KIAMBATISHO 6 .A
TUME HURU YA UCHUNGU ZI (IREC)
TAARIFA
YA
Uchambuzi wa data ya matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2007
kutokana na sampuli ya maeneobunge na chambuzi wakilishi
TAARIFA YA MWISHO
Septemba 9, 2008
Yaliyomo
1. MUHTASARI WA MAMBO MUHIMU
2. UTANGULI ZI NA MALENGO
2.1 Tume huru ya uchunguzi (IREC) ni nini
2.2 Wajibu na matokeo
2.3 Uchunguzi wa data na takwimu
3. MUHTASARI WA TAKWIMU ZA UCHAGUZI MKUU WA 2007
4. MFUMO WA UCHUNGUZI
4.1 Kanuni za kuongoza uchaguzi
4.2 Njia zilizotumiwa
4.3 Kukataa haki n vikomo: kile data inaweza kufunua na kile haiwezi kufunua
5. CHANZO CHA DATA NA NJIA YA UCHUNGUZI
6. MAENEOBUNGE YALIYOCHAM BULIWA
7. UCHAMBUZI
8. YALIYOGUNDU LIWA
8.1 MUHTASARI
8.2 Kirinyaga ya Kati
8.3 Kajiado Kaskazini
8.4 Kaloleni
8.5 Limuru
8.6 Bondo
8.7 Bomachoge
8.8 Juja
8.9 Molo
8.10 Maragua
8.11 Imenti Kaskazini
8.12 Wajir Kaskazini
8.13 Kieri
8.14 Lari
8.15 Malava
8.16 Masinga
8.17 Changamwe
8.18 Machakosi Mjini
8.19 Imenti ya Kati
8.20 Saku
9 UTARATIBU WA KUTENGENE ZA NA KUPELEKA MATOKEO
10 MAPENDEKEZO
1. MUHTASARI WA MAMBO MUHIMU
Matokeo ni kitovu cha uchaguzi wo wote ule. Maandalizi yote kabla ya uchaguzi wo
wote, yakiwemo usafirisaji na aina zingine za mifumo iliyowekwa yote inachangia kwa
shughuli yenyewe ya kupiga kura, na matokeo ya huku kupiga kura yanajumlishwa,
kupelekwa, kurekodiwa, kutangazwa na hata kuangaliwa upya au kukaguliwa. Uadilifu
wa utaratibu wa makoteo ni sifa muhimu ya uchaguzi wenye heshima, huru na wa haki.
Hii inahusu zaidi Kenya, kwa sababu ya mfumo wa uchaguzi mshindi kuchukua
mamlaka yote ambao ndio upo sasa.
Ripoti hii ilifanya muhtasari wa matokeo ya uchunguzi wa data na takwimu ambao
ulifanyiwa matokeo ya maeneobunge 19 yaliyochaguliwa kutoka uchaguzi mkuu wa
2007. Uchunguzi huu ulifanywa kama sehemu ya utafiti wa Tume huru ya uchunguzi
(IREC) iliyolenga kusaidia Tume kuchunguza vipengele fulani vya uchaguzi hasa ule wa
Urais. Ripoti hii inaanza kwa kueleza njia iliyotumiwa, sifa zilizotumiwa kuchagua
maeneobunge yatakayochunguzwa, njia za utafiti zilizotumiwa, vikomo, yaliyogunduliwa
na kumaliza kwa kutoa maoni au mapendekezo ya jumla.
Uchunguzi na matokeo ya ripoti hii yanatokana na kazi iliyotekelezwa katika
maeneobunge 19 yaliyochaguliwa kwa kutumia sifa zilizo imara. Maeneobunge ambapo
kulikuwa na madai yaliyotolewa kuhusu matokeo na vyama vya kisiasa na mashirika
mengine; maeneobunge yaliyochaguliwa kwa kutumia sifa zilizowekwa kuhusu kasoro
mbalimbali kama vile kujitokeza kwa kiwango cha juu, tofauti kubwa ya kujitokeza baina
ya uchaguzi wa urais na wa ubunge, na kadhalika; maeneobunge yaliyokuwa na sifa au
tabia za kipekee ambazo zinaweza kufanyiwa maovu ya uchaguzi, kama vile
maeneobunge yaliyowasilisha matokeo yao mwisho, maeneo ambapo malalamishi
makubwa yaliibuka, na kadhalika.
Mtazamo uliochukuliwa wa uchunguzi wetu ni utaratibu wa kufanya majaribio mepesi ya
hesabu na kuangalia upya matokeo kutoka maeneobunge haya, kuanzia ngazi ya vituo na
mikondo ya kupigia kura hadi ngazi ya eneobunge na wakati mwingine, ngazi ya taifa.
Hususan tulilenga kutengeneza upya fomu 17A ambayo inaweka rekodi ya jumla ya kura
zote za wagombea kutoka vituo vya kupigia kura na ambayo ndio inayotumiwa
kutengeneza fomu 16A - stakabadhi ambayo kisheria hutumiwa kupata matokeo ya
mwisho ya uchaguzi. Mwisho, tofauti, hitilafu na kasoro zingine zilitambuliwa, zikiwemo
athari zao.
Ni lazima ieleweke kuwa uchambuzi wa takwimu huwa na upungufu katika vipengele
fulani vya uwezo wake wa kugundua vitendo viovu au ulaghai wa uchaguzi. Hii ni kwa
sababu baadhi ya vitendo hivi, kama vile kushindilia karatasi za kura kwenye sanduku la
kura huenda visiathiri takwimu, hivyo kuwa vigumu kuvitenga. Zaidi ya hayo, data
inayotolewa kutoka ngazi ya fomu 16A (yaani ngazi ya kituo cha kupigia kura) itasema
machache kuhusu vitendo (viovu) ambavyo huenda yametokea katika shughuli za kabla
ya ngazi ya fomu 16A. Hata hivyo, kuangalia usahihi wa kujumlishwa, kuingizwa na
kupelekwa kwa matokeo kumeleta uvumbuzi wa kushangaza, na sehemu zinazoweza
kurekebishwa.
Matokeo ya uchunguzi wa eneobunge yamegawanywa katika kategoria mbalimbali.
Tumegundua msururu wa makosa kuhusiana na jinsi matokeo ya wagombea
yalivyojumlishwa katika ngazi ya kituo cha kupigia kura na kuhamishwa hadi fomu 17A
katika ngazi ya eneobunge. Vilevile kuna makosa mengi yanoyohusiana na kuhesabu,
yaani, kujumlisha matokeo katika ngazi ya eneobunge kwenye fomu 17A.
Baadhi ya haya matokeo yenye makosa yalipelekwa hadi kwa fomu 16 na hatimaye kwa
ngazi ya taifa, ambapo kwa masikitiko, yalitangazwa. Baadhi ya haya matokeo yasiyo
sahihi (kama vile ya Kirinyaga ya Kati) yalipelekea kwa mgombea ambaye hakupata
idadi kubwa zaidi ya kura, kutangazwa mshindi. Kwingine, hasa katika uchaguzi wa
urais, matokeo ya wagombea yaliripotiwa kwa uchache sana au kwa wingi sana, kama
huko Masinga, Changamwe na kadhalika. Ni bayana kuwa baadhi ya matokeo
hayakuingizwa au yaliachwa kabisa nje ya kujumlishwa kwa matokeo katika fomu 17A.
Kuna visa ambapo matangazo ya matokeo ya urais yaliyotolewa yalikuwa na idadi ya
chini kuliko zile zilizoandikwa bayana kwenye fomu 16A.
Mengi ya makosa na vikwazo hivi yanaashiria kushindwa kwa mfumo na utaratibu wa
ECK, pamoja na mpango, usimamizi na uangalizi wa hasa utaratibu wa kutoa matokeo,
na uchaguzi wote kwa jumla. Ingawa suluhu la kitaalamu liko katika kuwekeza kwenye
mfumo imara unaofaa wa kiteknolojia, tatizo, na suluhisho la kutatua tatizo hilo, ni zaidi
ya matumizi ya teknolojia au mitambo kama vifaa vya kufanya miujiza katika
kusuluhisha matatizo haya.
Kama jambo la muhimu, wafanyikazi au maafisa wa uchaguzi na makarani walioajiriwa
kuendesha uchaguzi lazima wafunzwe vyema, wasimamiwe kwa njia inayofaa na kuweka
mfumo wa kukagua matokeo papohapo kabla ya kutangazwa na/au kupelekwa. Kutumia
mitambo katika mfumo ulio na hitilafu, utafanya ulaghai na vitendo viovu vya uchaguzi
kuwa vigumu kugundua. Ili kuwa na kujumlishwa kwa matokeo usio na hitilafu, suluhu
yake ni kutumia mseto wa vifaa vinavyofaa vya kiteknolojia, uadilifu wa maafisa wa
uchaguzi na taratibu imara au zisizo na hitilafu. Hapa, huenda chaguo likafanywa baina
ya kuondoa haraka iwezekanavyo matokeo yenye makosa, au matokeo ambayo
hayajakaguliwa, au kuchukua muda wa kujumlisha na kutangaza matokeo yaliyo sahihi.
ECK inapaswa kuacha kutegemea uzoefu wa chaguzi zilizopita (kwa kusisitiza umuhimu
wa umri) na kupuuza mambo mengine muhimu kama vile uwezo wa kutumia teknologia
ya kompyuta, usimamizi wa serikali na ujuzi mkubwa wa hesabu. Ingawa haipendekezwi
kuwa wasimamizi wa kura wanapaswa kuwa wanatakwimu, kutakuwa na manufaa zaidi
iwapo mmoja wao ataweza kufanya kazi za habari nyingi, labda kwa kushurutishwa.
Vivyohivyo kwa makarani, au hasa wasomaji wa kuthibitisha na wakaguzi wa data,
ambao ripoti hii inapendekeza wawe miongoni mwa sehemu ya kundi la makarani wa
uchaguzi.
Kuna masuala mengine makubwa ambayo yanahusu sheria na sera. Je, ni vipi kuwa ECK
haiwezi kupitia upya au kurekebisha pale inapogundua makosa yaliyofanywa kwa,
tuseme fomu 16, na msimamizi wa kura ambaye ameajiriwa kwa muda tu? Hali hii ni
yanavyopokelewa pamoja na kuhakikishwa kwa usahihi na uhalisi wa matokeo hayo.
Muhimu zaidi, uadilifu wa matokeo utategemea sana mifumo na miundo, pamoja na nia
njema na imani ya maafisa wa uchaguzi, shirika linalosimamia uchaguzi na wanasiasa.
2. UTANGULI ZI NA MALENGO
2.1. Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) ni nini?
Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) iliundwa tarehe 15 Machi 2008 (nambari ya
Gazeti la Serikali 1982). Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) kama shirika
limetokana na majadiliano yaliyofanywa chini ya mazungumzo ya upatanishi wa
taifa (National Reconciliation Dialogue), yaliyofanyika kwa msaada wa jopo la
Wafrika mashuhuri la Umoja wa Afrika (African Union Panel of African Eminent
Personalities), ulioongozwa naye Kofi Annan. Mazungumzo hayo yalilengwa
kutatua mgogoro na vurugu za baada ya uchaguzi zilizofuatia uchaguzi mkuu wa
2007 ulioleta mabishano nchini Kenya. Tume Huru ya Uchunguzi (IREC)
iliundwa baada ya vyama kukubali kuunda kamati itakayochunguza vipengele
mbalimbali vya uchaguzi huo uliopingwa. Tume Huru ya Uchunguzi (IREC)
inajumuisha makamishina saba na wafanyikazi ambao wanaweza kufanikisha
jukumu lake. Mwenye kiti wa Tume hii alikuwa Jaji Johann C. Kriegler.
2.2. Wajibu na matokeo
Wajibu wa jumla wa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) ni kuchunguza vipengele
vyote vya uchaguzi mkuu wa 2007 na hasa uchunguzi wa kina wa uchaguzi wa
urais. Sehemu zingine za wajibu wa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) ni pamoja
na kuchunguza mfumo wa kisheria na kikatiba uliotumiwa kuendesha uchaguzi
huu, kuchunguza vipengele mbalimbali vya Tume ya Uchaguzi ya Kenya (ECK),
ushiriki wa umma, mienendo ya vyombo vya habari, vyama vya uraia,
waangalizi, na kuchunguza kuhesabiwa na kujumlishwa kwa hesabu za kura ili
kupima uadilifu wa matokeo hayo. Kama matokeo yake, Tume Huru ya
Uchunguzi (IREC) ilipewa mamlaka ya, kwanza, kupendekeza marekebisho
mbalimbali ambayo yataboresha uchaguzi wa siku za baadaye na, pili
kupendekeza marekebisho mengine ya kisheria na kiusimamizi ambayo
yatahitajika. Tume hii ilifanya kazi yake zaidi kupitia uchunguzi, kupokea
mapendekezo yaliyowasilishwa, utafiti, mikutano ya hadhara iliyofanyika kote
nchini, na mikutano rasmi iliyoendeshwa jijini Nariobi.
2.3. Uchambuzi wa data na takwimu
Kama sehemu ya utafiti wake, Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) ilifanya
uchunguzi wa takwimu na data wa matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2007.
Uchunguzi wa data na takwimu ziliarifu kuhusu jukumu la Tume Huru ya
Uchunguzi (IREC) (d) na (e), linalogusia utaratibu wa kuhesabu na kujumlisha
hesabu za kura, ili kufikia uamuzi kuhusu uadilifu wa matokeo. Kazi ya data na
takwimu ina malengo kadha, yakiwemo:-
a) Kuchunguza matokeo ya uchaguzi wa 2007 ya ubunge na urais kwa lengo la
kuthibitisha usahihi, uaminifu na tofauti zao zilizopo;
b) Kuchunguza matokeo ya idadi fulani iliyochaguliwa ya maeneobunge ambayo
yalitajwa na mashirika mbalimbali, kwa mfano, katika mapendekezo ya
chama cha kisiasa yaliyowasilishwa kwa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC).
c) Kuchunguza matokeo/data kwa lengo la kutenga maeneobunge ambako
kulikuwa na sifa zisizo za kawaida, k.m. kujitokeza kwa wapiga kura kwa
kiwango cha juu, maeneo yaliyokuwa na madai ya kasoro za wapiga kura au
za kuhesabu kura, n.k.
d) Kutoa usaidizi wa takwimu kwa mikutano ya hadhara na mikutano rasmi ya
Tume.
e) Kutoa mapendekezo kwa kamati zingine za Tume Huru ya Uchunguzi (IREC)
kuhusu sehemu na maeneobunge ambayo yatahitaji upelelezi zaidi kufanywa.
3. MUHTASARI WA TAKWIMU ZA UCHAGUZI MKUU WA 2007
Muhtasari wa jumla wa takwimu za uchaguzi mkuu wa 2007 unafunua mambo kadha. 1
Mwaka wa 2007 idadi ya wapiga kura waliojisajili kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu
iliongezeka kwa zaidi ya 36% ikilinganishwa na 2002. Wapiga kura zaidi ya milioni 14
waliwakilisha 71% ya Wakenya milioni 19.8 ambao wamepewa kitambulisho cha kitaifa
(watu wenye umri wa kupiga kura). Uchaguzi huu ni moja ya chaguzi zilizokuwa na
ushindani mkali katika historia ya Kenya. Ikilinganishwa na mwaka 2002, idadi ya
wagombea wa urais iliongezeka kutoka 5 hadi 9, lakini ilibaki kuwa chini zaidi ya 15
waliogombea uchaguzi wa 1997. Katika ngazi ya ubunge, idadi ya wagombea
iliongezeka kwa zaidi ya mara 1.5, kutoka 1,035 mwaka 2002 hadi 2,548 mwaka 2007.
Idadi ya wagombea wa udiwani pia iliongezeka zaidi ya mara mbili, na ile ya vyama vya
kisiasa vilivyoshiriki katika uchaguzi huu ilizidi mara tatu. Tazama hapa chini.
1
Inapaswa kutambuliwa kutoka mwanzo kwamba katika uchunguzi wa data ya ECK, kumefunuliwa makosa mengi
ya kuingizwa, kujumlishwa na makosa mengine ya kupiga chapa. Jumla ya athari za makosa haya imepelekea kwa
takwimu kadha kugeuzwa kama ilivyojadiliwa na kuelezwa baadaye katika ripoti hii. Kwa hivyo, hesabu
zilizowasilishwa katika kitengo hiki zimetoka kwa hesabu kama zinavyotokea ripoti na matokeo ya ECK ambayo
ECK iliwasilisha kwa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC).
Muhtasari wa uchaguzi wa Kenya zilizofanyika majuzi
1997 2002 2007
Wapiga kura waliosajiliwa 8,967,569 10,451,150 14,296,180
Wapiga kura chini ya miaka 40, % ,, 54.0 60.8
Urais
Idadi ya wagombea 15 5 9
Jumla ya kura halali 6,181,701 5,871,408 9,877,028
Mshindi 2,500,320 3,636,783 4,584,721
% ya jumla ya kura 40.45 61.94 46.42
Mshindi wa pili, % 30.83 31.39 44.07
Mshindi wa tatu, % 10.80 6.18 8.91
Ubunge
Idadi ya wagombea 883 1,035 2,548
Wanaume 835 991 2,279
Wanawake 48 44 269
Udiwani
Idadi ya wagombea 8,468 7,012 15,334
Wanaume 8,050 6,630 13,856
Wanawake 418 382 1,478
Kujitokeza kwa wapiga kura kitaifa, %
Urais 70.74 58.75 70.71
Ubunge 69.74 58.46 69.57
Maeneo ya kupigia kura 12,778 14,114 20,655
Vituo vya kupigia kura ,, 18,366 27,555
Vyama vya kisiasa vilivyoshiriki 27 39 117
Chanzo: Ripoti za uchaguzi mkuu za ECK; stakabadhi kadha
.. ina maana kuwa data haikupatikana.
Idadi ya wagombea katika baadhi ya maeneobunge imeongezeka pakubwa. Mwaka 1997
idadi ya juu zaidi ya wagombea wa ubunge ilikuwa katika maeneobunge ya Starehe na
Kamukunji (10 kila eneo), na Embakasi na Dagoretti (9 kila eneo). Kulikuwa na jumla
ya maeneobunge 81 ambayo yalikuwa na wagombea 5 au zaidi. Mwaka 2002 eneobunge
la Kangundo lilikuwa na idadi kubwa zaidi (13) likifuatwa na Makadara, Changamwe,
Kigumo na Juja (zikiwa na 10 kila eneo). Embakasi ilikuwa na 10: idadi ya
maeneobunge yaliyokuwa na wagombea 5 na zaidi iliongezeka hadi 103. Mwaka 2007
kulikuwa na maeneobunge 190 yakiwa na angalau wagombea wa ubunge 5, na kwa mara
ya kwanza katika historia ya Kenya, kulikuwa na maeneobunge 28 yenye angalau
wagombea 20. Maeneo kadha yalikuwa na idadi ya juu sana ya wagombea: Kitutu
Masaba (33); Kasarani, Emuhaya, Bomachoge na Mugirango Borabu Kaskazini (ikiwa na
28 kila eneo).
Uchaguzi huu uligombewa kwa ushindani wa karibu sana. Matokeo ya mwisho ya
uchaguzi wa urais (ikiwa na tofauti ya ushindi wa pointi 2.35% pekee) ndiyo yalikuwa ya
karibu sana. Wagombea wa urais wawili wa juu walichukuwa karibu 90% ya jumla ya
kura za urais. Kura hizi karibu zilingane kwa idadi; tofauti na vile ilivyokuwa 2002 na
1997 ambapo washindi wa urais walikuwa na tofauti ya ushindi ilio mkubwa. Kujitokeza
kwa wapiga kura kulikuwa chini zaidi kuliko mwaka 2002, lakini kulilingana na mwaka
1997. Wastani ya kujitokeza kwa wapiga kura kwa uchaguzi wa 2007 ilikuwa karibu
70%.
4. MFUMO WA UCHAMBUZI
4.1. Kanuni za kuongoza uchambuzi
Kazi hii ililengwa kufanya uchambuzi usio na upendeleo wo wote. Tahadhari
zote zilichukuliwa ili kuhakisha uadilifu wa data na takwimu zilizotolewa na
vyama na mashirika mbalimbali. Hata hivyo, hii isichukuliwe kumaanisha kuwa
wenye data walitumia njia zinazokubalika za kukusanya na kuandaa habari hizi.
Pale suala linalohusiana na kupendelea kwa data au suala la hesabu liliibuka, hili
lilitajwa. Uangalifu unaostahili umetekelezwa ili kuhakikisha kuwa uchunguzi ni
sahihi inavyowezekana. Hata hivyo, hili haliondoi uwezekano wa makosa ya
makarani au ya kupiga chapa.
4.2. Njia zilizotumiwa
Kuna aina mbili za uchambuzi wa takwimu zinazoweza kutumiwa kuchunguza
data ya uchaguzi wa 2007. Njia ya kwanza ni uchambuzi wa ekonometriki wa
data ambao unalenga kuangalia mienendo na mahusiano mbalimbali ya takwimu
miongoni mwa vipengele vinavyobadilika kama vile kura zilizopigiwa
wagombea, vyama, n.k. kwa uhusiano na idadi fulani ya vipengele
vinavyobadilika vinavyoweza kuelezwa. Njia hii inaweza kufanywa katika
vipindi vyote, ambayo ni, kuangalia data katika mfuatano wa wakati wa uchaguzi
wa 1997, 2002 na 2007. Njia ya pili ni kufanya majaribio mepesi ya hesabu ili
kuangalia uadilifu wa matokeo katika kujumlishwa kwa hesabu na uthabiti wa
utaratibu uliotumiwa kutengeneza, kurekodi, kupeleka, kupokea, kuhifadhi na
kutangaza matokeo hayo. Tafiti mbalimbali zilifanya uchunguzi wa matokeo
hayo kwa kutumia njia ya kwanza.2 Matokeo yanayowasilishwa hapa yalitumia
njia ya pili.
2
Tazama, kwa mfano, The Kenyan Election 27th Desemba, 2007: was it Rigged na David W. Throup, wasilisho
lililotolewa wakati wa mikutano ya hadhara ya Tume Huru ya Uchunguzi (IREC). Vilevile toleo maalum la Journal
of Eastern African Studies, volume 2 toleo la 2, 2008, ambalo linalochunguza kwa kina uchaguzi wa Kenya wa
2007.
4.3. Kuchagua maeneobunge yenye kufanyiwa uchambuzi
Ukubwa wa tatizo lililoleta ubishani katika matokeo ya uchaguzi wa 2007 ni kubwa mno.
Matokeo yote na sehemu kubwa ya uchaguzi yalikuwa na ubishani mkali. 3 Kwa hivyo
uteuzi wa kile kitakachochambuliwa ulihitaji uwe na mkakati na uwe imara, lakini wakati
huohuo uwe mwangalifu ili usiache nje sehemu muhimu zilizokuwa na mabishano
makali, au zile ambazo zingesaidia Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) kufanikisha wajibu
wake. Ili kutambua maeneobunge yatakayofanyiwa uchambuzi, tuliongozwa na sifa
kadha zikiwemo:
a. Kuangalia maeneobunge mahsusi yenye mabishano yaliyoorodheshwa na
vyama/mashirika mbalimbali kwa mfano, mapendekezo yaliyowasilishwa
kwa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC) na Orange Democratic Movement
(ODM), Party of National Unity (PNU) na mashirika mengine, yaliorodhesha
maeneobunge kadha yenye matatizo:-
b. Kuchagua sehemu kwa kutumia sifa zilizowekwa kutokana na hitilafu
mbalimbali za uchaguzi kama vile madai ya kujitokeza kwa wapiga kura kwa
kiwango cha juu na kadhalika.
c. Sehemu zilizo na sifa au tabia maalum ambazo zinaweza kufanyiwa maovu ya
uchaguzi kama vile maeneobunge yaliowasilisha mwisho matokeo yao,
sehemu ambapo malalamishi makubwa yaliibuka, na kadhalika.
4.4. Kutahadharisha na mipaka: kIle data inaweza kufunua na kile haiwezi kufunua.
Lazima ionyeshwe kuwa ingawa data Ililenga kutoa utambuzi katika matokeo au
data zenye mabishano, uchambuzi huu ukiwa peke yake, jinsi inavyohitajika,
unahitaji kusaidiwa na aina zingine za uchunguzi ili kupata ile picha kamili ya
kile ambacho kilienda mrama katika uchaguzi wa mwaka jana. Kikwazo kikuu
cha takwimu ni kuwa ingawa zinaweza kutumiwa kugundua tabia na hitilafu
zisizo za kawaida, uchambuzi kama huu unaweza kuwa na mpaka au usiweze
kabisa kuonyesha vitendo viovu au ulaghai wa uchaguzi.
_____________________________________
2 Tazama, kwa mfano, uchunguzi wa kujitokeza kwakwa wapiga kura kwa
kiwango cha juu kwenye mfuatano wa wakati katika baadhi ya maeneobunge,
ukilinganishwa na chaguzi zilizopita, umetumiwa na wengi kama kiashirio cha
hitilafu za uchaguzi. Lakini mabadiliko ya kujitokeza husababishwa na vitendo
viovu pamoja na mienendo halisi ya uchaguzi au kisiasa. Vilevile tuseme katika
visa vya, kushindilia karatasi za kura zilizowekwa alama awali kwenye
masanduku ya kura, uchambuzi wa matokeo haya huenda ukadhihirisha masuala
machache ya takwimu, lakini chini yake huenda kukawa na mfuatano wa ulaghai
au dhuluma za uchaguzi. Kama inavyoweza kuonekana katika chati ya utaratibu
wa usimamizi kwenye kitengo 9 hapo chini, data zilizotumika kwa uchambuzi
wetu ulitoka kwenye fomu 16A, zilizotengenezwa baada ya kuhesabu katika kituo
cha kupigia kura. Ulaghai wo wote wa uchaguzi unaotokea kabla ya hapa, au nje
ya kile kilicho kwenye fomu za kisheria zilizotumika, hauwezi kugunduliwa na
uchambuzi wa takwimu uliotumiwa hapa.
Katika mwaka wa 2007, ambapo kulikuwa na madai mengi ya kubadilishwa kwa
fomu za kisheria, uchaguzi huu pia unaweza kupita majaribio ya takwimu lakini
inaweza tu kukosolewa kwa kuvunja sheria au kanuni na vitendo fulani vya
uchaguzi. Kwa hivyo uchunguzi wa data na takwimu, unapaswa kuoekana kwa
ukamilifu wa aina zingine za taratibu za uchaguzi, siasa na sheria. Hivyo basi,
matokeo ya ripoti hii, hayaelezi taratibu halisi za kupiga kura na taratibu
zinginezo ambazo huenda zilifanyika katika maeneobunge yaliyochambuliwa.
Uchambuzi huu ulitegemea tu stakabadhi na matokeo rasmi yaliyowasilishwa na
ECK kwa Tume Huru ya Uchunguzi (IREC).
3
Vikundi, vyama vya kisiasa, waangalizi mbalimbali na hata baadhi ya
makamishna wa ECK, wameshuhudia ukweli huu.
CHANZO CHA DATA NA NJIA ZA UCHUNGUZI
Data na habari iliyotumiwa katika uchambuzi wetu ilipatikana kutoka Tume ya Uchaguzi ya
Kenya(ECK), ambayo iliwasilisha aina kadha za habari za kitakwi kwa Tume Huru ya
Uchunguz(IREC)i. Hizi zilikuwa ni pamoja na:
· Data ya matokeo ya uchaguzi (matokeo ya mwaka 2007 ya urais, bunge na madiwani).
· Idadi ya watu waliopiga kura , idadi ya wapiga kura waliosajilishwa (ikiwa ni pamoja na
wapiga kura wapya, kuhamishwa kwa wapiga kura, n.k)
· Data za Uchaguzi za siku za nyuma kutoka ripoti rasmi za ECK za Uchaguzi kuu za
1997 na 2002.
· Idadi ya vituo na sehemu za kupigia kura.
· Data za aina nyingine, kama vile, mgawanyiko wa kimakundi ya watu katika jumla ya
watu nchini na kiasi cha vifo kila mwaka zilipatikana kutoka kwa afisi ya Taifa ya
Takulikwimu na idara ya usajili wa raia mtawalia.
Tume Takiwimu ya Uchunguzi (IREC) iliomba Tume ya Uchaguzi ya Kenya(ECK)
iwasilishe faili za maeneobunge ambazo zilikuwa na nakala za fomu 16A kutoka vituo vya
kupigia kura za uchaguzi wa bunge na ule wa urais. Faili hizi pia zilikuwa na fomu 17A,
fomu 16 na data ya usimamizi inadhihirisha fomu zilizotumiwa kwenye kituo cha ujumlishi
cha taifa katika KICC kupokea matokeo (ya muda) . Uchambuzi takwimu na data ulizingatia
matokeo yaliyohitajika. Jambo hili lilifanywa kwa sampuli kielelezo cha maeneo bunge kwa
msingi wa vigezo vilivyoelezewa hapa juu na ambavyo viliruhusu kufikia maamuzi kuhusu
ukweli na uadilifu wa matokeo ya Tume ya Uchaguzi ya Kenya yaliyoteuliwa. Uchambuzi
ulihusu kuchunguza mfumo wa kuandika matokeo ya wagombea viti kuhamisha tarakimu
kutoka fomu moja rasmi hadi nyingine( tazama utaratibu wa kusimamia matokeo ulioo hapa
chini) na ambavyo matokeo yalijumlishwa na kusafirishwa. Jambo hili lilihitaji ufahamu
thabiti wa jinsi matokeo ya uchaguzi yanatengenezwa na fomu rasmi zinazotumiwa huku
uchaguzi mdogo ukifanywa kuhusiana na kama kuangalia upya ukweli na kujumlisha
TArakimu kwa hivyo methodolojia ilihusu uchambuzi wa aina mbalimbali.
(a) Kuangalia ukweli wa matokeo na matangazo yaliyozingatia fomu rasmi 16, 16A NA
17A. Jambo hili lilihusu kujumlisha kura zote katika fomu hizi na hata matokeo ya
mwisho ya taifa yaliyotolewa na Tume ya Uchaguzi ya Kenya (ECK) kuthibitisha
ukweli na mkokotoo wa mambo kama kura zilizokubalika na watu waliopiga kura.
(b) Kuangalia mifumo mingine ambayo ingehakikisha kuwepo kwa uadilifu wa utaratibu
mzima . Maeneo yanayoweza kuruhusu udanganyifu au udhaifu katika mfumo mzima
wa kusimamia matokeo yalimulikwa
(c) Kuunda upya fomu 17A ambayo ndiyo hati muhimu zaidi inayotumiwa kuleta
pamoja na kujumlisha matokeo kwenye kiwango cha eneo bunge. Hii ndiyo
iliyokuwa shughuli muhimu zaidi na ilijengeka kwenye hatua mbili za mwanzo.
(d) Hatimaye, ulinganishi ulifanywa kati ya tarakimu za kijumla tatu: Hesabu za Tume
ya Uchaguzi ya Kenya yenyewe za jumla za kila mgombea kiti, jumla za wagombea
viti zilizoorodheshwa katika fomu 17A na /au fomu 16; matokeo ya mwisho
yaliyochapishwa ya Tume ya Uchaguzi ya Kenya (ECK) , na kisha kumulika tofauti
na maana yake.
6. MAENEO BUNGE YALIYOCHAMB ULIWA
Kwa kutumia vigezo vilivyotolewa kwa muhtasari hapo juu, tuliweza kutengeneza orodha fupi
ya maeneo bunge kama 18 hivi ambapo uchunguzi na uchambuzi zaidi ulifanywa. Kila moja
wapo ya makundi matano ya maeneo yaliyoorodheshwa hapa chini yalitoa orodha ya maeneo
bunge. Baadhi yalipatikana katika zaidi ya kundi moja. Haya ndiyo yalitambuliwa kama kwa
uchambuzi zaidi.Baadhi ya takwimu kuhusiana na orodha ya maeneo bunge yaliyochambuliwa
yanaonyeshwa katika jedwali na kielelezo hapa chini.
Kupanga maeneobunge katika makundi kwa minajili ya uchambuzi
Ishara
A.Maeneo bunge 47 yaliyozozaniwa na ODM
B. Yaliyokuwa maauda baada ya uthibitishaji wa kura
C. Hizo zilikuwa fomu na tarakimu za fomu zilizotofautiana na kusanyo la data la ECK
D. Maeneo bunge 30 ambayo matokeo yake yalipokewa mwisho
E. Mambo mengine, k.m idadi kubwa sana ya waliopiga kura, madai makali yaliyofanywa, n.k
Orodha ya maeno bunge yaliyochambuliwa kwa makini zaidi
Eneo Bunge Visa katika kategoria
009 Changamwe D,E
017 Kaloleni A,B,D
034 Wajir Kaskazini E
043 Saku Baseline
051 North Imenti Kaskazini A,B,C
052 Imenti ya kati Haihusiki
066 Masinga C,E
070 Machakos Mjini C,E
082 Kieni A
090 Kirinyaga ya kati A,E
095 Maragwa E
100 Juja A,B,E
104 Limuru E
105 Lari B
138 Molo A,B,D
144 Kajiado Kaskazini A,B,C,D,E
155 Malava B,D,E
182 Bondo B,E
203 Bomachoge E
Idadi ya vitu vikuu
kuchagua mbunge
vidogo vya kupiga
vya kupigia kura
waliosajilishwa
zinazokubalika
zinazokubalika
zinazokubalika
zinazokubalika
Kura za pengo
Kura za bunge
Kura za bunge
% ya jumla ya
Idadi ya vituo
waliosajilisha
Wapiga kura
Kura zote za
kupiga kura
Kura za rais
Eneobunge
zilizopigwa
% ya kura
kura
A B C D E F G H I J K
1 Kaloleni 85,131 41,231 28,740 40,581 28,266 12,491 30.3 14.7 94 97
2 090 Kirinyaga Central 68,878 55,380 44,446 55,061 43,957 10,934 19.7 15.9 50 102
3 144 Kajiado North 107,390 79,901 66,190 78,351 63,273 13,711 17.21 12.8 117 188
4 203 Bomachoge 70,590 45,725 38,484 45,481 38,481 7,241 15.8 10.3 130 151
5 104 Limuru 65,771 52,343 44,769 51,940 44,078 7,574 14.5 11.5 46 97
6 100 Juja 163,657 119,964 114,808 119,050 113,646 5,156 4.3 3.2 69 231
7 138 Molo 126,361 100,066 95,967 99,143 94,725 4 099 4.1 3.2 120 204
8 095 Maragwa 70 524 6 0,117 58,899 59,795 58,163 1,281 2.0 1.7 72 113
9 182 Bondo 62,352 53,282 52,674 53,332 52,332 608 1.1 1.0 85 109
10 051 North Imenti 123,948 84,188 84,158 83,535 83,364 30 0.04 0.0 158 217
11 043 Saku 19,247 14,215 14,214 14,100 14,008 1 0.01 0.0 37 44
12 034 Wajir North 14,176 10,292 10,314 10,292 10,314 (22) (0.2) (0.2) 53 56
13 082 Kieni 84,687 73,057 73,898 72,896 72,269 (841) (1.2) (1.0) 109 145
14 105 Lari 59,391 50,082 51,015 49,864 50,681 (933) (1.8) (1.6) 62 95
15 155 Malava 67,242 35,578 42,983 35,507 41,864 (7,405) (17.2) (11.0) 96 124
16 070 Machakos Town 94,844 48,650 62,858 45,811 61,848 (14,208) (22.6) (15.0) 113 165
17 052 Central Imenti 78,243 45,209 60,807 44,907 60,205 (15,598) ((25.7) (19.9) 120 142
18 009 Changamwe 107,545 32,614 44,812 32,614 44,812 (12,198) (27.2) (11.3) 53 150
19 066 Masinga 51,302 23,341 34,818 22,942 34,317 (11,477) (33.0) (22.4) 118 129
Chanzo: Zimekokotolewa kwa kutumia matokeo ya ECK. Zile ambazo zina makosa
zimeonyeshwa vyema katika uchambuzi wa maeneo bunge.
Tarakimu zilizomo kwenye mabano zinamaanisha kwamba, kulikuwa na kura nyingi zilizopigia
wagombea kiti cha bunge kuliko za wale waliogombea urais.
Kura zinazohusika zinamaanisha kuwa maeneo bunge ambapo waliopigia kura za urais ni wengi
kuliko waliopiga kura za bunge, kura za pengo zinachukuliwa kuwa asilimia ya jumla ya kura
zilizopigiwa rais.
Katika maeneo ambapo kura zilizopigwa waliogombea kiti cha bunge ni wengi % ya pengo
inachukuliwa kama asilimia ya jumla ya kura zilizopigiwa waliogombea kiti cha bunge.
7. UCHAMBUZI
Kazi kuu ya uchanbuzi ni kuangalia upya utaratibu wa kujumlisha matokeo kwanzia kituo cha
kupigia kura hadi kiwango cha eneo bunge na kwa baadhi, hadi kiwango cha taifa. Kuunda upya
fomu ya 17A kulifanywa kwa kuchukua fomu 16A zote, kuangalia yaliyoandikwa katika fomu
ya 17 na kujumlisha katika karatasi tofauti ili kuwezesha zaidi kupatikana usahihi. Jambo
linalotupaaia sio jumla za vituo vya kupigia kura, bali pia jumla ya kila mgombea kiti katika
kiwango cha eneo bunge. Jambo hili linafanywa kwa matokeo ya urais na vilevile ya bunge.
Shughuli hii ilitupatia jumla tatu ambazo zililinganishwa ili kufikia ugunduzi wetu:
a) Jumla ya matokeo kwa kila mgombea kiti kulingana na kujumlisha sahihi kwa tarakimu
za fomu 16A.
b) Matokeo kama yaliyvotolewa na afisa wa uchaguzi wa eneo bunge katika fomu 17A au
zinazojumlishwa au kutangazwa katika kiwango cha eneo bunge.
c) Matokeo kama yalivyotolewa na matangazo ya mwisho ya ECK na yale yaliyochapishwa
hatimaye.
Hizi jumla tatu kisha zinalinganishwa kuona ikiwa tunafikia tarakimu tofauti. Tofauti
zinazofafanuliwa pale inapowezekana, kuna mkabala wa pili wa uchambuzi unaohusika na
hesabu rahisi za matokeo kama yalivyotolewa na ECK katika kiwango cha taifa hasa pale palipo
kuwa na tofauti kubwa baina ya waliopiga kura za urais na waliopiga kura za bunge. Jambo hili
pia limeleta maamuzi kuhusu usahihi wa vile matokeo/data zilivyoshughulikiwa.
8. MAMBO YALIYOGUNDULIWA
8.1. Muhtasari
Sehemu hii inawasilisha matokeo kutokana na uhakiki uliofanywa kuhusiana na baadhi ya maeneo bunge.
Inaonyesha majedwari ambayo yanaonyesha mkinzano katika matokeo kwenye hatua mbalimbali za
kutengeneza matokeo, na kwenye baadhi ya sehemu, mambo yaliyosababishwa na makosa hayo. Kwa
muhtasari, makosa yafuatayo yalipatikana:
· Makosa ya kuandika matokeo. Matokeo ya wagombea viti katika fomu 16A hayakujazwa kwa namna
sahihi katika fomu 17A. Matokeo ya baadhi ya wagombea viti yamechanganywa na yale ya
wagombea viti wengine. Matokeo ya baadhi yaliongezeka au kupungua, huku mengine yakiwa
hayakujazwa katika fomu 17A. Ingawa makosa haya yalihusu tu idadi ndogo ya wagombea viti, jumla
ya makosa hayo kwenye kiwango cha eneo bunge na cha taifa yangesababisha athari kubwa kama
ilivyo kuhusiana na Kirinyaga Central, Changamwe, Masinga na maeneo mengine kama
ilivyoorodheshwa hapa chini. Kuna visa vingine ambapo wagombea viti wadogo walikuwa na
tarakimu mbili zinazokina katika fomu 16A ile ile.
· Makosa ya mkokoto. Haya ndiyo yaliyokuwa makosa mengi na yaliyopatikana katika maeneo mengi.
Yalitokea katika viwango mbalimbali yaani:
Katika idadi kubwa ya fomu 16A katika vituo vya kupigia kura, jumla ya kura za wagombea viti
haikulingana na idadi ya kura zilizokubalika. Kura hizo zinapasua kulingana.
Katika fomu 17A, kura kutoka na mjumlisha wima kutoka vituo vyote vya kupigia kura ulionyesha
idadi tofauti na tarakimu zilizopatikana na afisa wa uchaguzi katika eneo bunge na wakati jumla zetu
wenyewe zilitofautiana na tarakimu zilizotumwa kituo cha taifa za kumjulisha kura kwenye KICC.
· Tofauti zizoonekana. Kwenye maeneo bunge machache, kulikuwa na tofauti baina ya idadi ya
mwisho ya kura za eneo bunge (jumla yote katika fomu 17A) na tarakimu za fomu 16 ambazo
zilitumwa au kupokelewaKICC. Baadhi yake ziliingia katika matokeo ya mwisho yaliyochapishwa na
ECK.
· Makosa ya mfumo kulikuwa na makosa makubwa na yaliyoonekana katika matokeo ya mwiso
yaliyochapishwa na ECK, kuhusiana, tarakimu zilizotolewa kama kura halali jumla ya kura zilizopigwa
na asilimia ya waliopiga kura. Kwa mfano kujumlisha kura za wagombea viti wote kunapaswa
kuonyesha jumla ya kura halali. Jambo hili likifanywa kwa mkono, kura zinatofautiana na tarakimu
zinazoonyeshwa kama kura halali katika matokeo ya ECK. Jambo hili linabadilisha kura zilizopigwa
na idadi ya waliopiga kura. Hali hii iligunduliwa katika idadi kubwa ya maeneo bunge katika matokeo
ya ECK. Inaonyesha kutokuwa na mfumo wa kujitadhimini katika njia iliyotumiwa kuhifadhi na
kuchapa matokeo y mwiso.
Visa Kura kuachwa bila kuandikwa. Kwa mfano, matokeo ya wagombea viti katika fomu 16A ambazo
hazikuandikwa katika fomu 17A au kura zilizokaliwa ambazo zimeandikwa katika fomu 16A nyingi
zikiwa hazika katika matokeo ya mwisho. Kwa mfano, matokeo ya ECK yanaonyesha Changamwe na
Wajir North zikiwa hazina kura zozote zilizokataliwa, jambo ambalo kwa hakika haliwezekani.
Kuchunguza fomu 16A kuhusiana na maeneo bunge haya kunaonyesha idadi kubwa ya kura
zilizokataliwa katika 16A lakini sio katika matokeo ya mwisho.
Inapasa takwimu zilizomo hapa chini zisomwe pamoja na karatasi zilizotumiwa kufikia takwimu ili mtu
aone maoni yaliyotolewa kuhusiana na kila kisa na fomu chache za 16A ambazo zilikuwa zinakosekana
na ambazo ECKilitupatia.
8.2. Kirinyaga Central
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 090 Kirinyaga Central
Kujumlisha Matokeo rasmi Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti
kwetu yaliyochapishwa mwisho ya tarakimu
wenyewe ya ECK yaliyosahihishwa katika 17A
kwa matokeo na ECK bila tofauti
ya fomu 16 ya data
na jumal iliyoandikwa
sahihi
A B C D B-A
Wagombea Urais
Kibaki Mwai 55,097 52,866 54,219 (2,231)
Kukubo Nixon 8 8 8 -
Matiba Kenneth 10 9 9 (1)
Musyoka Stephen 59 53 57 (6)
Mwangi Pius 36 37 40 1
Ngacha Joseph 150 130 133 (20)
Ngethe David 13 2 13 (11)
Odinga Raila 601 580 595 (21)
Rajput Nazlin 4 3 3 (1)
Jumla ya kura halali 55,978 55,061 53,688 55,077 (2,290)
Kura zilizokataliwa 319 319 319 318 -
Jumla ya kura zilizopigwa 56,297 55,380 54,007 55,395 (2,290)
Waliopiga kura 81.73% 80.40% 78.41% 80.42% -3.32%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK.
Fahamu: Haiwezekani kulinganisha na tarakimu za fomu 16 kwa vile kuna fomu
16 mbili zenye tarakimu tofauti.
Mambo yaliyogunduliwa:
· Tofauti kuu baina ya idadi yetu na tangazo la mwisho.
· Kuna fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wa uchaguzi.
· Kuna nambari zilizotiwa katika fomu 17A kwa namna isiyofaa.
· Kujumlisha kuliko na makosa kwa kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK kunakosababisha mambo
yafuatayo:
a. idadi ya kura halali iliyotolewa na ECK si sahihi. Idadi ya kura zote zilizopatikana na wagombea viti tisa ni
53,688, sio 55,061 kama ilivyotolewa na ECK. Pamoja na kura zilizokataliwa 319, idadi mya* ni 54,007 (sio
55,380 kama ilivyotolewa na ECK) na Jumla ya waliopiga kura ni 78% (sio 80.4% kama ilivyotolewa na ECK)
Jambo hili linapunguza pengo la ECK baina ya chaguzi mbili kutoka kura zaidi za rais 10,934 (au asilimia 15.87 ya
waliopiga kura) hadi kura zaidi za bunge 3,579 (au asilimia 5.2 za waliopiga kura.
Uchaguzi wa Bunge
Uchambuzi wa Kirinyaga Central
Jumla ya watu Matokeo katika Matokeo ya Matokeo ya Tofauti
wenyewe ya fomu 17A na 16 mwisho ya ECK mwisho
matokeo ya fomu yaliyorekebishwa
16A
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Abubakar Hasaia I. 214 219 219 5
Gatimu Pauline W. 353 536 536 183
Gichuki Evan M. 126 126 126 -
Giture Eric K. 479 474 474 (5)
Kagondu Andrew M. 621 226 226 (395)
Kaponda D. 379 372 372 (7)
Dickson Daniel Karaba 17,270 17,151 17,151 (119)
Karimi Dishon K. 354 336 336 (18)
Thomas Raymond K. 326 309 309 (17)
Kariuki John Ngata (Mshindi ECK) 17,268 17,219 17,219 (49)
Keriri John M. 4,537 7,298 7,298 2,761
Kinyua Edwin M. 9,597 9,239 9,239 (358)
Mbui Nicholas K. 1,078 948 948 (130)
Mwangi Lawrence R. 206 199 199 (7)
Mwaniki Henry M.J. 1,918 1,855 1,855 (63)
Njeru Samuel K. 208 257 257 49
Njiru James N. 305 309 309 4
Njogu Richard M. 31 24 21 (7)
Jumla ya kura halali 55,270 54,688* 43,957 57,097
Kura zilizokataliwa 512 489 489 489
Jumla ya kura zilizopigwa 55,782 54,199* 44,446 57,586
Waliopiga kura 80.99% 64.53% 83.61%
Chanzo: nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Idadi iliyopatikana moja kwa moja kutoka fomu 17A. Kujumlisha kura za wagombea viti wote inaleta kura
halali 57,586 kama ilivyo katika D
Mambo yaliyogunduliwa
· Tofauti kuu baina ya kujumlisha kwetu na matangazo ya mwisho.
· Kujumulisha kulio na makosa kuhusu kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK.
· Kuna fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wakuu wa uchaguzi.
Mambo Muhimu yaliyogunduliwa:
Takwimu zetu na kujumulisha kura kutoka fomu 16A za vituo vyote vya kupigia kura zinaonyesha kwamba mshindi
aliyetangazwa hakuwa ameshinda. Kulingana na ECK/RO mshindi alikuwa Kariuki John Ngata akiwa na kura 17,219
zikilinganishwa na kura 17,151 za Dickson Karaba. Kujumulisha kwetu kunaonyesha kura za Dickson Daniel Karaba
zikiwa 17,270 na za Kariuki John Ngata zikiwa 17,268. Jambo hili linaleta hali ya kinyume na tangazo la mshindi wa
kiti cha bunge.
8.3. Kajiado North
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 144 Kajiado North
Jumla za watu Matokeo katika Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
wenyewe fomu 17A mwisho rasmi jumla za 17A na
matokeo ya ya ECK matokeo ya
fomu 16A mwisho ya ECK
A B C D C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 49,055 49,038 49,038 (17)
Kukubo Nixon 1 1 1 -
Matiba Kenneth 12 97 97 85
Musyoka Stephen 3,260 3,644 3,664 404
Mwangi Pius 55 68 68 13
Ngacha Joseph 127 131 131 4
Ngethe David 11 10 10 (1)
Odinga Raila 28,921 25,330 25,330 (3,591)
Rajput Nazlin 30 32 32 2
Jumla ya kura halali 81,472 81,485 78,351 78,371
Kura zilizokataliwa 758 1,550 1,550
Jumla ya kura zilizopigwa 82,243 79,901 79,921
Waliopiga Kura 76.58% 74.4% 74.42%
Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK
Fahamu: Idadi katika, matokeo ya mwisho ya ECK si sahihi, idadi sahihi imo katika D
.. inamaanisha nambari haikutolewa katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Tofauti baina ya idadi yetu na tangazo la mwisho
· Idadi yenye makosa ya kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK
· Fomu ya moja haikuwa katika faili tuliyopatiwa na ECK, matokeo ya fomu hiyo pia hayakuwemo
katika fomu 17A
Uchaguzi wa Bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge Kajiado North
Jumla ya kura ya Matokeo katika Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
watu wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya jumla ya kura
ya matokeo ya ECK katika 17A na
form 16A matokeo ya
mwisho ya ECK
A B C D C-A
Uchaguzi wa bunge
Abincha Mogambi Harrison 57 60 141 84
Gitau Francis Parsimei 320 331 528 208
Gitonga Eric Maurice 193 190 274 81
Kerina Hellen Mokune 59 63 63 4
Kinyanjui Solomon 1,145 1,133 152 (993)
Mahinda Gerald Wamwangi 177 156 14 (163)
Mbuchi Wanjiru Judy 19 29 6 (13)
Murunga Mathew 33 38 2 (31)
Ngossorr Soila Florence 87 87 8 (79)
Otieno Wambui 156 145 22 (134)
Saitoti George 46,850 46,591 40,376 (6,474)
Sakuda Moses Ole Somaine 31,942 31,376 21,642 (10,300)
Sane Ole Saroni 246 259 10 (236)
Oleseki Oliver Lemachon 116 132 26 (90)
Wambui Julius 156 154 22 (134)
Jumla ya kura halali 81,556 80,744 63,273 63,286 ..
Kura zilizokataliwa .. 2,917 2,917 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. 66,190 66,203 ..
Waliopiga Kura .. 61.64% 61.65% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK
Fahamu: Jumla katika matokeo ya mwisho ya ECK yana kasoro, idadi sahihi imo katika D.
.. inamaanisha kwamba namba haikuwemo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Tofauti kubwa baina ya kujumlisha kwetu, namba zilizomo katika 17A na tangazo la mwisho.
· Kujumlisha kuliko na makosa kwa kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK.
8.4. Kaloleni
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 017 Kaloleni
Jumla ya watu Matokeo katika Matokeo ya Tofauti
wenyewe za fomu 17A mwisho rasmi
fomu 16A ya ECK
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 16,816 16,879 16,879 63
Kukubo Nixon 68 64 64 (4)
Matiba Kenneth 73 68 65 (8)
Musyoka Stephen 1,537 1,535 1,535 (2)
Mwangi Pius 140 136 136 (4)
Ngacha Joseph 89 71 71 (18)
Ngethe David 65 62 62 (3)
Odinga Raila 21,748 21,716 21,716 (32)
Rajput Nazlin 50 50 50 -
Jumla ya kura halali 40,586 40,581 40,581 (5)
Kura zilizokataliwa 657 650 650 (7)
Jumla ya kura zilizopigwa 41,243 41.231 41,231 (12)
Waliopiga Kura 48.45% 48.43% 48.43% -0.01%
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Kuna fomu 16A zilizo na jina la afisi wa uchaguzi Yuleyule zinazoonekana kuwa na sahihi tofauti.
· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisi ya uchaguzi.
· Tofauti ndogondogo baina ya kujumlisha, nambari zilizomo katika fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 017 Kaloleni
Jumla za watu Matokeo katika Matokeo ya Tofauti
wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya
matokeo ya ECK
fomu 16A
A B C C-A
Uchaguzi wa bunge
James Rophus Baya 724 496 (228)
Bemwacbaya Japhet Kanyume 307 139 (168)
Kenga Emanuel Chengo 117 72 (45)
Chome Onesmus Habel 429 342 (87)
Dzoro Morris Mwachondo 2,721 1,916 (805)
Fondo James Kitsao 167 115 (52)
Chea Mwinga Gunga 1,984 1,683 (301)
Jangaa Simon Chagga 407 350 (57)
Kambi Samuel Kazungu 13,276 7,441 (5,835)
Katama Gideon Mwambaji 175 135 (40)
Kenga Michael Mure 6,773 6,410 (363)
Kulumba Betty Wavinya 132 77 (55)
Luganje Esther bahati 164 1,640 1,476
Malanga Alice Mbetsa 71 46 (25)
Maneno Betty Kabibi James 739 571 (168)
Mangi Raymond Furaha 547 387 (160)
Kamto Kenneth Mwakombo 861 430 (431)
Mwamkale William Kamoti 6,844 3,685 (3,159)
Mwamure bakari toya 718 475 (243)
Mwarandu Ferdinand Katana C 530 322 (208)
Mwaringa Beatrice Mwaka 239 135 (104)
Ngala Jimmy F C 1,506 1,100 (406)
Hassan Nuru Lula 88 34 (54)
Watsuma Anderson Chibule 520 265 (255)
Jumla ya kura halali 40,039 28,266 (11,773)
Kura zilizokataliwa 474 474 ..
Jumla ya kura zilizopigwa 50,513 28,740 ..
Waliopiga Kura 47.59% 33.76% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK
Fahamu: Fomu 17A haieleweki vizuri ili kuwezesha kusomeka kuzuri kwa matokeo ya wagombea viti.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisa wa uchaguzi.
· Fomu 16A moja ina majina ya watu ambao hawamo katika orodha ya ECK ya wagombea viti.
· Baadhi ya wagombea viti wana matokeo tofauti katika fomu 16A ileile.
· Tofauti kubwa baina ya jumla yetu, fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.
8.5 Limuru
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 104 Limuru
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 48,302 48,389 48,389 87
Kukubo Nixon 7 6 6 (1)
Matiba Kenneth 11 10 10 (1)
Musyoka Stephen 443 439 439 (4)
Mwangi Pius 14 15 15 1
Ngacha Joseph 129 123 123 (6)
Ngethe David 11 13 13 2
Odinga Raila 2,988 2,934 2,934 (54)
Rajput Nazlin 10 11 11 1
Jumla ya kura halali 51,915 51,940 51,940 25
Kura zilizokataliwa 411 403 403 (8)
Jumla ya kura zilizopigwa 52,326 52,343 52,343 17
Waliopiga Kura 79.56% 79.58% 79.58% 0.03%
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Fomu 16A moja haikujazwa katika fomu 17A
· Fomu 16A haikutiwa sahihi na afisi wa uchaguzi.
· Fomu 16A ya 040 haikutiwa sahihi na RO.
· Matokeo ya mwisho ya form 16 ya wagombea viti wote yameongezeka isipokuwa kwa Odinga Raila ambapo
yamepungua kwa 3,144 (matokeo ya muda) hadi 2,934 (matokeo ya mwisho)
· Tofauti ya kiwango kikubwa baina ya idadi yetu,fomu takwimu za 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 104 Limuru
Kujumlisha Matokeo katika Matokeo ya Jumlisha sahihi Tofauti
kwetu wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya za matokeo ya
kwa matokeo ya ECK Limuru
fomu 16A
A B C C-A
Wagombea viti vya bunge
Chege John Kiragu 7,342 7,028 6,371 (971)
Kamau Keneth Chege 1,398 1,317 1,248 (150)
Kamau Mwaniki Charles 8,957 8,470 8,325 (632)
Kariuki George Njoroge 837 813 759 (78)
Kariuki Joram Gathini 166 156 132 (34)
Kimani Joseph Munyaka 250 3,077 212 (38)
Kiratu Christopher D.M. 212 186 178 (34)
Kuria Simon Kanyingi 3,337 3,118 2,810 (527)
Maara George Jonathan 5,897 5,671 4,021 (1,876)
Mbugua Mercy Muthoni 286 289 266 (20)
Mburu George Mwaura 145 684 655 510
Mirie George Ndungu 414 423 388 (26)
Mwathi Peter Mungai 14,924 14,543 13,552 (1,372)
Mwaura Esther Wanjiku 565 609 533 (32)
Ngugi Job Kariu 151 150 125 (26)
Njonjo Apollo Luciano 2,044 2,085 1,428 (616)
Njoroge James Mingi 74 60 44 (30)
Nyanja George Boniface N M 2,458 2,555 2,406 (52)
Paul John Njoroge 1,714 1,724 1,115 (599)
Thuku Peter Kimani 135 420 111 (24)
Waweru Samuel Chege 61 60 53 (8)
Jumla ya kura halali 51,367 53,438 44,078 44,732 (7,289)
Kura zilizokataliwa 571 691 691 ..
Jumla ya kura zilizopigwa 54,009 44,769 45,423 ..
Waliopiga Kura 82.12% 68.07% 69.06% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Kujazwa zaidi ya mara kwa kura za baadhi ya wagombea kitu katika baadhi ya vituo vya kupigia kura.
· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisa wa uchunguzi
· Matokeo ya Njoroge Paul John yanaoonyeshwa kama 1,724 katika fomu 17A lakini zinaoonyeshwa kama 7,028
katika fomu 16 kisha kama 1,115 katika matokeo ya mwisho ya ECK.
· Matokeo ya Kimani Joseph Munyuka yameonyeshwa kama 3,077 katika fomu 17A na fomu 16, kasha kama
212 katika matokeo ya mwisho ya ECK.
· Katika barua kwa ECK ya tarehe 27 Disemba 2007 afisa mkuu wa uchaguzi katika eneo bunge ameandika
kwamba wakati walipokuwa wanakusanya data kwa minajili ya matokeo ya bunge hakuna wakala walikuwepo
ili kutia sahihi fomu 17.
Ingewezekana kwa hata mmoja miongoni mwa wagombea viti bunge 21 au mawakala kutokuwepo siku ya
mchaguzi?
Matokeo ya mwisho ya ECK hayalingani kamwe na yale yaliyomo katika fomu 16 ya tarehe 28 Disemba 2007.
Kile ambacho kimechapishwa kama matokeo ya mwisho ya ECK ni matokeo ya muda yaliyopokelewa 28
Disemba 2007 na kuthibitishwa na afisa mkuu wa uchaguzi katika eneo bunge tarehe 29 Disemba 2007.
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 182 Bondo
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi ya matokeo
wenyewe kwa 17A ya ECK ya mwisho ya
matokeo ya ECK
form 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 156 148 148 (8)
Kukubo Nixon 1 1 1
Matiba Kenneth 2 3 3 1
Musyoka Stephen 9 7 7 (2)
Mwangi Pius 4 5 5 1
Ngacha Joseph - -
Ngethe David 5 4 4 (1)
Odinga Raila 56,022 53,202 53,202 (2,820)
Rajput Nazlin 15 16 16 1
Jumla ya kura halali 56,214 54,026 53,173 53,386 (3,041)
Kura zilizokataliwa 110 109 109
Jumla ya kura zilizopigwa 56,214 54,136 53,282 53,495
Waliopiga Kura 90.16% 86.82% 85.45% 85.80%
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
Fahamu: idadi ya ECK ya kura halali si sahihi. Idadi sahihi iko katika safu ya tarakimu D.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya matokeo ya fomu 16A ya vituo vya kupigia kura zimeandikwa vibaya katika fomu 17A.
· Baadhi ya fomu 16 hazijatiwa sahihi na afisa mkuu wa uchaguzi katika kituu cha kupigia kura.
· Baadhi ya vituo vya kupigia kura vilipata asilimia ya wapiga kura 98. Kimojawapo cha kituo kina 100%
· Kupunguzwa kura/tofauti kubwa baina kujumlisha kwetu wenyewe na matokeo ya mwisho ya ECK, kwa
Odinga Raila.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 182 Bondo
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Mgombea kiti cha bunge
Agunga Alfred Nyandimo 740 320 321 (419)
Oginga Dr. Oburu 49,511 45,270 45,270 (4,241)
Ogola Gideon Ochanda 7,610 6,811 6,741 (869)
Jumla ya kura halali 52,218 52,218 52,332 114
Kura zilizokataliwa .. 225 342 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. 52,443 52,674 ..
Waliopiga Kura .. 84.11 84.48% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
inamaanisha tarakimu ambazo hazimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi fomu 16A hazimo kwenye faili. Matokeo yanapatikana kutoka fomu 17A makosa ya maandishi na
kuhesabu katika fomu 17A 100.05% ya kura halali kwa mgombea kiti aliyeshinda.
· Baadhi ya matokeo ya fomu 16A yameandikwa vibaya katika fomu 17A.
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 203 Bamachoge
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 26,176 26,967 26,967 791
Kukubo Nixon 35 - - (35)
Matiba Kenneth 46 19 19 (27)
Musyoka Stephen 224 177 177 (47)
Mwangi Pius 38 52 52 14
Ngacha Joseph 348 312 312 (36)
Ngethe David 57 83 83 26
Odinga Raila 20,043 18,070 18,070 (1,973)
Rajput Nazlin 33 45 45 12
Jumla ya kura halali 47,000 45,725 45,725
Kura zilizokataliwa .. - 3
Jumla ya kura zilizopigwa .. 45,725 45,728
Waliopiga Kura .. 64.78% 64.78%
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
.. inamaanisha tarakimu ambayo haikuonyeshwa katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Matokeo yanayofanana katika shule mbili za msingi za Amatagaro.
· Baadhi ya fomu 16A ambazo hazikutiwa sahihi na mkuu wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.
Uchaguzi ya bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 203 Bomachoge
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi matokeo ya
wenyewe kwa 17A ya ECK mwisho ya
matokeo ya ECK
form 16A
A B C C-A
Wagombea kiti cha bunge
Atati William Moturi 261 215 215 (46)
Michoti David Mogendi 308 337 337 29
Migiro Samuel Ongori 756 581 581 (175)
Omamba Ben Mogaka 282 299 299 17
Mogeni Samuel Osoro 497 539 539 42
Peter Jim Momanyi 326 316 316 (10)
Mwema Nathan Onkundi Ogesare 80 139 139 59
Nyakora Musa Ondara 413 309 309 (104)
Nyameyio Samson Nyakweba 470 262 262 (208)
Nyamwamu Cyprian Orina 3,397 1,084 1,084 (2,313)
Oigara Cedius N. Nyachwati 354 191 191 (163)
Nyangwara Zaphaniah Moraro 7,231 5,746 5,746 (1,485)
Nyaudi Albert Mbaka 7,159 7,133 7,133 (26)
Obondi Lugard Mogusu 464 442 442 (22)
Obure Ferdinand Ondabu 1,694 824 824 (870)
Nyaudi Simon Ongari 6,219 7,221 7,221 1,002
Oirere Bororo Onyimbo Naftal 747 704 704 (43)
Omagwa Zacharius Nyangena 89 93 93 4
Omboga Johnson Ondego 288 261 261 (27)
Omwemo James Ombasa 499 339 339 (160)
Ondabu Jason 200 308 308 108
Ontiri Machana Mokua 149 165 165 16
Onukoh Paul Nyabere 412 318 308 (104)
Omagwa Joel Onyancha 13,277 9,076 9,076 (4,201)
Koina Onyancha 581 242 242 (339)
Oseko Isaac Mbaka 776 621 621 (155)
Masea Arnold Benson Ototo 402 266 266 (136)
Siagi Moses Nyandieka 438 450 450 12
Jumla ya kura halali .. .. 38,481 38,471 ..
Kura zilizokataliwa .. .. 3 3 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 38,484 38,474 ..
Waliopiga Kura 54.52% 54.50% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia.
Fahamu: idadi katika matokeo ya ECK si sahihi, idadi sahihi imo katika safu ya tarakimu D.
8.8 Juja
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 100 Juja
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A na 16 ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 101,003 100,390 100,390 (613)
Kukubo Nixon 16 35 35 19
Matiba Kenneth 47 67 67 20
Musyoka Stephen 4,986 4,409 4,409 (577)
Mwangi Pius 92 80 80 (12)
Ngacha Joseph 257 219 219 (38)
Ngethe David 21 61 61 40
Odinga Raila 13,948 13,752 13,752 (196)
Rajput Nazlin 48 37 37 (11)
Jumla ya kura halali 120,418 119,050 119,050 (1,368)
Kura zilizokataliwa .. 914 914
Jumla ya kura zilizopigwa .. 119,964 119,964
Waliopiga Kura .. 73.30% 73.30%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Fahamu: Haiwezekanai kulinganisha na tarakimu za fomu 16 kwa vile kuna fomu 16 mbili zenye tarakimu tofauti.
.. inamaanisha tarakimu ambayo haimo katika hati asilia.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wakuu wa vituo vya kupigia kura.
· Fomu 16A chache zenye sahihi zinazotofautiana zilizotiwa sahihi na afisa mkuu wa kituo cha kupigia kura.
· Baadhi ya maafisa wakuu wa vituo vya kupigia kura wanaonyesha majina na habari za wapiga kura
walioruhusiwa kupiga kura kutoka Black Book na rejista ambamo majina yanatokea zaid ya mara moja.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 100 Juja
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A na 16 ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Mgombea kiti cha bunge
Enos David Nzioka 2,813 2,653 2,653 (160)
Gathua Eunice Gathigia 1,032 832 832 (200)
Gitau William Kabogo 34,114 32,987 32,987 (1,127)
Githaiga Dick Maina 2,649 2,621 2,621 (28)
Kimamia Beatrice Wairimo 277 268 268 (9)
Kiama Peter Wangai 287 272 272 (15)
Kibugu Agness Wangui 1,029 973 973 (56)
Kihara Freddie Kirima 430 472 472 42
Kirika Mary Wanjiru Mwaniki 661 661 661 -
Moreka David Nyamache 7,651 7,410 7,410 (241)
Ndabi Stephen Ndichu 2,964 2,924 2,924 (40)
Ng ang a Alice Wambui 9,541 9,252 9,252 (289)
Thuo George 55,728 52,321 52,321 (3,407)
Jumla ya kura halali 119,176 113,646 113,646 (5,530)
Kura zilizokataliwa .. 1,162 1,162
Jumla ya kura zilizopigwa .. 114,808 114,808
Waliopiga Kura .. 70.15% 70.15%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
.. inamaanisha hakuna tarakimu iliwoandikwa katika hati asilia.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16Ahazimo katika faili tarakimu zilipatikana katika fomu 17A.
· Idadi kubwa ya fomu 16A hazijaandikwa katika fomu 17A.
· Fomu 16A zenye afisa mkuu ni mmoja wa kituo cha kupigia kura lakini sahihi tofauti.
8.9 Molo
Uchaguzi wa urais
Uchambuzi wa uchaguzi wa urais wa 138 Molo
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi matokeo ya
wenyewe wa 17A ya ECK mwisho ya
matokeo ya ECK
form 16A na
idadi sahihi
A B C D C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 75,314 75,611 75,261 (53)
Kukubo Nixon 12 11 12
Matiba Kenneth 44 45 46 2
Musyoka Stephen 263 264 222 (41)
Mwangi Pius 38 35 19 (19)
Ngacha Joseph 303 294 266 (37)
Ngethe David 43 42 34 (9)
Odinga Raila 22,510 22,580 23,268 758
Rajput Nazlin 18 15 12 (6)
Jumla ya kura halali 98,545 98,897 99,143 99,140 598
Kura zilizokataliwa .. 1,016 923 923 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. 99,913 100,066 100,063 ..
Waliopiga Kura .. 79.07% 79.19% 79.19% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
.. inamaanisha tarakimu ambazo hazimo katika hati asilia
Fahamu: Tarakimu ya ECK ya kura halali si sahihi, idadi sahihi imo katika safu tarakimu D.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa Uchaguzi wa bungewa 138 Molo
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea kiti cha bunge
Ayub Jesse Mwaniki 243 302 59
Gaithya Simon Ndungu 448 545 97
Philip Nduhiu Githambo 164 191 27
Karanja Kabage 4,605 5,436 831
Joyce Njoki Karimi 131 175 44
Kiarie Stephen Karanja 153 175 22
Kimani Joseph Kamau 228 271 43
Kinyanjui Johnson Mwamba 551 868 317
Manini George Githua 161 247 86
Mukiri Macharia 601 764 163
John Njenga Mungai 6,865 10,340 3,475
Njogu James Mwangi 780 718 (62)
Kiuna Joseph Nganga 43,243 54,057 10,814
Dickson Ngigi Ngugi 113 123 10
Njeri Mary Kulankash 80 95 15
Wambui Florence Njoroge 99 118 19
Karanja Njoroge Mungai 350 513 163
Njoroge Philip Thuo 48 84 36
Njunga Michael 214 348 134
Sang Peter Kipngetich 17,885 18,603 718
Maina Stephen Thuo 59 84 25
Tonui Samwel Kipkemoi 171 666 495
Jumla ya kura halali 77,192 .. 94,725 17,533
Kura zilizokataliwa .. .. 1,242
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 95,967
Waliopiga Kura ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A na 17 za ECK
Fahamu: Tarakimu sahihi ya kura halali katika safu C ni 94, 723 ikifanya jumla ya kura zilizopigwa kuwa 95,965.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili, haziwezi kusomwa katika 17A kwa sababu faila haina fomu 17A, jambo
ambalo halijatolewa maelezo na afisa wa uchaguzi wa eneo bunge.
· Baadhi ya fomu 16A hazijatiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa vituo vya kupigia kura.
· Baadhi ya fomu 16A zinaonekana hazijakamilika kwa sababu hazina na baadhi ya wagombea uchaguzi.
8.10 Maragwa
Uchaguzi wa Rais
Uchambuzi wa Uchaguzi wa Rais wa 095 Maragwa
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A
wenyewe wa 17A & 16 ya ECL na matokeo
matokeo ya ya mwisho ya
form 16A na ECK
idadi sahihi
A B C D C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 56,429 56,439 56,439 10
Kukubo Nixon 15 15 15 -
Matiba Kenneth 26 25 25 (1)
Musyoka Stephen 577 564 564 (13)
Mwangi Pius 28 29 29 1
Ngacha Joseph 205 198 198 (7)
Ngethe David 10 10 10 -
Odinga Raila 471 460 460 (11)
Rajput Nazlin 13 14 14 1
Jumla ya kura halali 57,774 59,795 59,795 57,754 2,021
Kura zilizokataliwa .. 322 322 322
Jumla ya kura zilizopigwa .. 60,117 60,117 58,076
Waliopiga Kura .. 85.24% 85.24% 82.35%
Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Fomu 16A ambayo haijatiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura lakini iliyotiwa sahihi na
naibu wake.
· Fomu 16A yenye sahihi tofauti lakini matokeo yaleyale.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 095 Maragwa
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea kiti cha bunge
Elias Peter Mbau 18,355 18,266 18,266 (89)
Gituabiah Paul 613 623 623 10
Kariuki Maina John 4,915 5,036 5,036 121
Kimani Mathew Mwangi 2,244 2,194 2,194 (50)
Kioi Mark Kamande 803 756 756 (47)
Macharia Francis Gachihi 2,481 2,345 2,345 (136)
Maluki Mohammed Omari 187 3,553 3,553 3,366
Mwangi Peter Kamande 16,806 16,531 16,531 (275)
Mwaura John B Kirore 1,439 1,458 1,458 19
Mwirigi Maurice Njuguna 811 798 798 (13)
Nganga Samwel Kamunu 392 403 403 11
Ngugi Martin Njuguna 307 272 272 (35)
Ngwiri Simon W. Kimani 225 200 200 (25)
Njue John Muguini 187 158 158 (29)
Wainaina Peterson 357 349 349 (8)
Watailor Stephen N. Kinuthia 6,335 5,221 5,221 (1,114)
Jumla ya kura halali 56,457 58,163 58,163 ..
Kura zilizokataliwa .. 736 736 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. 58,899 58,899 ..
Waliopiga Kura .. 83.52% 83.52% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A ya ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A zilitiwa sahihi na naibu wa afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.
· Baadhi ya fomu 16A hazina katika faili lakini tarakimu zilisomwa katika fomu 17A.
8.11 North Imenti
Uchaguzi wa Rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa Rais katika 051 North Imenti
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 89,691 84,006 78,684 (11,007)
Kukubo Nixon 22 20 18 (4)
Matiba Kenneth 46 45 37 (9)
Musyoka Stephen 821 460 802 (19)
Mwangi Pius 115 113 107 (8)
Ngacha Joseph 301 245 476 175
Ngethe David 60 26 16 (44)
Odinga Raila 3,617 3,300 3,370 (247)
Rajput Nazlin 30 52 25 (5)
Jumla ya kura halali 94,703 88,267 83,535
Kura zilizokataliwa .. .. 653
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 84,188
Waliopiga Kura .. .. 67.92%
Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo kwenye faili na fomu 17A zinaonyesha kwamba majina ya maeneo bunge
yameandikwa lakini matokeo hayakujazwa humo. Ni wazi katika fomu 17A.
· Baadhi ya fomu 16 hazikutiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.
· Fomu 16A mibli zenye matokeo sawa (katika 054 Gikumene Primary school)
· Matatizo katika tarakimu za kituo cha kupigwa kura cha 135 Njuri Ncheke stree katika fomu 17A.
· Kujumulisha sahihi kwa matokeo ya wagombea viti kutoka vituo vya kupigia kura kunaonyesha idadi tofauti
katika fomu 17A kama ifuatavyo
· Jumla ya kura halali inakuwa 89,438.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 051 North Imenti
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi ya jumla za
wenyewe wa 17A & 16 ya ECK matokeo ya
matokeo ya mwisho ya
fomu 16A na ECK
idadi sahihi
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Akandi Fredrick Kiogora 1,785 1,252 (533)
Angaine John Mugambi 11,235 9,266 (1,969)
Gichuru Francis Xaxier 1,157 1,008 (149)
Kiogora Abonyai Mutuerandu 3,407 3,770 363
Marete Isaac Kinoti 264 596 332
Mbeeria Jeremiah baariu 1,353 1,219 (134)
Mbuba Peter Rwanda 449 526 77
Meenye Gideon Kaumbuthu 9,531 8,275 (1,256)
Mugah Paul Murungah 1,119 975 (144)
Muthamia Morris morgan 1,028 706 (322)
Mwiraria Daudi 22,867 20,422 (2,445)
Mburugu Ephriam mwirigi 766 574 (192)
Ringera Karambu Lillian 2,073 1,758 (315)
Ringera Stephen Kirimi 2,066 1,758 (308)
Ruteere Silas Muriuki 33,444 30,603 (2,841)
Terah Flora Igoki 1,469 720 (749)
Jumla ya kura halali 94,013 .. 83,364 83,428 ..
Kura zilizokataliwa .. .. 794 794 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 84,158 84,222 ..
Waliopiga Kura .. .. 67.90% 67.95% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK
Fahamu: kujumlisha katika matokeo ya mwisho ya ECK sio sahihi, idadi sahihi imo katika safu D.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na fomu 17A zinaonyesha majina ya vituo vya kupigia kura zipo lakini
matokeo hayakuandikwa.
· Matokeo yanayofanan a katika sehemu za A na C za 011 Madaraka primary schoo.
Wajir North
Uchaguzi wa Rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 034 Wajir North
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
fomu 16A idadi
sahihi
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 5,084 5,244 5244 160
Kukubo Nixon 5 5 5 -
Matiba Kenneth 6 5 7 1
Musyoka Stephen 30 29 29 (1)
Mwangi Pius 4 3 3 (1)
Ngacha Joseph 6 6 6 -
Ngethe David 4 4 4 -
Odinga Raila 5,166 4,988 4988 (178)
Rajput Nazlin 6 5 6 -
Jumla ya kura halali 10,312 10.289 10,292 (20)
Kura zilizokataliwa 35 28 -
Jumla ya kura zilizopigwa 10,347 10,317 10,292
Waliopiga Kura 72.99% 72.78% 72.60%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Ni mambo machache yaliyogunduliwa,isipokuwa kuhesabu kwetu kunaonyesha kura 35 zilizokataliwa,28
zikiwa zimeonyeshwa katika fomu 17A, lakini matokeo ya mwisho hayaonyeshi kura zozote zilizokataliwa.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa bunge wa 034 Wajir North
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17a ya ECK
matokeo ya
fomu 16A
A B C C-A
Mgombea Kiti Cha bunge
Abdullahi Ibrahim Abdi 147 147 147 -
Ahmed Maalim Omar 877 877 877 -
Ali Abdi Hussein 1,933 1,933 1,933 -
Ali Abdullahi Ibrahim 3,675 3,675 3,675 -
Mohammed Hussein Gabbow 3,675 3,675 3,675 -
Omar Hassan Elmi 7 7 7 -
Jumla ya kura halali 10,314 10,314 10,314 -
Kura zilizokataliwa 32 33 -
Jumla ya kura zilizopigwa 10,346 10,347 10,314
Waliopiga Kura 72.98% 72.99% 72.76%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Ni mambo machache yaliyogunduliwa, isipokuwa kuhesabu kwetu kulionyesha kura 5 zilizokataliwa ambazo
hazijaonyeshwa katika matokeo ya mwisho. Kura hizi hazingeelezwa baadaye kama kura zilizokataliwa kwani
idadi ya kura zilizokataliwa iliongezeka kutoka 32 hadi 33 pekee.
8.13 Kieni
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 082 Kieni
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
fomu 16A idadi
sahihi
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 72,354 72,054 72,054 (300)
Kukubo Nixon 9 6 6 (3)
Matiba Kenneth 13 12 12 (1)
Musyoka Stephen 62 58 58 (4)
Mwangi Pius 26 25 25 (1)
Ngacha Joseph 153 150 150 (3)
Ngethe David 7 5 5 (2)
Odinga Raila 612 580 580 (32)
Rajput Nazlin 6 6 6 -
Jumla ya kura halali 73.242 72,197 72,896 (346)
Kura zilizokataliwa .. 161 161 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. 72.358 73,057 ..
Waliopiga Kura .. 85.44% 86.27% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu ambazo hazijaonyeshwa katika hati asilia.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili lakini pia hazi kuonyeshwa katika fomu 17A.
· Baadhi ya fomu zina jina sawa la afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura lakini sahihi zinaonekana tofauti.
· Idadi ya wapiga kura waliosajilishwa na ile iliyoonyeshwa matokeo ya mwisho ya ECK (84,687)
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa bunge wa 082 Kieni
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
fomu 16A
A B C C-A
Mgombea Kiti Cha bunge
Gichuru Michael Wachira 388 - 377 (11)
Gitonga Peter Mathenge 1238 - 1252 14
Kairu James Wanderi 310 - 600 290
Karanja John Kamunya 86 - 243 157
Karanja John Muhia 289 - 140 (149)
Kihagi Isaac Ngatia 2,564 - 2,272 (292)
Macharia Edwin Mwangi 5,331 - 5,335 4
Maina Muchiri Kiuma 482 - 421 (61)
Muriithi Kenneth Kamunya 183 - 855 (672)
Murungaru Christopher Ndarathi 8,827 - 8,460 (367)
Ndung u James Mathenge 287 - 255 (32)
Wachira Charity Gathoni 124 - 66 (58)
Wanderi Francis Mathenge 625 - 599 (26)
Warugongo Nemesyus 50,793 - 51,394 601
Jumla ya kura halali 71,527 .. 72,269 742
Kura zilizokataliwa .. .. 1,629
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 73,898
Waliopiga Kura .. .. 87.26%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Fomu 16A chache hazikutiwa sahihi na afisi wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura
· Baadhi wanaonekana kuwa na sahihi tofauti za afisa yuleyule.
8.14 Lari
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 105 Lari
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
fomu 16A idadi
sahihi
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 49,280 49,276 49,276 (4)
Kukubo Nixon 7 8 8 1
Matiba Kenneth 15 7 7 (8)
Musyoka Stephen 70 32 32 (38)
Mwangi Pius 16 16 16 -
Ngacha Joseph 157 67 61 (96)
Ngethe David 4 4 4 -
Odinga Raila 458 457 457 (1)
Rajput Nazlin 3 3 3 -
Jumla ya kura halali 50,010 49,864 49,864 (146)
Kura zilizokataliwa 740 218 218
Jumla ya kura zilizopigwa 50,750 50,082 50,082
Waliopiga Kura 85.45% 83.33% 84.33%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Si mambo mengi yaliyogunduliwa isipokuwa tofauti katika matokeo ya mwisho ya ECK.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 105 Lari
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi kura rasmi za
wenyewe wa 17A ya ECK mwisho za
matokeo ya ECK
fomu 16A
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Burugu John Njuguna 7,616 7,615 7,615 (1)
Chege Mburu Tiras 456 456 456
Gitonga Gichuru Philip 208 211 211 3
Kagunyi Njari Francis 8,739 8,876 8,876 137
Kamau Anthony Njihia 104 97 77 (27)
Kimani Douglas 386 343 343 (43)
Kimani Ndungu Walter 3,837 3,836 3,836 (1)
Kimathi James Viscount 3,254 3,654 3,654 400
Kuria Kimani David 2,303 2,280 2,280 (23)
Mwai Wangui Pauline 450 455 455 5
Mwaura David Njuguna Kiburi 11,847 11,855 11,855 8
Mwangi Jonah Mburu 8,005 8,804 8,835 830
Mweja David Wairiri 938 938 938 -
Nganga Caroline Wambui 336 326 326 (10)
Nyambura Samuel Njagu 112 110 1,110 998
Nyota Njohn K 767 772 772 5
Turuthi Gad Githengu 52 53 53 1
Jumla ya kura halali 49,410 .. 50,681 51,692 1,271
Kura zilizokataliwa 468 .. 334 334
Jumla ya kura zilizopigwa 49,878 .. 52,026 52,026
Waliopiga Kura 83.98% .. 87.60% 87.60%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 za ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Tarakimu matokeo ya wagombea viti zenye makosa katika fomu 17A.
· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi lakini zilipigwa muhuri wa afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura
8.15 Malava
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 155 Malava
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
fomu 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 18,152 17,969 14,712 (3,440)
Kukubo Nixon 66 40 92 26
Matiba Kenneth 119 146 126 7
Musyoka Stephen 346 342 340 (6)
Mwangi Pius 102 85 99 (3)
Ngacha Joseph 365 94 147 (218)
Ngethe David 83 128 72 (11)
Odinga Raila 26,355 25,818 19,891 (6,464)
Rajput Nazlin 27 26 28 1
Jumla ya kura halali 45,615 44,648 35,507
Kura zilizokataliwa .. .. 71
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 35,578
Waliopiga Kura .. .. 52.91%
Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK
Fahamu: Tarakimu hizi zilipatikana kutoka fomu 22 na 16A ambazo katika faili na tarakimu hazikuwemo katika
fomu 17A. fomu hizo zikiwemo huenda jumla na vilevile tofauti zikabadilika.
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Za kwanza 17, na kisha kundi jingine la fomu 16a kwa jumla fomu 22, lazima katika faili ya eneo bunge na pia
hazimo katika 17A.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 155 Malava
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A
wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya
matokeo ya mwisho ya ECK
fomu 16A
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Caleb Ambulwa Murudi 183 189 291 108
Edward Juma Saya Malovi 448 411 305 (143)
Mukonyi Stephen Aswala 142 159 82 (60)
Nambwa sakaya Musavinyi 20,466 19,323 18,641 (1,825)
Sakataka William 530 978 427 (103)
Sakwa Tom Alphew 154 2,852 107 (47)
Soita Peter Shitanda 21,059 20,038 19,374 (1,685)
Tanga Harrison Webbo 600 974 395 (205)
Wakukha George Munji 1,125 1,095 832 (293)
Jumla ya kura halali 44,707 46,019 41,864 40,454 ..
Kura zilizokataliwa .. .. 1,119 1,119 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 42,983 41,573 ..
Waliopiga Kura .. .. 63.92% 61.83% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK
Fahamu: Makos katika kujumlisha tarakimu sahihi za ECK. Ujumlishaji mzuri unaleta kura sahihi 40,454 kama ilivyo
katika safu D.
Tarakimu zilipatikana kutoka fomu 22 za 16A ambazo hazikuwa katika faili na pia hazikuwemo katika fomu 17A.
fomu hizo zikiwemo, jumla za kura za wagombea viti na vilevile tofauti zitaongezeka.
Mambo yaliyogunduliwa
· Za kwanza 17 na fomu 16A nyingine, jumla ikiwa fomu 22 hazimo katika faili ya eneo bunge.
8.16 Masinga
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi na uchaguzi wa rais katika 066 Masinga
Kujumlisha Tarakimu Matokeo ya Tofauti
kwetu kutoka fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 16 ya ECK
matokeo ya
fomu 16A idadi
sahihi
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 2,341 2,344 1,038 (1,303)
Kukubo Nixon 37 38 33 (4)
Matiba Kenneth 22 112 107 85
Musyoka Stephen 33,659 33,729 21,225 (12,434)
Mwangi Pius 29 47 35 6
Ngacha Joseph 42 31 42 -
Ngethe David 6 4 3 (3)
Odinga Raila 387 462 238 (149)
Rajput Nazlin 155 165 221 66
Jumla ya kura halali 36,678 36,932 22,942 (13,736)
Kura zilizokataliwa .. .. 399
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 23,341
Waliopiga Kura .. .. 45.50%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Kushugulikiwa vibaya kwa baadhi ya kurasa za fomu 17A kulielezwa na afisa wa uchaguzi wa eneo bunge
katika barua kwa ECK.
· Hata baada ya kutolewa maelezo haya ya afisa wa uchaguzi wa eneo bunge matokeo ya mwisho ya ECK
yanatofautiana sana na matokeo ya fomu 16 ambayo ndio msingi kisheria kwa tangazo lolote la ECK.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bung katika 066 Masinga
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi mwisho
wenyewe wa 16A ya ECK yaliyosahihishwa ya
matokeo ya ECK
fomu 16A
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Kabaka Boniface Mutinda 3,094 2,901 2,901
Katu Peter Masilu 362 370 370
Kiala Bernard Muia 4,122 4,052 4,052
Kiluta Ronald John 2,223 1,892 1,892
Kisulu Festus Kivata 429 314 314
Kithyaka Joseph Muthami 230 214 214
Kitua Daniel Muinde 1,033 882 882
Mbai Benson Itwiku 10,274 9,164 9,164
Mbaluka Joel 2,519 2,245 2,245
Musila Paul Muoki 2,348 2,179 2,179
Mutisya Josephat Mutunga 288 263 263
Mutisya Simon Makao 73 64 64
Mutuku Peter Nicholas 769 552 552
Mutunga Sheila Phylis Mwikali 394 379 379
Mwalyo Joshua Mbithi 9,024 8,435 8,435
Ndivo Rosalia Kanini 150 99 99
Ndolo Simon Silla 80 90 90
Ngungu Janet Syovata 171 167 167
Wambua Lois Mutanya 117 109 109
Jumla ya kura halali 37,700 34,371 34,371 34,172
Kura zilizokataliwa .. 547 547 547
Jumla ya kura zilizopigwa .. 34,918 34,818 34,719
Waliopiga Kura .. 68.06% 67.87% 67.68%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A za ECK
.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazina majina ya wagombea viti
· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupiga kura; nyingine zilitiwa sahihi
kwa niaba ya afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura
· Idadi hiyohiyo ya fomu 16A(22) hazimo katika faili ya eneo bunge ya katika 17A.
8.17 Changamwe
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 009 Changamwe
Kujumlisha Tarakimu Matokeo ya Tofauti
kwetu kutoka fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 16 ya ECK
matokeo ya
fomu 16A idadi
sahihi
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 15,151 9,366 9,366 (5,785)
Kukubo Nixon 20 15 15 (5)
Matiba Kenneth 20 15 15 (5)
Musyoka Stephen 8,368 5,347 5,347 (3,021)
Mwangi Pius 121 74 74 (47)
Ngacha Joseph 67 44 44 (23)
Ngethe David 18 14 14 (4)
Odinga Raila 29,648 17,706 17,706 (11,942)
Rajput Nazlin 55 33 33 (22)
Jumla ya kura halali 53,468 32,614 32,614 (20,854)
Kura zilizokataliwa 509 .. -
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 32,614
Waliopiga Kura .. .. 30.33%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia
Fahamu: Idadi ya kura zilizokataliwa katika safu A inaweza kuwa ni ndogo kwa sababu baadhi ya fomu 16A
hazikuonyesha idadi ya kura zilizokataliwa katika vituo vya kupigia kura vilivyohusika.
Mambo yaliyogunduliwa
· Kwa jumla, tarakimu za baadhi ya fomu 16A zimeandikwa vibaya katika fomu 17 A.
· Tofauti kubwa baina jumla zetu na matokeo ya mwisho ya ECK.
8.18 Machakos Town
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 070 Machakos Town
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A
wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya
matokeo ya mwisho ya ECK
fomu 16A
A B C D C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 4,954 4,547 3,187 (1,767)
Kukubo Nixon 35 36 24 (11)
Matiba Kenneth 36 36 28 (8)
Musyoka Stephen 55,785 53,167 41,295 (14,490)
Mwangi Pius 70 68 41 (29)
Ngacha Joseph 69 67 50 (19)
Ngethe David 17 17 11 (6)
Odinga Raila 1,515 1,312 812 (703)
Rajput Nazlin 406 359 353 (53)
Jumla ya kura halali 62,887 59,609 45,811 45,801
Kura zilizokataliwa .. .. 2,839 2,839
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 48,650 48,640
Waliopiga Kura .. .. 51.29% 51.28%
Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK
.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na katika fomu 17A; baadhi hazina maandishi hata katika fomu 17A.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 070 Machakos Town
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A
wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya
matokeo ya mwisho ya ECK
fomu 16A
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Benson Bahati Mutua 240 .. 272 32
Daudi Fredrick Mwanzia 13,545 .. 13,607 62
Jones Kavivya Nzau 609 .. 1,023 414
Kaloki Collins Kitaka 7,207 .. 6,908 (299)
Kamelo Alfonce Mwangangi 2,049 .. 2,138 89
Kimanthi Florence Mbeti 2,484 .. 2,507 23
Kimeu Charles Nthiwa 242 .. 283 41
Mbithi Roseann Katheu 272 .. 278 6
Mothoka Stephen Makau 896 .. 946 50
Mukua Solomon Kimuyu 176 .. 169 (7)
Munyaka Victor Kioko 25,186 .. 24,647 (539)
Musyoka Susan Mbinya 6,064 .. 6,049 (15)
Musyoki Alphonce Mbinda 999 .. 986 (13)
Mutua Richard Mulu 165 .. 331 166
Mwamisi Timothy Wambua 872 .. 720 (152)
Nzengu Edward Kioko 1,351 .. 982 (369)
Jumla ya kura halali 62,357 .. 61,848 61,846 ..
Kura zilizokataliwa .. .. 1,010 1,010 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 62,858 62,856 ..
Waliopiga Kura .. .. 66.28% 66.27% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK
Fahamu: idadi katika matokeo ya mwisho ya ECK ya kura halali si sahihi, idadi sahihi imo katika safu D.
.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na katika fomu 17A; nyingine ni tupu hata katika 17A.
· Tofauti nyingi kuhusiana na kura halali kwenye kiwango cha vituo vya kupigia kura.
8.19 Central Imenti
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 052 Central Imenti
Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti
ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi
kibinafsi ya 17A ya ECK
fomu 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 58,811 43,410 43,410 (15,401)
Kukubo Nixon 16 8 8 (8)
Matiba Kenneth 19 13 13 (6)
Musyoka Stephen 185 130 130 (55)
Mwangi Pius 69 51 51 (18)
Ngacha Joseph 256 157 157 (99)
Ngethe David 16 12 12 (4)
Odinga Raila 1,585 1,108 1,108 (477)
Rajput Nazlin 15 18 18 3
Jumla ya kura halali 60,972 44,907 44,907
Kura zilizokataliwa .. .. 302
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 45,209
Waliopiga Kura .. .. 57.78%
Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Fomu 16A haimo katika faili; takwimu zilipatikana kutoka fomu 17A.
· Tofauti kubwa baina ya ujumlishaji wetu wa fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 052 Central Imenti
Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti
ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi
kibinafsi ya 17A ya ECK
fomu 16A
A B C C-A
Mgombea kiti cha bunge
Imanyara Gitobu 14,980 14,601 (379)
Kirea Salome Gathuni 463 447 (16)
Kirima Moses Nguchine 10,074 9,936 (138)
Kirugi Nelson Kaimeny 3,499 3,415 (84)
Kiugu Geoffrey Muriungi 11,491 11,395 (96)
M Itwerandu Fabian Murugu 1,426 1,418 (8)
M Mugwika Kimathi Samuel 1,150 1,096 (54)
M Mukindia Joseph K. Laiboni 3,187 3,244 57
M Mukiri Andrew Kinyua 948 670 (278)
Magiri Mwirigi Edward 321 345 24
Mboroki Dennis Mbichi 3,140 3,214 74
Mithenga Martin Mugambi 2,757 2,710 (47)
Mugendi Samwel 1,841 1,829 (12)
Murithi Mercy Gacheri 352 358 6
Domnic Charles S. 1,354 1,243 (111)
Mwiti Gershon Kimeu 1,287 1,281
Wambutura Justus Gitobu 3,027 3,003 (24)
Jumla ya kura halali 61,297 .. 60,205 ..
Kura zilizokataliwa .. .. 602 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 60,807 ..
Waliopiga Kura .. .. 77.72% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Fomu 16A chache zilijazwa vibaya katika fomu 17A; nyingine hazijakamilika kwa vile hazina majina ya baadhi
ya wagombea viti.
8.20 Saku
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 043 Saku
Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti
ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi
kibinafsi ya 17A ya ECK
fomu 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 7,124 7,124 7,124 -
Kukubo Nixon 6 6 6 -
Matiba Kenneth 9 9 9 -
Musyoka Stephen 1,232 1,232 1,232 -
Mwangi Pius 3 8 8 5
Ngacha Joseph 27 27 27 -
Ngethe David 4 3 3 (1)
Odinga Raila 5,682 5,682 5,682 -
Rajput Nazlin 11 9 9 (2)
Jumla ya kura halali 14,098 14,100 14,100
Kura zilizokataliwa 115 .. 115
Jumla ya kura zilizopigwa 14,213 .. 14,215
Waliopiga Kura 73.85% .. 73.86%
Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Hakuna mambo yaliyogunduliwa katika faili hii.
Ubunge
Uchambuzi wa eneobunge 043, SAKU
Nyongeza za Matokeo katika Matokeo ya Tofauti
matokeo ya fomu fomu 17 A mwisho ya Tume
16A ya Uchaguzi
Wagombea Ubunge: A B C D
Abduba Alexander Barilleh 38 42 42 4
Adams Hussein Sheikh 59 66 66 7
Falan Jarson Jillo 3,828 4,080 4,080 252
Safe Mohammad Hassan 1,602 1,692 1,692 90
Sasura Hassein Tarry 4,665 4,913 4,913 248
Waqo Halakhe Dida 3,077 3,215 3,215 138
Jumla ya kura halali 13,269 14,008 14,008
Kura zilizokataliwa 206 206
Jumla za kura zilozopigwa 14,214 14,214
Kujitokeza wapiga kura (%) 73.85% 73.85%
Chanzo: Nakala za Famu 16A, za tume ya Uchaguzi (ECK).
Tambua: Ujumlishaji wa matokeo ya mwisho ya Tume ya Uchaguzi (ECK), kwa kura halali, si
sawa, ujumlishaji sawa ni wa safu D. . ina maana ya nambari ambazo hazikutolewa katika
waraka asilia.
Mambo yaliyotambuliwa:
· Maswala machache yalitambuliwa, isipokuwa kwa tofauti kati ya jumla zilizoonyeshwa.
9. UTARATIBU WA KUPATA NA KUPELEKA MATOKEO
Ili kuelewa utaratibu unaofuatwa katika kupata na kupeleka matokeo (kwa maneno mengine,
jinsi ambavyo data hiyo inavyoibuka kuanzia chini kwenda juu), tulijaribu kuupunguza kuwa
mchoro sahili utaratibu wa kuhesabu, kujumlisha na kutangazwa matokeo ya kura katika vituo
vya kupiga kura, eneo mbuge na kitaifa. Utaratibu huu unaelezwa kutoka Sheria ya uchaguzi wa
Urais na Ubunge (sura ya 7, sheria za Kenya), kanuni zilizomo, na marekebisho yaliyotekelezwa
katika mpito wa wakati. Utaratibu huu unaonyeshwa katika mchoro ulio katika ukurasa
unaofuata Tume ya Uchaguzi ya Kenya (ECK) inafuata mfumo mahsusi wa kurekodi matokeo,
kuyajumlisha na kuyapeleka kutoka katika vituo vya kupigia kura, hadi kituo cha kitaifa cha
ujumlishaji. Kuna fomu rasmi ambazo zinapaswa kujazwa na kutiwa sahihi na maofisa wa
uchaguzi wanaohusika. Fomu hizo pia zinatakiwa kutiwa sahihi na wagombea kura au
mawakala wao, ikiwa au wakati wapo katika kituo cha kupigia kura, eneo bunge au kituo cha
kujumlisha. Fomu hizi rasmi kwa uchaguzi wa urais na ubunge, ni kama zifuatazo;
Fomu 16A: Kutangaza matokeo ya kura ya urais/ubunge katika kituo cha kupigia kura (ina
wapiga kura waliosajiliwa katika kituo cha kupiga kura, jumla ya kura halali, kura zilizokataliwa
na zilizobishaniwa, na jumla ya kura alizopata kila mgombea kura). Si lazima kwa wagombea
kura au wawakilishi wao kutia sahihi fomu hiyo.
Fomu 17A: Kutangaza matokeo katika kiwango cha eneobunge, na hujazwa na ofisa wa
uchaguzi wa eneobunge akitumia fomu zote za 16A katika vituo vya
Imetolewa kutoka katika mwongozo uliotolewa kwa makarani wa kupiga kura na wa kuhesabu
kura, maofisa,wa uchaguzi wa vituo na maofisa wa uchaguzi qa eneobunge wa Tume ya
Uchaguzi ya Kenya (ECK) na kanuni kuanzia vifungu 34 hadi 41 vya Sheria ya Uchaguzi wa
Urais na Ubunge. Vile vile, imetolewa kutoka nakala ya mkutano kati ya Tume ya Uchaguzi na
makamishna wa Tume Huru uliofanyika tarehe 16 na 17 mwezi Mei, Mwaka 2008. Visanduku
vya rangi vinaonyesha hatua ambazo kwa hali za kawaida, zingehusisha nyongeza
zinazohesabika, uhamishaji na namabri, n.k. kupigIa kura katika eneo bunge hilo. Huonyesha
majina ya vituo vya kupigIa kura, kura alizopata kila mgombea katika vituo vyote, na jumla ya
kura za kila mgombea katika eneo bunge hilo. Si lazima kwa wagombea kura au mawakala wao
kutia sahihi fomu hiyo.
· Fomu 16: Vyeti vya matokeo ya uchaguzi wa urais/ubunge, katika kiwango cha eneobunge
(ina majina ya ofisa wa uchaguzi wa eneobunge, majina na idadi ya jumla ya kura za kila
mgombea kura za urais, na idadi ya kura zilizoharibika. Haina ulazima wa wagombea au
mawakala kutia sahihi.
· Fomu 17: Vyeti vya matokeo ya kura ya ubunge (inayotolewa na ofisa wa uchaguzi wa eneo
bunge katika kiwango cha eneobunge ikionyesha jina lake, la chama na kazi ya mgombea
aliyechaguliwa kama mbunge).
Wakati ambapo fomu hizi ni muhimu katika utaratibu wa matokeo, fomu nambari 16 ndiyo
muhimu zaidi, hutayarishwa na kutiwa sahihi na ofisa wa uchaguzi wa eneo bunge katika
kiwango cha eneobunge. Huchukuliwa na Tume ya Uchaguzi (ECK) kuwa kielezo cha
mwisho kabisa cha matokeo ya eneobunge lote. Fomu asilia nambari 16, kwa uchaguzi wa
urais hujumlishwa ili kuamua mshindi wa uchaguzi wa urais. Kisheria, ni ofisa wa uchaguzi
wa eneo bunge pekee anayeweza kufanya mabadiliko yoyote katika fomu nambari 16; hata
Tume ya Uchaguzi (ECK) au makamishna hawawezi kufanya mabadiliko humo, hata wakati
ambapo makosa yanagunduliwa katika kituo cha kitaifa cha kujumlisha na kupatanisha.
Kuhusu uchaguzi wa ubunge, pindi mgombea kura anapoikabidhiwa fomu nambari 17,
anachukuliwa kama aliyechaguliwa kama mbunge. Ubishi wowote utakaotokana nayo,
hauwezi kusuluhishwa hata na Tume ya Uchaguzi (ECK), bali Mahakama ya malalamiko
ya uchaguzi. Kwa hivyo, ofisa wa uchaguzi wa eneo bunge huwa ana mchango mkubwa sana
katika matokeo ya mwisho ya kura ya urais na ubunge.
KIWANGO CHA KITUO CHA KUPIGIA KURA
1. Upigaji kura hasa unafungwa; kuhesabiwa kwa kura zilizosalia; kufunga masanduku ya
kura na kutia alama za usalama; kufunga rejesta iliyotiwa alama, n.k.
2. Ofisa w Uchaguzi msimamizi wa kituo cha kupiga kura anafungua sanduku, akisaidiwa
na makarani, anahesabu kura za kila mgombea kura; anarekodi kura alizopigiwa kila
mgombea kura.
3. Kuhesabiwa kwa sauti kwa kura katika kila kituo na zakila mgombea kura.
Kunakofanywa na afisa wa uchaguzi wa kituo; kutenganisha kati ya kura halali,
zilizokataliwa na zinazobishaniwa.
4. Kushughulikia kuhesabu tena ikiwa kupo; kura zilizokatiliwa n.k na afisa wa uchaguzi
wa kituo cha kupigia kura na mawakala.
5. Afisa wa uchaguzi wa kituo wa kituo cha kupigia kura na mawakala wanatia sahihi fomu
16A (matangazo ya matokeo ya uchaguzi katika kituo cha kupiga kura) ikionyesha jina la
kituo cha kupigia kura, wapiga kura waliosajiliwa, kura halali, idadi ya kura walizopata
wagombea, kura zilizokataliwa, na kura zilizozua ubishi. Fomu hiyo ni kama Fomu 8,
kuhusiana na chaguzi za serikali za wilaya.
6. Ofisa wa uchaguzi wa kituo cha kupiga kura anatangaza matokeo ya kituo cha kupiga
kura; ndiyo ya mwisho, isipokuwa kwa kura zenye ubishi, ambazo ofisa wa uchaguzi wa
eneobunge lazima afahamishwe.
7. Mawakala wanatia sahihi ya kukataa kuyakubali matokeo, ikiwa yapo; wapewe nakala;
ofisa wa uchaguzi wa kituo wa eneobunge anaonyesha matokeo katika lango la kuingilia
kituo cha kuhesabia kura, vifaa vinatiwa katika sanduku la kura, linafungwa na kutiwa
alama za usalama. Anapeleka hati zote kwa ofisa wa uchaguzi wa eneobunge haraka
iwezekanavyo .
KIWANGO CHA ENEO BUNGE:
8. Ofisa wa uchaguzi wa eneobunge anapokea matokeo kutoka vituo vya kupigia kura;
anafungua masanduku ya kura yaliyofungwa na kutia alamaza usalama yaliyotumiwa
kusafirisha vifaa hivyo
9. Ofisa msimamizi wa uchaguzi wa eneobunge, anasoma matokeo kutoka katika vituo vya
kupigia kura kwa sauti, anakagua na kuzitathmini kura zilizobishaniwa, na jumla ya kura
kwa kila mgombea kura bila kuhesabu upya kura zisizobishaniwa.
10. Ofisa wa uchaguzi wa eneobunge anajaza fomu 17A (kura ya urais na ubunge) na fomu 9
(serikali za wilaya).
11. Ofisa msimamizi wa uchaguzi wa eneobunge anatangaza kura halali kwa:
· Wagombea kura ya urais
· Wagombea kura za ubunge na serikali za wilaya (udiwani)
· Anamtangaza mshindi wa kura za ubunge
· Anamtangaza mshindi wa udiwani.
12. Ofisa wa uchaguzi wa eneobunge anapiga simu au anafaksi idadi ya kura kwa kituo cha
kitaifa cha kuhesabu kura, kwa wagombea kura wote wa kura ya urais. Matokeo hayo
bado huwa ni ya muda. Hutolewa katika fomu 16; iliyokamilishwa kwa msingi wa fomu
17A. Nakala za fomu 16, hazitolewi kwa mawakala wowote.
13. Ofisa wa uchaguzi wa eneobunge anaweka tarehe, kutia sahihi fomu nambari 17A
(wapiga kura waliosajiliwa, kura za wagombea katika kila kituo cha kupiga kura; kura
zilizopigwa katika eneobunge). Nakala zake zinaweza zitolewe au zisitolewaanwe kwa
mawakala. Huikamilisha fomu 17 (vyeti vya matokeo ya eneobunge).
14. Huipelekea Tume ya uchaguzi (ECK), fomu zote asilia.
15. Mambo yaliyotambuliwa: Matokeo ya kura ya urais (fomu nambari (16) ni ya muda hadi
yatangazwe na Tume ya uchaguzi (ECK) baada ya kuwasilishwa fomu asilia nambari 16.
Ni ofisa wa uchaguzi wa eneobunge pekee, anayeweza kuyabadilisha na wala sio timu ya
kuhesabu ya kituo cha kitaifa cha kujumlisha kura wala idara ya teknolojia ya habari.
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ECK) alisema kwamba, kamishna wa zamu alikuwa
na uwezo wa kubadilisha matokeo hayo baada ya kuthibitishwa.
16. Maamuzi ya ofisa wa uchaguzi wa eneobunge kuhusu uhalali wa kura ni ya mwisho ila
kwa wakati wa rufaa/malalamiko mahakamani.
Hadi Kiwango cha kitaifa
Kutoka kiwango cha maeneobunge
17. Matokeo ya muda ya kura ya urais yanapokewa kwa njia ya simu au faksi na mojawapo
ya timu za kujumlisha (kila mojapo ikishuglulika na kama maeneobunge 21). Timu hizi
hujaza fomu zilizopigwa chapa na kutayarishwa kwa eneobunge maalum na kuthibitisha
uhalisi wa matokeo kwa kumpigia simu ofisa wa uchaguzi wa eneobunge (je, jambo hili
lilifanyika kila mara).
18. Kiongozi wa Timu anaipeleka fomu hiyo iliyojazwa kwa idara ya teknolojia ya habari,
inayotia data hiyo katika kompyuta na kupiga chapa fomu yenye matokeo ya kura ya
urais yaliyopokelewa kutoka kwa ofisa wa uchaguzi wa eneobunge na kupelekwa had
meza ya kuthibitisha. Mmoja wa makamishna wa Tume ya uchaguzi anatangaza matokeo
ya kura ya urais ya eneobunge hilo kutokana na matokeo ya muda.
· Wakati ambapo ofisa wa uchaguzi wa eneobunge anapofika na fomu asilia nambari 16 (
na hati zinazoambatana nayo), anaonyeshwa fomu yenye matokeo iliyopigwa chapa ( na
mara nyingine yaliotangazwa), anailinganisha na matokeo asili na kuitia sahihi ikiwa
zinafanana kabisa. Hapo huwa ya mwisho kabisa. Ikiwa hazifanani, mkuu wa timu
hufanya marekebisho kwa mkono, makosa katika fomu hiyo. Fomu hiyo kisha
hupelekwa katika idara ya teknolojia ya habari, wanaoingiza data iliyorekebishwa katika
kompyuta na kupiga chapa karatasi mpya ya matokeo, ambayo huthibitishwa na ofisa
msimamizi wa uchaguzi was eneo bunge.
· Hakuna uhakika iwapo matokeo yaliyorekebishwa yalitangazwa hivyo. Idara ya
teknolojia ya habari ilikataa kurekebisha matokeo yaliyofanyiwa marekebisho kwa
madai, matokeo hayawezi kubadilishwa baada ya kutangazwa.
· Kutoelewana wazi kati ya wafanyikazi wa ngazi za juu za Tume ya Uchaguzi (ECK) na
makamishna kuhusu taratibu sahihi katika hali kama hizo; jambo hili linaweza kueleza
baadhi ya matatizo yaliyotambuliwa.
· Mara nyingine, timu za kujumlisha ziliangalia mawasiliano baina ya fomu 16 na fomu
nyingine (17A). Hata hivyo, jambo hili lilikuwa ni la kipekee na wala sio la kawaida.
· Matokeo ya mwisho ya kura ya urais, wakati ambapo fomu zote 210 za 16
zimepokelewa, zimeingizwa na kujumlishwa au wakati ambapo matokeo ya maeneo
bunge yaliyosalia, hayawezi kubadilisha matokeo.
· Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ECK) anajaza fomu no. 18 na kuipeleka kwa
mshindi wa kura ya urais. Wakati ambapo na mahali ambapo rais huyo mpya atalishwa
kiapo cha kuchukua mamlaka.
19. Kuandikwa majina ya waliochaguliwa katika gazeti rasmi la serikali. Tume ya Uchaguzi
(ECK) inamwarifu spika wa Bunge kuhusu matokeo sare ya kura.
20. Malalamiko kuhusu kuhesabu na kujumlisha yaratibiwe kwa Tume ya Uchaguzi (ECK)
katika muda wa masaa 24; kuamrisha hesabu ilimuradi uamuzi wa Tume ya Uchaguzi
(ECK) utafanywa katika muda wa masaa 48 ya kuomba ruhusa hiyo. Wakati ambapo
malalamiko zaidi yanatokea haya yanapaswa kupelekwa katika mahakama ya
malalamiko ya uchaguzi katika muda wa siku 28.
9. MAMBO YALIYOGUNDULIWA
9.1. Muhtasari
Sehemu hii inawasilisha matokeo kutokana na uhakiki uliofanywa kuhusiana na baadhi ya maeneo bunge.
Inaonyesha majedwari ambayo yanaonyesha mkinzano katika matokeo kwenye hatua mbalimbali za
kutengeneza matokeo, na kwenye baadhi ya sehemu, mambo yaliyosababishwa na makosa hayo. Kwa
muhtasari, makosa yafuatayo yalipatikana:
· Makosa ya kuandika matokeo. Matokeo ya wagombea viti katika fomu 16A hayakujazwa kwa namna
sahihi katika fomu 17A. Matokeo ya baadhi ya wagombea viti yamechanganywa na yale ya
wagombea viti wengine. Matokeo ya baadhi yaliongezeka au kupungua, huku mengine yakiwa
hayakujazwa katika fomu 17A. Ingawa makosa haya yalihusu tu idadi ndogo ya wagombea viti, jumla
ya makosa hayo kwenye kiwango cha eneo bunge na cha taifa yangesababisha athari kubwa kama
ilivyo kuhusiana na Kirinyaga Central, Changamwe, Masinga na maeneo mengine kama
ilivyoorodheshwa hapa chini. Kuna visa vingine ambapo wagombea viti wadogo walikuwa na
tarakimu mbili zinazokina katika fomu 16A ile ile.
· Makosa ya mkokoto. Haya ndiyo yaliyokuwa makosa mengi na yaliyopatikana katika maeneo mengi.
Yalitokea katika viwango mbalimbali yaani:
Katika idadi kubwa ya fomu 16A katika vituo vya kupigia kura, jumla ya kura za wagombea viti
haikulingana na idadi ya kura zilizokubalika. Kura hizo zinapasua kulingana.
Katika fomu 17A, kura kutoka na mjumlisha wima kutoka vituo vyote vya kupigia kura ulionyesha
idadi tofauti na tarakimu zilizopatikana na afisa wa uchaguzi katika eneo bunge na wakati jumla zetu
wenyewe zilitofautiana na tarakimu zilizotumwa kituo cha taifa za kumjulisha kura kwenye KICC.
· Tofauti zizoonekana. Kwenye maeneo bunge machache, kulikuwa na tofauti baina ya idadi ya
mwisho ya kura za eneo bunge (jumla yote katika fomu 17A) na tarakimu za fomu 16 ambazo
zilitumwa au kupokelewaKICC. Baadhi yake ziliingia katika matokeo ya mwisho yaliyochapishwa na
ECK.
· Makosa ya mfumo kulikuwa na makosa makubwa na yaliyoonekana katika matokeo ya mwiso
yaliyochapishwa na ECK, kuhusiana, tarakimu zilizotolewa kama kura halali jumla ya kura zilizopigwa
na asilimia ya waliopiga kura. Kwa mfano kujumlisha kura za wagombea viti wote kunapaswa
kuonyesha jumla ya kura halali. Jambo hili likifanywa kwa mkono, kura zinatofautiana na tarakimu
zinazoonyeshwa kama kura halali katika matokeo ya ECK. Jambo hili linabadilisha kura zilizopigwa
na idadi ya waliopiga kura. Hali hii iligunduliwa katika idadi kubwa ya maeneo bunge katika matokeo
ya ECK. Inaonyesha kutokuwa na mfumo wa kujitadhimini katika njia iliyotumiwa kuhifadhi na
kuchapa matokeo y mwiso.
Visa Kura kuachwa bila kuandikwa. Kwa mfano, matokeo ya wagombea viti katika fomu 16A ambazo
hazikuandikwa katika fomu 17A au kura zilizokaliwa ambazo zimeandikwa katika fomu 16A nyingi
zikiwa hazika katika matokeo ya mwisho. Kwa mfano, matokeo ya ECK yanaonyesha Changamwe na
Wajir North zikiwa hazina kura zozote zilizokataliwa, jambo ambalo kwa hakika haliwezekani.
Kuchunguza fomu 16A kuhusiana na maeneo bunge haya kunaonyesha idadi kubwa ya kura
zilizokataliwa katika 16A lakini sio katika matokeo ya mwisho.
Inapasa takwimu zilizomo hapa chini zisomwe pamoja na karatasi zilizotumiwa kufikia takwimu ili mtu
aone maoni yaliyotolewa kuhusiana na kila kisa na fomu chache za 16A ambazo zilikuwa zinakosekana
na ambazo ECKilitupatia.
9.2. Kirinyaga Central
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 090 Kirinyaga Central
Kujumlisha Matokeo rasmi Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti
kwetu yaliyochapishwa mwisho ya tarakimu
wenyewe ya ECK yaliyosahihishwa katika 17A
kwa matokeo na ECK bila tofauti
ya fomu 16 ya data
na jumal iliyoandikwa
sahihi
A B C D B-A
Wagombea Urais
Kibaki Mwai 55,097 52,866 54,219 (2,231)
Kukubo Nixon 8 8 8 -
Matiba Kenneth 10 9 9 (1)
Musyoka Stephen 59 53 57 (6)
Mwangi Pius 36 37 40 1
Ngacha Joseph 150 130 133 (20)
Ngethe David 13 2 13 (11)
Odinga Raila 601 580 595 (21)
Rajput Nazlin 4 3 3 (1)
Jumla ya kura halali 55,978 55,061 53,688 55,077 (2,290)
Kura zilizokataliwa 319 319 319 318 -
Jumla ya kura zilizopigwa 56,297 55,380 54,007 55,395 (2,290)
Waliopiga kura 81.73% 80.40% 78.41% 80.42% -3.32%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK.
Fahamu: Haiwezekani kulinganisha na tarakimu za fomu 16 kwa vile kuna fomu
16 mbili zenye tarakimu tofauti.
Mambo yaliyogunduliwa:
· Tofauti kuu baina ya idadi yetu na tangazo la mwisho.
· Kuna fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wa uchaguzi.
· Kuna nambari zilizotiwa katika fomu 17A kwa namna isiyofaa.
· Kujumlisha kuliko na makosa kwa kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK kunakosababisha mambo
yafuatayo:
b. idadi ya kura halali iliyotolewa na ECK si sahihi. Idadi ya kura zote zilizopatikana na wagombea viti tisa ni
53,688, sio 55,061 kama ilivyotolewa na ECK. Pamoja na kura zilizokataliwa 319, idadi mya* ni 54,007 (sio
55,380 kama ilivyotolewa na ECK) na Jumla ya waliopiga kura ni 78% (sio 80.4% kama ilivyotolewa na ECK)
Jambo hili linapunguza pengo la ECK baina ya chaguzi mbili kutoka kura zaidi za rais 10,934 (au asilimia 15.87 ya
waliopiga kura) hadi kura zaidi za bunge 3,579 (au asilimia 5.2 za waliopiga kura.
Uchaguzi wa Bunge
Uchambuzi wa Kirinyaga Central
Jumla ya watu Matokeo katika Matokeo ya Matokeo ya Tofauti
wenyewe ya fomu 17A na 16 mwisho ya ECK mwisho
matokeo ya fomu yaliyorekebishwa
16A
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Abubakar Hasaia I. 214 219 219 5
Gatimu Pauline W. 353 536 536 183
Gichuki Evan M. 126 126 126 -
Giture Eric K. 479 474 474 (5)
Kagondu Andrew M. 621 226 226 (395)
Kaponda D. 379 372 372 (7)
Dickson Daniel Karaba 17,270 17,151 17,151 (119)
Karimi Dishon K. 354 336 336 (18)
Thomas Raymond K. 326 309 309 (17)
Kariuki John Ngata (Mshindi ECK) 17,268 17,219 17,219 (49)
Keriri John M. 4,537 7,298 7,298 2,761
Kinyua Edwin M. 9,597 9,239 9,239 (358)
Mbui Nicholas K. 1,078 948 948 (130)
Mwangi Lawrence R. 206 199 199 (7)
Mwaniki Henry M.J. 1,918 1,855 1,855 (63)
Njeru Samuel K. 208 257 257 49
Njiru James N. 305 309 309 4
Njogu Richard M. 31 24 21 (7)
Jumla ya kura halali 55,270 54,688* 43,957 57,097
Kura zilizokataliwa 512 489 489 489
Jumla ya kura zilizopigwa 55,782 54,199* 44,446 57,586
Waliopiga kura 80.99% 64.53% 83.61%
Chanzo: nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Idadi iliyopatikana moja kwa moja kutoka fomu 17A. Kujumlisha kura za wagombea viti wote inaleta kura
halali 57,586 kama ilivyo katika D
Mambo yaliyogunduliwa
· Tofauti kuu baina ya kujumlisha kwetu na matangazo ya mwisho.
· Kujumulisha kulio na makosa kuhusu kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK.
· Kuna fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wakuu wa uchaguzi.
Mambo Muhimu yaliyogunduliwa:
Takwimu zetu na kujumulisha kura kutoka fomu 16A za vituo vyote vya kupigia kura zinaonyesha kwamba mshindi
aliyetangazwa hakuwa ameshinda. Kulingana na ECK/RO mshindi alikuwa Kariuki John Ngata akiwa na kura 17,219
zikilinganishwa na kura 17,151 za Dickson Karaba. Kujumulisha kwetu kunaonyesha kura za Dickson Daniel Karaba
zikiwa 17,270 na za Kariuki John Ngata zikiwa 17,268. Jambo hili linaleta hali ya kinyume na tangazo la mshindi wa
kiti cha bunge.
8.3. Kajiado North
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 144 Kajiado North
Jumla za watu Matokeo katika Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
wenyewe fomu 17A mwisho rasmi jumla za 17A na
matokeo ya ya ECK matokeo ya
fomu 16A mwisho ya ECK
A B C D C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 49,055 49,038 49,038 (17)
Kukubo Nixon 1 1 1 -
Matiba Kenneth 12 97 97 85
Musyoka Stephen 3,260 3,644 3,664 404
Mwangi Pius 55 68 68 13
Ngacha Joseph 127 131 131 4
Ngethe David 11 10 10 (1)
Odinga Raila 28,921 25,330 25,330 (3,591)
Rajput Nazlin 30 32 32 2
Jumla ya kura halali 81,472 81,485 78,351 78,371
Kura zilizokataliwa 758 1,550 1,550
Jumla ya kura zilizopigwa 82,243 79,901 79,921
Waliopiga Kura 76.58% 74.4% 74.42%
Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK
Fahamu: Idadi katika, matokeo ya mwisho ya ECK si sahihi, idadi sahihi imo katika D
.. inamaanisha nambari haikutolewa katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Tofauti baina ya idadi yetu na tangazo la mwisho
· Idadi yenye makosa ya kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK
· Fomu ya moja haikuwa katika faili tuliyopatiwa na ECK, matokeo ya fomu hiyo pia hayakuwemo
katika fomu 17A
Uchaguzi wa Bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge Kajiado North
Jumla ya kura ya Matokeo katika Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
watu wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya jumla ya kura
ya matokeo ya ECK katika 17A na
form 16A matokeo ya
mwisho ya ECK
A B C D C-A
Uchaguzi wa bunge
Abincha Mogambi Harrison 57 60 141 84
Gitau Francis Parsimei 320 331 528 208
Gitonga Eric Maurice 193 190 274 81
Kerina Hellen Mokune 59 63 63 4
Kinyanjui Solomon 1,145 1,133 152 (993)
Mahinda Gerald Wamwangi 177 156 14 (163)
Mbuchi Wanjiru Judy 19 29 6 (13)
Murunga Mathew 33 38 2 (31)
Ngossorr Soila Florence 87 87 8 (79)
Otieno Wambui 156 145 22 (134)
Saitoti George 46,850 46,591 40,376 (6,474)
Sakuda Moses Ole Somaine 31,942 31,376 21,642 (10,300)
Sane Ole Saroni 246 259 10 (236)
Oleseki Oliver Lemachon 116 132 26 (90)
Wambui Julius 156 154 22 (134)
Jumla ya kura halali 81,556 80,744 63,273 63,286 ..
Kura zilizokataliwa .. 2,917 2,917 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. 66,190 66,203 ..
Waliopiga Kura .. 61.64% 61.65% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK
Fahamu: Jumla katika matokeo ya mwisho ya ECK yana kasoro, idadi sahihi imo katika D.
.. inamaanisha kwamba namba haikuwemo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Tofauti kubwa baina ya kujumlisha kwetu, namba zilizomo katika 17A na tangazo la mwisho.
· Kujumlisha kuliko na makosa kwa kura halali katika matokeo ya mwisho ya ECK.
8.4. Kaloleni
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 017 Kaloleni
Jumla ya watu Matokeo katika Matokeo ya Tofauti
wenyewe za fomu 17A mwisho rasmi
fomu 16A ya ECK
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 16,816 16,879 16,879 63
Kukubo Nixon 68 64 64 (4)
Matiba Kenneth 73 68 65 (8)
Musyoka Stephen 1,537 1,535 1,535 (2)
Mwangi Pius 140 136 136 (4)
Ngacha Joseph 89 71 71 (18)
Ngethe David 65 62 62 (3)
Odinga Raila 21,748 21,716 21,716 (32)
Rajput Nazlin 50 50 50 -
Jumla ya kura halali 40,586 40,581 40,581 (5)
Kura zilizokataliwa 657 650 650 (7)
Jumla ya kura zilizopigwa 41,243 41.231 41,231 (12)
Waliopiga Kura 48.45% 48.43% 48.43% -0.01%
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Kuna fomu 16A zilizo na jina la afisi wa uchaguzi Yuleyule zinazoonekana kuwa na sahihi tofauti.
· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisi ya uchaguzi.
· Tofauti ndogondogo baina ya kujumlisha, nambari zilizomo katika fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 017 Kaloleni
Jumla za watu Matokeo katika Matokeo ya Tofauti
wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya
matokeo ya ECK
fomu 16A
A B C C-A
Uchaguzi wa bunge
James Rophus Baya 724 496 (228)
Bemwacbaya Japhet Kanyume 307 139 (168)
Kenga Emanuel Chengo 117 72 (45)
Chome Onesmus Habel 429 342 (87)
Dzoro Morris Mwachondo 2,721 1,916 (805)
Fondo James Kitsao 167 115 (52)
Chea Mwinga Gunga 1,984 1,683 (301)
Jangaa Simon Chagga 407 350 (57)
Kambi Samuel Kazungu 13,276 7,441 (5,835)
Katama Gideon Mwambaji 175 135 (40)
Kenga Michael Mure 6,773 6,410 (363)
Kulumba Betty Wavinya 132 77 (55)
Luganje Esther bahati 164 1,640 1,476
Malanga Alice Mbetsa 71 46 (25)
Maneno Betty Kabibi James 739 571 (168)
Mangi Raymond Furaha 547 387 (160)
Kamto Kenneth Mwakombo 861 430 (431)
Mwamkale William Kamoti 6,844 3,685 (3,159)
Mwamure bakari toya 718 475 (243)
Mwarandu Ferdinand Katana C 530 322 (208)
Mwaringa Beatrice Mwaka 239 135 (104)
Ngala Jimmy F C 1,506 1,100 (406)
Hassan Nuru Lula 88 34 (54)
Watsuma Anderson Chibule 520 265 (255)
Jumla ya kura halali 40,039 28,266 (11,773)
Kura zilizokataliwa 474 474 ..
Jumla ya kura zilizopigwa 50,513 28,740 ..
Waliopiga Kura 47.59% 33.76% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK
Fahamu: Fomu 17A haieleweki vizuri ili kuwezesha kusomeka kuzuri kwa matokeo ya wagombea viti.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisa wa uchaguzi.
· Fomu 16A moja ina majina ya watu ambao hawamo katika orodha ya ECK ya wagombea viti.
· Baadhi ya wagombea viti wana matokeo tofauti katika fomu 16A ileile.
· Tofauti kubwa baina ya jumla yetu, fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.
8.5 Limuru
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 104 Limuru
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 48,302 48,389 48,389 87
Kukubo Nixon 7 6 6 (1)
Matiba Kenneth 11 10 10 (1)
Musyoka Stephen 443 439 439 (4)
Mwangi Pius 14 15 15 1
Ngacha Joseph 129 123 123 (6)
Ngethe David 11 13 13 2
Odinga Raila 2,988 2,934 2,934 (54)
Rajput Nazlin 10 11 11 1
Jumla ya kura halali 51,915 51,940 51,940 25
Kura zilizokataliwa 411 403 403 (8)
Jumla ya kura zilizopigwa 52,326 52,343 52,343 17
Waliopiga Kura 79.56% 79.58% 79.58% 0.03%
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Fomu 16A moja haikujazwa katika fomu 17A
· Fomu 16A haikutiwa sahihi na afisi wa uchaguzi.
· Fomu 16A ya 040 haikutiwa sahihi na RO.
· Matokeo ya mwisho ya form 16 ya wagombea viti wote yameongezeka isipokuwa kwa Odinga Raila ambapo
yamepungua kwa 3,144 (matokeo ya muda) hadi 2,934 (matokeo ya mwisho)
· Tofauti ya kiwango kikubwa baina ya idadi yetu,fomu takwimu za 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 104 Limuru
Kujumlisha Matokeo katika Matokeo ya Jumlisha sahihi Tofauti
kwetu wenyewe fomu 17A mwisho rasmi ya za matokeo ya
kwa matokeo ya ECK Limuru
fomu 16A
A B C C-A
Wagombea viti vya bunge
Chege John Kiragu 7,342 7,028 6,371 (971)
Kamau Keneth Chege 1,398 1,317 1,248 (150)
Kamau Mwaniki Charles 8,957 8,470 8,325 (632)
Kariuki George Njoroge 837 813 759 (78)
Kariuki Joram Gathini 166 156 132 (34)
Kimani Joseph Munyaka 250 3,077 212 (38)
Kiratu Christopher D.M. 212 186 178 (34)
Kuria Simon Kanyingi 3,337 3,118 2,810 (527)
Maara George Jonathan 5,897 5,671 4,021 (1,876)
Mbugua Mercy Muthoni 286 289 266 (20)
Mburu George Mwaura 145 684 655 510
Mirie George Ndungu 414 423 388 (26)
Mwathi Peter Mungai 14,924 14,543 13,552 (1,372)
Mwaura Esther Wanjiku 565 609 533 (32)
Ngugi Job Kariu 151 150 125 (26)
Njonjo Apollo Luciano 2,044 2,085 1,428 (616)
Njoroge James Mingi 74 60 44 (30)
Nyanja George Boniface N M 2,458 2,555 2,406 (52)
Paul John Njoroge 1,714 1,724 1,115 (599)
Thuku Peter Kimani 135 420 111 (24)
Waweru Samuel Chege 61 60 53 (8)
Jumla ya kura halali 51,367 53,438 44,078 44,732 (7,289)
Kura zilizokataliwa 571 691 691 ..
Jumla ya kura zilizopigwa 54,009 44,769 45,423 ..
Waliopiga Kura 82.12% 68.07% 69.06% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A; ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Kujazwa zaidi ya mara kwa kura za baadhi ya wagombea kitu katika baadhi ya vituo vya kupigia kura.
· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na maafisa wa uchunguzi
· Matokeo ya Njoroge Paul John yanaoonyeshwa kama 1,724 katika fomu 17A lakini zinaoonyeshwa kama 7,028
katika fomu 16 kisha kama 1,115 katika matokeo ya mwisho ya ECK.
· Matokeo ya Kimani Joseph Munyuka yameonyeshwa kama 3,077 katika fomu 17A na fomu 16, kasha kama
212 katika matokeo ya mwisho ya ECK.
· Katika barua kwa ECK ya tarehe 27 Disemba 2007 afisa mkuu wa uchaguzi katika eneo bunge ameandika
kwamba wakati walipokuwa wanakusanya data kwa minajili ya matokeo ya bunge hakuna wakala walikuwepo
ili kutia sahihi fomu 17.
Ingewezekana kwa hata mmoja miongoni mwa wagombea viti bunge 21 au mawakala kutokuwepo siku ya
mchaguzi?
Matokeo ya mwisho ya ECK hayalingani kamwe na yale yaliyomo katika fomu 16 ya tarehe 28 Disemba 2007.
Kile ambacho kimechapishwa kama matokeo ya mwisho ya ECK ni matokeo ya muda yaliyopokelewa 28
Disemba 2007 na kuthibitishwa na afisa mkuu wa uchaguzi katika eneo bunge tarehe 29 Disemba 2007.
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 182 Bondo
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi ya matokeo
wenyewe kwa 17A ya ECK ya mwisho ya
matokeo ya ECK
form 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 156 148 148 (8)
Kukubo Nixon 1 1 1
Matiba Kenneth 2 3 3 1
Musyoka Stephen 9 7 7 (2)
Mwangi Pius 4 5 5 1
Ngacha Joseph - -
Ngethe David 5 4 4 (1)
Odinga Raila 56,022 53,202 53,202 (2,820)
Rajput Nazlin 15 16 16 1
Jumla ya kura halali 56,214 54,026 53,173 53,386 (3,041)
Kura zilizokataliwa 110 109 109
Jumla ya kura zilizopigwa 56,214 54,136 53,282 53,495
Waliopiga Kura 90.16% 86.82% 85.45% 85.80%
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
Fahamu: idadi ya ECK ya kura halali si sahihi. Idadi sahihi iko katika safu ya tarakimu D.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya matokeo ya fomu 16A ya vituo vya kupigia kura zimeandikwa vibaya katika fomu 17A.
· Baadhi ya fomu 16 hazijatiwa sahihi na afisa mkuu wa uchaguzi katika kituu cha kupigia kura.
· Baadhi ya vituo vya kupigia kura vilipata asilimia ya wapiga kura 98. Kimojawapo cha kituo kina 100%
· Kupunguzwa kura/tofauti kubwa baina kujumlisha kwetu wenyewe na matokeo ya mwisho ya ECK, kwa
Odinga Raila.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 182 Bondo
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Mgombea kiti cha bunge
Agunga Alfred Nyandimo 740 320 321 (419)
Oginga Dr. Oburu 49,511 45,270 45,270 (4,241)
Ogola Gideon Ochanda 7,610 6,811 6,741 (869)
Jumla ya kura halali 52,218 52,218 52,332 114
Kura zilizokataliwa .. 225 342 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. 52,443 52,674 ..
Waliopiga Kura .. 84.11 84.48% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
inamaanisha tarakimu ambazo hazimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi fomu 16A hazimo kwenye faili. Matokeo yanapatikana kutoka fomu 17A makosa ya maandishi na
kuhesabu katika fomu 17A 100.05% ya kura halali kwa mgombea kiti aliyeshinda.
· Baadhi ya matokeo ya fomu 16A yameandikwa vibaya katika fomu 17A.
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 203 Bamachoge
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 26,176 26,967 26,967 791
Kukubo Nixon 35 - - (35)
Matiba Kenneth 46 19 19 (27)
Musyoka Stephen 224 177 177 (47)
Mwangi Pius 38 52 52 14
Ngacha Joseph 348 312 312 (36)
Ngethe David 57 83 83 26
Odinga Raila 20,043 18,070 18,070 (1,973)
Rajput Nazlin 33 45 45 12
Jumla ya kura halali 47,000 45,725 45,725
Kura zilizokataliwa .. - 3
Jumla ya kura zilizopigwa .. 45,725 45,728
Waliopiga Kura .. 64.78% 64.78%
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
.. inamaanisha tarakimu ambayo haikuonyeshwa katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Matokeo yanayofanana katika shule mbili za msingi za Amatagaro.
· Baadhi ya fomu 16A ambazo hazikutiwa sahihi na mkuu wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.
Uchaguzi ya bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 203 Bomachoge
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi matokeo ya
wenyewe kwa 17A ya ECK mwisho ya
matokeo ya ECK
form 16A
A B C C-A
Wagombea kiti cha bunge
Atati William Moturi 261 215 215 (46)
Michoti David Mogendi 308 337 337 29
Migiro Samuel Ongori 756 581 581 (175)
Omamba Ben Mogaka 282 299 299 17
Mogeni Samuel Osoro 497 539 539 42
Peter Jim Momanyi 326 316 316 (10)
Mwema Nathan Onkundi Ogesare 80 139 139 59
Nyakora Musa Ondara 413 309 309 (104)
Nyameyio Samson Nyakweba 470 262 262 (208)
Nyamwamu Cyprian Orina 3,397 1,084 1,084 (2,313)
Oigara Cedius N. Nyachwati 354 191 191 (163)
Nyangwara Zaphaniah Moraro 7,231 5,746 5,746 (1,485)
Nyaudi Albert Mbaka 7,159 7,133 7,133 (26)
Obondi Lugard Mogusu 464 442 442 (22)
Obure Ferdinand Ondabu 1,694 824 824 (870)
Nyaudi Simon Ongari 6,219 7,221 7,221 1,002
Oirere Bororo Onyimbo Naftal 747 704 704 (43)
Omagwa Zacharius Nyangena 89 93 93 4
Omboga Johnson Ondego 288 261 261 (27)
Omwemo James Ombasa 499 339 339 (160)
Ondabu Jason 200 308 308 108
Ontiri Machana Mokua 149 165 165 16
Onukoh Paul Nyabere 412 318 308 (104)
Omagwa Joel Onyancha 13,277 9,076 9,076 (4,201)
Koina Onyancha 581 242 242 (339)
Oseko Isaac Mbaka 776 621 621 (155)
Masea Arnold Benson Ototo 402 266 266 (136)
Siagi Moses Nyandieka 438 450 450 12
Jumla ya kura halali .. .. 38,481 38,471 ..
Kura zilizokataliwa .. .. 3 3 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 38,484 38,474 ..
Waliopiga Kura 54.52% 54.50% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia.
Fahamu: idadi katika matokeo ya ECK si sahihi, idadi sahihi imo katika safu ya tarakimu D.
8.8 Juja
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 100 Juja
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A na 16 ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 101,003 100,390 100,390 (613)
Kukubo Nixon 16 35 35 19
Matiba Kenneth 47 67 67 20
Musyoka Stephen 4,986 4,409 4,409 (577)
Mwangi Pius 92 80 80 (12)
Ngacha Joseph 257 219 219 (38)
Ngethe David 21 61 61 40
Odinga Raila 13,948 13,752 13,752 (196)
Rajput Nazlin 48 37 37 (11)
Jumla ya kura halali 120,418 119,050 119,050 (1,368)
Kura zilizokataliwa .. 914 914
Jumla ya kura zilizopigwa .. 119,964 119,964
Waliopiga Kura .. 73.30% 73.30%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Fahamu: Haiwezekanai kulinganisha na tarakimu za fomu 16 kwa vile kuna fomu 16 mbili zenye tarakimu tofauti.
.. inamaanisha tarakimu ambayo haimo katika hati asilia.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A ambazo hazijatiwa sahihi na maafisa wakuu wa vituo vya kupigia kura.
· Fomu 16A chache zenye sahihi zinazotofautiana zilizotiwa sahihi na afisa mkuu wa kituo cha kupigia kura.
· Baadhi ya maafisa wakuu wa vituo vya kupigia kura wanaonyesha majina na habari za wapiga kura
walioruhusiwa kupiga kura kutoka Black Book na rejista ambamo majina yanatokea zaid ya mara moja.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 100 Juja
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A na 16 ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Mgombea kiti cha bunge
Enos David Nzioka 2,813 2,653 2,653 (160)
Gathua Eunice Gathigia 1,032 832 832 (200)
Gitau William Kabogo 34,114 32,987 32,987 (1,127)
Githaiga Dick Maina 2,649 2,621 2,621 (28)
Kimamia Beatrice Wairimo 277 268 268 (9)
Kiama Peter Wangai 287 272 272 (15)
Kibugu Agness Wangui 1,029 973 973 (56)
Kihara Freddie Kirima 430 472 472 42
Kirika Mary Wanjiru Mwaniki 661 661 661 -
Moreka David Nyamache 7,651 7,410 7,410 (241)
Ndabi Stephen Ndichu 2,964 2,924 2,924 (40)
Ng ang a Alice Wambui 9,541 9,252 9,252 (289)
Thuo George 55,728 52,321 52,321 (3,407)
Jumla ya kura halali 119,176 113,646 113,646 (5,530)
Kura zilizokataliwa .. 1,162 1,162
Jumla ya kura zilizopigwa .. 114,808 114,808
Waliopiga Kura .. 70.15% 70.15%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
.. inamaanisha hakuna tarakimu iliwoandikwa katika hati asilia.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16Ahazimo katika faili tarakimu zilipatikana katika fomu 17A.
· Idadi kubwa ya fomu 16A hazijaandikwa katika fomu 17A.
· Fomu 16A zenye afisa mkuu ni mmoja wa kituo cha kupigia kura lakini sahihi tofauti.
8.9 Molo
Uchaguzi wa urais
Uchambuzi wa uchaguzi wa urais wa 138 Molo
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi matokeo ya
wenyewe wa 17A ya ECK mwisho ya
matokeo ya ECK
form 16A na
idadi sahihi
A B C D C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 75,314 75,611 75,261 (53)
Kukubo Nixon 12 11 12
Matiba Kenneth 44 45 46 2
Musyoka Stephen 263 264 222 (41)
Mwangi Pius 38 35 19 (19)
Ngacha Joseph 303 294 266 (37)
Ngethe David 43 42 34 (9)
Odinga Raila 22,510 22,580 23,268 758
Rajput Nazlin 18 15 12 (6)
Jumla ya kura halali 98,545 98,897 99,143 99,140 598
Kura zilizokataliwa .. 1,016 923 923 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. 99,913 100,066 100,063 ..
Waliopiga Kura .. 79.07% 79.19% 79.19% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16 za ECK
.. inamaanisha tarakimu ambazo hazimo katika hati asilia
Fahamu: Tarakimu ya ECK ya kura halali si sahihi, idadi sahihi imo katika safu tarakimu D.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa Uchaguzi wa bungewa 138 Molo
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea kiti cha bunge
Ayub Jesse Mwaniki 243 302 59
Gaithya Simon Ndungu 448 545 97
Philip Nduhiu Githambo 164 191 27
Karanja Kabage 4,605 5,436 831
Joyce Njoki Karimi 131 175 44
Kiarie Stephen Karanja 153 175 22
Kimani Joseph Kamau 228 271 43
Kinyanjui Johnson Mwamba 551 868 317
Manini George Githua 161 247 86
Mukiri Macharia 601 764 163
John Njenga Mungai 6,865 10,340 3,475
Njogu James Mwangi 780 718 (62)
Kiuna Joseph Nganga 43,243 54,057 10,814
Dickson Ngigi Ngugi 113 123 10
Njeri Mary Kulankash 80 95 15
Wambui Florence Njoroge 99 118 19
Karanja Njoroge Mungai 350 513 163
Njoroge Philip Thuo 48 84 36
Njunga Michael 214 348 134
Sang Peter Kipngetich 17,885 18,603 718
Maina Stephen Thuo 59 84 25
Tonui Samwel Kipkemoi 171 666 495
Jumla ya kura halali 77,192 .. 94,725 17,533
Kura zilizokataliwa .. .. 1,242
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 95,967
Waliopiga Kura ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A na 17 za ECK
Fahamu: Tarakimu sahihi ya kura halali katika safu C ni 94, 723 ikifanya jumla ya kura zilizopigwa kuwa 95,965.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili, haziwezi kusomwa katika 17A kwa sababu faila haina fomu 17A, jambo
ambalo halijatolewa maelezo na afisa wa uchaguzi wa eneo bunge.
· Baadhi ya fomu 16A hazijatiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa vituo vya kupigia kura.
· Baadhi ya fomu 16A zinaonekana hazijakamilika kwa sababu hazina na baadhi ya wagombea uchaguzi.
8.10 Maragwa
Uchaguzi wa Rais
Uchambuzi wa Uchaguzi wa Rais wa 095 Maragwa
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A
wenyewe wa 17A & 16 ya ECL na matokeo
matokeo ya ya mwisho ya
form 16A na ECK
idadi sahihi
A B C D C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 56,429 56,439 56,439 10
Kukubo Nixon 15 15 15 -
Matiba Kenneth 26 25 25 (1)
Musyoka Stephen 577 564 564 (13)
Mwangi Pius 28 29 29 1
Ngacha Joseph 205 198 198 (7)
Ngethe David 10 10 10 -
Odinga Raila 471 460 460 (11)
Rajput Nazlin 13 14 14 1
Jumla ya kura halali 57,774 59,795 59,795 57,754 2,021
Kura zilizokataliwa .. 322 322 322
Jumla ya kura zilizopigwa .. 60,117 60,117 58,076
Waliopiga Kura .. 85.24% 85.24% 82.35%
Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Fomu 16A ambayo haijatiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura lakini iliyotiwa sahihi na
naibu wake.
· Fomu 16A yenye sahihi tofauti lakini matokeo yaleyale.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 095 Maragwa
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea kiti cha bunge
Elias Peter Mbau 18,355 18,266 18,266 (89)
Gituabiah Paul 613 623 623 10
Kariuki Maina John 4,915 5,036 5,036 121
Kimani Mathew Mwangi 2,244 2,194 2,194 (50)
Kioi Mark Kamande 803 756 756 (47)
Macharia Francis Gachihi 2,481 2,345 2,345 (136)
Maluki Mohammed Omari 187 3,553 3,553 3,366
Mwangi Peter Kamande 16,806 16,531 16,531 (275)
Mwaura John B Kirore 1,439 1,458 1,458 19
Mwirigi Maurice Njuguna 811 798 798 (13)
Nganga Samwel Kamunu 392 403 403 11
Ngugi Martin Njuguna 307 272 272 (35)
Ngwiri Simon W. Kimani 225 200 200 (25)
Njue John Muguini 187 158 158 (29)
Wainaina Peterson 357 349 349 (8)
Watailor Stephen N. Kinuthia 6,335 5,221 5,221 (1,114)
Jumla ya kura halali 56,457 58,163 58,163 ..
Kura zilizokataliwa .. 736 736 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. 58,899 58,899 ..
Waliopiga Kura .. 83.52% 83.52% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A ya ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A zilitiwa sahihi na naibu wa afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.
· Baadhi ya fomu 16A hazina katika faili lakini tarakimu zilisomwa katika fomu 17A.
8.11 North Imenti
Uchaguzi wa Rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa Rais katika 051 North Imenti
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
form 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 89,691 84,006 78,684 (11,007)
Kukubo Nixon 22 20 18 (4)
Matiba Kenneth 46 45 37 (9)
Musyoka Stephen 821 460 802 (19)
Mwangi Pius 115 113 107 (8)
Ngacha Joseph 301 245 476 175
Ngethe David 60 26 16 (44)
Odinga Raila 3,617 3,300 3,370 (247)
Rajput Nazlin 30 52 25 (5)
Jumla ya kura halali 94,703 88,267 83,535
Kura zilizokataliwa .. .. 653
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 84,188
Waliopiga Kura .. .. 67.92%
Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo kwenye faili na fomu 17A zinaonyesha kwamba majina ya maeneo bunge
yameandikwa lakini matokeo hayakujazwa humo. Ni wazi katika fomu 17A.
· Baadhi ya fomu 16 hazikutiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura.
· Fomu 16A mibli zenye matokeo sawa (katika 054 Gikumene Primary school)
· Matatizo katika tarakimu za kituo cha kupigwa kura cha 135 Njuri Ncheke stree katika fomu 17A.
· Kujumulisha sahihi kwa matokeo ya wagombea viti kutoka vituo vya kupigia kura kunaonyesha idadi tofauti
katika fomu 17A kama ifuatavyo
· Jumla ya kura halali inakuwa 89,438.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge wa 051 North Imenti
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi ya jumla za
wenyewe wa 17A & 16 ya ECK matokeo ya
matokeo ya mwisho ya
fomu 16A na ECK
idadi sahihi
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Akandi Fredrick Kiogora 1,785 1,252 (533)
Angaine John Mugambi 11,235 9,266 (1,969)
Gichuru Francis Xaxier 1,157 1,008 (149)
Kiogora Abonyai Mutuerandu 3,407 3,770 363
Marete Isaac Kinoti 264 596 332
Mbeeria Jeremiah baariu 1,353 1,219 (134)
Mbuba Peter Rwanda 449 526 77
Meenye Gideon Kaumbuthu 9,531 8,275 (1,256)
Mugah Paul Murungah 1,119 975 (144)
Muthamia Morris morgan 1,028 706 (322)
Mwiraria Daudi 22,867 20,422 (2,445)
Mburugu Ephriam mwirigi 766 574 (192)
Ringera Karambu Lillian 2,073 1,758 (315)
Ringera Stephen Kirimi 2,066 1,758 (308)
Ruteere Silas Muriuki 33,444 30,603 (2,841)
Terah Flora Igoki 1,469 720 (749)
Jumla ya kura halali 94,013 .. 83,364 83,428 ..
Kura zilizokataliwa .. .. 794 794 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 84,158 84,222 ..
Waliopiga Kura .. .. 67.90% 67.95% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK
Fahamu: kujumlisha katika matokeo ya mwisho ya ECK sio sahihi, idadi sahihi imo katika safu D.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na fomu 17A zinaonyesha majina ya vituo vya kupigia kura zipo lakini
matokeo hayakuandikwa.
· Matokeo yanayofanan a katika sehemu za A na C za 011 Madaraka primary schoo.
Wajir North
Uchaguzi wa Rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais wa 034 Wajir North
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
fomu 16A idadi
sahihi
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 5,084 5,244 5244 160
Kukubo Nixon 5 5 5 -
Matiba Kenneth 6 5 7 1
Musyoka Stephen 30 29 29 (1)
Mwangi Pius 4 3 3 (1)
Ngacha Joseph 6 6 6 -
Ngethe David 4 4 4 -
Odinga Raila 5,166 4,988 4988 (178)
Rajput Nazlin 6 5 6 -
Jumla ya kura halali 10,312 10.289 10,292 (20)
Kura zilizokataliwa 35 28 -
Jumla ya kura zilizopigwa 10,347 10,317 10,292
Waliopiga Kura 72.99% 72.78% 72.60%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Ni mambo machache yaliyogunduliwa,isipokuwa kuhesabu kwetu kunaonyesha kura 35 zilizokataliwa,28
zikiwa zimeonyeshwa katika fomu 17A, lakini matokeo ya mwisho hayaonyeshi kura zozote zilizokataliwa.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa bunge wa 034 Wajir North
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17a ya ECK
matokeo ya
fomu 16A
A B C C-A
Mgombea Kiti Cha bunge
Abdullahi Ibrahim Abdi 147 147 147 -
Ahmed Maalim Omar 877 877 877 -
Ali Abdi Hussein 1,933 1,933 1,933 -
Ali Abdullahi Ibrahim 3,675 3,675 3,675 -
Mohammed Hussein Gabbow 3,675 3,675 3,675 -
Omar Hassan Elmi 7 7 7 -
Jumla ya kura halali 10,314 10,314 10,314 -
Kura zilizokataliwa 32 33 -
Jumla ya kura zilizopigwa 10,346 10,347 10,314
Waliopiga Kura 72.98% 72.99% 72.76%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Ni mambo machache yaliyogunduliwa, isipokuwa kuhesabu kwetu kulionyesha kura 5 zilizokataliwa ambazo
hazijaonyeshwa katika matokeo ya mwisho. Kura hizi hazingeelezwa baadaye kama kura zilizokataliwa kwani
idadi ya kura zilizokataliwa iliongezeka kutoka 32 hadi 33 pekee.
8.13 Kieni
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 082 Kieni
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
fomu 16A idadi
sahihi
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 72,354 72,054 72,054 (300)
Kukubo Nixon 9 6 6 (3)
Matiba Kenneth 13 12 12 (1)
Musyoka Stephen 62 58 58 (4)
Mwangi Pius 26 25 25 (1)
Ngacha Joseph 153 150 150 (3)
Ngethe David 7 5 5 (2)
Odinga Raila 612 580 580 (32)
Rajput Nazlin 6 6 6 -
Jumla ya kura halali 73.242 72,197 72,896 (346)
Kura zilizokataliwa .. 161 161 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. 72.358 73,057 ..
Waliopiga Kura .. 85.44% 86.27% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu ambazo hazijaonyeshwa katika hati asilia.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili lakini pia hazi kuonyeshwa katika fomu 17A.
· Baadhi ya fomu zina jina sawa la afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura lakini sahihi zinaonekana tofauti.
· Idadi ya wapiga kura waliosajilishwa na ile iliyoonyeshwa matokeo ya mwisho ya ECK (84,687)
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa bunge wa 082 Kieni
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
fomu 16A
A B C C-A
Mgombea Kiti Cha bunge
Gichuru Michael Wachira 388 - 377 (11)
Gitonga Peter Mathenge 1238 - 1252 14
Kairu James Wanderi 310 - 600 290
Karanja John Kamunya 86 - 243 157
Karanja John Muhia 289 - 140 (149)
Kihagi Isaac Ngatia 2,564 - 2,272 (292)
Macharia Edwin Mwangi 5,331 - 5,335 4
Maina Muchiri Kiuma 482 - 421 (61)
Muriithi Kenneth Kamunya 183 - 855 (672)
Murungaru Christopher Ndarathi 8,827 - 8,460 (367)
Ndung u James Mathenge 287 - 255 (32)
Wachira Charity Gathoni 124 - 66 (58)
Wanderi Francis Mathenge 625 - 599 (26)
Warugongo Nemesyus 50,793 - 51,394 601
Jumla ya kura halali 71,527 .. 72,269 742
Kura zilizokataliwa .. .. 1,629
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 73,898
Waliopiga Kura .. .. 87.26%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Fomu 16A chache hazikutiwa sahihi na afisi wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura
· Baadhi wanaonekana kuwa na sahihi tofauti za afisa yuleyule.
8.14 Lari
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 105 Lari
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
fomu 16A idadi
sahihi
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 49,280 49,276 49,276 (4)
Kukubo Nixon 7 8 8 1
Matiba Kenneth 15 7 7 (8)
Musyoka Stephen 70 32 32 (38)
Mwangi Pius 16 16 16 -
Ngacha Joseph 157 67 61 (96)
Ngethe David 4 4 4 -
Odinga Raila 458 457 457 (1)
Rajput Nazlin 3 3 3 -
Jumla ya kura halali 50,010 49,864 49,864 (146)
Kura zilizokataliwa 740 218 218
Jumla ya kura zilizopigwa 50,750 50,082 50,082
Waliopiga Kura 85.45% 83.33% 84.33%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Si mambo mengi yaliyogunduliwa isipokuwa tofauti katika matokeo ya mwisho ya ECK.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 105 Lari
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi kura rasmi za
wenyewe wa 17A ya ECK mwisho za
matokeo ya ECK
fomu 16A
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Burugu John Njuguna 7,616 7,615 7,615 (1)
Chege Mburu Tiras 456 456 456
Gitonga Gichuru Philip 208 211 211 3
Kagunyi Njari Francis 8,739 8,876 8,876 137
Kamau Anthony Njihia 104 97 77 (27)
Kimani Douglas 386 343 343 (43)
Kimani Ndungu Walter 3,837 3,836 3,836 (1)
Kimathi James Viscount 3,254 3,654 3,654 400
Kuria Kimani David 2,303 2,280 2,280 (23)
Mwai Wangui Pauline 450 455 455 5
Mwaura David Njuguna Kiburi 11,847 11,855 11,855 8
Mwangi Jonah Mburu 8,005 8,804 8,835 830
Mweja David Wairiri 938 938 938 -
Nganga Caroline Wambui 336 326 326 (10)
Nyambura Samuel Njagu 112 110 1,110 998
Nyota Njohn K 767 772 772 5
Turuthi Gad Githengu 52 53 53 1
Jumla ya kura halali 49,410 .. 50,681 51,692 1,271
Kura zilizokataliwa 468 .. 334 334
Jumla ya kura zilizopigwa 49,878 .. 52,026 52,026
Waliopiga Kura 83.98% .. 87.60% 87.60%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 za ECK
Mambo yaliyogunduliwa
· Tarakimu matokeo ya wagombea viti zenye makosa katika fomu 17A.
· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi lakini zilipigwa muhuri wa afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura
8.21 Malava
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 155 Malava
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 17A ya ECK
matokeo ya
fomu 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 18,152 17,969 14,712 (3,440)
Kukubo Nixon 66 40 92 26
Matiba Kenneth 119 146 126 7
Musyoka Stephen 346 342 340 (6)
Mwangi Pius 102 85 99 (3)
Ngacha Joseph 365 94 147 (218)
Ngethe David 83 128 72 (11)
Odinga Raila 26,355 25,818 19,891 (6,464)
Rajput Nazlin 27 26 28 1
Jumla ya kura halali 45,615 44,648 35,507
Kura zilizokataliwa .. .. 71
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 35,578
Waliopiga Kura .. .. 52.91%
Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK
Fahamu: Tarakimu hizi zilipatikana kutoka fomu 22 na 16A ambazo katika faili na tarakimu hazikuwemo katika
fomu 17A. fomu hizo zikiwemo huenda jumla na vilevile tofauti zikabadilika.
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Za kwanza 17, na kisha kundi jingine la fomu 16a kwa jumla fomu 22, lazima katika faili ya eneo bunge na pia
hazimo katika 17A.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 155 Malava
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A
wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya
matokeo ya mwisho ya ECK
fomu 16A
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Caleb Ambulwa Murudi 183 189 291 108
Edward Juma Saya Malovi 448 411 305 (143)
Mukonyi Stephen Aswala 142 159 82 (60)
Nambwa sakaya Musavinyi 20,466 19,323 18,641 (1,825)
Sakataka William 530 978 427 (103)
Sakwa Tom Alphew 154 2,852 107 (47)
Soita Peter Shitanda 21,059 20,038 19,374 (1,685)
Tanga Harrison Webbo 600 974 395 (205)
Wakukha George Munji 1,125 1,095 832 (293)
Jumla ya kura halali 44,707 46,019 41,864 40,454 ..
Kura zilizokataliwa .. .. 1,119 1,119 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 42,983 41,573 ..
Waliopiga Kura .. .. 63.92% 61.83% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK
Fahamu: Makos katika kujumlisha tarakimu sahihi za ECK. Ujumlishaji mzuri unaleta kura sahihi 40,454 kama ilivyo
katika safu D.
Tarakimu zilipatikana kutoka fomu 22 za 16A ambazo hazikuwa katika faili na pia hazikuwemo katika fomu 17A.
fomu hizo zikiwemo, jumla za kura za wagombea viti na vilevile tofauti zitaongezeka.
Mambo yaliyogunduliwa
· Za kwanza 17 na fomu 16A nyingine, jumla ikiwa fomu 22 hazimo katika faili ya eneo bunge.
8.22 Masinga
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi na uchaguzi wa rais katika 066 Masinga
Kujumlisha Tarakimu Matokeo ya Tofauti
kwetu kutoka fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 16 ya ECK
matokeo ya
fomu 16A idadi
sahihi
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 2,341 2,344 1,038 (1,303)
Kukubo Nixon 37 38 33 (4)
Matiba Kenneth 22 112 107 85
Musyoka Stephen 33,659 33,729 21,225 (12,434)
Mwangi Pius 29 47 35 6
Ngacha Joseph 42 31 42 -
Ngethe David 6 4 3 (3)
Odinga Raila 387 462 238 (149)
Rajput Nazlin 155 165 221 66
Jumla ya kura halali 36,678 36,932 22,942 (13,736)
Kura zilizokataliwa .. .. 399
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 23,341
Waliopiga Kura .. .. 45.50%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Kushugulikiwa vibaya kwa baadhi ya kurasa za fomu 17A kulielezwa na afisa wa uchaguzi wa eneo bunge
katika barua kwa ECK.
· Hata baada ya kutolewa maelezo haya ya afisa wa uchaguzi wa eneo bunge matokeo ya mwisho ya ECK
yanatofautiana sana na matokeo ya fomu 16 ambayo ndio msingi kisheria kwa tangazo lolote la ECK.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bung katika 066 Masinga
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Matokeo ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi mwisho
wenyewe wa 16A ya ECK yaliyosahihishwa ya
matokeo ya ECK
fomu 16A
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Kabaka Boniface Mutinda 3,094 2,901 2,901
Katu Peter Masilu 362 370 370
Kiala Bernard Muia 4,122 4,052 4,052
Kiluta Ronald John 2,223 1,892 1,892
Kisulu Festus Kivata 429 314 314
Kithyaka Joseph Muthami 230 214 214
Kitua Daniel Muinde 1,033 882 882
Mbai Benson Itwiku 10,274 9,164 9,164
Mbaluka Joel 2,519 2,245 2,245
Musila Paul Muoki 2,348 2,179 2,179
Mutisya Josephat Mutunga 288 263 263
Mutisya Simon Makao 73 64 64
Mutuku Peter Nicholas 769 552 552
Mutunga Sheila Phylis Mwikali 394 379 379
Mwalyo Joshua Mbithi 9,024 8,435 8,435
Ndivo Rosalia Kanini 150 99 99
Ndolo Simon Silla 80 90 90
Ngungu Janet Syovata 171 167 167
Wambua Lois Mutanya 117 109 109
Jumla ya kura halali 37,700 34,371 34,371 34,172
Kura zilizokataliwa .. 547 547 547
Jumla ya kura zilizopigwa .. 34,918 34,818 34,719
Waliopiga Kura .. 68.06% 67.87% 67.68%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A za ECK
.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia.
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazina majina ya wagombea viti
· Baadhi ya fomu 16A hazikutiwa sahihi na afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupiga kura; nyingine zilitiwa sahihi
kwa niaba ya afisa wa uchaguzi wa kituo cha kupigia kura
· Idadi hiyohiyo ya fomu 16A(22) hazimo katika faili ya eneo bunge ya katika 17A.
8.23 Changamwe
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 009 Changamwe
Kujumlisha Tarakimu Matokeo ya Tofauti
kwetu kutoka fomu mwisho rasmi
wenyewe kwa 16 ya ECK
matokeo ya
fomu 16A idadi
sahihi
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 15,151 9,366 9,366 (5,785)
Kukubo Nixon 20 15 15 (5)
Matiba Kenneth 20 15 15 (5)
Musyoka Stephen 8,368 5,347 5,347 (3,021)
Mwangi Pius 121 74 74 (47)
Ngacha Joseph 67 44 44 (23)
Ngethe David 18 14 14 (4)
Odinga Raila 29,648 17,706 17,706 (11,942)
Rajput Nazlin 55 33 33 (22)
Jumla ya kura halali 53,468 32,614 32,614 (20,854)
Kura zilizokataliwa 509 .. -
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 32,614
Waliopiga Kura .. .. 30.33%
Chanzo: Nakala za fomu 16, 16A na 17 kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia
Fahamu: Idadi ya kura zilizokataliwa katika safu A inaweza kuwa ni ndogo kwa sababu baadhi ya fomu 16A
hazikuonyesha idadi ya kura zilizokataliwa katika vituo vya kupigia kura vilivyohusika.
Mambo yaliyogunduliwa
· Kwa jumla, tarakimu za baadhi ya fomu 16A zimeandikwa vibaya katika fomu 17 A.
· Tofauti kubwa baina jumla zetu na matokeo ya mwisho ya ECK.
8.24 Machakos Town
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 070 Machakos Town
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A
wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya
matokeo ya mwisho ya ECK
fomu 16A
A B C D C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 4,954 4,547 3,187 (1,767)
Kukubo Nixon 35 36 24 (11)
Matiba Kenneth 36 36 28 (8)
Musyoka Stephen 55,785 53,167 41,295 (14,490)
Mwangi Pius 70 68 41 (29)
Ngacha Joseph 69 67 50 (19)
Ngethe David 17 17 11 (6)
Odinga Raila 1,515 1,312 812 (703)
Rajput Nazlin 406 359 353 (53)
Jumla ya kura halali 62,887 59,609 45,811 45,801
Kura zilizokataliwa .. .. 2,839 2,839
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 48,650 48,640
Waliopiga Kura .. .. 51.29% 51.28%
Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK
.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na katika fomu 17A; baadhi hazina maandishi hata katika fomu 17A.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 070 Machakos Town
Kujumlisha Matokeo Matokeo ya Idadi sahihi ya Tofauti
kwetu katika fomu mwisho rasmi jumla za 17A
wenyewe wa 17A ya ECK matokeo ya
matokeo ya mwisho ya ECK
fomu 16A
A B C D C-A
Mgombea kiti cha bunge
Benson Bahati Mutua 240 .. 272 32
Daudi Fredrick Mwanzia 13,545 .. 13,607 62
Jones Kavivya Nzau 609 .. 1,023 414
Kaloki Collins Kitaka 7,207 .. 6,908 (299)
Kamelo Alfonce Mwangangi 2,049 .. 2,138 89
Kimanthi Florence Mbeti 2,484 .. 2,507 23
Kimeu Charles Nthiwa 242 .. 283 41
Mbithi Roseann Katheu 272 .. 278 6
Mothoka Stephen Makau 896 .. 946 50
Mukua Solomon Kimuyu 176 .. 169 (7)
Munyaka Victor Kioko 25,186 .. 24,647 (539)
Musyoka Susan Mbinya 6,064 .. 6,049 (15)
Musyoki Alphonce Mbinda 999 .. 986 (13)
Mutua Richard Mulu 165 .. 331 166
Mwamisi Timothy Wambua 872 .. 720 (152)
Nzengu Edward Kioko 1,351 .. 982 (369)
Jumla ya kura halali 62,357 .. 61,848 61,846 ..
Kura zilizokataliwa .. .. 1,010 1,010 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 62,858 62,856 ..
Waliopiga Kura .. .. 66.28% 66.27% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A za ECK
Fahamu: idadi katika matokeo ya mwisho ya ECK ya kura halali si sahihi, idadi sahihi imo katika safu D.
.. inamaanisha tarakimu hazimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Baadhi ya fomu 16A hazimo katika faili na katika fomu 17A; nyingine ni tupu hata katika 17A.
· Tofauti nyingi kuhusiana na kura halali kwenye kiwango cha vituo vya kupigia kura.
8.25 Central Imenti
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 052 Central Imenti
Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti
ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi
kibinafsi ya 17A ya ECK
fomu 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 58,811 43,410 43,410 (15,401)
Kukubo Nixon 16 8 8 (8)
Matiba Kenneth 19 13 13 (6)
Musyoka Stephen 185 130 130 (55)
Mwangi Pius 69 51 51 (18)
Ngacha Joseph 256 157 157 (99)
Ngethe David 16 12 12 (4)
Odinga Raila 1,585 1,108 1,108 (477)
Rajput Nazlin 15 18 18 3
Jumla ya kura halali 60,972 44,907 44,907
Kura zilizokataliwa .. .. 302
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 45,209
Waliopiga Kura .. .. 57.78%
Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Fomu 16A haimo katika faili; takwimu zilipatikana kutoka fomu 17A.
· Tofauti kubwa baina ya ujumlishaji wetu wa fomu 17A na matokeo ya mwisho ya ECK.
Uchaguzi wa bunge
Uchambuzi wa uchaguzi wa bunge katika 052 Central Imenti
Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti
ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi
kibinafsi ya 17A ya ECK
fomu 16A
A B C C-A
Mgombea kiti cha bunge
Imanyara Gitobu 14,980 14,601 (379)
Kirea Salome Gathuni 463 447 (16)
Kirima Moses Nguchine 10,074 9,936 (138)
Kirugi Nelson Kaimeny 3,499 3,415 (84)
Kiugu Geoffrey Muriungi 11,491 11,395 (96)
M Itwerandu Fabian Murugu 1,426 1,418 (8)
M Mugwika Kimathi Samuel 1,150 1,096 (54)
M Mukindia Joseph K. Laiboni 3,187 3,244 57
M Mukiri Andrew Kinyua 948 670 (278)
Magiri Mwirigi Edward 321 345 24
Mboroki Dennis Mbichi 3,140 3,214 74
Mithenga Martin Mugambi 2,757 2,710 (47)
Mugendi Samwel 1,841 1,829 (12)
Murithi Mercy Gacheri 352 358 6
Domnic Charles S. 1,354 1,243 (111)
Mwiti Gershon Kimeu 1,287 1,281
Wambutura Justus Gitobu 3,027 3,003 (24)
Jumla ya kura halali 61,297 .. 60,205 ..
Kura zilizokataliwa .. .. 602 ..
Jumla ya kura zilizopigwa .. .. 60,807 ..
Waliopiga Kura .. .. 77.72% ..
Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Fomu 16A chache zilijazwa vibaya katika fomu 17A; nyingine hazijakamilika kwa vile hazina majina ya baadhi
ya wagombea viti.
8.26 Saku
Uchaguzi wa rais
Uchambuzi wa uchaguzi wa rais katika 043 Saku
Matokeo ya Matokeo Matokeo ya Tofauti
ujumlishaji wa katika fomu mwisho rasmi
kibinafsi ya 17A ya ECK
fomu 16A
A B C C-A
Wagombea urais
Kibaki Mwai 7,124 7,124 7,124 -
Kukubo Nixon 6 6 6 -
Matiba Kenneth 9 9 9 -
Musyoka Stephen 1,232 1,232 1,232 -
Mwangi Pius 3 8 8 5
Ngacha Joseph 27 27 27 -
Ngethe David 4 3 3 (1)
Odinga Raila 5,682 5,682 5,682 -
Rajput Nazlin 11 9 9 (2)
Jumla ya kura halali 14,098 14,100 14,100
Kura zilizokataliwa 115 .. 115
Jumla ya kura zilizopigwa 14,213 .. 14,215
Waliopiga Kura 73.85% .. 73.86%
Chanzo: Nakala za fomu 16A kutoka ECK
.. inamaanisha tarakimu haimo katika hati asilia
Mambo yaliyogunduliwa
· Hakuna mambo yaliyogunduliwa katika faili hii.
Mapendekezo
Takwimu na tarakimu zina umuhimu mkuu katika uchaguzi wowote. Maandalizi ya kutosha na
washiriki wote katika uchaguzi huamuliwa kufuatana na namna ambavyo matokeo
yameshughulikiwa, kusimamiwa na kutangazwa. Jambo hili linafanya mfumo wa kushughulikia
matokeo msingi wa kujengea uchaguzi ulio huru na sawa.
Hata hivyo, kuna mambo mengi yanayofanya uchaguzi kuwa huru na sawa kama vile mfumo wa
kisheria uliopo, muundo, kupatikana na ufanisi wa asisi ya kusimamia uchaguzi na dhima ya
washiriki wengine kama vile vyama vya kisiasa, vyombo vya habari, wachunguzi na washiriki
wasio na kiserikali. Mapendekezo yanayotolewa hapa yanapaswa kueleweka katika muktadha
wa miundo sawa na sheria ambazo zinahitaji kuwepo ili mambo mengine yanayohusu uchaguzi
yaweze kutumika.
Matatizo tunayokumbana nayo tunaposoma hati za matokeo ya uchaguzi wa 2007 mengi
ambayo yamesisitizwa katika ripoti hii yanaonyesha kutofaulu hasa kwa Tume ya Uchaguzi ya
Kenya na kwa jumla, kuhusiana na maafisa wa uchaguzi wa vituo vya kupigia kura, maafisa wa
uchaguzi wa maeneo bunge na makarani waliojiriwa kuendesha uchaguzi. Kuna kutofaulu kwa
kiwango cha juu kwa mfumo, wafanyikazi, shirika na vikwazo vikali vya kiteknolojia na makosa
ya kibinadamu, ambayo bila shaka yalichangia kwa kuwepo na uchaguzi wenye makosa, na
kama ambavyo tumeona, mara nyingi wagombea viti hawakupata matokeo sahihi na matangazo
ya matokeo ya bunge hayakuwa sahihi. Makosa haya hayapaswi kuvumiliwa katika uchaguzi
wowote wa kisiasa na wa heshima.
Matatizo tunayokumana nayo tunaposoma hati za matokeo ya uchaguzi wa 2007 mengi
ambayo yamesisitizwa katika ripoti hii yanaonyesha kutofaulu haa kwa Tume ya Uchaguzi ya
Kenya na kwa jumla kuhusiana na maafisa wa uchaguzi wa vituo vya kupigia kura, maafisa wa
uchaguzi wa maeneo bunge na makarani walioajiriwa kuendesha uchaguzi kuna kutofaulu kwa
kiwango cha juu kwa mfumo, wafanyikazi, shirika na vikwazo vikali vya kiteknolojia na makosa
ya kibinadamu ambavyo bila shaka vilichangia kwa uchaguzi wenye makosa, na kama ambavyo
tumeona mara nyingi wagombea viti hawakupata matokeo sahihi na matangazo ya matokeo ya
bunge hayakuwa sahihi. Makosa haya hayapaswi kuvumilika katika uchaguzi wowote wa
kisiasa na wa heshima.
Kwa hivyo, tunaonelea ifuatavyo:
A. Kuimarisha mfumo wa kusimamia uchaguzi kuhusiana na utaratibu wa matokeo.
Kiwango cha chini kabisa ambapo matokeo yanaanza kushughulikiwa ni kituo cha
kupigia kura wakati ambapo maafisa wa uchaguzi wa kituo wanaweka pamoja matokeo
kutoka sehemu mbalimbali za kituo na kujumlisha katika form 16A mfumo was
kupungusa makosa ya kimaandishi na makosa ya kitarakimu unapaswa kuwepo kuanzia
kiwango hiki mpaka kiwango cha taifa ambapo kura za wagombea urais zinajumulisha na
vile vile kutangaza. Hili ni pamoja na kuajiri wafanyikazi wa wanaoshughulika na
kuandika wenye uwezo zaidi, mafunzo ya kutosha na ya kufaa pamoja na kuhakikisha
kwamba mfumo wa kiteknolojia unaowekwa, unatumika kuanzia kiwango cha kituo cha
kupigia kura kuhakikisha kwamba makosa hayarudiwirudiwi kuelekea juu kwenye ngazi
ya kushughulikia matokeo.
B. Ingawa kuwajibika zaidi kwa ECK kunafanya iwe lazima kwa wagombea viti au
mawakala wao kutia sahihi fomu 16A na 17A kunaweza kuwa kikwazo kwa sababu ya
muda zaidi wa mawakala kuthibitisha na kuchunguza matokeo, ni jambo ambalo
lingesaidia katika kuhakikisha kwamba taratibu za kudhibiti mambo zinatumika ili
kuhakikisha kwamba matokeo yameandikwa vizuri katika fomu zote kama inavyohitajika
kisheria na kujumlisha kura za wagombea viti kunafanywa bila makosa yoyote.
Kimsingi, Tume ya Uchaguzi ya Kenya (ECK) inapaswa kuajiri wasomaji wa
kuchunguza makosa au maofisa wa kuchunguza tarakimu wakiwa na jukumu la
kuchunguza yaliyoaandikwa na ujumlishaji wa matokeo katika fomu zinazohitajika
kisheria. Jambo hili linaweza kufanywa bila utaratibu maalum au kwa kutumia mfumo
wa kuamua fomu au vituo vituo vya kufanyia kuchunguzwa makosa
C. Ukweli na uaminifu wa mfumo wa matokeo unapatikana ikiwa kuna uwezo wa:
i) Kuchunguzwa na wengine wanaotumia mfumo kama huo
ii) Hatua za marekebisho zinazochukuliwa makosa yanapopatikana. Kanuni ya
maafisa wa uchaguzi wa eneo bunge na vuto vya kupigia kura kuwataka
mawakala kutia sahihi fomu 16A na 17A ni mbinu ya kujichunguza. Hata hivyo,
mambo ni tofauti kuhusiana na fomu 16 hati muhimu zaidi inayotumiwa na
ECK kutangazia washindi wa urais na ubunge. Huu ni udhaifu katika mfumo,
kwa vile hati muhimu zaidi katika uchaguzi inaweza kujazwa na mtu mmoja ama
kwenye kituo cha kupigia kura au kituo cha taifa cha kujumlisha kura. Inapaswa
kupendekezwa kwamba form 16A itiwe sahihi pia na mawakala hali tofauti na
fomu 16A na 17A ambazo zinategemea kuwepo kwa mawakala wakati wa
kujazwa fomu hizo. Kujazwa kwa fomu 16 na mawakala kunapaswa kuwa jambo
la lazima.
D. Kuhusiana na jambo hili, kuna makosa ya kimsingi kwa namna kura za bunge
zinavyotangazwa. Kwa hivi sasa, afisa wa uchaguzi wa eneo bunge hujaza fomu 16 na
kutoa cheti cha fomu 17 kwa mshindi wa kiti cha bunge. Mzozo wowote unaotokana na
jambo hili unaweza kutatuliwa tu kupitia kesi ya malalamiko ya uchaguzi. Hata ECK
haiwezi kugeuza au kubadili maamuzi ya wafanyikazi ambao wameajiriwa kwa muda tu.
Maamuzi yao yanaunda bunge. Hili ni kosa kubwa sana na ni jambo ambalo linapaswa
kugeuzwa ili kuhakikisha kwamba, kama vile ambavyo matokeo ya afisa wa uchaguzi wa
kituo cha kupigia kura ni ya muda mpaka yaidhinishwe na afisa wa uchaguzi wa eneo
bunge, matokeo/maamuzi ya afisa wa uchaguzi wa eneo bunge yanapaswa pia kuwa ya
muda mpaka yaidhinishwe na ECK au Wanatume, na baada ya kiwango hiki, ndipo
utaratibu wa kesi ya uchaguzi unaweza kutumiwa.
E. Mambo mengi yamesemwa na kugunduliwa kuhusiana na kutumia mitambo kwenye
kushughulikia, kujumlisha na kutazama upya matokeo. Kumekuwa na mapendekezo ya
kutumia tarakilishi na simu za rununu ili kusaidia katika utaratibu huu. Hiyo ndiyo
inayopaswa kuwa njia ya kufuata. Hata hivyo, kabla ya kuanza kutumia mitambo katika
mfumo, mfumo unapaswa urekebishwe ili kuleta uaminifu kwake. Kutumia mitambo
kwenye mfumo ulio na kasoro kutafanya ugunduzi wa makosa na udanganyigu kuwa
mgumu hata zaidi. Kurekebisha utaratibu wa kujumlisha kura kunahitaji kufanywa ili
kuhusiana na kuhakikisha kwamba utaratibu huo unaendeshwa na makarani walio na
ujuzi na waliofunzwa vyema, kuwepo na wafanyikazi zaidi wa kusoma ili kuchunguza
makosa na kuona kwamba mambo yanayojazwa kwenye fomu ni sahihi na kuhakikisha
kwamba wafanyikazi wa uchaguzi wa ngazi za juu kuwa na nafasi ya kuchunguza na
kurekebisha makosa. Mtazamo mzuri, muundo msingi mzuri na utendakazi mwema
kuhusiana na teknolojia pia ni mambo yanayohitajika. Ni baada ya mambo haya tu,
tunapopaswa kutumia mitambo. Kwenye mfumo. Jambo hili linahitaji kufanywa kwa
dharura. Kama jedwali la hapo juu linapoonyesha, kufanya uchaguzi kukikiwa mfumo
unaotumia mitambo kungeleta tofauti kubwa katika baadhi ya matokeo yaliotangazwa.
F. Kutumia teknolojia pia kunapaswa kutekelezwa ili kuimarisha sio tu uaminifu na ukweli
wa matokeo, lakini pia kuongeza kasi ya kusafirisha, kuhifadhi na uchambuzi
kujumulishwa kwa kutumuia mbinu za kielentaniki, suluhisho hili la kiufundi na ukaguzi
zaidi na ECK. Ikiwa sheria haitambui matokeo yaliyosafirishwa linapaswa kutumiwa
kama mfumo sawia wa kuhimili mfumo ili kuhakikisha ukweli wa idadi na matokeo,
huku fomu zinazohitajika kisheria zinazojazwa kwa mikono zikiendelea kutumika.
G. ECK inapaswa kufikiria kutoa fomu zinazohitajika kisheria zenye nambari zinazofululiza
ili kuhakikisha kwamba kuna kuwajibika dhahiri kuhusu fomu zilizotolewa na zile
ambazo zinarejeshwa kituo cha kujumlisha kuna cha taifa. Mfumo wa nambari
zinazofululiza unaweza kuchukua muundo wa hivi sasa wa:
Mkoa/nambari ya eneo bunge/nambari ya kituo cha kupigia kura. Kwa mfano, nambari
ya Shule ya Msingi ya Uhuru (016) katika Kamkunji, eneo bunge la Kamukunji (002)
Nairobi (01) ambapo mwandishi huyu alipigia kura, inaweza kuwa: 01/002/016/B.
Jambo hili litahakikisha kwamba visa vya kuwakilishwa karatasi zilizonakilishwa
kukubaliwa kama ushahidi vitakomeshwa, visa vya jumla za fomu 17A bila kuwepo na
fomu 16A zote vitapunguzwa, na kwamba kutakuwa na mtu atakayewajibika kuhusu
fomu za uchaguzi zinazotumiwa kuhifadhi matokeo. Marekebisho au mabadiliko yote
yatakayofanyiwa fomu hizi sharti yawe na mashiko na anayefanya mabadiliko sharti
ashuhudiwe na angalu mawakala au wachunguzi au wote wawili. Mabadiliko
yanayofanywa na mtu akiwa pekee yanapaswa kupigwa marufuku.
H. Kwenye viwango vyote ambapo kujumlisha kura kunafanywa, dhahiri kunahihtajika
kupatikana makarani na maafisa ambao wana ujuzi wa kushughulikia data au habari za
kitarakimu. Ingawa hatutakuwa na watakwimu kama makarani au maafisa wa uchaguzi
wa maeneo bunge, bila shaka kuna nafasi ya kuboresha mambo kuhusiana na kiwango
cha watu wanaoajiriwa. Kama kisa cha eneo bunge la Changamwe kilvyonyesha,
ambapo afisa mkongwe wa eneo bunge, alikiri kuwa alikuwa na matokeo yenye makosa
kutokana na kuchoka, na labda kutokana na hali mbaya ya kusukumwa sukumwa makili
na mawakala wanaowaunga mkono wagombea viti, ECK isiwe inategemea umri au
tajriba ya miaka ya nyuma kama kigezo kikuu katika kuajiri maafisa wa uchaguzi.
I Sehemu mojawapo ya shida ya matokeo ni kwamba ECK ilikuwa inatangaza matokeo
hata pale kulipokuwa na makosa au mizozo. Kama ambavyo tumeona mara nyingi, kuna
matangazo ambayo yanatofautiana na tarakimu za fomu 16. Ingawa ECK haiwezi
kungojea milele ili kuridhisha wote wanaohusika, sharti kuwe na kiwango kizuri cha
hekima, kutahadhari na hasa uhakika wa kile ambacho kinatangazwa kwenye kituo cha
taifa cha kujumlisha kura au kituo cha habari kwa vile ni vigumu sana kurekebisha hasa
katika akili za watu kile ambacho tayari kimefanyika.
Kwa kuhitimiza, ingawa tunaweza kuunda mifumo bila udanganyifu wowote, msimamo
mzuri na imani ni muhimu sana. Mifumo ya sheria na matokeo ni mambo ambavyo
hayawezi kuziba kila udhaifu katika utaratibu wa kusimamia matokeo. Uadilifu na
kuaminiana ni muhimu kabisa na labda ndicho kigezo kikuu kuhusu namna nzuri ya
kufanya mipango, kusimamia na kukagua chaguzi za siku za usoni.