 81,485 78,351 78,371

Kura zilizokataliwa 758 1,550 1,550

Jumla ya kura zilizopigwa 82,243 79,901 79,921

Waliopiga Kura 76.58% 74.4% 74.42%

Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK

Fahamu: Idadi katika, matokeo ya mwisho ya ECK si sahihi, idadi sahihi imo katika D

.. inamaanisha nambari haikutolewa katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Tofauti baina ya idadi yetu na tangazo la mwisho

· Idadi yenye makosa ya kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK

· Fomu ya moja haikuwa katika faili tuliyopatiwa na ECK, matokeo ya fomu hiyo pia hayakuwemo

katika fomu 17A









Uchaguzi wa Bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge Kajiado North

Jumla ya kura ya Matokeo katika Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

watu wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya jumla ya kura

ya matokeo ya ECK katika 17A na

form 16A matokeo ya

mwisho ya ECK

A B C D C-A

Uchaguzi wa bunge

Abincha Mogambi Harrison 57 60 141 84

Gitau Francis Parsimei 320 331 528 208

Gitonga Eric Maurice 193 190 274 81

Kerina Hellen Mokune 59 63 63 4

Kinyanjui Solomon 1,145 1,133 152 (993)

Mahinda Gerald Wamwangi 177 156 14 (163)

Mbuchi Wanjiru Judy 19 29 6 (13)

Murunga Mathew 33 38 2 (31)

Ngossorr Soila Florence 87 87 8 (79)

Otieno Wambui 156 145 22 (134)

Saitoti George 46,850 46,591 40,376 (6,474)

Sakuda Moses Ole Somaine 31,942 31,376 21,642 (10,300)

Sane Ole Saroni 246 259 10 (236)

Oleseki Oliver Lemachon 116 132 26 (90)

Wambui Julius 156 154 22 (134)

Jumla ya kura halali 81,556 80,744 63,273 63,286 ..

Kura zilizokataliwa .. 2,917 2,917 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. 66,190 66,203 ..

Waliopiga Kura .. 61.64% 61.65% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK

Fahamu: Jumla katika matokeo ya mwisho ya ECK yana kasoro, idadi sahihi imo katika D.

.. inamaanisha kwamba namba haikuwemo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Tofauti kubwa baina ya kujumlisha kwetu, namba zilizomo katika 17A na tangazo la mwisho.

· Kujumlisha kuliko na makosa kwa kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK.









8.4. Kaloleni



Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 017 Kaloleni



Jumla ya watu Matokeo katika Matokeo ya Tofauti

wenyewe za fomu 17A mwisho rasmi

fomu 16A ya ECK

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 16,816 16,879 16,879 63

Kukubo Nixon 68 64 64 (4)

Matiba Kenneth 73 68 65 (8)

Musyoka Stephen 1,537 1,535 1,535 (2)

Mwangi Pius 140 136 136 (4)

Ngacha Joseph 89 71 71 (18)

Ngethe David 65 62 62 (3)

Odinga Raila 21,748 21,716 21,716 (32)

Rajput Nazlin 50 50 50 -

Jumla ya kura halali 40,586 40,581 40,581 (5)

Kura zilizokataliwa 657 650 650 (7)

Jumla ya kura zilizopigwa 41,243 41.231 41,231 (12)

Waliopiga Kura 48.45% 48.43% 48.43% -0.01%

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Kuna fomu 16A zilizo na jina la afisi wa uchaguzi Yuleyule zinazoonekana kuwa na sahihi tofauti.

· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisi ya uchaguzi.

· Tofauti ndogondogo baina ya kujumlisha, nambari zilizomo katika fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 017 Kaloleni



Jumla za watu Matokeo katika Matokeo ya Tofauti

wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya

matokeo ya ECK

fomu 16A

A B C C-A

Uchaguzi wa bunge

James Rophus Baya 724 496 (228)

Bemwacbaya Japhet Kanyume 307 139 (168)

Kenga Emanuel Chengo 117 72 (45)

Chome Onesmus Habel 429 342 (87)

Dzoro Morris Mwachondo 2,721 1,916 (805)

Fondo James Kitsao 167 115 (52)

Chea Mwinga Gunga 1,984 1,683 (301)

Jangaa Simon Chagga 407 350 (57)

Kambi Samuel Kazungu 13,276 7,441 (5,835)

Katama Gideon Mwambaji 175 135 (40)

Kenga Michael Mure 6,773 6,410 (363)

Kulumba Betty Wavinya 132 77 (55)

Luganje Esther bahati 164 1,640 1,476

Malanga Alice Mbetsa 71 46 (25)

Maneno Betty Kabibi James 739 571 (168)

Mangi Raymond Furaha 547 387 (160)

Kamto Kenneth Mwakombo 861 430 (431)

Mwamkale William Kamoti 6,844 3,685 (3,159)

Mwamure bakari toya 718 475 (243)

Mwarandu Ferdinand Katana C 530 322 (208)

Mwaringa Beatrice Mwaka 239 135 (104)

Ngala Jimmy F C 1,506 1,100 (406)

Hassan Nuru Lula 88 34 (54)

Watsuma Anderson Chibule 520 265 (255)



Jumla ya kura halali 40,039 28,266 (11,773)

Kura zilizokataliwa 474 474 ..

Jumla ya kura zilizopigwa 50,513 28,740 ..

Waliopiga Kura 47.59% 33.76% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK

Fahamu: Fomu 17A haieleweki vizuri ili kuwezesha kusomeka kuzuri kwa matokeo ya wagombea viti.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisa wa uchaguzi.

· Fomu 16A moja ina majina ya watu ambao hawamo katika orodha ya ECK ya wagombea viti.

· Baadhi ya wagombea viti wana matokeo tofauti katika fomu 16A ileile.

· Tofauti kubwa baina ya jumla yetu, fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.







8.5 Limuru



Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 104 Limuru



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 48,302 48,389 48,389 87

Kukubo Nixon 7 6 6 (1)

Matiba Kenneth 11 10 10 (1)

Musyoka Stephen 443 439 439 (4)

Mwangi Pius 14 15 15 1

Ngacha Joseph 129 123 123 (6)

Ngethe David 11 13 13 2

Odinga Raila 2,988 2,934 2,934 (54)

Rajput Nazlin 10 11 11 1

Jumla ya kura halali 51,915 51,940 51,940 25

Kura zilizokataliwa 411 403 403 (8)

Jumla ya kura zilizopigwa 52,326 52,343 52,343 17

Waliopiga Kura 79.56% 79.58% 79.58% 0.03%

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Fomu 16A moja haikujazwa katika fomu 17A

· Fomu 16A haikutiwa sahihi na afisi wa uchaguzi.

· Fomu 16A ya 040 haikutiwa sahihi na RO.

· Matokeo ya mwisho ya form 16 ya wagombea viti wote yameongezeka isipokuwa kwa Odinga Raila ambapo

yamepungua kwa 3,144 (matokeo ya muda) hadi 2,934 (matokeo ya mwisho)

· Tofauti ya kiwango kikubwa baina ya idadi yetu,fomu takwimu za 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.









Uchaguzi wa bunge

Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 104 Limuru

Kujumlisha Matokeo katika Matokeo ya Jumlisha sahihi Tofauti

kwetu wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya za matokeo ya

kwa matokeo ya ECK Limuru

fomu 16A

A B C C-A

Wagombea viti vya bunge

Chege John Kiragu 7,342 7,028 6,371 (971)

Kamau Keneth Chege 1,398 1,317 1,248 (150)

Kamau Mwaniki Charles 8,957 8,470 8,325 (632)

Kariuki George Njoroge 837 813 759 (78)

Kariuki Joram Gathini 166 156 132 (34)

Kimani Joseph Munyaka 250 3,077 212 (38)

Kiratu Christopher D.M. 212 186 178 (34)

Kuria Simon Kanyingi 3,337 3,118 2,810 (527)

Maara George Jonathan 5,897 5,671 4,021 (1,876)

Mbugua Mercy Muthoni 286 289 266 (20)

Mburu George Mwaura 145 684 655 510

Mirie George Ndungu 414 423 388 (26)

Mwathi Peter Mungai 14,924 14,543 13,552 (1,372)

Mwaura Esther Wanjiku 565 609 533 (32)

Ngugi Job Kariu 151 150 125 (26)

Njonjo Apollo Luciano 2,044 2,085 1,428 (616)

Njoroge James Mingi 74 60 44 (30)

Nyanja George Boniface N M 2,458 2,555 2,406 (52)

Paul John Njoroge 1,714 1,724 1,115 (599)

Thuku Peter Kimani 135 420 111 (24)

Waweru Samuel Chege 61 60 53 (8)

Jumla ya kura halali 51,367 53,438 44,078 44,732 (7,289)

Kura zilizokataliwa 571 691 691 ..

Jumla ya kura zilizopigwa 54,009 44,769 45,423 ..

Waliopiga Kura 82.12% 68.07% 69.06% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Kujazwa zaidi ya mara kwa kura za baadhi ya wagombea kitu katika baadhi ya vituo vya kupigia kura.

· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisa wa uchunguzi

· Matokeo ya Njoroge Paul John yanaoonyeshwa kama 1,724 katika fomu 17A lakini zinaoonyeshwa kama 7,028

katika fomu 16 kisha kama 1,115 katika matokeo ya mwisho ya ECK.

· Matokeo ya Kimani Joseph Munyuka yameonyeshwa kama 3,077 katika fomu 17A na fomu 16, kasha kama

212 katika matokeo ya mwisho ya ECK.

· Katika barua kwa ECK ya tarehe 27 Disemba 2007 afisa mkuu wa uchaguzi katika eneo bunge ameandika

kwamba wakati walipokuwa wanakusanya data kwa minajili ya matokeo ya bunge hakuna wakala walikuwepo

ili kutia sahihi fomu 17.

Ingewezekana kwa hata mmoja miongoni mwa wagombea viti bunge 21 au mawakala kutokuwepo siku ya

mchaguzi?



Matokeo ya mwisho ya ECK hayalingani kamwe na yale yaliyomo katika fomu 16 ya tarehe 28 Disemba 2007.

Kile ambacho kimechapishwa kama matokeo ya mwisho ya ECK ni matokeo ya muda yaliyopokelewa 28

Disemba 2007 na kuthibitishwa na afisa mkuu wa uchaguzi katika eneo bunge tarehe 29 Disemba 2007.



Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 182 Bondo



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi ya matokeo

wenyewe kwa 17A ya ECK ya mwisho ya

matokeo ya ECK

form 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 156 148 148 (8)

Kukubo Nixon 1 1 1

Matiba Kenneth 2 3 3 1

Musyoka Stephen 9 7 7 (2)

Mwangi Pius 4 5 5 1

Ngacha Joseph - -

Ngethe David 5 4 4 (1)

Odinga Raila 56,022 53,202 53,202 (2,820)

Rajput Nazlin 15 16 16 1

Jumla ya kura halali 56,214 54,026 53,173 53,386 (3,041)

Kura zilizokataliwa 110 109 109

Jumla ya kura zilizopigwa 56,214 54,136 53,282 53,495

Waliopiga Kura 90.16% 86.82% 85.45% 85.80%

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK

Fahamu: idadi ya ECK ya kura halali si sahihi. Idadi sahihi iko katika safu ya tarakimu D.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya matokeo ya fomu 16A ya vituo vya kupigia kura zimeandikwa vibaya katika fomu 17A.

· Baadhi ya fomu 16 hazijatiwa sahihi na afisa mkuu wa uchaguzi katika kituu cha kupigia kura.

· Baadhi ya vituo vya kupigia kura vilipata asilimia ya wapiga kura 98. Kimojawapo cha kituo kina 100%

· Kupunguzwa kura/tofauti kubwa baina kujumlisha kwetu wenyewe na matokeo ya mwisho ya ECK, kwa

Odinga Raila.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 182 Bondo



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Mgombea kiti cha bunge

Agunga Alfred Nyandimo 740 320 321 (419)

Oginga Dr. Oburu 49,511 45,270 45,270 (4,241)

Ogola Gideon Ochanda 7,610 6,811 6,741 (869)

Jumla ya kura halali 52,218 52,218 52,332 114

Kura zilizokataliwa .. 225 342 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. 52,443 52,674 ..

Waliopiga Kura .. 84.11 84.48% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK

inamaanisha tarakimu ambazo hazimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi fomu 16A hazimo kwenye faili. Matokeo yanapatikana kutoka fomu 17A makosa ya maandishi na

kuhesabu katika fomu 17A 100.05% ya kura halali kwa mgombea kiti aliyeshinda.

· Baadhi ya matokeo ya fomu 16A yameandikwa vibaya katika fomu 17A.









Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 203 Bamachoge



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 26,176 26,967 26,967 791

Kukubo Nixon 35 - - (35)

Matiba Kenneth 46 19 19 (27)

Musyoka Stephen 224 177 177 (47)

Mwangi Pius 38 52 52 14

Ngacha Joseph 348 312 312 (36)

Ngethe David 57 83 83 26

Odinga Raila 20,043 18,070 18,070 (1,973)

Rajput Nazlin 33 45 45 12

Jumla ya kura halali 47,000 45,725 45,725

Kura zilizokataliwa .. - 3

Jumla ya kura zilizopigwa .. 45,725 45,728

Waliopiga Kura .. 64.78% 64.78%

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK

.. inamaanisha tarakimu ambayo haikuonyeshwa katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Matokeo yanayofanana katika shule mbili za msingi za Amatagaro.

· Baadhi ya fomu 16A ambazo hazikutiwa sahihi na mkuu wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.









Uchaguzi ya bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 203 Bomachoge



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi matokeo ya

wenyewe kwa 17A ya ECK mwisho ya

matokeo ya ECK

form 16A

A B C C-A

Wagombea kiti cha bunge

Atati William Moturi 261 215 215 (46)

Michoti David Mogendi 308 337 337 29

Migiro Samuel Ongori 756 581 581 (175)

Omamba Ben Mogaka 282 299 299 17

Mogeni Samuel Osoro 497 539 539 42

Peter Jim Momanyi 326 316 316 (10)

Mwema Nathan Onkundi Ogesare 80 139 139 59

Nyakora Musa Ondara 413 309 309 (104)

Nyameyio Samson Nyakweba 470 262 262 (208)

Nyamwamu Cyprian Orina 3,397 1,084 1,084 (2,313)

Oigara Cedius N. Nyachwati 354 191 191 (163)

Nyangwara Zaphaniah Moraro 7,231 5,746 5,746 (1,485)

Nyaudi Albert Mbaka 7,159 7,133 7,133 (26)

Obondi Lugard Mogusu 464 442 442 (22)

Obure Ferdinand Ondabu 1,694 824 824 (870)

Nyaudi Simon Ongari 6,219 7,221 7,221 1,002

Oirere Bororo Onyimbo Naftal 747 704 704 (43)

Omagwa Zacharius Nyangena 89 93 93 4

Omboga Johnson Ondego 288 261 261 (27)

Omwemo James Ombasa 499 339 339 (160)

Ondabu Jason 200 308 308 108

Ontiri Machana Mokua 149 165 165 16

Onukoh Paul Nyabere 412 318 308 (104)

Omagwa Joel Onyancha 13,277 9,076 9,076 (4,201)

Koina Onyancha 581 242 242 (339)

Oseko Isaac Mbaka 776 621 621 (155)

Masea Arnold Benson Ototo 402 266 266 (136)

Siagi Moses Nyandieka 438 450 450 12



Jumla ya kura halali .. .. 38,481 38,471 ..

Kura zilizokataliwa .. .. 3 3 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 38,484 38,474 ..

Waliopiga Kura 54.52% 54.50% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK

.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia.

Fahamu: idadi katika matokeo ya ECK si sahihi, idadi sahihi imo katika safu ya tarakimu D.









8.8 Juja

Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 100 Juja



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A na 16 ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 101,003 100,390 100,390 (613)

Kukubo Nixon 16 35 35 19

Matiba Kenneth 47 67 67 20

Musyoka Stephen 4,986 4,409 4,409 (577)

Mwangi Pius 92 80 80 (12)

Ngacha Joseph 257 219 219 (38)

Ngethe David 21 61 61 40

Odinga Raila 13,948 13,752 13,752 (196)

Rajput Nazlin 48 37 37 (11)

Jumla ya kura halali 120,418 119,050 119,050 (1,368)

Kura zilizokataliwa .. 914 914

Jumla ya kura zilizopigwa .. 119,964 119,964

Waliopiga Kura .. 73.30% 73.30%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK

Fahamu: Haiwezekanai kulinganisha na tarakimu za fomu 16 kwa vile kuna fomu 16 mbili zenye tarakimu tofauti.

.. inamaanisha tarakimu ambayo haimo katika hati asilia.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wakuu wa vituo vya kupigia kura.

· Fomu 16A chache zenye sahihi zinazotofautiana zilizotiwa sahihi na afisa mkuu wa kituo cha kupigia kura.

· Baadhi ya maafisa wakuu wa vituo vya kupigia kura wanaonyesha majina na habari za wapiga kura

walioruhusiwa kupiga kura kutoka Black Book na rejista ambamo majina yanatokea zaid ya mara moja.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 100 Juja



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A na 16 ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Mgombea kiti cha bunge

Enos David Nzioka 2,813 2,653 2,653 (160)

Gathua Eunice Gathigia 1,032 832 832 (200)

Gitau William Kabogo 34,114 32,987 32,987 (1,127)

Githaiga Dick Maina 2,649 2,621 2,621 (28)

Kimamia Beatrice Wairimo 277 268 268 (9)

Kiama Peter Wangai 287 272 272 (15)

Kibugu Agness Wangui 1,029 973 973 (56)

Kihara Freddie Kirima 430 472 472 42

Kirika Mary Wanjiru Mwaniki 661 661 661 -

Moreka David Nyamache 7,651 7,410 7,410 (241)

Ndabi Stephen Ndichu 2,964 2,924 2,924 (40)

Ng ang a Alice Wambui 9,541 9,252 9,252 (289)

Thuo George 55,728 52,321 52,321 (3,407)

Jumla ya kura halali 119,176 113,646 113,646 (5,530)

Kura zilizokataliwa .. 1,162 1,162

Jumla ya kura zilizopigwa .. 114,808 114,808

Waliopiga Kura .. 70.15% 70.15%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK

.. inamaanisha hakuna tarakimu iliwoandikwa katika hati asilia.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16Ahazimo katika faili tarakimu zilipatikana katika fomu 17A.

· Idadi kubwa ya fomu 16A hazijaandikwa katika fomu 17A.

· Fomu 16A zenye afisa mkuu ni mmoja wa kituo cha kupigia kura lakini sahihi tofauti.









8.9 Molo



Uchaguzi wa urais



Uchambuzi wa uchaguzi wa urais wa 138 Molo



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi matokeo ya

wenyewe wa 17A ya ECK mwisho ya

matokeo ya ECK

form 16A na

idadi sahihi

A B C D C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 75,314 75,611 75,261 (53)

Kukubo Nixon 12 11 12

Matiba Kenneth 44 45 46 2

Musyoka Stephen 263 264 222 (41)

Mwangi Pius 38 35 19 (19)

Ngacha Joseph 303 294 266 (37)

Ngethe David 43 42 34 (9)

Odinga Raila 22,510 22,580 23,268 758

Rajput Nazlin 18 15 12 (6)

Jumla ya kura halali 98,545 98,897 99,143 99,140 598

Kura zilizokataliwa .. 1,016 923 923 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. 99,913 100,066 100,063 ..

Waliopiga Kura .. 79.07% 79.19% 79.19% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK

.. inamaanisha tarakimu ambazo hazimo katika hati asilia

Fahamu: Tarakimu ya ECK ya kura halali si sahihi, idadi sahihi imo katika safu tarakimu D.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa Uchaguzi wa bungewa 138 Molo



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea kiti cha bunge

Ayub Jesse Mwaniki 243 302 59

Gaithya Simon Ndungu 448 545 97

Philip Nduhiu Githambo 164 191 27

Karanja Kabage 4,605 5,436 831

Joyce Njoki Karimi 131 175 44

Kiarie Stephen Karanja 153 175 22

Kimani Joseph Kamau 228 271 43

Kinyanjui Johnson Mwamba 551 868 317

Manini George Githua 161 247 86

Mukiri Macharia 601 764 163

John Njenga Mungai 6,865 10,340 3,475

Njogu James Mwangi 780 718 (62)

Kiuna Joseph Nganga 43,243 54,057 10,814

Dickson Ngigi Ngugi 113 123 10

Njeri Mary Kulankash 80 95 15

Wambui Florence Njoroge 99 118 19

Karanja Njoroge Mungai 350 513 163

Njoroge Philip Thuo 48 84 36

Njunga Michael 214 348 134

Sang Peter Kipngetich 17,885 18,603 718

Maina Stephen Thuo 59 84 25

Tonui Samwel Kipkemoi 171 666 495



Jumla ya kura halali 77,192 .. 94,725 17,533

Kura zilizokataliwa .. .. 1,242

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 95,967

Waliopiga Kura ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A na 17 za ECK

Fahamu: Tarakimu sahihi ya kura halali katika safu C ni 94, 723 ikifanya jumla ya kura zilizopigwa kuwa 95,965.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili, haziwezi kusomwa katika 17A kwa sababu faila haina fomu 17A, jambo

ambalo halijatolewa maelezo na afisa wa uchaguzi wa eneo bunge.

· Baadhi ya fomu 16A hazijatiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa vituo vya kupigia kura.

· Baadhi ya fomu 16A zinaonekana hazijakamilika kwa sababu hazina na baadhi ya wagombea uchaguzi.



8.10 Maragwa

Uchaguzi wa Rais

Uchambuzi wa Uchaguzi wa Rais wa 095 Maragwa



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A

wenyewe wa 17A & 16 ya ECL na matokeo

matokeo ya ya mwisho ya

form 16A na ECK

idadi sahihi

A B C D C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 56,429 56,439 56,439 10

Kukubo Nixon 15 15 15 -

Matiba Kenneth 26 25 25 (1)

Musyoka Stephen 577 564 564 (13)

Mwangi Pius 28 29 29 1

Ngacha Joseph 205 198 198 (7)

Ngethe David 10 10 10 -

Odinga Raila 471 460 460 (11)

Rajput Nazlin 13 14 14 1

Jumla ya kura halali 57,774 59,795 59,795 57,754 2,021

Kura zilizokataliwa .. 322 322 322

Jumla ya kura zilizopigwa .. 60,117 60,117 58,076

Waliopiga Kura .. 85.24% 85.24% 82.35%

Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Fomu 16A ambayo haijatiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura lakini iliyotiwa sahihi na

naibu wake.

· Fomu 16A yenye sahihi tofauti lakini matokeo yaleyale.









Uchaguzi wa bunge

Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 095 Maragwa





Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea kiti cha bunge

Elias Peter Mbau 18,355 18,266 18,266 (89)

Gituabiah Paul 613 623 623 10

Kariuki Maina John 4,915 5,036 5,036 121

Kimani Mathew Mwangi 2,244 2,194 2,194 (50)

Kioi Mark Kamande 803 756 756 (47)

Macharia Francis Gachihi 2,481 2,345 2,345 (136)

Maluki Mohammed Omari 187 3,553 3,553 3,366

Mwangi Peter Kamande 16,806 16,531 16,531 (275)

Mwaura John B Kirore 1,439 1,458 1,458 19

Mwirigi Maurice Njuguna 811 798 798 (13)

Nganga Samwel Kamunu 392 403 403 11

Ngugi Martin Njuguna 307 272 272 (35)

Ngwiri Simon W. Kimani 225 200 200 (25)

Njue John Muguini 187 158 158 (29)

Wainaina Peterson 357 349 349 (8)

Watailor Stephen N. Kinuthia 6,335 5,221 5,221 (1,114)



Jumla ya kura halali 56,457 58,163 58,163 ..

Kura zilizokataliwa .. 736 736 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. 58,899 58,899 ..

Waliopiga Kura .. 83.52% 83.52% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A ya ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A zilitiwa sahihi na naibu wa afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.

· Baadhi ya fomu 16A hazina katika faili lakini tarakimu zilisomwa katika fomu 17A.









8.11 North Imenti



Uchaguzi wa Rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa Rais katika 051 North Imenti





Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 89,691 84,006 78,684 (11,007)

Kukubo Nixon 22 20 18 (4)

Matiba Kenneth 46 45 37 (9)

Musyoka Stephen 821 460 802 (19)

Mwangi Pius 115 113 107 (8)

Ngacha Joseph 301 245 476 175

Ngethe David 60 26 16 (44)

Odinga Raila 3,617 3,300 3,370 (247)

Rajput Nazlin 30 52 25 (5)

Jumla ya kura halali 94,703 88,267 83,535

Kura zilizokataliwa .. .. 653

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 84,188

Waliopiga Kura .. .. 67.92%

Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK

.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo kwenye faili na fomu 17A zinaonyesha kwamba majina ya maeneo bunge

yameandikwa lakini matokeo hayakujazwa humo. Ni wazi katika fomu 17A.

· Baadhi ya fomu 16 hazikutiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.

· Fomu 16A mibli zenye matokeo sawa (katika 054 Gikumene Primary school)

· Matatizo katika tarakimu za kituo cha kupigwa kura cha 135 Njuri Ncheke stree katika fomu 17A.

· Kujumulisha sahihi kwa matokeo ya wagombea viti kutoka vituo vya kupigia kura kunaonyesha idadi tofauti

katika fomu 17A kama ifuatavyo

· Jumla ya kura halali inakuwa 89,438.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 051 North Imenti



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi ya jumla za

wenyewe wa 17A & 16 ya ECK matokeo ya

matokeo ya mwisho ya

fomu 16A na ECK

idadi sahihi

A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Akandi Fredrick Kiogora 1,785 1,252 (533)

Angaine John Mugambi 11,235 9,266 (1,969)

Gichuru Francis Xaxier 1,157 1,008 (149)

Kiogora Abonyai Mutuerandu 3,407 3,770 363

Marete Isaac Kinoti 264 596 332

Mbeeria Jeremiah baariu 1,353 1,219 (134)

Mbuba Peter Rwanda 449 526 77

Meenye Gideon Kaumbuthu 9,531 8,275 (1,256)

Mugah Paul Murungah 1,119 975 (144)

Muthamia Morris morgan 1,028 706 (322)

Mwiraria Daudi 22,867 20,422 (2,445)

Mburugu Ephriam mwirigi 766 574 (192)

Ringera Karambu Lillian 2,073 1,758 (315)

Ringera Stephen Kirimi 2,066 1,758 (308)

Ruteere Silas Muriuki 33,444 30,603 (2,841)

Terah Flora Igoki 1,469 720 (749)

Jumla ya kura halali 94,013 .. 83,364 83,428 ..

Kura zilizokataliwa .. .. 794 794 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 84,158 84,222 ..

Waliopiga Kura .. .. 67.90% 67.95% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK

Fahamu: kujumlisha katika matokeo ya mwisho ya ECK sio sahihi, idadi sahihi imo katika safu D.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na fomu 17A zinaonyesha majina ya vituo vya kupigia kura zipo lakini

matokeo hayakuandikwa.

· Matokeo yanayofanan a katika sehemu za A na C za 011 Madaraka primary schoo.









Wajir North



Uchaguzi wa Rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 034 Wajir North





Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

fomu 16A idadi

sahihi

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 5,084 5,244 5244 160

Kukubo Nixon 5 5 5 -

Matiba Kenneth 6 5 7 1

Musyoka Stephen 30 29 29 (1)

Mwangi Pius 4 3 3 (1)

Ngacha Joseph 6 6 6 -

Ngethe David 4 4 4 -

Odinga Raila 5,166 4,988 4988 (178)

Rajput Nazlin 6 5 6 -

Jumla ya kura halali 10,312 10.289 10,292 (20)

Kura zilizokataliwa 35 28 -

Jumla ya kura zilizopigwa 10,347 10,317 10,292

Waliopiga Kura 72.99% 72.78% 72.60%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Ni mambo machache yaliyogunduliwa,isipokuwa kuhesabu kwetu kunaonyesha kura 35 zilizokataliwa,28

zikiwa zimeonyeshwa katika fomu 17A, lakini matokeo ya mwisho hayaonyeshi kura zozote zilizokataliwa.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa bunge wa 034 Wajir North



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17a ya ECK

matokeo ya

fomu 16A

A B C C-A

Mgombea Kiti Cha bunge

Abdullahi Ibrahim Abdi 147 147 147 -

Ahmed Maalim Omar 877 877 877 -

Ali Abdi Hussein 1,933 1,933 1,933 -

Ali Abdullahi Ibrahim 3,675 3,675 3,675 -

Mohammed Hussein Gabbow 3,675 3,675 3,675 -

Omar Hassan Elmi 7 7 7 -

Jumla ya kura halali 10,314 10,314 10,314 -

Kura zilizokataliwa 32 33 -

Jumla ya kura zilizopigwa 10,346 10,347 10,314

Waliopiga Kura 72.98% 72.99% 72.76%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Ni mambo machache yaliyogunduliwa, isipokuwa kuhesabu kwetu kulionyesha kura 5 zilizokataliwa ambazo

hazijaonyeshwa katika matokeo ya mwisho. Kura hizi hazingeelezwa baadaye kama kura zilizokataliwa kwani

idadi ya kura zilizokataliwa iliongezeka kutoka 32 hadi 33 pekee.









8.13 Kieni



Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 082 Kieni



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

fomu 16A idadi

sahihi

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 72,354 72,054 72,054 (300)

Kukubo Nixon 9 6 6 (3)

Matiba Kenneth 13 12 12 (1)

Musyoka Stephen 62 58 58 (4)

Mwangi Pius 26 25 25 (1)

Ngacha Joseph 153 150 150 (3)

Ngethe David 7 5 5 (2)

Odinga Raila 612 580 580 (32)

Rajput Nazlin 6 6 6 -

Jumla ya kura halali 73.242 72,197 72,896 (346)

Kura zilizokataliwa .. 161 161 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. 72.358 73,057 ..

Waliopiga Kura .. 85.44% 86.27% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK

.. inamaanisha tarakimu ambazo hazijaonyeshwa katika hati asilia.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili lakini pia hazi kuonyeshwa katika fomu 17A.

· Baadhi ya fomu zina jina sawa la afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura lakini sahihi zinaonekana tofauti.

· Idadi ya wapiga kura waliosajilishwa na ile iliyoonyeshwa matokeo ya mwisho ya ECK (84,687)









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa bunge wa 082 Kieni



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

fomu 16A

A B C C-A

Mgombea Kiti Cha bunge

Gichuru Michael Wachira 388 - 377 (11)

Gitonga Peter Mathenge 1238 - 1252 14

Kairu James Wanderi 310 - 600 290

Karanja John Kamunya 86 - 243 157

Karanja John Muhia 289 - 140 (149)

Kihagi Isaac Ngatia 2,564 - 2,272 (292)

Macharia Edwin Mwangi 5,331 - 5,335 4

Maina Muchiri Kiuma 482 - 421 (61)

Muriithi Kenneth Kamunya 183 - 855 (672)

Murungaru Christopher Ndarathi 8,827 - 8,460 (367)

Ndung u James Mathenge 287 - 255 (32)

Wachira Charity Gathoni 124 - 66 (58)

Wanderi Francis Mathenge 625 - 599 (26)

Warugongo Nemesyus 50,793 - 51,394 601

Jumla ya kura halali 71,527 .. 72,269 742

Kura zilizokataliwa .. .. 1,629

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 73,898

Waliopiga Kura .. .. 87.26%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Fomu 16A chache hazikutiwa sahihi na afisi wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura

· Baadhi wanaonekana kuwa na sahihi tofauti za afisa yuleyule.









8.14 Lari



Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 105 Lari



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

fomu 16A idadi

sahihi

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 49,280 49,276 49,276 (4)

Kukubo Nixon 7 8 8 1

Matiba Kenneth 15 7 7 (8)

Musyoka Stephen 70 32 32 (38)

Mwangi Pius 16 16 16 -

Ngacha Joseph 157 67 61 (96)

Ngethe David 4 4 4 -

Odinga Raila 458 457 457 (1)

Rajput Nazlin 3 3 3 -

Jumla ya kura halali 50,010 49,864 49,864 (146)

Kura zilizokataliwa 740 218 218

Jumla ya kura zilizopigwa 50,750 50,082 50,082

Waliopiga Kura 85.45% 83.33% 84.33%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Si mambo mengi yaliyogunduliwa isipokuwa tofauti katika matokeo ya mwisho ya ECK.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 105 Lari



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi kura rasmi za

wenyewe wa 17A ya ECK mwisho za

matokeo ya ECK

fomu 16A

A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Burugu John Njuguna 7,616 7,615 7,615 (1)

Chege Mburu Tiras 456 456 456

Gitonga Gichuru Philip 208 211 211 3

Kagunyi Njari Francis 8,739 8,876 8,876 137

Kamau Anthony Njihia 104 97 77 (27)

Kimani Douglas 386 343 343 (43)

Kimani Ndungu Walter 3,837 3,836 3,836 (1)

Kimathi James Viscount 3,254 3,654 3,654 400

Kuria Kimani David 2,303 2,280 2,280 (23)

Mwai Wangui Pauline 450 455 455 5

Mwaura David Njuguna Kiburi 11,847 11,855 11,855 8

Mwangi Jonah Mburu 8,005 8,804 8,835 830

Mweja David Wairiri 938 938 938 -

Nganga Caroline Wambui 336 326 326 (10)

Nyambura Samuel Njagu 112 110 1,110 998

Nyota Njohn K 767 772 772 5

Turuthi Gad Githengu 52 53 53 1

Jumla ya kura halali 49,410 .. 50,681 51,692 1,271

Kura zilizokataliwa 468 .. 334 334

Jumla ya kura zilizopigwa 49,878 .. 52,026 52,026

Waliopiga Kura 83.98% .. 87.60% 87.60%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 za ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Tarakimu matokeo ya wagombea viti zenye makosa katika fomu 17A.

· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi lakini zilipigwa muhuri wa afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura









8.15 Malava



Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 155 Malava





Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

fomu 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 18,152 17,969 14,712 (3,440)

Kukubo Nixon 66 40 92 26

Matiba Kenneth 119 146 126 7

Musyoka Stephen 346 342 340 (6)

Mwangi Pius 102 85 99 (3)

Ngacha Joseph 365 94 147 (218)

Ngethe David 83 128 72 (11)

Odinga Raila 26,355 25,818 19,891 (6,464)

Rajput Nazlin 27 26 28 1

Jumla ya kura halali 45,615 44,648 35,507

Kura zilizokataliwa .. .. 71

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 35,578

Waliopiga Kura .. .. 52.91%

Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK

Fahamu: Tarakimu hizi zilipatikana kutoka fomu 22 na 16A ambazo katika faili na tarakimu hazikuwemo katika

fomu 17A. fomu hizo zikiwemo huenda jumla na vilevile tofauti zikabadilika.

.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Za kwanza 17, na kisha kundi jingine la fomu 16a kwa jumla fomu 22, lazima katika faili ya eneo bunge na pia

hazimo katika 17A.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 155 Malava



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A

wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya

matokeo ya mwisho ya ECK

fomu 16A

A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Caleb Ambulwa Murudi 183 189 291 108

Edward Juma Saya Malovi 448 411 305 (143)

Mukonyi Stephen Aswala 142 159 82 (60)

Nambwa sakaya Musavinyi 20,466 19,323 18,641 (1,825)

Sakataka William 530 978 427 (103)

Sakwa Tom Alphew 154 2,852 107 (47)

Soita Peter Shitanda 21,059 20,038 19,374 (1,685)

Tanga Harrison Webbo 600 974 395 (205)

Wakukha George Munji 1,125 1,095 832 (293)

Jumla ya kura halali 44,707 46,019 41,864 40,454 ..

Kura zilizokataliwa .. .. 1,119 1,119 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 42,983 41,573 ..

Waliopiga Kura .. .. 63.92% 61.83% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK



Fahamu: Makos katika kujumlisha tarakimu sahihi za ECK. Ujumlishaji mzuri unaleta kura sahihi 40,454 kama ilivyo

katika safu D.



Tarakimu zilipatikana kutoka fomu 22 za 16A ambazo hazikuwa katika faili na pia hazikuwemo katika fomu 17A.

fomu hizo zikiwemo, jumla za kura za wagombea viti na vilevile tofauti zitaongezeka.



Mambo yaliyogunduliwa

· Za kwanza 17 na fomu 16A nyingine, jumla ikiwa fomu 22 hazimo katika faili ya eneo bunge.









8.16 Masinga

Uchaguzi wa rais



Uchambuzi na uchaguzi wa rais katika 066 Masinga



Kujumlisha Tarakimu Matokeo ya Tofauti

kwetu kutoka fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 16 ya ECK

matokeo ya

fomu 16A idadi

sahihi

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 2,341 2,344 1,038 (1,303)

Kukubo Nixon 37 38 33 (4)

Matiba Kenneth 22 112 107 85

Musyoka Stephen 33,659 33,729 21,225 (12,434)

Mwangi Pius 29 47 35 6

Ngacha Joseph 42 31 42 -

Ngethe David 6 4 3 (3)

Odinga Raila 387 462 238 (149)

Rajput Nazlin 155 165 221 66

Jumla ya kura halali 36,678 36,932 22,942 (13,736)

Kura zilizokataliwa .. .. 399

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 23,341

Waliopiga Kura .. .. 45.50%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK

.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Kushugulikiwa vibaya kwa baadhi ya kurasa za fomu 17A kulielezwa na afisa wa uchaguzi wa eneo bunge

katika barua kwa ECK.

· Hata baada ya kutolewa maelezo haya ya afisa wa uchaguzi wa eneo bunge matokeo ya mwisho ya ECK

yanatofautiana sana na matokeo ya fomu 16 ambayo ndio msingi kisheria kwa tangazo lolote la ECK.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bung katika 066 Masinga



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi mwisho

wenyewe wa 16A ya ECK yaliyosahihishwa ya

matokeo ya ECK

fomu 16A

A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Kabaka Boniface Mutinda 3,094 2,901 2,901

Katu Peter Masilu 362 370 370

Kiala Bernard Muia 4,122 4,052 4,052

Kiluta Ronald John 2,223 1,892 1,892

Kisulu Festus Kivata 429 314 314

Kithyaka Joseph Muthami 230 214 214

Kitua Daniel Muinde 1,033 882 882

Mbai Benson Itwiku 10,274 9,164 9,164

Mbaluka Joel 2,519 2,245 2,245

Musila Paul Muoki 2,348 2,179 2,179

Mutisya Josephat Mutunga 288 263 263

Mutisya Simon Makao 73 64 64

Mutuku Peter Nicholas 769 552 552

Mutunga Sheila Phylis Mwikali 394 379 379

Mwalyo Joshua Mbithi 9,024 8,435 8,435

Ndivo Rosalia Kanini 150 99 99

Ndolo Simon Silla 80 90 90

Ngungu Janet Syovata 171 167 167

Wambua Lois Mutanya 117 109 109



Jumla ya kura halali 37,700 34,371 34,371 34,172

Kura zilizokataliwa .. 547 547 547

Jumla ya kura zilizopigwa .. 34,918 34,818 34,719

Waliopiga Kura .. 68.06% 67.87% 67.68%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A za ECK

.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazina majina ya wagombea viti

· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupiga kura; nyingine zilitiwa sahihi

kwa niaba ya afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura

· Idadi hiyohiyo ya fomu 16A(22) hazimo katika faili ya eneo bunge ya katika 17A.









8.17 Changamwe



Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 009 Changamwe







Kujumlisha Tarakimu Matokeo ya Tofauti

kwetu kutoka fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 16 ya ECK

matokeo ya

fomu 16A idadi

sahihi

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 15,151 9,366 9,366 (5,785)

Kukubo Nixon 20 15 15 (5)

Matiba Kenneth 20 15 15 (5)

Musyoka Stephen 8,368 5,347 5,347 (3,021)

Mwangi Pius 121 74 74 (47)

Ngacha Joseph 67 44 44 (23)

Ngethe David 18 14 14 (4)

Odinga Raila 29,648 17,706 17,706 (11,942)

Rajput Nazlin 55 33 33 (22)

Jumla ya kura halali 53,468 32,614 32,614 (20,854)

Kura zilizokataliwa 509 .. -

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 32,614

Waliopiga Kura .. .. 30.33%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK

.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia



Fahamu: Idadi ya kura zilizokataliwa katika safu A inaweza kuwa ni ndogo kwa sababu baadhi ya fomu 16A

hazikuonyesha idadi ya kura zilizokataliwa katika vituo vya kupigia kura vilivyohusika.



Mambo yaliyogunduliwa

· Kwa jumla, tarakimu za baadhi ya fomu 16A zimeandikwa vibaya katika fomu 17 A.

· Tofauti kubwa baina jumla zetu na matokeo ya mwisho ya ECK.









8.18 Machakos Town



Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 070 Machakos Town

Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A

wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya

matokeo ya mwisho ya ECK

fomu 16A

A B C D C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 4,954 4,547 3,187 (1,767)

Kukubo Nixon 35 36 24 (11)

Matiba Kenneth 36 36 28 (8)

Musyoka Stephen 55,785 53,167 41,295 (14,490)

Mwangi Pius 70 68 41 (29)

Ngacha Joseph 69 67 50 (19)

Ngethe David 17 17 11 (6)

Odinga Raila 1,515 1,312 812 (703)

Rajput Nazlin 406 359 353 (53)

Jumla ya kura halali 62,887 59,609 45,811 45,801

Kura zilizokataliwa .. .. 2,839 2,839

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 48,650 48,640

Waliopiga Kura .. .. 51.29% 51.28%

Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK

.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia

Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na katika fomu 17A; baadhi hazina maandishi hata katika fomu 17A.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 070 Machakos Town



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A

wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya

matokeo ya mwisho ya ECK

fomu 16A

A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Benson Bahati Mutua 240 .. 272 32

Daudi Fredrick Mwanzia 13,545 .. 13,607 62

Jones Kavivya Nzau 609 .. 1,023 414

Kaloki Collins Kitaka 7,207 .. 6,908 (299)

Kamelo Alfonce Mwangangi 2,049 .. 2,138 89

Kimanthi Florence Mbeti 2,484 .. 2,507 23

Kimeu Charles Nthiwa 242 .. 283 41

Mbithi Roseann Katheu 272 .. 278 6

Mothoka Stephen Makau 896 .. 946 50

Mukua Solomon Kimuyu 176 .. 169 (7)

Munyaka Victor Kioko 25,186 .. 24,647 (539)

Musyoka Susan Mbinya 6,064 .. 6,049 (15)

Musyoki Alphonce Mbinda 999 .. 986 (13)

Mutua Richard Mulu 165 .. 331 166

Mwamisi Timothy Wambua 872 .. 720 (152)

Nzengu Edward Kioko 1,351 .. 982 (369)



Jumla ya kura halali 62,357 .. 61,848 61,846 ..

Kura zilizokataliwa .. .. 1,010 1,010 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 62,858 62,856 ..

Waliopiga Kura .. .. 66.28% 66.27% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK

Fahamu: idadi katika matokeo ya mwisho ya ECK ya kura halali si sahihi, idadi sahihi imo katika safu D.

.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na katika fomu 17A; nyingine ni tupu hata katika 17A.

· Tofauti nyingi kuhusiana na kura halali kwenye kiwango cha vituo vya kupigia kura.









8.19 Central Imenti



Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 052 Central Imenti





Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti

ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi

kibinafsi ya 17A ya ECK

fomu 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 58,811 43,410 43,410 (15,401)

Kukubo Nixon 16 8 8 (8)

Matiba Kenneth 19 13 13 (6)

Musyoka Stephen 185 130 130 (55)

Mwangi Pius 69 51 51 (18)

Ngacha Joseph 256 157 157 (99)

Ngethe David 16 12 12 (4)

Odinga Raila 1,585 1,108 1,108 (477)

Rajput Nazlin 15 18 18 3

Jumla ya kura halali 60,972 44,907 44,907

Kura zilizokataliwa .. .. 302

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 45,209

Waliopiga Kura .. .. 57.78%

Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK



.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Fomu 16A haimo katika faili; takwimu zilipatikana kutoka fomu 17A.

· Tofauti kubwa baina ya ujumlishaji wetu wa fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 052 Central Imenti







Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti

ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi

kibinafsi ya 17A ya ECK

fomu 16A

A B C C-A

Mgombea kiti cha bunge

Imanyara Gitobu 14,980 14,601 (379)

Kirea Salome Gathuni 463 447 (16)

Kirima Moses Nguchine 10,074 9,936 (138)

Kirugi Nelson Kaimeny 3,499 3,415 (84)

Kiugu Geoffrey Muriungi 11,491 11,395 (96)

M Itwerandu Fabian Murugu 1,426 1,418 (8)

M Mugwika Kimathi Samuel 1,150 1,096 (54)

M Mukindia Joseph K. Laiboni 3,187 3,244 57

M Mukiri Andrew Kinyua 948 670 (278)

Magiri Mwirigi Edward 321 345 24

Mboroki Dennis Mbichi 3,140 3,214 74

Mithenga Martin Mugambi 2,757 2,710 (47)

Mugendi Samwel 1,841 1,829 (12)

Murithi Mercy Gacheri 352 358 6

Domnic Charles S. 1,354 1,243 (111)

Mwiti Gershon Kimeu 1,287 1,281

Wambutura Justus Gitobu 3,027 3,003 (24)

Jumla ya kura halali 61,297 .. 60,205 ..

Kura zilizokataliwa .. .. 602 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 60,807 ..

Waliopiga Kura .. .. 77.72% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK



.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Fomu 16A chache zilijazwa vibaya katika fomu 17A; nyingine hazijakamilika kwa vile hazina majina ya baadhi

ya wagombea viti.









8.20 Saku



Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 043 Saku





Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti

ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi

kibinafsi ya 17A ya ECK

fomu 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 7,124 7,124 7,124 -

Kukubo Nixon 6 6 6 -

Matiba Kenneth 9 9 9 -

Musyoka Stephen 1,232 1,232 1,232 -

Mwangi Pius 3 8 8 5

Ngacha Joseph 27 27 27 -

Ngethe David 4 3 3 (1)

Odinga Raila 5,682 5,682 5,682 -

Rajput Nazlin 11 9 9 (2)

Jumla ya kura halali 14,098 14,100 14,100

Kura zilizokataliwa 115 .. 115

Jumla ya kura zilizopigwa 14,213 .. 14,215

Waliopiga Kura 73.85% .. 73.86%

Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK



.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia

Mambo yaliyogunduliwa

· Hakuna mambo yaliyogunduliwa katika faili hii.





Ubunge



Uchambuzi wa eneobunge 043, SAKU









Nyongeza za Matokeo katika Matokeo ya Tofauti

matokeo ya fomu fomu 17 A mwisho ya Tume

16A ya Uchaguzi



Wagombea Ubunge: A B C D



Abduba Alexander Barilleh 38 42 42 4



Adams Hussein Sheikh 59 66 66 7



Falan Jarson Jillo 3,828 4,080 4,080 252



Safe Mohammad Hassan 1,602 1,692 1,692 90



Sasura Hassein Tarry 4,665 4,913 4,913 248



Waqo Halakhe Dida 3,077 3,215 3,215 138



Jumla ya kura halali 13,269 14,008 14,008



Kura zilizokataliwa 206 206



Jumla za kura zilozopigwa 14,214 14,214



Kujitokeza wapiga kura (%) 73.85% 73.85%

Chanzo: Nakala za Famu 16A, za tume ya Uchaguzi (ECK).



Tambua: Ujumlishaji wa matokeo ya mwisho ya Tume ya Uchaguzi (ECK), kwa kura halali, si

sawa, ujumlishaji sawa ni wa safu D. . ina maana ya nambari ambazo hazikutolewa katika

waraka asilia.



Mambo yaliyotambuliwa:



· Maswala machache yalitambuliwa, isipokuwa kwa tofauti kati ya jumla zilizoonyeshwa.



9. UTARATIBU WA KUPATA NA KUPELEKA MATOKEO



Ili kuelewa utaratibu unaofuatwa katika kupata na kupeleka matokeo (kwa maneno mengine,

jinsi ambavyo data hiyo inavyoibuka kuanzia chini kwenda juu), tulijaribu kuupunguza kuwa

mchoro sahili utaratibu wa kuhesabu, kujumlisha na kutangazwa matokeo ya kura katika vituo

vya kupiga kura, eneo mbuge na kitaifa. Utaratibu huu unaelezwa kutoka Sheria ya uchaguzi wa

Urais na Ubunge (sura ya 7, sheria za Kenya), kanuni zilizomo, na marekebisho yaliyotekelezwa

katika mpito wa wakati. Utaratibu huu unaonyeshwa katika mchoro ulio katika ukurasa

unaofuata Tume ya Uchaguzi ya Kenya (ECK) inafuata mfumo mahsusi wa kurekodi matokeo,

kuyajumlisha na kuyapeleka kutoka katika vituo vya kupigia kura, hadi kituo cha kitaifa cha

ujumlishaji. Kuna fomu rasmi ambazo zinapaswa kujazwa na kutiwa sahihi na maofisa wa

uchaguzi wanaohusika. Fomu hizo pia zinatakiwa kutiwa sahihi na wagombea kura au

mawakala wao, ikiwa au wakati wapo katika kituo cha kupigia kura, eneo bunge au kituo cha

kujumlisha. Fomu hizi rasmi kwa uchaguzi wa urais na ubunge, ni kama zifuatazo;



Fomu 16A: Kutangaza matokeo ya kura ya urais/ubunge katika kituo cha kupigia kura (ina

wapiga kura waliosajiliwa katika kituo cha kupiga kura, jumla ya kura halali, kura zilizokataliwa

na zilizobishaniwa, na jumla ya kura alizopata kila mgombea kura). Si lazima kwa wagombea

kura au wawakilishi wao kutia sahihi fomu hiyo.



Fomu 17A: Kutangaza matokeo katika kiwango cha eneobunge, na hujazwa na ofisa wa

uchaguzi wa eneobunge akitumia fomu zote za 16A katika vituo vya

Imetolewa kutoka katika mwongozo uliotolewa kwa makarani wa kupiga kura na wa kuhesabu

kura, maofisa,wa uchaguzi wa vituo na maofisa wa uchaguzi qa eneobunge wa Tume ya

Uchaguzi ya Kenya (ECK) na kanuni kuanzia vifungu 34 hadi 41 vya Sheria ya Uchaguzi wa

Urais na Ubunge. Vile vile, imetolewa kutoka nakala ya mkutano kati ya Tume ya Uchaguzi na

makamishna wa Tume Huru uliofanyika tarehe 16 na 17 mwezi Mei, Mwaka 2008. Visanduku

vya rangi vinaonyesha hatua ambazo kwa hali za kawaida, zingehusisha nyongeza

zinazohesabika, uhamishaji na namabri, n.k. kupigIa kura katika eneo bunge hilo. Huonyesha

majina ya vituo vya kupigIa kura, kura alizopata kila mgombea katika vituo vyote, na jumla ya

kura za kila mgombea katika eneo bunge hilo. Si lazima kwa wagombea kura au mawakala wao

kutia sahihi fomu hiyo.









· Fomu 16: Vyeti vya matokeo ya uchaguzi wa urais/ubunge, katika kiwango cha eneobunge

(ina majina ya ofisa wa uchaguzi wa eneobunge, majina na idadi ya jumla ya kura za kila

mgombea kura za urais, na idadi ya kura zilizoharibika. Haina ulazima wa wagombea au

mawakala kutia sahihi.









· Fomu 17: Vyeti vya matokeo ya kura ya ubunge (inayotolewa na ofisa wa uchaguzi wa eneo

bunge katika kiwango cha eneobunge ikionyesha jina lake, la chama na kazi ya mgombea

aliyechaguliwa kama mbunge).



Wakati ambapo fomu hizi ni muhimu katika utaratibu wa matokeo, fomu nambari 16 ndiyo

muhimu zaidi, hutayarishwa na kutiwa sahihi na ofisa wa uchaguzi wa eneo bunge katika

kiwango cha eneobunge. Huchukuliwa na Tume ya Uchaguzi (ECK) kuwa kielezo cha

mwisho kabisa cha matokeo ya eneobunge lote. Fomu asilia nambari 16, kwa uchaguzi wa

urais hujumlishwa ili kuamua mshindi wa uchaguzi wa urais. Kisheria, ni ofisa wa uchaguzi

wa eneo bunge pekee anayeweza kufanya mabadiliko yoyote katika fomu nambari 16; hata

Tume ya Uchaguzi (ECK) au makamishna hawawezi kufanya mabadiliko humo, hata wakati

ambapo makosa yanagunduliwa katika kituo cha kitaifa cha kujumlisha na kupatanisha.

Kuhusu uchaguzi wa ubunge, pindi mgombea kura anapoikabidhiwa fomu nambari 17,

anachukuliwa kama aliyechaguliwa kama mbunge. Ubishi wowote utakaotokana nayo,

hauwezi kusuluhishwa hata na Tume ya Uchaguzi (ECK), bali Mahakama ya malalamiko

ya uchaguzi. Kwa hivyo, ofisa wa uchaguzi wa eneo bunge huwa ana mchango mkubwa sana

katika matokeo ya mwisho ya kura ya urais na ubunge.









KIWANGO CHA KITUO CHA KUPIGIA KURA



1. Upigaji kura hasa unafungwa; kuhesabiwa kwa kura zilizosalia; kufunga masanduku ya

kura na kutia alama za usalama; kufunga rejesta iliyotiwa alama, n.k.





2. Ofisa w Uchaguzi msimamizi wa kituo cha kupiga kura anafungua sanduku, akisaidiwa

na makarani, anahesabu kura za kila mgombea kura; anarekodi kura alizopigiwa kila

mgombea kura.





3. Kuhesabiwa kwa sauti kwa kura katika kila kituo na zakila mgombea kura.

Kunakofanywa na afisa wa uchaguzi wa kituo; kutenganisha kati ya kura halali,

zilizokataliwa na zinazobishaniwa.





4. Kushughulikia kuhesabu tena ikiwa kupo; kura zilizokatiliwa n.k na afisa wa uchaguzi

wa kituo cha kupigia kura na mawakala.





5. Afisa wa uchaguzi wa kituo wa kituo cha kupigia kura na mawakala wanatia sahihi fomu

16A (matangazo ya matokeo ya uchaguzi katika kituo cha kupiga kura) ikionyesha jina la

kituo cha kupigia kura, wapiga kura waliosajiliwa, kura halali, idadi ya kura walizopata

wagombea, kura zilizokataliwa, na kura zilizozua ubishi. Fomu hiyo ni kama Fomu 8,

kuhusiana na chaguzi za serikali za wilaya.

6. Ofisa wa uchaguzi wa kituo cha kupiga kura anatangaza matokeo ya kituo cha kupiga

kura; ndiyo ya mwisho, isipokuwa kwa kura zenye ubishi, ambazo ofisa wa uchaguzi wa

eneobunge lazima afahamishwe.

7. Mawakala wanatia sahihi ya kukataa kuyakubali matokeo, ikiwa yapo; wapewe nakala;



ofisa wa uchaguzi wa kituo wa eneobunge anaonyesha matokeo katika lango la kuingilia



kituo cha kuhesabia kura, vifaa vinatiwa katika sanduku la kura, linafungwa na kutiwa



alama za usalama. Anapeleka hati zote kwa ofisa wa uchaguzi wa eneobunge haraka



iwezekanavyo .







KIWANGO CHA ENEO BUNGE:



8. Ofisa wa uchaguzi wa eneobunge anapokea matokeo kutoka vituo vya kupigia kura;



anafungua masanduku ya kura yaliyofungwa na kutia alamaza usalama yaliyotumiwa



kusafirisha vifaa hivyo







9. Ofisa msimamizi wa uchaguzi wa eneobunge, anasoma matokeo kutoka katika vituo vya

kupigia kura kwa sauti, anakagua na kuzitathmini kura zilizobishaniwa, na jumla ya kura

kwa kila mgombea kura bila kuhesabu upya kura zisizobishaniwa.





10. Ofisa wa uchaguzi wa eneobunge anajaza fomu 17A (kura ya urais na ubunge) na fomu 9

(serikali za wilaya).





11. Ofisa msimamizi wa uchaguzi wa eneobunge anatangaza kura halali kwa:



· Wagombea kura ya urais

· Wagombea kura za ubunge na serikali za wilaya (udiwani)

· Anamtangaza mshindi wa kura za ubunge

· Anamtangaza mshindi wa udiwani.

12. Ofisa wa uchaguzi wa eneobunge anapiga simu au anafaksi idadi ya kura kwa kituo cha

kitaifa cha kuhesabu kura, kwa wagombea kura wote wa kura ya urais. Matokeo hayo

bado huwa ni ya muda. Hutolewa katika fomu 16; iliyokamilishwa kwa msingi wa fomu

17A. Nakala za fomu 16, hazitolewi kwa mawakala wowote.





13. Ofisa wa uchaguzi wa eneobunge anaweka tarehe, kutia sahihi fomu nambari 17A

(wapiga kura waliosajiliwa, kura za wagombea katika kila kituo cha kupiga kura; kura

zilizopigwa katika eneobunge). Nakala zake zinaweza zitolewe au zisitolewaanwe kwa

mawakala. Huikamilisha fomu 17 (vyeti vya matokeo ya eneobunge).





14. Huipelekea Tume ya uchaguzi (ECK), fomu zote asilia.





15. Mambo yaliyotambuliwa: Matokeo ya kura ya urais (fomu nambari (16) ni ya muda hadi

yatangazwe na Tume ya uchaguzi (ECK) baada ya kuwasilishwa fomu asilia nambari 16.

Ni ofisa wa uchaguzi wa eneobunge pekee, anayeweza kuyabadilisha na wala sio timu ya

kuhesabu ya kituo cha kitaifa cha kujumlisha kura wala idara ya teknolojia ya habari.

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ECK) alisema kwamba, kamishna wa zamu alikuwa

na uwezo wa kubadilisha matokeo hayo baada ya kuthibitishwa.









16. Maamuzi ya ofisa wa uchaguzi wa eneobunge kuhusu uhalali wa kura ni ya mwisho ila

kwa wakati wa rufaa/malalamiko mahakamani.





Hadi Kiwango cha kitaifa





Kutoka kiwango cha maeneobunge

17. Matokeo ya muda ya kura ya urais yanapokewa kwa njia ya simu au faksi na mojawapo

ya timu za kujumlisha (kila mojapo ikishuglulika na kama maeneobunge 21). Timu hizi

hujaza fomu zilizopigwa chapa na kutayarishwa kwa eneobunge maalum na kuthibitisha

uhalisi wa matokeo kwa kumpigia simu ofisa wa uchaguzi wa eneobunge (je, jambo hili

lilifanyika kila mara).





18. Kiongozi wa Timu anaipeleka fomu hiyo iliyojazwa kwa idara ya teknolojia ya habari,

inayotia data hiyo katika kompyuta na kupiga chapa fomu yenye matokeo ya kura ya

urais yaliyopokelewa kutoka kwa ofisa wa uchaguzi wa eneobunge na kupelekwa had

meza ya kuthibitisha. Mmoja wa makamishna wa Tume ya uchaguzi anatangaza matokeo

ya kura ya urais ya eneobunge hilo kutokana na matokeo ya muda.









· Wakati ambapo ofisa wa uchaguzi wa eneobunge anapofika na fomu asilia nambari 16 (

na hati zinazoambatana nayo), anaonyeshwa fomu yenye matokeo iliyopigwa chapa ( na

mara nyingine yaliotangazwa), anailinganisha na matokeo asili na kuitia sahihi ikiwa

zinafanana kabisa. Hapo huwa ya mwisho kabisa. Ikiwa hazifanani, mkuu wa timu

hufanya marekebisho kwa mkono, makosa katika fomu hiyo. Fomu hiyo kisha

hupelekwa katika idara ya teknolojia ya habari, wanaoingiza data iliyorekebishwa katika

kompyuta na kupiga chapa karatasi mpya ya matokeo, ambayo huthibitishwa na ofisa

msimamizi wa uchaguzi was eneo bunge.





· Hakuna uhakika iwapo matokeo yaliyorekebishwa yalitangazwa hivyo. Idara ya

teknolojia ya habari ilikataa kurekebisha matokeo yaliyofanyiwa marekebisho kwa

madai, matokeo hayawezi kubadilishwa baada ya kutangazwa.









· Kutoelewana wazi kati ya wafanyikazi wa ngazi za juu za Tume ya Uchaguzi (ECK) na

makamishna kuhusu taratibu sahihi katika hali kama hizo; jambo hili linaweza kueleza

baadhi ya matatizo yaliyotambuliwa.

· Mara nyingine, timu za kujumlisha ziliangalia mawasiliano baina ya fomu 16 na fomu

nyingine (17A). Hata hivyo, jambo hili lilikuwa ni la kipekee na wala sio la kawaida.





· Matokeo ya mwisho ya kura ya urais, wakati ambapo fomu zote 210 za 16

zimepokelewa, zimeingizwa na kujumlishwa au wakati ambapo matokeo ya maeneo

bunge yaliyosalia, hayawezi kubadilisha matokeo.









· Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ECK) anajaza fomu no. 18 na kuipeleka kwa

mshindi wa kura ya urais. Wakati ambapo na mahali ambapo rais huyo mpya atalishwa

kiapo cha kuchukua mamlaka.





19. Kuandikwa majina ya waliochaguliwa katika gazeti rasmi la serikali. Tume ya Uchaguzi

(ECK) inamwarifu spika wa Bunge kuhusu matokeo sare ya kura.





20. Malalamiko kuhusu kuhesabu na kujumlisha yaratibiwe kwa Tume ya Uchaguzi (ECK)

katika muda wa masaa 24; kuamrisha hesabu ilimuradi uamuzi wa Tume ya Uchaguzi

(ECK) utafanywa katika muda wa masaa 48 ya kuomba ruhusa hiyo. Wakati ambapo

malalamiko zaidi yanatokea haya yanapaswa kupelekwa katika mahakama ya

malalamiko ya uchaguzi katika muda wa siku 28.









9. MAMBO YALIYOGUNDULIWA





9.1. Muhtasari





Sehemu hii inawasilisha matokeo kutokana na uhakiki uliofanywa kuhusiana na baadhi ya maeneo bunge.

Inaonyesha majedwari ambayo yanaonyesha mkinzano katika matokeo kwenye hatua mbalimbali za

kutengeneza matokeo, na kwenye baadhi ya sehemu, mambo yaliyosababishwa na makosa hayo. Kwa

muhtasari, makosa yafuatayo yalipatikana:



· Makosa ya kuandika matokeo. Matokeo ya wagombea viti katika fomu 16A hayakujazwa kwa namna

sahihi katika fomu 17A. Matokeo ya baadhi ya wagombea viti yamechanganywa na yale ya

wagombea viti wengine. Matokeo ya baadhi yaliongezeka au kupungua, huku mengine yakiwa

hayakujazwa katika fomu 17A. Ingawa makosa haya yalihusu tu idadi ndogo ya wagombea viti, jumla

ya makosa hayo kwenye kiwango cha eneo bunge na cha taifa yangesababisha athari kubwa kama

ilivyo kuhusiana na Kirinyaga Central, Changamwe, Masinga na maeneo mengine kama

ilivyoorodheshwa hapa chini. Kuna visa vingine ambapo wagombea viti wadogo walikuwa na

tarakimu mbili zinazokina katika fomu 16A ile ile.





· Makosa ya mkokoto. Haya ndiyo yaliyokuwa makosa mengi na yaliyopatikana katika maeneo mengi.

Yalitokea katika viwango mbalimbali yaani:





Katika idadi kubwa ya fomu 16A katika vituo vya kupigia kura, jumla ya kura za wagombea viti

haikulingana na idadi ya kura zilizokubalika. Kura hizo zinapasua kulingana.







Katika fomu 17A, kura kutoka na mjumlisha wima kutoka vituo vyote vya kupigia kura ulionyesha

idadi tofauti na tarakimu zilizopatikana na afisa wa uchaguzi katika eneo bunge na wakati jumla zetu

wenyewe zilitofautiana na tarakimu zilizotumwa kituo cha taifa za kumjulisha kura kwenye KICC.







· Tofauti zizoonekana. Kwenye maeneo bunge machache, kulikuwa na tofauti baina ya idadi ya

mwisho ya kura za eneo bunge (jumla yote katika fomu 17A) na tarakimu za fomu 16 ambazo

zilitumwa au kupokelewaKICC. Baadhi yake ziliingia katika matokeo ya mwisho yaliyochapishwa na

ECK.





· Makosa ya mfumo kulikuwa na makosa makubwa na yaliyoonekana katika matokeo ya mwiso

yaliyochapishwa na ECK, kuhusiana, tarakimu zilizotolewa kama kura halali jumla ya kura zilizopigwa

na asilimia ya waliopiga kura. Kwa mfano kujumlisha kura za wagombea viti wote kunapaswa

kuonyesha jumla ya kura halali. Jambo hili likifanywa kwa mkono, kura zinatofautiana na tarakimu

zinazoonyeshwa kama kura halali katika matokeo ya ECK. Jambo hili linabadilisha kura zilizopigwa

na idadi ya waliopiga kura. Hali hii iligunduliwa katika idadi kubwa ya maeneo bunge katika matokeo

ya ECK. Inaonyesha kutokuwa na mfumo wa kujitadhimini katika njia iliyotumiwa kuhifadhi na

kuchapa matokeo y mwiso.





Visa Kura kuachwa bila kuandikwa. Kwa mfano, matokeo ya wagombea viti katika fomu 16A ambazo

hazikuandikwa katika fomu 17A au kura zilizokaliwa ambazo zimeandikwa katika fomu 16A nyingi

zikiwa hazika katika matokeo ya mwisho. Kwa mfano, matokeo ya ECK yanaonyesha Changamwe na

Wajir North zikiwa hazina kura zozote zilizokataliwa, jambo ambalo kwa hakika haliwezekani.

Kuchunguza fomu 16A kuhusiana na maeneo bunge haya kunaonyesha idadi kubwa ya kura

zilizokataliwa katika 16A lakini sio katika matokeo ya mwisho.

Inapasa takwimu zilizomo hapa chini zisomwe pamoja na karatasi zilizotumiwa kufikia takwimu ili mtu

aone maoni yaliyotolewa kuhusiana na kila kisa na fomu chache za 16A ambazo zilikuwa zinakosekana

na ambazo ECKilitupatia.









9.2. Kirinyaga Central

Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 090 Kirinyaga Central





Kujumlisha Matokeo rasmi Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti

kwetu yaliyochapishwa mwisho ya tarakimu

wenyewe ya ECK yaliyosahihishwa katika 17A

kwa matokeo na ECK bila tofauti

ya fomu 16 ya data

na jumal iliyoandikwa

sahihi

A B C D B-A

Wagombea Urais

Kibaki Mwai 55,097 52,866 54,219 (2,231)

Kukubo Nixon 8 8 8 -

Matiba Kenneth 10 9 9 (1)

Musyoka Stephen 59 53 57 (6)

Mwangi Pius 36 37 40 1

Ngacha Joseph 150 130 133 (20)

Ngethe David 13 2 13 (11)

Odinga Raila 601 580 595 (21)

Rajput Nazlin 4 3 3 (1)

Jumla ya kura halali 55,978 55,061 53,688 55,077 (2,290)

Kura zilizokataliwa 319 319 319 318 -

Jumla ya kura zilizopigwa 56,297 55,380 54,007 55,395 (2,290)

Waliopiga kura 81.73% 80.40% 78.41% 80.42% -3.32%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK.

Fahamu: Haiwezekani kulinganisha na tarakimu za fomu 16 kwa vile kuna fomu



16 mbili zenye tarakimu tofauti.







Mambo yaliyogunduliwa:



· Tofauti kuu baina ya idadi yetu na tangazo la mwisho.

· Kuna fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wa uchaguzi.

· Kuna nambari zilizotiwa katika fomu 17A kwa namna isiyofaa.

· Kujumlisha kuliko na makosa kwa kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK kunakosababisha mambo

yafuatayo:

b. idadi ya kura halali iliyotolewa na ECK si sahihi. Idadi ya kura zote zilizopatikana na wagombea viti tisa ni

53,688, sio 55,061 kama ilivyotolewa na ECK. Pamoja na kura zilizokataliwa 319, idadi mya* ni 54,007 (sio

55,380 kama ilivyotolewa na ECK) na Jumla ya waliopiga kura ni 78% (sio 80.4% kama ilivyotolewa na ECK)





Jambo hili linapunguza pengo la ECK baina ya chaguzi mbili kutoka kura zaidi za rais 10,934 (au asilimia 15.87 ya

waliopiga kura) hadi kura zaidi za bunge 3,579 (au asilimia 5.2 za waliopiga kura.



Uchaguzi wa Bunge

Uchambuzi wa Kirinyaga Central



Jumla ya watu Matokeo katika Matokeo ya Matokeo ya Tofauti

wenyewe ya fomu 17A na 16 mwisho ya ECK mwisho

matokeo ya fomu yaliyorekebishwa

16A



A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Abubakar Hasaia I. 214 219 219 5

Gatimu Pauline W. 353 536 536 183

Gichuki Evan M. 126 126 126 -

Giture Eric K. 479 474 474 (5)

Kagondu Andrew M. 621 226 226 (395)

Kaponda D. 379 372 372 (7)

Dickson Daniel Karaba 17,270 17,151 17,151 (119)

Karimi Dishon K. 354 336 336 (18)

Thomas Raymond K. 326 309 309 (17)

Kariuki John Ngata (Mshindi ECK) 17,268 17,219 17,219 (49)

Keriri John M. 4,537 7,298 7,298 2,761

Kinyua Edwin M. 9,597 9,239 9,239 (358)

Mbui Nicholas K. 1,078 948 948 (130)

Mwangi Lawrence R. 206 199 199 (7)

Mwaniki Henry M.J. 1,918 1,855 1,855 (63)

Njeru Samuel K. 208 257 257 49

Njiru James N. 305 309 309 4

Njogu Richard M. 31 24 21 (7)



Jumla ya kura halali 55,270 54,688* 43,957 57,097

Kura zilizokataliwa 512 489 489 489

Jumla ya kura zilizopigwa 55,782 54,199* 44,446 57,586

Waliopiga kura 80.99% 64.53% 83.61%

Chanzo: nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK



Idadi iliyopatikana moja kwa moja kutoka fomu 17A. Kujumlisha kura za wagombea viti wote inaleta kura

halali 57,586 kama ilivyo katika D



Mambo yaliyogunduliwa



· Tofauti kuu baina ya kujumlisha kwetu na matangazo ya mwisho.

· Kujumulisha kulio na makosa kuhusu kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK.

· Kuna fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wakuu wa uchaguzi.





Mambo Muhimu yaliyogunduliwa:



Takwimu zetu na kujumulisha kura kutoka fomu 16A za vituo vyote vya kupigia kura zinaonyesha kwamba mshindi

aliyetangazwa hakuwa ameshinda. Kulingana na ECK/RO mshindi alikuwa Kariuki John Ngata akiwa na kura 17,219

zikilinganishwa na kura 17,151 za Dickson Karaba. Kujumulisha kwetu kunaonyesha kura za Dickson Daniel Karaba

zikiwa 17,270 na za Kariuki John Ngata zikiwa 17,268. Jambo hili linaleta hali ya kinyume na tangazo la mshindi wa

kiti cha bunge.



8.3. Kajiado North



Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 144 Kajiado North



Jumla za watu Matokeo katika Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

wenyewe fomu 17A mwisho rasmi jumla za 17A na

matokeo ya ya ECK matokeo ya

fomu 16A mwisho ya ECK

A B C D C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 49,055 49,038 49,038 (17)

Kukubo Nixon 1 1 1 -

Matiba Kenneth 12 97 97 85

Musyoka Stephen 3,260 3,644 3,664 404

Mwangi Pius 55 68 68 13

Ngacha Joseph 127 131 131 4

Ngethe David 11 10 10 (1)

Odinga Raila 28,921 25,330 25,330 (3,591)

Rajput Nazlin 30 32 32 2



Jumla ya kura halali 81,472 81,485 78,351 78,371

Kura zilizokataliwa 758 1,550 1,550

Jumla ya kura zilizopigwa 82,243 79,901 79,921

Waliopiga Kura 76.58% 74.4% 74.42%

Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK

Fahamu: Idadi katika, matokeo ya mwisho ya ECK si sahihi, idadi sahihi imo katika D

.. inamaanisha nambari haikutolewa katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Tofauti baina ya idadi yetu na tangazo la mwisho

· Idadi yenye makosa ya kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK

· Fomu ya moja haikuwa katika faili tuliyopatiwa na ECK, matokeo ya fomu hiyo pia hayakuwemo

katika fomu 17A









Uchaguzi wa Bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge Kajiado North



Jumla ya kura ya Matokeo katika Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

watu wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya jumla ya kura

ya matokeo ya ECK katika 17A na

form 16A matokeo ya

mwisho ya ECK

A B C D C-A

Uchaguzi wa bunge

Abincha Mogambi Harrison 57 60 141 84

Gitau Francis Parsimei 320 331 528 208

Gitonga Eric Maurice 193 190 274 81

Kerina Hellen Mokune 59 63 63 4

Kinyanjui Solomon 1,145 1,133 152 (993)

Mahinda Gerald Wamwangi 177 156 14 (163)

Mbuchi Wanjiru Judy 19 29 6 (13)

Murunga Mathew 33 38 2 (31)

Ngossorr Soila Florence 87 87 8 (79)

Otieno Wambui 156 145 22 (134)

Saitoti George 46,850 46,591 40,376 (6,474)

Sakuda Moses Ole Somaine 31,942 31,376 21,642 (10,300)

Sane Ole Saroni 246 259 10 (236)

Oleseki Oliver Lemachon 116 132 26 (90)

Wambui Julius 156 154 22 (134)

Jumla ya kura halali 81,556 80,744 63,273 63,286 ..

Kura zilizokataliwa .. 2,917 2,917 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. 66,190 66,203 ..

Waliopiga Kura .. 61.64% 61.65% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK

Fahamu: Jumla katika matokeo ya mwisho ya ECK yana kasoro, idadi sahihi imo katika D.

.. inamaanisha kwamba namba haikuwemo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Tofauti kubwa baina ya kujumlisha kwetu, namba zilizomo katika 17A na tangazo la mwisho.

· Kujumlisha kuliko na makosa kwa kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK.









8.4. Kaloleni



Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 017 Kaloleni



Jumla ya watu Matokeo katika Matokeo ya Tofauti

wenyewe za fomu 17A mwisho rasmi

fomu 16A ya ECK

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 16,816 16,879 16,879 63

Kukubo Nixon 68 64 64 (4)

Matiba Kenneth 73 68 65 (8)

Musyoka Stephen 1,537 1,535 1,535 (2)

Mwangi Pius 140 136 136 (4)

Ngacha Joseph 89 71 71 (18)

Ngethe David 65 62 62 (3)

Odinga Raila 21,748 21,716 21,716 (32)

Rajput Nazlin 50 50 50 -

Jumla ya kura halali 40,586 40,581 40,581 (5)

Kura zilizokataliwa 657 650 650 (7)

Jumla ya kura zilizopigwa 41,243 41.231 41,231 (12)

Waliopiga Kura 48.45% 48.43% 48.43% -0.01%

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Kuna fomu 16A zilizo na jina la afisi wa uchaguzi Yuleyule zinazoonekana kuwa na sahihi tofauti.

· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisi ya uchaguzi.

· Tofauti ndogondogo baina ya kujumlisha, nambari zilizomo katika fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 017 Kaloleni



Jumla za watu Matokeo katika Matokeo ya Tofauti

wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya

matokeo ya ECK

fomu 16A

A B C C-A

Uchaguzi wa bunge

James Rophus Baya 724 496 (228)

Bemwacbaya Japhet Kanyume 307 139 (168)

Kenga Emanuel Chengo 117 72 (45)

Chome Onesmus Habel 429 342 (87)

Dzoro Morris Mwachondo 2,721 1,916 (805)

Fondo James Kitsao 167 115 (52)

Chea Mwinga Gunga 1,984 1,683 (301)

Jangaa Simon Chagga 407 350 (57)

Kambi Samuel Kazungu 13,276 7,441 (5,835)

Katama Gideon Mwambaji 175 135 (40)

Kenga Michael Mure 6,773 6,410 (363)

Kulumba Betty Wavinya 132 77 (55)

Luganje Esther bahati 164 1,640 1,476

Malanga Alice Mbetsa 71 46 (25)

Maneno Betty Kabibi James 739 571 (168)

Mangi Raymond Furaha 547 387 (160)

Kamto Kenneth Mwakombo 861 430 (431)

Mwamkale William Kamoti 6,844 3,685 (3,159)

Mwamure bakari toya 718 475 (243)

Mwarandu Ferdinand Katana C 530 322 (208)

Mwaringa Beatrice Mwaka 239 135 (104)

Ngala Jimmy F C 1,506 1,100 (406)

Hassan Nuru Lula 88 34 (54)

Watsuma Anderson Chibule 520 265 (255)



Jumla ya kura halali 40,039 28,266 (11,773)

Kura zilizokataliwa 474 474 ..

Jumla ya kura zilizopigwa 50,513 28,740 ..

Waliopiga Kura 47.59% 33.76% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK

Fahamu: Fomu 17A haieleweki vizuri ili kuwezesha kusomeka kuzuri kwa matokeo ya wagombea viti.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisa wa uchaguzi.

· Fomu 16A moja ina majina ya watu ambao hawamo katika orodha ya ECK ya wagombea viti.

· Baadhi ya wagombea viti wana matokeo tofauti katika fomu 16A ileile.

· Tofauti kubwa baina ya jumla yetu, fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.







8.5 Limuru



Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 104 Limuru



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 48,302 48,389 48,389 87

Kukubo Nixon 7 6 6 (1)

Matiba Kenneth 11 10 10 (1)

Musyoka Stephen 443 439 439 (4)

Mwangi Pius 14 15 15 1

Ngacha Joseph 129 123 123 (6)

Ngethe David 11 13 13 2

Odinga Raila 2,988 2,934 2,934 (54)

Rajput Nazlin 10 11 11 1

Jumla ya kura halali 51,915 51,940 51,940 25

Kura zilizokataliwa 411 403 403 (8)

Jumla ya kura zilizopigwa 52,326 52,343 52,343 17

Waliopiga Kura 79.56% 79.58% 79.58% 0.03%

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Fomu 16A moja haikujazwa katika fomu 17A

· Fomu 16A haikutiwa sahihi na afisi wa uchaguzi.

· Fomu 16A ya 040 haikutiwa sahihi na RO.

· Matokeo ya mwisho ya form 16 ya wagombea viti wote yameongezeka isipokuwa kwa Odinga Raila ambapo

yamepungua kwa 3,144 (matokeo ya muda) hadi 2,934 (matokeo ya mwisho)

· Tofauti ya kiwango kikubwa baina ya idadi yetu,fomu takwimu za 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.









Uchaguzi wa bunge

Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 104 Limuru

Kujumlisha Matokeo katika Matokeo ya Jumlisha sahihi Tofauti

kwetu wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya za matokeo ya

kwa matokeo ya ECK Limuru

fomu 16A

A B C C-A

Wagombea viti vya bunge

Chege John Kiragu 7,342 7,028 6,371 (971)

Kamau Keneth Chege 1,398 1,317 1,248 (150)

Kamau Mwaniki Charles 8,957 8,470 8,325 (632)

Kariuki George Njoroge 837 813 759 (78)

Kariuki Joram Gathini 166 156 132 (34)

Kimani Joseph Munyaka 250 3,077 212 (38)

Kiratu Christopher D.M. 212 186 178 (34)

Kuria Simon Kanyingi 3,337 3,118 2,810 (527)

Maara George Jonathan 5,897 5,671 4,021 (1,876)

Mbugua Mercy Muthoni 286 289 266 (20)

Mburu George Mwaura 145 684 655 510

Mirie George Ndungu 414 423 388 (26)

Mwathi Peter Mungai 14,924 14,543 13,552 (1,372)

Mwaura Esther Wanjiku 565 609 533 (32)

Ngugi Job Kariu 151 150 125 (26)

Njonjo Apollo Luciano 2,044 2,085 1,428 (616)

Njoroge James Mingi 74 60 44 (30)

Nyanja George Boniface N M 2,458 2,555 2,406 (52)

Paul John Njoroge 1,714 1,724 1,115 (599)

Thuku Peter Kimani 135 420 111 (24)

Waweru Samuel Chege 61 60 53 (8)

Jumla ya kura halali 51,367 53,438 44,078 44,732 (7,289)

Kura zilizokataliwa 571 691 691 ..

Jumla ya kura zilizopigwa 54,009 44,769 45,423 ..

Waliopiga Kura 82.12% 68.07% 69.06% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Kujazwa zaidi ya mara kwa kura za baadhi ya wagombea kitu katika baadhi ya vituo vya kupigia kura.

· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisa wa uchunguzi

· Matokeo ya Njoroge Paul John yanaoonyeshwa kama 1,724 katika fomu 17A lakini zinaoonyeshwa kama 7,028

katika fomu 16 kisha kama 1,115 katika matokeo ya mwisho ya ECK.

· Matokeo ya Kimani Joseph Munyuka yameonyeshwa kama 3,077 katika fomu 17A na fomu 16, kasha kama

212 katika matokeo ya mwisho ya ECK.

· Katika barua kwa ECK ya tarehe 27 Disemba 2007 afisa mkuu wa uchaguzi katika eneo bunge ameandika

kwamba wakati walipokuwa wanakusanya data kwa minajili ya matokeo ya bunge hakuna wakala walikuwepo

ili kutia sahihi fomu 17.

Ingewezekana kwa hata mmoja miongoni mwa wagombea viti bunge 21 au mawakala kutokuwepo siku ya

mchaguzi?



Matokeo ya mwisho ya ECK hayalingani kamwe na yale yaliyomo katika fomu 16 ya tarehe 28 Disemba 2007.

Kile ambacho kimechapishwa kama matokeo ya mwisho ya ECK ni matokeo ya muda yaliyopokelewa 28

Disemba 2007 na kuthibitishwa na afisa mkuu wa uchaguzi katika eneo bunge tarehe 29 Disemba 2007.



Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 182 Bondo



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi ya matokeo

wenyewe kwa 17A ya ECK ya mwisho ya

matokeo ya ECK

form 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 156 148 148 (8)

Kukubo Nixon 1 1 1

Matiba Kenneth 2 3 3 1

Musyoka Stephen 9 7 7 (2)

Mwangi Pius 4 5 5 1

Ngacha Joseph - -

Ngethe David 5 4 4 (1)

Odinga Raila 56,022 53,202 53,202 (2,820)

Rajput Nazlin 15 16 16 1

Jumla ya kura halali 56,214 54,026 53,173 53,386 (3,041)

Kura zilizokataliwa 110 109 109

Jumla ya kura zilizopigwa 56,214 54,136 53,282 53,495

Waliopiga Kura 90.16% 86.82% 85.45% 85.80%

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK

Fahamu: idadi ya ECK ya kura halali si sahihi. Idadi sahihi iko katika safu ya tarakimu D.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya matokeo ya fomu 16A ya vituo vya kupigia kura zimeandikwa vibaya katika fomu 17A.

· Baadhi ya fomu 16 hazijatiwa sahihi na afisa mkuu wa uchaguzi katika kituu cha kupigia kura.

· Baadhi ya vituo vya kupigia kura vilipata asilimia ya wapiga kura 98. Kimojawapo cha kituo kina 100%

· Kupunguzwa kura/tofauti kubwa baina kujumlisha kwetu wenyewe na matokeo ya mwisho ya ECK, kwa

Odinga Raila.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 182 Bondo



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Mgombea kiti cha bunge

Agunga Alfred Nyandimo 740 320 321 (419)

Oginga Dr. Oburu 49,511 45,270 45,270 (4,241)

Ogola Gideon Ochanda 7,610 6,811 6,741 (869)

Jumla ya kura halali 52,218 52,218 52,332 114

Kura zilizokataliwa .. 225 342 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. 52,443 52,674 ..

Waliopiga Kura .. 84.11 84.48% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK

inamaanisha tarakimu ambazo hazimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi fomu 16A hazimo kwenye faili. Matokeo yanapatikana kutoka fomu 17A makosa ya maandishi na

kuhesabu katika fomu 17A 100.05% ya kura halali kwa mgombea kiti aliyeshinda.

· Baadhi ya matokeo ya fomu 16A yameandikwa vibaya katika fomu 17A.

Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 203 Bamachoge



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 26,176 26,967 26,967 791

Kukubo Nixon 35 - - (35)

Matiba Kenneth 46 19 19 (27)

Musyoka Stephen 224 177 177 (47)

Mwangi Pius 38 52 52 14

Ngacha Joseph 348 312 312 (36)

Ngethe David 57 83 83 26

Odinga Raila 20,043 18,070 18,070 (1,973)

Rajput Nazlin 33 45 45 12

Jumla ya kura halali 47,000 45,725 45,725

Kura zilizokataliwa .. - 3

Jumla ya kura zilizopigwa .. 45,725 45,728

Waliopiga Kura .. 64.78% 64.78%

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK

.. inamaanisha tarakimu ambayo haikuonyeshwa katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Matokeo yanayofanana katika shule mbili za msingi za Amatagaro.

· Baadhi ya fomu 16A ambazo hazikutiwa sahihi na mkuu wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.









Uchaguzi ya bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 203 Bomachoge



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi matokeo ya

wenyewe kwa 17A ya ECK mwisho ya

matokeo ya ECK

form 16A

A B C C-A

Wagombea kiti cha bunge

Atati William Moturi 261 215 215 (46)

Michoti David Mogendi 308 337 337 29

Migiro Samuel Ongori 756 581 581 (175)

Omamba Ben Mogaka 282 299 299 17

Mogeni Samuel Osoro 497 539 539 42

Peter Jim Momanyi 326 316 316 (10)

Mwema Nathan Onkundi Ogesare 80 139 139 59

Nyakora Musa Ondara 413 309 309 (104)

Nyameyio Samson Nyakweba 470 262 262 (208)

Nyamwamu Cyprian Orina 3,397 1,084 1,084 (2,313)

Oigara Cedius N. Nyachwati 354 191 191 (163)

Nyangwara Zaphaniah Moraro 7,231 5,746 5,746 (1,485)

Nyaudi Albert Mbaka 7,159 7,133 7,133 (26)

Obondi Lugard Mogusu 464 442 442 (22)

Obure Ferdinand Ondabu 1,694 824 824 (870)

Nyaudi Simon Ongari 6,219 7,221 7,221 1,002

Oirere Bororo Onyimbo Naftal 747 704 704 (43)

Omagwa Zacharius Nyangena 89 93 93 4

Omboga Johnson Ondego 288 261 261 (27)

Omwemo James Ombasa 499 339 339 (160)

Ondabu Jason 200 308 308 108

Ontiri Machana Mokua 149 165 165 16

Onukoh Paul Nyabere 412 318 308 (104)

Omagwa Joel Onyancha 13,277 9,076 9,076 (4,201)

Koina Onyancha 581 242 242 (339)

Oseko Isaac Mbaka 776 621 621 (155)

Masea Arnold Benson Ototo 402 266 266 (136)

Siagi Moses Nyandieka 438 450 450 12



Jumla ya kura halali .. .. 38,481 38,471 ..

Kura zilizokataliwa .. .. 3 3 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 38,484 38,474 ..

Waliopiga Kura 54.52% 54.50% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK

.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia.

Fahamu: idadi katika matokeo ya ECK si sahihi, idadi sahihi imo katika safu ya tarakimu D.









8.8 Juja

Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 100 Juja



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A na 16 ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 101,003 100,390 100,390 (613)

Kukubo Nixon 16 35 35 19

Matiba Kenneth 47 67 67 20

Musyoka Stephen 4,986 4,409 4,409 (577)

Mwangi Pius 92 80 80 (12)

Ngacha Joseph 257 219 219 (38)

Ngethe David 21 61 61 40

Odinga Raila 13,948 13,752 13,752 (196)

Rajput Nazlin 48 37 37 (11)

Jumla ya kura halali 120,418 119,050 119,050 (1,368)

Kura zilizokataliwa .. 914 914

Jumla ya kura zilizopigwa .. 119,964 119,964

Waliopiga Kura .. 73.30% 73.30%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK

Fahamu: Haiwezekanai kulinganisha na tarakimu za fomu 16 kwa vile kuna fomu 16 mbili zenye tarakimu tofauti.

.. inamaanisha tarakimu ambayo haimo katika hati asilia.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wakuu wa vituo vya kupigia kura.

· Fomu 16A chache zenye sahihi zinazotofautiana zilizotiwa sahihi na afisa mkuu wa kituo cha kupigia kura.

· Baadhi ya maafisa wakuu wa vituo vya kupigia kura wanaonyesha majina na habari za wapiga kura

walioruhusiwa kupiga kura kutoka Black Book na rejista ambamo majina yanatokea zaid ya mara moja.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 100 Juja



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A na 16 ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Mgombea kiti cha bunge

Enos David Nzioka 2,813 2,653 2,653 (160)

Gathua Eunice Gathigia 1,032 832 832 (200)

Gitau William Kabogo 34,114 32,987 32,987 (1,127)

Githaiga Dick Maina 2,649 2,621 2,621 (28)

Kimamia Beatrice Wairimo 277 268 268 (9)

Kiama Peter Wangai 287 272 272 (15)

Kibugu Agness Wangui 1,029 973 973 (56)

Kihara Freddie Kirima 430 472 472 42

Kirika Mary Wanjiru Mwaniki 661 661 661 -

Moreka David Nyamache 7,651 7,410 7,410 (241)

Ndabi Stephen Ndichu 2,964 2,924 2,924 (40)

Ng ang a Alice Wambui 9,541 9,252 9,252 (289)

Thuo George 55,728 52,321 52,321 (3,407)

Jumla ya kura halali 119,176 113,646 113,646 (5,530)

Kura zilizokataliwa .. 1,162 1,162

Jumla ya kura zilizopigwa .. 114,808 114,808

Waliopiga Kura .. 70.15% 70.15%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK

.. inamaanisha hakuna tarakimu iliwoandikwa katika hati asilia.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16Ahazimo katika faili tarakimu zilipatikana katika fomu 17A.

· Idadi kubwa ya fomu 16A hazijaandikwa katika fomu 17A.

· Fomu 16A zenye afisa mkuu ni mmoja wa kituo cha kupigia kura lakini sahihi tofauti.









8.9 Molo



Uchaguzi wa urais



Uchambuzi wa uchaguzi wa urais wa 138 Molo



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi matokeo ya

wenyewe wa 17A ya ECK mwisho ya

matokeo ya ECK

form 16A na

idadi sahihi

A B C D C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 75,314 75,611 75,261 (53)

Kukubo Nixon 12 11 12

Matiba Kenneth 44 45 46 2

Musyoka Stephen 263 264 222 (41)

Mwangi Pius 38 35 19 (19)

Ngacha Joseph 303 294 266 (37)

Ngethe David 43 42 34 (9)

Odinga Raila 22,510 22,580 23,268 758

Rajput Nazlin 18 15 12 (6)

Jumla ya kura halali 98,545 98,897 99,143 99,140 598

Kura zilizokataliwa .. 1,016 923 923 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. 99,913 100,066 100,063 ..

Waliopiga Kura .. 79.07% 79.19% 79.19% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK

.. inamaanisha tarakimu ambazo hazimo katika hati asilia

Fahamu: Tarakimu ya ECK ya kura halali si sahihi, idadi sahihi imo katika safu tarakimu D.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa Uchaguzi wa bungewa 138 Molo



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea kiti cha bunge

Ayub Jesse Mwaniki 243 302 59

Gaithya Simon Ndungu 448 545 97

Philip Nduhiu Githambo 164 191 27

Karanja Kabage 4,605 5,436 831

Joyce Njoki Karimi 131 175 44

Kiarie Stephen Karanja 153 175 22

Kimani Joseph Kamau 228 271 43

Kinyanjui Johnson Mwamba 551 868 317

Manini George Githua 161 247 86

Mukiri Macharia 601 764 163

John Njenga Mungai 6,865 10,340 3,475

Njogu James Mwangi 780 718 (62)

Kiuna Joseph Nganga 43,243 54,057 10,814

Dickson Ngigi Ngugi 113 123 10

Njeri Mary Kulankash 80 95 15

Wambui Florence Njoroge 99 118 19

Karanja Njoroge Mungai 350 513 163

Njoroge Philip Thuo 48 84 36

Njunga Michael 214 348 134

Sang Peter Kipngetich 17,885 18,603 718

Maina Stephen Thuo 59 84 25

Tonui Samwel Kipkemoi 171 666 495



Jumla ya kura halali 77,192 .. 94,725 17,533

Kura zilizokataliwa .. .. 1,242

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 95,967

Waliopiga Kura ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A na 17 za ECK

Fahamu: Tarakimu sahihi ya kura halali katika safu C ni 94, 723 ikifanya jumla ya kura zilizopigwa kuwa 95,965.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili, haziwezi kusomwa katika 17A kwa sababu faila haina fomu 17A, jambo

ambalo halijatolewa maelezo na afisa wa uchaguzi wa eneo bunge.

· Baadhi ya fomu 16A hazijatiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa vituo vya kupigia kura.

· Baadhi ya fomu 16A zinaonekana hazijakamilika kwa sababu hazina na baadhi ya wagombea uchaguzi.



8.10 Maragwa

Uchaguzi wa Rais

Uchambuzi wa Uchaguzi wa Rais wa 095 Maragwa



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A

wenyewe wa 17A & 16 ya ECL na matokeo

matokeo ya ya mwisho ya

form 16A na ECK

idadi sahihi

A B C D C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 56,429 56,439 56,439 10

Kukubo Nixon 15 15 15 -

Matiba Kenneth 26 25 25 (1)

Musyoka Stephen 577 564 564 (13)

Mwangi Pius 28 29 29 1

Ngacha Joseph 205 198 198 (7)

Ngethe David 10 10 10 -

Odinga Raila 471 460 460 (11)

Rajput Nazlin 13 14 14 1

Jumla ya kura halali 57,774 59,795 59,795 57,754 2,021

Kura zilizokataliwa .. 322 322 322

Jumla ya kura zilizopigwa .. 60,117 60,117 58,076

Waliopiga Kura .. 85.24% 85.24% 82.35%

Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Fomu 16A ambayo haijatiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura lakini iliyotiwa sahihi na

naibu wake.

· Fomu 16A yenye sahihi tofauti lakini matokeo yaleyale.









Uchaguzi wa bunge

Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 095 Maragwa





Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea kiti cha bunge

Elias Peter Mbau 18,355 18,266 18,266 (89)

Gituabiah Paul 613 623 623 10

Kariuki Maina John 4,915 5,036 5,036 121

Kimani Mathew Mwangi 2,244 2,194 2,194 (50)

Kioi Mark Kamande 803 756 756 (47)

Macharia Francis Gachihi 2,481 2,345 2,345 (136)

Maluki Mohammed Omari 187 3,553 3,553 3,366

Mwangi Peter Kamande 16,806 16,531 16,531 (275)

Mwaura John B Kirore 1,439 1,458 1,458 19

Mwirigi Maurice Njuguna 811 798 798 (13)

Nganga Samwel Kamunu 392 403 403 11

Ngugi Martin Njuguna 307 272 272 (35)

Ngwiri Simon W. Kimani 225 200 200 (25)

Njue John Muguini 187 158 158 (29)

Wainaina Peterson 357 349 349 (8)

Watailor Stephen N. Kinuthia 6,335 5,221 5,221 (1,114)



Jumla ya kura halali 56,457 58,163 58,163 ..

Kura zilizokataliwa .. 736 736 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. 58,899 58,899 ..

Waliopiga Kura .. 83.52% 83.52% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A ya ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A zilitiwa sahihi na naibu wa afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.

· Baadhi ya fomu 16A hazina katika faili lakini tarakimu zilisomwa katika fomu 17A.









8.11 North Imenti



Uchaguzi wa Rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa Rais katika 051 North Imenti





Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

form 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 89,691 84,006 78,684 (11,007)

Kukubo Nixon 22 20 18 (4)

Matiba Kenneth 46 45 37 (9)

Musyoka Stephen 821 460 802 (19)

Mwangi Pius 115 113 107 (8)

Ngacha Joseph 301 245 476 175

Ngethe David 60 26 16 (44)

Odinga Raila 3,617 3,300 3,370 (247)

Rajput Nazlin 30 52 25 (5)

Jumla ya kura halali 94,703 88,267 83,535

Kura zilizokataliwa .. .. 653

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 84,188

Waliopiga Kura .. .. 67.92%

Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK

.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo kwenye faili na fomu 17A zinaonyesha kwamba majina ya maeneo bunge

yameandikwa lakini matokeo hayakujazwa humo. Ni wazi katika fomu 17A.

· Baadhi ya fomu 16 hazikutiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.

· Fomu 16A mibli zenye matokeo sawa (katika 054 Gikumene Primary school)

· Matatizo katika tarakimu za kituo cha kupigwa kura cha 135 Njuri Ncheke stree katika fomu 17A.

· Kujumulisha sahihi kwa matokeo ya wagombea viti kutoka vituo vya kupigia kura kunaonyesha idadi tofauti

katika fomu 17A kama ifuatavyo

· Jumla ya kura halali inakuwa 89,438.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 051 North Imenti



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi ya jumla za

wenyewe wa 17A & 16 ya ECK matokeo ya

matokeo ya mwisho ya

fomu 16A na ECK

idadi sahihi

A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Akandi Fredrick Kiogora 1,785 1,252 (533)

Angaine John Mugambi 11,235 9,266 (1,969)

Gichuru Francis Xaxier 1,157 1,008 (149)

Kiogora Abonyai Mutuerandu 3,407 3,770 363

Marete Isaac Kinoti 264 596 332

Mbeeria Jeremiah baariu 1,353 1,219 (134)

Mbuba Peter Rwanda 449 526 77

Meenye Gideon Kaumbuthu 9,531 8,275 (1,256)

Mugah Paul Murungah 1,119 975 (144)

Muthamia Morris morgan 1,028 706 (322)

Mwiraria Daudi 22,867 20,422 (2,445)

Mburugu Ephriam mwirigi 766 574 (192)

Ringera Karambu Lillian 2,073 1,758 (315)

Ringera Stephen Kirimi 2,066 1,758 (308)

Ruteere Silas Muriuki 33,444 30,603 (2,841)

Terah Flora Igoki 1,469 720 (749)

Jumla ya kura halali 94,013 .. 83,364 83,428 ..

Kura zilizokataliwa .. .. 794 794 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 84,158 84,222 ..

Waliopiga Kura .. .. 67.90% 67.95% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK

Fahamu: kujumlisha katika matokeo ya mwisho ya ECK sio sahihi, idadi sahihi imo katika safu D.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na fomu 17A zinaonyesha majina ya vituo vya kupigia kura zipo lakini

matokeo hayakuandikwa.

· Matokeo yanayofanan a katika sehemu za A na C za 011 Madaraka primary schoo.









Wajir North



Uchaguzi wa Rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 034 Wajir North





Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

fomu 16A idadi

sahihi

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 5,084 5,244 5244 160

Kukubo Nixon 5 5 5 -

Matiba Kenneth 6 5 7 1

Musyoka Stephen 30 29 29 (1)

Mwangi Pius 4 3 3 (1)

Ngacha Joseph 6 6 6 -

Ngethe David 4 4 4 -

Odinga Raila 5,166 4,988 4988 (178)

Rajput Nazlin 6 5 6 -

Jumla ya kura halali 10,312 10.289 10,292 (20)

Kura zilizokataliwa 35 28 -

Jumla ya kura zilizopigwa 10,347 10,317 10,292

Waliopiga Kura 72.99% 72.78% 72.60%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Ni mambo machache yaliyogunduliwa,isipokuwa kuhesabu kwetu kunaonyesha kura 35 zilizokataliwa,28

zikiwa zimeonyeshwa katika fomu 17A, lakini matokeo ya mwisho hayaonyeshi kura zozote zilizokataliwa.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa bunge wa 034 Wajir North



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17a ya ECK

matokeo ya

fomu 16A

A B C C-A

Mgombea Kiti Cha bunge

Abdullahi Ibrahim Abdi 147 147 147 -

Ahmed Maalim Omar 877 877 877 -

Ali Abdi Hussein 1,933 1,933 1,933 -

Ali Abdullahi Ibrahim 3,675 3,675 3,675 -

Mohammed Hussein Gabbow 3,675 3,675 3,675 -

Omar Hassan Elmi 7 7 7 -

Jumla ya kura halali 10,314 10,314 10,314 -

Kura zilizokataliwa 32 33 -

Jumla ya kura zilizopigwa 10,346 10,347 10,314

Waliopiga Kura 72.98% 72.99% 72.76%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Ni mambo machache yaliyogunduliwa, isipokuwa kuhesabu kwetu kulionyesha kura 5 zilizokataliwa ambazo

hazijaonyeshwa katika matokeo ya mwisho. Kura hizi hazingeelezwa baadaye kama kura zilizokataliwa kwani

idadi ya kura zilizokataliwa iliongezeka kutoka 32 hadi 33 pekee.









8.13 Kieni



Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 082 Kieni



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

fomu 16A idadi

sahihi

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 72,354 72,054 72,054 (300)

Kukubo Nixon 9 6 6 (3)

Matiba Kenneth 13 12 12 (1)

Musyoka Stephen 62 58 58 (4)

Mwangi Pius 26 25 25 (1)

Ngacha Joseph 153 150 150 (3)

Ngethe David 7 5 5 (2)

Odinga Raila 612 580 580 (32)

Rajput Nazlin 6 6 6 -

Jumla ya kura halali 73.242 72,197 72,896 (346)

Kura zilizokataliwa .. 161 161 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. 72.358 73,057 ..

Waliopiga Kura .. 85.44% 86.27% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK

.. inamaanisha tarakimu ambazo hazijaonyeshwa katika hati asilia.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili lakini pia hazi kuonyeshwa katika fomu 17A.

· Baadhi ya fomu zina jina sawa la afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura lakini sahihi zinaonekana tofauti.

· Idadi ya wapiga kura waliosajilishwa na ile iliyoonyeshwa matokeo ya mwisho ya ECK (84,687)









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa bunge wa 082 Kieni



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

fomu 16A

A B C C-A

Mgombea Kiti Cha bunge

Gichuru Michael Wachira 388 - 377 (11)

Gitonga Peter Mathenge 1238 - 1252 14

Kairu James Wanderi 310 - 600 290

Karanja John Kamunya 86 - 243 157

Karanja John Muhia 289 - 140 (149)

Kihagi Isaac Ngatia 2,564 - 2,272 (292)

Macharia Edwin Mwangi 5,331 - 5,335 4

Maina Muchiri Kiuma 482 - 421 (61)

Muriithi Kenneth Kamunya 183 - 855 (672)

Murungaru Christopher Ndarathi 8,827 - 8,460 (367)

Ndung u James Mathenge 287 - 255 (32)

Wachira Charity Gathoni 124 - 66 (58)

Wanderi Francis Mathenge 625 - 599 (26)

Warugongo Nemesyus 50,793 - 51,394 601

Jumla ya kura halali 71,527 .. 72,269 742

Kura zilizokataliwa .. .. 1,629

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 73,898

Waliopiga Kura .. .. 87.26%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Fomu 16A chache hazikutiwa sahihi na afisi wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura

· Baadhi wanaonekana kuwa na sahihi tofauti za afisa yuleyule.









8.14 Lari



Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 105 Lari



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

fomu 16A idadi

sahihi

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 49,280 49,276 49,276 (4)

Kukubo Nixon 7 8 8 1

Matiba Kenneth 15 7 7 (8)

Musyoka Stephen 70 32 32 (38)

Mwangi Pius 16 16 16 -

Ngacha Joseph 157 67 61 (96)

Ngethe David 4 4 4 -

Odinga Raila 458 457 457 (1)

Rajput Nazlin 3 3 3 -

Jumla ya kura halali 50,010 49,864 49,864 (146)

Kura zilizokataliwa 740 218 218

Jumla ya kura zilizopigwa 50,750 50,082 50,082

Waliopiga Kura 85.45% 83.33% 84.33%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Si mambo mengi yaliyogunduliwa isipokuwa tofauti katika matokeo ya mwisho ya ECK.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 105 Lari



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi kura rasmi za

wenyewe wa 17A ya ECK mwisho za

matokeo ya ECK

fomu 16A

A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Burugu John Njuguna 7,616 7,615 7,615 (1)

Chege Mburu Tiras 456 456 456

Gitonga Gichuru Philip 208 211 211 3

Kagunyi Njari Francis 8,739 8,876 8,876 137

Kamau Anthony Njihia 104 97 77 (27)

Kimani Douglas 386 343 343 (43)

Kimani Ndungu Walter 3,837 3,836 3,836 (1)

Kimathi James Viscount 3,254 3,654 3,654 400

Kuria Kimani David 2,303 2,280 2,280 (23)

Mwai Wangui Pauline 450 455 455 5

Mwaura David Njuguna Kiburi 11,847 11,855 11,855 8

Mwangi Jonah Mburu 8,005 8,804 8,835 830

Mweja David Wairiri 938 938 938 -

Nganga Caroline Wambui 336 326 326 (10)

Nyambura Samuel Njagu 112 110 1,110 998

Nyota Njohn K 767 772 772 5

Turuthi Gad Githengu 52 53 53 1

Jumla ya kura halali 49,410 .. 50,681 51,692 1,271

Kura zilizokataliwa 468 .. 334 334

Jumla ya kura zilizopigwa 49,878 .. 52,026 52,026

Waliopiga Kura 83.98% .. 87.60% 87.60%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 za ECK



Mambo yaliyogunduliwa

· Tarakimu matokeo ya wagombea viti zenye makosa katika fomu 17A.

· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi lakini zilipigwa muhuri wa afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura









8.21 Malava



Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 155 Malava





Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 17A ya ECK

matokeo ya

fomu 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 18,152 17,969 14,712 (3,440)

Kukubo Nixon 66 40 92 26

Matiba Kenneth 119 146 126 7

Musyoka Stephen 346 342 340 (6)

Mwangi Pius 102 85 99 (3)

Ngacha Joseph 365 94 147 (218)

Ngethe David 83 128 72 (11)

Odinga Raila 26,355 25,818 19,891 (6,464)

Rajput Nazlin 27 26 28 1

Jumla ya kura halali 45,615 44,648 35,507

Kura zilizokataliwa .. .. 71

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 35,578

Waliopiga Kura .. .. 52.91%

Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK

Fahamu: Tarakimu hizi zilipatikana kutoka fomu 22 na 16A ambazo katika faili na tarakimu hazikuwemo katika

fomu 17A. fomu hizo zikiwemo huenda jumla na vilevile tofauti zikabadilika.

.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Za kwanza 17, na kisha kundi jingine la fomu 16a kwa jumla fomu 22, lazima katika faili ya eneo bunge na pia

hazimo katika 17A.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 155 Malava



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A

wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya

matokeo ya mwisho ya ECK

fomu 16A

A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Caleb Ambulwa Murudi 183 189 291 108

Edward Juma Saya Malovi 448 411 305 (143)

Mukonyi Stephen Aswala 142 159 82 (60)

Nambwa sakaya Musavinyi 20,466 19,323 18,641 (1,825)

Sakataka William 530 978 427 (103)

Sakwa Tom Alphew 154 2,852 107 (47)

Soita Peter Shitanda 21,059 20,038 19,374 (1,685)

Tanga Harrison Webbo 600 974 395 (205)

Wakukha George Munji 1,125 1,095 832 (293)

Jumla ya kura halali 44,707 46,019 41,864 40,454 ..

Kura zilizokataliwa .. .. 1,119 1,119 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 42,983 41,573 ..

Waliopiga Kura .. .. 63.92% 61.83% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK



Fahamu: Makos katika kujumlisha tarakimu sahihi za ECK. Ujumlishaji mzuri unaleta kura sahihi 40,454 kama ilivyo

katika safu D.



Tarakimu zilipatikana kutoka fomu 22 za 16A ambazo hazikuwa katika faili na pia hazikuwemo katika fomu 17A.

fomu hizo zikiwemo, jumla za kura za wagombea viti na vilevile tofauti zitaongezeka.



Mambo yaliyogunduliwa

· Za kwanza 17 na fomu 16A nyingine, jumla ikiwa fomu 22 hazimo katika faili ya eneo bunge.









8.22 Masinga

Uchaguzi wa rais



Uchambuzi na uchaguzi wa rais katika 066 Masinga



Kujumlisha Tarakimu Matokeo ya Tofauti

kwetu kutoka fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 16 ya ECK

matokeo ya

fomu 16A idadi

sahihi

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 2,341 2,344 1,038 (1,303)

Kukubo Nixon 37 38 33 (4)

Matiba Kenneth 22 112 107 85

Musyoka Stephen 33,659 33,729 21,225 (12,434)

Mwangi Pius 29 47 35 6

Ngacha Joseph 42 31 42 -

Ngethe David 6 4 3 (3)

Odinga Raila 387 462 238 (149)

Rajput Nazlin 155 165 221 66

Jumla ya kura halali 36,678 36,932 22,942 (13,736)

Kura zilizokataliwa .. .. 399

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 23,341

Waliopiga Kura .. .. 45.50%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK

.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Kushugulikiwa vibaya kwa baadhi ya kurasa za fomu 17A kulielezwa na afisa wa uchaguzi wa eneo bunge

katika barua kwa ECK.

· Hata baada ya kutolewa maelezo haya ya afisa wa uchaguzi wa eneo bunge matokeo ya mwisho ya ECK

yanatofautiana sana na matokeo ya fomu 16 ambayo ndio msingi kisheria kwa tangazo lolote la ECK.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bung katika 066 Masinga



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Matokeo ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi mwisho

wenyewe wa 16A ya ECK yaliyosahihishwa ya

matokeo ya ECK

fomu 16A

A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Kabaka Boniface Mutinda 3,094 2,901 2,901

Katu Peter Masilu 362 370 370

Kiala Bernard Muia 4,122 4,052 4,052

Kiluta Ronald John 2,223 1,892 1,892

Kisulu Festus Kivata 429 314 314

Kithyaka Joseph Muthami 230 214 214

Kitua Daniel Muinde 1,033 882 882

Mbai Benson Itwiku 10,274 9,164 9,164

Mbaluka Joel 2,519 2,245 2,245

Musila Paul Muoki 2,348 2,179 2,179

Mutisya Josephat Mutunga 288 263 263

Mutisya Simon Makao 73 64 64

Mutuku Peter Nicholas 769 552 552

Mutunga Sheila Phylis Mwikali 394 379 379

Mwalyo Joshua Mbithi 9,024 8,435 8,435

Ndivo Rosalia Kanini 150 99 99

Ndolo Simon Silla 80 90 90

Ngungu Janet Syovata 171 167 167

Wambua Lois Mutanya 117 109 109



Jumla ya kura halali 37,700 34,371 34,371 34,172

Kura zilizokataliwa .. 547 547 547

Jumla ya kura zilizopigwa .. 34,918 34,818 34,719

Waliopiga Kura .. 68.06% 67.87% 67.68%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A za ECK

.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia.



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazina majina ya wagombea viti

· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupiga kura; nyingine zilitiwa sahihi

kwa niaba ya afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura

· Idadi hiyohiyo ya fomu 16A(22) hazimo katika faili ya eneo bunge ya katika 17A.









8.23 Changamwe



Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 009 Changamwe







Kujumlisha Tarakimu Matokeo ya Tofauti

kwetu kutoka fomu mwisho rasmi

wenyewe kwa 16 ya ECK

matokeo ya

fomu 16A idadi

sahihi

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 15,151 9,366 9,366 (5,785)

Kukubo Nixon 20 15 15 (5)

Matiba Kenneth 20 15 15 (5)

Musyoka Stephen 8,368 5,347 5,347 (3,021)

Mwangi Pius 121 74 74 (47)

Ngacha Joseph 67 44 44 (23)

Ngethe David 18 14 14 (4)

Odinga Raila 29,648 17,706 17,706 (11,942)

Rajput Nazlin 55 33 33 (22)

Jumla ya kura halali 53,468 32,614 32,614 (20,854)

Kura zilizokataliwa 509 .. -

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 32,614

Waliopiga Kura .. .. 30.33%

Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK

.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia



Fahamu: Idadi ya kura zilizokataliwa katika safu A inaweza kuwa ni ndogo kwa sababu baadhi ya fomu 16A

hazikuonyesha idadi ya kura zilizokataliwa katika vituo vya kupigia kura vilivyohusika.



Mambo yaliyogunduliwa

· Kwa jumla, tarakimu za baadhi ya fomu 16A zimeandikwa vibaya katika fomu 17 A.

· Tofauti kubwa baina jumla zetu na matokeo ya mwisho ya ECK.









8.24 Machakos Town



Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 070 Machakos Town

Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A

wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya

matokeo ya mwisho ya ECK

fomu 16A

A B C D C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 4,954 4,547 3,187 (1,767)

Kukubo Nixon 35 36 24 (11)

Matiba Kenneth 36 36 28 (8)

Musyoka Stephen 55,785 53,167 41,295 (14,490)

Mwangi Pius 70 68 41 (29)

Ngacha Joseph 69 67 50 (19)

Ngethe David 17 17 11 (6)

Odinga Raila 1,515 1,312 812 (703)

Rajput Nazlin 406 359 353 (53)

Jumla ya kura halali 62,887 59,609 45,811 45,801

Kura zilizokataliwa .. .. 2,839 2,839

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 48,650 48,640

Waliopiga Kura .. .. 51.29% 51.28%

Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK

.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia

Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na katika fomu 17A; baadhi hazina maandishi hata katika fomu 17A.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 070 Machakos Town



Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti

kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A

wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya

matokeo ya mwisho ya ECK

fomu 16A

A B C D C-A

Mgombea kiti cha bunge

Benson Bahati Mutua 240 .. 272 32

Daudi Fredrick Mwanzia 13,545 .. 13,607 62

Jones Kavivya Nzau 609 .. 1,023 414

Kaloki Collins Kitaka 7,207 .. 6,908 (299)

Kamelo Alfonce Mwangangi 2,049 .. 2,138 89

Kimanthi Florence Mbeti 2,484 .. 2,507 23

Kimeu Charles Nthiwa 242 .. 283 41

Mbithi Roseann Katheu 272 .. 278 6

Mothoka Stephen Makau 896 .. 946 50

Mukua Solomon Kimuyu 176 .. 169 (7)

Munyaka Victor Kioko 25,186 .. 24,647 (539)

Musyoka Susan Mbinya 6,064 .. 6,049 (15)

Musyoki Alphonce Mbinda 999 .. 986 (13)

Mutua Richard Mulu 165 .. 331 166

Mwamisi Timothy Wambua 872 .. 720 (152)

Nzengu Edward Kioko 1,351 .. 982 (369)



Jumla ya kura halali 62,357 .. 61,848 61,846 ..

Kura zilizokataliwa .. .. 1,010 1,010 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 62,858 62,856 ..

Waliopiga Kura .. .. 66.28% 66.27% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK

Fahamu: idadi katika matokeo ya mwisho ya ECK ya kura halali si sahihi, idadi sahihi imo katika safu D.

.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na katika fomu 17A; nyingine ni tupu hata katika 17A.

· Tofauti nyingi kuhusiana na kura halali kwenye kiwango cha vituo vya kupigia kura.









8.25 Central Imenti



Uchaguzi wa rais

Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 052 Central Imenti





Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti

ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi

kibinafsi ya 17A ya ECK

fomu 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 58,811 43,410 43,410 (15,401)

Kukubo Nixon 16 8 8 (8)

Matiba Kenneth 19 13 13 (6)

Musyoka Stephen 185 130 130 (55)

Mwangi Pius 69 51 51 (18)

Ngacha Joseph 256 157 157 (99)

Ngethe David 16 12 12 (4)

Odinga Raila 1,585 1,108 1,108 (477)

Rajput Nazlin 15 18 18 3

Jumla ya kura halali 60,972 44,907 44,907

Kura zilizokataliwa .. .. 302

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 45,209

Waliopiga Kura .. .. 57.78%

Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK



.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Fomu 16A haimo katika faili; takwimu zilipatikana kutoka fomu 17A.

· Tofauti kubwa baina ya ujumlishaji wetu wa fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.









Uchaguzi wa bunge



Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 052 Central Imenti







Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti

ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi

kibinafsi ya 17A ya ECK

fomu 16A

A B C C-A

Mgombea kiti cha bunge

Imanyara Gitobu 14,980 14,601 (379)

Kirea Salome Gathuni 463 447 (16)

Kirima Moses Nguchine 10,074 9,936 (138)

Kirugi Nelson Kaimeny 3,499 3,415 (84)

Kiugu Geoffrey Muriungi 11,491 11,395 (96)

M Itwerandu Fabian Murugu 1,426 1,418 (8)

M Mugwika Kimathi Samuel 1,150 1,096 (54)

M Mukindia Joseph K. Laiboni 3,187 3,244 57

M Mukiri Andrew Kinyua 948 670 (278)

Magiri Mwirigi Edward 321 345 24

Mboroki Dennis Mbichi 3,140 3,214 74

Mithenga Martin Mugambi 2,757 2,710 (47)

Mugendi Samwel 1,841 1,829 (12)

Murithi Mercy Gacheri 352 358 6

Domnic Charles S. 1,354 1,243 (111)

Mwiti Gershon Kimeu 1,287 1,281

Wambutura Justus Gitobu 3,027 3,003 (24)

Jumla ya kura halali 61,297 .. 60,205 ..

Kura zilizokataliwa .. .. 602 ..

Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 60,807 ..

Waliopiga Kura .. .. 77.72% ..

Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK



.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia



Mambo yaliyogunduliwa

· Fomu 16A chache zilijazwa vibaya katika fomu 17A; nyingine hazijakamilika kwa vile hazina majina ya baadhi

ya wagombea viti.









8.26 Saku



Uchaguzi wa rais



Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 043 Saku





Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti

ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi

kibinafsi ya 17A ya ECK

fomu 16A

A B C C-A

Wagombea urais

Kibaki Mwai 7,124 7,124 7,124 -

Kukubo Nixon 6 6 6 -

Matiba Kenneth 9 9 9 -

Musyoka Stephen 1,232 1,232 1,232 -

Mwangi Pius 3 8 8 5

Ngacha Joseph 27 27 27 -

Ngethe David 4 3 3 (1)

Odinga Raila 5,682 5,682 5,682 -

Rajput Nazlin 11 9 9 (2)

Jumla ya kura halali 14,098 14,100 14,100

Kura zilizokataliwa 115 .. 115

Jumla ya kura zilizopigwa 14,213 .. 14,215

Waliopiga Kura 73.85% .. 73.86%

Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK



.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia

Mambo yaliyogunduliwa

· Hakuna mambo yaliyogunduliwa katika faili hii.









Mapendekezo

Takwimu na tarakimu zina umuhimu mkuu katika uchaguzi wowote. Maandalizi ya kutosha na

washiriki wote katika uchaguzi huamuliwa kufuatana na namna ambavyo matokeo

yameshughulikiwa, kusimamiwa na kutangazwa. Jambo hili linafanya mfumo wa kushughulikia

matokeo msingi wa kujengea uchaguzi ulio huru na sawa.





Hata hivyo, kuna mambo mengi yanayofanya uchaguzi kuwa huru na sawa kama vile mfumo wa

kisheria uliopo, muundo, kupatikana na ufanisi wa asisi ya kusimamia uchaguzi na dhima ya

washiriki wengine kama vile vyama vya kisiasa, vyombo vya habari, wachunguzi na washiriki

wasio na kiserikali. Mapendekezo yanayotolewa hapa yanapaswa kueleweka katika muktadha

wa miundo sawa na sheria ambazo zinahitaji kuwepo ili mambo mengine yanayohusu uchaguzi

yaweze kutumika.





Matatizo tunayokumbana nayo tunaposoma hati za matokeo ya uchaguzi wa 2007 mengi

ambayo yamesisitizwa katika ripoti hii yanaonyesha kutofaulu hasa kwa Tume ya Uchaguzi ya

Kenya na kwa jumla, kuhusiana na maafisa wa uchaguzi wa vituo vya kupigia kura, maafisa wa

uchaguzi wa maeneo bunge na makarani waliojiriwa kuendesha uchaguzi. Kuna kutofaulu kwa

kiwango cha juu kwa mfumo, wafanyikazi, shirika na vikwazo vikali vya kiteknolojia na makosa

ya kibinadamu, ambayo bila shaka yalichangia kwa kuwepo na uchaguzi wenye makosa, na

kama ambavyo tumeona, mara nyingi wagombea viti hawakupata matokeo sahihi na matangazo

ya matokeo ya bunge hayakuwa sahihi. Makosa haya hayapaswi kuvumiliwa katika uchaguzi

wowote wa kisiasa na wa heshima.





Matatizo tunayokumana nayo tunaposoma hati za matokeo ya uchaguzi wa 2007 mengi

ambayo yamesisitizwa katika ripoti hii yanaonyesha kutofaulu haa kwa Tume ya Uchaguzi ya

Kenya na kwa jumla kuhusiana na maafisa wa uchaguzi wa vituo vya kupigia kura, maafisa wa

uchaguzi wa maeneo bunge na makarani walioajiriwa kuendesha uchaguzi kuna kutofaulu kwa

kiwango cha juu kwa mfumo, wafanyikazi, shirika na vikwazo vikali vya kiteknolojia na makosa

ya kibinadamu ambavyo bila shaka vilichangia kwa uchaguzi wenye makosa, na kama ambavyo

tumeona mara nyingi wagombea viti hawakupata matokeo sahihi na matangazo ya matokeo ya

bunge hayakuwa sahihi. Makosa haya hayapaswi kuvumilika katika uchaguzi wowote wa

kisiasa na wa heshima.





Kwa hivyo, tunaonelea ifuatavyo:

A. Kuimarisha mfumo wa kusimamia uchaguzi kuhusiana na utaratibu wa matokeo.

Kiwango cha chini kabisa ambapo matokeo yanaanza kushughulikiwa ni kituo cha

kupigia kura wakati ambapo maafisa wa uchaguzi wa kituo wanaweka pamoja matokeo

kutoka sehemu mbalimbali za kituo na kujumlisha katika form 16A mfumo was

kupungusa makosa ya kimaandishi na makosa ya kitarakimu unapaswa kuwepo kuanzia

kiwango hiki mpaka kiwango cha taifa ambapo kura za wagombea urais zinajumulisha na

vile vile kutangaza. Hili ni pamoja na kuajiri wafanyikazi wa wanaoshughulika na

kuandika wenye uwezo zaidi, mafunzo ya kutosha na ya kufaa pamoja na kuhakikisha

kwamba mfumo wa kiteknolojia unaowekwa, unatumika kuanzia kiwango cha kituo cha

kupigia kura kuhakikisha kwamba makosa hayarudiwirudiwi kuelekea juu kwenye ngazi

ya kushughulikia matokeo.





B. Ingawa kuwajibika zaidi kwa ECK kunafanya iwe lazima kwa wagombea viti au

mawakala wao kutia sahihi fomu 16A na 17A kunaweza kuwa kikwazo kwa sababu ya

muda zaidi wa mawakala kuthibitisha na kuchunguza matokeo, ni jambo ambalo

lingesaidia katika kuhakikisha kwamba taratibu za kudhibiti mambo zinatumika ili

kuhakikisha kwamba matokeo yameandikwa vizuri katika fomu zote kama inavyohitajika

kisheria na kujumlisha kura za wagombea viti kunafanywa bila makosa yoyote.

Kimsingi, Tume ya Uchaguzi ya Kenya (ECK) inapaswa kuajiri wasomaji wa

kuchunguza makosa au maofisa wa kuchunguza tarakimu wakiwa na jukumu la

kuchunguza yaliyoaandikwa na ujumlishaji wa matokeo katika fomu zinazohitajika

kisheria. Jambo hili linaweza kufanywa bila utaratibu maalum au kwa kutumia mfumo

wa kuamua fomu au vituo vituo vya kufanyia kuchunguzwa makosa





C. Ukweli na uaminifu wa mfumo wa matokeo unapatikana ikiwa kuna uwezo wa:

i) Kuchunguzwa na wengine wanaotumia mfumo kama huo

ii) Hatua za marekebisho zinazochukuliwa makosa yanapopatikana. Kanuni ya

maafisa wa uchaguzi wa eneo bunge na vuto vya kupigia kura kuwataka

mawakala kutia sahihi fomu 16A na 17A ni mbinu ya kujichunguza. Hata hivyo,

mambo ni tofauti kuhusiana na fomu 16 hati muhimu zaidi inayotumiwa na

ECK kutangazia washindi wa urais na ubunge. Huu ni udhaifu katika mfumo,

kwa vile hati muhimu zaidi katika uchaguzi inaweza kujazwa na mtu mmoja ama

kwenye kituo cha kupigia kura au kituo cha taifa cha kujumlisha kura. Inapaswa

kupendekezwa kwamba form 16A itiwe sahihi pia na mawakala hali tofauti na

fomu 16A na 17A ambazo zinategemea kuwepo kwa mawakala wakati wa

kujazwa fomu hizo. Kujazwa kwa fomu 16 na mawakala kunapaswa kuwa jambo

la lazima.





D. Kuhusiana na jambo hili, kuna makosa ya kimsingi kwa namna kura za bunge

zinavyotangazwa. Kwa hivi sasa, afisa wa uchaguzi wa eneo bunge hujaza fomu 16 na

kutoa cheti cha fomu 17 kwa mshindi wa kiti cha bunge. Mzozo wowote unaotokana na

jambo hili unaweza kutatuliwa tu kupitia kesi ya malalamiko ya uchaguzi. Hata ECK

haiwezi kugeuza au kubadili maamuzi ya wafanyikazi ambao wameajiriwa kwa muda tu.

Maamuzi yao yanaunda bunge. Hili ni kosa kubwa sana na ni jambo ambalo linapaswa

kugeuzwa ili kuhakikisha kwamba, kama vile ambavyo matokeo ya afisa wa uchaguzi wa

kituo cha kupigia kura ni ya muda mpaka yaidhinishwe na afisa wa uchaguzi wa eneo

bunge, matokeo/maamuzi ya afisa wa uchaguzi wa eneo bunge yanapaswa pia kuwa ya

muda mpaka yaidhinishwe na ECK au Wanatume, na baada ya kiwango hiki, ndipo

utaratibu wa kesi ya uchaguzi unaweza kutumiwa.





E. Mambo mengi yamesemwa na kugunduliwa kuhusiana na kutumia mitambo kwenye

kushughulikia, kujumlisha na kutazama upya matokeo. Kumekuwa na mapendekezo ya

kutumia tarakilishi na simu za rununu ili kusaidia katika utaratibu huu. Hiyo ndiyo

inayopaswa kuwa njia ya kufuata. Hata hivyo, kabla ya kuanza kutumia mitambo katika

mfumo, mfumo unapaswa urekebishwe ili kuleta uaminifu kwake. Kutumia mitambo

kwenye mfumo ulio na kasoro kutafanya ugunduzi wa makosa na udanganyigu kuwa

mgumu hata zaidi. Kurekebisha utaratibu wa kujumlisha kura kunahitaji kufanywa ili

kuhusiana na kuhakikisha kwamba utaratibu huo unaendeshwa na makarani walio na

ujuzi na waliofunzwa vyema, kuwepo na wafanyikazi zaidi wa kusoma ili kuchunguza

makosa na kuona kwamba mambo yanayojazwa kwenye fomu ni sahihi na kuhakikisha

kwamba wafanyikazi wa uchaguzi wa ngazi za juu kuwa na nafasi ya kuchunguza na

kurekebisha makosa. Mtazamo mzuri, muundo msingi mzuri na utendakazi mwema

kuhusiana na teknolojia pia ni mambo yanayohitajika. Ni baada ya mambo haya tu,

tunapopaswa kutumia mitambo. Kwenye mfumo. Jambo hili linahitaji kufanywa kwa

dharura. Kama jedwali la hapo juu linapoonyesha, kufanya uchaguzi kukikiwa mfumo

unaotumia mitambo kungeleta tofauti kubwa katika baadhi ya matokeo yaliotangazwa.





F. Kutumia teknolojia pia kunapaswa kutekelezwa ili kuimarisha sio tu uaminifu na ukweli

wa matokeo, lakini pia kuongeza kasi ya kusafirisha, kuhifadhi na uchambuzi

kujumulishwa kwa kutumuia mbinu za kielentaniki, suluhisho hili la kiufundi na ukaguzi

zaidi na ECK. Ikiwa sheria haitambui matokeo yaliyosafirishwa linapaswa kutumiwa

kama mfumo sawia wa kuhimili mfumo ili kuhakikisha ukweli wa idadi na matokeo,

huku fomu zinazohitajika kisheria zinazojazwa kwa mikono zikiendelea kutumika.





G. ECK inapaswa kufikiria kutoa fomu zinazohitajika kisheria zenye nambari zinazofululiza

ili kuhakikisha kwamba kuna kuwajibika dhahiri kuhusu fomu zilizotolewa na zile

ambazo zinarejeshwa kituo cha kujumlisha kuna cha taifa. Mfumo wa nambari

zinazofululiza unaweza kuchukua muundo wa hivi sasa wa:

Mkoa/nambari ya eneo bunge/nambari ya kituo cha kupigia kura. Kwa mfano, nambari

ya Shule ya Msingi ya Uhuru (016) katika Kamkunji, eneo bunge la Kamukunji (002)

Nairobi (01) ambapo mwandishi huyu alipigia kura, inaweza kuwa: 01/002/016/B.

Jambo hili litahakikisha kwamba visa vya kuwakilishwa karatasi zilizonakilishwa

kukubaliwa kama ushahidi vitakomeshwa, visa vya jumla za fomu 17A bila kuwepo na

fomu 16A zote vitapunguzwa, na kwamba kutakuwa na mtu atakayewajibika kuhusu

fomu za uchaguzi zinazotumiwa kuhifadhi matokeo. Marekebisho au mabadiliko yote

yatakayofanyiwa fomu hizi sharti yawe na mashiko na anayefanya mabadiliko sharti

ashuhudiwe na angalu mawakala au wachunguzi au wote wawili. Mabadiliko

yanayofanywa na mtu akiwa pekee yanapaswa kupigwa marufuku.



H. Kwenye viwango vyote ambapo kujumlisha kura kunafanywa, dhahiri kunahihtajika

kupatikana makarani na maafisa ambao wana ujuzi wa kushughulikia data au habari za

kitarakimu. Ingawa hatutakuwa na watakwimu kama makarani au maafisa wa uchaguzi

wa maeneo bunge, bila shaka kuna nafasi ya kuboresha mambo kuhusiana na kiwango

cha watu wanaoajiriwa. Kama kisa cha eneo bunge la Changamwe kilvyonyesha,

ambapo afisa mkongwe wa eneo bunge, alikiri kuwa alikuwa na matokeo yenye makosa

kutokana na kuchoka, na labda kutokana na hali mbaya ya kusukumwa sukumwa makili

na mawakala wanaowaunga mkono wagombea viti, ECK isiwe inategemea umri au

tajriba ya miaka ya nyuma kama kigezo kikuu katika kuajiri maafisa wa uchaguzi.





I Sehemu mojawapo ya shida ya matokeo ni kwamba ECK ilikuwa inatangaza matokeo

hata pale kulipokuwa na makosa au mizozo. Kama ambavyo tumeona mara nyingi, kuna

matangazo ambayo yanatofautiana na tarakimu za fomu 16. Ingawa ECK haiwezi

kungojea milele ili kuridhisha wote wanaohusika, sharti kuwe na kiwango kizuri cha

hekima, kutahadhari na hasa uhakika wa kile ambacho kinatangazwa kwenye kituo cha

taifa cha kujumlisha kura au kituo cha habari kwa vile ni vigumu sana kurekebisha hasa

katika akili za watu kile ambacho tayari kimefanyika.





Kwa kuhitimiza, ingawa tunaweza kuunda mifumo bila udanganyifu wowote, msimamo

mzuri na imani ni muhimu sana. Mifumo ya sheria na matokeo ni mambo ambavyo

hayawezi kuziba kila udhaifu katika utaratibu wa kusimamia matokeo. Uadilifu na

kuaminiana ni muhimu kabisa na labda ndicho kigezo kikuu kuhusu namna nzuri ya

kufanya mipango, kusimamia na kukagua chaguzi za siku za usoni.



Related docs
Other docs by gegeshandong
Chapter 10 Slides-Cavico
Views: 1  |  Downloads: 0
100 Mile Club tracking sheet
Views: 4  |  Downloads: 0
lit11-12
Views: 1  |  Downloads: 0
Terranora Primary.xlsx
Views: 1  |  Downloads: 0
Study Guide Chp 17_ 19-20
Views: 2  |  Downloads: 0
8
Views: 8  |  Downloads: 0
1735-1250240321-jh09cp_ladies_footwear_wk24
Views: 1  |  Downloads: 0
By registering with docstoc.com you agree to our
privacy policy

You are almost ready to download!

You are almost ready to download!